DOTTO MAGARI ATOKWA MACHOZI WAKATI AKISIMULIA CHANZO CHA UGOMVI WAKE NA ISSA TAMBUU / ROHO MBAYA

  Рет қаралды 65,343

Manara TV

Manara TV

2 ай бұрын

MJASILIAMALI DOTTO MAGARI ASIMULIA MWANZO MWISHO CHANZO CHA UGOMVI WAKE NA BOSS WAKE ISSA TAMBUU ANAYEMILIKI YARD YA MAGARI ANAYOFANYIA KAZI DOTTO TAZAMA FULL INTERVIEW HAPA
#diamondplatnumz #dottomagari #wasafimedia #millardayo #mwijaku

Пікірлер: 140
@nth3512
@nth3512 2 ай бұрын
Huyo jamaa wa mwisho dah kaongea vizuri, kajikaza kujicontrol baada ya doto kumtolea nje
@rosehaule6765
@rosehaule6765 2 ай бұрын
Kakaangu wa kino kindakindaki nakupenda sana dotto utafukq mbali sana nakuina yuleeee ushavuka kakaa Mungu ni mwema sanaa barikiwa tuuu
@kombojuma2873
@kombojuma2873 13 сағат бұрын
kzbin.info/www/bejne/opSXf4OYh5yraZYfeature=shared
@user-kp6lz7zs1w
@user-kp6lz7zs1w 2 ай бұрын
ILOVE you 💓 💗 😘 💛 💖 doto magari penda cn weee
@OchoaHomeDecor_
@OchoaHomeDecor_ 2 ай бұрын
Kiburi 😢 Aisee dah Mungu amuongoze kwenye mema
@frankmganda2424
@frankmganda2424 2 ай бұрын
Ila kama issa amefanya hivyo amekosea maana Dotto amepambana watu wengi tumemjua issa kupitia Dotto pamoja broo
@abeidmayanga809
@abeidmayanga809 2 ай бұрын
Safi dotto
@user-sx8rn1jr5c
@user-sx8rn1jr5c 2 ай бұрын
Safi Sana dotto unajiamini Sana nafasi yako unailinda na ukweli
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 2 ай бұрын
Daaah bro redio balaaaa hongera nacho kipaji aisee
@kombojuma2873
@kombojuma2873 14 сағат бұрын
kzbin.info/www/bejne/opSXf4OYh5yraZYfeature=shared
@jumamaisara7557
@jumamaisara7557 2 ай бұрын
Tatizo nyota issa tambuu itamsumbua sanaaaa
@Boaz-Gwanko
@Boaz-Gwanko 2 ай бұрын
ISSA MTU POA SANA SIPENDI ANAVYO SEMWA VIBAYA
@user-kp6lz7zs1w
@user-kp6lz7zs1w 2 ай бұрын
Safi cn doto magari
@khamisrashidi6744
@khamisrashidi6744 2 ай бұрын
😂😂😂 ila dotto akli yako unaijua mwenyewe
@BonaBonala-bp5qm
@BonaBonala-bp5qm Ай бұрын
Doto magari huo ndio uzaramo huna shukrani issa kakutoa mbali na issa tambuu anaroho Nzuri ira shida yako mdomo wako uupimi mwisho
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Ай бұрын
Hawa wanajuana Wenzenu wanatafuta kiki nyie mnafikiri wanagombana shauri yenu
@user-qe3fs1xc3b
@user-qe3fs1xc3b 2 ай бұрын
Duh! Eti mama ndie alokuumba .. SUBHANA LLAH. Wee mwehu kwelia punguwani mropokaji.
@merrynancesimon1562
@merrynancesimon1562 2 ай бұрын
Maisha hayana fomulaaaa ❤❤❤❤❤❤❤
@frankmganda2424
@frankmganda2424 2 ай бұрын
Kweli broo
@KhalefSaleh
@KhalefSaleh 2 ай бұрын
Nakubali kaka salute
@ChikuRashid-yg3jp
@ChikuRashid-yg3jp 2 ай бұрын
Nampenda saana doto
@zayumar2955
@zayumar2955 2 ай бұрын
Mmmmxiiiiiiiiuuuuuuuu minyoko tena Ovyoooooooo!!!!!!!! 😏😏😏
@ellyemily4234
@ellyemily4234 2 ай бұрын
Dotto mshamba sanaa
@giztony2009
@giztony2009 2 ай бұрын
Bangi mbaya sasa mitano tena kila saa imeingije hapa ni dalili za woga na ujinga mwingi
@zimboj5278
@zimboj5278 2 ай бұрын
Big chawa et mama
@vicentmpoma
@vicentmpoma 2 ай бұрын
Kaza bro
@user-yn4di1lj7f
@user-yn4di1lj7f 2 ай бұрын
Mama au issa
@josephdionizy2868
@josephdionizy2868 2 ай бұрын
Nyoa new model ila dotto
@OmanIbri-hj8ss
@OmanIbri-hj8ss 2 ай бұрын
Kengeee wewe iyo die mitano tena inahusiana na nn
@meddykeita5220
@meddykeita5220 2 ай бұрын
Some time unaongea point dotoo...khs maisha
@yudachelango6824
@yudachelango6824 2 ай бұрын
Acheni kulamba matako watu mtakuja kufanywa mbaya,, sijampenda huyu jamaa wa mwisho
@jomba6514
@jomba6514 2 ай бұрын
Doto usijitingishe.binafsi napenda kukuona na Issa kwani mmetoka mbali achana na mbwata
@attoumaniomar1775
@attoumaniomar1775 2 ай бұрын
Dotto mjinaga sn
@ChristianNdewario
@ChristianNdewario 2 ай бұрын
Ditto we kiboko inabidi ufungue shule ya misemo
@user-uo3lp5pd3d
@user-uo3lp5pd3d 2 ай бұрын
😀😀😀 ila dotto dhaaaa 😅😅😅
@user-uh7to2kw2z
@user-uh7to2kw2z Ай бұрын
Chixi kalongwa tena 😂
@contempo_builders
@contempo_builders 2 ай бұрын
Hapo kwenye LIPA NAMBA sasa...
@user-eg1ts2fu9z
@user-eg1ts2fu9z 2 ай бұрын
Dotto ana akili sana
@NMJAsaid
@NMJAsaid 2 ай бұрын
Ukijifanya chizi huyu dotto ndio pimbi hafai 😂
@SaidAlly-zb2jb
@SaidAlly-zb2jb 2 ай бұрын
Huyu jamaa anajisahau biashara hairndi kishkaji mtu anawekeza pesa ili apate faida tena we unakuja kwakuwa mpo karbu ndio mgawane hesabu aaaahh
@merrynancesimon1562
@merrynancesimon1562 2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@RehemaSaid-rg5mr
@RehemaSaid-rg5mr 2 ай бұрын
uyu jamaa ana ongeyaa
@MrFootball-es2ed
@MrFootball-es2ed 2 ай бұрын
Crown
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 2 ай бұрын
Ovyoooooo
@BarakaChonjoboy
@BarakaChonjoboy Ай бұрын
Eeeeeeh......dotto noma sanaa
@dorothyannan8184
@dorothyannan8184 2 ай бұрын
Nakuelewa kaka yangu.
@MrNdanguza
@MrNdanguza 2 ай бұрын
Wazaramo wanajua kiswahili sanaa😅
@ndorobocarworks-dx4pf
@ndorobocarworks-dx4pf Ай бұрын
Mungu akija kunipa pesa ata siongei sana mitandaon nakausha nakula bata na wife
@NMJAsaid
@NMJAsaid 2 ай бұрын
Dotooooooo
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 2 ай бұрын
Hapo ndio utajua uswahili ni nani Leo kabadilika anaanza vimba kichwa utadhani akiweka pesa za biashara duuh kweli akili ni nywele😂😂
@tanzaniawomenyouthempowerm267
@tanzaniawomenyouthempowerm267 2 ай бұрын
Doto tupe namba yako
@wizkhalifaupdates3002
@wizkhalifaupdates3002 2 ай бұрын
Mtangazaji katangaza tangazo la mtu mwengine bila malipo 😂😂😂😂😂 katangaza biashara kwenye interview
@isayamlyuka7530
@isayamlyuka7530 2 ай бұрын
lipi Hilo
@husseijuma1025
@husseijuma1025 2 ай бұрын
Alwa jifunze din wew mjing
@fadhilifadhili1353
@fadhilifadhili1353 2 ай бұрын
Kwakweli alwa duuuh 😮
@mwandishimussa6319
@mwandishimussa6319 2 ай бұрын
Kumhoji dotto inahitaji nguvu za uvumilivu
@emmanuelmasemba7612
@emmanuelmasemba7612 2 ай бұрын
Atapata shavu soon Kwa mama samiah, maana anampa sana promo
@SalumAlly-ch6bu
@SalumAlly-ch6bu 2 ай бұрын
Sema me nakubali doto paletu anaongea Sanaa then anaweka mtaani kama anapaniki flan then anashuka😊
@user-ip4ie7pt6i
@user-ip4ie7pt6i Ай бұрын
Allwa tena
@prezidakasuga2595
@prezidakasuga2595 2 күн бұрын
Taratibu tunaanz kukuchoka hiyo mitano mpe na familia yk
@Brunn-mh2bq
@Brunn-mh2bq 2 ай бұрын
Mpige cutting!!😅😅😅
@msuyatztv5201
@msuyatztv5201 Ай бұрын
Waliosikia neno BAGENDI gonga like
@sylvestermitanda3502
@sylvestermitanda3502 2 ай бұрын
Dotto upo sawa kabisa.Na Mungu atakufungulia mafanikio zaidi.Ni kweli watu wengi huwa wanachuki pale wanapowaona walio chini kufanikiwa kwenda juu
@salumahmadasalum1556
@salumahmadasalum1556 Ай бұрын
KICHOGO MWENYEWE MJINGA MKUBWA JAPO NAKUPENDA SANA ILA UMENIUDHI KUSEMA MAMA NDIO ALIOUMBA KUA MAKINI
@kaizerabilahi5958
@kaizerabilahi5958 2 ай бұрын
Iyo interview inahusu Nini kwani!!!?
@user-rf7ni6tr2o
@user-rf7ni6tr2o 2 ай бұрын
Achaaa mapepee dotooo pigaaa kaziii naaa isaaa tambuuu atakufikishaa mbariii
@Msafirimakini
@Msafirimakini 2 ай бұрын
Hapo kwa mama ukebugi wewe fala kwani huwezi ongelea life yako bira kuweka samia acha ufała
@Rizikialiamechannel763
@Rizikialiamechannel763 2 ай бұрын
Kuna ubaya gani
@MnubiMm
@MnubiMm 2 ай бұрын
Samia ni Mama kutajwa na watoto ni Jambo la kawaida wewe Kama unaumia Tulia waache watu watoe Maoni yao
@hollymore4904
@hollymore4904 2 ай бұрын
Hatimaye wameanza kuigiza
@rukkynassor2279
@rukkynassor2279 2 ай бұрын
Ati mama amekuumba? Huyu hayuko sawa WALLAH tena
@hemedinabinga3604
@hemedinabinga3604 2 ай бұрын
Kakosea Sana
@johnchrisniyongabo4661
@johnchrisniyongabo4661 2 ай бұрын
Huyu jamaa kwambali kama dully sax
@lugendondago8493
@lugendondago8493 2 ай бұрын
Anavaa misalaba anajifanya muislam, tunajua misalaba unapewa kwaajili ya uchawi
@IssaBantu.
@IssaBantu. 2 ай бұрын
Kama hunanpenda dotto magari gonga like ❤
@badmanno.1650
@badmanno.1650 Ай бұрын
Kwa Alwa kwa Alwa na msalaba kifuani 😢
@ashaali7154
@ashaali7154 Ай бұрын
Binaadam hawana fadhila wana mwanzo tu akipata kidogo utajua tabia yake.
@abdallahmchange1370
@abdallahmchange1370 2 ай бұрын
MEKU KAAMBIWA KOFIA KAMA DEREVA WA MWEÑDOKASI
@SharifaMohammed-el3ug
@SharifaMohammed-el3ug 2 ай бұрын
Usimwamshe aliyelala
@ngambikomsu64
@ngambikomsu64 2 ай бұрын
Bagendi ndio nini??? 😂😂
@abdoulrahmanahmed5802
@abdoulrahmanahmed5802 2 ай бұрын
Skunk😂
@prince783
@prince783 Ай бұрын
Dah mi kichogo😂
@zaburi2386
@zaburi2386 2 ай бұрын
Allwa 😂😂
@GodloveEssau
@GodloveEssau 2 ай бұрын
bargaindi🤣🤣
@rashidrashidmaulid1129
@rashidrashidmaulid1129 2 ай бұрын
Doto umetutukana shabik zako kichogo wanafk kweli😂😂😂hatununui mazembe shaur yako mpigie issa magoti boss anuniwi😂😂😂
@gideonngwebe
@gideonngwebe 2 ай бұрын
Ashakula sk huyo
@user-fb4gg1me7f
@user-fb4gg1me7f 2 ай бұрын
Wewe dotto umejulikana kupitia kwa tambuu magari,,,mheshimu boss wako acha mambo ya ajabu,,,,
@user-xd2tg8eq1h
@user-xd2tg8eq1h Ай бұрын
Kata kwanza hizo nywele uislam hauitaji huo monekano wako
@DeogratiusAndrew-zi7zv
@DeogratiusAndrew-zi7zv 2 ай бұрын
Mjinga kweli,kama kuna mambo unayafanya mambo mabovu alafu unajifanya kumtaja taja mama ili ufiche ujinga wako
@katangaminerals8047
@katangaminerals8047 2 ай бұрын
Amesahauuuuuuz
@uredipeter412
@uredipeter412 2 ай бұрын
😅😅😂😂
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Ай бұрын
😂😂😂
@user-kp6lz7zs1w
@user-kp6lz7zs1w 2 ай бұрын
Ntakuja mimi kuchukua iyo pesa jmn doto tajiri penda cn wewe kaka
@lugendondago8493
@lugendondago8493 2 ай бұрын
Mjinga sana huyu, ila ipo siku atakuja kujuta
@user-cx7rh6jt6y
@user-cx7rh6jt6y 2 ай бұрын
Mi nakuangalia nitumie kwny cm Doto😅
@user-ic4nt2kn2z
@user-ic4nt2kn2z 2 ай бұрын
Uyu jamaa kichwa kinatatizo!
@jumabuckary7698
@jumabuckary7698 2 ай бұрын
Doto comedy Sana 😂😂😂😂
@tommydeejones254official8
@tommydeejones254official8 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@sylvestermitanda3502
@sylvestermitanda3502 2 ай бұрын
Mimi humfuatilia sana Dotto,na ni muwazi na husema ukweli bila kumung'unya maneno.
@kombojuma2873
@kombojuma2873 13 сағат бұрын
😂😂💪💪💪
@pitbullfamily4499
@pitbullfamily4499 2 ай бұрын
😁🤦🏾😂🤣
@hassankhatibmndima2513
@hassankhatibmndima2513 2 ай бұрын
Ongea unatuheshimisha wakala.
@hassankhatibmndima2513
@hassankhatibmndima2513 2 ай бұрын
Wazala
@jorumkiungo303
@jorumkiungo303 2 ай бұрын
Dooh ,siku zinahesabika
@thehustlerafrica4368
@thehustlerafrica4368 2 ай бұрын
Mama wa Nini tena 😂😂 hapo
@salumsalum5712
@salumsalum5712 2 ай бұрын
Issa tajiri wako tu
@witnesskagirigiri3763
@witnesskagirigiri3763 2 ай бұрын
Dotto tahira
@user-hu6kw7rk2h
@user-hu6kw7rk2h 2 ай бұрын
Wa nini huyo mfuga nguruwe
@PrinceMoreto
@PrinceMoreto 2 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z 2 ай бұрын
We unayesemadotto ana akili sawa kabisa...ila mungu ndo anaumba kupitia mama kuzaa....sio mama kuumba.
@maidimples8236
@maidimples8236 2 ай бұрын
Fact anaongea sn mpaka hajui anachoongea
@ChikuRashid-yg3jp
@ChikuRashid-yg3jp 2 ай бұрын
Siku ingine aza jina la Mungu kwa herufi kubwa
@NASJAYZEROTOBILLIONTZ-gl3sb
@NASJAYZEROTOBILLIONTZ-gl3sb 2 ай бұрын
Wajuaji wakikutana 😠😠
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z 2 ай бұрын
@@ChikuRashid-yg3jp 😄kwakuwa apa ni shule 😄😄..wew mi najitambua
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z 2 ай бұрын
punguzeni vichaa mungu hatukuzwi kwa m ya mwanzo...,,na kweli mnaluzi😅...mnataka nilembe coment😅😃
@handenitakuru6696
@handenitakuru6696 2 ай бұрын
Tumbo kama kayungu yeye
Как бесплатно замутить iphone 15 pro max
00:59
ЖЕЛЕЗНЫЙ КОРОЛЬ
Рет қаралды 8 МЛН
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 10 МЛН
路飞太过分了,自己游泳。#海贼王#路飞
00:28
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 35 МЛН
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 19 МЛН
VITUKO VYA KEVOO JOKER NA NANGA UTACHEKA
5:05
Kevoo Joker Comedy
Рет қаралды 2,1 М.