Shekh Muhammad Idd - Awakosoa Mashekh juu ya Ibada ya Arafa

  Рет қаралды 148,487

BABDEO MILADU

BABDEO MILADU

5 жыл бұрын

Пікірлер: 1 100
@tifasofia2955
@tifasofia2955 4 жыл бұрын
Shekh watu tunakuelewa sana
@abdillahkassim5400
@abdillahkassim5400 4 жыл бұрын
Nami acha nichangie kwa nikielewacho alonijaalia Allah (s.w) Kwanza; Nadhani tukizisoma hadithi vizuri zenye kuonesha Iddy mbili za waislam (Iddil ftri n Hajj) tunaona kuwa ;Allah (s.w) ameziambatanisha sikukuu hizi. Sikukuu ya Iddil fitri imeambatanishwa pale tu baada ya swaumu ambapo waislam hutakiwa wale na wanywe na wasifanye israfu, hivyo iddy hii itamlazimu mt itakapommalizikia Mfunguo wa Ramadhani tu. Ama iddil Hajj hii haikufungamana na kisimamo cha mahujaji ila imefungamana baada ya siku ya kumi ya dhul-hijja, hilo tuelewe kwanza, hivyo basi iddy hii itamalzimu mtu pale tu atakapomaliza masiku kumi ya dhul-hijja ambapo ndio itakuna iddy hio. Ama kwa suala la Siku ya Arafa, pana haja yakuonwa kuwa hata kwa wale wanaofuata mwezi wa muandamo wa nchi yao ambapo utakuwa tafauti na watu wakisimama katika kiwanja kule Makka basi hata kama wao ni mwezi nane kwa tisa basi pana ulazima wakuifunga watu wakiwa wamesimama kule ili sie ambao hatunaenda kuwa pamoja nao kwa kufunga. Hivyo kama ww kwako ni mwezi nane au nchi fulani ipo mwezi nane na watu wamesimama basi wanaweza kufunga hio Arafa wakiwa mahujaji wamesimama halafu kukamilisha masiku hadi yatimie kumi ili wapate kula iddy kwasababu iddil Hajj hainafungamana na kisimamo cha mahujaji ila imefungamana/imeekwa baada ya siku ya kumi ya dhul-Hijja. Hivyo basi kama pana nchi ipo mbele au nyuma kwa siku wao ndo watatafautiana kula iddi na Mahujaji....ila kwa sisi ambao tafauti yetu ni lisaali moja tu ulazima huo haupo. Pili; Japo la ikhtilafu ni la asilu, waliikhtilafiana maswahaba, Malaika na wala hamana mmoja wao alomwambia mwenzake kama hajui, maimamu wanne (Shafii, Malik n.k) wameikhtilafiana na inafika wakati Imam Shafii anaswal sehem ambapo watu hawaleti kunuti katika swala ya Alfajiri n yeye huwa hasomi, na watu walipomuuliza akawambia ni kuwaheshimu hawa wenzetu wa hapa kwasababu wao utaratibu wao hawasomi, hvyo hakuona haja kwamba asome kunuti halafu asimame mbele aseme hawa hawajui, wanapotosha watu, Laaaaaa!! Ikhtilaafu ni jambo lisiloepukika ila inaangaliwa kwa mambo ambayo wameekwa wazi moja kwa moja na sio ambayo yashatolewa hukmu zake. Hivyo kama wapo watu wanaoona kwamba Arafa ni mwezi 9 na wanasohoja zao na sio kububusa basi tusiwaambie kama ni waovu na wapotoshaji kwasababu siku ya kiama kila mmoja ataulizwa kwa alolisimamia so tusiende kububusa. Na pia kama wapo watu wanaoona kwamba Arafa ni kisimamo pamoja na mahujaji kutokana na sulubu wanayoipata pale hvyo fadhila zake tusizikose basi pia tusiwaite waongo au wapotoshaji kwasabbu wao pia wataulizw. Mwisho tuelewe kuwa hamana ajwae hakika ila yeye Allah (s.w) hivyo kwenye ikhtilafu watu waheshimu mawazo ya wengine kwasababu ni jambo la asili haliepukiki. Mwenyezi- Mungu atujaalie tuwe na moyo wa kusoama dini yake/yetu hiina tuifuate njia iliyonyooka. Na pale nilipokosea Allah anisamehe kwani sikuyaandika haya isipokuwa kwa uwezo wake yeye
@rahmamsabah2961
@rahmamsabah2961 4 жыл бұрын
Ukosahihi ndugu.
@harunamkakaro113
@harunamkakaro113 4 жыл бұрын
Inshaallah Allah akujaalie amiin.
@sabraham5308
@sabraham5308 4 жыл бұрын
Uko sawa kama si sawa, kwa hili,ningeomba hadith ya qunut na imam shaafi,reference kitabu,source.jazakallahu lheir
@abdillahkassim5400
@abdillahkassim5400 4 жыл бұрын
@@sabraham5308 Shukran ila sijaelewa swali lako lakini?
@sabraham5308
@sabraham5308 4 жыл бұрын
@@abdillahkassim5400 jazzakallahu lheir,kama ipo hiyo hadithi ya imamu shafi inayohusiana na mambo ya qunut ,nilitaka reference,kwani katika vitabu vyangu,katika asittatu,waandishi sita,na vingine vingi nilivyokuwa navyo,katika usahihi wake,sijaona kwa qunuti kutumiwa katika sala ya fajr.
@maawymuhammad6779
@maawymuhammad6779 Жыл бұрын
Mashaa allah mambo ya kulazimisha watu wafuate mahujjaj hunu ni upotofu wa mawahabi tu.Alhamdulillah sheikh wetu umewapa hoja za maana sasa na sisi twataka hoja za maana za mawahabi watupe hata kama ni hadith swahih ama hata hadith dhwaifu watupe ya kwamba mtume ansema kwamba ni lazima sisi tufuate mahujjaj.
@zamizozamy5528
@zamizozamy5528 4 жыл бұрын
jazaqallahul kheyr. umenena vyema sheikh.
@allymtito8117
@allymtito8117 Ай бұрын
Muulize shekhe wako je? Duniani kuna tarembe mbili
@hajiseif3255
@hajiseif3255 5 жыл бұрын
Tatzo siku hz masheikh wengi wanaangalia maslahi yao na wanaambatanisha dini na siasa!!!ili kuwafurahisha baadhi ya wanasiasa!!!Mtaulizwa
@salmagulam6619
@salmagulam6619 4 жыл бұрын
Point maana wanataka tuache kumfata mungu tuwafate wao hapana kwa kwel tutamfata mungu na mtume na sio mashekhe
@mohamedsikitu8329
@mohamedsikitu8329 3 жыл бұрын
@@hassanissa3203 shekhe kawa fala kisa kisa hayupo upande mmoja na ww kweny swala la arafa ?????? Kisa amepinga unachokiami ww..?? Dini aiendi kwa jazba ivyoo.. tuusome uislam
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 жыл бұрын
@@mohamedsikitu8329, kweli. Hv kabla ya technologia watu wakijua vp km Makka wanasimama Arafa hata leo hii watu wanafarakana? Uisilam ni kufuata Qur-an na sunna na sio shortcut/tecnologia.
@zakariajuma5977
@zakariajuma5977 5 жыл бұрын
mashallah huyu sheikh kawaida yake habahatishi hoja huwa anakuwanga na hoja nzito sana mungu ambariki
@jeykaluz1640
@jeykaluz1640 2 жыл бұрын
True huyu shekh ni khatar nondo sana
@cakesuke1235
@cakesuke1235 4 жыл бұрын
Nimekuelewa shekhe abukum id Muhammad id mungu akupe swiha njema shukrani
@mohamedlawa3304
@mohamedlawa3304 4 жыл бұрын
Mashaallah sheikh Allah akulipe kheir mimi binafsi nimekuelewa hata mie huwa najiuliza leo tunalazimishwa vipi tufunge ama kufungua na saudia eti kwa kigezo kuwa makka ndio chimbuko la uislamu ama eti masaa yanafanana kwani ndivyo Mtume alivyotufundisha? hebu tustahimiliane ikiwa wafuata makka na unaona ndio sahihi basi amini wewe sio ukosoe wengine
@ibrahimkambi9288
@ibrahimkambi9288 4 жыл бұрын
Hiyo point ya mwisho nimeipenda sana Sheikh
@abdiothman346
@abdiothman346 Жыл бұрын
Shk uko Sahihi tumekuelewa,na Dalili umezitoa sasa waje na Dalili zao
@husseindilunga8
@husseindilunga8 4 жыл бұрын
Shekh nakuelewaga vizuri sana Inshaallh Mungu akubariki
@MussaKilongola-hm8xl
@MussaKilongola-hm8xl Жыл бұрын
Shekhe mungu kaumba maghalib2 na mashaliki2 hii ni jografi ya dunia ww unauzuilia uma wa waiclam kufanya ibada ya hija kwa ajili ya mungu unatetea maslahi haiweze kani dunia moja kua na karenda 2
@mawazoit8070
@mawazoit8070 2 жыл бұрын
Dah, nimesikiliza kwa makini sana. Huyu bwana twaweza msifia kumbe twazidi kupotea. Hoja ya mwezi tisa na siku ya Arafa maelezo ya jazba sana. Tujipe nafasi kusikiliza hoja kwa hoja toka kwa masheikh
@hassanjr5318
@hassanjr5318 4 жыл бұрын
Tusikilize bila ushabiki na tupate hekima za hoja za pande zote .....Allah atufanyie wepesi kwani yeye ndio mjuzi
@ja60pallangyo93
@ja60pallangyo93 4 жыл бұрын
A alykum shekh usiwaite mashekhe wengine wapotoaji kwann tusiandae mjadla kwa ajili kuelimishana
@hassansingano1150
@hassansingano1150 4 жыл бұрын
Mmmmmmmmmmmmmmmmmmmm, Apo kazi
@mroojnr.2756
@mroojnr.2756 4 жыл бұрын
Hawataweza mjadala hao watauogopa, elimu gani wanayo hao ya kupambana kwenye mjadala wana elimu za uganga tu hao. Wanapotosha umma
@mohamedmzeeassuufiyy1334
@mohamedmzeeassuufiyy1334 3 жыл бұрын
@@mroojnr.2756 Hakuna wahabi awezaye... Niko na Qasimu Mafuta mji mmoja na nimemtaka mdahalo juu ya swaumu ya arafa amekataa
@mroojnr.2756
@mroojnr.2756 3 жыл бұрын
@@mohamedmzeeassuufiyy1334 hatuna uthibitisho wowote unaoonyesha ulimuita mfanye madahalo akakataa. Achana na hilo, tuchukue akili ya kawaida tu hata washabiki wa Arsenal ikiwa inacheza timu yao wanaangalia moja kwa moja tukio la mchezo wa timu yao na hawasemi hili tukio sisi kwetu tutaliangalia kesho. Sasa labda kwa elimu yako kubwa utusaidie kutufahamisha Arafa ni siku, sehemu maalum kunakofanyika tukio kwa muda maalum, au arafa ni vipande vya ardhi vilivyotapakaa karibu kila nchi, au ni siku ambayo kila watu wanajichagulie iwe lini?
@mussamalugu1793
@mussamalugu1793 3 жыл бұрын
Mimi nawaita mara kibao na i don't care wapotosha wapotoshaji wapotoshaji stupid kabisa
@sharipha-vy9dy
@sharipha-vy9dy 10 ай бұрын
Mashallah taqbirr allah akbarru shuqrani shekhe
@hamzachinjengwa5013
@hamzachinjengwa5013 2 жыл бұрын
Ww shekh nimekuelewa sana tena umeelezea vzr saf san
@yusuphkwaya7843
@yusuphkwaya7843 5 жыл бұрын
Jamani shekh anafafanua vizuri hivi Tena mnasema anapotosha acheni kulinganisha fikra zenu zinavo watuma mkazichanganya na mambo ya kielimu
@usahihinaukweli4921
@usahihinaukweli4921 5 жыл бұрын
waislamu NI KITU KIMOJA NA MUUNGANIKO WETU NI "HAPANA APASAE KUABUDIWA KWA HAKI ISIPOKUA ALLAH(SW), NA MUHAMMAD (SAW) NI MTUME WA MWENYEZIMUNGU) EWE MWISLAM!! (Kama hukusoma dini,USISHABIKIE MIGOGORO!, ushabaki wowote unaleta chuki, ndiomana utaona watu wame comment "mjinga, pumbavu, Kama hawakukuelewa achana nao " hio ni kwa sababu mnashabikia kwahivo mnatengeneza chuki badala ya KUPENDANA. ) ENYI MASHEKHE!! (kama mmesoma dini, msishabikie kuonekana bora kuliko mungine, hivo mtasababisha ambao hawajasoma wafuate SHEKH anaempenda mtajaza chuki baina ya waislam ) SWALI KWA MASHEKHE WETU WOTE!! (KWA NINI HAMTAFUTI SULUHISHO KABLA YA KUTUPIANA VIJEMBE MTANDAONI??? ENYI MASHEKHE KWA NINI MNASUBILI IKIKARIBIA SHEREHE(ARAFA NA RAMMADHAN) NDIO MNASIKIKA?? ENYI MASHEKHE PENDANENI ILI WAISLAM WAPENDANE NA WASHIIKAMANE.
@salimabdalhaomary1858
@salimabdalhaomary1858 5 жыл бұрын
Nakubaliana na ww tunatakiwa tujenge umoja sio mifarakano ukiona shekh mwenzio ama mtu yyt katoa fatwa hujakubaliana nayo na ww toa ila usinyooshe vidole na kujiona ww bor mkamilifu ni allah
@wangwazitv9616
@wangwazitv9616 4 жыл бұрын
Duh! Angalau we ni muelewa,, ila kumbuka kuna njia kuu nne za kupatia elimu hvyo kusiki ni miongoni mwa njia hzo sasa iwapo mtu atadanganya watu wenye utambz na swala hlo wakae kimya?aidha, wale walio mbali na ulimwengu wa wasomi wasio na uwezo wa kusoma wakisikia zilizo rikodiwa kama za huyu jamaa wakubali tu kisa hwakusoma? Kibaya kutukanana ila sasa hv mafundsho y waislam yanatia mashaka
@joauchitlango3547
@joauchitlango3547 2 жыл бұрын
Abuu idi mpotoshaji tatizo sijaiona hadidhi inayosema saumu ya arafa Ni mwezi Tisa Swaumu imetajwa fungeni swaumu ya arafa na sio mwezi Tisa Sheykh anapotosha
@mwanakombohajiali9397
@mwanakombohajiali9397 2 жыл бұрын
@@joauchitlango3547 ww uciopotosha lete maelezo yak tukufate
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 жыл бұрын
@@joauchitlango3547, km imesemwa fungeni swaumu ya Arafa inamaana miaka ambayo palikua hapana simu, internet wakifungaje kwa kuangalia Arafa? Swaumu ya Arafa ni mwezi tisa mana kila mmoja mwezi utamuandamikia na utafikia mwezi tisa.
@muhidinali8180
@muhidinali8180 4 жыл бұрын
Sijibizani nawatu wanoongozwa Nahawaa zanafsi wakaacha mafunzo Ya Muhammad s a w
@SMG109L
@SMG109L Жыл бұрын
Allah amzidishie kheri Sheikh abuu id, pia Mufti wa Oman Allah amhifadhi na Masheikh wengine! Wewe unaekufurisha waislamu wenzako kaa utafakari, Allah atakuongoza
@athumani543
@athumani543 Жыл бұрын
SHKH muogope Allah et tarehe ya kiislam tu ndy haziwezi kuwa sawa zingine inawezekana kwani kuzama Kwa jua au kuchelewa kucha ni Kwa waislam tu ila wakristo wanasherehea Dunia nzima cku moja mche Allah utawala ni duniani tu
@bakaribakari6444
@bakaribakari6444 26 күн бұрын
Wakwanza basi atakuwa uthaimin na wapili jopo la mamufut saudia
@nawawisaalim7173
@nawawisaalim7173 5 жыл бұрын
Allah akubarik na akuhifadh Abuu Eid tunakuelewa vyema
@jabirmfinanga8980
@jabirmfinanga8980 2 жыл бұрын
Shekhe hawa Mashekhe nia yao nini naona wanaelewa lakini wanapotosha kwa naslahi ya nani?
@abdulnaseermrisho4342
@abdulnaseermrisho4342 5 жыл бұрын
Nimekuelewa saaana Shekh,wanaendelea kubisha ACHANA nao maana wana tatizo sio bure,Maana sio kwa ufafanuzi huu
@shifaaplusherbalmedicine
@shifaaplusherbalmedicine 2 жыл бұрын
Aachene nao nani wakati huyu mohd idi anaoenda kiki sisi twataka dalili sio blas blas iyo unayoongea abuu idi niujinga
@swahilitherapytv3846
@swahilitherapytv3846 5 жыл бұрын
WEWE NDIO MZUSHI WA KWANZA. MAWASILIANO NI NEEMA ALLAH AMETUPA SISI, NA YANAHAFIKIANA NA SHERIA YA KIISLAM TUNATAKIWA TUFUATE. RUDI UKASOME FIQHI
@saidiharuna3129
@saidiharuna3129 5 жыл бұрын
MASHIKO ONLINE TV dini haibadilishwi na mabadiliko ya teckonolojia hukumu inabaki vilevile
@hassanalhussein3982
@hassanalhussein3982 5 жыл бұрын
Ambae anahitaji kusoma fiqhi ni wewe uso juwa kutafautisha baina ya idd adhha na arafa. Jee wajuwa kuwa nguzo ya hajj ilikuja baada ya idd adhha? Wajuwa kuwa bwana mtume alikuwa akifunga siku tisa na ya kumi akichinja na kusherehekea idd. Hiyo ilikuwa kabla ya nguzo ya hajj kuletwa .Sasa arafa inahusiano gani na idd adhha? Hebu nenda ukasome usilete taabu kwenye mitandao
@muntakindamba2053
@muntakindamba2053 2 жыл бұрын
Maashaallah Shekh wetu Muhammad idy tunakufahamu sana mungu akuzidishiebarka na afya njema usiache kutuelimisha inshaallah
@saidkibangetandiko3734
@saidkibangetandiko3734 Жыл бұрын
Kinachotakiwa hapa mashekhe msiitane wapotoshaji Bali mheshimiane Kwa hoja zenu Kwa kifupi nyingi mashekhe na sisi mnaotuongoza tusilete ligi kwenye dini yaani kama Mimi nimefuata siku ya mahujaji wakiwa kwenye kisimamo Cha arafa sitakiwi kumsema vibaya ambaye hafuati hivyo Wala yeye hatakiwi kuniita mpotoshaji na yeye sitakiwi kumuita mpotoshaji kwakua jambo hili Kila mtu ana hoja au dalili zenye nguvu kuhusu jambo Hilo pia jambo Hilo mlipaji ni Allah subhana huwataala kwahiyo tusisemane vibaya maana sote ni wamoja na ni ndugu.kasoro mashia hao ndio maadui zetu hatutakiwi kuwafuata hata kidogo lakini pia tusiwatukane.
@AbuuHaneef
@AbuuHaneef 4 жыл бұрын
Mimi sikuwa najuwa kama unyoaji wa ndevu unaathiri usomaji wa kiarabu.
@aimanothman394
@aimanothman394 4 жыл бұрын
Hahaa mmecheka wallahi
@ibn_rajab_bilaal
@ibn_rajab_bilaal 2 жыл бұрын
hahaha ibara zakosewa
@abduhamzasungura1642
@abduhamzasungura1642 5 жыл бұрын
Funguweni Hiyo Tupate Kuelimika Inn Shaa Allah👇
@mohamedseifpaz3248
@mohamedseifpaz3248 4 жыл бұрын
Nn iyo
@rajabumasanja2818
@rajabumasanja2818 3 жыл бұрын
Wewe idi umefika meisho waufahamu wako kapembeni tupite kielimu hapo hujatwambi sudia na tz majila yakoje?.
@namelessnameless4868
@namelessnameless4868 5 жыл бұрын
Asante sana Sheikh letu mungu akupe umri mrefu ili tuzidi kunufaika na wewe
@abdulkareemseif667
@abdulkareemseif667 5 жыл бұрын
Nameless Nameless ili azidi kuwapotosha
@namelessnameless4868
@namelessnameless4868 5 жыл бұрын
@@abdulkareemseif667 Hoja hujibiwa kwa hoja kama unaona anapotosha na wewe toa hoja zako tukuskie
@al-aqsamediaonline1489
@al-aqsamediaonline1489 2 жыл бұрын
Nimemfuatilia mara nyingi huyo Sheikh wetu kipenzi. Nilichogundua anapenda sana kuamsha mada zenye kuleta malumbano; na hilo huibuka kila mwaka Hii ni mbaya sana. Tunahitaji kuwa umma mmoja siyo vipande vipande. Allah amwongoze.
@amohammed3390
@amohammed3390 4 жыл бұрын
Napendekeza kazi ya usheikh iwe na kibali na masheikh kama hawa wasiruhusiwe kupotosha watu kwa maslahi yao
@jumajuma7486
@jumajuma7486 4 жыл бұрын
Mbona hausemi kua sisi na hão wa makka tunaendana mawio na machweo? Allah akuongoze kipofu usieona haqq. Mwemed idi
@aliyhero9857
@aliyhero9857 4 жыл бұрын
Wewe babu ndo zero mbona kweli na yy hajasema ss na makka
@mahfudhakassim9592
@mahfudhakassim9592 3 жыл бұрын
Kma umesikiliza vizuri swali lako limejibiwa
@najahyusuf6282
@najahyusuf6282 4 жыл бұрын
sheikh mohamed iddi umepagawa sana hunalolote walachochote kama unanja siumwambiye kishikish akusaidiye akupe birian kwaajili unanja tu halafu humfikiyi nurudin kishikish kwaelimu unakijeli ustadhi mohamed iddi
@abuhafs4774
@abuhafs4774 2 жыл бұрын
Abu idi swali lako lilisha jibiwa zamani sana na sheikh Qaasim Mafuta fuatilia KHUTBA zake za dhul hijja miaka ya nyuma na pia mwaka huu 2022 tar 8 ilipo kutana siku ya arafa na ijumaa
@hashimmhashim2663
@hashimmhashim2663 5 жыл бұрын
ماشاءالله تبارك الله حفظك الله يا شيخنا محمد عيد
@fadhilially5869
@fadhilially5869 4 жыл бұрын
Mashekhye wengine nimtihani wanamacho nivipofuu kama jana masdi jumaa wabadiri tarehe mchanaa waludisha nyumaa tarehee Allah awaongoze katka dunia mtapotosha wengi ila haqi itabaki kuwa haqii tuh
@MudathirOmar-hh5ow
@MudathirOmar-hh5ow Ай бұрын
Maa shaa Allah unafaidisha ummah
@rayanjoseck4458
@rayanjoseck4458 4 жыл бұрын
I do concur with you shekh ...so educative a wise man said a student ll never out weight his master...
@awadhially1384
@awadhially1384 5 жыл бұрын
Hakuna kazi kubwa kama kutetea uwongo kutaka kuufanya kuwa ni ukweli watu wanazidi kuelewa.
@amejuma8194
@amejuma8194 5 жыл бұрын
Shekh Tunakuelewa ww.. Miongon mwa mpotoshaji ni ww no..1
@saidiharuna3129
@saidiharuna3129 5 жыл бұрын
Ame Juma wasomi wanabishana kwa vitabu sio maneno matupu hivyo vitabu ni fatua za mashekhe wamakkah hao
@hassanalhussein3982
@hassanalhussein3982 5 жыл бұрын
Sasa pia huyo Sheikh wenu wa kiwahabi alotajwa pia amepotowa ?
@mkali6167
@mkali6167 5 жыл бұрын
ww kuwa muadilifu wa akili yako ww
@bakaribakari6444
@bakaribakari6444 26 күн бұрын
Wa kwanza atakuwa uthaimin 😂😂
@athumankibudo4478
@athumankibudo4478 3 жыл бұрын
Mashallah mwalim.mashalllah manen yako.yanaishii mile mile 2021
@maniraguhahamza3511
@maniraguhahamza3511 2 жыл бұрын
Wewe haujajielewa kbsa na muomba Allah akupe hisaya
@chinemaentertainment1110
@chinemaentertainment1110 4 жыл бұрын
hapo muhamed iddi nimekuelewa
@muhidinali8180
@muhidinali8180 5 жыл бұрын
sio miyaka yakaribuni msimamo umeletwa na rasulu محمد kasomezaidi
@ndembondembo8122
@ndembondembo8122 5 жыл бұрын
Huyo sio shekh. Ni shehena
@ndembondembo8122
@ndembondembo8122 5 жыл бұрын
@@omaryhamisi7521 uyo mnafiq tu hana lolote akasome tena
@AaAa-kr9nb
@AaAa-kr9nb 4 жыл бұрын
uyu mm simuelewi kabisa namsikia kelele tu mpotoshaji mwewe
@mhinakaswahili3100
@mhinakaswahili3100 4 жыл бұрын
Muhidin Ali Aisee kwan nyie hamuwaoni hao wanaopinga uislam umechukua hatua gani
@hutisaleh2320
@hutisaleh2320 4 жыл бұрын
Cklzeni maneno ya elim nyny wehu mcpnge kichuki...wachen kupotolew na waxo na elim
@mohammedomar8588
@mohammedomar8588 4 жыл бұрын
Naam sheikh marhabaa huo ndio usahihibwa saumu ya arafa na nikweli niwapotoshaji shukran sheikh allah akupe umri mrefu ili uendelee kuwaambia kweli hao wapotoshaji
@selemankishema5780
@selemankishema5780 Жыл бұрын
Katika masheikh wapumbavu duniani,moja hili jamaa
@hassanyusuph9446
@hassanyusuph9446 27 күн бұрын
Toa hoja y kumtia upumbavun shekhe!!!
@mohammadkassim9937
@mohammadkassim9937 5 жыл бұрын
Mash allh jazaka allh kheràa
@issaabbas5406
@issaabbas5406 4 жыл бұрын
yaani sjaona hata dariri yoyote uliyoitoa iyi nidini ya allah so ulisi wa wazee wako na usiwe unakalili itakukosti kesho kiyama usiuze dini kwa sababu ya dunia.wako wapi wakina filaghuni wote waliacha dunia.subuhanallah
@ibrahimkhatib2899
@ibrahimkhatib2899 5 жыл бұрын
Jamani mambo yapo wazi kabisaa tusiangalie alie sema maana wengine hawamuamini basi tuamini hivyo vitabu vya maulamaa watukufuu Mashaallaah shekh nimekufahamu
@AbdulAbdul-pr9qe
@AbdulAbdul-pr9qe 4 жыл бұрын
sheikh amefafanua vizuri kabisa, sasa kama hujamuelewa basi rudi darasani au acha pombe
@electronicstechnician939
@electronicstechnician939 4 жыл бұрын
Hebu nisidie ukubwa waeneo ambalo tunatakowa twende sawa maana weza onekana kigoma tanga hatujaona au wezaonakana tanga mjin pangan na muheza hawajaon so unatushaur nn na ss?
@aminland876
@aminland876 5 жыл бұрын
UYU SHEHE MUONGO SANA IYO ARAFA MWENYEZI ANASEMA WATAKAPO SIMAMA KWENYE VIWANJA VYA ARAFA NYINYI MLIO PEPEZONI MMESUNIWA LIVING A ILI MPATE FADHILA ZA ARAFA UKIFUNGA SIKU YA PILI UTAKUWA HUNA FADHILA YA ARAFA WE WE USIWADANGANYE WAISLAM MUOGOPE ALAAH
@omarkhamis4804
@omarkhamis4804 5 жыл бұрын
Shekhe ametoa kwenye vitabu uongo uko wapi
@drimazonechoice9822
@drimazonechoice9822 5 жыл бұрын
Uislam umeletwa kwa elim na heshima pia adabu waheshim watu walokuzid umri na elim pinga kwa hoja na si kutoa maneno mabovu kwa mashekh
@aliyomar9140
@aliyomar9140 5 жыл бұрын
Huna kitu.....povu tuu mwenzio katoa hoja juu ya vitabu. Wew umetoa wapi?
@abdulkareemseif667
@abdulkareemseif667 5 жыл бұрын
Amin Land huyu ni mtu wa bidaa
@mohamedsalimaljahdhamy1436
@mohamedsalimaljahdhamy1436 5 жыл бұрын
Na ww toa ushahidi wa unayoyasema sio unaropoka tu. Masuala ya kieimu yanahitaji hoja za kieleeimu sio porojo tu shekh
@babangida322
@babangida322 4 жыл бұрын
Kwani Tanzania Na Saudia inapishana Kwa masaa mangapi? Wee sheikh Mbona unanipotosha?hivi Tatizo lako Ni elimu au ujanjaujanja.
@yussufdaudi9408
@yussufdaudi9408 4 жыл бұрын
Assalamu aleykum .mwanzo jiongozee wewe usifanane na mwanamke.kunyoa ndevu kuacha misharubu .sasa umefuata mila za kiyahudi
@aminamfaume4244
@aminamfaume4244 4 жыл бұрын
Mm mm naona kila mtu amfate shekhe amuelewaye.ila ww pia wengine watasema wapotosha.kwahivyo nyny mkitoana kasoro kila siku sisi maamu tufanyeje.kwani ss na sudia tumepishana masaa.
@aminamfaume4244
@aminamfaume4244 4 жыл бұрын
Dunia imesha mashekh kusutana hivi ....mtume alitabiri haya jamn.kiama kipo chalinze chataka kufika daar
@musaabdullahalhabsi1121
@musaabdullahalhabsi1121 4 жыл бұрын
Jina lako tu linaakisi akili yako
@rahmahkhalfan1178
@rahmahkhalfan1178 4 жыл бұрын
baba ngada.unapo comment lazima ujue hoja ya msingi.hoja hapa siupishanaji wa masaa.hoja nikwamba hakuna ushahidi wowote wakisheria unaosefa tufunga saumu ya arafa kwa kuwaangalia mahujaji.Hizo ni siasa za kiwahabi tu
@abdisalim1157
@abdisalim1157 2 жыл бұрын
MMungu akulipe kheir Shk
@abdulazizramadhan5119
@abdulazizramadhan5119 5 жыл бұрын
Kwa uelewa wangu mdogo sijawahi ona wala kusikia uislam una tarehe mbili za tofauti,,,hapo umefeli shekhe
@mohammedamour9281
@mohammedamour9281 4 жыл бұрын
A.aleykum.kwa hiyo tanzania na saudia tuko sawa kimasaa.sasa vipi tunapishana Arafah?unatuchanganya Sheh
@firdaussaif8709
@firdaussaif8709 3 жыл бұрын
Swali zuri saana
@arafalubuva3855
@arafalubuva3855 2 жыл бұрын
Alaah akulinde shekh Kuna wanafi humu
@ramlakassim2014
@ramlakassim2014 4 жыл бұрын
sheikh unachosema kipo sahihi, lakin pia tusisahau kua Saudi Arabia na Tanzania haitofautian Kwa Massa ni dakika tu kama sio kwa sekunde xo hata wanaofunga Kwa kufuata mahujaji wa makka wapo sahihi.(Kwa kutumia kigezo hicho cha utofauti wa Masaa)....
@hutisaleh2320
@hutisaleh2320 4 жыл бұрын
Ha2anglii uxawa huo xhekh 2naanglia jee mwez umeandam hp kwe2 ili 2anze kuhexabu cku??
@firdaussaif8709
@firdaussaif8709 3 жыл бұрын
Kwel,
@firdaussaif8709
@firdaussaif8709 3 жыл бұрын
@@hutisaleh2320 kama wee huangalii usawa mwengn usawa wake so hamna haja ya mjadala mkubwa allah ndie anaejua nan sahihi na nan sio sahihi
@akbarosman3892
@akbarosman3892 5 жыл бұрын
Huyu shkh hajui anachoongelea nafikiri njaa inamsumbua Hili ni bonge la zuzu Hoja zako zimepitwa na wakati Mche mungu shkh zuzu
@ajuayeofficial
@ajuayeofficial 5 жыл бұрын
Akbar Osman wewe ndo zuzu kabsa hujielewa shekhe yuko sahh
@akbarosman3892
@akbarosman3892 5 жыл бұрын
@@ajuayeofficial Nyie fungeni siku yenu mnayojua Sisi tutafunga siku ya arafa Mazuzu mko wengi
@mussarashid6752
@mussarashid6752 5 жыл бұрын
Akbar Osman .basi wanawake nao wasikae Eda maana vipo vipimo vya kutambua mimba mapema kabla ya miez mitatu.
@akbarosman3892
@akbarosman3892 5 жыл бұрын
@@mussarashid6752 hizo hoja hazina mashiko msikilize shkh mahamed issa amejibu kwa vizuri kama una akili utamuelewa
@akbarosman3892
@akbarosman3892 5 жыл бұрын
Siku zote mashkh kama hawa wanaopara videvu vyao wako tayari kuuza imani kwa maslahi yao ya dunia Hawa mashkh maslahi hawana mpango
@saadmbaraqa5272
@saadmbaraqa5272 2 жыл бұрын
Uyu shekh anapenda ubishani wa kujionesha kwenye mambo ya ikhtilafah sijui anapata faida gani
@ibrahimcharlesswaleh
@ibrahimcharlesswaleh 4 жыл бұрын
Hahahahahahahaaaaaa, njaa mbaya sana. Nacheka ila ni msiba. Namuomba ALLAH SUBHANA HUWATAALA atuongoze, njaa inamsumbua huyu.
@mussahussein2078
@mussahussein2078 4 жыл бұрын
Lete hoja ili tukuelewe na wewe kama umesoma njaa hata na wewe unayo yeye katumia ushahidi wa vitabu na wewe leta ushahidi wako
@ibrahimcharlesswaleh
@ibrahimcharlesswaleh 4 жыл бұрын
Huo muda wa kubishana na BAKWATA sina, wewe endelea kukaza kichwa. Kwanza huenda ikawa umetumwa kunifuatilia, maana hamchelei kuwachongea waislamu wenzenu ili wafanyiwe hujuma na dhulma.
@mussajumabakar6222
@mussajumabakar6222 4 жыл бұрын
@@mussahussein2078 tuko pamaja sana mussa Hussein
@aminasuleyman9440
@aminasuleyman9440 4 жыл бұрын
Sio njaa ila ndio sheria inahukumu hivyo Sheria ya kiislam kwanza hatufati miezi ya January-December Kama utafata muandamo wa mwezi Saudia wako mbele kuliko sisi,kimsingi huwezi ukafata kule wakat wao wako mbele kuliko huku "Likulli ahlu lbalad ruuyah"
@rahmahkhalfan1178
@rahmahkhalfan1178 4 жыл бұрын
wewe inrahim na kichwa chako mchunga umeshindwa kujibu hija za sheikh sasa unaleta kejeli zakiwahabi hapa
@binjumaa7072
@binjumaa7072 4 жыл бұрын
‎1 - أن المقصود بيوم عرفة هو اليوم الذي يقف فيه الناس بعرفة ، وفي ذلك عدة أحاديث منها : ‎أ / عن عطاء قال : قال النبي صلى الله عليه وسلم : ( أضحاكم يوم تضحون ) وأراه قال : ( وعرفة يوم تعرفون ) ، أخرجه البيهقي في " السنن الكبرى " ( 5 / 176 ) والشافعي في " الأم " ( 1 / 264 ) عن عطاء مرسلاً ، وصححه الألباني في " صحيح الجامع " ( 4224 ) . ‎ب / عن ابن المنكدر ، عن عائشة رضى الله عنها قالت : قال رسول الله صلى الله عليه وسلم : ( عرفة يوم يعرف الإمام ) ، أخرجه البيهقي في " السنن الكبرى " ( 5 / 175 ) ، قال ابن حجر في " التلخيص " : " تفرد به مجاهد قاله البيهقي ، قال : ومحمد بن المنكدر عن عائشة مرسل ، كذا قال ، وقد نقل الترمذي عن البخاري : أنه سمع منها . " أهـ . ‎قال الشيخ عبد الله الجبرين في في تحقيقه لرسالة الحافظ ابن رجب " أحكام الاختلاف في رؤية هلال ذي الحجة " ( ص 24 ) : " .. إسناده ضعيف، محمد بن إسماعيل- وهو الفارسي- ذكره ابن حبان في الثقات 9 / 78 وقال: '' يغرب ''. وانظر لسان الميزان 5 / 77. ومع ذلك فقد صححه الشيخ أحمد شاكر في رسالته: " أوائل الشهور العربية هل يجوز شرعا إثباتها بالحساب الفلكي " ( ص 26 ) " اهـ . ‎ج / عن مسروق أنه دخل على عائشة رضي الله عنها يوم عرفة فقال : اسقوني ، فقالت عائشة : يا غلام اسقه عسلاً ، ثم قالت : وما أنت بصائم يا مسروق ؟ قال : لا إني أخاف أن يكون يوم الأضحى ، فقالت عائشة : ليس ذلك إنما عرفة يوم يعرف الإمام ، ويوم النحر يوم ينحر الإمام ، أو ما سمعت يا مسروق أن رسول الله صلى الله عليه وسلم كان يعدله بألف يوم ) ، أخرجه البيهقي في " شعب الإيمان " ، والطبراني في " المعجم الأوسط " ، قال الهيثمي في " مجمع الزوائد " ( 3 / 190 ) : " في إسناده دلهم بن صالح ضعفه ابن معين وابن حبان وإسناده حسن " اهـ ، وضعفه الشيخ الألباني في " ضعيف الترغيب والترهيب " . ‎د / عن عبد العزيز بن عبد الله بن خالد بن أسيد قال : قال رسول الله صلى الله عليه وسلم : ( يوم عرفة اليوم الذي يعرف الناس فيه ) ، أخرجه الدارقطني في " سننه " ( 2/224 ) ، والبيهقي في " السنن الكبرى " ( 5 / 176 ) ، وقال : " هذا مرسل جيد أخرجه أبو داود في المراسيل " . ‎وقال ابن حجر في " التلخيص الحبير " : " عبد العزيز تابعي ، قال ابن شاهين عن ابن أبي داود : اختلف فيه ، ورواه أبو نعيم في معرفة الصحابة في ترجمة عبد الله بن خالد ، والد عبد العزيز بهذا من رواية ابنه عبد العزيز عنه " وقال في التقريب ( 1 / 472 ) : " وهم من ذكره في الصحابة " اهـ . ‎هذا ولا يخرج الحديث من الإرسال برواية عبد العزيز عن أبيه ، لأن عبد الله بن خالد بن أسيد ، والد عبد العزيز قال عنه ابن منده : " في صحبته ورؤيته نظر " ، وذكر مثل قوله أبو نعيم في : " معرفة الصحابة " ، وكذلك ابن الأثير في " أسد الغابة " . وقد ضعف إسناد هذه الرواية الشيخ عبد الله الجبرين في تحقيقه لرسالة الحافظ ابن رجب : " أحكام الاختلاف في رؤية هلال ذي الحجة " ، وأعلها بثلاث علل ، وذكر أيضاً أن لها شاهداً لا يفرح به ، لأنها من رواية الواقدي وهو متروك إضافة إلى أنها مرسلة . ( انظر التحقيق في هامش رسالة ابن رجب ص24 ) . ‎الناس بعرفة أنه أضيف الصوم إلى اليوم بعينه ، حيث قال صلى الله عليه وسلم : ( صيام يوم عرفة ) ، أخرجه مسلم ( 1161 ) ، وغيره . ‎وجه الدلالة : أنه أضاف الصيام إلى يوم عرفة ، وليس إلى اليوم التاسع ، ولم ينقل عنه صلى الله عليه وسلم أنه أضاف الصيام إلى اليوم التاسع ، فدل على أن هذه الإضافة معتبرة . ‎3 - أن المسلمين قد أجمعوا إجماعاً عملياً منذ عشرات السنين على متابعة الحجاج فلا يجوز مخالفتهم في ذلك ، وقد نقل الشيخ حسام الدين عفانة عن الدكتور محمد سليمان الأشقر قوله : " إن المسلمين في جميع أقطار العالم الإسلامي قد أجمعوا إجماعاً عملياً منذ عشرات السنين على متابعة الحجاج في عيد الأضحى ولا يجوز لأي جهة أو مجموعة من الناس مخالفة هذا الإجماع " . ‎و قال الشيخ عبد الرحمن السحيم : " .. ولا عبرة هنا باختلاف المطالع ؛ لأن الأمة تجتمع على أن يوم عرفة في ذلك اليوم الْمُحدَّد ، وعادة من يُخالف في ذلك لا يُخالف لأجل اختلاف مطالع ، بل لأمور سياسية ! ..."!! .
@mawazoit8070
@mawazoit8070 2 жыл бұрын
Swadakta
@nurdiniathumani9388
@nurdiniathumani9388 Жыл бұрын
Nawezaje kuikopi hii
@mohamedamour2735
@mohamedamour2735 2 жыл бұрын
Safi sana akuzidishie kuweza kututoa ktk ujinga
@AL-WAARITHUUNTZtv
@AL-WAARITHUUNTZtv Жыл бұрын
SHEIKH Abuu Eid uko sahihi bila shaka mimi Nakuelewa sana
@user-qe8xp6ii1u
@user-qe8xp6ii1u 4 жыл бұрын
Wenzio Wanachuoni Huzungumza Kwa Dalili ktk Quraan na Hadith za Mtume. Inakuwa hivi "Kasema Mtume kadha.. au Alikuwa mtume Kadha.. Au Ametuamrisha Mtume Kadha.. Au Allah amesema Kadha... Sasa wew Unatuletea Kauli za Binadam kama Sisi Ambao hata mim naweza nikatunga Vitabu kama Hivyo. Tusomeni Maneno ya Mungu na Mtume wake. Wacheni Ubabaishaji
@gracendeule2567
@gracendeule2567 4 жыл бұрын
Vijana waagano jipya
@allymwabawa1882
@allymwabawa1882 4 жыл бұрын
wap mtume kasem watu wafunge arafa kwa kuangalia mahujaji ktk viwanja vya Arafa?
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 жыл бұрын
Km kufunga ni kuangalia Arafa, wema waliopita hawakujaaliwa technologia waliipataje?
@user-qe8xp6ii1u
@user-qe8xp6ii1u 2 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 Kamuulize Mama Aisha Aliyemuambia Yule Mtu Aliyekunywa Maziwa siku ya Arafa na huku akidai kwao Ni Mwez 8.Alijibiwa hivi "Arafa ni siku atakayotangaza Imaamu Mkuu wa Makka...na si Kuangalia Mwezi wa Dhul hijja."maneno haya Yapo ktj Kitab Attarghiib wattarghiib. Ikiwa Mambo nMya swaumu yasiende Kwa teknolojia...Bas iwe hivi Mtu wa Daresalaam Akiuona Mwez Bas Apande punda Au atembee kwa miguu Akapeleke Taarifa kigoma kuwa mwez Umeonekana.Na ni Marufuku Mufti Mkuu wa Tz kutangaz Mwez na sikukuu ktk chanel ya TBC taifa.Wala Ktk Redio yyte isitangaze mwez Kwa sabab Hizo Teknolojia wakat huo hazikuwepo.tumeeelewana Nilichogundua nyiny Mnapelekwa na Matanmmanio tu
@sportsentertainmentvideo6633
@sportsentertainmentvideo6633 4 жыл бұрын
Shekh anaongea kwa jazba kama anapiga kampeni!! Ongea taratiib tukuelewe... Tanzania tunahaja gani ya kukhitilafiana na makka hali ya kuwa hatuna mapishano ya Siku wala saa!!?? Hakika!!! Kusoma sana si kuelimika.
@ommarymgeni1536
@ommarymgeni1536 4 жыл бұрын
Juma Witala kwan wew hoj zako nzip leta dalil so mnawakufurish wanzuon toa tu dalil ruk hewn tukuon
@sportsentertainmentvideo6633
@sportsentertainmentvideo6633 4 жыл бұрын
Ni mwanawazuoni yupi niliye mkufurisha!??
@saidthanksjuma295
@saidthanksjuma295 4 жыл бұрын
Kama hunalakusema kaakimya dini hayend kwajzba
@saidthanksjuma295
@saidthanksjuma295 4 жыл бұрын
Bac weka Arafa yko Tanzania
@mussajuma7460
@mussajuma7460 4 жыл бұрын
Alafu cha kushangaza saudia Arabia na Tanzania sasa kuna tofaut gani kufata saudia
@muhsinsalum4974
@muhsinsalum4974 3 жыл бұрын
Sheikh unaumia koo BURE. TATIZO UWAELEZAO NI MUHAAFIDHIINA
@mustafamsaraka9877
@mustafamsaraka9877 4 жыл бұрын
Allah huwanyima wazuri kufaham hadith na kuzifanyia kazi
@maulidabdallah25
@maulidabdallah25 4 жыл бұрын
Shekh swadaqta waambie wasome haqq yasimma kwa dalli na pia akuna muungiliano Katie ya swaumu ya arafa na kisimami cha arafa
@NEWMOVIES-ln3gg
@NEWMOVIES-ln3gg 4 жыл бұрын
Shekhe mbona hujasema mawio na machweo twaendana na Makkah shekhe huna elimu yoyote na ya kujiongeza huna.poleeee kwa kukosa kufunga SKU ya arafa ya j,mos..na pole kwa kukaa na njaa leo
@mohamedchobu7252
@mohamedchobu7252 4 жыл бұрын
Hiyo ni Manhaji ya Tamta
@allylassuh4947
@allylassuh4947 Жыл бұрын
Shukran shekh muhammad iddi tunakuelewa vzur sana
@rashidbusanya7166
@rashidbusanya7166 5 жыл бұрын
Kama ni ikhtilaafu zilikuepo kwanzia hapo awali usiseme et waliyo sema tufunge siku ya arafa pamoja na makka hawana ushahid ushahid upo mashekh walisha toa IKUMBUKWE KWAMBA ALLAH NDIE MJUZI NANDIE ANAE JUA ZAID
@athumanikadaika5817
@athumanikadaika5817 5 жыл бұрын
Ni kweli hitilafu zipo na zilikuwepo tangu zamani lkn sio kila ushahidi unazingatiwa katika hukumu.... Hukumu hutoa haki kwa ushahidi wenye mashiko tu na kutupilia mbali shauri au ushahidi usio na mashiko.....
@saidiharuna3129
@saidiharuna3129 5 жыл бұрын
Rashid Busanya walitoa maneno yanayotoka kwenye vitabu au utashi wa mtu
@Badooyusuf
@Badooyusuf 5 жыл бұрын
Rashid Busanya nilekeze na mm nikautafute
@mohamedlamimu
@mohamedlamimu 5 жыл бұрын
Hivi ni kwanini ninyi mnaokoment kumpinga Sheikh hapa hamleti dalili zaidi ya kuelezea utashi wenu na kuleta lugha chafu!?
@mohamedlamimu
@mohamedlamimu 5 жыл бұрын
Hivi ni kwanini ninyi mnaokoment kumpinga Sheikh hapa hamleti dalili zaidi ya kuelezea utashi wenu na kuleta lugha chafu!?
@abuuuruwatally3902
@abuuuruwatally3902 4 жыл бұрын
Hahaha we sema 2 ila wenzo wanen kwa haqi.. إلى عارفاة سنمضي غدا إن شاء الله..
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 жыл бұрын
Wema waliopita hayo waliyafanyiaje kazi na hawakua na technologia?
@yusuphahmed7757
@yusuphahmed7757 2 жыл бұрын
👉 hiyo kwà uelewa wako hiyo Arafa ni moja hatukufuati wewe
@cydemanchester2368
@cydemanchester2368 4 жыл бұрын
Wewe ndiye mpotoshaji mkubwa na hoja zako ni dhaifu sana. Acheni kuwapotosha waislamu kwa kupewa ruzuku na serikali ili muuangamize umma wa kiislamu
@yuzaaseif3040
@yuzaaseif3040 4 жыл бұрын
Nendq kasome kijqn
@abdulqaadrilaurian3700
@abdulqaadrilaurian3700 Жыл бұрын
Sheikh vip uko sawa kweli ebu ludi darasa kafanye baadhi,swali Tanzania na Saudi Arabia tunatofautiana mda gani na kama hatutofautiani kwann hatuendani nao
@issaabbas5406
@issaabbas5406 4 жыл бұрын
shekhe acha msimamo wa kishia soma kwanza uelewe uache kupotosha uma
@salehal-tewany4627
@salehal-tewany4627 2 жыл бұрын
Lete dalili yako kufunga ni kufutwa Saudia mana nadhani ukiwauliza wazazi wako na walimu wako watakuambia ukweli kuwa kabla ya kuja teknolojia waislamu wakifuata mwezi na hawajui kuhusu mahujaji mana mawasiliano ya likiwa hayapo na swuala la wenzetu limekuja juzi na ndiyo inayoitwa BIDAA
@mustaphaibrahim368
@mustaphaibrahim368 4 жыл бұрын
Unaongelea sunna gani aibu huna umefagia kidevu kama papa Benedict
@allylassuh4947
@allylassuh4947 Жыл бұрын
Sai ni papa coz hana ndevu jee akiwa nazo utamuita nani???
@esir6667
@esir6667 Жыл бұрын
Matusi hayafai
@latifaabdul5974
@latifaabdul5974 Жыл бұрын
Kidevu muachie yeye na mola wake kikubwa ni majibu ya maswal aliyouliza tu
@abdallahkawambwa2666
@abdallahkawambwa2666 2 жыл бұрын
Wafundishe Shekhe vibaraka wamarekan hao
@nssjsjzjnznz4531
@nssjsjzjnznz4531 4 жыл бұрын
Alhamdulillah shekhe qassim mafuta abuulfadhili kashatuchapia leo uyu mtu fimbo mingiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
@showfive4413
@showfive4413 4 жыл бұрын
Wafata mkumbo ni wengu kuliko waliosoma. kama ulikimbia fimbo madrasa huwez kumuelewa huyu sheikh.
@xalamlutfih6014
@xalamlutfih6014 4 жыл бұрын
Naona sheikh anazungukaa kwa mtume amesema tufunge tarehe au 9 tufunge Arafat ? Mbna ajaanzia kutujibu kwa Qur'an na hadithi
@assalaamt4766
@assalaamt4766 3 жыл бұрын
Kabisaaa ndugu, wengi wa watu siku hizi hawaelewi dini, waelewa miziki tu, akili zao ziko kwenye miziki wataona haki hao?
@assalaamt4766
@assalaamt4766 3 жыл бұрын
@@xalamlutfih6014 Mtume swallallahu alaihi waalihi wasallam alisema siku ya tisa ya dhul-hijah, sio tuangalie walioko uwanjani, je kusipokuweko na kisimamo cha Arafa itakuwaje, saum ya Arafa itaondoka? Dini inakwenda sambamba na kinacho kubaliana na akili na kutumika kila wakati.
@fashnirdula2872
@fashnirdula2872 5 жыл бұрын
Assalmu alykm sheikh wangu,.leo nimwanzo ngpi
@khalifabanka5041
@khalifabanka5041 2 жыл бұрын
Shekhe msikhitilafiane hivo mnatukhifilisha sana sisi waumini. Sisi watanzania tunaungana masaa sawa kabisa na hao walio hijja
@aishaomary732
@aishaomary732 4 жыл бұрын
shekhe Eddi nimekuelewa Sana
@arafalubuva3855
@arafalubuva3855 2 жыл бұрын
Wacha unafik
@marymusi8235
@marymusi8235 5 жыл бұрын
soma dini yako halafu ushikamane na msimamo wako ili uwe na hoja kwa mola wako
@mohamedsalimaljahdhamy1436
@mohamedsalimaljahdhamy1436 5 жыл бұрын
Ukisoma sera utagundua kuwa Eid fitri na Eid Adh ha zimefaradhishwa mwaka wa 2 wa kiislamu. Wakati hija imefaradhishwa mwaka wa 6,7 au 8. Sasa hapo Mtume s.a.w alikuwa akifunga swaum ya na arafa na pia anakula Eid ya mfunguo kwa miaka mingi kabla ya hija kufaradhishwa. Je alikuwa akiwafuata mahujaji gani walosimama na wakati hija ilikuwa haipo? Naomba jibu kwa hoja sitaki povu tafadhalini. Na mkiona jibu hamlipati mujue kuwa funga ya arafa na kisimamo cha mahujaja hakuna mafungamano yoyote. Shekh Abuu Eid kwa hapo yupo sahihi.
@abuunabilherbalmedicine5594
@abuunabilherbalmedicine5594 5 жыл бұрын
Soma vizuri sira acha kubabaika idd Al fitr ndo ya kwanza kufaradhishwa alafu hijjah imefaradhishwa mwaka wa 9 hijiriya na hiyo ndio kauli rajihi na mtume hawezi kufunga Arafa na wakati ilikua saumu ya Arafa haipo Wewe unachanganya swaum ya Arafa na ashuraa soma sira vizuri Kijana acha kukurupuka
@mohamedsalimaljahdhamy1436
@mohamedsalimaljahdhamy1436 5 жыл бұрын
@@abuunabilherbalmedicine5594 Hapana shekh ww ndo bado hujaelewa. Eid zote mbili zimefaradhishwa mwaka wa 2 kwa pamoja. Mtume s.a.w alipofika madina aliwaona watu wa madina wanasherehekea sikukuu nyingi ndo hapo akawaambia Allah ameshawaletea badali ya hizo sherehe zenu nyinyi waislamu mumefaradhishiwa sikukuu zenu 2 yaani Eid Fitri na Eid Al adh ha. Shekh rudi tena darasani ukasome Eid zote mbili zimeletwa wakati mmoja. Na hija imefaradhishwa mwaka wa 9. Hii ndo kauli yenye nguvu. Sasa suali langu lipo pale pale. Hadith sahihi ya mke wa mtume s.a.w Safia alisema kuwa mtume s.a.w alikuwa haachi kufungaa siku ya tisa. Sasa imepita miaka mingi mpaka kufaradhishwa kwa hija. Je mtume s.a.w alipokuwa akifunga alikuwa akiwafuata mahujaji gani walosimama arafa wakati hija ilijuwa bado haijafaradhishwa? Soma vzuri maelezo yangu.
@hassanalhussein3982
@hassanalhussein3982 5 жыл бұрын
@@mohamedsalimaljahdhamy1436 asante sana kwa kuwaeleza vizuri .Hawa mawahabi hawana hoja bali ni ushindani usio na msingi. Hawana jawabu la kujibu maana ni madebe matupu.
@saidmwinyi2501
@saidmwinyi2501 5 жыл бұрын
Mohammed salim ndugu yetu kwan hijja imeamrishw wakt wa Mtume saw au ipo tokea nabii Ibrahim as
@engamidulutta1496
@engamidulutta1496 4 жыл бұрын
Mahujaja ni nn nifaamishe apo sijafahamu
@ashamngindo8023
@ashamngindo8023 Жыл бұрын
Nimekuelewa shekh
@saidibadawi469
@saidibadawi469 4 жыл бұрын
Shukruni shekhe wangu kwa dawa.
@shaidually3636
@shaidually3636 4 жыл бұрын
Sunna ndogo tu ya kuacha ndevu na kukata sharubu imekushinda vp wazungumza sunna?
@junhanbabu1218
@junhanbabu1218 4 жыл бұрын
Usinimalizie mb zangu.
@hutisaleh2320
@hutisaleh2320 4 жыл бұрын
C mzma ww
@radhidijera8505
@radhidijera8505 Жыл бұрын
Sasa shekhe ungeelezea kuhusu Tanzania 🇹🇿 ambapo muda wetu na makkah upo sawa kabisa
@mohammedamour9281
@mohammedamour9281 4 жыл бұрын
Nchi gani tumepishana siku nzima masaa 24?unatuchanganya
@aminially4456
@aminially4456 3 жыл бұрын
Fuatilia masaa ya marekani tukoje
@fatmanamoya750
@fatmanamoya750 2 жыл бұрын
Alhamdhulilah nimepewa vzuri sana Sheikh Allah akupe umri tahwil
@abuunabilherbalmedicine5594
@abuunabilherbalmedicine5594 5 жыл бұрын
Sasa Shekh unazungumzia nchi yako au nchi zingine Alafu unasoma ibara za kiarabu na kuzifafanua tofauti kwakua unajua kila anaekusikiliza ni zuzu Saumu ya Arafa Tanzania itakua siku ya jumamosi ambayo ni tarehe 9 ambayo mahujaji wanasimama Arafa na sisi hatutofautiani ki muda na Makkah sasa Shekh usitoe fatua za nchi nyingine kwakua wewe unaishi Tanzania ambayo ipo sawa na Makkah hiyo ndo point usifuate masuala ya dunia marekani watafunga Arafa kutokana muda wao na sisi tutafunga siku ya jumamosi in Sha Allah na iddi itakua juma pili Na Allah ni mjuzi zaidi سبحانك اللهم وبحمدك أشهد أن لا إله إلا أنت أستغفرك وأتوب إليك
@princeganji2779
@princeganji2779 5 жыл бұрын
Pumba uyoo achana nae
@abdulkareemseif667
@abdulkareemseif667 5 жыл бұрын
Adam Hussein ndio hapo sasa elimu ipo wazi
@allymnzava3818
@allymnzava3818 5 жыл бұрын
Huyu sheikh anapotosha wengi hasa wale wanaofuata dini kishabiki. Na jinsi Allah alivyomjalia uwezo wa kuongea na kushawishi.
@mohammedsgereza220
@mohammedsgereza220 5 жыл бұрын
Wewe nimekuelewa
@hassanalhussein3982
@hassanalhussein3982 5 жыл бұрын
@@allymnzava3818 lete hoja zako usi payuke bure.
@abdulhalimkibela4396
@abdulhalimkibela4396 4 жыл бұрын
Asalam alaykum jaman kama ww hukiamin anacho kiamin mwenzio usitukane jaman waislam sote kitu kimoja
@rahmjuma4495
@rahmjuma4495 4 жыл бұрын
Sheh ukosahihi zamani mambo aya yalikuwa amna sasaivi kilamuislamu anajiamliatu kwakuwa kunavyombo vingi vya habali basi munaamuwa kutugawanya jamaa wanafulahi sana munavyolumbana
@allymugisha9203
@allymugisha9203 4 жыл бұрын
Sheee anaacha sharubu ndevu anyoa wallah mwalimu wako huyo muhammadi sijui nani duuu kweli anajua
@SalimSalim-ls9lg
@SalimSalim-ls9lg 5 жыл бұрын
WEWE SHEIKH HADITH INAZUNGUMZIA SWAUM YA SIKU YA ARAFA SIYO SWAUM YA SIKU YA TISA YA DHULHIJJAH WACHA KUBABAISHA UMMA NA KUPOTOSHA, SASA MFANO WEWE UNAESEMA MPISHANO WA MASAA VIPI KWAKO UNAPISHANA MDA GANI
@drimazonechoice9822
@drimazonechoice9822 5 жыл бұрын
Hata kuelewa huelew ndo tatizo hilo na zaid unatakiwa urud madaris ukasome uislam si din ya muhemko hii acha kitoa lugha za hovyo ukijua huyo unae mwambia kakuzid umri uwezo wa elim na mambo kam hayo
@abdulkareemseif667
@abdulkareemseif667 5 жыл бұрын
Salim Salim ndo hapo mm nataka kujua yeye anazungumzia kupishana masaaa je Tanzania wamepishana masaaaa mangapi
@mohamedlamimu
@mohamedlamimu 5 жыл бұрын
Vitabu vimeandika siku ya tisa ya dhulhijja mwezi mwandamo, kwa nini muje na fatwa zenu za kisasa!?
@mohammedrashid2455
@mohammedrashid2455 5 жыл бұрын
Salim Salim
@SalimSalim-ls9lg
@SalimSalim-ls9lg 5 жыл бұрын
Ndugu zng ckulizen alichosema hyu sheikh mtetea maulid alichosema kweny dakika 1:15 hadi sekunde ya 22 ndo mtajua kuwa yy tayar amejiblock
@ishmaelali8141
@ishmaelali8141 5 жыл бұрын
Tupe dalili za kisunna na sio kutowa kilichopo akilini mwako
@saidiharuna3129
@saidiharuna3129 5 жыл бұрын
Ishmael ali wew mwenye dalili toa ili uone uwongo wake sio kusema kwa uwoga toa wew iyo dalili yakisunnah uliyoiona mtume anasema zama bora ni yake yeye na yawaliomfuata yeye hiv kweli zama zetu za simu ziwe bora kuliko zile ibada hiii waliiifanyaje?
@ismailjuma3692
@ismailjuma3692 5 жыл бұрын
Ishmael ali inaonekana umesoma lakini bado mjinga,kaa ukijua kua kuna elimu kiasi na sehemu zake ndio kama hizo wacha ujinga
@duniaileile5522
@duniaileile5522 4 жыл бұрын
Washaishiwa hao, kazi kuufaraqanisha ummah wa kiislam kwa maslahi ya mabwana flan
@ahmadkinunu9248
@ahmadkinunu9248 4 жыл бұрын
Samahan mi naomba kufahamu nikasome kitabu gani ili nipate ushahidi kisuna juu ya jambo hili
@salehal-tewany4627
@salehal-tewany4627 2 жыл бұрын
Lete wewe Dalili yako kufunga ni kufutwa Saudia mana nadhani ukiwauliza wazazi wako na walimu wako watakuambia ukweli kuwa kabla ya kuja teknolojia waislamu wakifuata mwezi na hawajui kuhusu mahujaji mana mawasiliano ya likiwa hayapo na swuala la wenzetu limekuja juzi na ndiyo inayoitwa BIDA-A
@delefantasticali8377
@delefantasticali8377 2 жыл бұрын
Arafa n moja tu kw wote..
@hamissnjumba3034
@hamissnjumba3034 3 жыл бұрын
sheikh asalaam alaykum mimi binafsi naridhika na fatua zako illa, nakunasihi fanya na sema kwa ajili ya Allah tu, na wala usiseme kumkomoa mtu ila uelekezaji wako unaelekeza kwa kuonesha ile asili ya uislam , mmarhabaa lhamdullaah , Allah jalaal akuengeze elmu enye manufaa'' inshaallah
@ajmilee4204
@ajmilee4204 5 жыл бұрын
Sheikh nimekusoma vzr sn! Hasa hapo uliposema kun wngn hawataki hoja mpk itoke Makkah kw maana ya vtabu vya masheikh zao na ukawapa hvo vtabu vyao lkn pia nimekusoma zaid kwny pozi la kukandamiza misumari huku unawavalia miwani na kuivua😂😂😂😂
@mudhihirumikidadi6066
@mudhihirumikidadi6066 4 жыл бұрын
Nahija muwe mnaenda kuhiji sehemuzingine naonaweww unachukia saudia nendeni mkahiji marekani mbona mnaenda saudia?
@abdulmohamed2044
@abdulmohamed2044 4 жыл бұрын
Vp kuhusu Tanzania na kule Saudia acha nchi zingine sisi je, inajuzu kuwa sambamba na Saudia?
@abdallahibrahimjongo9794
@abdallahibrahimjongo9794 4 жыл бұрын
Alitakiwa aongelee kuhus ivo
@samonlinetv6106
@samonlinetv6106 4 жыл бұрын
Suud na Tansania ni sawa,Sheikh tell us mnapishanaaje na Suudia?
@sirqiutaislaamahambe1535
@sirqiutaislaamahambe1535 3 жыл бұрын
Ndugu soma geography utaelewa dunia inaendaje
@manish-fp1fb
@manish-fp1fb 3 жыл бұрын
Ndugu yupi sasa asome Geography???
@mifugomedics7019
@mifugomedics7019 4 жыл бұрын
Mimi nimeelewa, ukiwa kwenye system hutakubali ukweli. Maana shekh anaongea kwa jazba kama kamwagiwa maji ya moto. Wallah Allah atunusuru
@abdullatwifujuma3745
@abdullatwifujuma3745 3 жыл бұрын
OK , wanajaziba na haki hata kuongea hajui , hatulii anajua anaongea baatwili , , watu wa bidaa hao
@nurudinramadan6839
@nurudinramadan6839 4 жыл бұрын
acha uchochezi Shekhe leo jumaapili ndo iddi ww kama leo ndo arafa niww
@queenisha6818
@queenisha6818 4 жыл бұрын
Mi nashangaa sana humu ndani matusi ya nn kama anapotosha watu mwenyekumuhukumu ni mungu nyinyi amuwezi kumuhukumu hata mtoe matusi tumuogope mungu yeye ajue kila kitu
@abuuyaasinrashidirashidi9638
@abuuyaasinrashidirashidi9638 4 жыл бұрын
Allah atuhurumie maana huna cha kuongea zaidi ya kuwahimiza watu wazidi kupotea
SHEIKH MUHAMMAD IDDI AWAJIBU TENA WAPOTOSHAJI KUHUSU ARAFA.
34:03
BABDEO MILADU
Рет қаралды 86 М.
Siku ya Arafa ni Lini?  ::: Sheikh  Mbarak Ahmed Awes
40:01
Sheikh Mbarak Ahmed Awes
Рет қаралды 43 М.
KINDNESS ALWAYS COME BACK
00:59
dednahype
Рет қаралды 138 МЛН
Жайдарман | Туған күн 2024 | Алматы
2:22:55
Jaidarman OFFICIAL / JCI
Рет қаралды 1,7 МЛН
DO YOU HAVE FRIENDS LIKE THIS?
00:17
dednahype
Рет қаралды 93 МЛН
Каха и суп
00:39
К-Media
Рет қаралды 4,3 МЛН
NGUZO TANO ZA NDOA  ZIKIFAFANULIWA VIZURI NA SHEIKH IDDI MOHAMED IDDI
37:51
SHK ABDULQADIR ALIPOULIZWA KUHUSU ARAFA NI MOJA AU KILA NCHI NA ARAFA YAKE
8:24
MAJIBU YA DHARAU NA KEJELI YA MUHAMMAD BACHU KWA SHEIKH SAID ALI HASSAN || SHEIKH MUHSIN ALI BUTE
16:10
Markaz Swalihinal- islamy Mombasa Kenya
Рет қаралды 6 М.
MAJIBU MARIDHAWA KWA MPOTOSHAJI KASIM MAFUTA BY Shk Abuu Idi
30:33
Sheikh Yusuf Diwan
Рет қаралды 28 М.
Shekh Suleyman Kilemile ajibu mashambulizi (SEHEMU YA KWANZA)
20:31
BABDEO MILADU
Рет қаралды 72 М.
SHEKH MUHAMMAD IDD _ UHALALI WA MAULIDI I FAIDA ZA MAULIDI
19:38
BABDEO MILADU
Рет қаралды 19 М.
Sheikh Mohamed Idd
35:09
Hatibu Nkonga chanel
Рет қаралды 3,3 М.
Эксперимент вышел из под контроля😱😢
0:57
Следы времени
Рет қаралды 4,8 МЛН
САМЫЙ ЖАРКИЙ ШТАТ (@therealoscarmendez - TT)
0:23
В ТРЕНДЕ
Рет қаралды 17 МЛН
🤣МАЛО КУПИТЬ ЛОШАДЬ
0:18
Бутылочка
Рет қаралды 6 МЛН
Heavy package 🤭🤣 #demariki
0:25
Demariki
Рет қаралды 7 МЛН
ДЕНЬ ГЛАЗАМИ МАМЫ (смешное видео, приколы, юмор, поржать)
0:59
رورو ضد رقيه🔫😲🚀 #shorts
0:13
رورو فاميلي | Roro Family
Рет қаралды 35 МЛН