MARIANA TRENCH: SEHEMU YA BAHARI YENYE KINA KIREFU ZAIDI, INATISHA, WATU 3 TU NDIO WAMEWAHI KUFIKA!

  Рет қаралды 117,062

Global TV  Online

Global TV Online

2 жыл бұрын

MARIANA TRENCH: SEHEMU YA BAHARI YENYE KINA KIREFU ZAIDI, INATISHA, WATU 3 TU NDIO WAMEWAHI KUFIKA!
Waswahili wanakwambia tembea uone! Yapo baadhi ya mambo ukiyasikia, unaweza kudhani ni simulizi za kusadikika au hadithi za Esopo lakini ni kweli yapo, tena katika dunia hii tunayoishi mimi na wewe.
Bila shaka umesikia sana kuhusu mlima mrefu zaidi duniani, Mlima Everest uliopo katika mpaka kati ya Nepal na China ambao urefu wake ni mita 8,849 kwenda juu. Bila shaka pia umesikia habari nyingi kuhusu Mlima Kilimanjaro uliopo Moshi kwa ndugu zetu Wachaga, ambao ndiyo mrefu zaidi barani Afrika, ukiwa na urefu wa mita 5,895.
Hiyo ni baadhi tu ya milima mirefu iliyopo juu ya uso wa ardhi! Ukiachana na milima, pia yapo mabonde yenye kina kirefu kwenda chini kwenye uso wa dunia, mfano mwepesi ukiwa ni Bonde la Ufa ambalo limepita katika maeneo mbalimbali ya nchi ya Tanzania.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 89
@boniphacewambura1427
@boniphacewambura1427 2 жыл бұрын
Inatosha kweli Lakini bwana weeeeh sauti Kali na imetulia sana salute to u brother
@carlixtz4594
@carlixtz4594 2 жыл бұрын
Bwanaweeh😅
@mkarawizemtasher4897
@mkarawizemtasher4897 2 жыл бұрын
Yaani Ni hivi sio rahisi kutaka kujua kila alichokiumba mungu ukijue vingine vimewekewa mipaka ili M/mungu abaki kuendelea na ukubwa wake, hv hujiulize hiyo sehemu Mariana trench inamgandamizo mkali wa hewa kiasi, kwamba akipelekwa binaadamu lazima apasuke na kuchanikachanika na hao samaki wanaoishi au viumbe vinavyoishi huko kwanini haviwi katika Hali hiyo, M/mungu mkubwa mwana sayansi mwenye elimu zote, nyingi, zaidi, zozote na nk
@iddyjory7046
@iddyjory7046 2 жыл бұрын
Well said,,MUNGU KIBOKO KABISA
@fumotv7914
@fumotv7914 2 жыл бұрын
Si wamesema samaki na kiungo maaulum cha kuwawezesha kuishi huko bila shida? Si kila kitu kibaya wakifanyia uchunguzi, hadi leo tusingekua na teknolojia kama wangekuwa na akili mgando
@ahmadsalim4417
@ahmadsalim4417 2 жыл бұрын
Sahihi kabsa umezungumza vyema sio kilakitu ukijue vngne Mungu pekee ndo mjuzi
@mkarawizemtasher4897
@mkarawizemtasher4897 2 жыл бұрын
@@fumotv7914 Ni sawa kaka, lkn si umesikia kwamba binaadamu/wanasayansi wanampango wa kwenda kuishi katika sayari ya Mars?! Sehemu ambayo haina hewa yoyote ile itakayomfaa kiumbe aliehai yeyote, Yaani waiyache dunia sayari yenye kupendeza kwa mchanganyiko wa hewa mbalimbali na mimea yenye kuvutia(namaanisha hakuna gharama yoyote hapa duniani ile katika swala upumuaji ni wewe tu na pua yako) wao wakaishi huko je unafikiri hilo Ni jambo rahisi watatumia gharama ya kiasi gani ili kupata oxygen waweze kusavaivu kuishi huko kwa mda wao wataotulia huko?!!, Mimi binafsi yangu ninasema hawawezi hata nukta moja.
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 2 жыл бұрын
Makala hii inavutia sana pongezi kwenu; mwandaaji & msimulizi.
@abuumarashi6769
@abuumarashi6769 2 жыл бұрын
ALLAHU AKBARU
@frankvianey2438
@frankvianey2438 2 ай бұрын
Hii inazid kuthibitisha Ukubwa wa Mwenyezi Mungu
@ezirayudayuda8627
@ezirayudayuda8627 2 жыл бұрын
Lakini Bwana weee unasimulia vizuri sana
@carlixtz4594
@carlixtz4594 2 жыл бұрын
😅 bwanaweeh
@ibrahimmjumbe9934
@ibrahimmjumbe9934 Жыл бұрын
Mungu ni MKUU SANA 🤲🤲
@gadiyemarciano1750
@gadiyemarciano1750 2 жыл бұрын
Wangap wamevutiwa na neno bwanawee!!!!
@simenokiunga7169
@simenokiunga7169 2 жыл бұрын
😅😅😅 yuko vyema bwana weeh
@aishatarimotarimo2689
@aishatarimotarimo2689 2 жыл бұрын
Mm nampenda mpaka basi saut yake inanimaliza wallah
@dunstunnchimbi7994
@dunstunnchimbi7994 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 hiyo ndo huwa inanifanya nitafte video zake bwana weee
@petromgaya6925
@petromgaya6925 Жыл бұрын
❤️
@joshuachengo9618
@joshuachengo9618 25 күн бұрын
Mm apq
@maraclara1882
@maraclara1882 2 жыл бұрын
Wow so good, so nice ❣️❣️😘😘
@swabiaa1489
@swabiaa1489 Ай бұрын
Woi wa2 wanahangaika kufukunyua ukubwa wa mungu mengine tumuachie mwenyew🙌
@Pascal1122
@Pascal1122 2 жыл бұрын
Duuuuh naipenda simulizi hili nikuwa Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@IsmailElmazroui
@IsmailElmazroui Ай бұрын
Allah Akbar
@johnkasambula345
@johnkasambula345 2 жыл бұрын
Nakukubali sana brother
@micamathew2595
@micamathew2595 2 жыл бұрын
Hii sehemu ni geto ya shetani sasa cjui ww mwanadamu unaenda kutafuta nini huko, utakuja kukutana na mtu mwenye masikio marefu kuliko kichwa na meno nafuu ya tembo, sasa cjui utaharisha au utadedi!!! Shauri yako!!!
@encernstudios3745
@encernstudios3745 Жыл бұрын
Gheto ya shetani😂😂😂
@rehemafungo7387
@rehemafungo7387 Жыл бұрын
😂
@rehemafungo7387
@rehemafungo7387 Жыл бұрын
😂
@micamathew2595
@micamathew2595 Жыл бұрын
@@rehemafungo7387 hahahahaaa
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee 2 ай бұрын
Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaha. Eti "Ghetto la shetani" nimecheka😂😂😂😂😂
@peninacharles9757
@peninacharles9757 2 жыл бұрын
Eeeeh Bwana weeeeh
@MartinSimba-dg5qc
@MartinSimba-dg5qc 2 ай бұрын
Wacheni mungu aetwe mungu
@MartinSimba-dg5qc
@MartinSimba-dg5qc 2 ай бұрын
Aya ni maajabu ya mungu
@ibrahimsaidi5068
@ibrahimsaidi5068 Жыл бұрын
Mungu fundi
@juliusnthenge9326
@juliusnthenge9326 2 жыл бұрын
I love to learn whatever I didn't know
@user-db7kj4qd3k
@user-db7kj4qd3k Ай бұрын
Hii ni Sanaa mpya katika ulingo wa utangazaji
@carolyneogall8967
@carolyneogall8967 2 жыл бұрын
Waa nihatali
@JacquesNamusimba-vz2ps
@JacquesNamusimba-vz2ps Ай бұрын
Ok
@meryclauz9147
@meryclauz9147 Жыл бұрын
Am hear today wat a good story 👏👏
@user-co4mu1rh4x
@user-co4mu1rh4x 10 ай бұрын
GOD is great
@sifaomary1490
@sifaomary1490 2 жыл бұрын
Kazi nzuri mchungaji
@alexmachare6495
@alexmachare6495 Ай бұрын
Bwanawee is typing.
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 Жыл бұрын
Asante studios
@gladnessshola2718
@gladnessshola2718 2 жыл бұрын
Waooo makala nzuri sana inavutia
@fadhilidaudi6260
@fadhilidaudi6260 2 жыл бұрын
Allah mkubwa
@henrylugendo280
@henrylugendo280 Жыл бұрын
Good story
@nelsonmwaipaja3727
@nelsonmwaipaja3727 Жыл бұрын
Mungu yeye Ni mwanzo Na ndo mwisho Jina Lake litukuzwe.
@masudymanju6062
@masudymanju6062 Жыл бұрын
Taqbill Allah akbal
@makiniproduction6975
@makiniproduction6975 2 жыл бұрын
Bwanaweee
@carlixtz4594
@carlixtz4594 2 жыл бұрын
😅dah napenda kwl anavyoisema
@sebastianherman607
@sebastianherman607 2 жыл бұрын
Hataaari
@hasanikabelwa
@hasanikabelwa 23 күн бұрын
Bwanawee!
@dumelatembo6802
@dumelatembo6802 2 жыл бұрын
TULETEE PHILADEPHIA XPERMENT
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 2 жыл бұрын
Jamaa unajua kunogesha kipindi
@masudymanju6062
@masudymanju6062 Жыл бұрын
Allah akbal
@yohanadioniz
@yohanadioniz 2 жыл бұрын
Stori nzuri, mpangilio mzuri, ila Voice Over Artist anasikika kabisa anajikamua anataka afanane na watu fulani, Ana sauti nzuri awe yeye asitake afanane na Jamal, wala mtu mwingine...Pia matumizi ya Mic Ni nchi moja umbali kati ya mdomo na mic ili kuepusha pop up sound and blasting...Kadri unavyokua karb na mic ndo unavyoharibu usikivu na ubora wa sauti...All in All Kazi njema
@goodlucktemu3149
@goodlucktemu3149 2 жыл бұрын
Atimaye tumempata mpizani wa Professor Jamal. Lete nondo kama izi ili tujifunze ambayo atujafunzwa shule
@PeterMagoye
@PeterMagoye 2 ай бұрын
Aisee ngoja nianza kutubu kama simulizi ndio inatisha hv je ukifika huko na kuanza kuchomwa itakuaje waaaaiiiii
@abdulkhalk4989
@abdulkhalk4989 2 жыл бұрын
Mungu mkubwa
@logaloga5077
@logaloga5077 Жыл бұрын
Allah fundi mno
@Bosezizunae
@Bosezizunae 8 күн бұрын
Mungu ni mkubwa
@bensonbenezeth
@bensonbenezeth 2 жыл бұрын
Mmenikumbusha mbali mesopelagic zone
@jeniphambuligwe-if1ys
@jeniphambuligwe-if1ys Ай бұрын
🎉🎉
@aishatarimotarimo2689
@aishatarimotarimo2689 2 жыл бұрын
Jaman nili imiss hii saut jaman
@ewhite2806
@ewhite2806 Жыл бұрын
Ila kwenye BBC news jamaa kama kina kirefu Zaid Cha bahari na hata hakutishi kama unavyoelezea.
@frankdanford8245
@frankdanford8245 2 жыл бұрын
Sawa bwana wee endelea kutupa elimu bwana wee.
@frankkashamakula838
@frankkashamakula838 2 жыл бұрын
Hakuna geto la shetani wala nni Tusome Geography kwa sana
@ibrahimsaidi5068
@ibrahimsaidi5068 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@murattywamuratty9778
@murattywamuratty9778 2 жыл бұрын
Baharini sehem kama izoo wanakaa majini bahar
@bornfaceisaalivisonisaa7495
@bornfaceisaalivisonisaa7495 2 жыл бұрын
Huko sio sehem yamasiara kabsa
@shabaniramadhani714
@shabaniramadhani714 2 жыл бұрын
Kwel dunia ana maajabu
@dtechinsights
@dtechinsights 2 ай бұрын
Kama kuna kelele labda ni dampo la makelele ya dunia kama umbeya nk
@sadickmwangamba8136
@sadickmwangamba8136 2 жыл бұрын
Yoooshi.
@mgasa_tz5527
@mgasa_tz5527 2 жыл бұрын
Makazi ya shetani hayo 😆😆🤣
@meddytoto93
@meddytoto93 2 жыл бұрын
Sasa Bwanaweeee😂😂😂
@gandeone1585
@gandeone1585 23 күн бұрын
8848 au 8849?
@ZachariahPesambili
@ZachariahPesambili Ай бұрын
Hahah😂😂😂😂 mashetani yapo
@hamisinalinga6104
@hamisinalinga6104 Жыл бұрын
Bwanaweee😅
@edgarnandonde48
@edgarnandonde48 2 жыл бұрын
bwanaweee kumbe🤔🤔🤔
@MartinSimba-dg5qc
@MartinSimba-dg5qc 2 ай бұрын
Ina pendeza sana kwani tuna soma kitu
@blezywatino1043
@blezywatino1043 2 ай бұрын
Inapatikana Bahari gani?
@binseif2216
@binseif2216 Ай бұрын
Mariana trench bahari ya pacifiki
@valenakomba9218
@valenakomba9218 2 жыл бұрын
Huyo unae msikia ni Sasaki anaeitwa Siri.
@lovenessvisent9408
@lovenessvisent9408 2 ай бұрын
Hilo neno ebwanaawee linatisha
@saimonmkama4774
@saimonmkama4774 2 жыл бұрын
Baaaaaaa, bwanaaa weweee 🙄
@ghottaman2570
@ghottaman2570 2 ай бұрын
Muumba kaumba
Survival skills: A great idea with duct tape #survival #lifehacks #camping
00:27
SHERIA ZA KOREA KASKAZINI ZITAKUACHA MDOMO WAZI
17:01
Global TV Online
Рет қаралды 814 М.
HISTORIA YA OPERATION ENTEBBE(Part 1)
40:32
Global TV Online
Рет қаралды 2,1 МЛН
SEHEMU 1: SIMULIZI YA SAA ZA GIZA TOTORO
24:03
Global TV Online
Рет қаралды 16 М.