maneno yako wazi kazi kwenu bakwata ima mfate haki au batili. masheikh mashaAllah wameongea vzr
@allymwabawa18825 жыл бұрын
maneno ya nani?
@user-qy3br1xc5m Жыл бұрын
Masheikh waongoo ndio hawaaa
@salimally68775 жыл бұрын
Shekhe kishki mungu akulipe kwakila lenye heri ishaallah
@allyhamisi47095 жыл бұрын
Amin
@zulfahhussein5055 жыл бұрын
Aaaaaaamiin
@seifriyembe67462 жыл бұрын
Mbumbumbu hawajui jiografia.
@mimukenya8896 жыл бұрын
Ma Shaa Allah
@alhamdulillahalhamdulillah75292 жыл бұрын
Muwe makini tu na video hii inakaribu miaka minne au Zaidi tokea niione Mimi sahivi 2022na nakumbuka ilieditiwa kwa kutaka watu ufuatwe msimamo wao
@myoutubecom-gg7sb6 жыл бұрын
MashAllah
@abuyunusmohamed69615 жыл бұрын
hii video ni ya kutengenezwa na masheikh wote walitoa misimamo tofauti isipokuwa imekatwa
@kananiitv46433 жыл бұрын
Huyo kishki na wenzake wamuogope mungu, arafa sio moja, arafa zipo3, arafa kitendo, mahali na kisimamo, wanavyotuambia arafa1 hatuwaelewi
@husseinyahaya26395 жыл бұрын
Mambo haya ni mapana sana ndugu zangu acheni hawaa semeni haqq wattaqullaah alaa aq waalikum
@kassimally18035 жыл бұрын
Sahihi kabisa hakuna dalili nyingine zaidi ya hizo shukraan jazaq llahu khairaa
@maawymuhammad6779 Жыл бұрын
Mtume aliulizwa kuhusu siku ya arafa akajibu kwamba arafa ni tarehe tisa hakuna hata riwaya moja isemayo kwamba arafa ni siku ya kismamo hakuna Nakuuliza swali je kama wewe umeona mwezi mbele ya suudiya alafu kwako ikafika kumi na kwao ikawa ni tisa je utafunga tarehe kumi haya funga kama wewe ni mkweli upate madhambi.Hili ni swali bin baz aliulizwa shekhe wenu wa kiwahabi akasema kwamba ni haramu kufunga kwa hiyo haya ni maelezo tosha yanayoonyesha kwamba arafa ni tarehe tisa Mtume aliposema kwamba alhajju arafa hiyo hadithi yawahusu mahujjaj si wale ambao wanaofunga.Hao wazungumzaji wajidai mashekhe na hakuna wajualo.
@salumrashidabdullashmely25585 жыл бұрын
Acheni uongo, elezeni haqi
@ibrahimcharlesswaleh5 жыл бұрын
Arafa ni moja, wewe kama unakaza kichwa endelea. Na dunia nzima watu husimama Arafa ndani ya masaa24.
@saidnyonzo8505 жыл бұрын
KWA HIYO WANAZUONI WA SASA WANAWASHINDA WA ZAMANI NA MTUME
@ahmadazubeir51125 жыл бұрын
Sheikh Kishki taratiibu basiii
@husseinally55503 жыл бұрын
Maneno matupu
@halfansaid93132 жыл бұрын
maneno mazuri mmeyapata kitabu gani
@abdullirahimuramadhani46756 жыл бұрын
waambie mashehe ubwabwa akina suraga
@sanuramakame51225 жыл бұрын
Uislam ni kiboko ya sayansi sasa ukisema kua duinia nzima tufuate mwandamo wa mwezi mmoja nisawa sawa kusema uislamu na sayansi ni vitu viwili tofauti na hali ya kua sio kweli.
@hamadisambi41245 жыл бұрын
DALILI NINI??
@saidnyonzo8505 жыл бұрын
Hiyo ni mitazamo yenu na kitu kibaya zaidi kwan mnapotosha na wengine
@ahmadazubeir51125 жыл бұрын
Alhajju Arafa!! Unaijua hadithi Sheikh mafhuum yake
@sajjadally92483 жыл бұрын
Mnachakachua kipande cha sheikh Al arif 😀😀😀😀baada ya kuumbuliwa.Huyo Kilemile anakula matapishi yake
@ziadaalute68365 жыл бұрын
Arafa ni moja hata kama si kusoma,M/Mungu angetaka Arafa ziwe nyingi asingelazimisha makabila yote yakutane kule,angeacha kila mtu akae kwao naafanyie hukohuko.
@asiakheir64066 жыл бұрын
Shukran tutafuata maka in shaa Allah
@Twariqabaalwy5 жыл бұрын
Fuata sunnah ambayo ni kufuata muandamo wa uliko sheikh
@user-bt8wh8cd3g2 ай бұрын
Ww waulza kisimamo au swaumu hzo nztu tafaut
@assadhassan69195 жыл бұрын
Tatizo mnaongea bila dalili, hebu tufafanulieni Quran na hadith zinasema nini kuhusu arafa, na mwezi tisa
@kassimally18035 жыл бұрын
Dalili unazo wewe
@omaryenock82036 жыл бұрын
Shekh kish Allah akulipe kila LA kheri
@fatmayarabbitunusuruawadh65446 жыл бұрын
ampe umri mrefu wenye manufaa
@Twariqabaalwy5 жыл бұрын
Umri wa kutubia kwa urongo alosema
@Twariqabaalwy5 жыл бұрын
Kishki na masheikh wengine wamedanganga waziwazi bila aibu
@Twariqabaalwy5 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/qHisq3Sbe5lrl9k
@afric012 жыл бұрын
Aslm alkm ww.... Mambo haya yaskitisha sanaaaaa. Allah atuongoze. Sijui tusemeje. Tafadhalini zungumzenu muelewane. Shukran sana. Allah atulinde na atutaqabalie dua zetu tunapo muomba. Yahuzunisha. Insha Allah kheir 🙏
@banihashim53472 жыл бұрын
Masufi mwashangaza sana mwanamuita ibnu baaza na ibnu uthaymeem kuwa mawahabi, Lkn hapo hapo Eti mnatumia fatawa zao,!!!
@feswalsalim79093 жыл бұрын
Aslm Shekh wa shekh kuluamu waatum bihery minal admin
@nganzirashidi14636 жыл бұрын
Tatizo Elimu ndogo sana
@MohammedAli-mf3ln6 жыл бұрын
Ng'anzi Rashidi tende zasumbua watu. Hawataki Kurosawa dalili ya Hadith Swali tarehe 9 na hajj ipi ilikuwa mwanzo
@Twariqabaalwy5 жыл бұрын
Kweli kabisa rashidi,na ilimu ndogo sumu
@khamisijuma31673 жыл бұрын
Waisilamu tuacheni ushabiki tuangalieni Mambo kielimu nadalili zake
@nawawisaalim71735 жыл бұрын
Uongo huo clip zote tunazo zote hizo zimetengenezwa kila aliye tengeneza hili aandae cha kujibu mbele ya Allah
@mohdkhatib2235 жыл бұрын
Hao mashekhe wapo na huo ndio msimamo wao kwa mujibu wa mafundisho ya Mitume
@mohdkhatib2235 жыл бұрын
Hao mashekhe wapo na huo ndio msimamo wao kwa mujibu wa mafundisho ya Mitume saw
@AbdulAbdul-pr9qe5 жыл бұрын
mohd khatib tatizo video imeeditiwa hiyo
@uledihassan60654 жыл бұрын
Imeeditiwa wapi kijana acha ujinga
@ludacrissrangiyabank37376 жыл бұрын
Kwa iyo tusitizame mwezi ktk nchi zetu
@hindisaidi50976 жыл бұрын
Sidhani kama utapewa jibu. Labda sie huku si sehemu ya dunia. Mungu aliiumba dunia tofauti na haitotokea kua sawa
@saidmuhama98466 жыл бұрын
Katika Ibada ya Hijja hesabu ya mwezi haitazamwi nchi tofauti na Saudia Arabia, hivyo ili kupata fadhila za funga lazma uendane na mahujaji wakiwa katika kisimamo.
@rayaalaisari45925 жыл бұрын
Lazima kila nchi itazame muandamo WA mwezi kwao mkitaka ukweli Saudi Leo Wana miaka 38 wao hawatazami mwezi wao wanafata kwa kuhesabu tu..... Namkumbuke Kuna nchi zingine sisi Asubuhi wao usiku Sasa mkisema watu ndunia nzima ifunge siku ya Arafa itakuwaje jamani
@alikirobo1415 жыл бұрын
Hawatakujibu hao. Bidaa
@rahmahkhalfan11784 жыл бұрын
@@saidmuhama9846 lete dalili.usilete propaganda za kiwahabi
@MohammedAli-mf3ln6 жыл бұрын
Toa dalili between Tarehe 9 na hajj kwa hadith au quraan
@user-bt8wh8cd3g2 ай бұрын
Ww wacha unafik Yule sheikh mwengne alpokuja alpoulizwa alisema kila mmoja na mwez wake
@ahmardlwambo62995 жыл бұрын
Shukran Sana
@salimually57163 жыл бұрын
عليكم بالعتيق
@ahmadazubeir51125 жыл бұрын
Arafa sio moja Mzee
@feswalsalim79093 жыл бұрын
Aaslmalykm shekh unanikumbukaa nilikuaaa jirani yako hapo shule wakumbukaa dar kwa mzee mwarabu aliekua Ameo mswahi
@malikshaban51135 жыл бұрын
A.alykm tunaomba mwenye clip mzima aitume ili tuweze kufahamu zaidi sio hii ya vipande pande
@binrashid86715 жыл бұрын
Dah umeniweza kwel na huyo sisimizi..
@abdulmajidothman89563 жыл бұрын
Zamani na saivi tafauti tuekeni wazi mashekhe wetu zamani hakukuwa na internet ambayo watu wata pata habari moja kwa moja kwamba leo au kesho ndo kisimamo cha Arafa
@halakamsiba6 жыл бұрын
Ya Allah tuongoze kwa njia ya haki.
@Twariqabaalwy5 жыл бұрын
Amiin
@ajuayeofficial5 жыл бұрын
*EIMU ZENU NDOKA SANA*
@ramadhankigwede48955 жыл бұрын
Kinachosikitisha zaidi majadiliano yote ya mwandamo kwa mwezi huja ndani ya Ramadhan na Mfunguo tatu baada ya hapo wale wote wanaufuata mwandamo wa saudia wanausahau na kufuata mwandamo was Tanzania hebu twambeyeni hapa kati pana mini hata pana sahaulika
@hassanal-husseiny91445 жыл бұрын
Wale walioko New Zealand ambao ni Masaa tisiya mbele watafuata Arafah vipi? Na wale walioko America wataipata Arafah vipi.
@yasinsaid63545 жыл бұрын
HASSAN AL-HUSSEINY hoja yako igeuze na upande wa pili ili uone kama unaongea point
@hamdanzagar91335 жыл бұрын
Tunakubaliana kwa mujibu wa naswi Kiama ni siku ya ijumaa vipi New Zealand itakua jumapili na America jumamosi tunaomba majibu?
@khamisimaallimtv85392 жыл бұрын
Kwa ubishi huu bora usifunge kabisa mana funga yenyewe sunna
@Salim-hp2ri5 жыл бұрын
Kwa kweli ma shekh mnatuyumbisha sasa ss tutafata makkah siku watu wako arafah miaka yote huwa tunafunga siku watu wamesimama arafah
@suleimanmustafa60424 жыл бұрын
Kasomeni tena riyadhwa au madina mawahabi bado mkonyuma.
@centralzonetvtanzania73136 жыл бұрын
Naona wote wanatumia vichwa vyao tu quran, sunna na salafy wamewekwa pembeni
@allyndambwe43545 жыл бұрын
sasa ni siku ya kisimamo cha arafa au siku ya arafa?
komaeni na masheikh wetu waliyoko mshauri huu mjadala hamuwezi tusubiri mrejesho siku ya kiama hapa hakuna majibu nani yuko sahihi kila upande una hoja zenye mashiko
@fatumajuma13415 жыл бұрын
Swadakta
@alikirobo1415 жыл бұрын
TV yenyewe kumbe ni kishk tv online? Mnazusha mna edit.
@aisharashidy41175 жыл бұрын
Alhha awajalie kwamisimamoyenu tupo pamoja
@alikirobo1415 жыл бұрын
Mi simo kwenye misimamo yenu hio
@yusufu.bakari11505 жыл бұрын
Mashekh wengine wanasema vitabu vya fiqhih havisemi ivo mnavosema bali vinasema arafa nisiku ya tisa Napia geographia hazifanani itakuwaje wote tufate mahujaji? Au mwafata utandawazi sababu miaka ya nyuma haikua ivo
@Twariqabaalwy5 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/qHisq3Sbe5lrl9k
@allyndambwe43545 жыл бұрын
nyinyi mmepata wapi
@shaabanijoseph45623 жыл бұрын
Dalili iliyobaki nimoja tu mtukufa ukajionee mwenyewe kaburini
@zafarmohamed9413 Жыл бұрын
huyu kaunganisha clips
@user4126 жыл бұрын
Hakika
@mapishinasherry76715 жыл бұрын
Shukraan
@user-bt8wh8cd3g2 ай бұрын
Sasa wale ambao kwao niusku je hawatapata arafa
@abdulabuu74282 жыл бұрын
Walid nae msimamo wake Ni upi hahahaha mbona mtihan hi ilitoka lin
@salamakhamis80924 жыл бұрын
Mwaka huu Kuna ugonjwa wa Corona jee Saudia ikizuia ibada ya hija tutafuata Arafa ipi?? Eee jamani nyi waislam kwani khasa muna ajenda gani yasiri zidi ya uislam??
@khamiss39303 жыл бұрын
Ibn Baaz na Ibn Uthaymeen weshatoa msimamo yao inayofanana katika Fatawa zao. Sasa mbona twarejeshwa nyuma?
@ahmadothman98996 жыл бұрын
Kila nchi na muandamo wake
@mustafanyagawa26066 жыл бұрын
Ahmad Othman mwezi ni mmoja nitafute nikupe darasa
@rayaalaisari45925 жыл бұрын
Kila sehemu Kuna muandamo wake Kuna nchi zingine sisi usiku wao Asubuhi Sasa mkisema watu wote Dunia Zima wafunge wapi itawezekana....
@Twariqabaalwy5 жыл бұрын
Kwli ahmed
@Twariqabaalwy5 жыл бұрын
@@mustafanyagawa2606 ila miandamo tafauti
@MohammedAli-mf3ln6 жыл бұрын
Aura Tul hud 118
@user-bt8wh8cd3gАй бұрын
Nan alikwambia kenya na tanzania na uganda hakuna arafa mbona ww wafunga skuhio na ukiwa tanzania nahakuna arafa nyny mwasema kiakili na wala hamuna dalili wachena kupoteza watu tafautishen kisimamo nafunga kisimamo ndio hakuna ikhtilafu nawala si swaumu
@hajihassan54335 жыл бұрын
Najiuliza tu, hivi kulivyokuwa teknolojia haijakuwa kama leo watu ibada hii waliitekeleza vipi? Hivi watu walioko nje ya Hija wanaungana na walioko Hija au walioko Hija na wasiokuwepo huko wote wanatekeleza kisa cha Nabii Ibrahim? Hakuna kitu kuunga mkono ibada, ibada ni lazima ushiriki kuifanya. Kinanachofanyika kwa walioko Hija na wasiokuwepo huko ni kisa cha Nabii Ibrahim isipokuwa waliopo Hija wamelazimishwa au faradhi kwao kuchinja bila kufunga na wasiokuwepo huko ni sunna kwao kwao kuchinja na kufunga. Hivyo muandamo wa mwezi wa eneo ulilopo ndio ufuate. Hivi itakuwaje ikitokea Ibada ya Hija haikufanyika?
@wardaadam56942 жыл бұрын
Je ikiwa me nipo nchi ambayo muda watu wanasimama arafa nchi nilokuepo me ni usiku je nitafungaje wakati wa siku
@junaytadarwesh47085 жыл бұрын
Kwani lazima mwezi tufuate muandamo wa Saudia??? Kisimamo cha Mahujaj kwenye viwanja vya Arafa ni cha Mahujaj, sisi wa nchi nyengine funga yetu ni tarehe 9 mfungo 3. Kitu kipo wazi kabisa. Haiwezekani tufuate muandamo wa Saudia. Kwani imeandikwa wapi lazima siku Mahujaj wakisimama Arafa na dunia nzima iwe tarehe 9 ya mfungo 3???
@sajumahege49035 жыл бұрын
Rasuli (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: ((Swawm ya 'Arafah nataraji (kwa Allaah) kufuta madhambi ya mwaka uliopita na wa baada yake.” [Muslim] hivyo hakuna pia ulipoambiwa ufunge mwezi 9 bali hadith iyo hapo ya mtume Swalla Allahu allaiyhi wasalam
@rahmahkhalfan11784 жыл бұрын
@@sajumahege4903 kwahiyo wewe hadithi unayojua ni moja tu
@sajumahege49034 жыл бұрын
@@rahmahkhalfan1178 leta ya kwako ambayo inayosema tofauti na hiyo
@khalidjr3652 жыл бұрын
ok
@UNO-xt7we4 жыл бұрын
Shekhe Mziwanda kachemsha kwani alotowa hicho kitabu sio mtu alosomea sheria au vp. Uzinifu umejaa kwenye jamii mashekh kimya pombe ushoga wizi jihad SALAA kama mnataka mada za kuzungumzia semeni basi tena mizozano
@khamisijuma31673 жыл бұрын
Kwasasa mawasiliano yapo je Zama zilizopita walitumia hukmu gani kufwata arafa moja swali?
@nurudinisalmu49126 жыл бұрын
walid tulikuona msomi ulieandaliwa na shekh mohamed ayoub kumbe huna chochote mim mwanafunz wako lkn hapa aaaaaaaaawap uongo tupu unapitwa hata na watoto wa kenya akina mubaaraka
@Twariqabaalwy5 жыл бұрын
Amekaa kimaslahi,Mola amuongoze arudi ktk haki
@Twariqabaalwy5 жыл бұрын
Ductur mbarak ni bahri,Allaah atuhifadhie
@UNO-xt7we4 жыл бұрын
Hii funga ilikuwepo tokea HAJJ haijaanza sasa Arafa ilikuwa ilikuwa watu wasimama kabla ya hajj haijaja?
@ahmadazubeir51125 жыл бұрын
Sasa ni Arafah ipi
@bofusuraiya5 жыл бұрын
Kwani Hii arafa ni mini? Na mtume aliposema "funga ya Siku ya arafa hupelekea kusamehewa mdhambi ya mwaka uliopita na ujao" anamaanisha siku IPI hiyo?
@yusufu.bakari11505 жыл бұрын
Mbona mnakhitiafiana maana kila sheikh ańasema hoja yake nakila mtu anakazia hoja yake
@jumaally82185 жыл бұрын
0655920570
@ludacrissrangiyabank37376 жыл бұрын
Zama zilokuwa hakuna tv jee walikosa fadhila za arafa
@MohammedAli-mf3ln6 жыл бұрын
Swadaqta
@athumanimgeni33606 жыл бұрын
Mi sijasikia mada ya tv hapo ila ukweli juu ya sunna ya arafa.
@rayaalaisari45925 жыл бұрын
Kila mtu Afunge kutokana na muandamo WA mwezi kwako Kuna nchi zingine sisi usiku wao Asubuhi Sasa mkisema watu wote Dunia Zima wafunge siku hiyo wapi itawezekana
@Twariqabaalwy5 жыл бұрын
Athumani ukwli upi?wakutumia akili pasina dalili?
@ramadhansoud20285 жыл бұрын
ndugu rangi hukumu yakosa usiro rijua kama kosa huanrikiw mdhambi kwaio tumesha wezeshwa na Allah kuwepo kwa TV inatubid tuwafate mfano adhana enzi za mtume arikua akiadhin birar kwasababu arikua nasaut yakufikishaa mbar adhana rakn uwezo huo zama hz hatuna Allah katupa akir ya kutengeneza vnasa saut iri adhana ienderee kuwafikia weng usije ukasema sikuisikia.
@hamisishirikisho48655 жыл бұрын
Arafat ni siku ni kisimamo au ni sehemu
@asiahaji50814 жыл бұрын
Tatizo kutokua na msimamo
@nakofahassan25216 жыл бұрын
Nani amedoload hi vidii
@ramadhanishaibu77886 жыл бұрын
Mi ninayo
@nakofahassan25216 жыл бұрын
+Ramadhani Shaibu Asante nikipata kaka
@mbossowcb19154 жыл бұрын
We kishki unajua kwanini kila ukiongea kitu unakosolewa???
@hudimsello36455 жыл бұрын
hili halina haja ya kubisha anae pinga hili huyo ndio ana itwa munaafiku hakuna khilafu kuhusu hili.
@hamadatahir93073 жыл бұрын
ETI WANAZUONI WA SASA..KHAAA!! SHEIKH WALID!! KWAIYO WANAZUONI WA ZAMANI,ATAABIINA,SALAFI SWAALIH,MASWAHABA NA MTUME PIA HAO VIPI? WAMESHINDWA NA WANAVYUONI WA SASA KWA ELIMU?
@nganzirashidi14636 жыл бұрын
Wacheni upuuzii huo Mna eddite masheikh. Toeni dalili sio kutumia Akili zenu elimu ndogo mkasome tena
@hindisaidi50976 жыл бұрын
Good hivo ndivo inavotakiwa
@abdulkareemseif6674 жыл бұрын
Yani nyinyi masheigh laiti mungelisimama na sunna km mulivoshikilia hilo tungelifika mbali
@mzeemohamed80655 жыл бұрын
hujui Kama wewe unaamka wenzako wanalala hili liko vipi
@ramamtetu23275 жыл бұрын
Saudia Wanaamka Tanzania wanalala Hahahahaha Lakini Kenya wanaamka na Tanzania wanaamka. Hii ni Ligi Kubwa Kati ya Uwahabi na (Waabudia) Waja Wema Wa Allah A.K.A waomba Allah Kupitia Wasiila Mpaka Kwenye Makaburi. Ila Haki ipo Wazi kabisaaa Haki ni Kwamba Hakuna Khilaafu Kati ya Saudia na Tanzania kwa Mas'ala ya Muandamo kwa Lolote lile Tarehe Moja Saa Moja. Ila Kujua haki Inatakiwa Kuwafikishwa na Allah. By Rama Mtetu nisiyefungamana na Upande wowote ule Lakini Ni Islaam.
@AbdulAbdul-pr9qe5 жыл бұрын
wewe Kishki umekwama wapi? mbona hicho kipande cha sheikh Walidi umekikatakata? muogope ALLAH
@user4125 жыл бұрын
Hiyo imeeditiwa kwa kukwata katwa baadhi ya mihadharaa
@khalfanibrahim49615 жыл бұрын
Semeni na hadithi ya mtume aliyosema kwamba gharafa ipo maka tu
@showfive44135 жыл бұрын
MBONA WOTE WANATOA MANENO KICHWANI??
@Twariqabaalwy5 жыл бұрын
Sheikh kishki na waleed muogopeni Allaah wacheni kuwadanganya watu
@@abdulkareemseif667 kwa lipi?ndugu yng nitoe ujinga
@suleimanmohamed435 жыл бұрын
masheikh rudini kwenye vitabu nyinyi mlazimisha kiakili tuuu wanaposimama mahujaj na as tufunge na huyu sh wa mwisho dalili ya kilugha sio hija katika sheria na wala akili peke yake sio matejeo ya kishria hebu turudin katika vitabu vya sheria
@suleimanmohamed435 жыл бұрын
na في الكتب بالدقةالشيخ العريفي يحتاج الرجوع والمطالعة