Mwenyekiti wa wanachama hebu malizeni hayo matatizo msajili wachezaji wenzetu wanatuacha sisi mashariki ambao hatuna kadi hata sisi tunaumia na kuchekwa chonde chonde
@philimonmtweve45223 ай бұрын
Mashabiki hatukutakiiiiiii
@bahatimellita66194 ай бұрын
Huyuuu mangungu anajiaminii nini Toka bwana tuachieee timu yetuuu😂😂😂
@johnsonbernald114 ай бұрын
Wewe unatimu?
@trustboy64194 ай бұрын
Mangungu aendelee lkn wakae na wajumbe waweke mambo sawa
@dicksonbenard17414 ай бұрын
Mangungu toka toka toka hatukutaki jaman duh!
@GodfreyJ.GMasunga4 ай бұрын
Basi mangungu ondoka tu kila mmoja hakutaki tu. Wanasimba hawakutaki.
We mzee ni mupumbazi sana we ndy mwanasiasi kama ukibaki kwenye timu ya simba inakufa we siyo mzee wa mpira , we ni mutapeli mzee we
@mashakaramadhani86653 ай бұрын
Huyo ni mtu fitina sana. Mangungu tuachie simba yetuu!!!
@gkaniel874 ай бұрын
Brother una kadi sawa HATUJAKATAA,wewe mwanasimba kindakindaki sawa HATUJAKATAA ila tunaomba UJIUZULU.... Kwasababu hatujihisi tupo salama ku-share dawati la mbinu na wewe wazungu wanasema "we don't feel safe with all our hands on the deck with you".....Ondoka tu brother ili tuuhisi huo usalama kaka....Tunakuomba sana😢
@ramadhanmasiku41053 ай бұрын
Mimi timu😅 Mangungu wewe je!?
@Nehe100Kilindu3 ай бұрын
Mzee wangu kwaeshima yako unge ondoka
@dicksonbenard17414 ай бұрын
Acha siasa zako toka bhna
@AsumwikeLwinga3 ай бұрын
Mangungu uko vizur ila wachezajii tuuu waidadi Yuko shilikisho
@luckygmdegela84773 ай бұрын
Mangungu ni tatizo
@husseinmillinga4 ай бұрын
Mangungu hatumtaki mangungu mwambieni
@johnsonbernald114 ай бұрын
Hata wewe unaweza kumwambia
@patrickkilongo32144 ай бұрын
We mzee achia timu ondoka mashabiki na wapenz wa simba hawakutaki. Ondoka , toka nenda kaendeleee na siasa kilwa , toka
@franccoz944 ай бұрын
WE MZEE SIMBA NI TEAM KUBWAA, INAONEKANAA UNASHINDWAA KUIONGOZA MISMU MITATU UMEFELI NI VIGUMU SISI KUKUELEWA TUNAOMBA UTUACHIE TEAM YETUU
@MichaelMayemba-pc5cp4 ай бұрын
Yah tatizo ni kufeli kwa uongozi kwenye usajili na kupata timu ya ushindani na kupata vyanzo vya uhakika vya fedha inapotokea mwekezaji kakausha kutoa fedha .simba inahitaji kurudisha heshima kwa miaka mitatu kutengeneza timu shindani ndani na nje kumefeli
@sakinasakina12863 ай бұрын
hatukutaki wew nenda zako wew
@hamisipande72533 ай бұрын
Umeulizwa swali badala ya kujibu wew unaleta ungesa fakin sana we mzeee
@MusaMkembela-ex6ev4 ай бұрын
We mangungu huna unalolifanya hapo simba umekaa tu kama bumunda tu
@cleophacemasole4 ай бұрын
Mimi binafsi sioni sababu za kumwondoa Mangungo
@RafaelKaswahili3 ай бұрын
Kinachomnyonga Mangungu ni ujanja janja wake alioufanya kwenye uchaguzi alileta siasa kipindi hicho Manzoki alitakiwa asajiliwe simba ikashindikana akaenda china Cku ya uchaguzi akamlipia ndege toka china ili ambust kwenye kampeni na tokea hio siku akapoteza waaminifu kwa watu japo hajajua kama alijichombia kaburi mwenyewe
@ibrahimabdullah18873 ай бұрын
Jee mo apouza wachezaji kina miqson wakati alikuja hazarani kusema hashida ma pesa ya kuwauza wachezaji yeye shida yake kuleta ubingwa wa cuf haya mwezi tu katupiwa hela kauzaa bila wachezaji kutaka ni nani tapeli mimi simba ila hapo magungu hawezi kuitoa timu kwa hao wapigaji na kujificha juu ya mgongo wake kama huna taluma mimi nisomea usalama na nigundua hilo nasimama na magungu simba ni yawanachama hawezi kuziwa mtu akeze tu na sheria ni wakezaji watatu haya nambie kuhusu uzamini kwann mo hataki company za njee zizamini@@RafaelKaswahili
@KhamisKitwana-xi8sr3 ай бұрын
Kama watu hawana Imani na were si utoke
@righitkileo4 ай бұрын
Kwan ukijiuzulu itakuqalimu nn?? Si ni kotendo cha kiunqwana tu kama watu wamepoteza Iman haina haja .unaheshi maamuz ya wenqi.
@Ramadhanjumanne-vl4sv4 ай бұрын
Ndoka tu mzee hatukutak achia engo hufai
@YOSHUAMWAMPETA3 ай бұрын
HAPO ULIPO UONGOZI WA SIMBA SIO KUTUMIA SHERIA BALI HEKIMA NA KUACHIA MADARAKA kwa manufaa ya TIMU.IKIWA Uongozi ni kwa Maslahi ya timu kiongozi ubaki kufanya nini ikiwa HUNA MASLAHI BINAFSI?
@ignasamando95934 ай бұрын
Hatuna mtu anashidwa kuwa na KADI ya Simba we na kipara chako umeshindwa kuweka mifumo mzuriii ili wetu wachukue hizo KADI na kuwa wanachama rasmi.Ww hapo Simba hutoshi mzeee Simba Kubwa kuliko ww. Kama kweliii ww ni mwamba itisha mkutano wa dharura ili tujadili kwa nn viongozi wa boards upande wa wadhamini wanajiudhuru.
@simbavideoshots4 ай бұрын
Yani huyu kweli mwanasiasa anachoongea hata hakieleweki yeye na wajumbe wake wenyewe wanapingana 😅 haya basi kwa ufupi angetuambia nn kimefanya simba isiwe na kikosi kizuri chenye ushindani? Simple kabisa bila kuzunguka zunguka atupe sababu za simba kutokua na kikosi cha ushindani alafu humo kwenye hizo sababu atushawishi kuwambwa yeye hakuhusika kwenye sababu hata moja ili tuone kwamba hajashindwa kazi na hana sababu ya kujiuzulu
@HamisiMichael4 ай бұрын
Yani wewe mangungu upo katika maojiano unaonekana una SEMA uongo alafu sura yako inaonekana tapeli ondoka tuu Simba
@johnsonbernald114 ай бұрын
Uongo wake upo wapi hapo?
@SurprisedFullMoon-gg9vu4 ай бұрын
Alafu tumpe bibi yako awe mwnyekitii
@simbavideoshots4 ай бұрын
@@johnsonbernald11shida sio uongo shida haongei vitu anavyotakiwa kuongea.. kiufupi tu angetuambia zipi sababu zilizopelekea simba Okakosa kikosi chenye ushindani kwa kipindi alichokuepo halafu kwenye hizo sababu atushawishi kwamba yeye hakuuhisika kwenye sababu hata moja! ana zunguka zunguka tu anapingana mpk na wajumbe wake anaowaongoza wajumbe wake wanamsema mo vingine ye anasema vingine sasa hizo sio tabia za uongo uongo na unafki?
@FelixKiswaga-k2z3 ай бұрын
Huyo Mzee ni mwanasiasa t
@PaskoSambo-pz7oy4 ай бұрын
Atoke uyo mwongo mwongo Yani ulivo sema wanachama wengi wanamwamini mo kuliko uyo mangungu atumtaki mangungu ajiuzuli tu
Wewe Mangungu sio mtu wa mpira ww unatuletea siasa kwenye soka na ujanjaunja mwingi unaenda kutuletea manzoki na bado hukuona aibu ukaenda kutuletea na Mayele siasa na mpira havindi pamoja, kwa masilahi mapana ya simba maana simba sio yako kaa pembeni hatukutaki yan ungekua na mapenzi mema na simba kwanza ungekua umesha achia ngazi ila ww ......??
@YahyaKhalfana4 ай бұрын
Ata ikimaliza taar ubingwa 😅😅
@HassaniJuma-wq3qb3 ай бұрын
We mzee siku tutakuja kukupiga wewe ondoka jamani ondokaaaaaaaaaaaaa
@MohdAli-fl2ef4 ай бұрын
Dah yan huyu mzee Kama ankuwa serious na simba ni mtu katili San Kwenye misimamao ila hatujui ana usiri gani yani yupo kihitlahitla Sio poa
@Rafaeltuli-gw8ii4 ай бұрын
hatukutaki toka
@EmmanuelRussota4 ай бұрын
Unapenda vyeo si ubanduke? Moyo wako unajua kwenye umma unaweza kudanganya toka kwenye uongozi
@MarryCharles-rc6ei4 ай бұрын
Unatafuta huruma ya watu ili iweje, ita mutant tukuhukum wenye simba yetu
@abdisalim79003 ай бұрын
Kwa kifupi ww umefeli kuiongoza Simba,haiwezekani tokea uanze kuiongoza Simba imekuwa ikiboronga tu,nyi yi mnaendekea kulipana posho za jasho la wanasimba,ivi mnachong,ng,nia hapo ni nn?Acheni ulimbukeni wa ki uongozi,.km ni riziki ni popote na sio Simba tu ,jifunzeni kuwa na aibu msilazimishe bakora kuwafuata
@StanleyMhagama-k4v3 ай бұрын
Mangungu tukimwona huku kwetu chamoto atakiona
@Ramadhanjumanne-vl4sv4 ай бұрын
Acha siasa achi engo mzeee hutufai
@JumaAlly-fb3xq3 ай бұрын
Wee mzee nae hilo jina lako linachangia tukuchukie wewe nenda mzee hatukutak
@saidbakari24084 ай бұрын
Wanasimba tunasema kikubwa ni wewe kutoka tokaaaaaaaaaaA
@johnsonbernald114 ай бұрын
Usitujumlishe, sema wewe ndo unataka sio sisi wote
@saidbakari24084 ай бұрын
@@johnsonbernald11 nawe pia tokaaaaaaaaaaaa wanasimba tumesema atokeeeeeeeeeeeeeee ingia mitandao yote na matawi yote wanachama hatumtakiiiiiiiiiiiiiii Toka nae kama unaumia tokeniiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Alf hk kizee kinajeur sanaa na kiburi bt dawa yke ipo jikoni
@johnsonbernald114 ай бұрын
Dawa gani hiyo au unajichekesha wewe mwenyewe?
@alitante42794 ай бұрын
@@johnsonbernald11 ya kujiuzuluu kwa lazma
@RashidiFuko4 ай бұрын
Wewe tunakwambia wazi hufai unapoteza muda tu unalazimisha ila hatukutaki
@chancelorharubu27313 ай бұрын
Kama sio msaliti mbona huambatani na team inapokwenda kwenye mechi zake,au wewe ni mwwnyekiti w mpira wa kikpu
@Nehe100Kilindu3 ай бұрын
Mzee sasa uta muongoza Nani nahatukutaki
@NoelVitalis-xe6hb4 ай бұрын
Mangungu we sepa tu maana anaekwamisha maendeleo simba ndo wewe
@emmanuelmayunga15184 ай бұрын
We mzee na uwalaza lako,yan makelele yote haya na bado umèkomalia madaraka SI UTOKE KWANI TIMU NI YAKO AU YA FAMILIAR YAKO OVYO KABISA
@PhilipoNjalika3 ай бұрын
Unang'ang'ania Nini achia ngazi hatukutaki
@frankmwinuka62983 ай бұрын
Haka kazee cjui kanataka nini
@frankraphael75464 ай бұрын
Wewe mangungu jifanye msani tu kichachako kitapona ondoka araka atukutak
@DashAhmad-mp7ne4 ай бұрын
Toka bhana wwe unazingua
@MusaMkembela-ex6ev4 ай бұрын
Nyie mwaka huu mme sajili nan? Ambae yupo bora
@alitante42794 ай бұрын
Mchawi ni usajil tu na mashirikiano mazr uwandaji wa mechi bc hyo mengn ata hatujl sana kulen pesa mtakavyo bt sisi tunatk furah tu ushindi
@kakururubambula72704 ай бұрын
mangungu Baki mpaka muda wako uishe! Wanachama walipitisha katiba mbovu inayokufunga mikono anayetakiwa kuwajibika ni bwana mo bahati mbaya wenye njaa ndo wapo upande wa mo! Huwezi kusikia wanasema kuhusu mapungufu ya mo kupiga b20! Hawa m pesa zao zimetumia pesa kuchafua hali ya hewa ili mangungu utokee kwa sababu umegoma kupitisha msaada wa mo kuwa mtaji!
@edgarmbegu19744 ай бұрын
We jamaa mpumbavu kweli. Mbona utopolo mnamkumbatia GSM?
@HillaryMasheyo3 ай бұрын
Ondoka wewe mzee timu siyo ya baba yako
@brunomchalla44394 ай бұрын
Mangungu wewe uliye na mamlaka ya kuitisha mkutano unangoja nini wakati huu wa kuiokoa Simba? Heri huyo anayethubutu kuiokoa club. Wewe hujali kuzima migogoro , umebakia tu kung’ang’ania taratibu zifuatwe. Hujuma hiyo Mzee.
@iddkabange15734 ай бұрын
Hakuna Mfumo huo Simba. Maamuzi yote yanafanya na Mkutano Wa Bodi ya Wajumbe. So Mangungu hawezi Kufanya Maamuzi yoyote Hadi MO ateue Wajumbe wake 7Ndio waitishe Mkutano na ndio Management itatangaza Mkutano kupitia Kwa Mtendaji Mkuu
@franccoz944 ай бұрын
SHIDA YA MANGUNGU N MWANA SIASA, HUWEZI KULETA SIASA KWENYE MPIRA
@brunomchalla44394 ай бұрын
Hata hiyo siasa haijui, angeweza kuwaunganisha wana Simba badala ya kuleta mpasuko
@MnubiMm4 ай бұрын
Kweli Kabisa Mangungu lakini wewe hutakiwi Simba na kinachokuponza huna Hela na mo haguswi kwa sbb ni Tajiri lakini Makosa yapo kwa Mo timu inaboronga anaangalia tu sio kwa Bahati Mbaya ni makusudi ili wewe akuangushie jumbo Bovu utolewe kafara na ndicho kilichotokea na kinachoendelea wewe hutakiwi na Boss na hao waliojiuzuru upande wa Boss anaowataka atawarudisha tu kujiuzuru kwa Jaribu Tena ni kiinimacho tu ili wewe ujiresi wao warudi kwa kivuli tumeludiswa na Boss
@mtangag7744 ай бұрын
Kumbe
@Brunotarimo104 ай бұрын
Mohamed Mo tuna matumaini Na wewe
@bensonmwakipexle89604 ай бұрын
Unajielewa wewe
@Ramadhanjumanne-vl4sv4 ай бұрын
Ndoka tu mzee hatukutak achia engo hufai
@MageleFidelis4 ай бұрын
Mwenyekiti wa wanachama hebu malizeni hayo matatizo msajili wachezaji wenzetu wanatuacha sisi mashariki ambao hatuna kadi hata sisi tunaumia na kuchekwa chonde chonde
@MageleFidelis4 ай бұрын
Mwenyekiti wa wanachama hebu malizeni hayo matatizo msajili wachezaji wenzetu wanatuacha sisi mashariki ambao hatuna kadi hata sisi tunaumia na kuchekwa chonde chonde
@MageleFidelis4 ай бұрын
Mwenyekiti wa wanachama hebu malizeni hayo matatizo msajili wachezaji wenzetu wanatuacha sisi mashariki ambao hatuna kadi hata sisi tunaumia na kuchekwa chonde chonde