Masha Allah, soroti is my home town am proud of you congrats Captain 👍🌹💐🌹🙏🙏🙏
@gulnarnanji45954 жыл бұрын
Hongera! Feel proud for you guys. Good Job!
@kadijahajali3918 Жыл бұрын
Mashaalah mungu awabariki ishaalah
@aishasaid67494 жыл бұрын
Maa shaa Allah
@magorymara55154 жыл бұрын
Asanten sana maruban wetu
@DailyNewsDigital4 жыл бұрын
Fahamu historia ya maisha yao, namna walivyojikuta ni marubani
@mssajaphari99344 жыл бұрын
Kaz nzuri🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@emmanuelburchard3153 Жыл бұрын
Kijana safi sana Mungu akutunze
@irenebarakelimnene4895 Жыл бұрын
Hongereni baba na mwana nimewapenda
@shifaaal-baity45033 жыл бұрын
Masha Allah tabaraka Allah
@leokamil6284 Жыл бұрын
Mungu awalinde katika kazi zenu
@sudymgeni7013 жыл бұрын
Safi sana mungu awalinde wote kwa pamoja
@tatuta65293 жыл бұрын
Mashaallah ongera
@Sweetie-im2jd3 жыл бұрын
Masha Allah
@jerrymdoe19564 жыл бұрын
Vyema sana kwan maisha ndivyo inavyo takiwa kama maisha unako pta baba kuna mafanikio japo yafaa na mtoto nae kumuelekeza na kulis mikoba kwan inapendeza sana cyo mtu unakuja kustafu kaz ekesha unalud mtaan hujawezesha vijana wako ukaanza kuwalaumu
@lugwetunje3896 Жыл бұрын
Nenda ukasome zaidi
@zawadix95743 жыл бұрын
Congratulations 🍾 patriotic citizens
@munasaid4893 жыл бұрын
Hongereni
@edinalutakinikwa9859 Жыл бұрын
😊😊😊😊
@lugwetunje3896 Жыл бұрын
Kizungu chakupiga chenga bro soma zaidi hujui ya kesho uwanaweza pata kazi ndege za kimataifa kama captain utaongea na abiria vipi na broken English
@andrewkazungu6542 Жыл бұрын
Tupo pamoja.
@am12ghh373 жыл бұрын
Mashallah tabarakallah barakah fikumm 👍🙏allah awalinde na shughly zenu za safarii za anganii yarab daimaa am prud of u brother and your son 👍❤👌🙏🙏
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Ni kwel Am
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Wazur wenyew
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Wanalusha pamoja🤔
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Napenda uruban hata kaka yangu napenda awe ruban nilimwambia amchaguwe na mwenyew Ana akil Kuna mchungaj alisema uyu mbona atakuwa ruban aliona picha yake. Nikamwambia alivyokuwa mdogo alikuwa akilala ananyosha mikono juu nikaona kama kashika binduki vile mama akasema atamlis babu yake upolis alikuwa afisa wa magereza mwenyew alivyokuwa anasema nikiwa mkubwa nataka niwe mwanajesh nikasema tulishaona dalili Lakin mchungaj alusema atakuwa ruban yeye mwenyew Alisema mwanajesh au mfanya biashara wa magar
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Kama wazanzibar hawa
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Du hadi raha
@victaboy7273 Жыл бұрын
Siyo comment za kupongeza tu. Msidhani ni bahati tu, huyo baba kwanza malezi kwa mtoto ni mazuri, pia dogo anajielewa. Ko anastahiri
@ASC106FULL3 жыл бұрын
Basi siku mwezi mwaka wa kuzaliwa kijana huyo sawa na mwanangu wa kwanza
@forgodswill4393 жыл бұрын
Tunaomba aende shule maana atakuwa na thamani ya maisha ya wanadamu, hata kama ni ndoto yake. Don't joke with people's life
@faridyassin21163 жыл бұрын
Really unafikiri angekuwa hajaenda shule angepata hiyo kazi au angeruhusiwa kuwa pilot.
@medievalyt17213 жыл бұрын
U-pilot ni kozi ya kawaida tu mbona, sio lazima uende shule kwa mfumo huu wa kawaida