Mafundisho ya kutokushika simu ya mkeo au mumeo ni ya watu ambao hawajaokoka mtumishi, hii sio sawa. Being honest ndo kinachotakiwa kwenye ndoa. Shetani hapaswi kupewa sifa hata ambazo hastahili. Kama uko honest na mkeo au mumeo hata ije sms ya aina gani kama kuna kuaminiana kati yenu haiwezi kuwababaisha.
@JohnMchopa-yc5cw6 күн бұрын
Hawa watu ambao wanafikiri kuelewana na watu na kufuatwa na watu ndo utumishi Wana shida sana wanasema kuwafurahisha watu wao! Watu wa Mungu mume na mke ni wa Moja,kwa Nini simu iwe sumu kushika? Mungu tusaidie tuseme kweli kuliko kupendeza watu.
@rahabusimonie55083 жыл бұрын
ktk kitu shetani amewaweza watu wengi ni roho ya uzinzi ht watumishi wameshindwa jinsi ya kutafundisha
@joshuashisa41663 жыл бұрын
Hapanaaa hapana ayo mafundisho
@edwarddaniel7459 Жыл бұрын
Interested lesson bishop massanja
@kajiratv59783 жыл бұрын
Hapo kwenye simu si kweli
@basilisamsaka846922 күн бұрын
Nyie mnaopiga ni waongo,elewa kila mtu anawivu na wivu ni dhambi,kuna watu wanaweza kutuma sms kwa kugombanisha na anajua umeoa au kuolewa,mwingine amechukua no mwanzoni kwa nia njem saa lkn mbele sms zin
@tausimwangwale15752 жыл бұрын
Mtumishi wa mungu naomba maombiyako angaraunipate faraja ninashida sana
@HelbethMlelwa2 жыл бұрын
Ni umalaya ndio unawafanya mfiche simu. Hapo hakuna cha mchungaji wala cha nini...
@zeddybass66722 жыл бұрын
Na nyie simu zenu za magumashi zinaingia kwa shost 😂😂😂😂
@williamhalinga35842 жыл бұрын
anayepingana na maneno ya mtumishi ni mwanamke koloboi
@maigajohn5828 Жыл бұрын
Uko sawa good point
@mamawadudu482 жыл бұрын
Masanja wafundishe watu vitu vya kuwapeleka levo nyingine. Levo ya kutovurugwa hata wakiona kitu cha ajabu kama meseji mbaya kwenye simu. Simu lazima uwe huru kwa kila mmoja katika ndoa. Hata kamabwe wewe umefeli hapo usitake wote wafeli. Simu iwe wazi. Mapenzi yakiingia woga woga yanakua hayana radha.
@jamesraphaelmdima47292 жыл бұрын
Sawa kabisa.
@eliamkonda51622 жыл бұрын
🤣🤣 daah huyu mchungaji balaaa
@user-cn6db7wt7h7 ай бұрын
Asante mungu na azidi kukutumia mtumishi
@boncenagottalent2 жыл бұрын
Katika makanisa Yana ongoza kwa huduma nzuri na kubariki ni hapa Amina baba askofu
@msomimosomy98123 жыл бұрын
Yaani dini zimeingiliwa
@user-hw2du2ze7l2 ай бұрын
kabisa
@elizabethmassawe54483 жыл бұрын
Hapa hapana kwa kwel
@lusekelodaison81593 жыл бұрын
Yes ni kweli kabisa, ninachoamin Shetan huwa anatuzunguka muda wote kwaajili ya kuvuruga mpango wa Mungu, ninachoamin ni kwamba nikuamua kukata daraja litakalo mfanya shetan avuke kwa urahis hapo, kila mtu abaki na chake
@brotherisaiahtv3 жыл бұрын
Hiyo cheni hapana inashusha hadhi
@kongs.9595 Жыл бұрын
KUMBE SIMU SIO SEHEMU YA SIRI MWISHO WA SIKU KILICHO NDANI YA SIMU KINAJULIKANA HATA KAMA HUKUTAKA KUKIJUA
@irenesumari57223 жыл бұрын
Kwan tuliambiwa mume na mke ni mwili mmoja isipokua cm au. ????.
@msomimosomy98123 жыл бұрын
Masanja naye niaskofu
@julytito38913 жыл бұрын
Na kama huna mission ya Siri kwann upate hedec Sasa jmn ,,hi kama sijaelewa vile
@christianchando70413 жыл бұрын
Yuko sahihi kabisa. Mwenzako anaweza akawa hana tabia yoyote mbaya. Lakini ibilisi tu akaamua kumtumia mtu kuwavuruga. Mtu anaweza kukutumia sms ya mapenzi ingawa ww hujawahi hata kumuwazia kwa namna hiyo.
@rodinemahega99252 жыл бұрын
Sasa wewe kama mwaminifu kwanini hutaki mkeo ashike cm yako.?
@opulentprudent6122 жыл бұрын
Sasa penyewe kwann aishike??
@williamhalinga35842 жыл бұрын
amewapa mifupa badala ya maziwa ndo maana wachangaa kiimani hawajamuelewa kabisa mtumishi wa Mungu
@peterjackson53072 жыл бұрын
Nimekuelewa vizuri mtumishi wa MUNGU
@jeanettegloria62443 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu
@RoseKimishabhalemi-oz9bn17 күн бұрын
Wee malaya tu anapaswe hivyo
@michaelnzali77812 жыл бұрын
masanja nakubali ujumbe mzuri
@user-zc1xq8xk1i8 ай бұрын
Mtu kama umemuoa ni kweli kakupenda,waliobaki wanajikombakomba
@ramadhanisimile72053 жыл бұрын
Umeongea point sana
@prosperjuma9053 жыл бұрын
Kazi kweli kweli.
@samrecordvwawa91333 жыл бұрын
Unajua wewe nakuelewa sanaaaa
@rehemarashidi73912 жыл бұрын
Amen wakubwa tumekuelewa
@humphreymollel2394 Жыл бұрын
Hata mimi sitaki urafiki na simu yangu kwa mwanamke na mimi c taki maziwa na ya kwake
@elkanakilumbe2 жыл бұрын
Msifundishe kitu ilikikubaliwe na watu wengi, fundisheni neno la Mungu sawasawa na neno lake. Nini maana ya mwili mmoja? Walimwengu watufundishe kuwa vitu vingine tuvifiche kwa wenza wetu hata kanisani tunanafundishwa mafundisho hayo hayo...what will make the difference?
@jamesraphaelmdima47292 жыл бұрын
Sio kweli kabisa ni kuendeleza uzinzi na Uasherati tu.
@inviolatamalifa6871 Жыл бұрын
Libarikiwe na tumbo lililokuzaaa baba nakuelewaga Dana.
@charlesnkasi99043 жыл бұрын
Nakubali sana haha
@walterkweka7872 жыл бұрын
Hizi ni nyakati za Hatari...sio kila kitu cha Kusikiliza wapendwa
@jolemerci2155 Жыл бұрын
Umeongea kweli sio kila neno la ku sikiliza maneno yake ni inasikika kama vile nyoka alimujiaga eva kamujia kama ni kwa kweli kumbe kumuangamiza eva
@user-hw2du2ze7l2 ай бұрын
Ni kweli kabisa ndugu
@user-hw2du2ze7l2 ай бұрын
ni kweli kabisa ndugu
@jaberjohn75563 жыл бұрын
I support you masanja.
@ednahamisi72882 жыл бұрын
ujiamini mtumishi ,
@danyohanatv1926 Жыл бұрын
Mtumishi unajitetea ili uwe huru zaidiiii
@mariamswedi11402 жыл бұрын
Kwa hyo ndio mkeo asishike cm wkt mmeokoka mh siamini juu ya hilo ukiwa serious na Mungu hta hayo unayoyaongea ma sms hayata kupata unakuwa na upako wa roho mtakatifu ujinga ujinga hauta kufata
@apostleadamgige46622 жыл бұрын
Hilo ndio neno sahihi,
@user-up8uq3ih2i8 ай бұрын
Umevaa nini hiyo shingoni nawee unavaa bizaa za yezeberi, huelewek vaa Kwa ufunuo wa roho, halafu unanyoaje hivo, rudi katika njia
@sabihaibrahim33932 жыл бұрын
Askofu.sema ukweli hakuna kidume kinashiba kikatosheka na mke mmojaa
@MS.independent89342 жыл бұрын
Fact's ✊🏽🙏🏽
@castobenjamin40743 жыл бұрын
Daaah Masanjaa😂😂😂😂😂
@emedizofiretv44063 жыл бұрын
😂 😂 😂 😂 😂 MASANJA YOU IS A BEST PASTOR IN TANZANIA Mwanawane..... FROM RUJEWA MBARALI MBEYA
@fredrickjohnson26923 жыл бұрын
Best pastor for which? Masanja is wrong for this coz this is a church not a club.you can't teach the clue of church to hide a sins and advising them to stay in fear at all. Good man of God, knows the actual meaning of Jesus and his freedom when confessed to hive.we should teach people to put them free from sins instead of growing them in a serious problems. Hiyo ni dhambi msishabikie.mimi nikioa siwezi kuwa naficha simu au naogopa kushika cm ya mke wangu kwanini? Hujui kuwa ipo siku yatakuwa mazito zaidi akichungulia simu yako akaona msg? Acheni kutunza hofu ktk vifua vyenu.tafuteni Uhuru ambao utawafanya mtambulike kuwa mfano wa kuigwa. Ukikuta umeoa Halafu Kuna msg za hovyo ujue kuwa bado wewe ni kihuni na huenda unatongoza huko mitaani husemi umeoa.ko tuache mafundisho ya kishetani mnaudhi sana ninyi. Kila KANISA now wanataka pesa tu,wanapotosha ukweli wa wokovu hawasemi kwwli kozi wao wanatenda dhambi na wanasimama madhabahuni. Washindwe kwa jina la yesu.wanamchafua yesu kristo.
@emedizofiretv44063 жыл бұрын
Sikupingi mawazo yako. ila hicho unacho kiona kwako ni sahihi na kina manufaa ndoa yako itakua iko mbali....... ila pastor MASANJA alikua anatoa tahadhari kwa kile anacho kiona kinapelekea ndoa nyingi kuvunjika na si kitu kingine. Sasa basi kama maono yake yapo katika simu, ulitaka awafundishe maono yako wakati yeye anaona kitu kingine kwenye ndoa nyingi....?
@fredrickjohnson26923 жыл бұрын
@@emedizofiretv4406 Mtumishi wa mungu hutakiwi kufundisha njia za kutia mashaka Bali unatakiwa kufundisha umoja ktk ndoa na sio watu wazitii njia za udanganyifu.nini maana ya ndoa? Wakristo tumeanza kutoeleweka kozi mafundisho ya siku hizi ni kwa ajiri ya kuuza KZbin tu bila kuzingatia biblia inasemaje. Mnaoshabikia mwili shabikieni lakini je'katika Roho wa mungu kweli hayo ndio mafundisho sahihi? Tuache kuwaamini watu Bali tuwekeze ktk usomaji wa biblia na kutafuta kweli ili tukae katika imani tunayo itambua na sio kushabikia Kama mpira huku wachezaji na wapataji malipo wakiwa wengine. Kinacho uponza ulimwengu ni kukosa maarifa ya kiroho na Uwepo wa Mungu ktk Mioyo ya watu ili waweze kuyatambua mapenzi ya yesu kristo na wawe wasema kweli iliyondani ya wokovu wa kweli kutoka kwa yesu. Ukijituma kuishika biblia na kumiliki maneno yaliyo ndani ndipo utakapo funguliwa njia ya kweli.lakini Sasa usishangae kuona mamia ya watu wapo ktk kanisa woote hawana Nguvu ya mungu wa kweli Hilo tambua na usiwape usahihi kwa maana Wateuliwa ni wachache sana ktk ufalme wa mungu.. Ukikuta ndani ya ndoa mumeanza kuwekeana mipaka ya Mambo yenu ujue ndoa imejaa uovu.maana mke atamtilia shaka mume,na mume atamtilia shaka mke. Basi ikiwa mtakuwa ktk mashaka basic kila mtu atakuwa mtumwa wa dhambi na hataiogopa dhambi maana shetani atayashtakia matendo yenu na kila mtu atatenda dhambi kwa kuihararisha. Ndoa ni umoja kati ya muke na mume,mipasuko hiyo humaanisha tamaa ktk umoja wenu na sio ndoa ya Maagano ya MUNGU. Ahsante sana na mungu aturehemu
@evasanga5182 жыл бұрын
Kunakua hakuna haja yakuwa mwili mmoja
@alfamtewa3912 жыл бұрын
Askofu fekiiiiii
@asteriamhagama39982 жыл бұрын
Kweli kabic ujumbe mzuri can
@peterivandaud4962 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Pastor
@pstrafandelaizer18732 жыл бұрын
Zeeee OG KomeEEEEdi
@julytito38913 жыл бұрын
🤔🤔🤔🤔🙄🙄🙄hivi ushakuwa askofu kumbeee?? Kumbe simple kuwa askofu jmn hongera Sana God be with you servant of God
@teddylameck213 жыл бұрын
Kuwa na ww kama unaweza
@gracemwafongo40022 жыл бұрын
Asante mtumishiiiiii
@tausimwangwale15752 жыл бұрын
Ukovizuri mtumishi
@user-up8uq3ih2i8 ай бұрын
Hiyo injili yaufalme au ninini,?
@angelinageorge9479 Жыл бұрын
aminaa mchungaji
@monicamwandemele2648 Жыл бұрын
Kweli kabisa mtumishi
@robinahumphrey97252 жыл бұрын
Nimekupa
@esterester54902 жыл бұрын
Barikiwa m2mishi umenena
@charlessheks7166 Жыл бұрын
Ukome kufundishaivitena...
@festonkandonga852 жыл бұрын
Ni kweli kabisa mimi ni moja ya watu wasiopenda simu yangu kushikwa wala kuchunguzwa chunguzwa na bahati nzuri na mie sipendi kushika shika simu ya mtu wangu wa karibu
@sifamtasha42913 жыл бұрын
Mmh sidhani
@jolemerci2155 Жыл бұрын
Ikiwa kati ya mume n'a muke hakuna uaminigu wa kweli ndowa hiyo imeelekea motoni hâta mutabasalu kanisani ila mwisho ni motoni pôle sana mwanadamu kwa ku muasi mungu
@veronicamnico47735 ай бұрын
Hapo sasa mtumishi duh mimi nachezea cm ya mume wangu mpaka basi Sema tu watu sio waaminifu
@chrisdeoglatias8665 Жыл бұрын
Kuna UKWELI kdg ktk maelekezo YKO lkn tuelewe jambo hili; MME NA MKE WAKUTANAPO ILI KUJUANA HKUNA ABAKIZAE NGUO YYTE" twaelewa maana yke? Maanake n kwamba HKUNA SIRI TNA MIONGONI Mwao,kila Moja n wazi mbele ya mwnzke,hvyo ht kweny mambo mengine n hvyohvyo,kwenye mshahara KUSIWE na Siri,kwenye uchumi,kwenye mahusiano,akaunti za benki mpk mawasiliano KUSIWE na ukuta! Ninamke Bwana amenibariki nae watoto 2 Sasa,kila1 wetu anajua yakwamba anaowajb wke kibinafs mbele za Bwana,ikiwa ameamua kumdanganya akaikabili HUKUMU basi na iwe hvyo,Hilo hutusaidia kila1 kuwa mwangalifu na mwaminifu sio Kwa MWENZAKE tu Bali Kwa Mungu wke kwnza na akiwa mwaminifu Kwa Mungu wke bc Mimi Niko salama. Vle tunavyoaminiana ht msg ya vjana ikiingia,haitupi shida maana tunaijua ikiw mmoja c mwaminifu kw Mungu wke bc ht iweje hawez kuwamwaminifu Kwa mwenza? Km mtu haogopi HUKUMU itishayo milele atawzje kuogopa kukalishwa kikao au kuachika!?
@afandebrighttz28872 жыл бұрын
Yes Datz True
@christianngao56082 жыл бұрын
Hapo kwenye simu siungi mkono hoja
@cyrusmichael69063 жыл бұрын
Kabisa mkandamizaji!
@amanijosiah6933 жыл бұрын
Mke na mume mwili mmoja haina shida kushika cm ya mwingine
@timothmwakakusyu45633 жыл бұрын
Haina shida? Utanikumbuka siku moja, ukumbuke mwili ni tofauti na nafsi, kuwa mwili mmoja sio kuwa nafsi moja. Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa, kuna siku moja mwili mmoja utazikwa kabla ya mwingine ndo utajua kuwa haikuwa mwili mmoja. Wanaposema mwili mmoja lazima uelewe walimaanisha nn?
@williamhalinga35842 жыл бұрын
maana ya kuwa mwili mmoja si kama unavofikiri urapata tabu sana
Weeehh yaani mm napenda huyu mchungaji mpaka basi...I love you truthfulness...yaani ukweli mtupu..simu ya Mme wangu .kwangu SUMU..naiona kama vile mbwa huiutazama msikiti
@apostleadamgige46622 жыл бұрын
Nyie wote ni wazinzi tu,sio waaminifu ndio maana hamshikiani cm
@esthergrace1455 Жыл бұрын
Duu mafundisho ya siku za mwisho shika sana ulicho nacho tuko ukingoni
@user-zc1xq8xk1i8 ай бұрын
Wachungaji wanatofautiana mitazamo, wewe chukua mtazamo unaoupenda,sio lazima ukubaliane na mitazamo ya masanja, lakini Yuko kweli kabisa
@IsaacLameck-nz8yr6 ай бұрын
Mchungaji hutaki mke ashike cm Yako ? Kuna nini ? Amna pasta apa Lazima ujiamini na yesu wako
@rosemarymwakitwange62573 жыл бұрын
Haya sio mahubiri ni majigambo, umbea wa mtaani ma Uswahili kwa jina la Mungu,
@imantom80692 жыл бұрын
Sema limasanja linaubiri fact
@coolbino9352 жыл бұрын
Ukitaka mmeo akusaidie kupika chukua simu yake nenda nayo jikoni kuwa kama unatumia kumulikia
@neemamasimba29812 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 uuuuwi dah 🤔 umejuwa kunichekesha
@user-yk7wh3or2r6 ай бұрын
Sema tu hujiamini bt kutoshika simu nayo zii,kwan mtu akikufwata na kama hutaki maxungumzo yake mbona usimblock,yaan simu lazma ishikwe
@josephmwakasungula27783 жыл бұрын
Mwanawene umeongea kitu ambacho ni kweli kabisa yani hata Mimi sitaki kabisa kushika cm ya mke wangu maana sitaki stress
@jackyluns82242 жыл бұрын
Mmh makubwa
@williamhalinga35842 жыл бұрын
elewa kuwa mwili mmoja ina maanisha nini !!!
@williamhalinga35842 жыл бұрын
masanja yuko level ya juu sana anaposema anamaanisha !
@dorcasdavid22472 жыл бұрын
Ameen Mtumishi wa Mungu,Umenenaaaaa sn
@officialisayatz58953 жыл бұрын
Barikiwa Askofo
@rickross982 жыл бұрын
Nikweri kabisa
@alicelymo905 Жыл бұрын
Sawa bishop itabdi na mimi nitumie ya hubby wangu ku hotspot only mengine not necessary
@sharinv88643 жыл бұрын
Ukweli bt hizo shanga za shingo postor zinatisha kwakweli .
Kweli cm zina vunja Sana ndoa uchumba Mahusiano ila mkiwa mwili mmoja lazima kila kitu mjiweke wazi
@yagwishaheke25243 жыл бұрын
Yeah my sweetheart
@fredrickjohnson26923 жыл бұрын
Huwezi mficha mkeo cm,ujue hapo masanja anajikinga na uhuni.aache kuchezea madhabahu.anafundisha watu uhuni je,huo ni wokovu wa aina gani? Mbona watu wameoa lakini Kama mwanaume sio mhuni hizo msg hazipo. Masanja aseme ukweli kuwa bado anatongoza vibinti ko anatumia madhabahu kujikinga.akome hiyo tabia ya upotoshaji.tena akamwambie yule mama aliyemfundisha hayo akome kabisa wavunje huo mzizi wa dhambi ktk ndoa.
@jennifersindano51352 жыл бұрын
Then you are not one as God said you are no longer two but one!Fundisha neno acha ya mitaani.
@belafontesteven51442 жыл бұрын
Kama thamani ya mwisho.....
@dmpstudiosmeshackpascal13403 жыл бұрын
Najitoa mil 25 kwaajili ya kujenga sanamu yako pale ikulu ya rais. 🙏
@angelamarlow5103 жыл бұрын
Duh nipunguzie 1 nitashukuru nifanye mtja
@jackyluns82242 жыл бұрын
DMP nipunguzie ili nifanye shooting ya nyimbo za injili
@eddahkitindi2277 Жыл бұрын
Hiyo shingoni Ni shanga ya nini? ina maanisha nini anapovaa akiwa madhabahuni
@oliverkyando98973 жыл бұрын
Mmh masanja unafundisha nn sasa
@sethkavenuke1233 жыл бұрын
Tuliookoka mpaka ndani tunashikiana simu bila shiiiida,bora, wamstsifa ndo wanaotedeka kukataliana Ku share simu,
@helengaston79892 жыл бұрын
Kwakweli hapa nilipo usiku huu nimeshika simu ya mume wangu inategemea hata uchumba wao ukoje watu tuna badilishanaga simu kabisaaaaa
@sophiabryson27353 жыл бұрын
hapo sasa yule aloshtuka mumewe anafunga ndoa na mwanamke mwingine hapo 50 kwa 50 kila upande