Maneno ya Sheikh Mkuu wa DSM Mbele ya Maaskofu, Awataka Waislam kujifunza kwa Wakatoliki Nidhamu

  Рет қаралды 72,173

Jugo Media

Jugo Media

Күн бұрын

Пікірлер: 156
@godwinhaule6100
@godwinhaule6100 2 жыл бұрын
Nakupenda Tanzania yangu mungu tupe zaidi UPENDO na AMANI
@rithaurassa
@rithaurassa Ай бұрын
Mungu akubariki Sheikh Mkuu wa Dar uengezewe miaka 400 tunataka wengine kama 10 Nchi yetu itakuwa imara.Ubarikiwe sana.
@sautiyamunguduniani4620
@sautiyamunguduniani4620 Жыл бұрын
Amen amen MUNGU anafanya kazi balikiweni Sana
@mwabigabriel3053
@mwabigabriel3053 2 жыл бұрын
Asante sana
@jaksonmayuyaemanuel4041
@jaksonmayuyaemanuel4041 2 жыл бұрын
Safi sana Tena sana uo ndio uzalendo wa ukweli ukisikia upendo na umoja ndio uo ongera sana shekhe Mwenyezi Mungu akulinde zaid na zaid
@daffagunda-rm3hj
@daffagunda-rm3hj Жыл бұрын
The best and real man of God, hana mawaa huyu mtu,Allah will be with you.Amen.
@piuspanga864
@piuspanga864 3 жыл бұрын
Asante sana Shekh Alhadj Musa Salum, mwwnyekiti wa Amani na maridhiano, wewe ni mkomavu sana katika imani
@mohamedishemtuhu8305
@mohamedishemtuhu8305 2 жыл бұрын
Mpuuzi ww
@emmanuelbrassy4000
@emmanuelbrassy4000 3 жыл бұрын
Vizuri sana sheikh umeongea ukweli na mungu akubariki sana.
@SmilingBuoy-kb1yn
@SmilingBuoy-kb1yn 4 ай бұрын
Ubarikiwe acha wengine wana ropoka.tu na kudharau imani ya mtu wanajiona eti wao niwema
@mwanamgenimwamzandi1941
@mwanamgenimwamzandi1941 Жыл бұрын
Innalillah wainnailayhi raajiun allah atuifadhi kwa tuyatamkayo
@makara6671
@makara6671 Жыл бұрын
Kabisa point
@rubenharuni79
@rubenharuni79 2 жыл бұрын
huo ndiyo uwongozi sahihi sana ubarikiwe sana
@idrisasimba8501
@idrisasimba8501 Жыл бұрын
Ameongea vizuri sana hata mtume( Saw ) aliingia mikataba ya maridhiano na ndugu zetu hao .
@singanoatanasi1994
@singanoatanasi1994 3 жыл бұрын
Hakuna ubaya juu ya hili shekhe umesema ukweli na kuzingatia taratibu safi
@adammlonganile7921
@adammlonganile7921 2 жыл бұрын
Ahsante Na Hongera Sheikh Mkuu wa Dar es salaam, Busara Na Hekima siku zote umekuwa imara
@mfalmekima5318
@mfalmekima5318 3 жыл бұрын
Njaa ni tatizo jamani Mungu atuepushe na unafik
@miriammustafa5380
@miriammustafa5380 2 жыл бұрын
Kweli kbs uasikofu sioo mchezo
@festusngolo1405
@festusngolo1405 2 жыл бұрын
Very nice cemina
@raphaelchua6478
@raphaelchua6478 2 жыл бұрын
Amani ldumu milele Amina
@r14kgroup68
@r14kgroup68 3 жыл бұрын
Raisi wa baraza la Maaskofu katoliki gerephasi nyaisonga ni kiongozi mwenye uwezo wa kujieleza ,hongera.sana baba
@bennjanja2382
@bennjanja2382 Ай бұрын
Katoliki all the way
@magomakabanja4861
@magomakabanja4861 3 жыл бұрын
Innalillahi wainailahi rajiiun sio sheikhe wala sio muumini wa kiislam kwa mujibu wa dini ya kiislam atae kua pamoja nao nae ni miongon mwake ? Acheni unafiki masheikhe
@geraldtarimo3210
@geraldtarimo3210 2 жыл бұрын
Yupo sahihi,kwanihapo ni chooni?
@husseinbachwa8372
@husseinbachwa8372 2 жыл бұрын
Yaaani....!!
@greysonmheni5176
@greysonmheni5176 Жыл бұрын
Inapendeza ee
@mosesnyoni2759
@mosesnyoni2759 2 жыл бұрын
Nimependa,kuona mnaishi kwa ushilikiano,na kila mtu kuishi kwa imani yake,
@amourmaftah258
@amourmaftah258 Жыл бұрын
Huyu na bakwata yote ni madhalimu ktk Uislam...walwahi ni mtihani mkubwa ALLAH anajua zaidi...SUB'HANALLAH.
@edwinmanji74
@edwinmanji74 Жыл бұрын
We unamatatizo gani wewe,huyo anayeongea sio kiongozi wako mkuu wa dini?kibaya kipi hapo au wewe ndo unajua zaidi kuliko yeye?
@PeterLubala
@PeterLubala 5 ай бұрын
Akili huna
@raulianraphael6853
@raulianraphael6853 3 ай бұрын
Mungu wetu n wa Upendo ndio maana hata mwizi akiiba Mwenyez Mungu hamuondolei pumzi nae akifanya Toba Asamehewa Sasa kama wewe una Mungu wa peke ako Mbinafsi tuambie
@hajihaji5296
@hajihaji5296 Жыл бұрын
Huyu ni mnafkiki km mnafiki km wanafiki wengne
@salumkhamis7818
@salumkhamis7818 2 жыл бұрын
Dini si Kila mtu anaweza kuiwakilisha laiti Kama pangekuwa na uchaguzi wa waumini huyu asinge kuwa hata muadhini kwa nidhamu na uelewa alionao.
@dapinitiative2451
@dapinitiative2451 2 жыл бұрын
Uko sahihi ndugu yangu Salum
@rosetreffert6727
@rosetreffert6727 2 жыл бұрын
Safi sheikhe maneno yenye kutia nguvu Sanaa
@kelvinkaijage3275
@kelvinkaijage3275 2 жыл бұрын
Daima watanzani tudumishe aman na upendo
@RichardAmosnkonje-pq9oh
@RichardAmosnkonje-pq9oh Жыл бұрын
Ndugu zangu waislam mungu tanae muomba ni mmoja tofauti ni dini tu hivyo wakristo na waslam wote ni wototo wa baba mmoja hivyo sijaona kosa kwa shehe hapo tupendane jamani
@saidmuhsin2446
@saidmuhsin2446 3 жыл бұрын
Mhhh hatar!!Allah atulinde
@greysonmheni5176
@greysonmheni5176 2 жыл бұрын
Aamin
@aishamamii2942
@aishamamii2942 2 жыл бұрын
Amiyn njaa zinawaponza wengi
@khamisseif9870
@khamisseif9870 3 жыл бұрын
Mtihani
@fredlyimo1263
@fredlyimo1263 2 жыл бұрын
Tatizo dini yetu inasema tu wasilamu ndo wa Allan wenu na mafundisho yenu yamefanya na kuweka akili zenu mipaka kiasi kwa mambo km hayo akilini zenu zinafika mwisho na kuanza kupungukiwa na amani na kuanza chuki
@fredlyimo1263
@fredlyimo1263 2 жыл бұрын
Na mkumbuke akili za Mungu c za mwanadamu.
@sultanmussa2838
@sultanmussa2838 2 жыл бұрын
alicho kifanya bondia umeitwa MCHONGO yaani pesa tupuuuuu apo
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 жыл бұрын
😅😅😅😅😅😆Waslm kma na waona 😆😆😅😅😅😅👌🏽
@abdullramadhanii626
@abdullramadhanii626 2 жыл бұрын
HAWATAKUBALI MANASWALARA NA MAKAFIRI MPAKA MFUATE MILA YAO .. INNALILAH WAINAILAH RAJUN
@johnbosconagalau1586
@johnbosconagalau1586 2 жыл бұрын
Kichwa chako hakipo sawa wewe(chizi) kama hauna coment kaa kimya.
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 2 жыл бұрын
kafir na Manaswara mamako alie halisha Mavi ukatoka wewe usie na akili
@geraldtarimo3210
@geraldtarimo3210 2 жыл бұрын
Nyani watampinga,lkn yupo sahihi
@ggelishachannel450
@ggelishachannel450 2 жыл бұрын
Roho mbaya tuu kwani sheikh kakosea Nini hapoo
@basammussa6774
@basammussa6774 Жыл бұрын
Kilichotakiwa kuzingatiwa ni point anazo zungumza hapo, na sio kutukana bila kutafakari kwa kina
@elyhillary2000
@elyhillary2000 2 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏
@CANAANTZ_TV
@CANAANTZ_TV 5 ай бұрын
Haleluyaaa Jipatie vitabu vya maombi ya kiroho bureee Kwa njia ya WhatsApp 1=Maombi ya kuvunja madhababu za kichawi 2=Maombi ya kuzima mashambulizi ya kuzimu 3=Maombi ya vita vya kiroho Bonyeza picha kushoto mwa comment hii tutakutumia bureee
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 Жыл бұрын
This is what l have been looking for before late John pombe makufuli deeth mwislim and cresianity are they one single africa not wait people culler first our culler then religious because African American calctur is out skin then religious because we have born in Africa land first respect of our africa calctur then our religious this is Tanzania unity. On our national Africa belong to our calctur on trable believe before religious
@Othmansheby
@Othmansheby 2 жыл бұрын
Mswiba innalillah wainnalilah rajiun
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Mmm acheni fitina
@greysonmheni5176
@greysonmheni5176 Жыл бұрын
Achana na chuki za wakoloni wa kiarabu na kizungu,cc ni waafrika na tunatakiwa kuishi kwa umoja kama huu
@theophilwhiteheart1997
@theophilwhiteheart1997 2 жыл бұрын
😇🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@khamisikhalfan4720
@khamisikhalfan4720 Жыл бұрын
Njaaaa hiii itatuua imani zetu kwa kweli
@greysonmheni5176
@greysonmheni5176 Жыл бұрын
Umoja siyo njaa,achana na chuki tulizopandikiziwa na wakoloni wa kiarabu na kizungu.Huu ndo uafrika halisi
@raynoldlisanga8106
@raynoldlisanga8106 2 жыл бұрын
Kiigizo chema ni mtume uwisilam bila elimu ni mtihani
@jeremiahpirminnyoni618
@jeremiahpirminnyoni618 Жыл бұрын
Huyu Sheikh ni msomi anaelewa anachokisema
@faisalmohamed727
@faisalmohamed727 Жыл бұрын
(wamakana Muhamad abuu ahad) sasa huyo askofu umempa cheo ambacho hata bwana mtume swalallahu aleihi wa Salam hana, hiko cheo ulichompa askofu ndio kimenishangaza salamu haikunishangaza.
@seifjuma4743
@seifjuma4743 3 жыл бұрын
Eeeeee kak weee hujui kuwa hapa dunia ni miaka 60 ad 70 tu subir ss
@Faby_tv
@Faby_tv 2 жыл бұрын
Daaaaah ebu jaribu kupitia comment zote utagundua kinachonisikitisha.
@CHRISTOPHERDENIS-p6s
@CHRISTOPHERDENIS-p6s 2 ай бұрын
Mtasema yote..bado
@jenifagerald1822
@jenifagerald1822 2 жыл бұрын
Shekhe umeongea vizur sana na ukweli mtupu 👏👏👏
@jamilahamis2462
@jamilahamis2462 2 жыл бұрын
Huyo sio she no kafili mwenzenu laana kum
@GilesKhamis
@GilesKhamis Жыл бұрын
Ukiona vya eleya, vimeundwa, na ukisikia yanayozungumzwa uwe mkini, kwasababu yanawezayakakujenga na yanawezayakakubomoa , tafakarini sana yanayoendelea hasa kuhusu mkataba wa BANDARI
@mustafaosman1838
@mustafaosman1838 2 жыл бұрын
Duu uyu shekh vp jaman mbona mm sijakuelewa huyu nishekhe au ni padri watanzania
@greysonmheni5176
@greysonmheni5176 2 жыл бұрын
Utaelewa mdogo mdogo 😃😃
@yohanalukanga6263
@yohanalukanga6263 2 жыл бұрын
Sihaminigi hizi dini bali na mwamini mungu tu
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Siamini Kufuata Muhamad naamani kumwani Yesu Kristo tu
@OmarySimba-j6s
@OmarySimba-j6s Жыл бұрын
Bahasha inafanya kazi
@atamotivetv8104
@atamotivetv8104 2 жыл бұрын
Kiukweli waislam mnaubaguzi Sana yan nimesoma comment du!!!
@greysonmheni5176
@greysonmheni5176 Жыл бұрын
Wakoloni wa kizungu na Kiarabu walitugawa sana kifikra waafrika
@zainabujahshi6587
@zainabujahshi6587 2 жыл бұрын
Sheikh unapoelekea siko...innalillahi wainnailahi raajioun.
@gideonibatangaki1317
@gideonibatangaki1317 2 жыл бұрын
Nizamu aliyoisema muheshimu atakama amekosea nibinadamu.
@dapinitiative2451
@dapinitiative2451 2 жыл бұрын
Jifunze Kwa shehe wako! Upendo na umoja alionao Kwa dini zote! Huyu ndio kiongozi wa kweli!
@nelsonjr7795
@nelsonjr7795 3 жыл бұрын
Njaa mbaya sana Hawa Wataweza kukubali hata Ushoga
@modernfarming5938
@modernfarming5938 3 жыл бұрын
Utahira mlionao ni kwamba ulitaka ataje kanisa unalosali ww . Ebu ifike mahali akili ziwafunguke
@f.a6043
@f.a6043 2 жыл бұрын
Kwanza nikupe pole sana maana ushoga ni kazi ya ibilis shetani Hawa viongozi wa dini wanahubiri habari njema ya MWENYEZI MUNGU ya KRISTO YESU MKOMBOZI WETU ALIE MTAKATIFU WA WOTE wala hawana mawazo machafu kama hayo yako ya ibilisi lusufa kwahio anaetoa mawazo mabaya kama yakwako juu ya viongozi wa dini watu wa MUNGU nidhari kua hata ww mwenyewe nimtumwa wa hayo anayojaribu kubambikizia viongozi wa dini Mh. Sheikh ameongea kwa busara ya hali ya juu sana kwa namna ambayo sikudhania hata kidogo kweli kweli Sheikh yu nahekima kubwa sana MUNGU AWABARIKI WATU WAKE SANA!
@halimamnyati9311
@halimamnyati9311 2 жыл бұрын
Nikweli hii ss ni hatr tuombe mungu atujalie mwisho mwema
@alexbenedict5378
@alexbenedict5378 3 жыл бұрын
Duh
@josaphatlukwaro2378
@josaphatlukwaro2378 3 ай бұрын
Ukimsikiliza huyu shehe bila makasiriko utamuelewa
@husseinbachwa8372
@husseinbachwa8372 2 жыл бұрын
Amani ya Bwana iwe Nyani, Bwana yupo uyo?
@siriakirojasi8243
@siriakirojasi8243 3 жыл бұрын
Ambae hajaetewa.akaekimwa....umeongea.sahihi.kabisa
@fadhilahaji7929
@fadhilahaji7929 2 жыл бұрын
So waislm hatujui nyinyi masheikhe wetu mkoje na jslimu wetu mbonahatukueleweni
@saumsaum1916
@saumsaum1916 2 жыл бұрын
Kwni baba wa taifa alibagua dini wakati anatafta uhuru?acheni ubaguzi mungu ni mmoja na wote shia moja
@azzanalzakwani7474
@azzanalzakwani7474 Жыл бұрын
Wakristo pia wamcheka
@khadijamusa2838
@khadijamusa2838 2 жыл бұрын
Tulishaambiwa msijifananishe nao.subhana malikinas
@jeremiahpirminnyoni618
@jeremiahpirminnyoni618 Жыл бұрын
Uliambiwa na nani? Na hao ni akina nani, soma vizuri kuruani usisikilize hadithi za mitaani.
@greysonmheni5176
@greysonmheni5176 Жыл бұрын
Acha ukoloni wa Kiarabu wewe,usijifananishe na mwafrika mwenzio alafu ujifananishe na Mwaarabu au!!
@alimakame9215
@alimakame9215 2 жыл бұрын
Huyushehe anatia was was muislamu wakweli hasemi hivyo mana diniyetu inatufuza hata mtume aliambiwa yeye anadini yake na wao wanadini yao.VIP awasifu.mjinga huyu shehe pesa
@greysonmheni5176
@greysonmheni5176 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣,Yesu,Yesu,Yesuuuuuuuuuu
@genovevajohn4170
@genovevajohn4170 2 жыл бұрын
Ubinafs utakuua
@fortyyellu9971
@fortyyellu9971 2 жыл бұрын
Huyu shek anatuaribia dini yetu jaman.. muft upo wap na unamwangalia tu na kumuacha
@greysonmheni5176
@greysonmheni5176 Жыл бұрын
Dini yako au ya wakoloni wako wa Kiarabu?
@kiboshokibosho-ou6um
@kiboshokibosho-ou6um Жыл бұрын
Nchi yetu ni Amani tupu na upendo
@faustinesamani6359
@faustinesamani6359 2 жыл бұрын
Nawaonya sana ssna viongozi wetu wa kikatoliki msijiingize kichwakichwa kwenye kundi la huyo mfiraji wa wake za waumini wke wasiojielewa mtatuudhi sana. Kazi kwenu.
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 2 жыл бұрын
Wewe ndiye nini?
@rayahaji800
@rayahaji800 2 жыл бұрын
Innalilah wainna ilaih raajighuni uislam wako sheikh unatutia wasi wasi
@andrewdukho8795
@andrewdukho8795 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@nestarnestar4520
@nestarnestar4520 2 жыл бұрын
Umerogwa ww
@geraldtarimo3210
@geraldtarimo3210 2 жыл бұрын
Yupo sahihi,walanguruwe ndiohawataelewa
@jaliabahat1520
@jaliabahat1520 Жыл бұрын
wasiwasigani toeni ujinga
@salhabashir8280
@salhabashir8280 Жыл бұрын
Huyu ndio shekh wakupigwa mjinga sana yeye dunia tuu
@gabrielmdem4271
@gabrielmdem4271 Жыл бұрын
Wewe ndo mjingaa Yani huerewi lolote tunajemga nyumba oja tambuwa ivoo tofautu ni matilio ola nyumbaa ni ilelie hii ndo busaraa ya dino sijuio umenierewa labda mikuulize pengine huna erimu ya kutoshaa je umesoma dino IRA huna erimu ya Shure e Hilo ndo tatizooo sikulaumu
@greysonmheni5176
@greysonmheni5176 Жыл бұрын
Acha ukoloni wa Kiarabu
@nathanieldaud3744
@nathanieldaud3744 2 жыл бұрын
mchapio wa nguvu eti amani ya Bwana iwe nyani, all in all umesema vizuri na ukweli huwaweka watu huru
@abdullramadhanii626
@abdullramadhanii626 2 жыл бұрын
hii kwa wasomi inapatikana wapi? kwamaswahaba au kwa mtume kanza mungano wa dini mbali mbali maana kama mtuma alikatazwa na ikashuka sura ikimkataza mtu asiungane sasa hii nini? naomba fatwa kwa wasomi
@priscamathewpriscamathew5952
@priscamathewpriscamathew5952 2 жыл бұрын
Abduli toa ubaguzu wako mungu ni moja tu sasa wewe nani
@soudia9084
@soudia9084 Жыл бұрын
Sasa nimefahamu kwanini dr Mwaka kasema anataka Mufti atoe talaka sio wewe.
@mariyamsalalah8204
@mariyamsalalah8204 2 жыл бұрын
😂😂😂mwisho shekhe umenichekesha
@ramadhanaldawiyya8659
@ramadhanaldawiyya8659 2 жыл бұрын
Sadakta
@abdallahkawambwa2666
@abdallahkawambwa2666 2 жыл бұрын
Shekh hatakama umesoma kwahilo hapana nahau wala sarfa
@binbadru8408
@binbadru8408 2 жыл бұрын
Shehe hamjielewi,msibabmkubwa huu
@hajihaji5296
@hajihaji5296 Жыл бұрын
Sheikh wa mchongo tubia kwa Allah hwenda Allah akakuongoz
@greysonmheni5176
@greysonmheni5176 Жыл бұрын
Atubu kwa kosa gn.Acha ukoloni
@AbuKhayrati
@AbuKhayrati 2 жыл бұрын
uyu siyo shekh uyu ni mukalti
@husseinbachwa8372
@husseinbachwa8372 2 жыл бұрын
Kama umeona la kujifunza basi wafuate wewe unadhani uislam upo kwaajili ya Dunia!!?? Uislam haufungamani na upuuzi... Kasome Dini.
@siamuchunguzi
@siamuchunguzi 2 жыл бұрын
Waislam mmeniangusha jamani,,, kama kweli dini yenu ni safi kwa nini hamna Upendo??? Kwa comments zenu tu mngekuwa na uwezo mngemsaidia Israel kufanya kazi,,, ila hakuna shida tunawapenda tu maana sisi sote ni wa Mungu
@kassimmussa8015
@kassimmussa8015 2 жыл бұрын
Yani namuhisi kabisa anatamani awe askofu leo hii dah shida jamani.Allah ilinde dini yako tunaowategemea kama viongozi wadini yakiislamu nawao wanatamani nakuhusudu vyeo vyajuu katika dini nyengine.
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 2 жыл бұрын
Kwenda Kwako Ni Sawa Kwasababu Apo Iko Msuguano Wa Dini Kubali Wito Toa Neno Washike Neno Siku Bola Uvune Wafuasi Kutoka Ndani Apo Apo Kwenda Apo Ni Sawa Kusalimia Pia Ni Sawa Kuwapongeza Ni Sawa Lakini Ndani Yake Utawapa Neno Ambalo Upande Wa Pili Akuna Wanaozani Kwenda Apo Kusalimia Sio Sawa Ao Awajui Imani Wanachojua Malumbano Bila Ukweli
@FatmaJumanne-mi2et
@FatmaJumanne-mi2et Жыл бұрын
Sheheh wewe ni mfano wakuingwa
@lumumbasankara6388
@lumumbasankara6388 2 жыл бұрын
Sijawahi ona shekh wa ovyo kuwahi kutokea kama huyu
@gabrielmdem4271
@gabrielmdem4271 Жыл бұрын
Wewe huna erimu kwanza hujui lolote kichwani umesoni din tu huna erimu darasani tambuwa kuwa mungu ni wetu sote sote tunajemga nyumba Moja tofautu ni matilio kira mmoja na Imani yake Imani sio uadui maskini pore ndo ulifunzwa ivoo kuamini ivoo tambuwa kuwa hatubaguani Kwa Imani wars dino ya Fulani sisi ni viumbe wamungu tunwachia mungu hukumu zetu harafu waweza kuwa mi mzima harafu huna akili usimwaminishe mtu unachoamini wewe ndo mama Nyerere alikataaa udini ndan ya ncho yetu akatupa uhuru wakuabudu vote akili huna una udini Yu ndayake kifunze wewewisram feli
@AbuKhayrati
@AbuKhayrati 2 жыл бұрын
kuna udugu gan baina wasilamu na manaswara
@jumajuma7413
@jumajuma7413 Жыл бұрын
walaatardhankal lyahudu walannaswara hatta Titania millatahu
@greysonmheni5176
@greysonmheni5176 Жыл бұрын
Andika kiswahili,usituandikie lugha za kikoloni hapa
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 3 жыл бұрын
Shehe umewakosea wakristo wa madhehebu mengine unapodai kanisa katoliki ndio kanisa halisi linaloonyesha ukristo wa kweli kweli!
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 3 жыл бұрын
@Crazy Compilation soma vizuri hiyo comment
@rosetreffert6727
@rosetreffert6727 2 жыл бұрын
Juma huo wifi
@greysonmheni5176
@greysonmheni5176 2 жыл бұрын
Hakuna shida,kanisa linawakilisha alama moja tu ya Kristo
@abdulswalehe6959
@abdulswalehe6959 Жыл бұрын
Wewe shekhe alihadi naww nikafilikamawao
@gracemwakibolwa7910
@gracemwakibolwa7910 Жыл бұрын
Hata weeye ni kafili hivyo hivyo.tena zaidi ya huyo unayemtusi.
@erastoernest909
@erastoernest909 2 жыл бұрын
👏👏🙏
@harsoshelezi4658
@harsoshelezi4658 2 жыл бұрын
ndiyo maana unapopolewa na waumini kwa tabia zako za undumakuwili
@mwamedypwemu6117
@mwamedypwemu6117 2 жыл бұрын
msiba; mkubwa yan wakristo wanampinga allah na wanamkubali yes nabii issa nawe waunga mkono kwa wakristoo daa msiba mkubwa san yule anae kufa so muslam na akamkana mungu wa kwel na mtume wake uyoo ayupo saw ndo uyoo sufiiiiii wa mkoa
@saidmuhsin2446
@saidmuhsin2446 3 жыл бұрын
.
@kijitamfyomi5598
@kijitamfyomi5598 3 жыл бұрын
Kwa hiyo sisi waislamu hatuna nidhamu kwa mtume wetu Muhammad sw hatuna nidhamu kwa maswahaba hatuna nidhamu kwa wanawachuoni wa kiislamu hii kauli tunamuomba mufti amwambie huyu sheikh Alhady awaombe radhi waislamu co kauli njema
@ansfriedmsimbe9509
@ansfriedmsimbe9509 3 жыл бұрын
No, wisdom.
@hamisimkima117
@hamisimkima117 2 жыл бұрын
Unawaita Ndugu zako Haliakua ili Uwe Mkristo 👈 lazma Umkatae Allah Umkatae Mtume Muhammad sw uikatae Qur'an hapo ndipo Utaitwa Mkristo 👈 vp! Ww kama ni Muislam kweli ulietamka shahada Alafu ukawasifu hao na kuwaita Ndugu zako!?? Wa idhaja a l,munafiqun pindi watakapo kujia Wanafk Utasikia Wakisema sisi tuna shuhudia kua wewe ni Mtume kumbe hao ndio Wanafk Allah anawajua Vizur
@emmadora7848
@emmadora7848 2 жыл бұрын
Tatizo una akili ndogo sana , kwenye nchi hii sisi sote ni ndugu ndio maana tunaishi safii kwa Upendo na amani bila kujali tofauti zetu za kiimani, kikabika nk ,hutaki ondoka katafute nchi yako
@kassimmussa8015
@kassimmussa8015 2 жыл бұрын
Tunawasaidia kwanguvu zetu najuhudi zote makafiri kwani ameambiwa kwamba waambie ewe.Muhamad wao wana dini yao nawewe una dini yako leo shekhe anasema kajifunza kwawatu ambao hawaitakii mema dini yake😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@titosilayo7550
@titosilayo7550 2 жыл бұрын
Huo niuongo
@f.a6043
@f.a6043 2 жыл бұрын
Ww mwenyewe kwanza hapo naona umeridhika na yale Mh. Sheikh alioyasema na una cheka😂😂😂🤣🤣🤣 kabisa peace and love usimkosee kiongozi wako mheshim Mengine muachie MWENYEWEZI MUNGU yeye ndie ajuae mambo yote
@titosilayo7550
@titosilayo7550 2 жыл бұрын
Saw ,
@greysonmheni5176
@greysonmheni5176 2 жыл бұрын
Makofi kwa shekhe tafadhali
@titosilayo7550
@titosilayo7550 2 жыл бұрын
@@greysonmheni5176 🤝
Kluster Duo #настольныеигры #boardgames #игры #games #настолки #настольные_игры
00:47
Ozoda - Lada ( Official Music Video 2024 )
06:07
Ozoda
Рет қаралды 29 МЛН
Kluster Duo #настольныеигры #boardgames #игры #games #настолки #настольные_игры
00:47