No video

UKIOTA UNAJISAIDIA HAJA KUBWA | AU UMEIONA | HII NDIO MAANA YAKE | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN

  Рет қаралды 171,978

MASJID MTORO ONLINE TV

MASJID MTORO ONLINE TV

Күн бұрын

UKIOTA UNAJISAIDIA HAJA KUBWA | AU UMEIONA | HII NDIO MAANA YAKE | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN
#MasjidMtoroTv #NasahaZanguTv #NyumbaYatibaNaDua

Пікірлер: 218
@nzirubusakhamissi3329
@nzirubusakhamissi3329 2 жыл бұрын
Ustadh unatafsir vizur san lakin unazunguz san yaan unaelez huk na kul unawez ukamsif allah nakumsalia mtum juu yake rehm na aman nakuingia moj kwa moj kweny mad inshallah
@saidjoka1282
@saidjoka1282 2 жыл бұрын
UNAONGEA SANAAA
@Matiherbalist
@Matiherbalist 2 жыл бұрын
Jamani bando litaisha kabla kuskia maana ya ndoto, kuwa na kauli fupi fupi . Una strori nyingi Sana
@MuasitiAboBakri-ew5mu
@MuasitiAboBakri-ew5mu Ай бұрын
Shukrani shekhe
@mkingaboy550
@mkingaboy550 Жыл бұрын
Shekhe unachelewa sana mazungumzo ya akuwa mengi Sana tafadhali shekhe🤝
@msafiriduwiya7765
@msafiriduwiya7765 Жыл бұрын
Peleka mbele
@anliomaromar7163
@anliomaromar7163 2 жыл бұрын
Shukrani sana mualimu somo adhimu kabisa mungu akulinde milele daima
@alimussahimidi8185
@alimussahimidi8185 Жыл бұрын
Allah akubariq san ustadh wangu nimekuwa nikioa japo mara moj kwa mwez subhanallah
@africansmile101
@africansmile101 2 жыл бұрын
Safi sana kwa kuelewesha jamii kuhusu njozi tunaoya
@WinifridaKabelege-ip4dq
@WinifridaKabelege-ip4dq 9 ай бұрын
Shukuran sana sheikh,,Allah akujalie kheri🙏
@uthmanihimbawe5244
@uthmanihimbawe5244 3 жыл бұрын
Baarakallah fiika
@AntoniaRyoba
@AntoniaRyoba 2 ай бұрын
Unakera sana unamaneno mengiunatumalizia muda hatuhitji kiarabu hicho jalibu kupunguza maneno
@bebisheni4380
@bebisheni4380 4 жыл бұрын
Asante Shekhe mwenyezi mungu akubarik
@nyumbayatibanadua737
@nyumbayatibanadua737 4 жыл бұрын
Amina yaarabiy
@shadiahborandi2687
@shadiahborandi2687 4 жыл бұрын
Walaykum salama warhmatullahu wabarakatuh sheikh
@nyumbayatibanadua737
@nyumbayatibanadua737 4 жыл бұрын
Shukran
@user-ij2bf8of8h
@user-ij2bf8of8h 4 жыл бұрын
Barikiwa sana sheikh kwa mafunzo yako
@nyumbayatibanadua737
@nyumbayatibanadua737 4 жыл бұрын
Amina yaarabiy
@fatumastani2712
@fatumastani2712 4 жыл бұрын
Barikiwa saana shikh mafunzo yako Mimi nimeota mtoto mdogo ambae ni alubino ananialishia kwa mfurulizo kama mpolomoko maana yake nini
@rahmaabdulrahmaabdul1781
@rahmaabdulrahmaabdul1781 4 жыл бұрын
Asalam alekum. Shukran sheikh kwa kutupa elimu allha akubariki na akutie katika pepo yake kwa rehma zake mimi nimeota nimejisadia kwetu njee ya choo lakini kwenye yale mabakuli ya watoto lakini lilikua kubwa na hiyo haja kubwa haina harufu yoyote
@rehemaothman2200
@rehemaothman2200 2 жыл бұрын
Ameen
@ronasapura3517
@ronasapura3517 3 жыл бұрын
Uko vizuri maalim
@khamismtoma4902
@khamismtoma4902 Жыл бұрын
Sitori nyingi tatizo Hira ni nzur
@qwnlynuzlah3115
@qwnlynuzlah3115 4 жыл бұрын
Shukran Sheikh,,,JazzakaAllahu Kheyr,,Na Kama Umeota Umepigana Na dadako Inamaanisha Nini Sheikh,?
@nyumbayatibanadua737
@nyumbayatibanadua737 4 жыл бұрын
Hiyo ni amali ya shetani
@qwnlynuzlah3115
@qwnlynuzlah3115 4 жыл бұрын
@@nyumbayatibanadua737 amali yake kivpi inamaana iyo ndoto sio nzuri shekhe
@seifbashir6393
@seifbashir6393 4 жыл бұрын
Ana imanisha Hainaut maana ni naoto tu ya shetani
@hawaynatimam982
@hawaynatimam982 3 жыл бұрын
Baba unazunguukaa Sana, mpaka kero, nenda moja moja kwenye Mada, unapoteza mb zetu
@shinunaameir1193
@shinunaameir1193 2 жыл бұрын
😂😂😂
@msafiriduwiya7765
@msafiriduwiya7765 Жыл бұрын
Pekeka mbele
@khadijahamina8457
@khadijahamina8457 10 ай бұрын
peleka mbele vidio😂😂😂
@LeyllaLeylla-hf7su
@LeyllaLeylla-hf7su 7 ай бұрын
😂😂
@user-ig4ot4lm1g
@user-ig4ot4lm1g 6 сағат бұрын
Asalaam alykum, mi nimemuotea mdogoangu amejisaidia haja kubwa na alikua ammesimama mgongoni kwa mama, na alipoanza kujisaidia mi ndo nilikua wa kwanza kuona na kikaishika na nikaenda kunawa mkono kwa haraka. Sijui inamaana gani?
@asiaissa976
@asiaissa976 3 жыл бұрын
صلى الله عليه وسلم
@rosemerengary1834
@rosemerengary1834 3 жыл бұрын
Maneno ni mengi mnoo ungekuwa unaenda straight to the point
@bbb6nnn561
@bbb6nnn561 3 жыл бұрын
Allah atujaalie salama inshaallah
@notbrugakiwia3565
@notbrugakiwia3565 2 жыл бұрын
Je anayeota kunya ofisini maana yake Nini?
@redymbuba111
@redymbuba111 3 жыл бұрын
Asante Kwa kutufundisha
@MalikiHashim-bb6uh
@MalikiHashim-bb6uh Жыл бұрын
Kuota njozi shekh na watoto wadogo wanasoma qulani kwa furaha ndani ya moy
@SamiraSalim-sx7ie
@SamiraSalim-sx7ie 9 ай бұрын
Shekh hebu kuwa unaeleza wapenda kurudia kitu mara Kwa mara wengine hku Yuko nchi za watu time y kusikiza unavyo jieleza hatuna
@LeyllaLeylla-hf7su
@LeyllaLeylla-hf7su 7 ай бұрын
😂😂
@lushingeemmanuel1088
@lushingeemmanuel1088 4 жыл бұрын
asante kwa tafsri hyo, mmi niliota nakusanya kinyesi sjui itakuw na maan gan hyo ndoto samhn lkin
@asiaissa976
@asiaissa976 4 жыл бұрын
Amiina yaarabbi
@mariammariam642
@mariammariam642 4 жыл бұрын
Shukrani
@shadidashafiu1965
@shadidashafiu1965 3 жыл бұрын
Warrykum Salam wallahmatullah wabarakat
@hawarajabu4130
@hawarajabu4130 Жыл бұрын
Il
@alawahmad7848
@alawahmad7848 2 жыл бұрын
Maneno mengi zungumza lilokusudiwa
@anthonycleophace8064
@anthonycleophace8064 3 жыл бұрын
Akika unafanya kazi vzr Sana Kaka,
@aysherkitoi1845
@aysherkitoi1845 3 жыл бұрын
Mimi nimeota mara ya 2 sasa mara ya kwanza nakunya kitandani na kuna watu waliyapokea lkn ckuwaona na nikashtuka mara ya 2 nimeota nimeenda shambani nikaona mavi nikayaruka nikanya pembeni mara4 sehemu tofauti
@sofiahamisi9373
@sofiahamisi9373 2 жыл бұрын
😅😅😅
@MsafiriYohana-yo7bm
@MsafiriYohana-yo7bm 3 ай бұрын
Na ww mala nne zooooooote jaman
@user-vy6yy6ic2u
@user-vy6yy6ic2u 7 ай бұрын
Mm nimeota nimemkuta mume wangu anajisaidia haja kubwa choon nyingi Sana kufungua mlango akastuka
@anethzephulin490
@anethzephulin490 3 жыл бұрын
Unahadisi mpaka hamu ya kusikiliza inaisha punguza maneno
@gorretmarynasike9803
@gorretmarynasike9803 4 жыл бұрын
Story ndefu sana naweee aah
@mchambuzi9089
@mchambuzi9089 3 жыл бұрын
😁😁😁
@hawaramadhan6385
@hawaramadhan6385 3 жыл бұрын
Ad anaboa
@muhsininatv2092
@muhsininatv2092 2 жыл бұрын
Tafuteni pasipo stori basi Nyie vipi
@nusratbintabdullah5713
@nusratbintabdullah5713 3 жыл бұрын
Asante xana sheikh lakini ukiota umepata haja kubwa kwa nyumba
@noorynmohammedy6063
@noorynmohammedy6063 4 жыл бұрын
Shukran sna sheikh wetu
@mariamkizanga9573
@mariamkizanga9573 9 ай бұрын
maneno mengi shekhe tafadhal
@MariamMavuo-yq4zc
@MariamMavuo-yq4zc Жыл бұрын
Assalam aleikum..samahani kaka mimi nimeota watu wamebeba mithili ya jeneza halikai kama jeneza unavyoliona ila limebebwa juujuu kama watu wanavyobeba jeneza kumaanisha ilo ni jeneza lkn sijui kama ndani mna mtu wala hamna na watu waliolibeba hawapokezani kama watu wanavyofanya limeenuliwa juujuu na watu kama watatu hivi kisha wengine wanatembea tu kando huku wakiongea stori zao na kucheka..naomba unitafsirie
@karimbhai1980
@karimbhai1980 6 ай бұрын
Nataka kujua maana y ndoto yangu, nimeota nikienda chooni n familia n hapali penyewe ni pachafu sana, alafu baba yangu pia ametoka chooni n mmi nimeingia hadi nashindwa kujisaidia juu y uchafu n naona wengine wanarusha maji chafu y choo n mkono, mmi nikatafuta maji y kujisafisha nikapata maji y mvua ikitoka kwa mabati nikatumia kujiosha nikiwa nimesimama n nikaanza kutawadha pia nao
@hidayah1295
@hidayah1295 3 жыл бұрын
Shekhe naomba unijibu Mimi niliota najisaidia chooni ila choni kwenye we ni chumbani ninapo lala ila hapana choo. Yani ni chumba NA choo chake ila sikwenda chooni nilijisaidia chumbani ila najuwa nipo chooni BOSI wangu akaingia NA mtoto wake mdogo akaniita Mimi sikuitaka ila alivyo ingia chumbani akaniona nimekaa katika choo yule mtoto akataka kunifwata ila mama yake akamwambia nipo najisaidia chaajabu kulikuwa hakuna halufu baosi akatoka Mimi nikawa najiuliza kwanini sukuenda kujisaidia chooni nipo hapa chumbani.. Naomba unijuzee
@azizahassan939
@azizahassan939 2 жыл бұрын
Shekhe mm nimeota najisaidia chumbani kwangu chini ya sument kisha nikaizoa kwenye karatasi nyeupe nikawa naipereka chooni ila nilipofika ukumbini ikadondoka nikaizoa tena ila nikaacha kidogo pare chin ukumbin kisha nikaenda kuipereka chooni inamaana gani iyo
@adamsnyakundi4427
@adamsnyakundi4427 3 жыл бұрын
Mafunzo poa.but mimi uota nikiona watu wakijizaidia au mtoto wangu amejizaidia kwa sahani na plis sijui maana yake.naomba kujua
@elizabethg.mwaijande5030
@elizabethg.mwaijande5030 2 жыл бұрын
Nimeota ndoto kuhusu kinyesi lakn nimefatilia kuhusu tafsiri ...kila mmoja ana tafsiri ya pekeake mpaka sasa sijapata tafsiri sahihi.
@hamismfinanga8633
@hamismfinanga8633 Жыл бұрын
Unafanya vzr shekhe lkn punguza Hadith kwa maana ya mda na bando letu
@fatmasaiderick1935
@fatmasaiderick1935 4 жыл бұрын
A,aleykum shekhe,m nimeota mtoto wangu kajisaidia haja kubwa kitandan kwenye mashuka nikawa nakusanya kuyatowa haja ikawa imenitapakaa na mm,nn maana yake
@nussramussa5507
@nussramussa5507 3 жыл бұрын
Mm Nikita hivyo napata pesa nyingi sana
@muragizinourah1042
@muragizinourah1042 Жыл бұрын
Allahu akbaru
@fatumathabit6498
@fatumathabit6498 3 жыл бұрын
Nzur lkn stori nyingi😁😁
@msafiriduwiya7765
@msafiriduwiya7765 2 жыл бұрын
Anazuuka
@msafiriduwiya7765
@msafiriduwiya7765 2 жыл бұрын
Anazunguuka
@rahmajohn9859
@rahmajohn9859 2 жыл бұрын
Kweli apunguze misemo atafanya watu wawe wanavuka clip zake
@nulatmpemba4080
@nulatmpemba4080 2 жыл бұрын
Hadi inachosha😆
@salhawakil2173
@salhawakil2173 Жыл бұрын
Mazali mshamjuulia si mnapelek mbele silazim muskiliz iz story zke
@user-dg1is7rz1c
@user-dg1is7rz1c 3 ай бұрын
Mim nimeota boss wangu akijisaidia haja kubwa chooni.inamaana gani
@asmasaid-ln2fc
@asmasaid-ln2fc 3 ай бұрын
Mimi nimeota nimeona haja kubwa kwa shimo la choni na alofanya hiyo haja kubwa ni ndugu ya wa kiume na kwenye hiyo haja kubwa iko miguu ya kuku.
@hamiduahmadi3854
@hamiduahmadi3854 Жыл бұрын
Nenda kwenye hoja ya msingi,
@maryshiko2380
@maryshiko2380 Жыл бұрын
Mm nimeota nakunya na wenzangu walikuwa kisha nikaifunika vizuri. Haikunuka na n mingi mapunde matatu
@ahmadally243
@ahmadally243 3 жыл бұрын
Nenda kwenye tropic mbwe mbwe nyingi mpaka mtu unachoka
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Kabisaa.
@ayubugeorge2168
@ayubugeorge2168 2 жыл бұрын
SHEHE UNATUFUNZA SANA LAKINI JITAHIDI KUPUNGUZA UREFU WA VIDEO JARIBU KUPUNGUZA UREFU WA VIDEO
@bakarifakih4228
@bakarifakih4228 Жыл бұрын
anamaneno mengi kisha anaongea polepole
@elestinadagadaga1706
@elestinadagadaga1706 3 жыл бұрын
Duh stor ndefu had nasinzia
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@allymuhammad325
@allymuhammad325 2 жыл бұрын
TAtizo la huyu jamaa anazunguka sana
@habari5802
@habari5802 Жыл бұрын
Shekhey Mimi najisaidiy ndani
@bbb6nnn561
@bbb6nnn561 3 жыл бұрын
Mimi nimeota hajakubwa inanitoka lkn nnanguo zang watu wananishangaaa lkn mimi naenda mbio kubwa na ona haya jeee inamana gani
@zaitunichibako1214
@zaitunichibako1214 4 жыл бұрын
Asalam alykum m nliota dada wa mama alkwa anaenda haja kubwa ya laini alafu mama anayakinga kwa mkebe na kila akiendesha ndo anapata nafuu coz alkwa hawezi na sehemu alkwa anafanya haja napajua lkn nyumba ndo ilkwa imechakaa sana je sheikh ii ndoto inamaana gani
@happymasao6677
@happymasao6677 Жыл бұрын
Shida unaongea snaaa hapa utapoteza wafatiliaji
@user-gd2xj3xd1b
@user-gd2xj3xd1b 4 ай бұрын
Huyu bwana anakula mb kwakitu kidooigo had hovyo jirekebishe bwana
@timotheomakenz6795
@timotheomakenz6795 6 ай бұрын
Punguza maneno mengi twende kwenye
@janethmunisi5024
@janethmunisi5024 4 жыл бұрын
Mbona me nilishoota najisaidia mara kwa mara ila sijwi kupwa na mikosi hiyo me kwanza ndio huwa napta pesa sana
@Ashsultana
@Ashsultana 3 жыл бұрын
Mimi ndoto za mavi najua ni kupata pesa
@catherineelias5108
@catherineelias5108 3 жыл бұрын
Mimi mwenyewe nikiota mavi lazima nipate pesa
@husnamohammed8199
@husnamohammed8199 3 жыл бұрын
Sadakta na mm ndo napata pesa naota nimeingia mavi gauni langu napata pesa
@husnamohammed8199
@husnamohammed8199 3 жыл бұрын
@@Ashsultana kweli mm nikiota lazima napata pesa hahahaha
@leahleverian
@leahleverian 5 ай бұрын
Hizi tafsir mungu atusaidie Kila mtu anatafsir zake sijui tumwamin nan
@suzyjoseph2367
@suzyjoseph2367 Жыл бұрын
Punguza simulizi, elekeza kwenye lengo husika
@tzinvestigate5002
@tzinvestigate5002 8 ай бұрын
tatizo huendi kwenye poit unazunguka saaaana mtu anashindwa kukusiliza mpaka ,mwisho
@SharifaWaridu
@SharifaWaridu 6 ай бұрын
napenda chanel yako ila me nimelia kwa kumuhurumia mjukuu wa dada yangu ambaye n mgonjwa ila nkamuona anajichoma sindano mwenyewe maeneo ya pajani ndio nikaanza kubujikwa na machozi huku nkisema Allah atamfanyia wepec
@aishaha3890
@aishaha3890 3 жыл бұрын
Salam aleikum mmi nimesha wota ninekwenda sehem nikauta Iyo fasi pakubwa pote Pana haja kubwa Ila ayato harufu
@halimafimbo4890
@halimafimbo4890 Жыл бұрын
Asalam aleykum shekhe nimeota nimenyewa kinyesi na mtoto nilie mbeba mwli mzima
@dianarichardkiri1318
@dianarichardkiri1318 2 жыл бұрын
Mimi nimeota najisaidia kwenye sinki la choo lkn liko wazi ila nilihisi hamna anaye niona kumbe nilionekana nikasahau kuflash nikaondoka baadae nikapita tena maeneo hayo watu wakanivaa na kunichamba kisa cjaflash choo niliona aibu Sana na kuwaomba msamaha kwamba kichwa kinamamambo mengi nilijisahau wakanielewa
@latifasuleiman7527
@latifasuleiman7527 11 ай бұрын
Sheikh Mimi nimemuota mtu kajisaidia kwenye siruali halafu nikakisafisha
@ruqaiyyalema2945
@ruqaiyyalema2945 4 жыл бұрын
Ustaz nimeota ngamia mweupe anatoka juu anakimbia anakuja kama chn
@user-ip1pn4wy8o
@user-ip1pn4wy8o 5 ай бұрын
usthani mm mara ya kwanza niliota nanguka choni ama shimo la choo lakini nikaingiya mguu moja Kisha nikang'ana nikatoka mara ya pili najaita najisaidiya lakini kando ya lile shimo la choo mara ya tatu nikaota najisaidiya pahali ambapo sipajui Kali nilikuwa na rafiki yangu Kisha akakifinika kile choo alafu nikamka lakini choo kile kimekuwa kama muharooo
@mr.macintosh5687
@mr.macintosh5687 2 жыл бұрын
Punguza story shekh unaboa
@mariamkitwana6148
@mariamkitwana6148 2 жыл бұрын
tatizo unamaelezo meengi hadi tunaishiwa kifurushi hata mada hatujaiskia
@azizahassan939
@azizahassan939 2 жыл бұрын
Nimeota watu wengi wanajisaidia kwenye mchanga mm nikazoa kwa mkono nikatia kwenye mfuko mweupe nikaondoka nayo ile haja kubwa zenyewe zilikuwa ngumu zingine lain lakin sio sana zote nimebeba nikaondoka uku nacheza yani nachekerea na ule mfuko nimeubeba nn maana yake
@faidamuhamed3011
@faidamuhamed3011 2 жыл бұрын
Hela hizooooooo jmn ukishazifuma nistue
@sarahwanjiru6121
@sarahwanjiru6121 Жыл бұрын
Ewe nawe waongea sana,kitambo ufikie hu
@user-ov5xc2sy3q
@user-ov5xc2sy3q 2 ай бұрын
Mbona hamna ndoto ya kujisaidia chooni kama kawaida tu je ina maana gani?
@tantinebahati8031
@tantinebahati8031 3 жыл бұрын
Assalam alaykum Mimi nimeota kma mwanangu anajisaidiza afu Mimi njoo nakizowa mana yke Nini??
@rahmadizer1744
@rahmadizer1744 3 жыл бұрын
Mi naota naona sana haja kubwa
@joycekasakisya7755
@joycekasakisya7755 3 жыл бұрын
Wewe km mimi
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw Жыл бұрын
​@@joycekasakisya7755 je mnapata pesa
@aminimirambo2452
@aminimirambo2452 3 жыл бұрын
ACHA UJINGA SHEKHE WEWE...MJINGA WEWE. UNASOMA QURAN UTAFIKIRI UMEMEZA MAV
@nusuphatyusuph3920
@nusuphatyusuph3920 2 жыл бұрын
Mmmh unamatatizo .ndg yang pole sana.
@NaimaMassam
@NaimaMassam Ай бұрын
Uje na yakuota mtu kajisaidia stand ya magar mafungu 3 ya haja kisha akayaacha na kupanda gari
@zaituniabdallah
@zaituniabdallah Жыл бұрын
Mm nimeota marehemu alokufa zamani ndo amehara kwenye sinki jeupe
@nadiaharoon9648
@nadiaharoon9648 Жыл бұрын
Asalamu Aleikumu Allahu akuhifadhi,nauliza ukiota umebeba choo kwakichwa naiko nakinyesi ndani manayake nini?
@homesaickofficial7407
@homesaickofficial7407 9 ай бұрын
Magonjwa ya kichwa au mawazo ayatakusumbua
@mariamumakala6146
@mariamumakala6146 2 жыл бұрын
Nimeota nimejisaidia haja kubwa nikazoa kwa mikono yote miwili nikatia kwenye mfuko nikatupe lkn sikuwai kwenda kutupa
@OmanOma-xi3hm
@OmanOma-xi3hm 8 ай бұрын
❤❤❤
@hawamohamed4281
@hawamohamed4281 4 жыл бұрын
Sheikhe je ukiota nyuki
@user-zl6cm1zs2b
@user-zl6cm1zs2b 3 ай бұрын
Mzee yani unaongea taratibu sana sasa uwe unaingia kwenye mada husika jamani mda wote unajizungushatu
@royalroyal8633
@royalroyal8633 2 жыл бұрын
Ok
@jenniferevaris5216
@jenniferevaris5216 11 ай бұрын
Me nimeota nimeona kinyesi ndan kwangu
@theresiandumbaro7862
@theresiandumbaro7862 11 ай бұрын
Ukiota umepata haja kisha ukaisangaa
@asiaissa976
@asiaissa976 4 жыл бұрын
Shukran
@nyumbayatibanadua737
@nyumbayatibanadua737 4 жыл бұрын
Ahsante
@mammypeter7462
@mammypeter7462 4 жыл бұрын
Nashukuru kwa tafsiri naomba kujua maan ya hii ndoto nimeota nazaa ng'ombe mpaka nikajisaidi watu wakawa wanacheka nikawaambia amuoni nimezaa ng'ombe mkumbwa ndomaana nimejisaidia
@ZawadiBenjamin
@ZawadiBenjamin 2 ай бұрын
16:30
@abbytozzy8294
@abbytozzy8294 3 жыл бұрын
Assalam alaykum Sheikh mtu akiota anajisaidia haja kubwa kipindi anafany mapenzi(tendo la ndoa) nini maana yake
@AyoubMakelele-sw9lk
@AyoubMakelele-sw9lk 3 ай бұрын
Nikiota mm ivyo napata pesa
@harousali7578
@harousali7578 Жыл бұрын
She tunakuomba ukiamuwa ktoa maana ya ndoto basi nenda moja Kwa moja kwenye ndoto SS wengine tunakusikiliza hata humallizi kutowa maana bando linaisha Kwa maneno mengi na m pozi
@eshashamu7663
@eshashamu7663 2 жыл бұрын
Ustadh je ukiota umekatwa na paka manaeke nini
@kanyundojunior2362
@kanyundojunior2362 3 жыл бұрын
Mim jamanii nimeota sehem ninayoijua mavi yamezagaa yani nimeng ila hayatoi harufu.. sijui maana yake nin
@herykembo1609
@herykembo1609 3 жыл бұрын
tunatamani kusikikiza lkn punguza maneno yanachosha
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@nurumsellem8375
@nurumsellem8375 4 жыл бұрын
A. Alkm... Shekh mm nimeota najisaidia haja kubwa huku natapika..... Inamaana gani?
NDOTO Ukiota UNAJISAIDIA haja KUBWA Maana yake ni hii KIBIBLIA.
5:54
Godfrey Mwalongo
Рет қаралды 16 М.
Zombie Boy Saved My Life 💚
00:29
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 29 МЛН
АЗАРТНИК 4 |СЕЗОН 1 Серия
40:47
Inter Production
Рет қаралды 524 М.
Get 10 Mega Boxes OR 60 Starr Drops!!
01:39
Brawl Stars
Рет қаралды 19 МЛН
Кадр сыртындағы қызықтар | Келінжан
00:16
UKIOTA NDOTO YA CHOO AMA KINYESI INA MAANA HII KIBIBLIA. USIOGOPE - Apostle Johaness John
6:46
UKIOTA NA CHOO NINI MAANA YAKE?
21:38
REV PETER NJIHIA
Рет қаралды 23 М.
ADABU ZA SIKU YA IJUMAA NA FADHLA ZAKE  / SHEIKH HASSAN AHMED
37:33
FADHAKKIR CHANNEL
Рет қаралды 49 М.
SASA JINI MAHABA MKOMESHE ASIKUSUMUE TENA KWANJIAHII NZITO
1:01:31
OTHMAN MICHAEL ONLINE
Рет қаралды 159 М.
Zombie Boy Saved My Life 💚
00:29
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 29 МЛН