UKIOTA UNAJISAIDIA HAJA KUBWA | AU UMEIONA | HII NDIO MAANA YAKE | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN #MasjidMtoroTv #NasahaZanguTv #NyumbaYatibaNaDua
Пікірлер: 218
@nzirubusakhamissi33292 жыл бұрын
Ustadh unatafsir vizur san lakin unazunguz san yaan unaelez huk na kul unawez ukamsif allah nakumsalia mtum juu yake rehm na aman nakuingia moj kwa moj kweny mad inshallah
@saidjoka12822 жыл бұрын
UNAONGEA SANAAA
@Matiherbalist2 жыл бұрын
Jamani bando litaisha kabla kuskia maana ya ndoto, kuwa na kauli fupi fupi . Una strori nyingi Sana
@MuasitiAboBakri-ew5muАй бұрын
Shukrani shekhe
@mkingaboy550 Жыл бұрын
Shekhe unachelewa sana mazungumzo ya akuwa mengi Sana tafadhali shekhe🤝
@msafiriduwiya7765 Жыл бұрын
Peleka mbele
@anliomaromar71632 жыл бұрын
Shukrani sana mualimu somo adhimu kabisa mungu akulinde milele daima
@alimussahimidi8185 Жыл бұрын
Allah akubariq san ustadh wangu nimekuwa nikioa japo mara moj kwa mwez subhanallah
@africansmile1012 жыл бұрын
Safi sana kwa kuelewesha jamii kuhusu njozi tunaoya
@WinifridaKabelege-ip4dq9 ай бұрын
Shukuran sana sheikh,,Allah akujalie kheri🙏
@uthmanihimbawe52443 жыл бұрын
Baarakallah fiika
@AntoniaRyoba2 ай бұрын
Unakera sana unamaneno mengiunatumalizia muda hatuhitji kiarabu hicho jalibu kupunguza maneno
@bebisheni43804 жыл бұрын
Asante Shekhe mwenyezi mungu akubarik
@nyumbayatibanadua7374 жыл бұрын
Amina yaarabiy
@shadiahborandi26874 жыл бұрын
Walaykum salama warhmatullahu wabarakatuh sheikh
@nyumbayatibanadua7374 жыл бұрын
Shukran
@user-ij2bf8of8h4 жыл бұрын
Barikiwa sana sheikh kwa mafunzo yako
@nyumbayatibanadua7374 жыл бұрын
Amina yaarabiy
@fatumastani27124 жыл бұрын
Barikiwa saana shikh mafunzo yako Mimi nimeota mtoto mdogo ambae ni alubino ananialishia kwa mfurulizo kama mpolomoko maana yake nini
@rahmaabdulrahmaabdul17814 жыл бұрын
Asalam alekum. Shukran sheikh kwa kutupa elimu allha akubariki na akutie katika pepo yake kwa rehma zake mimi nimeota nimejisadia kwetu njee ya choo lakini kwenye yale mabakuli ya watoto lakini lilikua kubwa na hiyo haja kubwa haina harufu yoyote
@rehemaothman22002 жыл бұрын
Ameen
@ronasapura35173 жыл бұрын
Uko vizuri maalim
@khamismtoma4902 Жыл бұрын
Sitori nyingi tatizo Hira ni nzur
@qwnlynuzlah31154 жыл бұрын
Shukran Sheikh,,,JazzakaAllahu Kheyr,,Na Kama Umeota Umepigana Na dadako Inamaanisha Nini Sheikh,?
@nyumbayatibanadua7374 жыл бұрын
Hiyo ni amali ya shetani
@qwnlynuzlah31154 жыл бұрын
@@nyumbayatibanadua737 amali yake kivpi inamaana iyo ndoto sio nzuri shekhe
@seifbashir63934 жыл бұрын
Ana imanisha Hainaut maana ni naoto tu ya shetani
@hawaynatimam9823 жыл бұрын
Baba unazunguukaa Sana, mpaka kero, nenda moja moja kwenye Mada, unapoteza mb zetu
@shinunaameir11932 жыл бұрын
😂😂😂
@msafiriduwiya7765 Жыл бұрын
Pekeka mbele
@khadijahamina845710 ай бұрын
peleka mbele vidio😂😂😂
@LeyllaLeylla-hf7su7 ай бұрын
😂😂
@user-ig4ot4lm1g6 сағат бұрын
Asalaam alykum, mi nimemuotea mdogoangu amejisaidia haja kubwa na alikua ammesimama mgongoni kwa mama, na alipoanza kujisaidia mi ndo nilikua wa kwanza kuona na kikaishika na nikaenda kunawa mkono kwa haraka. Sijui inamaana gani?
@asiaissa9763 жыл бұрын
صلى الله عليه وسلم
@rosemerengary18343 жыл бұрын
Maneno ni mengi mnoo ungekuwa unaenda straight to the point
@bbb6nnn5613 жыл бұрын
Allah atujaalie salama inshaallah
@notbrugakiwia35652 жыл бұрын
Je anayeota kunya ofisini maana yake Nini?
@redymbuba1113 жыл бұрын
Asante Kwa kutufundisha
@MalikiHashim-bb6uh Жыл бұрын
Kuota njozi shekh na watoto wadogo wanasoma qulani kwa furaha ndani ya moy
@SamiraSalim-sx7ie9 ай бұрын
Shekh hebu kuwa unaeleza wapenda kurudia kitu mara Kwa mara wengine hku Yuko nchi za watu time y kusikiza unavyo jieleza hatuna
@LeyllaLeylla-hf7su7 ай бұрын
😂😂
@lushingeemmanuel10884 жыл бұрын
asante kwa tafsri hyo, mmi niliota nakusanya kinyesi sjui itakuw na maan gan hyo ndoto samhn lkin
@asiaissa9764 жыл бұрын
Amiina yaarabbi
@mariammariam6424 жыл бұрын
Shukrani
@shadidashafiu19653 жыл бұрын
Warrykum Salam wallahmatullah wabarakat
@hawarajabu4130 Жыл бұрын
Il
@alawahmad78482 жыл бұрын
Maneno mengi zungumza lilokusudiwa
@anthonycleophace80643 жыл бұрын
Akika unafanya kazi vzr Sana Kaka,
@aysherkitoi18453 жыл бұрын
Mimi nimeota mara ya 2 sasa mara ya kwanza nakunya kitandani na kuna watu waliyapokea lkn ckuwaona na nikashtuka mara ya 2 nimeota nimeenda shambani nikaona mavi nikayaruka nikanya pembeni mara4 sehemu tofauti
@sofiahamisi93732 жыл бұрын
😅😅😅
@MsafiriYohana-yo7bm3 ай бұрын
Na ww mala nne zooooooote jaman
@user-vy6yy6ic2u7 ай бұрын
Mm nimeota nimemkuta mume wangu anajisaidia haja kubwa choon nyingi Sana kufungua mlango akastuka
@anethzephulin4903 жыл бұрын
Unahadisi mpaka hamu ya kusikiliza inaisha punguza maneno
@gorretmarynasike98034 жыл бұрын
Story ndefu sana naweee aah
@mchambuzi90893 жыл бұрын
😁😁😁
@hawaramadhan63853 жыл бұрын
Ad anaboa
@muhsininatv20922 жыл бұрын
Tafuteni pasipo stori basi Nyie vipi
@nusratbintabdullah57133 жыл бұрын
Asante xana sheikh lakini ukiota umepata haja kubwa kwa nyumba
@noorynmohammedy60634 жыл бұрын
Shukran sna sheikh wetu
@mariamkizanga95739 ай бұрын
maneno mengi shekhe tafadhal
@MariamMavuo-yq4zc Жыл бұрын
Assalam aleikum..samahani kaka mimi nimeota watu wamebeba mithili ya jeneza halikai kama jeneza unavyoliona ila limebebwa juujuu kama watu wanavyobeba jeneza kumaanisha ilo ni jeneza lkn sijui kama ndani mna mtu wala hamna na watu waliolibeba hawapokezani kama watu wanavyofanya limeenuliwa juujuu na watu kama watatu hivi kisha wengine wanatembea tu kando huku wakiongea stori zao na kucheka..naomba unitafsirie
@karimbhai19806 ай бұрын
Nataka kujua maana y ndoto yangu, nimeota nikienda chooni n familia n hapali penyewe ni pachafu sana, alafu baba yangu pia ametoka chooni n mmi nimeingia hadi nashindwa kujisaidia juu y uchafu n naona wengine wanarusha maji chafu y choo n mkono, mmi nikatafuta maji y kujisafisha nikapata maji y mvua ikitoka kwa mabati nikatumia kujiosha nikiwa nimesimama n nikaanza kutawadha pia nao
@hidayah12953 жыл бұрын
Shekhe naomba unijibu Mimi niliota najisaidia chooni ila choni kwenye we ni chumbani ninapo lala ila hapana choo. Yani ni chumba NA choo chake ila sikwenda chooni nilijisaidia chumbani ila najuwa nipo chooni BOSI wangu akaingia NA mtoto wake mdogo akaniita Mimi sikuitaka ila alivyo ingia chumbani akaniona nimekaa katika choo yule mtoto akataka kunifwata ila mama yake akamwambia nipo najisaidia chaajabu kulikuwa hakuna halufu baosi akatoka Mimi nikawa najiuliza kwanini sukuenda kujisaidia chooni nipo hapa chumbani.. Naomba unijuzee
@azizahassan9392 жыл бұрын
Shekhe mm nimeota najisaidia chumbani kwangu chini ya sument kisha nikaizoa kwenye karatasi nyeupe nikawa naipereka chooni ila nilipofika ukumbini ikadondoka nikaizoa tena ila nikaacha kidogo pare chin ukumbin kisha nikaenda kuipereka chooni inamaana gani iyo
@adamsnyakundi44273 жыл бұрын
Mafunzo poa.but mimi uota nikiona watu wakijizaidia au mtoto wangu amejizaidia kwa sahani na plis sijui maana yake.naomba kujua
@elizabethg.mwaijande50302 жыл бұрын
Nimeota ndoto kuhusu kinyesi lakn nimefatilia kuhusu tafsiri ...kila mmoja ana tafsiri ya pekeake mpaka sasa sijapata tafsiri sahihi.
@hamismfinanga8633 Жыл бұрын
Unafanya vzr shekhe lkn punguza Hadith kwa maana ya mda na bando letu
@fatmasaiderick19354 жыл бұрын
A,aleykum shekhe,m nimeota mtoto wangu kajisaidia haja kubwa kitandan kwenye mashuka nikawa nakusanya kuyatowa haja ikawa imenitapakaa na mm,nn maana yake
@nussramussa55073 жыл бұрын
Mm Nikita hivyo napata pesa nyingi sana
@muragizinourah1042 Жыл бұрын
Allahu akbaru
@fatumathabit64983 жыл бұрын
Nzur lkn stori nyingi😁😁
@msafiriduwiya77652 жыл бұрын
Anazuuka
@msafiriduwiya77652 жыл бұрын
Anazunguuka
@rahmajohn98592 жыл бұрын
Kweli apunguze misemo atafanya watu wawe wanavuka clip zake
@nulatmpemba40802 жыл бұрын
Hadi inachosha😆
@salhawakil2173 Жыл бұрын
Mazali mshamjuulia si mnapelek mbele silazim muskiliz iz story zke
@user-dg1is7rz1c3 ай бұрын
Mim nimeota boss wangu akijisaidia haja kubwa chooni.inamaana gani
@asmasaid-ln2fc3 ай бұрын
Mimi nimeota nimeona haja kubwa kwa shimo la choni na alofanya hiyo haja kubwa ni ndugu ya wa kiume na kwenye hiyo haja kubwa iko miguu ya kuku.
@hamiduahmadi3854 Жыл бұрын
Nenda kwenye hoja ya msingi,
@maryshiko2380 Жыл бұрын
Mm nimeota nakunya na wenzangu walikuwa kisha nikaifunika vizuri. Haikunuka na n mingi mapunde matatu
@ahmadally2433 жыл бұрын
Nenda kwenye tropic mbwe mbwe nyingi mpaka mtu unachoka
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisaa.
@ayubugeorge21682 жыл бұрын
SHEHE UNATUFUNZA SANA LAKINI JITAHIDI KUPUNGUZA UREFU WA VIDEO JARIBU KUPUNGUZA UREFU WA VIDEO
@bakarifakih4228 Жыл бұрын
anamaneno mengi kisha anaongea polepole
@elestinadagadaga17063 жыл бұрын
Duh stor ndefu had nasinzia
@Catherine-mh8sw Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@allymuhammad3252 жыл бұрын
TAtizo la huyu jamaa anazunguka sana
@habari5802 Жыл бұрын
Shekhey Mimi najisaidiy ndani
@bbb6nnn5613 жыл бұрын
Mimi nimeota hajakubwa inanitoka lkn nnanguo zang watu wananishangaaa lkn mimi naenda mbio kubwa na ona haya jeee inamana gani
@zaitunichibako12144 жыл бұрын
Asalam alykum m nliota dada wa mama alkwa anaenda haja kubwa ya laini alafu mama anayakinga kwa mkebe na kila akiendesha ndo anapata nafuu coz alkwa hawezi na sehemu alkwa anafanya haja napajua lkn nyumba ndo ilkwa imechakaa sana je sheikh ii ndoto inamaana gani
@happymasao6677 Жыл бұрын
Shida unaongea snaaa hapa utapoteza wafatiliaji
@user-gd2xj3xd1b4 ай бұрын
Huyu bwana anakula mb kwakitu kidooigo had hovyo jirekebishe bwana
@timotheomakenz67956 ай бұрын
Punguza maneno mengi twende kwenye
@janethmunisi50244 жыл бұрын
Mbona me nilishoota najisaidia mara kwa mara ila sijwi kupwa na mikosi hiyo me kwanza ndio huwa napta pesa sana
@Ashsultana3 жыл бұрын
Mimi ndoto za mavi najua ni kupata pesa
@catherineelias51083 жыл бұрын
Mimi mwenyewe nikiota mavi lazima nipate pesa
@husnamohammed81993 жыл бұрын
Sadakta na mm ndo napata pesa naota nimeingia mavi gauni langu napata pesa
@husnamohammed81993 жыл бұрын
@@Ashsultana kweli mm nikiota lazima napata pesa hahahaha
@leahleverian5 ай бұрын
Hizi tafsir mungu atusaidie Kila mtu anatafsir zake sijui tumwamin nan
@suzyjoseph2367 Жыл бұрын
Punguza simulizi, elekeza kwenye lengo husika
@tzinvestigate50028 ай бұрын
tatizo huendi kwenye poit unazunguka saaaana mtu anashindwa kukusiliza mpaka ,mwisho
@SharifaWaridu6 ай бұрын
napenda chanel yako ila me nimelia kwa kumuhurumia mjukuu wa dada yangu ambaye n mgonjwa ila nkamuona anajichoma sindano mwenyewe maeneo ya pajani ndio nikaanza kubujikwa na machozi huku nkisema Allah atamfanyia wepec
@aishaha38903 жыл бұрын
Salam aleikum mmi nimesha wota ninekwenda sehem nikauta Iyo fasi pakubwa pote Pana haja kubwa Ila ayato harufu
@halimafimbo4890 Жыл бұрын
Asalam aleykum shekhe nimeota nimenyewa kinyesi na mtoto nilie mbeba mwli mzima
@dianarichardkiri13182 жыл бұрын
Mimi nimeota najisaidia kwenye sinki la choo lkn liko wazi ila nilihisi hamna anaye niona kumbe nilionekana nikasahau kuflash nikaondoka baadae nikapita tena maeneo hayo watu wakanivaa na kunichamba kisa cjaflash choo niliona aibu Sana na kuwaomba msamaha kwamba kichwa kinamamambo mengi nilijisahau wakanielewa
@latifasuleiman752711 ай бұрын
Sheikh Mimi nimemuota mtu kajisaidia kwenye siruali halafu nikakisafisha
@ruqaiyyalema29454 жыл бұрын
Ustaz nimeota ngamia mweupe anatoka juu anakimbia anakuja kama chn
@user-ip1pn4wy8o5 ай бұрын
usthani mm mara ya kwanza niliota nanguka choni ama shimo la choo lakini nikaingiya mguu moja Kisha nikang'ana nikatoka mara ya pili najaita najisaidiya lakini kando ya lile shimo la choo mara ya tatu nikaota najisaidiya pahali ambapo sipajui Kali nilikuwa na rafiki yangu Kisha akakifinika kile choo alafu nikamka lakini choo kile kimekuwa kama muharooo
@mr.macintosh56872 жыл бұрын
Punguza story shekh unaboa
@mariamkitwana61482 жыл бұрын
tatizo unamaelezo meengi hadi tunaishiwa kifurushi hata mada hatujaiskia
@azizahassan9392 жыл бұрын
Nimeota watu wengi wanajisaidia kwenye mchanga mm nikazoa kwa mkono nikatia kwenye mfuko mweupe nikaondoka nayo ile haja kubwa zenyewe zilikuwa ngumu zingine lain lakin sio sana zote nimebeba nikaondoka uku nacheza yani nachekerea na ule mfuko nimeubeba nn maana yake
@faidamuhamed30112 жыл бұрын
Hela hizooooooo jmn ukishazifuma nistue
@sarahwanjiru6121 Жыл бұрын
Ewe nawe waongea sana,kitambo ufikie hu
@user-ov5xc2sy3q2 ай бұрын
Mbona hamna ndoto ya kujisaidia chooni kama kawaida tu je ina maana gani?
Nimeota nimejisaidia haja kubwa nikazoa kwa mikono yote miwili nikatia kwenye mfuko nikatupe lkn sikuwai kwenda kutupa
@OmanOma-xi3hm8 ай бұрын
❤❤❤
@hawamohamed42814 жыл бұрын
Sheikhe je ukiota nyuki
@user-zl6cm1zs2b3 ай бұрын
Mzee yani unaongea taratibu sana sasa uwe unaingia kwenye mada husika jamani mda wote unajizungushatu
@royalroyal86332 жыл бұрын
Ok
@jenniferevaris521611 ай бұрын
Me nimeota nimeona kinyesi ndan kwangu
@theresiandumbaro786211 ай бұрын
Ukiota umepata haja kisha ukaisangaa
@asiaissa9764 жыл бұрын
Shukran
@nyumbayatibanadua7374 жыл бұрын
Ahsante
@mammypeter74624 жыл бұрын
Nashukuru kwa tafsiri naomba kujua maan ya hii ndoto nimeota nazaa ng'ombe mpaka nikajisaidi watu wakawa wanacheka nikawaambia amuoni nimezaa ng'ombe mkumbwa ndomaana nimejisaidia
@ZawadiBenjamin2 ай бұрын
16:30
@abbytozzy82943 жыл бұрын
Assalam alaykum Sheikh mtu akiota anajisaidia haja kubwa kipindi anafany mapenzi(tendo la ndoa) nini maana yake
@AyoubMakelele-sw9lk3 ай бұрын
Nikiota mm ivyo napata pesa
@harousali7578 Жыл бұрын
She tunakuomba ukiamuwa ktoa maana ya ndoto basi nenda moja Kwa moja kwenye ndoto SS wengine tunakusikiliza hata humallizi kutowa maana bando linaisha Kwa maneno mengi na m pozi
@eshashamu76632 жыл бұрын
Ustadh je ukiota umekatwa na paka manaeke nini
@kanyundojunior23623 жыл бұрын
Mim jamanii nimeota sehem ninayoijua mavi yamezagaa yani nimeng ila hayatoi harufu.. sijui maana yake nin