No video

Sheikh Khamis Suleyman - Ukimuota Askari Police Ktk Hali Hii Jiandae Na Haya

  Рет қаралды 29,966

MASJID MTORO ONLINE TV

MASJID MTORO ONLINE TV

Күн бұрын

#Masjid Mtoro Online Tv.
Maisha Ya Mwanaadamu Yametawaliwa Na Ndoto. Na Ndani Ya Ndoto Hizo Kuna Uhalisia Wa Maisha Yetu Zaidi Ya %70. Tunafanyaje Ili Tuweze Kuupata Uhalisia Kamili Juu Ya Tafsiri Za Ndoto Zetu Kukamilisha Tukiotacho Au Kujiepusha Nacho Tukiotacho. Fuatana Na Sheikh Khamis Suleymani Ndani Ya Nyumba Salama Masjid Mtoro Online Tv

Пікірлер: 47
@judithjulius5993
@judithjulius5993 2 жыл бұрын
Tatizo lako uendagi kwenye point Moja Kwa Moja,wengine wakristu hatuelewi kiharabu
@khamismtoma4902
@khamismtoma4902 8 ай бұрын
Shekh unaanzia mbali Sana ungeenda kwenye point
@grantmulla3144
@grantmulla3144 Жыл бұрын
Unatafsiri njozi au ni ummul juma hutuba?
@xeeyithotyixeeyi
@xeeyithotyixeeyi Жыл бұрын
Shee uko vizuri lakini shida yako nikwamba unaacha kulenga like kiricho lengwa unakuja kukifanya mwishoni si hayo maerezo mengine ayatupendezi sisi tunakuwa na Nia na tunachokiuriza tu
@Nnassor123
@Nnassor123 Жыл бұрын
Ukitafsiri nenda kwenye lengo usiongee sana
@oman1oman179
@oman1oman179 3 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤shukuran shekhe na mungu akulipe kila la kheri kwako
@jimmymwakibinga754
@jimmymwakibinga754 3 жыл бұрын
MB za tabu basi tunaomba uwe unaenda kwenye point moja kwa moja
@moshially2543
@moshially2543 Жыл бұрын
Yani umeongea point ☝️
@user-hh1jd2gs1j
@user-hh1jd2gs1j Жыл бұрын
😅😅😅😅
@msafiriduwiya7765
@msafiriduwiya7765 8 ай бұрын
Peleka mbele
@haimahaima9135
@haimahaima9135 4 жыл бұрын
Nashaur mnapotoa somo kma hvi muwe mnatuambia na jinsi ya kujikinga na hzo blaa dua gni tuombe na kipi tufanye kuepukn na hlo ttzo
@aminahamis9343
@aminahamis9343 4 жыл бұрын
Haezi sema mpaka uingie in-box .
@user-gn1pr1in1r
@user-gn1pr1in1r 7 ай бұрын
Ok sawa
@user-ck1er5zt9l
@user-ck1er5zt9l 3 жыл бұрын
Shukurani sana sheikh
@khalidhemed5617
@khalidhemed5617 2 жыл бұрын
Acha maneno mengi nenda kwenye point
@aminaathumani4156
@aminaathumani4156 4 жыл бұрын
Mashaalah
@zahiruhamisi4162
@zahiruhamisi4162 2 жыл бұрын
Yaan mpk unafika nusu bado tu ujaenda kweny main point duuuh!
@zulfasalum7060
@zulfasalum7060 3 жыл бұрын
Ishallah 🙏
@IbrahimAwesu-mz4tb
@IbrahimAwesu-mz4tb 7 күн бұрын
Sheikh weye asaa unachosha kwasababu huendi ktk point unazunguka sanaaa. ilo ndo tatizo lako.
@nusratbintabdullah5713
@nusratbintabdullah5713 3 жыл бұрын
Alihamuduliliah sheikh
@kanisiamkoko7051
@kanisiamkoko7051 3 жыл бұрын
Tatizo hajibu maswali.
@issaalamry6664
@issaalamry6664 2 ай бұрын
Ustadh punguza kuuthubitia ulimwengu kuwa umehifadhi hadithi, Quraani, Kulalimia, fupisha, ogelea. Mada ya tafsi ya ndoto unayotaka kututafsiria.
@mwajumazuber7542
@mwajumazuber7542 2 жыл бұрын
Mimi nimeota askari ananikimbiza nikajificha sehemu ya wazi tu lakini hawakuniona wananipita tu maana ake nini
@MngerereMngerere-gp9bq
@MngerereMngerere-gp9bq Жыл бұрын
Vyema
@harunigaluza6950
@harunigaluza6950 4 жыл бұрын
Je kama umemuotea mtu wako amefatwa n asikari
@MwanaidRamaha-td1hl
@MwanaidRamaha-td1hl Ай бұрын
Nenda kwenye mada
@abdallahmangayamba1510
@abdallahmangayamba1510 Жыл бұрын
unasubilia had bas
@msafiriduwiya7765
@msafiriduwiya7765 8 ай бұрын
Peleka mbele
@user-oc5fe9vx1p
@user-oc5fe9vx1p Ай бұрын
Nimeota nimembeba mwanangu tunaviuka rami kunamapolisi wengi wamebeba bunduki mimi nikawapita maaskari wale nikiwa nimebeba mwanangu uku nasema kwa nguvu lailaha illallah tukawavuka wale maaskari mpaka tufika nyumbani maana nini
@mariamwakabuta1034
@mariamwakabuta1034 8 ай бұрын
Nimeota nimepoteza pesa na nikaenda polis kushtaki polis nikaja nae nyumbani na nikawa nahisi ndugu yangu kazichuku mamana aliniazima beg lake nihamishie vitu vyangu wakati nikiwanakumbukumbu hiyo line roho yangu aina imani na huyo ndugu yangu na nikawa nahisi labda mimi ndiyo nilizisahau pesa kwenye lile beg? Hii inamaana gani
@asiaissa976
@asiaissa976 4 жыл бұрын
Swallallahu alayhi wasallam
@tatusungura7864
@tatusungura7864 3 жыл бұрын
mimi niliota nakimbizwa na Askari wengi kwakuwa nilimuua mwanamke wa mume wangu je hii inamaana gani?
@fatmanassor2746
@fatmanassor2746 Жыл бұрын
Sheikh mm niliota mm mwenyewe ni mwanajeshi ina maana gn
@lilianrichard9065
@lilianrichard9065 Жыл бұрын
Nipe tafsir tafathar
@mwaminmussa9461
@mwaminmussa9461 Жыл бұрын
Nenda kwenye point wewe
@Anastadhi
@Anastadhi Жыл бұрын
Mmh mambo tele
@mamyruu1828
@mamyruu1828 4 жыл бұрын
Mi nimeota naitwa na Askari nikamfata maana yake nn shekhe
@greatiq4649
@greatiq4649 4 жыл бұрын
Asalaam alaykum, Sheikh na wote munao mfuatilia! Kuota unaomba kibali kwa askari kupita ngome yao(ambayo ndo njia rahisi) ila wakakataa vile sina kitambulisho cha Uraia. Nikapata nafasi nikaiba sare ya askari mmoja nikavaa. Ila wakanibamba vile sikuwa na viatu(nilikuwa peku) wala kofia. Askari kanzu akataka kunishtaki. Nilipo jieleza na kumuomba anisameh nisiingie matatizoni akakubali na kunisaidia kupita na kutokea upande mwengine (nchi nyengine). Ndoto ya kumpiga mbwa na akawa mpole na kama ananishangaa kwanini nimempiga!
@hamadalfarsi5303
@hamadalfarsi5303 4 жыл бұрын
Jee ukiota unaona askari ana kamatwa na polisi
@johnjoseph763
@johnjoseph763 2 жыл бұрын
Hamna kitu wewe, stori nyingi sanaaa.
@shabaniramadhani657
@shabaniramadhani657 4 жыл бұрын
Sheikh tufundishe namna ya kupata ufunguo wa kusoma ayatul qursiyu kwa kutumia majina
@lilianrichard9065
@lilianrichard9065 Жыл бұрын
Shehe nimeota nipo shule mwanafunz mwenzetu kauwawa sasa nalazimishwa mm kuwa nimeua na askali wa kike ndo alikuwa ananilazmisha kes ni seme kuwa nimeuska
@mwanaidishibe9275
@mwanaidishibe9275 4 жыл бұрын
Mimi leo nnaota nnapata ndege elikopta inamaana gani..
@mtumwamtoo3199
@mtumwamtoo3199 3 жыл бұрын
Shehe ukiota upo ktk mapambano
@zamzammohammed9240
@zamzammohammed9240 4 жыл бұрын
Ikiwa umeota dua zafanywa kulaani Askari maanake Nini sheikh
@chrislacarin4332
@chrislacarin4332 4 жыл бұрын
Shehikh mimi nimepatwa na ndoto niko niani kuna maman alikuwa na mwanae kuka kuwa mtu aka mu uwiya mwanae akarudi nyuma akilala mika sana alafu majeshi wengi wakaja naku anza kimbiza kila mtu alie kuwa kwenye njia ata kama hujuwi yalio pitikana pale wana kufata wamoja waka nikimbiza nilipo choka nika wopoteya nanika chituka je nini tafsiri
@hamadalfarsi5303
@hamadalfarsi5303 4 жыл бұрын
Nino langu moja la juu upande wa kushoto lime katika vipande vipande ndotoni nini maana yake
TAFSIR YA NDOTO UNAPOMWONA ASKARI USINGIZINI
4:42
Riyadh Tv Online Znz
Рет қаралды 25 М.
Пройди игру и получи 5 чупа-чупсов (2024)
00:49
Екатерина Ковалева
Рет қаралды 4,3 МЛН
白天使选错惹黑天使生气。#天使 #小丑女
00:31
天使夫妇
Рет қаралды 15 МЛН
هذه الحلوى قد تقتلني 😱🍬
00:22
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 59 МЛН
艾莎撒娇得到王子的原谅#艾莎
00:24
在逃的公主
Рет қаралды 54 МЛН
TIBA YA KUBABAIKA AU KUPANIC NA MAISHA / SHEIKH HASSAN AHMED
39:29
FADHAKKIR CHANNEL
Рет қаралды 76 М.
KUOTA NA MIHOGO (CASSAVA) INA MANISHA NINI? +245706945821
1:32:22
REV PETER NJIHIA
Рет қаралды 12 М.
Ndoto za Mbwa na maana yake (@MTAVASSY TV TANZANIA )
6:35
MTAVASSY TV TANZANIA
Рет қаралды 29 М.
USIOGOPE PALE UNAPOONA DAMU NDOTONI | HII NDIYO MAANA YAKE
15:41
Riyadh Tv Online Znz
Рет қаралды 17 М.
Пройди игру и получи 5 чупа-чупсов (2024)
00:49
Екатерина Ковалева
Рет қаралды 4,3 МЛН