MASANJA AONESHA NYUMBA ANAYO ISHI KIJIJINI NA USAFIRI!!
Пікірлер: 72
@neemamabiki61645 жыл бұрын
Daaah!mtu wa watu anajituma akifanikiwa watu oooh!!masanja Freemason kama ni rahisi kihivyo na wao wajiunge.
@magejoseph92584 жыл бұрын
Napenda Sana kuwa mkulima maana nami pia ni mtoto was wamkulima Ila Sasa pesa to ndo shida maisha yangu bado kabisa naomba Mungu nami anisaidie ili kutimiza ndoto yangu hongera sana kakaangu kwa kazi nzr
@mwasoprince34595 жыл бұрын
Kukiwa na vijana kama hawa million2 nchini hakika Njaa tutaisikia tu,,,, sio tuna vijana wa majungu tu. Hongera kijana.
@momamishevevo84605 жыл бұрын
kk masanja ww nomaaaaaaa big up
@joycengowi24294 жыл бұрын
Mungu azibariki kazi za mikono yako
@danfordmwangesile90435 жыл бұрын
Ahsante Sana Emmanuel Mungu azidi kukubariki. Sijui nakupateje ili nijifunze kitu kwako Kaka?????
@marcobulili43415 жыл бұрын
Uko vzur sana ktk masuala ya kilimo! Nakushauri ulime kisasa kwa kutumia mshine za kupanda na kuvuna ili kuepuka hasara ya hapo baadaye ya kukosa wapandaji
@shekhekhandereizer5595 жыл бұрын
pole pole mwanawane kapikipiki unakakuruza mno au sabu amna police uko
@cheweathumani63335 жыл бұрын
Safi sana brother kwa kujituma, j alteza hapa,
@billydadkiswaga94615 жыл бұрын
Excellent job
@daudmayombo67634 жыл бұрын
Safi sana bro dalasa tosha
@pendobaharia98855 жыл бұрын
Mungu akujaze zaidi na zaidi
@denismwalukunga86865 жыл бұрын
Hongera kwa kujituma wengine wanaona raha kuwa maarufu bila kujishughulisha
@sadajuma51355 жыл бұрын
Honger masanja
@georgemligo34205 жыл бұрын
Weeeee mzeee una utofauti aiseee big up sanaaaaaa. Investment unayo ifanya ni nzuri vipi iyo ni Ubaruku au Kapunga???
@yasintamartin34265 жыл бұрын
hongera sana masanja
@Vuvuzelaz15 жыл бұрын
Big up Masanja napenda sana kazi za Shamba uwiiii mpunga huooo
@neemiandondole61684 жыл бұрын
Be masanja uliunofu swee nde valonge swela.
@brhchannel66185 жыл бұрын
Najifunza vitu vingi Sana kutoka kwako Brother hakika wewe unani inspire Sana with your beautiful wife hana maneno Mtoto wa kisukuma jamani @Masanja
@neemajohn60865 жыл бұрын
Eng.Muyengi Baraka vp
@brhchannel66185 жыл бұрын
@@neemajohn6086 Pouwah Mzima Ney.
@saddykayage65195 жыл бұрын
Naomba kazi boss masanja
@danielmbalwa93075 жыл бұрын
Safii sanaaa maisha ni mapambanooo
@raysonmero56495 жыл бұрын
Much rspect broo
@emmanuelkimonge70135 жыл бұрын
Big up sana wajina ngoja tuanze kujipanga ili next time na sisi wengine tuje huko aiseee nimeipenda sana hii.
@makalangele62295 жыл бұрын
Big up Masanja
@neemakaluwa58565 жыл бұрын
Kwa kujituma huko kwann Mungu asikukumbuke? Ki ukwel unanitia hamasa yakuendelea kuhaso na kutokata tamaa.
@saphynjaule48495 жыл бұрын
Kweli kaka Mungu azidi kukubariki zaidi kwa jitihada zako.unani inspire saana
@magelupia78975 жыл бұрын
Appreciate you bro
@barakachami82185 жыл бұрын
Daah.. Ngoja nipate money na mm nikalime Aisee kilimo kizuri ukiwa na pesa
@falictv90585 жыл бұрын
We ni noma
@deusmauka96265 жыл бұрын
Hakuna haja ya kuwapa wawekezaji ardhi ilhali wapo Watanzania wachapa kazi, hayo mashamba ya wawekezaji mpeni masanja.
@dicksonmpululu18005 жыл бұрын
Hongera sana kwakaz!!!?
@swaumumohammed57103 жыл бұрын
Iki kilimo kizuri ila usikurpuke ela lazimaiwepo
@godfreymgaya18625 жыл бұрын
Najifunza Sana kakaa
@francischela27605 жыл бұрын
Mkuu kazi inanihusu hiyo
@emmanuelkimonge70135 жыл бұрын
Ila pia wajina nasubiria ile tour ya kuja huko tuje kujifunza
Unania ya kukwepa kod non mbna km unajitetea kabla hujaambiwa unadaiwa b mbili hapo badae
@littlelion72765 жыл бұрын
Aysee inabidi nikutafute unioneshe namna ya kupractise kilimo bora.. Nitakutext whasap mkuu
@سبحانالله-ح7د5 жыл бұрын
Usiku si itakuwa giza.
@hellenmgungus12025 жыл бұрын
Unalila sababu ya kuwa bilionea masanja
@franklugalamila44735 жыл бұрын
Duuh uyu bro mfano wakuingwa
@dorcasanderson48255 жыл бұрын
Hongera sana Bro...
@bonishani85705 жыл бұрын
kilimo nikizuri san
@sigifridaloyce99145 жыл бұрын
uyu jamaa yupo kama muhaya bhn hata simuelewagi yupo kama muhaya
@marwaryoba97255 жыл бұрын
Jamaa jinsi anavyo post hizi mambo ana maan kuw vjn tuchangamkie frusa afanyi kwa sifa bali kutuinsipire,,,tusibweteke na viajira vya kuajiriwa,je kesho haupo familia yako itaridhi nn? Tutafakar tuchukue hatua.
@mikembokaila42415 жыл бұрын
kibanda chako kiboreshe kidg
@rahimatanzani65095 жыл бұрын
Yani wewe masanja ni mfano wa kuigwa kabisa mm nimetaman sana kazi za shamba mtaji bei gani
@godfreymgaya18625 жыл бұрын
Eka moja laki 6
@rahimatanzani65095 жыл бұрын
@@godfreymgaya1862 huko kwenu mshamba yapo japo eky moja
@mohameddamka9225 жыл бұрын
mtaji mkubwa kabisa ni nguvu zako mwenyewe
@rahimatanzani65095 жыл бұрын
@@mohameddamka922 sawa sikatai nguvu nyingi ni nzangu ila nahutaj shamba
@mohameddamka9225 жыл бұрын
@@rahimatanzani6509kwakua ndo unaanza tafuta shamba ambalo si kubwa saana lima kwa kutumia mkono kwanza harafu taratibu utakwenda unaongeza ukubwa wa shamba