Ninani mwengine ambaye hachoki kusikiliza wimbo huu hebu nipeni like tujuwane 🤗
@gidionkasenene49922 жыл бұрын
Akika mungu nimwaminifu akiahaidi anatimiza. Asante mungu kwakujibu maombi yangu💪🤲🙏🙏
@josephatnkoleki4911 Жыл бұрын
Nyimbo safi mungu awaleteya nguvu na nyimbo safi ni mimi josephine na toka Texas amen amen mutumishi
@Rebeccarubaza Жыл бұрын
Nyimbo ya mafundisho mubarikiwe na Mungu
@jonathanouma4836 Жыл бұрын
Kanisa la pandeza kweli kweli,,,mavazi yaleta utakatifu
@tujuaneasani16852 жыл бұрын
Amena amena kwa wimbo nzuri sifa kwa Bwana
@AishaZainabu9 ай бұрын
Amena amena kwanyimbo nzuri
@geoffreykilawe39532 жыл бұрын
Wimbo ni mzuri mno, mavazi ni ya viwango, hakuna wigi wala maeleni.Nimebarikiwa sana. Mungu awabariki na kuwainua zaidi watu wa Mungu.
@mbuerecarlos139610 ай бұрын
Kweri Kaanan Choir Karagwe nyimbo zenu ninzuri sana za kumsifu Mungu na Mwonekano wenu ni mzuri sana yaani Uvaaji wenu ni the Best ever si Kama mavazi ya kwenda kwenye OPEREL au Send off au wedding. ATA Malaika wametazama na kufurahi .Karagwe Hoyee?? Mpo!
@RobertTvTanzania10 ай бұрын
Amina Nyimbo Zote Za Kaanan Kwaya Zinapatikana Katika Channel Yetu Ya KZbin Ya Kaanan Kwaya Tanzania Au Unaweza Kubonyeza Link Ifuatayo : www.youtube.com/@kaanankwayatz
@beatricendikumana87762 жыл бұрын
Yani mungu awabariki mavazi yenu yenyewe ananibariki barikiweni kweli
@janethmwihumbo12892 жыл бұрын
Mungu awabariki mmevaa kibiblia kabisa ,ni waimbaji wakanisa gani???
@hashajuma1643 Жыл бұрын
Asante sana tena sana mungu awabariki amen
@lucywilson58752 жыл бұрын
Shalom Shalom Kaka na Dada zangu wa Kaanan
@kelviatv Жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana
@tulizorukundo94582 жыл бұрын
Amen🙏🙏Munguawabariki
@rosenyabuti83812 жыл бұрын
YESU Ainuliwe kwa yote Amina
@hancymtembo18702 жыл бұрын
Nyimbo ni nzuri sana, tumebarikiwa.
@mibarakakanyamafa6099 Жыл бұрын
Mbarikiwe sana wateule
@kagekagemulo73482 жыл бұрын
Barikiwa Sana wanakwaya Hakika neno lake Mungu Lina nguvu Sana ukiliamin unaweza kuponywa moyo na mwili🙏🙏👏👏👏
@vumiliaasani17692 жыл бұрын
Mbarikiwe sana wapendwa katika Bwana, maana wimbo huuu umenipa shauku sana ya kuomba na siyo mimi tu Nahamini kupitiya wimbo huuu wengi watahokoka. Amen
@ESTA19952 жыл бұрын
Hallelujah hallelujah!! Mungu awabariki sana Watumishi wa Mungu!! This song is powerful, Along with the dress-code, Amina.(MAOMBI)❤️
@doricemrema21772 жыл бұрын
Kaanan moto, mbarikiwe saana kwaya safii kwaya imependeza ujumbe mzuri saana HAKIKA mambo ya mwenye haki yafaa saana , jamani tuombe Kwa bidii wapendwa.
@irenemuia27182 жыл бұрын
❤❤❤ halleluja shalom shalom choir safiiii 🔥🔥🔥🔥
@rithaseboa34162 жыл бұрын
Nice song with great message
@juliennenahimana9691 Жыл бұрын
Ameen
@joanjuma26402 жыл бұрын
Hallelujah
@johnsonclementmsulwa52152 жыл бұрын
Wimbledon unu ni mtana kwakwei😘🤭🤭
@ozillonu51372 жыл бұрын
❤❤❤👏👏
@cheropsharon20512 жыл бұрын
🇰🇪👏🏽👏🏽 Yes, if Lord says yes no one can say no Halleluya