Рет қаралды 117,062
MARIANA TRENCH: SEHEMU YA BAHARI YENYE KINA KIREFU ZAIDI, INATISHA, WATU 3 TU NDIO WAMEWAHI KUFIKA!
Waswahili wanakwambia tembea uone! Yapo baadhi ya mambo ukiyasikia, unaweza kudhani ni simulizi za kusadikika au hadithi za Esopo lakini ni kweli yapo, tena katika dunia hii tunayoishi mimi na wewe.
Bila shaka umesikia sana kuhusu mlima mrefu zaidi duniani, Mlima Everest uliopo katika mpaka kati ya Nepal na China ambao urefu wake ni mita 8,849 kwenda juu. Bila shaka pia umesikia habari nyingi kuhusu Mlima Kilimanjaro uliopo Moshi kwa ndugu zetu Wachaga, ambao ndiyo mrefu zaidi barani Afrika, ukiwa na urefu wa mita 5,895.
Hiyo ni baadhi tu ya milima mirefu iliyopo juu ya uso wa ardhi! Ukiachana na milima, pia yapo mabonde yenye kina kirefu kwenda chini kwenye uso wa dunia, mfano mwepesi ukiwa ni Bonde la Ufa ambalo limepita katika maeneo mbalimbali ya nchi ya Tanzania.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline