Namuomba ALLAH akuongoze ewe mtoto WA Sheikh Bachu
@yahyasix90253 жыл бұрын
Allah akupe barka zote. Hakika chema huzaa chema. Huo ndo ukweli kilichobakia labda mtu ajitoe mshipa w fahamu tu kubez kwnye kundi lake. Nawanasih waumini tuachane n makundi tuelekee mstari mmoja tu kw ajili y kupeleka mbele uislamu.
@zuhrasherally28243 жыл бұрын
Crystal clear..ALLAHUMMA baarik..like father like son
@just_this_way3 жыл бұрын
Ma Shaa Allah. Ustadhi umechangamka na kusema kweli kama mimi kipindi hicho nikiwa chuo kikuu.
@mohammedmatumla5383 жыл бұрын
Jazaakallah khayraa Mu'allim, Na Allah akuhifadhi, mana isijekufikia hatua mtu akitwa kwa jina la kundi lake akajiona ni fakhaari na mwenye kujitukuza.
@abdul_azeez_almaamir3 жыл бұрын
Shukran shaykh Allah akuhifadhil Ila nasaha zangu Kwak kama muislam Baadhi ya misamiati unayo itumia haiko Salama na Ina vunja Moyo Kwa namna moja au nyengine
@wachinendachionlinetv43383 жыл бұрын
Hakun cha kuvunja moyo kk. Huo ndio ukeli anaousem shekhe
@mahengomwenyewe42043 жыл бұрын
Zama hiz ukiweza kurekod tu bac unatupia wafuac utakutana nao uko uko
@mahengomwenyewe42043 жыл бұрын
@@wachinendachionlinetv4338 Sasa kusoma ukubwani ni aibu kwanini asikosoe kosa aloliona ?? Je hawa tunowaambia waje misikitini waje kusoma ni vip ?? Je mtume kasoma elim yake akiwa mtoto ?? Abu bakri je ? Omari je alikua mtoto ?? Abu hurayra je alikua mtoto ?? Je yeye bachu hana Darsa za wakubwa wanachukuliaje ?? Ni maneno ya kijahili si ya kielim kabisa jazba nyingi elim kidogo.
@abdul_azeez_almaamir3 жыл бұрын
@@wachinendachionlinetv4338 Ina maana kusema "huku kusoma ukubwani ni ulimbukeni" ww unasapoti hii ibara?? Iv ni maswahaba wangap wamejiliwa na uislamu nao ni watu wazima na wakawa ni katk maulamaa??
@abdul_azeez_almaamir3 жыл бұрын
@@wachinendachionlinetv4338 Kupenda sana na kuchukia sana ni ktk sababu zinazo mfanya mtu kuzuilika kuiyona haki na hata akiiona anashindwa kuifuata hivyo kama tunaon na kwamb shykh hapa kapitikiwa haina haja ya kukaa kimya Kwa sababu Dini ni nasaha nae pia ni binaadamu anahitaji kufundishwa na kukumbushwa pia
@MikidadiShaban2 ай бұрын
Yaan ww nifala kikubwa nikuombee duaa allah akuongoze
@hamisisaidi95256 ай бұрын
Nachokupendea tu huwa hutumii akili yako huwa una toa dalili, shukrani kwa ilo
@zuhrasherally28243 жыл бұрын
Sikiliza kuanzia dk 11..yaani very well said mash ALLAH
@alwiahmed47793 жыл бұрын
Wallah sheikh ww kila video Zako nikiangalia nikukosowa watu nakukusowa mambo ya watu basi MASHALLAH ww watu onyesha ni msomi Sana TOO MUCH KNOW
@ulfatis-haq60093 жыл бұрын
allah akuepushe na husda na akupe moyo wa kijasiri kuutetea uislam
@saidrubeya64153 жыл бұрын
Mashallah baba yako mtupu..allah arehem nassour bach.amen wanyooshee kwenye mjia ya mtume na allah..
@zubedasuleiman43223 жыл бұрын
Alhamdulillah leo nimejifunza Allah akuhifadhi shukran jazakallah khayran
@mohamadmaulidngava15103 жыл бұрын
Alhaahu akbar Alhwaa Akihifadhi Mwalim wangu .
@babawawili31393 жыл бұрын
ALLAHU AQBAR SHUKRANI ALLAH AKUPE AFYA NASIHA UZIDI KUTUPA ELMU
@mariammohd35153 жыл бұрын
Subhana Allah wewe mtoto sema kweli mungu akubarik uko sahihi hawa salary wa leo wanamashaka kusoma ukubwani kazi kweli kweli sheikh nakubali wanasumbua watu
@mahengomwenyewe42043 жыл бұрын
Marima unaunga mkono matusi kwa maswahaba maana wao walisoma ukubwani kama mnakosoa kosoeni ilo mnalilokosoa kwa hoja si kwa jazba na kuwakatisha watu tamaa hivi wapi imeandikwa kua kusoma ukubwani ni ila kielim ?? Unaunga mkono jazba Dada ?? Abu hurayra kasoma mtoto? mtume wako kasoma mtoto? Omar kasoma mtoto ?je hawa wazee wetu wa leo mama zetu wa leo tunowaambia waje misikitini wasome ni kazi bure nhe ?? Kweli nyie wahuni watupu mmekutana.
@mahengomwenyewe42043 жыл бұрын
Mtume صلى الله عليه وسلم Amesema kweli haiondoi elim kwa kuivua kwa watu lkn anaiondoa elim kwa kuwafisha wanazuoni had asipokua mwenye elim watu huwachukua viongozi wajinga kuwafanya ndio maulamaa wao. Mzee bachu kafariki Rahimahu llahu watu wanaokota okota matap tap eti mtu anapongeza maneno ya ujinga hayana mizani ya kielim yamebeba jazba anasema sema kweli sema kweli hajui zuri wala baya huyo anaepongeza . Allah lmustaan.
@mohammedkimanga89603 жыл бұрын
Shukrni sna sheikh tuko pamja kutoka Kenya 🇰🇪
@my-vb2to3 жыл бұрын
Mashaallah sauti kama sheh nasoro bachu Allah amrehemu kweli ww ndie mrithi wake Allah akuongoze maisha yako yote
@mkubwamasoud27763 жыл бұрын
Daaah yaan mtihani kweli kweli wallah ila tutabakia kukudhania kheri tu
@abuusalafy79563 жыл бұрын
Kubali kuwa wew nimtu wabidaah sugu
@mohagurey22143 жыл бұрын
Safi sana shekhe wetu. Kichwa maji tu ndio hataelewa ulozumgumza
@herimbarushimana93283 ай бұрын
Masha Allah. Allah azidi kukupanulia kifuwa chako ili elimu unao iongezeke. Naomba mwenye yuko na number za sheikh anipe please.
@yustoedward2224 Жыл бұрын
Mashallah allah akuhifadhie
@shabanimataka84182 жыл бұрын
auwez kuwa muislam wa sawa ukiwa unapenda dunia na unachukia kufa
@ibnuomar17703 жыл бұрын
Well said. Mashaa Allah
@KijukuuMtemi7 ай бұрын
Ndo Kwanza Leo uongee ukweli huku kwetu chwaka mpaka watu wamegawana miskiti
@hamadali50622 жыл бұрын
Mashallah Allah sheikh. Hivjo umesoma hadithi za mtume katika vitabu vja maibadhi? Jee umesoma tafsiri ya qoraan kutoka kwe masheikh wa kiibadhi? Soma kwanza kwa kutaka kujuwa na kutaka ukweli Kisha wahukumu. Nakuomba sana sheikh usifanye haraka wala hasira. Soma kwanza vitabu vjao ni katika kutaka ukweli. Usiyahukumu madhehebu bila kuyajuwa unaweza Kuja kukosea. Allah atuongoze wote waislamu.
@Stanbul.Y3 жыл бұрын
MashaAllah tumekuelewa
@shukranathman40513 жыл бұрын
Safi sana Maa shaa Allah, well said. Hafahamu asotaka kufahamu...
@omaraliy61443 жыл бұрын
hili jamaa lina mattzo sana
@abbyknj99923 жыл бұрын
Vizur shekh dawa imeingia hiyo wapewape hii iwe dozi kunawengine wamesha anza kukejeli huku kwenye comment
@thabitisimba11433 жыл бұрын
huwezi kujifunga kwa sheikh moja kisha ukatoa msimamo wako kama kweli we ni mtu wa elm
@salhacker77283 жыл бұрын
Ndugu yangu achana na hyo mada inakushusha hadhi. Pambana na maswala mengine UNAYO YAWEZA unao wakusudia wakikurudishia tutakupoteza kabisa. Endelea kusoma Akhy shaur zako kama huta fata ushauri wangu
@abdulkarimkaniki88003 жыл бұрын
Kunakujua kusoma na kuna kuelewa kilicho kusudiwa kwenye maudhui ,Hivi dogo umeelewa hiyo karatasi ulioshika ? Umenipashaka ulipo jiapiza kuwa kamasio hivyo ulivyoelewa utaacha kusoma ! Ushauri Elimu haipohivyo ndiosababu wanachuoni na masalaf humalizia na taamko WALLAHU A'ALAM Allah akuongoze
@thabitisimba11433 жыл бұрын
masha Allaha
@thabitisimba11433 жыл бұрын
hata mujitahida hawakuwahi kujiapiza juu ya kutoa fatawa BALI walisema Allah ndio mjuzi na MILANGO ya kuwafanyia usurubu ipo wazi maana wao si wakamilifu
@AbasijumaKuzacha-zw3lz2 ай бұрын
Acha ujuaji ww panda mimbari na ww tuone
@mireztv22173 жыл бұрын
Masha Allah sheikh dah hii imenizindua sheikh kuwa vikundi havifai katk dini lkn kufuata misingi ya walio tangulia ambao salaf saleh inafaa nimekupata vizur
@salehshaaban11703 жыл бұрын
MASHAA.ALLAH!!!!Wewe kweli umemfahamu na umemkubali..kuna waliomfahamu lakini hawataki kumkubali bado wameshikilia na mgawanyiko katika uislamu. ...Allah s.w atunusuru na migawanyiko katika uislamu 🙏
Mm najua kuwa alietengeneza kikundi cha kisalaf ila kuna wanao futa uislmu kwa njia ya usalafi
@abubakarihussen88522 жыл бұрын
Dah kweli ww shekhe nimdogo kiumli lkn upoe wako ni mkubwa pia elimu ya malehe babaako bado tunaiyona inasogea hakika upo sawa sawa atakae pinga niwale wenye vikundi inshaallah allaha akuripe heri zaid
@fahmisaid7364 Жыл бұрын
Waamshe wamezidiiiiiiiiiiiiii
@sultanismaili3 жыл бұрын
Allah anataka tuishike kamba yake(Quraan) na tusizozane.
@Yu-jr9uf2 жыл бұрын
Kwa maoni yangu makundi mengi yanakua na misingi yao ambae wanakua wameamini ni sahihi, sasa kundi na kundi likishatofautiana msimamo ndo tabu inapoanzia!! Tukubaliane khitilafu zipo katika dini na elimu ipo kwa Allah na wala hatuna ruhusa ya kufarikiana!!.Kujiegemeza moja kwa moja katika kikundi flani kinaeza kikakutia ugumu kuikubali haki kutoka upande mwingne ikikudhihirikia na hakika tunakubaliana kwamba asiekosea na mkamilifu ni Allah pekee.
@nassrajuma81403 жыл бұрын
Duh umesema kweli kma. ni uongo masheikh ztu wakisalafy wengalikuradd kma othaman maali ila wamepoaaaa
@ahmedlao72733 жыл бұрын
Mtukufu sheikh mohamed bachu : nnavyo fahamu mimi ni kwamba TABLIGH ni harakati sio kikundi na pia TABLIGH haina msikiti maalum miskit mingi hufanywa tabligh.
@jiongezeemaarifa1496 Жыл бұрын
صدقت
@salumusule86023 жыл бұрын
Mashaallah, vizury mwalim
@قناةأبيقتيبةالشيرازي3 жыл бұрын
ولا شك أن التسمية الواضحة الجلية المميزة البينة هي أن نقول : أنا مسلم على الكتاب والسنة وعلى منهج سلفنا الصالح ، وهي أن تقول باختصار : (أنا سلفي) " .[مجلة الأصالة العدد التاسع شعبان/1416هـ ص 86 ـ90 ] شيخ الألباني رحمه الله
@@nassrajuma8140 eeeeeeee dadaweee ushamaliza kumhudumia mumeo au upo2 waongea na wanaume ela unajwa wajibu wako ww half mafuta hawez kumjibu mtu wa thanawiy maana mtoto Sanna hajawa bad uyo kielim Wal kiakili Wala kifikra
@قناةأبيقتيبةالشيرازي2 жыл бұрын
@@nassrajuma8140 huyo mpumbav2 hawez akajibw
@abdulqadirmasuo15502 жыл бұрын
@@قناةأبيقتيبةالشيرازي Kumtukana mwenzako ndio sifa waliokuwa nayo سلفنا الصالح ama?
@mubarakaibrahim5715 Жыл бұрын
Mashaa Allah. hawa masalafi wa Tanzania badhi yao wengi sana viongozi wakubwa ni mtihani .ALLAH awaongoze pia awafamishe khaqi maana ni wajanja ktk din wamebaki na maneno tu na sio vitendo
@قناةأبيقتيبةالشيرازي3 жыл бұрын
وسئل- رحمه الله - : ما تقول فيمن تسمى بالسلفي والأثري ، هل هي تزكية؟ فأجاب سماحته : (إذا كان صادقا أنه أثري أو أنه سلفي لا بأس، مثل ما كان السلف يقول: فلان سلفي، فلان أثري، تزكية لا بد منها، تزكية واجبة).( التحفة المهدية لمن سأل عن معنى السلفية ص 35) وهي من محاضرة مسجلة بعنوان: "حق المسلم"، في 16/1/1413 بالطائف.) قاله ابن باز
@kosemraul34193 жыл бұрын
Aameen. Maasha Allah. Kijana amesoma kisawasawa. Mungu akuhifadhi sheikh Muhammad.
@abdulhaleemsalim10593 жыл бұрын
Amesoma nn kutukana mashekh
@kosemraul34193 жыл бұрын
Matusi yako wapi hapa? Kuna tafauti baina ya elimu na matusi. So elewa kutafautisha.
@alihamisi12803 жыл бұрын
زادك الله علما وهدى وحرصا عليهما
@Vapes_zanzibar2 жыл бұрын
Bitiii
@abbassaleh95493 жыл бұрын
Naona anajizonga tu ah tofautisha usalaf na wasalaf
@musseleng.21243 жыл бұрын
Haahahahaa...wewe nae unajizonga.
@fahmisaid7364 Жыл бұрын
Waambie babaa watowe maskio taka
@hudhaifamsafiri87314 ай бұрын
SWADAKTA❤❤
@kuambianakassimu49933 жыл бұрын
Vizuri sana hii ndio haki wambie hata kama inachomachoma
@abdulkadirshekhuna47083 жыл бұрын
Hamna kikundi kinacho itwa kikundi Cha tabliikh mama ya tabliiq shee unfahamu mengine Allah atufahamishe
@allymnimbo43043 жыл бұрын
Uzuri wa jina sio kigezo cha kupatia kwa yale yanayofanyika
@hashimiddi47893 жыл бұрын
Allah akubariki
@jumanneissa82263 жыл бұрын
Umejeruhiwa kijana
@قناةأبيقتيبةالشيرازي3 жыл бұрын
يقول شيخ الإسلام ابن تيمية رحمه الله : : ( ولا عيب على من أظهر مذهب السلف وانتسب إليه واعتزى إليه، بل يجب قبول ذلك منه بالاتفاق؛ ما تقول يا جاهل فإن مذهب السلف لا يكون إلا حقاً،
@jacksonswai80903 жыл бұрын
Wallah nimependa hoja yake kuwa kikundu chao kipo karibu na haki, n kwel kabisa kila mmoja hakosi changamoto
@aliy33032 жыл бұрын
Naomba hapa ni masjed Mahfoudh or wapi
@ebrahimadan36303 жыл бұрын
MashaAllah Jazaakallahu khayran
@criminal03mostwanted713 жыл бұрын
Ustadh wangu ni 🔥🔥🔥
@yahyaally98763 жыл бұрын
Kabisa kabisa, Sheikh tumeeewa zaidi ya kuelewa Allah atuongoze njia sahihi.
@yahyaally98763 жыл бұрын
Kabisa kabisa, Sheikh tumeeewa zaidi ya kuelewa Allah atuongoze njia sahihi.
@saidikhalifa85923 жыл бұрын
Alla hapendi huwezijuawewe upokwenye kundi gani🙏Alla ndiyemjuzi
@harithzulfikar15753 жыл бұрын
Sheikh ALLHAMDULILLAH jee ulishawahi kwenda tabligh Mimi naomba number zaako sheikh manaa tabligh inakufundiaha sunna na maamrisho ya ALLAH hakuna zaidi nakuwakumbusha ndugu waislamu hakuna ziada sheikh Wala Hawa kuingili
@salhacker77283 жыл бұрын
Sub hana llah. Akhy nilikua nakusikiliza sana ila kwa hili bora hata ungesema nikushauri kuliko haya unayo yasema.
@ABUUALLY-b3t Жыл бұрын
Mbona sasa kitugani kilichokufanya kubadilikaa?
@HoodAnu Жыл бұрын
Na wewe kikundi chako cha jadida
@قناةأبيقتيبةالشيرازي3 жыл бұрын
طالب الحق يكفيه دليل، وصاحب الهوى لا يكفيه ألف دليل، الجاهل يُعلّم وصاحب الهوى ليس لنا عليه سبيل. محمد ناصر الدين الألباني محمد ناصر tusha yako kauli mbovuuu umesoma wapi wew mpak unasem maneno kam hayo hata mashwahaba huoni ubora wao mpaka unafikia hatuwa yakusem hiii mijitu iliyo soma ukubwani
@khamismwadini21693 жыл бұрын
sheikh hueleweki kaulizako zinajigonga gonga halafu uzungumzaji wako inaonesha unachuki nawatu fulani ,juuyako kusema kheir au nyamaza,usipo nyamaza maneno yatakupoza
@zahormbwana6903 жыл бұрын
Allah akibar
@mustayoo3 жыл бұрын
Allah akuhifadhi sheikh.
@shamsuddin45822 жыл бұрын
Jazakallah
@abuujuhaima55883 жыл бұрын
Tuambie ww uko upande gani akhiy tuambie
@abrahamansaidi86313 жыл бұрын
Yale majibu uliyojibiwaga ukakimbia nahisi now umeengeza elimu uwezo unao utaweza kuzuia moto
@قلبسليم-ي1خ3 жыл бұрын
ww Muhammad bado sana, binafsi yangu siikujui hata upo ktk aqida gani, nakuona mropokwaji tu, kila mtu wa mradi wewe. ALLAH akuongowe ktk aqida iliyo sahihi
@Muhammad_Nassor_Bachu_.3 жыл бұрын
Naskia ikiwa wewe hujui mtu ana aqida gani haendi peponi...ungeijuwa aqida yako usingepata tabu...
@saidimadzumba2266 Жыл бұрын
@@Muhammad_Nassor_Bachu_. sheikh wetu usithubutu kujibizana na walioganda! Watakuvunjia Heshima!
@mohammedsalim9743 жыл бұрын
Akhi upo sahihi na haya maneno ni ya ukweli mtupu na yoyote yaliomgusa bax moyo wke lazma utajirudi na kubadilika.. Ila mtu akiweka mapenzi ya sheikh zao bc wataumia kisha wtatoa maneno machafu kam wlivo zoea kutoka kwa masheikh zao
@mustafaismail56223 жыл бұрын
Hapo nakupongeza
@salumnuhu90662 жыл бұрын
Kwani kujinasibisha ndio kutengeneza kundi?
@قناةأبيقتيبةالشيرازي3 жыл бұрын
سئل الشيخ مقبل بن هادي الوادعي رحمه الله تعالى :- عن حكم الانتساب إلى السلفية والتسمي بها ؟ فأجاب بقوله : ( أمر طيب سواء انتسبت إلى السلفية أم السنة ..وهذه النسبة ليست كنسبة الحزبيين ..
@myonlineteacheracademy8207 Жыл бұрын
Naaam madhhabu ya sawa ni Assalaf
@abdillahismail82873 жыл бұрын
Hapo kweli kija.a migogoro.imezid kwa vikundi ila juwa raddi inakuja huko wenzio weshapat sas na ww utaipat ila jitahid ukweli hubaki ukweli
@jumamahmoud9271 Жыл бұрын
Aaa walijaribu kumraddi lkn washakimbia wenyewe
@cassimshearer79163 жыл бұрын
Maswahaba walisoma ukubwani shekhe. Kauli yako kusema kusoma ukubwani ni ulimbukeni ifute unawavunja moyo na wengine.
@mariammohd35153 жыл бұрын
Wewe umesoma wapi huyu mungu alosema wasomesheni watoto kakosea umesoma wapi sisi hatuwezi kua sawa sawa naswahaba huyu kazungumza kwa maisha yetu acha kibri cha nafsi hii dini ukweli usemwe tu hats ukinuna kaka
@sleimanwtwaha99833 жыл бұрын
@@mariammohd3515 dada mariyamu unakosea kusema hivyo kuna baadhi ya maulamaa wamesoma ukubwani
@cassimshearer79163 жыл бұрын
Nimesima baharini@ Mariam
@ashrafuissa24923 жыл бұрын
Sheikh Bila ya shaka ujahili ndio unao kufanya hivyo Allah akuongoze kwenye njia ya sawa Sina kabla ya kusimama kwenye membal
@omaratik18392 жыл бұрын
Wallaah sioni kwamba Kuna Tafauti kubwa Wewe sheikh's Mohammed au akina Abdallah Humeid na sheikh Qassim Mafuta Ni Vitu vidogo Sana Alhamdulilah Nyote na sote Hakuna Mkamilifu ni Mngu Lakini Wallaah Tuko njia ya Haki .
@heyysean86613 жыл бұрын
mashaallah amiin
@intisarmohamed80263 жыл бұрын
Kwaiyo sheikh watu wazima wasisome
@mahamoudduchi33183 жыл бұрын
Umemfahamu vzr lkn duh!!!
@أبومعاذاللّمكي3 жыл бұрын
إنا لله وإنا إليه راجعون إذا أسند الأمر إلى غير أهله فانتظروا الساعة
@قناةأبيقتيبةالشيرازي3 жыл бұрын
معك حقاً
@khamisptrany93933 жыл бұрын
هؤلاء هم الرويبضة الذين يتحدثون في شأن العام
@ahmadsaid58453 жыл бұрын
M najua abu fulani kama hajasema abu mwenzake hakubali ataa ...ukweli ni ukweli tuh clazima utoke kwa abu fulani.....
@nassrajuma81403 жыл бұрын
@@hassan4k7 jite salafy halafu hna amali ta moja ukaone kasheshe
@nassrajuma81403 жыл бұрын
@@hassan4k7 ww akhy hujafaham uthaymin kasema fuata njia ya salafy na ucjiite salafy...au hujui kiarabu akhy
@salummajigamajiga28703 жыл бұрын
Mashaalla
@Ibratz2552 жыл бұрын
Swali langu ni moja tu mtume alivosema vitatokea vikundi 74 katika umma wangu na kikundi kimoja ndio kitaenda peponi alimaanisha nini kama wew unasema ni haram kutengeneza vikundi ?
@jumamahmoud9271 Жыл бұрын
Kikundi hiko kimetajwa ndani ya kur an ni kikundi cha mtume na maswahaba zake na kila moja atakae fuata hao(mtume na maswahaba)kwaio ukishakua unamfuata mtume na wema waliotangulia basi unaingia apo
@abiabi93532 жыл бұрын
Nifahamishe wapi mtume kasema khulafau Rashidun ni Abubakar, Omar au Othman
@uledihassan60652 жыл бұрын
صدفت ما قلت أنك عالم هذه الأمة
@muslimmassoud26733 жыл бұрын
MashaAllah zakaAllah kheir
@haroubsalim7793 жыл бұрын
Huwezi kuwa nje kikundi, Huwezi kubeba Uislamu nje ya kikundi, Mtume saw hakuweza kubeba Uislamu peke yake Bali alitengeneza kikundi na akakipa ufahamu wake wasaidiane kazi, Kufuata wema waliotangulia ndio kundi lenyewe la waislamu hilo, kundi ndio mpango mzima wa kupeleka Uislamu, huwezi kukataa kundi ukafanikisha kusimamisha Uislamu kama mfumo, Elimu ni pana usifahamu vyako ukadharau rai za wengine kwenye Aya mutashabiha.
@masouddaud40753 жыл бұрын
Yap ni kwelil
@Yu-jr9uf2 жыл бұрын
Je yafaa kutengeneza vikundi vikundi katika dini? Nifundishe kutoka kwenye quran na sunnah
@abubakarihussen88522 жыл бұрын
Haroub salim huja elewa mana ya vikundi alivyo zungumzia hapa kuna watu kama sio salaf hata salam hawakup kuna watu kama sio salaf hata ukitaka mke kwao hawakup kuna mtu kama sio salaf ukiwa na shida hawakusaidi na kuna misikiti yao ndo wanaswali ss huyu muhamadi Bachu ameelezee kua huisilam hauendi ivyo hata siku moja unambiwa usile chakula cha watu wabidah upo mi njia yangu ni kufata waja wema walio tanguria ila sio vikundi
@ahmadifakimjaka14332 жыл бұрын
@@Yu-jr9uf Lazima kuwe na kikundi cha watu ambao wakeshikamana na haki.
@cadabragenius17512 жыл бұрын
Hiki kikund kiliiitwaje
@adambandari89083 жыл бұрын
Kwani wanaojiita Masalafii hawafuati maswahaba? Makundi yote yatapotea Ila moja tu!!!Sasa wewe mbona unakataza makundi na Hali Mtume SAW amesema yatakuwepo?jipange dogo!
Mtume (SAW) alisema yatatokea makundi tofauti ila moja ndilo litaingia peponi , na hakusema mufate makundi.
@kalifkhalifa1063 жыл бұрын
Nilivyomfaham mim sheikh apo anaelezea kuwa haifai kujinajisibisha n kuni kujita ww sunni au salaf , inafaa tujue wanaojiita sunni au salafi wanafanya mamb yepi kwenye dini mpaka wao wanajiita hivyo.
@kalifkhalifa1063 жыл бұрын
Au ibadhi
@abdulkareemseif18923 жыл бұрын
@@kalifkhalifa106 yeye kakosea .mtume katuambia Ni kundi moja tu ndo tukifate baada ya makundi 72 Sasa nilile liitakalo kwenda na mwenendo wake .na wanazuoni wakalitafsiri nilile liitakalo fuata quran na sunna kwa ufahamu wa maswahaba kwa iyo wewe ukifuata huo mfumo ndo utakua ktk Hilo kundi nalo Ni la wema wote waliotangulia na ndio ikapatikana salafy swaleh .yani wema waliotangulia ..Sasa Kuna kosa wewe kusema mm sitafuata isipokua Cha wema waliotangulia na wewe ukawa ktk hao
@abuuirfan95233 жыл бұрын
Mijisalafi ndio nini tumia lugha nzuri shekhe
@eng.saalim86463 жыл бұрын
Watu wa maandamano mbona hujawataja mashekh zako wa uamsho walo kueka msikitini. Au wao sio watu wa maandamano.
@alonealvin45343 жыл бұрын
Ukifwatilia video zake aliwahi kumwambia sheikh farid kuwa alkuwa hawakubal mambo waliokuwa wanayafanya
@salimmgangq64253 жыл бұрын
Nikweli shekhe bachu kikundi hicho kipo kina Kufurisha kilashekhe asie endana na upande wao Wana dharau na kukuona kua wao ndio watu wa peponi na wengine wote ni watu wa bidaa washirina Yaani wanadharau Sana hawa jamaa
@abrahamansaidi86313 жыл бұрын
Acha ushabiki unajua maana ya kukufurahisha Mcheni Allah na huyo shekh yuwaona comment zenu amche Allah
@mahamoudduchi33183 жыл бұрын
@@abrahamansaidi8631 ushabiki gani wakati anazungumza ukweli jamaa Wana matatizo sana kila shekhe kwao wao sie wala asisikilizwe huu mbn mthn dah!!
@abrahamansaidi86313 жыл бұрын
@@mahamoudduchi3318 ndio hakuna kuwasikiliza ahlulbidaa Unawasikiliza wa nini na ushabainikiwa na haq na watu wake Hako kajamaa ni mahzbi wazi wazi na wanaomsapoti wamo humo humo na ahlulbidaa sufiya wafata bendera wamo humo
@neemafatu78853 жыл бұрын
Yaani inashangaza sana. Mtu kama unafuata qur an na SUNNA za mtume na mtu aogope kufanya bid aa basi..sasa utakuta watu wa SUNNA pia wanajigawa ooh mara salafi mara vile . Akerekwaaaa!