EXCLUSIVE: Gari ya MASOUD KIPANYA inayotumia UMEME inachajiwa kwa Saa 6 Kutembea umbali wa KM 60

  Рет қаралды 47,446

Vimba Media

Vimba Media

2 жыл бұрын

Share, Support, Subscribe!!!
Subscribe: UC-4fDfmsXy9hIcEmPKbARIQ
KZbin: / hzbtv
Twitter: / harakatizabongo
Facebook: / harakatizabongo
Instagram: / harakatizabongo
Google Plus: plus.google.com/+harakatizabongo

Пікірлер: 103
@paulkimata1091
@paulkimata1091 2 жыл бұрын
Big up Masoud, Mungu akuongezee maarifa ufike mbali zaidi. Hii ni hatua kubwa sana. Ni muda wa kusonga mbele. Ushauri wangu kwako ni kwamba fanya mpango wa kupata watu zaidi ili wenye uwezo wa kuboresha zaidi ili tuanze kutumia vya kwetu. hasa eneo ia kukaa na umeme, naamini kuna wataalamu wa umeme wanaoweza kuifanya gari iweze kujicharhe kadri inavyotembea .
@shikomephaustine1676
@shikomephaustine1676 2 жыл бұрын
Hiii nimeipenda sana serikali sasa ifanye jambo kwa hawa walio anzisha mfumo rasimi kama huu binafsi nilitamani saana kuona vitu kma hivi vikipewa kipaumbele sana na serikali.
@sammusic1580
@sammusic1580 2 жыл бұрын
Mafuta watauza wapi kila jambo lina positive na negative impacts wakiona negative impacts ni chache watasupport shida ni mifumo ya Serikali husika
@sudaissaid8428
@sudaissaid8428 2 жыл бұрын
ah wapi wataweka kodi
@williamnamende1023
@williamnamende1023 2 жыл бұрын
Woow serikali wekezeni hapo ili tupunguze utegemezi nje na madeni maana tutapunguza kuagiza nje pia mafuta
@ezekielmjemah8497
@ezekielmjemah8497 2 жыл бұрын
Keep moving. Time will tell. Nkuombea mafanikio Kipanya. Ngumu sana Watanzania kuelewa lakini kioichojaza moyo wako usiakate tamaa kukifanyia kazi.
@mrematvbabakoku8336
@mrematvbabakoku8336 2 жыл бұрын
Hongera ila ningeshauri muungane na yule jamaa anaetengeneza umeme wa kutumia sumaku ili kuepusha kuchajisha
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 2 жыл бұрын
Kweli kabisa, ili wakati linatembea liwe linazalisha umeme wake pia
@yusuphmulshid1418
@yusuphmulshid1418 2 жыл бұрын
Very creative attractive and very funny mungu asimamie Kazi hii kubwa ya mikono yenu amina
@faqueabdala4099
@faqueabdala4099 2 жыл бұрын
Good idea
@Starlighttz538
@Starlighttz538 2 жыл бұрын
Ongera Sanaa Kp
@mwanakijana31
@mwanakijana31 2 жыл бұрын
Ah gibson hongera sana mzee kwa utangazaj wako man big up
@hamisimsalapai962
@hamisimsalapai962 2 жыл бұрын
Itengenezewe fast charge
@razakiabrahamani8070
@razakiabrahamani8070 2 жыл бұрын
Daaah kiukwel nimependa Sana aiseee big up ma man
@mrsinia3064
@mrsinia3064 2 жыл бұрын
Hongera sana masoud kwa ubunifu, Nimezipata leo BBC fm
@samwelchacha4752
@samwelchacha4752 2 жыл бұрын
Mimi cha kuongezea hapo masudi ni kuufanya mfumo wa betri kuwa na uwezo mkubwa wa capacity badala ya kutumia betri tano litumike betri moja ama mbili zenye nguvu zaidi kwa mawazo yangu ni hayo mi nipo katoro geita
@alwaziirahmad2682
@alwaziirahmad2682 2 жыл бұрын
Kazi nzuri KP but mtangazaji kuna mengi ya magari hukuyahoji akadadavua vile ilivyotengenzwa.
@benedictkihombo348
@benedictkihombo348 2 жыл бұрын
Hongera yako Masoud kipanya kwa ubunifu mzuri,,, hakika Tz wapo Macreativities wengi but shida kwenye uthubutu,,, yote ni yote mwanzo mgumu.
@martinisadru
@martinisadru 2 жыл бұрын
Shida ni kwa serika yetu hawapendi watanzania wafanye
@clintonjoas9020
@clintonjoas9020 2 жыл бұрын
Kaz nzuri
@vinnielovie646
@vinnielovie646 2 жыл бұрын
Great idea Great minds
@felistermatindi9134
@felistermatindi9134 2 жыл бұрын
Hongera Masoud kwa hatua hii
@geofreyludasi1172
@geofreyludasi1172 2 жыл бұрын
Hongera masoud ,wewe no kiboko
@essodaddy6608
@essodaddy6608 2 жыл бұрын
Nimependa sana iyo lakini kwanini gari lisiwekewe solar na invertor kuondoa kupoteza muda wa kuchaji.
@mwankenjatv9330
@mwankenjatv9330 2 жыл бұрын
Ushauri mzuri sanaa
@geraldtarimo7379
@geraldtarimo7379 2 жыл бұрын
Hongera kipanya motor 72
@richardkiula2011
@richardkiula2011 2 жыл бұрын
Hongera KP
@allymvungi1269
@allymvungi1269 2 жыл бұрын
Umetisha kaka
@mwantelatv3028
@mwantelatv3028 2 жыл бұрын
Hongera sana bt tunataka kujuabei
@edwinalexander1170
@edwinalexander1170 2 жыл бұрын
Masudi uko vizuri?, safi sana endelea hivyo hivyo utafika mbali sana. Nashauri mfumo wa solar iwekewe utakaochaji gari huku linatembea.
@bahatngowo3379
@bahatngowo3379 Жыл бұрын
Sh ngapi mhitaji
@nizocreezy4416
@nizocreezy4416 2 жыл бұрын
well done
@salhaomary6008
@salhaomary6008 2 жыл бұрын
Safi Sana broo
@ntegrity277
@ntegrity277 2 жыл бұрын
Naomba muongeze ubunifu kwa kuweka motar ambayo gari Hilo likiwaka TU iwepo system ya kuendelea kuchaji HIZO battery
@chidwash1004
@chidwash1004 2 жыл бұрын
Ongereni sn masudi kipanya
@shabanimbenu2163
@shabanimbenu2163 2 жыл бұрын
Hongera kwa kazi nzuri
@sadockchengula5542
@sadockchengula5542 2 жыл бұрын
Umeme ni jambo jema. Tatizo huo umeme nao haupo! Labda ingekuwa la maji. But Hongera
@elimuvisioncenter
@elimuvisioncenter 2 жыл бұрын
For emergency its gud mngeweka solar system ili kuongeza milage
@robysonmrema5720
@robysonmrema5720 2 жыл бұрын
Safi sana ubunifu mzuri mnoo ila ikipendeza hapo kwenye kibin juu mngeweka solar systems hapo juu Ili iwe inajijaza yenyewe
@erickdioniz8277
@erickdioniz8277 2 жыл бұрын
safi sana
@judithjohn2167
@judithjohn2167 2 жыл бұрын
Tanzania inahitaji wenye maarifa.....na sio wenye degree.....Bro Masoud umenigusa sana....
@envinm9649
@envinm9649 2 жыл бұрын
Hongera sana bro, tunawasomi wengi (mainjinia) lakini hatujawahi kufikiria kufika hapo. Keep it up...!!!
@tanzaniacarschannel6975
@tanzaniacarschannel6975 2 жыл бұрын
Kuhusu umeme wa solar... Kuna issue ya wattages kama wattages za solar zinatosha obviously itacharge
@BeatriceFredy-dx8jn
@BeatriceFredy-dx8jn Жыл бұрын
Serikalii ya bongo isapoti watu jamani
@jacksonbiswalo8360
@jacksonbiswalo8360 2 жыл бұрын
Na mm nina swali:Je!huwezi kutengeneza mfumo wa jenereta ili chaji ikibaki kidogo unawasha jenereta hf unakuwa unachaji huku safari inaendelea?
@ezekielmabwai482
@ezekielmabwai482 2 жыл бұрын
Kipanya ni bigwa apewe U- professor, lakini wataalam wamsaidie, maana haiwezi kuwa heavy duty.
@tanzaniacarschannel6975
@tanzaniacarschannel6975 2 жыл бұрын
Hali ya hewa ina influence sana battery performance na battery life... Sehemu yenye baridi sana battery huisha haraka.. lakini pia sehemu yenye joto kali sana kama battery haina proper heat management huchoka mapema pia Lakini pia kucharge kidogo kidogo bila kuifikisha 100% una haribu battery life.. discharge and charge circle ikiwa haipo njema battery pia hufa... But there is always njia za kuborrsha kiwe bora
@elimuvisioncenter
@elimuvisioncenter 2 жыл бұрын
What matters is … cost …. Battery ina save kuliko fuel … Unapiga hesabu za kutumia battery mpka kufa … and fuel cost kwa time hyo then … una amua
@mussachuo6702
@mussachuo6702 2 жыл бұрын
Sijui inaweza kutembea spid ngap?
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 2 жыл бұрын
Kilometers 60 ni chache sana guyz halitufai kwa mazingira yetu
@ramadhanimtetu7246
@ramadhanimtetu7246 2 жыл бұрын
ila mwanzo mwema huu kaka naamini tz ni kubwa na wataalam wapo uhenda tunaweza mpata mwamba mwingine akaboresha wazo
@hassanb.chaula4248
@hassanb.chaula4248 2 жыл бұрын
Comment nzuri ila sikutegemea, bora umetoa la moyoni, natamani sana tuungane kumhamasisha, Mfano, watumiaji wa Toyo na Guta wakihamia huku, next version ninakua imara zaidi
@afyamuruwanaurembo1108
@afyamuruwanaurembo1108 2 жыл бұрын
Haiwezi kutengenezewa outnetor ijichaji yenyewe !
@tanzaniacarschannel6975
@tanzaniacarschannel6975 2 жыл бұрын
Si rahis
@martinisadru
@martinisadru 2 жыл бұрын
Mwanzo mzuri sana
@pastorshadrackruben9673
@pastorshadrackruben9673 2 жыл бұрын
Kwa nini wasiifungie sola ikawa inachaji ikiwa inatembea.
@sudaissaid8428
@sudaissaid8428 2 жыл бұрын
halilipiwi hilo....
@othmanshahib1115
@othmanshahib1115 2 жыл бұрын
Ikiwa inaenda kwanini isiwe na mfumo wa kujichaji wakati inatembea
@dannymwaijala3335
@dannymwaijala3335 2 жыл бұрын
Hata mm naunga mkono ila jitahidini ili chaji ikae angalau hata km 200 kwenda mbele
@williamnamende1023
@williamnamende1023 2 жыл бұрын
Huu ni mwanzo naamini matoleo yajayo atabolesha zaidi abastahili hongera kwakuwa ni meanzo
@rpynoel566
@rpynoel566 2 жыл бұрын
ikiwezekana mutengeneze mfumo wa dainamol Ili likiwa linatembea linajitengenezea umeme na kujichaji
@Word_DJ.
@Word_DJ. 2 жыл бұрын
Is not easy
@babawawiltegamaso4367
@babawawiltegamaso4367 2 жыл бұрын
mimi nalia na serikali kuwawezesha vijana wakitanzania wanavipaji kweli jamani
@karimmsosa4262
@karimmsosa4262 2 жыл бұрын
Mimi nina haidia ya kitaharam hiyo gari ipo uwezekano wa kutumia hy gari bira kuchaji... automatically ikitembea hiwe inajicharg yenyewe
@obisanaa
@obisanaa 2 жыл бұрын
Ndio Karim inawezekana,MI pia Niko kwenye hatua za mwisho mwisho za kutengeneza gar,nilishaanza ila litatumia umeme ambao betri zitachajiwa kwa mwanga wa jua, tutafika tu
@slowclimbertothetop4572
@slowclimbertothetop4572 2 жыл бұрын
Jifunze kiswahili kwanza
@mwankenjatv9330
@mwankenjatv9330 2 жыл бұрын
Anatakiwa aifanye hii gari iwe na fast chaji hapo atakuwa kapiga bingo maana tunataka kari ambayo nusu saa imejaa full
@josephmayunga9817
@josephmayunga9817 2 жыл бұрын
Endesha tuone basi
@carloslivingston7619
@carloslivingston7619 2 жыл бұрын
Kitalaamu inatakiwa kuanndikwa S.W.L 500Kg
@antonymnyavanu5200
@antonymnyavanu5200 2 жыл бұрын
Funga dainamo kwenye tairi iwe inajichaji inavoendelea
@aliomar1986
@aliomar1986 2 жыл бұрын
Lina speed ngapi
@sudaissaid8428
@sudaissaid8428 2 жыл бұрын
kwaiyo kipanya kawa mvumbuzi
@shadihatihassani8131
@shadihatihassani8131 2 жыл бұрын
Sarut kwako
@chodotv1345
@chodotv1345 2 жыл бұрын
Mama ona ilo na sema neno
@onesmomlinga2739
@onesmomlinga2739 2 жыл бұрын
Ni nzuri ila mlango unalia hauna grisi nn?
@martinisadru
@martinisadru 2 жыл бұрын
Vitu vya kipumbavu kutoka china na india vya sido wanaviruhusu kutembea katika barabara zetu ya Masudi kupanya wataiwekea vikwazo. Hili tatizo wanalo serikali zetu
@hildantandu5909
@hildantandu5909 2 жыл бұрын
Umeona
@rashidngwawile9062
@rashidngwawile9062 2 жыл бұрын
Ako magu angekuwepo hai, cjuwi mungepewa nini nyie jamaa
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 2 жыл бұрын
huyu kakopi tu kwenye google.Na charger aliyekopi ya kizamani ya kisasa inaitwa fast charger inachajiwa kwa saa moja tu
@hassanmzaa957
@hassanmzaa957 2 жыл бұрын
Acha majungu kama unaona ni rahisi kakopi na wwe huko kwenye google
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 2 жыл бұрын
@@hassanmzaa957 acha ujuha na ujinga wako.dunia ya sasa ni global village.dunia ni kijiji kimoja.google na andika namna ya kutengeneza gari ya umeme.how to make a electric car.Tusikubali kuwa wajinga karne hii ya sayansi na teknolojia.
@mgasaemanuel53
@mgasaemanuel53 2 жыл бұрын
vp injini alinunua au ka create mwenyewe
@eyeonnature4022
@eyeonnature4022 2 жыл бұрын
Haitumii injini ni mota tu.
@amosikapangala9893
@amosikapangala9893 2 жыл бұрын
Mm nimeipenda sana ideas mliyo tumia lakini nilikuwa napenda kutoa ushauri kwa nini msitafute idea nyingine nii gari iwe na otonator ili iwe kwenye mfumo wa kuji charge yenye ili iwe na uhakika kwenye safari ndefu? ni maoni tu
@dbwaxvevo5780
@dbwaxvevo5780 2 жыл бұрын
Apo unakua na genereta yako tu ukifka mahal pakula una washa unachaji Ila chaji iwe ndefu
@Word_DJ.
@Word_DJ. 2 жыл бұрын
Unaua betr
@sultanmswahilitv4864
@sultanmswahilitv4864 2 жыл бұрын
Vipuli vyote nivya mzungu.Hakuna kitu apo
@ramadhanilukambuzi9760
@ramadhanilukambuzi9760 2 жыл бұрын
Hata Wazungu nao wananunua kwa Wengine,Kwahiyo WW ulitakaje?
@tinotairo
@tinotairo 2 жыл бұрын
Ni mwanzo mzuri sana, ushauri, bidii ya uboreshaji waipeleke kwenye kupunguza muda wa kuchaji, masaa sita ni mengi sana. Hongera sana Masoud!!
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 2 жыл бұрын
kakopi kwenye google ya kisasa inachaji saa moja tu
@chodotv1345
@chodotv1345 2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@evancemoevt8597
@evancemoevt8597 2 жыл бұрын
Km 60 Ni Umbali ndogo Sana!! Bado halitufai!!
@mbakijonas6792
@mbakijonas6792 2 жыл бұрын
Ndiyo mwanzo jamani heeeeeeeh!!!!!!!! Au wewe lenu ukichaji dk 1 linatembea Km efu ngapi??????????
@shikomephaustine1676
@shikomephaustine1676 2 жыл бұрын
Mhhh siyo kweli hiyo ipo poa sana. Magar ya Rwanda yanayo Tumia umeme yanaanzia kilometa 80 sasa si mbali sana kwa hizi kilometa. Hivyo wataendelea kubolesha zaid
@VimbaMedia
@VimbaMedia 2 жыл бұрын
Mtoto anaanza na kutambaa
@obisanaa
@obisanaa 2 жыл бұрын
KAZI NZURI SANA,JAMAN NI MWANZO TUU TUMPE MOYO TUSIMKATISHE TAMAA
@herbertkamote2213
@herbertkamote2213 2 жыл бұрын
Yani unachaji masaa 6 halafu huwezi kwanda hata bagamoyo
@abrahamabdala1207
@abrahamabdala1207 2 жыл бұрын
Kwa nnavoijua Tanzania watamua uyu jamaa
@rashidngwawile9062
@rashidngwawile9062 2 жыл бұрын
Nalo neno?
@abrahamabdala1207
@abrahamabdala1207 2 жыл бұрын
Alikuja akatokea alitengeneza Kara linatumia tu wshampeleka kwa mung Sasa kipanga awe muangalif
@samuellevy2564
@samuellevy2564 2 жыл бұрын
Hongera Kwa hili but serikari yetu ndio shida ADAM huku Tunduma alitengeneza ndege wakamkataza kuruka na ukazima hapo
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 106 МЛН
Зачем он туда залез?
00:25
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 3,3 МЛН
Alex hid in the closet #shorts
00:14
Mihdens
Рет қаралды 14 МЛН
Mbunifu wa trekta inayotumia injini ya pikipiki
4:00
COSTECH Tanzania
Рет қаралды 12 М.
Wabunifu wa Injini ya ndege (Jet Engine)
4:29
COSTECH Tanzania
Рет қаралды 12 М.
Piki piki inayopunguza gharama na safi kwa mazingira
4:33
BBC News Swahili
Рет қаралды 17 М.
NDOA YA RINGO NI VITUKO, UTACHEKA UFE
21:49
Wasafi Media
Рет қаралды 47 М.
GiGaMoN! 5 🗿 #gigachad #sigma
0:53
The Logan Chitwood
Рет қаралды 8 МЛН
Они не знали, почему он так поступил, пока
0:39
Summer shower by Secret Vlog
0:17
Secret Vlog
Рет қаралды 10 МЛН
ПОМОГИ РАЗБУДИТЬ ПИЛОТА 😱😱
0:16
ДЭВИД ЛАВА
Рет қаралды 4,1 МЛН
Spot The Fake Animal For $10,000
0:40
MrBeast
Рет қаралды 168 МЛН