Pole sana familia Mungu awape faraja ya kweli mmekuwa wazazi wenye umoja sana katika kumlea mtoto huyu Mungu awape mtoto mwingine kwa jina la YESU KRISTO AMENI
@janefrolakalinga56643 жыл бұрын
pole sn kaka masoudi kwa kumpoteza kijana wako mpendwa M,Mungu akujalie akupe moyo wa ujasili na uvumiliv ktk kipindi hiki chote cha msiba. Bwan alitoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe
@officiallnobystar3 жыл бұрын
pole sana masoud na mke wako mlikua wazazi bora sana mungu amlaze mahali pema peponi Amin
@athumanijuma13743 жыл бұрын
Pole broo kwamsiba mzito
@zuriathkajwangya17243 жыл бұрын
Poleni sana kwa msiba alikuwa kijana jasiri sana Mwenyewezi Mungu ampe kauli thabit.Amina.
@rosebendera25913 жыл бұрын
Pole Sana bro Masoud,Mwenyezi Mungu aipokee roho yake mahala pema peponi,Mungu azidi kuwatia Nguvu na muendelee kuwa na imani hiyohiyo ya kumtegemea Mungu.
@florahemmanuel83233 жыл бұрын
Pole Sana Kaka Masoad na family Yako Mungu mwenyewe aliyemuumba Malcom anamakusudi yake kumchukua Faraja ya Mungu iwe juu yenu
@ymusic8033 жыл бұрын
Masoud Kipanya umenena vyema sanaa Mungu aendelee kukupa nguvu na faraja yake ikufunike
@majutomlaganile74203 жыл бұрын
Pole Sana Sana,kea kipindi hiki kigumu Cha kuondokewa na wanenu mpenzi,mungu wape wepesi kwa kipindi hiki kigumu!!!!
@sunayrithatawata46993 жыл бұрын
Pole sana baba malcolm wewe ni baba wa mfano kwa kumkubali na kumtunza mtoto katika kipindi chake cha maradhi wanaume wengi wanayo tabia ya kutelekeza watoto ktk magonjwa km hayo.MWENYEZI MUNGU ATAKUFIDIA INSHALLAH
@nitumesokoni31643 жыл бұрын
Wanaume ndo maana tunakufa mapema. Jamaa anaongea akiwa ame-relax lakini kiukweli unakuta yuko kwenye maumivu makali ya kumpoteza mwanae. Pole sana Masoud
@rachaelayo28453 жыл бұрын
pole sana family
@aishamohamed47273 жыл бұрын
N kwel kabx
@sskondopoleani96163 жыл бұрын
Hakuna maneno ya kusema ila *Inna Llillah wa Inna Illah rajeon* Alla hampe kaul thabit. Wafiwa Poleni sana hasa Sara na Masoud, Allah awape SUBRA.
@hanifatanzania72583 жыл бұрын
Inalillah I wainailahi rajuun Allah alaze peponi mtoto alikua maashallah alikuana lmani Sana pole ni wazazi Allah atawalipa kwa subra lnshallah🤲
@rithadonatus81103 жыл бұрын
Najisikia vibaya sana hii story ..Mungu ni mwema akutie nguvu sana..
@innocentgodwin58553 жыл бұрын
Poleni sana wapendwa amerudi kwa Mungu wake kijana mzuri.
@lutulalihim15853 жыл бұрын
inna lillahi wa inna ilayhi raji'un Pole kaka masudi Allah akuweke wepesi nami Brother yupo kitandani miaka 4 leo Allah mjalie pepo in shaa Allah
@annaantoni1333 жыл бұрын
Poleni Sana... familia ya Masood pia Mungu awe nanyi ktk kipindi hiki kigumu......mmeonyesha UPENDO WA kweli Kwa Malcon..... Hadi mwisho WA maisha yake
@rahmarafaeli13083 жыл бұрын
Pole sana kazi ya mungu haina makosa apunzike kwa amani mmempa malezi sahihi mama bola na baba bola mungu walinde sana
@tonyi68073 жыл бұрын
Pole sana Masoud ....Mwenyezi Mungu #Ampe Pumziko la Amani Milele... #
@ip_header3 жыл бұрын
Innalillah lillah wa innalillah rajiun, kwakweli huyu kijana alikua anawaonyesha watu wengi kushukuru neema za Mungu, wengi tunajisahau kushukuru neema za Mungu. Kwa maisha aliopitia na subra aliyofanya Huyu kijana atakua miongoni mwa wajawema siku ya Qiyama
@waneerizzy99953 жыл бұрын
pole sana kaka Masoud Allah akupe nguvu zaid
@zainabamran67163 жыл бұрын
Pole sana wazazi mwenyezi mungu awatie nguvu
@upendolema98093 жыл бұрын
Poleni sana wazazi mmefanya kila jitihada kwa mwanenu,mlimpenda sana vile alivo,upendo wa wazi kabisa,Mungu awape uvumilivu
@magrethmbuma30453 жыл бұрын
Malcom ni mtoto mzurii saanaa alikuwa na imani sana na mungu,Mungu kaona tuu ampumzishe.Apumzike pema amiin💔
@maxlupapa45543 жыл бұрын
Pole sn masudi na mafamilia yako kwa ujumla
@neemayona88743 жыл бұрын
Mbele yake nyuma yetu inauma sana pumzika kwa aman tulikupenda ila Mungu kampenda zaid polen wafiwa wote Amen.
@badmanno.16503 жыл бұрын
Allah ameamua kumpumzisha mja wake... Kifo mara nyingine ni pumziko... Inna lillahy wainna ileyhi raji3un...
@mamaabu6503 жыл бұрын
Pole sana Mw. Mungu ampe pumziko la amani.
@ukhtyzainab72543 жыл бұрын
Innaa lillahi wainnaa ilayhi raajiuun,poleni wafiwa woteAllah akupeni moyo wa aubira katika kipindi hiki kizito
@hamisimohamedhamisi32413 жыл бұрын
Pole san kaka kwa msiba
@chakitv12413 жыл бұрын
@@hamisimohamedhamisi3241 poleni Sana Wana familia jamani mungu azidi kuwa fariji
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n523 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/mYGUanxooaqepas
@zakiaomar19333 жыл бұрын
Inalillah wainah ilayhi rajiuun poleni wazee wa Malcom Allah akuoeni subra
@oscarmwashiuya3 жыл бұрын
Pole sana KP. You did all you should have done as a dad. May his soul rest in peace
@zuhrakussaga49873 жыл бұрын
Moyo wake ulijaa Shukrani na Subra.Innalilah Wainaillah Rajiuun
@maryamshuraim41633 жыл бұрын
Mungu humfutia dhambi zake zote maana kuumwa ni ibada
@wanjarapious53113 жыл бұрын
Pole Sana baba angu kila jambo Ni hatua pole Sana mungu awatie nguvu.
@theosaimon69333 жыл бұрын
My brother masoud pole Sana brother kwa kumpoteza shujaaa ?.he was very good boy aiseeee ??with happiness on his face on his face ? RIP 🙏🙏
@Jassmin-media-official3 жыл бұрын
Pole sana sana Mungu awatie nguvu naelewa maumivu mnayo pitia niliyapitia 2019,pole sana sana tuko nanyie
@abdiathumani9193 жыл бұрын
Pole
@janechilendu14383 жыл бұрын
Poleni sana familia 😢 pole sana Masoud na mama Malcom.innah lillah wainnah illah lajiun.
@zenahassan46733 жыл бұрын
Pole sanaaa kaka
@donaldshedrak75303 жыл бұрын
pole masudi. pole sana
@sarahbenard5493 Жыл бұрын
Pole sana mama umeteseka sana kwa malcom
@salmasaid68623 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu ampe kauli thabit.Alionyesha kuwa lazima mtu ajikubali alivyo na usikate tamaa kumwachia Mwenyezi Mungu kila jambo
@shammyngude50603 жыл бұрын
Jamaaani my baby boy . Inna Lillah Wanna ilahyi Rajuun
@julianajacksoni42753 жыл бұрын
Poleni Sana.. Pumzika kwa Amani mtoto malcom
@nyatoletores73383 жыл бұрын
Masoud mwanao pepo yake maradhi ilikuwa njia ya heri yake mshukuru Allah kwa utukufu wake kila nafsi itaonja mauti na kwake tutarejea.
@sizelinamarolen11673 жыл бұрын
@@nyatoletores7338 Amina🤲Amina🤲Amina🤲
@mangretmke40243 жыл бұрын
Poleni San pumzika kwa Aman mtoto malcom
@kadaskarim50813 жыл бұрын
Hongera masoud ww na mkeo ni watu wa mfano san ninawaombea sana
@robertseviano66813 жыл бұрын
Poleni sana wafiwa, malcom lala mbele yako nyuma yetu.
@monalisasykes50553 жыл бұрын
INNA LILLAHI WA INNA ILAHI RAJIUN. Malaika wema wampokee mtoto wetu Malcolm ndani ya kaburi lake na Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi. Pole sana Masoud na familia yote.😭
@marykarebeti94103 жыл бұрын
R.I.P Malcolm! Pole sana mama Malcolm, malkia wangu wa nguvu. Poleni mnoo.
@maloomaalmnsj51113 жыл бұрын
Simwanaume malkia tena
@vanessalaizer43633 жыл бұрын
@@maloomaalmnsj5111 anamanisha Mamake Malcolm not Malcolm mwenyewe
@rachelmwigane6743 жыл бұрын
😭😭Kaz ya mungu haina makosa Kwan ss sore njia yetu nimoja
@verociousagnerus97933 жыл бұрын
Yan nimeumia sana,nilikuwa namfatilia sana...nanilikuwa nikiumwa sana hadi kukata tamaa nikimuangalia yy aisee narudi upya
@mirajibendera87953 жыл бұрын
Innalillah wainna ilaihi rajiu'un. Wallah sisi wanadamu uhai wetu upo limited. Ikifika time lazima tuondoke. Allah atupe mwisho mwema. Amin.
@KADALAtv2553 жыл бұрын
Masood wewe NI BABA HARD WORKER you deserve it all. Mungu hapangiwi Jambo jitihada zako zako kwa mtoto huyu Zina kishindo kikubwa umempambania sana Malcom R.I.P MALCOM
@denisevarest86753 жыл бұрын
Mungu atujalie Mwisho mwemaa...Pumzika kwa AMAN malaika wa Mungu ...Mungu awape faraja kipindi hiki kigumuuu
@mwanahamisijuma66923 жыл бұрын
Innalilahi waina ilaihi rajiun Mungu amueke mahali pema peponi inshaallah
@Mbumbuko3 жыл бұрын
Inalilah wainailah rajuun Sisi sote ni wa mola na kwake tutarejea pole Sana family
@irenekenedygudu.83753 жыл бұрын
Tuna mengi ya kujifunza maishani kupitia malcom alikuja kwetu kwa sababu ili atufunfishe kuwa wavumilivu na kushukuru kwa kila jambo.Bwana ametoa Bwana ametwaa Jina la Bwana libarikiwe..let's meet when trumpet sound Malcom wetu.
@ramadhansaid84343 жыл бұрын
Pole Sana mjomba kwa kuondokewa na mtoto wako kipenzi.
@khadijazayumba84733 жыл бұрын
Poleni baba na mama wa Malcom ,ninyi ni wazazi bora sana mmempambania sana ,mungu amrehemu kijana wetu pole sana mama Malcom wewe ni mwanamke jasiri sana
@queenlinda2553 жыл бұрын
Poleni sana sana Allah awatienguvu in shaa Allah
@rehemacharles61593 жыл бұрын
Pole sana Mungu akutie nguvu
@helenkambi39183 жыл бұрын
In shaa Allah Allah ampe janatul Firdaus
@alshabje71853 жыл бұрын
Poleni Sana ndugu zangu mungu akupe subra inshaallah mama na baba 🤲🤲😭😭
@sidratybinkhamis28373 жыл бұрын
Pole sana . Allah akupe subra na atakulipa kwa subra yako
@salmaathuman91563 жыл бұрын
Malcon kama ulikuwa unafatilia ni mtoto ambae kila kitu anamtengemea mungu 😭😭alijua kufa kupo na kupona kupo lakini inabidi kila mtiahin upokee usilalamike sana usikufuru pole sana wazazi wake inalilah wainalillah rajoun
@mariasalomemelchiorkaigaru19743 жыл бұрын
Alikuwa shuhuda wa Imani ht katika umri wake mdogo.Nèver giveup
@fatmahchambo31313 жыл бұрын
Kwa kweli
@tinaevis31863 жыл бұрын
Apumzike kwa amani mtoto mzuri mungu amlaze mahali pema peponi
@rizikihamidu6123 жыл бұрын
Daaah leo ndo nimethibitisha kuwa malcom is gonne. Allah akupe pepo maana ibada yakuugua umeifanya. maisha yako yote umetumikia ktk maradhi. Nahukuwahi kulalamika zaid ulishukuru sanaa. Allah akupe pepo na pia wazazi wako pia awape subra kama ulivyokuwa
@mariamuiddy68763 жыл бұрын
Poleni sana mwenyezi mungu amlaze mahala pema peponi aminaaa
@denicegabriel66163 жыл бұрын
Poleni Sana ndugu jamaa na marafiki. Masudi ni Strong and responsibile father, MUNGU akutie nguvu.
@hafswamaryam71693 жыл бұрын
Innalilah wainna ilayh raj un poleni sana Alla awape subra
@tunubedon90183 жыл бұрын
Poleni Sana .pumzika kwa Aman mtoto malcom mungu amlaze mahala pema pepon amina
@catherinekatuu4233 жыл бұрын
Mungu ametoa na Mungu ametwaa,jina lake liimidiwe milele.Poleni sana familia,jamaa,marafiki na ulimwengu kwa jumla🙏.
@jamsmwaipaja69733 жыл бұрын
Masoud kipanya pole Sana mshukuru Mungu kwa kila jambo
@salamanauthartanzania63013 жыл бұрын
Daaa pole sana Masoud
@sharmelasaif473 жыл бұрын
Poleni sana wazazi walezi Mungu aiweke roho yamatt wetu mahali pema peponi amin
@saleheinnocent76363 жыл бұрын
Pole Broo
@aqssaomarynizwa97383 жыл бұрын
Inalilah wainailah rajiwun pole San Kaka yangu masud
@sibonikesarikie423 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu ampe pumziko la amani,poleni sana wafiwa.
@yusufdai9763 жыл бұрын
Inalilah waina ilaih raiuj,
@waidaamon4573 жыл бұрын
Daaaah upumzike kwa Aman kijana wetuu , poleni sanaa wazazi wakee
@beatricenelson3953 жыл бұрын
Pole sana Mungu awape faraja na yeye Mungu amweke mahali pema peponi.
@fextomaturo57773 жыл бұрын
Daaah pole sanaa Bro aise inauma kweli
@rehemasalim45903 жыл бұрын
Inalilah waina ilah rajiun pole sana kifo chake kimenistua pia mm nilikua napenda ucheshi wake Allah ampe kaul thabit
@mwanjaarashidi74023 жыл бұрын
Pole kaka masudi
@victoriamahenge90013 жыл бұрын
Polen xana mungu awafunge mkanda waxir , na ampuzishe malkom mahal pema pepon amen.
@nundamnyama15643 жыл бұрын
Pole sana kaka masoud malcom apumzike kwa amani
@twiseghekisilu88453 жыл бұрын
Bye mtoto mzuri tutaonana baadaye!umekwenda shujaa tutakupenda daima! Jasiri wetu.
@alantonio8553 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akupeni faraja na subra katika muda huu mgumu... Korora ipo ...tupate tahadhari!
@ummimohammed93593 жыл бұрын
Allah awapemwingi ujira kwa kufiliwa kwenu na amsameh makosa yake alipokosea。ameen machozi umenitoa jinsi ulivyo mashallah Allah akujaalieni pepo ya daraja ya juu ameen
@judithsalvatory28923 жыл бұрын
Pole sana
@polytarimo3243 жыл бұрын
Daah Malcom wetu Mungu ampe makao ya furaha milele 😍😍
@pilikhamis29243 жыл бұрын
Poleni sana wafiwa nikazi ya mungu haina makosa mungu ampe kauli sabti inshaallah mbele yake nyuma yetu inshaallah
@huldamichael44453 жыл бұрын
Yani Masoud nimekuelewa sana.Mungu awatie nguvu,lala kwa amani Malcolm
@mariamsalum6403 жыл бұрын
INNALILLAH RAJIUN Allah ampokee amuweke pahali pema
@ngolomahewa37073 жыл бұрын
Malcom mtoto mzuri umeenda ulikuwa unanitia moyo sana ktk safari hii ya maisha. MUNGU akupe kibari uketi ktk makao MAZURI. Yaani ulikuwa kijana mwenye lmani kubwa ishindayo mlima.😭😭😭 Pole Kaka masoud
@tumafetylilai7303 жыл бұрын
Poreni sana mungu awape nguvu wazazi wake wote
@winniembwambo86413 жыл бұрын
Polee Kaka jaman
@Bongo365News3 жыл бұрын
SIsi kama team nzima ya BONGO 365 tunatoa pole kwa familia nzima
@victoriazakaria61973 жыл бұрын
Pole Sana kaka Masoud
@mc_mrope3 жыл бұрын
Pole sana kaka Masoud Kipanya
@mamuhassan34153 жыл бұрын
Pole kaka masoud kwa msiba
@vanessalaizer43633 жыл бұрын
Wanaume ni majasiri sana, mwanamke kuongea ivo ktk hali hii ni ngumu sana. Pole sana baba Malcolm n the whole family n friends. May his soul rest in eternal peace🕯
@nishaabdula50153 жыл бұрын
Yn kwa kweli Wana moyo sn mm siwezi kbs jmn
@fatmaallyabdul17323 жыл бұрын
Innalillah wainalillah rajiun,pole sana kaka Masudi na mama Malcom