Maombi hayo Yalifanyika mnamo mwaka 2012 pale Dodoma katika Kongamano la Maombi Kitaifa lililofanyika Ukumbi wa Chimwaga, lengo likiwa ni kuliombea Taifa la Tanzania, Viongozi na Mifumo Yake.
Пікірлер: 13
@tumainimwalyoga3 ай бұрын
Kumtegemea Yesu ni raha sana
@evelyneabdul27853 ай бұрын
Kweli Mawazo ya Mungu ni mema juu Yetu
@falijiubamba41553 ай бұрын
Mungu ana watu wake Ubarikiwe Mwalimu, Mungu aendelee kukutunza
@user-em2nt5xg3j3 ай бұрын
amen
@rebeccabayo29883 ай бұрын
Mungu ampe maisha marefu
@RubenMtuwaMungu-bz8ee3 ай бұрын
Huwa najiuliza kwanini jumuiya ya wakristo Tanzania isitenge wiki maalum kila mwaka ya kuombea taifa?
@malaikahansen3 ай бұрын
Naongeza bunge, bandari, malia asili na ardhi yote ya Tanzania 🇹🇿
@julieteshehiza40973 ай бұрын
Amen
@mrwandamrwanda37513 ай бұрын
❤❤🎉
@endtimes98503 ай бұрын
NYWELE BANDIAA NYWELE BANDIAAA NYWELE BANDIAAA AHHHH NASIKIA KUCHEFUKA NA HIZO TAKATAKA ZA YEZEBELI, KWANI NI LAZIMA KUYAVAA ALIYESEMA MNAPENDEZA MKIVAA HUO UCHAFU NI NANI???? 2 Wafalme 9:30 Hata Yehu alipofika Yezreeli, Yezebeli akapata habari; akatia uwanja machoni mwake, akapamba kichwa chake, akachungulia dirishani.
@user-lj7oq5hp4f2 ай бұрын
Hayo ndiyoo yaliyokuingia
@issakwisamwasanjobe5413 ай бұрын
Tuombee na akili za viongozi wetu na watunga sera wengine waondokane na mawazo tegemezi ya kuwategemea wenye mitaji WA tuendeshee uchumi WA nchi badala ya mitaji ya nchi na wtz tutengenaze state capitalism