MASANJA AKIFUNGISHA NDOA KANISANI KWAKE UTACHEKA

  Рет қаралды 296,285

FEEL FREE CHURCH Dar es salaam

FEEL FREE CHURCH Dar es salaam

2 жыл бұрын

MASANJA AKIFUNGISHA NDOA KANISANI KWAKE UTACHEKA

Пікірлер: 185
@sarahpetro9122
@sarahpetro9122 2 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU kwa kusimamia agano takatifu Hilo MUNGU awasimamie sana
@jessymathias4535
@jessymathias4535 2 жыл бұрын
Amina, mchungaji masanja endelea na kazi ya mungu, usisikilize maneno ya adui za mungu maadamu mungu amekuita umtumikie,songa mbele
@vogellukanka1333
@vogellukanka1333 2 жыл бұрын
Ila tuwen makin sana sana. Hakuna userious hapa naona maruweruwe tu
@user-pg8uk7vw3m
@user-pg8uk7vw3m 5 ай бұрын
Mambo masanja
@osgentertainmentdancers8924
@osgentertainmentdancers8924 2 жыл бұрын
Kazi nzuri sana hii uliyoifanya bishop
@anordmbembela6940
@anordmbembela6940 2 жыл бұрын
Good servant of God ,as Yesu ndye njia keel na uzma! Ubarikiwa
@agesag.m2476
@agesag.m2476 2 жыл бұрын
Wonderful proceeding .
@lydiamgollo9899
@lydiamgollo9899 2 жыл бұрын
Big up pastor Masanja.
@jeanmjimmy
@jeanmjimmy 2 жыл бұрын
Ongera sana vijana, kazi njema mbarikiwe kwa jina la Yesu Masiya. Mungu awasaidiye muishi kwa amani na mdumu kwenye ndoa mpaka kifo kitakapo watenganisha.
@mpangaladickson6837
@mpangaladickson6837 3 ай бұрын
Acheni kumuhukumu mtu.maandiko yanasema usihukum usije nawe ukahukumiwa......mungu ndie aliyemwita afanye kazi yake.
@sabrinaandrew4245
@sabrinaandrew4245 3 ай бұрын
Nimefurahi mtumishi Kwa kuto tamka ktk shida na Raha.🎉🎉🎉🎉🎉hujawaungamanisha agano la shida na raha🎉🎉🎉❤
@joelmsawile1718
@joelmsawile1718 2 жыл бұрын
Safiiiiiiiii sanaaaaa pastor
@RobsonAnthony-cx3wv
@RobsonAnthony-cx3wv Ай бұрын
God bless you pastor
@mwanaiddicosmas7946
@mwanaiddicosmas7946 2 жыл бұрын
Ongera sana kaka
@kefaphilipo8060
@kefaphilipo8060 2 жыл бұрын
Balikiwa kweli inapendeza mchungaji kwa hao wawiilii Mungu awatunze
@misheckmrk8848
@misheckmrk8848 2 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥💕🤝
@bahatimbembela1825
@bahatimbembela1825 2 жыл бұрын
Hongera kijana Ila jikaze ndoa mh
@amanjr5635
@amanjr5635 2 жыл бұрын
Hongera sana mtumishi wa Mungu. Pia hongera nyingi kwa Musa , Apatae mke amepata kitu chema🔥🔥
@nestorymsacky6838
@nestorymsacky6838 2 жыл бұрын
Tofautisha comedy na Mungu, uwezi sema comedy ni mungu, masanja kutumia comedy akiwa madhabahuni ni sawa labda inaweza fanya watu wakaelewa neno zaidi ya akiwa serious
@tawiso_online_tv.
@tawiso_online_tv. Ай бұрын
Hamna wito hapa😂
@jonsongabriel937
@jonsongabriel937 2 жыл бұрын
Barikiwa katika jina la Yesu kristo
@martinkisha6307
@martinkisha6307 2 жыл бұрын
Uko sawa
@cafejohn3582
@cafejohn3582 Жыл бұрын
Mwenyezi mungu utuhurumiye
@ednamasud2613
@ednamasud2613 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣 ni yeyeeee!!
@rithakuyala9951
@rithakuyala9951 2 жыл бұрын
Mungu aitunze hii ndoa
@lilyrose7983
@lilyrose7983 2 жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu.Kazi yako ni njema sana👏👏
@evaristmrope
@evaristmrope 2 жыл бұрын
Amen
@nyororotherock5567
@nyororotherock5567 2 жыл бұрын
💜💜💜💜💜
@dunstannyange7509
@dunstannyange7509 2 жыл бұрын
Hapo hakuna mchungaji zaid ya ujinga ujinga tu, yan sasa hv din imeiingiliwa kwel kwel yan kila mtu ni mchungaji
@kacimonpoint4598
@kacimonpoint4598 2 жыл бұрын
Get it be done
@sabrinaaron4212
@sabrinaaron4212 2 жыл бұрын
eti Ni yeyeeee 🤣🤣🤣🤣Mungu akaitunze inshallah
@lovegodmunisi1006
@lovegodmunisi1006 2 жыл бұрын
Masanja ameitwa na Mungu mwenyewe, kwa kusud maalum
@lydiaemmanuel7893
@lydiaemmanuel7893 2 жыл бұрын
MUNGU gani anaeruhusu mchungaji kuvaa cheni simhikum lakin Yesu alisema jifunzen kwangu
@peteveprosper7186
@peteveprosper7186 2 жыл бұрын
@@lydiaemmanuel7893 uliona wapi akitaza
@MS.independent8934
@MS.independent8934 2 жыл бұрын
Biarusi wa jinaaa jmn😌 Mariam
@seciliakayombo4845
@seciliakayombo4845 2 жыл бұрын
Ongera kwakazi njema
@williamoscar6657
@williamoscar6657 2 жыл бұрын
Sijaona kma kweli kuna roho mtakatifu kwa masanja... hakika sio kila kanisa ni la mungu
@evoteclimited2319
@evoteclimited2319 2 жыл бұрын
Kwani wewe unaangalia mavazi, mwonekano na namna anavyoongea? Au unaangalia ujumbe na matendo yake? Usihukumu usije ukahukumiwa, maana anaye hukumu ni Mungu peke ake.
@williamoscar6657
@williamoscar6657 2 жыл бұрын
@@evoteclimited2319 hata shetani ana maneno mazuri sna kuliko hata ambyo ww unayajua.... lakin kuwa mtumish wa mung ni kuwa mtauwa mbele yamacho ya bwana mtu aliyeacha yote naye akijkana na kumfuata mungu... aliyeacha utu wake wa zaman na kuuvaa utu mpya..... usijedanganya kwa maneno ya watu hata yule mwovu mkuu anamaneno mazur zaid ya unavfkir..
@matswelopelemphela9676
@matswelopelemphela9676 2 жыл бұрын
Umetumia kipimo gani?
@Zaburi-
@Zaburi- 2 жыл бұрын
Mungu/MUNGU nasio mungu
@ffrank6754
@ffrank6754 2 жыл бұрын
mung huangalia ndani ila sis binadamu tunaangalia nje ww umeonaj km hkn roho mtakatif
@irenesangawe6366
@irenesangawe6366 2 жыл бұрын
Amenii
@ntibashimadicksonyingo392
@ntibashimadicksonyingo392 2 жыл бұрын
Masanja cheni za nn?
@johnngowi2103
@johnngowi2103 2 жыл бұрын
Amina
@GraceJaphet-fr4jt
@GraceJaphet-fr4jt 3 ай бұрын
Ameni.
@levinyaosi3556
@levinyaosi3556 2 жыл бұрын
Kiburi chako ndo hasara kwako brother
@user-ur5mq5em3f
@user-ur5mq5em3f 4 ай бұрын
balikiwa sana wanandoa mmenikumbusha mbali
@peterchonya3938
@peterchonya3938 2 жыл бұрын
Ameni
@adeladaudi8780
@adeladaudi8780 2 жыл бұрын
Mungu tuhurumie lkn haya lazima yawepo ili maandiko yatimie
@emmycondrad9706
@emmycondrad9706 2 жыл бұрын
🤣😂😂👏👏
@majaliwamahenge3658
@majaliwamahenge3658 2 жыл бұрын
🙏🙏
@veronicabenezeth6602
@veronicabenezeth6602 2 жыл бұрын
Mwenye wivu aokoke
@tanstudiotv
@tanstudiotv 2 жыл бұрын
Mwanza mwanza! Mtumishi feel free church tunataka Mwanza
@issaramadhan7456
@issaramadhan7456 2 жыл бұрын
Vizuri mtumishi
@edinamadebele973
@edinamadebele973 Жыл бұрын
Hivi huyo mke wa katibu akiangalia hii kwa sasa anajisikiaje jamani, Mungu amsaidie tu kwakweli
@nsiaelieza9568
@nsiaelieza9568 2 жыл бұрын
Masanja ukiwa madhabahu usitumie tonic ya komed. Kaa madhabahuni kwa utulivu. Chagua kuwa comedian au kuwa Mchungaji. Huwezi kutumikia mabwana 2.
@claraedwardmalingumu3565
@claraedwardmalingumu3565 2 жыл бұрын
Hata mie cpendi kabisaaa cyo ucha mungu huo
@afrohomeofsuccess2359
@afrohomeofsuccess2359 2 жыл бұрын
@@claraedwardmalingumu3565 kwan wachungaji hutumia sauti zao wawapo mazabahuni au wana sauti zao za kbumba
@labanbishirabandi3740
@labanbishirabandi3740 2 жыл бұрын
Wewe unataka aongee nini
@ezekieljackline3903
@ezekieljackline3903 Жыл бұрын
Pande zote mbili zimakubaliana this ndoa ( wazazi
@justinsindani-zq2jl
@justinsindani-zq2jl Жыл бұрын
Masanja mpaka sasa una nyimbo ngap?
@gasperamoxi4330
@gasperamoxi4330 2 жыл бұрын
Yes
@khdigahk4246
@khdigahk4246 2 жыл бұрын
Mussa na mariam wafikaje kufunga ndoa kanisani😅😅😅😅
@fanikiwamhapa4236
@fanikiwamhapa4236 2 жыл бұрын
Hatuja elewa maana yako
@edithafrancis7057
@edithafrancis7057 2 жыл бұрын
Majina yapo pande zote kwa wakristo na msikitin
@fanikiwamhapa4236
@fanikiwamhapa4236 2 жыл бұрын
Majina haya Yana patikana ndani ya Biblia,vitabu vingine vimeiba ndan ya Biblia,,Ila Kuna baadhi ya vitabu vimediriki kubadili mpaka majina mengne kwa kiwahofia wafuasi wao,mfano km jina la Yohana wa kwenye Biblia wanamuita (Yahaya) n .k
@antonthomas807
@antonthomas807 2 жыл бұрын
Unamuulizanani au una jiuliza mwenyewe
@sebonikegobi6244
@sebonikegobi6244 Жыл бұрын
Wamefika kama wengine
@joyelia5356
@joyelia5356 2 жыл бұрын
musa and mariam khadija and yusufu
@user-ii9qx9ii5p
@user-ii9qx9ii5p 4 ай бұрын
Wewe uliyekomenti kuwa aache mzaa madhabauni wewe nana mpaka huuu kumu atatengenezwa na Mungu aliye muita si binadamu
@tulimlawa8608
@tulimlawa8608 2 жыл бұрын
Kwaiyo sio mpaka kifo kiwatenganishe au ckuizi co mpaka kifo
@gvmstudio5659
@gvmstudio5659 2 жыл бұрын
ndoaa
@jaberjohn7556
@jaberjohn7556 2 жыл бұрын
Masanja l love your job but kindly tell the bride and groom always to look at each other in the face, to make assurance of what they are talking.To look down is not good idea.
@francismangula2715
@francismangula2715 2 жыл бұрын
Ndoa haitak mazoea icho unachosema unataka wawe wamezoeana
@jaberjohn7556
@jaberjohn7556 2 жыл бұрын
@@francismangula2715 l think you have no awareness. Period
@francismangula2715
@francismangula2715 2 жыл бұрын
You lack some knowledge brother.
@rutashubanyuma4546
@rutashubanyuma4546 2 жыл бұрын
Caption haijakaa mujarabu ukisema ntacheka wakati ni jambo la serious nashangaa!
@adamsibora9991
@adamsibora9991 Жыл бұрын
Akujibu mkeo ndo alikuwa anajua
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 жыл бұрын
Bass
@happinesszabron7635
@happinesszabron7635 2 жыл бұрын
Utawaepuka wengine wote na kubaki nayeye peke yake wote NDIO Imeisha hyo
@mwangosmgs6471
@mwangosmgs6471 2 жыл бұрын
Mtumshi🥰
@peterfrank4299
@peterfrank4299 2 жыл бұрын
Amina Piga kazi masanja
@matukiomedia191
@matukiomedia191 2 жыл бұрын
Kama igizo hilo
@michaelmagige4669
@michaelmagige4669 2 жыл бұрын
That's a business like another business,je wanaenda na sheria na ushuhuda wa iman ya yesu? Cku yesu akirud kuna watumish wengine atawakataa!! Watadai tulitoa mapepo,tuliponya,yesu atawakibu ondoken cwajui!!!
@francismangula2715
@francismangula2715 2 жыл бұрын
Kosa liko wapi?..
@emmanuelmwamlima1027
@emmanuelmwamlima1027 2 жыл бұрын
Usihuku usije ukahukumiwa
@donaldtadeodontado9991
@donaldtadeodontado9991 Жыл бұрын
Na shida ndio ilianzia hapa Sasa ..........
@venitarugemalila9290
@venitarugemalila9290 Жыл бұрын
Hawa wamama nao watoto mbele kila muda muna haribu tukio
@briankatani8765
@briankatani8765 2 жыл бұрын
Matapeli bhana
@khanniebaraka1515
@khanniebaraka1515 2 жыл бұрын
Hahaha
@mlawimweusi9219
@mlawimweusi9219 2 жыл бұрын
Nan kakutapel
@agathathobias8690
@agathathobias8690 2 жыл бұрын
Kama rahis katapel na wewe
@edojoseph4273
@edojoseph4273 2 жыл бұрын
Hao maharus hiyoo sio ndoa ni uhuni nyie wazinifu tu mbele za Mungu
@mashashamsimba4740
@mashashamsimba4740 2 жыл бұрын
Hiv hapo kunajasho kweli mbona kuna fen
@fatimaabdulla6967
@fatimaabdulla6967 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂🙄🙄🙄Wanadamu Mna kazi kweli kweli
@mandejumanne6429
@mandejumanne6429 2 жыл бұрын
Ni yeye
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 жыл бұрын
Heee
@justinsindani-zq2jl
@justinsindani-zq2jl Жыл бұрын
Pete haina maana yoyote kwenye ndoa
@mohamedalawyi8336
@mohamedalawyi8336 2 жыл бұрын
Sawa ni Moses na Mary . Musa na Mariam wanaowana Msikitini sio Kanisani .
@francisemmanuel1551
@francisemmanuel1551 2 жыл бұрын
Hayo ni majina tu ila ya na maanisha Musa na Mariam kwafano wewe katika kabila lako unamwitaje Mungu waarabu wanamuita Allah wazungu wanamuita God
@childofgod4412
@childofgod4412 2 жыл бұрын
Mke wa pilipili naye ni pastor🤔🤔
@josephurupia4653
@josephurupia4653 2 жыл бұрын
😆😃😃😃☹️😢
@rachaelkazimili4092
@rachaelkazimili4092 2 жыл бұрын
Huyo dada muone hivyohivyo tu ni muombaji mzuri sana
@akxakalapa8950
@akxakalapa8950 2 жыл бұрын
@@rachaelkazimili4092 shida ya sisi watanzania tunapenda kum judge mtu bila kumjua kiundani ila kwa mm nakaona ni ka dada kenye imani sana mbele za Mungu
@sebonikegobi6244
@sebonikegobi6244 Жыл бұрын
Pole yake manake hiyo kazi siyo mchezo Mungu amsaidie
@issacklyandala7023
@issacklyandala7023 Жыл бұрын
HII NIFUJO TU, NO UTUMISHI HAPA
@charlessitta8247
@charlessitta8247 2 жыл бұрын
Mchungaji Safi Sana. Naamin one day ntatokea hapo church. Location wapi ?
@fatmaayoubfatmaayoub8882
@fatmaayoubfatmaayoub8882 2 жыл бұрын
Lipo kinondoni Leaders ukifika hapo Leaders uwanjani utaona kibao chake napia kam unatokea makumbusho unashuka kituo cha kontena unashuka na njia hd ufike benk ya Kcb utaona kibao chake pia ila kam unatokea maeneo ya kariakoo unapanda gar za masaki unashuka ubalozi wa ufaransa ukishuka tu pia unaona bango lake la kanisa la masanja FEEL FREE CHARCH Utakuwa umefika kabisa kanisani kwake karibu
@sabastianraymond.6383
@sabastianraymond.6383 2 жыл бұрын
YAANI HATA SAUTI YAKO MASANJA NI KIUSANII MUOGOPE MUNGU ONGEA KWA HESHIMA.NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE.
@joycenyakiha8121
@joycenyakiha8121 2 жыл бұрын
Ahahahahaahha
@sweetluc2660
@sweetluc2660 2 жыл бұрын
Wamependeza Mungu awe nawo kila siku
@kingsforchange1039
@kingsforchange1039 2 жыл бұрын
You don't know God well.. Masanja ni Mtumishi wa Mungu na milele hata kwa kuzungumzaje he speaks God words and powerfull.
@farajachesco985
@farajachesco985 2 жыл бұрын
Roho mbaya tu inakusumbua ww
@kingsforchange1039
@kingsforchange1039 2 жыл бұрын
@@farajachesco985 anamatatizo huyu nae.
@issacklyandala7023
@issacklyandala7023 Жыл бұрын
ATI ASKOFU!!!!!!
@nicianezekiel9144
@nicianezekiel9144 2 жыл бұрын
Chap xana
@silyvesterlameck9754
@silyvesterlameck9754 2 жыл бұрын
Kiukweli2 masanja unaniboa hiyo cheni wanayo vaa waganga wakienyeji
@childofgod4412
@childofgod4412 2 жыл бұрын
Yaani na mimi nimeuangalia mh haya tumuachie Mungu mwenyewe
@godfreywilliam9673
@godfreywilliam9673 2 жыл бұрын
Usihukumu ndugu
@joyelia5356
@joyelia5356 2 жыл бұрын
@@godfreywilliam9673 hajui lakini mungu anaendelea kumtengeneza ataachaga tu
@user-ot2io4cy6w
@user-ot2io4cy6w 2 жыл бұрын
Kwan Waganga wanavaaga cheni na umejua kama wanavaaga cheni au na wewe ni Mganga au unaendaga kuaguliwa huko🤷🏾‍♂️🤷🏾‍♂️🤷🏾‍♂️
@jaliamwasomola5518
@jaliamwasomola5518 2 жыл бұрын
Mungu tusaidie na wew pia mmmm
@latinusdominic7625
@latinusdominic7625 2 жыл бұрын
Eti Askofu???
@rabsontryphon9254
@rabsontryphon9254 2 жыл бұрын
Unataka awe vp
@jacobelikana1624
@jacobelikana1624 2 жыл бұрын
Hagg uliorusiwa na askofu mmeionna
@kephahusseni3331
@kephahusseni3331 2 жыл бұрын
Zuchu nyumba ndoga
@waytvtz2549
@waytvtz2549 2 жыл бұрын
Masanja kusema la ukweli wewe ni comedian upastor umevamia kwa nyuma
@sabastianraymond.6383
@sabastianraymond.6383 2 жыл бұрын
HAKUKUA PETE EDENI. NINYI MMETOA WAPI? NA KWA ANDIKO LIPI?
@sweetluc2660
@sweetluc2660 2 жыл бұрын
Pete ni ishala tu ya Upendo Hakuna kwenye Andiko ndugu yangu
@pendobaharia7227
@pendobaharia7227 2 жыл бұрын
Pete Ni ishara ya kua mtu kaoa au kaolewa
@lovegodmunisi1006
@lovegodmunisi1006 2 жыл бұрын
Msiongee neno juu ya huyu jamaa, huyu ameitwa na Mungu mwenyewe
@kitasyajohn8338
@kitasyajohn8338 2 жыл бұрын
Hata nguo eden hazikuwepo wewe hizo umetoa wapi?
@frankkahimba1248
@frankkahimba1248 2 жыл бұрын
Basi mwishowe hata kula mchicha utasema ni dawa.
@kalaluwakisaka3211
@kalaluwakisaka3211 2 жыл бұрын
Amen
@kadunawewe7248
@kadunawewe7248 2 жыл бұрын
Ameen
@msongocomedy4947
@msongocomedy4947 2 жыл бұрын
Amen
@daliaangelo3242
@daliaangelo3242 6 ай бұрын
Amen
HUWEZI MUZUIA ASIYE ZUILIKA | PASTOR MASANJA MKANDAMIZAJI  #FREECHURCH #MASANJA #MKANDAMIZAJI
42:10
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 21 МЛН
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 84 МЛН
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 205 МЛН
MASANJA SIPENDI MKEWANGU ASHIKE SIMU YANGU
5:23
FEEL FREE CHURCH Dar es salaam
Рет қаралды 137 М.
RINGO AVISHA PETE HILI APA TUKIO LOTE #MASANJATV
18:13
Masanja TV
Рет қаралды 35 М.
Original Komedi walivyoingia kwenye Harusi ya Masanja na sare za Polisi
11:53
MASANJA ASIMULIA ALIVYOMPATA MKEWE
2:25
FEEL FREE CHURCH Dar es salaam
Рет қаралды 100 М.
KICHEKO MSIBANI: Angalia Masanja Mkandamizaji alivyowachekesha watu siku ya mazishi
6:04
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 1,1 МЛН
Nurmuhammed Jaqyp  - Nasini el donya (cover)
2:57
Nurmuhammed Jaqyp
Рет қаралды 563 М.
Malohat
3:35
Xamdam Sobirov - Topic
Рет қаралды 1,2 МЛН
지민 (Jimin) 'Who' Official MV
3:28
HYBE LABELS
Рет қаралды 26 МЛН
Erkesh Khasen -  Bir qyz bar M|V
2:43
Еркеш Хасен
Рет қаралды 950 М.
Aq Koilek
2:51
Algyt - Topic
Рет қаралды 104 М.