Aliye wai kuwa mwenyekiti wa simba Muhina Seif Kaduguda amesema tatito kubwa linalo ikabili simba kwa sasa ni wanachama wa simba.
Пікірлер: 244
@MpoleJutaАй бұрын
naitwa Mudrick !!! napenda sana kumsikiliza Mzee kaduguda maana anaongea point sana mungu akupe afya njema na maalifa makubwa
@MICHEZODAIMATVАй бұрын
Uyu sio mangungu ni kaduguda
@FredymaswiMwita-oj6gvАй бұрын
fire 🔥 ukweli hautakuwi kwenye mpira wa bongo..big up brother
@zuberikupaza1184Ай бұрын
Kaduguda shida haiko kwa mangungu bali kwa Mo kwa sababu haja kamilisha uwekezaji wake kwa simba. Kifupi Mo hadi leo ni mfadhili sio mwekezaji!!
@barnabasmalima4823Ай бұрын
na MO anawekaje pesa wakati mchakato haujakkamilika?
@mwanangusanaАй бұрын
@@barnabasmalima4823sasa mbona Kaunda bodi wakati mchakato bado ? C akae pembeni akihitajika ataitwa 😂😂 .... Mbona mwenzake anatoka pesa ila hajanza kuunda bodi ?
@mwanangusanaАй бұрын
@@barnabasmalima4823mo na madunduka wanaviziana tu 😂😂 ... Mchakato bado haujakamilika mtu ameshaunda bodi ...akatimua then akateuwa, Mara rais wa heshima kesho mwenyekiti wa bodi upande wa mwekezaji then mwekazaji ni mudi tea vyeo vyote vyake
@salimmalaka25629 күн бұрын
@@mwanangusanaTOPOLOOOOOOO 😂😂😂😂 MACHOGO FC WEWE
@user-xf3lv5xp1iАй бұрын
Kaduguda uko sahihi kabisa
@AlliyFaki-vv5ysАй бұрын
Hatutaki maneno tujenge Simba yeti
@mosesregnald7117Ай бұрын
Namkubali sana huyu Mzee
@abdallahmdiliko8088Ай бұрын
Mwamba upo sahii sanaaa
@abuyunusmohamed6961Ай бұрын
Mzee ana hoja nzito sana.Anafaa kutangazwa kuwa mtakatifu
@ronaldissack3338Ай бұрын
Safi sana Mzee kaduguda
@josephsabuni795Ай бұрын
Mzee kaduguda ulikia unapiga sana hela za MO sasa wamekutoa kwenye mfumo unaongea ujinga mitandaoni, kubali kukaa pembeni huwezi kua kiongozi wa Simba milele.
@user-bl1tx8fc9v29 күн бұрын
Kwani kaomba kuwa kiongozi? Acha umbumbuuuu. Mfano kasema wanachama wanasema wao wanataka furaha tu sa huo ni nn si ubumbumbu? Haya wanachama hawajui katiba wanakurupuka tu,,
@user-bn8xs8zd7iАй бұрын
Safi sana kaduguda waambie hao wanachama na mashabiki ni mbumbumbu na njaa😂😂😂
@HabasuFamilyАй бұрын
Akili zako na zake zinafanana maana nyote vigeugeu
@nurumigeyo4625Ай бұрын
Nimekuelewa vizuri mzee uko sahihi
@yusufukim8439Ай бұрын
Uko vizuri Mzee sasa tunauwekezaji lakini malengo sahihi bado hayafanyiki kabisa,
@namtingakassim5529Ай бұрын
Kwa mantiki hiyo wanachama wa simba ndio tatizo hawaijui katiba yao.ndio maana wamekuwa bendera hufuata upepo na ndio maana wamechagua mtu ambae hana sifa za uongozi wa mpira
@user-jn3nf7uw1wАй бұрын
Simba wa Yuda waambie sambusa na nlopokaji unwell Nguvu nyingi kupambana na watani badala ya kucheza boli uwanjani
@Esterkomba-ef7ebАй бұрын
Safi sana kaka
@ericraphael9653Ай бұрын
Uyo mzee anaongea kweli sana na mwuelewa sana
@salumjumaruhaga251328 күн бұрын
Mashabiki wwengi ni njaa mjaa pigia mstari hapo
@BakariBakari-sf4ldАй бұрын
Umesema sahihi sana Mzee wangu wanasimba kunachakujifunsa
@salumjumaruhaga251328 күн бұрын
Simba wa yyuda
@mtumeananiasjohachim8760Ай бұрын
Mimi siyo mbumbumbu mzeee, wanangu wanakula kupitia mimi, hao unaotuita mbumbumbu inawezekana tukawa tumekupita maisha palefu Sana na umbumbumbu wote.
@asasiame50029 күн бұрын
Shida hujaelewa kile ambacho anazungumza, wameelewa waliosoma cuba
@tonyelshabbaz29 күн бұрын
Hii inaonyesha jinsi gani ulivyo mbumbumbu
@salvatorydotto898729 күн бұрын
Hujamwelewa mzee, unaweza ukawa una elimu kubwa ila kweny mpira ukawa zero yaaan mbumbumbu hajasemea maisha
@salvatorydotto898729 күн бұрын
Kumhoji mtu mwenye Elimu kubwa kuna kazi sana,unafanya nn hicho mwandishi wa Habari 😮😮
@silvesterrichardhelenya131928 күн бұрын
Ulivyosema hati inamlikiwa na mpangaji ni sawa na ccm seriali inaiwajibisha ccm
Mwanafunzi mwenzangu Udsm ,mzee anapiga kitabu cha michezo hana mzaha na yuko full time tuko nae Mabibo hostel, anaishi Simba mda wote.
@raymondsekabigwa5907Ай бұрын
Hamkuwa na wachezaji wenye uwezo wa kuwavusha robo we mzee. Mlikuwa wa kuwavfikisha robo tu
@user-tb4gh1sm9kАй бұрын
KADUGUDA UKO SAHIHI PIA USIACHE KUSEMA SAID IS KUIOKOA SIMBA MO DEWIJI NI TATIZO SIMBA
@hajikalanje5439Ай бұрын
Hayo kaongee kwenye vikao, tatizo wewe mzee unapenda kusifiwa kwa kuiponda simba
@sebastiansalamba313Ай бұрын
We mtangazaji mjinga hujui maswali huna
@jicholafursa7058Ай бұрын
Acha wivu amejitahidi
@abiboseleman1649Ай бұрын
Huyu ndio kadugiguda wa mashabik Sema sisi nao Tunazingua kweli
@LowasaSanare29 күн бұрын
Huu ndio kiongozi Sasa anaona mbali sanaa lkn pumbupumbu hawatawez kuelewa huyu mwamba
@bbclondonulimwenguwasoka6126Ай бұрын
Kajula , Mangungu hawafai
@abiboseleman1649Ай бұрын
Sasa mlimpaje upngozi jamani nanyie sindio mpiga lira kadugida
@allymtunge5530Ай бұрын
Simba wa yuda
@bakarimakalo7128Ай бұрын
Kaduguda acha Kusumbua Wanasimba. Juhudi kila siku zinahitajika, kushindwa kufikia Lengo sio Hoja ya kulala. Wanachama na mashabiki hawana lawama. Hata Kaduguda ni Wanachama na pia ni Shabiki. Aache Upuuzu wake!
@saidmasoud9004Ай бұрын
Mwandishi hujui kuuliza maswali.
@kennedjohn5785Ай бұрын
Hiyo Simba aliyoitaja Mwina ilikuwa sio poa
@filbertntibasiga8093Ай бұрын
Tuachia yanga yetu sisi viongozi na timu wakizingua wote nje sisi ni taasisi kama hawalijui hili yanga tunataka ubingwa wa afrika na uwanja mengine watajua wao
@vaxminja9053Ай бұрын
Kaduguda anajua mpira sanaaaaa na anaongea mpira. Hivi huo ukubwa wa Simba Africa uko wapi? Hawajachukua kombe lolote la Africa.
@GodfreyJames-zt6igАй бұрын
Yeye mwenyewe alikuwemu humo ni mkundu tu huyo ana lolote Kuma huyo
@AliAli-uv5gwАй бұрын
"Mbumbumbu inaendelea"
@jumandangu9909Ай бұрын
Hizi Tim Za Simba na Yanga Mpaka Ziachiwe na Serekari Ndio Zitafanya Vizuri huo uwekezaji Unacheleweshwa na Serikari
@charlesmtitu5606Ай бұрын
Mzee anapita kila siku media anataka nin , hii timu ni ya public, anapita kila media anataka nin mi hata sielewi
@HabasuFamilyАй бұрын
C anapewa chochote kitu na gsm ili avuruge makusudi sbb kakoseshwa kula
@mwanangusanaАй бұрын
😂😂😂 kwani yeye sio sehem ya iyo public au wewe unaelewa Nini kuhusu iyo public ?? Au ni makosa kuwa na mtazamo tofautiii tofautiii?
@mwanangusanaАй бұрын
@@HabasuFamily... Kwa mitazamo ya namna hii yanga Bingwa 😂😂😂 ..... Hiv madunduka wakat miaka 4 ya ubuntuu ile ya moto 🔥 pale juu kagere chama miquissone bwalya , kotei , wawa , joash ... Okwi ndo hii ya akina jobe , Fred na sawadogo 🤣 😂🤣... Halaf Rudi yanga ya yikpe , Molinga , sibomana , kindoki ... Halaf Rudi sasa pale Paccome Zouzoua, Aziz ki , Diarra , Max halaf bado mnakuja na mawazo barafu kweli ?? Mwambie muamed arudishe watu wa mpira pale msimbazi punguzen janja janja ndugu zanguni bhana Enzi zile unamkuta Hans Pope Evance Aveva Geoffrey Nyange Kaburu Mwamba mkubwa magori Sued Mkwabi ...... Halafu kule yanga kipindi Wana manji Alikuepo Bin kleb Seif magari David mosha
@chemstry409Ай бұрын
RAGE ALIKUWA RIGHT KUWAITA WANACHAMA WETU MAMBUMBUMBU...KADUGUDA.
@sinemazakoreaАй бұрын
Mzee unazunguka zunguka lkn point yako ni mangungu sio mtu wa mpira, ukija kwa wanachama wameshaelewa mtu waliomkabidhi hawezi kuwafikisha popote ndio maana wanataka ajitoe..sasa we tuambie mwanachama anatumia kipimo gani kujua huyu mtu atafanya hiki au hiki zaidi ya ahadi za mgombea wanachama wapo sahihi waliishi kwenye ahadi za mangungu ila ahadi hazijaenda kama walivyotaka sasa wanachama unawalaumu kwa kipi
@MashakaMpuruti-di9dc26 күн бұрын
Huyo alikua kiongozi alifell zaidi mpaka ka fukuzwa akosa ubunifu amebaki kutamani nafasi yakazi hawezi pata
@SimonSamson-wp5ikАй бұрын
Mo anawaburuza 😂😂
@HabasuFamilyАй бұрын
Kuna wanaoburuzwa na gsm lkn cc kimyaaa walifanya uchaguzi mtu na ukuta lkn cc kimyaa
@danielelikana2615Ай бұрын
Hakika Kaduguda unaongea ukweli kabisa!! Wanachama wa Simba ndo Mapoyoyo kabisa!..mgombea anawaletea Manzoki na kulishwa pilau bila hata kufikiria, mnampa uongozi...upuuz kabisa!!
@ommarallyhamad7435Ай бұрын
Tatizo kubwa linaloikabili Simba ni udalali unaofanywa na baadhi ya wanaohusika na USAJILI Wakala wa mchezaji asipokubali komisheni (kutoa cha juu)basi mchezaji wake huyo hata awe Bora kiasi gani. HAWAMSAJILI Na endapo watakubaliana kwa ahadi ya uongo(asipowatekelezea)baada ya kusajiliwa, humfanyia sokomoko alimradi mchezaji huyo aweze kufukuzwa ADUI WA SIMBA NI SIMBA WENYEWE!!!
@sebastiansalamba313Ай бұрын
Shida ni tajiri,umsajiri vizuri,halafu unauza wachezaji fedha kibindoni tajiri hamna hapo
@jonathansirkintungi7434Ай бұрын
Kaduguda nilifikiri una akili kumbe huna. Wewe ulitakiwa kuwaelimisha wanachama kwa nini dewji ni mwenyekiti wa bodi. Kumbe na wewe hujui kuwa huyu ni mwenyekiti wa bodi kwasababu ana hisa nyingi kuliko mwanachama yeyote. Hiyo ni sheria ya makampuni pia ipo kwenye katiba. Sasa wewe unataka kupotosha watu kuwa wenye asilimia wengi kwa maana wanachama ndio wanatakiwa kuwa wenyeviti ni kosa. Soma sheria ya.makambuni kwenye hisa utajua ukweli.
@peterbayo467725 күн бұрын
Kaduguda "Amesema mashabiki njanja, blaablaa, elimu ndogo, wanashabikia vitu vya kuhunihuni!!! Wanachama mbumbumbu, halafu oyaoya!!!!" Huu ndo ukweli mchungu!!!!
@JumaLugendo-rk3rpАй бұрын
Timu ilipokuwa chini ya wanachama tunajua ilikuwa inafanyaje na mafanikio yake tunayajua tuliitwa wa Mchangani, lakini pia tangu Mo dewji aingie Simba tunajuaaa Simba ilipo mpaka kuogopwa barani Africa, Mzee kaduguda Mpira unataka pesa sio hayo maneno yako hivi kweli kama wewe sio Mbumbumbu pia unawezaje kusema Mwenye 49% asiwe na sauti wakati nyie wote mpaka mabakuli majungu mna 51% kwa Elimu ya hisa Mwenye 49%lazima awe na sauti tuu
@vumiliamgendi148Ай бұрын
Kweli baba tunaomba utusaidie kuling'oa lile lizee
@abdallahomaryabdallahАй бұрын
Kweli.kaduguda.mangungu.hana.uwezo.
@ElihurumamathewАй бұрын
Kwanza mzee anatakiwa atuombe rathi sisi wana yanga mbumbumbu niyeye na wanasimba wenzake sisi kila kitu kikowazi na sawa busara nikuisemea timu yake ndiyo yenye matatizo kwa sasa sisi tunazidi kwenda juu hivi ndani ya misimu 2 tumeshinda makombe yote ya nyumbani tumecheza fainali ya shirikisho na tumecheza robo fainali ya club bingwa naanajua tulitolewa kwa makosa ya waamuzi mzee angezungumzia kuhusu mengine sawa ila sisi atuache sisi niwakubwa kuliko wao mataji 30 yaligi kuu mpaka raisi wa Fifa anatujua nakatupongeza simba wa yuda tupishe angaikia madunduka fc😏😏😏
@righitkileoАй бұрын
Ila kusema.ukweli kama inqewezekana tunqepata mwekezaji mwinqine ila huyu Mo hamna.kitu. Yaan huyu jamaa simba haiwez toboa
@user-gr9wc7bc2mАй бұрын
Kilomoni mwingine huyu hapa
@fredrickipembe8188Ай бұрын
Huyu mzee siku hizi mimi simuelewi
@mwanangusanaАй бұрын
@@fredrickipembe8188😂😂😂 kama alivyokuwa hawaelewi mashabiki oya oya
@MohamediOmari-nz4vvАй бұрын
Anasema ukweli mashabiki awajielewi
@nadulabudodi1816Ай бұрын
Mzee mwenyewe amekaa jujuu TU kama kabanwa na mavi😂😂
@salumjumaruhaga251328 күн бұрын
Duuuu kwwelii ni mambumbu
@chemstry409Ай бұрын
Mashabiki MBUMBUMBU....😂😂😂
@abdulhamidnjovu6031Ай бұрын
Mtangazaji ana 'bore' sana...anaidharirisha taaluma kwa kutojipanga wala kuelewa mantiki ya hoja za anayemuhoji!
@michaelmaziku991Ай бұрын
Kwl mzee wanachama wengi ni mambumbumbu ndio maan tuliletew Manzoki kwenye uchaguzi halaf wakawachagua leo wanaanza kulialia
@user-it3im4di4qАй бұрын
pale simba tatizo ni moooooooooooo hawa wengine ni mbuzi wa kafara tuu
@davidfelician2903Ай бұрын
simba wamekosa watu wa mpira walifeli hata kusajili watu .nashauri body iondoe viongozi hao wote wasiokuwa watu wa mpira.
@IsraelMakwabuloАй бұрын
Huyo Kaduguda hana jipya, aliongoza Simba lakini haikufika popote, kila mara kulialia tu eti ana vaa suruali ya kitambaa. Sasa ulitaka jeans nani akununulie? Mpira ni pesa wewe kutembea na sarafu mfukoni huna hata noti moja wa Nini?? Mpira pesa baba wewe Lia tu , tafuta pesa urudi Simba. Unasimanga wenzio bila kusema wewe ulipats taji Gani??
@user-le3wy6ug7mАй бұрын
🙏🙏🙏
@emmanuelmasele9585Ай бұрын
Acha ujinga kwani nyie ndo wachumia tumbo.Mnapinga kuongozwa na wenzenu
@gordiansoko9113Ай бұрын
Huyu mzee njaa inamsumbua sasa anaweweseka anatembea kwenye vituo vya redio kuichafua Simba.
@mack_vita_onyango8409Ай бұрын
Anadhani kuingia nusu ninkazi nyepesi, nenda ulaya arsenal mpaka leo hana kombe la champions league
@ChalambaMrishoАй бұрын
Kwa nini zisiwe clabuni, zinawekwa Ostabee
@AllyMaya-yj3xdАй бұрын
Liverpool imekaa miaka mingapi hata kuchukua tu ligi
@Majambo_Duniani_TvАй бұрын
Mtangazaji mpe muda wa kujieleza unakua kama mangungu wa media
@HamisMghuna-fj3vzАй бұрын
MO Mangungo Tray again wote wapigaji
@nimlambangu2771Ай бұрын
Kawekeze katika kutuelimisha maarifa uliyonayo wape basi na wengine
@saidmasoud9004Ай бұрын
Mwandishi mjinga hujui kitu
@chemstry409Ай бұрын
KADUGUDA ANAONGEA KWELI TUPU....
@Mkazially23 күн бұрын
Basi tunaowaombea wawe hivyo hivyo wasifike polite daima dumu ligi hii itakua 10 on aggravate
@user-ne5ff1lj1oАй бұрын
Human jipya
@gaudinamosnchobe4909Ай бұрын
Sasa kwani Kaduguda si aliwai kuwa kiongozi pale Simba alifanya nini cha maana
@emlongetcha88Ай бұрын
UNALILIA KATIBA YA SIMBA BADALA YA KATIBA YA NCHI... NAWEWE NIMJINGA TU KAMA WAJINGA WENGINE
@babycandycharles7816Ай бұрын
Kweli mzee mashabiki wa Simba mbumbu wanafuraiya kitu chakijinga mo kaongea mtandaoni wao wanafuraiya mwiteni mo aje mkae kikaopamoja siokuongea mitandaoni mnajifanyamnajuwa hamjuilolote ndiomaana mnapingwa namtapigwa kilasiku Sasa mo kaludisha viongozi walewale mnafuraiya ligi ikianza hatumtaki furani hamuoni hapo mashabiki mnashida kazi mnakaa kwenyemidia mnatukana viongozi huu Sasa ndiowakati wakukutana na viongozi kwapamoja nakuongea ukweli
@BensonKelvin-tr7ulАй бұрын
Hii ndimu anayo isema 😂😂😂😂 bila D mbili utoboi 😊
@vicentjuliusmbalamwezi3687Ай бұрын
Mhuni tu anataka kutuvuruga tu naona ,Wakati wake alifanya nini ?Hatua hiyo tuliyopo amewahi fika,?Aache kutumika na wahuni wenzake
Wanasimba mtaendelea kuporomoka kila siku mkiendelea kukaza fuvu, na saiv mnafurah et mwakan mtabeba kombe kisa moo karud lkn mwakan baada ya msimu kuisha mtagombana hivhiv make hamjielew
@AllyShaban-ms7otАй бұрын
Mbna Kuna Tim kubwa zinaixhia robo acha njaa
@AllyShaban-ms7otАй бұрын
Una mpila wa making wakat wew Ni kiongoz uliipeleka WAP ximba
@jaffjeff6912Ай бұрын
MBUMBUMBU 😂 TENA OYAA OYAA😂😂
@saxannjo6173Ай бұрын
Mashabiki NJAA na kina MZARAMO,,,,KISUGU,,,😂😂
@lusajomwasumbwe2735Ай бұрын
Huyu mzee mwanzoni sikumuelewa ila kaongea point sana
@abdallahomaryabdallahАй бұрын
Mo.hana.tatizo.si.anatowa.hela.zake
@YOSHUAMWAMPETAАй бұрын
KADUGUDA UKO VIZURI NAKUFAHAMU
@shukurually8769Ай бұрын
Kiukweli hata mimi nasema tatizo la simba ni wanachama na mashabiki
@faustinombilinyi9809Ай бұрын
Kaduguda ww mwenyewe mwanachama kwa hiyo na ww ni mbuumbuu tuu si mwanachama