Mchungaji HANANJA Amfunika MASANJA Kuchekesha Mbele Ya WAZIRI Watu Hoi Kama Cheka Tu...

  Рет қаралды 411,540

Msasa Media

Msasa Media

Жыл бұрын

Ahsante kwa kuwa mwana familia, kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ili usipitwe na habari zetu.
#Mchungajihananja #masanjamkandamizaji #tanzania #zumaridi #trending

Пікірлер: 152
@Iamwinningspirit27
@Iamwinningspirit27 8 ай бұрын
Hananja real meaning of pastor anakutia moyo anakufanya unasahau stress 😅😅😅😅😅😅😅😅 nabarikiw sana na huyu mchungaji
@WillamChonya
@WillamChonya 6 күн бұрын
Mchungaji hananja we moto mungu akubariki mnoo
@daffagunda-rm3hj
@daffagunda-rm3hj 9 ай бұрын
Wapinga kristo poleni.mtaumia sana,ukristo una TAASISI nyingi sana,hebu njoo huku wewe mpinzani uonje raha hii.amen
@francofrederick972
@francofrederick972 8 ай бұрын
Kila aliehai hai bado neema inamuhusu, injili zakuhukumiana zaweza kuwa tanzi Kwa muhusika zikiendekezwa
@Khamisbuda-oy3ow
@Khamisbuda-oy3ow 8 ай бұрын
Subuhanallah unapotea ndugu yang ila had siku yako ya mwisho ndy utakuja kujuta baada mauti
@maclaudismail6606
@maclaudismail6606 8 ай бұрын
anavichekesho vya kurudia rudia, na kukashifu waislam
@MomadeMohammed
@MomadeMohammed 6 ай бұрын
Ukafiri
@lilianeerica3318
@lilianeerica3318 3 ай бұрын
Ameeeen ❤❤❤kuna raha kabisa
@user-cq5rs5in2y
@user-cq5rs5in2y 10 ай бұрын
Kiukweli hatamm omari bakari nakupenda Sana lakini huyumzee anakichwa chenye maneno yamoto yenyefuraha mzee hananja no hazina kubwa kwa wakiristo mkimpoteza mtamkuka Sana mungu tutunzie huyu baba
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 6 ай бұрын
Ameen
@stephanomoses7694
@stephanomoses7694 Жыл бұрын
Kwa mchungaj Huyu nisingekosa kanisan maana nikitoka nakuwa nime refresh sana
@Auntybetty_tz
@Auntybetty_tz 9 ай бұрын
Unajua wachungaji wengine wanang'ang'ania mahubili ya sadaka muda wote,,Ila huyu mzee anagusa Maisha yetu ya kila siku na changamoto tunazopitia,,ukweli ukimsikiliza lazima ufarike.
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 7 ай бұрын
Hata mimi
@thomasjohn7176
@thomasjohn7176 Жыл бұрын
Una madini sana MCHUNGAJI. Mungu akubariki sana
@williamkavuta8066
@williamkavuta8066 Жыл бұрын
Anatuchekesha ila ana ongea point nyingi kwa muda mchache
@venfreysand8835
@venfreysand8835 Жыл бұрын
Huyu mzee anakuwag na madini sanaa
@rittaaziz4470
@rittaaziz4470 Жыл бұрын
WOOOW MMESHAANZA CHURCH ON FIRE!!! CONGRATULATIONS SN MAY THE LORD N GOD BLESS IT ABUNDANTLY WELL. I HAD HEARD THIS LIKE 6DAYS AGO AND I WAS REALLY LOOKING FOR THIS. IAM SOOO HAPPY TO SEE YOU LILIAN N MASABJA WITH PST RICHY. GOD BLESS U SANAAAA MUNGU ATENDE MAMBO MAPYAA MAZURIII KWENYE HII PROGRAM AMEN❤
@user-ne5me5tx3m
@user-ne5me5tx3m 8 ай бұрын
Okooo
@rahelngaka4
@rahelngaka4 7 ай бұрын
].?​@@user-ne5me5tx3m
@WilliamPeter-ky7sx
@WilliamPeter-ky7sx 9 ай бұрын
Mchungaji Ananja ana kipawa kweli.. mistari ya Biblia inatoka kichwani dah!!!
@barakakomondawa2767
@barakakomondawa2767 9 ай бұрын
Mm napenda huyu mchungaji sana
@Dunia129
@Dunia129 8 ай бұрын
wanadam wengi wanapenda mizaha kuliko ukwel
@mikemutabuzi3665
@mikemutabuzi3665 Жыл бұрын
Huyu mchungaji afungue KZbin channel yake, Mzee anafurahisha sana
@nickmoshi8243
@nickmoshi8243 Жыл бұрын
Anayo inaitwa Pastor Richard Hananja
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 Жыл бұрын
Anayo
@mdachiog5211
@mdachiog5211 Жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/gorPdaOqn6urhMk
@SifaelMpagike-gt1gz
@SifaelMpagike-gt1gz 6 ай бұрын
Unataka kupona au kufurahishaw
@mikemutabuzi3665
@mikemutabuzi3665 6 ай бұрын
@@SifaelMpagike-gt1gz Samahani, Mimi siumwi ndugu yangu
@fortyyellu9971
@fortyyellu9971 Жыл бұрын
Masanja humuwez hananja hata kidogo.. namkubal hananja mbaka bas😅😅😅😅
@magdalenamynusic5831
@magdalenamynusic5831 7 ай бұрын
Baba Mungu akutunze. Mistari ya biblical umeiweka kichwani. Wewe ni jembe baba
@waltersesuru43
@waltersesuru43 Жыл бұрын
Amina mtumishi
@shizoshop2469
@shizoshop2469 13 күн бұрын
Hananja ni comedian pure 😂😂😂😂
@DoreenLembriss-xd1bz
@DoreenLembriss-xd1bz 9 ай бұрын
Jaman mchungaji alivyo simama sasa 🤣🤣🤣
@akberyuda5950
@akberyuda5950 6 ай бұрын
BWANA YESU KRISTO ANATISHA ANAVIFAA KWELIKWELI❤❤❤
@williamkavuta8066
@williamkavuta8066 Жыл бұрын
Uwezo mkubwa kwa kakariri mistari ni ajabu mnooo huyu ni hazina tunamchukulia powa
@amouralshabiby7543
@amouralshabiby7543 7 ай бұрын
Waislamu huwa wanahifadhi quran nzima ( msaafu wote) !!! Sio kukariri hapana !! Ni kuhifadhi
@MartineSulle
@MartineSulle 13 күн бұрын
Nawakubali watu WA mungu awabariki
@msafirijaffary7089
@msafirijaffary7089 8 ай бұрын
Hapa mwisho umezingua mzee na kuthubutusha kuwa kweli ulikuwa Teja, unapoongelea mambo yanayohusu Imani Yako usikebehi wala kudhihaki Imani za wengine kwa maana siku unaowakebehi watakuja kukebehi Imani Yako na huenda isiwe nzuri kwako au kwa unao waongoza 🤐
@jojosky337
@jojosky337 6 ай бұрын
Mbona hajakebehi acha kudadavua tofauti
@user-sw6bj7tn6t
@user-sw6bj7tn6t 9 ай бұрын
Huyu mchungaji namuelewa sana
@manaseliberatus1347
@manaseliberatus1347 Жыл бұрын
comedian aliyekosea barabara, inawezekana wazazi wake walimlazimisha
@user-iz9ci4rs3d
@user-iz9ci4rs3d 7 ай бұрын
Amen mtumishi wa Mungu
@TumainiENgasa
@TumainiENgasa Ай бұрын
Amen pastor masanja
@FaresHabel
@FaresHabel 7 ай бұрын
Kweli
@nassjr6566
@nassjr6566 Жыл бұрын
Ila waha wanapg pesa za wezao
@deblacktz2981
@deblacktz2981 2 ай бұрын
Pastor Hananja shikamoo
@user-dw1qu1tu1d
@user-dw1qu1tu1d 7 ай бұрын
❤ safi sana
@BarakaPaulotzsiria-
@BarakaPaulotzsiria- Ай бұрын
Hananja oyeee😂😂😂😂😂
@JastiniJastinlobati-dk2br
@JastiniJastinlobati-dk2br Ай бұрын
Mungu akubaliki
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 9 ай бұрын
Naomba mwenye namba ya Mchungaji Hananja pls
@deuskakulima2665
@deuskakulima2665 8 ай бұрын
Ninayo
@user-gq9fe6dn2c
@user-gq9fe6dn2c Ай бұрын
Vizur
@user-rl1dd7ik2m
@user-rl1dd7ik2m 9 ай бұрын
Nakubali m2mishi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@jojosky337
@jojosky337 6 ай бұрын
Ameeeeen Mchungaji🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@daudimichael7338
@daudimichael7338 Жыл бұрын
Abraham angesubiri, asimparamie Hajiri tusingepata Boko Haram na Alshabab 😂😂😂😂😂😂
@ahimidiwemwenyezi
@ahimidiwemwenyezi Жыл бұрын
😂
@auntdorah9141
@auntdorah9141 Жыл бұрын
😁
@machoguhamery3731
@machoguhamery3731 Жыл бұрын
Kwani Al-shabab na Boko haramu dini gani?
@nurukwilabya2790
@nurukwilabya2790 Жыл бұрын
​@@machoguhamery3731 hawana Dini, wanaabudu kuua na kuiba
@machoguhamery3731
@machoguhamery3731 Жыл бұрын
@@nurukwilabya2790 Wana dini soma majina yao utaifahamu
@twahamdoe5730
@twahamdoe5730 Жыл бұрын
Mnatumalizia mb zetu uyu mchungaji mpeni ulinzi ila nawaambia kitu uislam ndio dini ya haki
@alenialex6941
@alenialex6941 Жыл бұрын
#twahamdoe5730 si nyie mnaofilana Zanzibar na nchi nyingi za kiarabu au
@peninanyaki1639
@peninanyaki1639 Жыл бұрын
Yahaki kwa nafasi yake...din yakwelnikumjua mungu
@361NEWS
@361NEWS Жыл бұрын
Imani ni bora kuliko Dini.
@frankhoffa8356
@frankhoffa8356 9 ай бұрын
Sasa kweli nyoko kweli kwani hapa limekujaje hilo la uislam?
@lucasthomas188
@lucasthomas188 9 ай бұрын
​@@peninanyaki1639 swadakta
@listerlugisho52
@listerlugisho52 6 ай бұрын
Noma
@GIDEONMWANGI-cn7ul
@GIDEONMWANGI-cn7ul 2 ай бұрын
Nice one
@joely22
@joely22 3 күн бұрын
Uyu senga kweli
@user-to8uy8wh3c
@user-to8uy8wh3c 9 ай бұрын
Hananja na masanja mmetofautiana hn...ms...2
@halimazahoro8467
@halimazahoro8467 Жыл бұрын
Amen 🙏❤
@mwandisimfukwe326
@mwandisimfukwe326 Жыл бұрын
mmh! mzee Mungu akutetee
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 Жыл бұрын
Huyu baba kiboko kwakweli
@DigonzaKeimbe-uq1bx
@DigonzaKeimbe-uq1bx 9 ай бұрын
🙏🙏🙏
@ernestmshanabakari1352
@ernestmshanabakari1352 Жыл бұрын
Mzee wamadini
@justusngonyani165
@justusngonyani165 Ай бұрын
Yesu ni njia.
@calistusmahombo-ty8ni
@calistusmahombo-ty8ni Жыл бұрын
Adhabu zimetolewa tayari Kwa Wenye Mizaha. Mithali 24:1, 19:29 au?
@joubaplay
@joubaplay 7 ай бұрын
Kuna tofaut kat ya mizaha na utani 😅
@kelvinwilliam8136
@kelvinwilliam8136 5 ай бұрын
Sema usikivu hauko vizuri ila naamini audience hawakujuta uwepo wa mchungaji hananja katika jukwaa
@changarawemichael5556
@changarawemichael5556 Жыл бұрын
Mchungaj wa kweli
@Rai_online_tv
@Rai_online_tv Жыл бұрын
Best of all time
@dicksonNyaulingo-zr8dn
@dicksonNyaulingo-zr8dn 2 ай бұрын
Hananja nakukubali from r mbuyuni iringa
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 Жыл бұрын
Yani kwanini asiwe anapewa scenes za mzee majuto 😂😂😂
@prophetzakayomkemwa5154
@prophetzakayomkemwa5154 Жыл бұрын
Kwakweli hapo umenena akaigize ila kwa UPANDE kazi ya MUNGU akapumnzike
@victorbugobola2276
@victorbugobola2276 Жыл бұрын
Et kwl na kufanana wanafanana na KingMajuto nayo point sema tu
@emmanuelerasti2405
@emmanuelerasti2405 Жыл бұрын
@@prophetzakayomkemwa5154 kwan wewe unataka apumzike kama nani? Kwan wewe ndo umemkitimia hicho kipawa? Tujiulize Kabla ya kunena
@sebastiannyenza9140
@sebastiannyenza9140 Жыл бұрын
Hongera Sana mtumishi wa Mungu naomba namba yako mi Nipo kibamba
@safarimallya4536
@safarimallya4536 Жыл бұрын
Kweli
@davidmisiwa4622
@davidmisiwa4622 Жыл бұрын
Ahahahaaaaaaaaaaaa 😂😂😂😂
@NikawaidaYetu
@NikawaidaYetu 7 ай бұрын
🙏🙏🙏✍️
@KonzoOraphy
@KonzoOraphy 5 ай бұрын
Amen
@lambickmanda9125
@lambickmanda9125 Жыл бұрын
Iyo hospitali ni MLOGANZILA
@Lyro6390
@Lyro6390 Жыл бұрын
,🙏🙏
@ismailchibonda5005
@ismailchibonda5005 Жыл бұрын
Masanja ushampata katibu mwingine? Kama hujampata nije kuwa katibu.
@joycemageta4876
@joycemageta4876 Жыл бұрын
🤣😂🤣🤣🤣🤣🤣
@aishaamwalimu2887
@aishaamwalimu2887 Жыл бұрын
😂😂😂Ukataliwe na wewe ujiuwe.
@user-ol7de5fo7j
@user-ol7de5fo7j 6 ай бұрын
Mzee Hananja apewe mauwa yake, Na mwisho wa siku achongewe sanamu lake
@user-cq5rs5in2y
@user-cq5rs5in2y 10 ай бұрын
Ww manage libelatus unamatatizo ya akili nenda kwenye dini yako ya sheta kamaulivyo na maneno yakishetani kwamaana huna adabu kwa wakubwa hivyoóo no laana kubwa kwako
@isayalemberua9195
@isayalemberua9195 Жыл бұрын
hahahahahahahaha jaman ndugu zangu kajukuweni mboga kwenu jaman
@gracemlihano3971
@gracemlihano3971 Жыл бұрын
Anakitu atafika mbali
@jacksonkaale.
@jacksonkaale. 8 ай бұрын
Huyu ananja aende Cheka tuu.
@Twisokahebo-sr9ic
@Twisokahebo-sr9ic Ай бұрын
Ubalikiwe baba
@user-fy2sv7bm1g
@user-fy2sv7bm1g 6 ай бұрын
Yaani hawa wanatosha kuwa wasanii wa Tz jamn
@EliasGervas-jb6rd
@EliasGervas-jb6rd 6 ай бұрын
😢
@haongaaloyce7207
@haongaaloyce7207 Жыл бұрын
😅😅😅😅😅
@clevermgedzi4708
@clevermgedzi4708 9 ай бұрын
Hananja karibu njombe tunakupenda in njombe
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 10 ай бұрын
Sasa apo ndio kanisani au wapi
@IsayaSosolo-nx8zk
@IsayaSosolo-nx8zk 5 ай бұрын
Bar hapo ndugu yangu si via umeziona?
@sashaskasha483
@sashaskasha483 Жыл бұрын
Huyu ni comedian asiyetumia nguvu😂
@user-cq5rs5in2y
@user-cq5rs5in2y 10 ай бұрын
Shasaskasha hatajina lakolenyewe bovu lazima hata Lili ya nimbovu kwasababu hunaheshima kwa wakubwa hivyoóo nilaana kwako
@saidissa8273
@saidissa8273 Жыл бұрын
NASHANGAA HAPA NI KANISANI AU VICHEKESHO?
@fredanunda7719
@fredanunda7719 6 ай бұрын
Huyu mchungaji ni kakaye mzee majuto???😂😂😂😂😂😂ah!! Maneno jamani yatiririka kama maji ya mfereji😂😂😂 anachangamsha
@samsonhamery3809
@samsonhamery3809 10 ай бұрын
Mchungaji Hananja anastahili kuitwa Profesa wa Bible.
@samsonhamery3809
@samsonhamery3809 10 ай бұрын
Hakika alistahili Sana lakini hizi za Taasisi za Kikristo zinawamwagia wachingaji na mManabii shahada za U-Dokta hata sala wanasoma kwenye karatasi hawewezi hata kumdu sala ya rohoni hivi huyi Mchungaji Hananja ambaye Biblia imejaa kichwani mwake,anaweza kuhubiri kwa kusoma mistaho ya Bibli toka kichwani mnamnyima hata shahada ya Doctar of Doctrine (DD) au Doctor of Bible Knowledge (DB)
@mustaphamudhihiri-im7sg
@mustaphamudhihiri-im7sg 9 ай бұрын
😂
@ErickRichard-nw9ry
@ErickRichard-nw9ry 9 ай бұрын
😂 😂
@user-kx7ob5rx4p
@user-kx7ob5rx4p 7 ай бұрын
Sioni Kama ni sawa
@andrew29468
@andrew29468 Жыл бұрын
Uwezo mkubwa wa kushika mistari kwenye bible ni jambo kubwa mnoo na naamini ni kipaji kikubwa
@mnolamanyendi4956
@mnolamanyendi4956 7 ай бұрын
Msipo slimu kuwa waislam mtakwenda kulia hamtaamini macho yenu
@AnnoyedCobra-lq7fb
@AnnoyedCobra-lq7fb 6 ай бұрын
😂😂😂
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 6 ай бұрын
Kwani uislamu Nini wewe Mungu anaangalia moyo matendo yakumpendeza na kutii Sheria zake hizo Dini Ni mipango WA mwanadamu watu kumtafuta Mungu na Mungu Ni Roho
@abelbilia4450
@abelbilia4450 Жыл бұрын
Kiukweli masanja ww ni tapeli kbs ludisha pesa yangu
@odaksibuchum7944
@odaksibuchum7944 Жыл бұрын
Alikuibia?
@ezekieljackline3903
@ezekieljackline3903 Жыл бұрын
Beee
@demask3423
@demask3423 Жыл бұрын
Kakuibiaje?
@safarimallya4536
@safarimallya4536 Жыл бұрын
Yaaan wewe aisee
@user-up8uq3ih2i
@user-up8uq3ih2i 6 ай бұрын
Uislamu nini!mbona dhambi anatenda kama Kawa,hao hawajaokoka kama wewe
@DeborahJaphethLaiser-is2ps
@DeborahJaphethLaiser-is2ps 9 ай бұрын
Ila kumbukeni mbingu haina mizaa kueni makin hapa.. Mungu hayupo kwenye mizaa.. hapo siwatii moyo kabisa
@user-gg2jq8mp9d
@user-gg2jq8mp9d 9 ай бұрын
Hapo mzaha uko wapi?
@DeborahJaphethLaiser-is2ps
@DeborahJaphethLaiser-is2ps 9 ай бұрын
@@user-gg2jq8mp9d Wala Mungu hafurahi hata kidogo
@DeborahJaphethLaiser-is2ps
@DeborahJaphethLaiser-is2ps 9 ай бұрын
@@user-gg2jq8mp9d mizaa mingii watu kucheka sio ndo tusema Mbingu zinafurahia... Ngoja wakati wa unyakuo ndo utaelewa vema sai Bado hamjatambua... Karibu Kristo Yesu anarudi tengenezeni mapito yangu na njia zenu ziwe sawa kwa Bwana.. vaeni viatu muwe tayari.... Wokovu wa kweli ni toba
@DeborahJaphethLaiser-is2ps
@DeborahJaphethLaiser-is2ps 9 ай бұрын
@@user-gg2jq8mp9d mwanadam kukusifia sio sifa.. wacha mbingu zikufurahie wanadam wasifurahi sio mbaya
@DeborahJaphethLaiser-is2ps
@DeborahJaphethLaiser-is2ps 9 ай бұрын
Maana wanadam hawana mbingu za kukupeleka
@user-sr1wr2xc5g
@user-sr1wr2xc5g Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@mcarbonic0rg211
@mcarbonic0rg211 7 ай бұрын
Ni stand up comedy Kwa mukhtadha wa Church hakuna dini inayo kubali mzaha mzaha Hapo mwisho umeyumba mzee dhihaka sio njema hasa kwa imani isio kuhusu Nakumbusha imani sio kitu cha kuchezea Hukupaswa kusema hayo. Ingefaa utuombe radhi
@meshack3266
@meshack3266 Жыл бұрын
Masanja nimekumaind mnafiki wewe eneo dog alijenga babako
@chulelubella2819
@chulelubella2819 6 ай бұрын
Huyu mzee ni mhuni watu wanadai ana busara gani mvuta bangu no1 KKKT
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 6 ай бұрын
Hujui utendaro Mungu akusanehe umefungwa ufahamu
@chulelubella2819
@chulelubella2819 6 ай бұрын
@@tinnahagustinolyelu4247 mpuuzi eti nimefungwa fahamu wewe ndio umefungwa fahamu hauoni kati ya mtumishi wa kweli na wa uongo
@mariakabesha3718
@mariakabesha3718 5 ай бұрын
Pale Comedian wanapokutana kukusanya sadaka
@muhammednassor690
@muhammednassor690 6 ай бұрын
Piga hela zako masanja
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 Күн бұрын
Usaniiii tuuuu
@GoodAilon
@GoodAilon 2 ай бұрын
😂
@josephkahindi1713
@josephkahindi1713 Жыл бұрын
😂😂😂
Получилось у Миланы?😂
00:13
ХАБИБ
Рет қаралды 3,4 МЛН
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 6 МЛН
Clowns abuse children#Short #Officer Rabbit #angel
00:51
兔子警官
Рет қаралды 78 МЛН
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 176 МЛН
ELIUD NA MAMA YAKE KWENYE SHOW YA WAISA
18:50
Eliud Samwel
Рет қаралды 60 М.
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
0:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 7 МЛН
A young mother couldn't calm down her baby at the lesson #shorts
0:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 12 МЛН
С топором нельзя #ссср #история
1:00
MOTIVATION
Рет қаралды 1,8 МЛН
Вся страна в очередях, а ты без очереди...
0:52
МиRRные Чувства
Рет қаралды 6 МЛН
小路飞跟姐姐去哪里了#海贼王#路飞
0:45
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 37 МЛН
Вилка для консервов 🥒
0:51
Сан Тан
Рет қаралды 2,5 МЛН