Big up Masoud, Mungu akuongezee maarifa ufike mbali zaidi. Hii ni hatua kubwa sana. Ni muda wa kusonga mbele. Ushauri wangu kwako ni kwamba fanya mpango wa kupata watu zaidi ili wenye uwezo wa kuboresha zaidi ili tuanze kutumia vya kwetu. hasa eneo ia kukaa na umeme, naamini kuna wataalamu wa umeme wanaoweza kuifanya gari iweze kujicharhe kadri inavyotembea .
@shikomephaustine16762 жыл бұрын
Hiii nimeipenda sana serikali sasa ifanye jambo kwa hawa walio anzisha mfumo rasimi kama huu binafsi nilitamani saana kuona vitu kma hivi vikipewa kipaumbele sana na serikali.
@sammusic15802 жыл бұрын
Mafuta watauza wapi kila jambo lina positive na negative impacts wakiona negative impacts ni chache watasupport shida ni mifumo ya Serikali husika
@sudaissaid84282 жыл бұрын
ah wapi wataweka kodi
@williamnamende10232 жыл бұрын
Woow serikali wekezeni hapo ili tupunguze utegemezi nje na madeni maana tutapunguza kuagiza nje pia mafuta
@ezekielmjemah84972 жыл бұрын
Keep moving. Time will tell. Nkuombea mafanikio Kipanya. Ngumu sana Watanzania kuelewa lakini kioichojaza moyo wako usiakate tamaa kukifanyia kazi.
@mrematvbabakoku83362 жыл бұрын
Hongera ila ningeshauri muungane na yule jamaa anaetengeneza umeme wa kutumia sumaku ili kuepusha kuchajisha
@temuemanuel46712 жыл бұрын
Kweli kabisa, ili wakati linatembea liwe linazalisha umeme wake pia
@yusuphmulshid14182 жыл бұрын
Very creative attractive and very funny mungu asimamie Kazi hii kubwa ya mikono yenu amina
@faqueabdala40992 жыл бұрын
Good idea
@Starlighttz5382 жыл бұрын
Ongera Sanaa Kp
@mwanakijana312 жыл бұрын
Ah gibson hongera sana mzee kwa utangazaj wako man big up
@hamisimsalapai9622 жыл бұрын
Itengenezewe fast charge
@razakiabrahamani80702 жыл бұрын
Daaah kiukwel nimependa Sana aiseee big up ma man
@mrsinia30642 жыл бұрын
Hongera sana masoud kwa ubunifu, Nimezipata leo BBC fm
@samwelchacha47522 жыл бұрын
Mimi cha kuongezea hapo masudi ni kuufanya mfumo wa betri kuwa na uwezo mkubwa wa capacity badala ya kutumia betri tano litumike betri moja ama mbili zenye nguvu zaidi kwa mawazo yangu ni hayo mi nipo katoro geita
@alwaziirahmad26822 жыл бұрын
Kazi nzuri KP but mtangazaji kuna mengi ya magari hukuyahoji akadadavua vile ilivyotengenzwa.
@benedictkihombo3482 жыл бұрын
Hongera yako Masoud kipanya kwa ubunifu mzuri,,, hakika Tz wapo Macreativities wengi but shida kwenye uthubutu,,, yote ni yote mwanzo mgumu.
@martinisadru2 жыл бұрын
Shida ni kwa serika yetu hawapendi watanzania wafanye
@clintonjoas90202 жыл бұрын
Kaz nzuri
@vinnielovie6462 жыл бұрын
Great idea Great minds
@felistermatindi91342 жыл бұрын
Hongera Masoud kwa hatua hii
@geofreyludasi11722 жыл бұрын
Hongera masoud ,wewe no kiboko
@essodaddy66082 жыл бұрын
Nimependa sana iyo lakini kwanini gari lisiwekewe solar na invertor kuondoa kupoteza muda wa kuchaji.
@mwankenjatv93302 жыл бұрын
Ushauri mzuri sanaa
@geraldtarimo73792 жыл бұрын
Hongera kipanya motor 72
@richardkiula20112 жыл бұрын
Hongera KP
@allymvungi12692 жыл бұрын
Umetisha kaka
@mwantelatv30282 жыл бұрын
Hongera sana bt tunataka kujuabei
@edwinalexander11702 жыл бұрын
Masudi uko vizuri?, safi sana endelea hivyo hivyo utafika mbali sana. Nashauri mfumo wa solar iwekewe utakaochaji gari huku linatembea.
@bahatngowo3379 Жыл бұрын
Sh ngapi mhitaji
@nizocreezy44162 жыл бұрын
well done
@salhaomary60082 жыл бұрын
Safi Sana broo
@ntegrity2772 жыл бұрын
Naomba muongeze ubunifu kwa kuweka motar ambayo gari Hilo likiwaka TU iwepo system ya kuendelea kuchaji HIZO battery
@chidwash10042 жыл бұрын
Ongereni sn masudi kipanya
@shabanimbenu21632 жыл бұрын
Hongera kwa kazi nzuri
@sadockchengula55422 жыл бұрын
Umeme ni jambo jema. Tatizo huo umeme nao haupo! Labda ingekuwa la maji. But Hongera
@elimuvisioncenter2 жыл бұрын
For emergency its gud mngeweka solar system ili kuongeza milage
@robysonmrema57202 жыл бұрын
Safi sana ubunifu mzuri mnoo ila ikipendeza hapo kwenye kibin juu mngeweka solar systems hapo juu Ili iwe inajijaza yenyewe
@erickdioniz82772 жыл бұрын
safi sana
@judithjohn21672 жыл бұрын
Tanzania inahitaji wenye maarifa.....na sio wenye degree.....Bro Masoud umenigusa sana....
@envinm96492 жыл бұрын
Hongera sana bro, tunawasomi wengi (mainjinia) lakini hatujawahi kufikiria kufika hapo. Keep it up...!!!
@tanzaniacarschannel69752 жыл бұрын
Kuhusu umeme wa solar... Kuna issue ya wattages kama wattages za solar zinatosha obviously itacharge
@BeatriceFredy-dx8jn Жыл бұрын
Serikalii ya bongo isapoti watu jamani
@jacksonbiswalo83602 жыл бұрын
Na mm nina swali:Je!huwezi kutengeneza mfumo wa jenereta ili chaji ikibaki kidogo unawasha jenereta hf unakuwa unachaji huku safari inaendelea?
@ezekielmabwai4822 жыл бұрын
Kipanya ni bigwa apewe U- professor, lakini wataalam wamsaidie, maana haiwezi kuwa heavy duty.
@tanzaniacarschannel69752 жыл бұрын
Hali ya hewa ina influence sana battery performance na battery life... Sehemu yenye baridi sana battery huisha haraka.. lakini pia sehemu yenye joto kali sana kama battery haina proper heat management huchoka mapema pia Lakini pia kucharge kidogo kidogo bila kuifikisha 100% una haribu battery life.. discharge and charge circle ikiwa haipo njema battery pia hufa... But there is always njia za kuborrsha kiwe bora
@elimuvisioncenter2 жыл бұрын
What matters is … cost …. Battery ina save kuliko fuel … Unapiga hesabu za kutumia battery mpka kufa … and fuel cost kwa time hyo then … una amua
@mussachuo67022 жыл бұрын
Sijui inaweza kutembea spid ngap?
@hisanmwakijungu102 жыл бұрын
Kilometers 60 ni chache sana guyz halitufai kwa mazingira yetu
@ramadhanimtetu72462 жыл бұрын
ila mwanzo mwema huu kaka naamini tz ni kubwa na wataalam wapo uhenda tunaweza mpata mwamba mwingine akaboresha wazo
@hassanb.chaula42482 жыл бұрын
Comment nzuri ila sikutegemea, bora umetoa la moyoni, natamani sana tuungane kumhamasisha, Mfano, watumiaji wa Toyo na Guta wakihamia huku, next version ninakua imara zaidi
@afyamuruwanaurembo11082 жыл бұрын
Haiwezi kutengenezewa outnetor ijichaji yenyewe !
@tanzaniacarschannel69752 жыл бұрын
Si rahis
@martinisadru2 жыл бұрын
Mwanzo mzuri sana
@pastorshadrackruben96732 жыл бұрын
Kwa nini wasiifungie sola ikawa inachaji ikiwa inatembea.
@sudaissaid84282 жыл бұрын
halilipiwi hilo....
@othmanshahib11152 жыл бұрын
Ikiwa inaenda kwanini isiwe na mfumo wa kujichaji wakati inatembea
@dannymwaijala33352 жыл бұрын
Hata mm naunga mkono ila jitahidini ili chaji ikae angalau hata km 200 kwenda mbele
@williamnamende10232 жыл бұрын
Huu ni mwanzo naamini matoleo yajayo atabolesha zaidi abastahili hongera kwakuwa ni meanzo
@rpynoel5662 жыл бұрын
ikiwezekana mutengeneze mfumo wa dainamol Ili likiwa linatembea linajitengenezea umeme na kujichaji
@Word_DJ.2 жыл бұрын
Is not easy
@babawawiltegamaso43672 жыл бұрын
mimi nalia na serikali kuwawezesha vijana wakitanzania wanavipaji kweli jamani
@karimmsosa42622 жыл бұрын
Mimi nina haidia ya kitaharam hiyo gari ipo uwezekano wa kutumia hy gari bira kuchaji... automatically ikitembea hiwe inajicharg yenyewe
@obisanaa2 жыл бұрын
Ndio Karim inawezekana,MI pia Niko kwenye hatua za mwisho mwisho za kutengeneza gar,nilishaanza ila litatumia umeme ambao betri zitachajiwa kwa mwanga wa jua, tutafika tu
@slowclimbertothetop45722 жыл бұрын
Jifunze kiswahili kwanza
@mwankenjatv93302 жыл бұрын
Anatakiwa aifanye hii gari iwe na fast chaji hapo atakuwa kapiga bingo maana tunataka kari ambayo nusu saa imejaa full
@josephmayunga98172 жыл бұрын
Endesha tuone basi
@carloslivingston76192 жыл бұрын
Kitalaamu inatakiwa kuanndikwa S.W.L 500Kg
@antonymnyavanu52002 жыл бұрын
Funga dainamo kwenye tairi iwe inajichaji inavoendelea
@aliomar19862 жыл бұрын
Lina speed ngapi
@sudaissaid84282 жыл бұрын
kwaiyo kipanya kawa mvumbuzi
@shadihatihassani81312 жыл бұрын
Sarut kwako
@chodotv13452 жыл бұрын
Mama ona ilo na sema neno
@onesmomlinga27392 жыл бұрын
Ni nzuri ila mlango unalia hauna grisi nn?
@martinisadru2 жыл бұрын
Vitu vya kipumbavu kutoka china na india vya sido wanaviruhusu kutembea katika barabara zetu ya Masudi kupanya wataiwekea vikwazo. Hili tatizo wanalo serikali zetu
@hildantandu59092 жыл бұрын
Umeona
@rashidngwawile90622 жыл бұрын
Ako magu angekuwepo hai, cjuwi mungepewa nini nyie jamaa
@abuyunusmohamed69612 жыл бұрын
huyu kakopi tu kwenye google.Na charger aliyekopi ya kizamani ya kisasa inaitwa fast charger inachajiwa kwa saa moja tu
@hassanmzaa9572 жыл бұрын
Acha majungu kama unaona ni rahisi kakopi na wwe huko kwenye google
@abuyunusmohamed69612 жыл бұрын
@@hassanmzaa957 acha ujuha na ujinga wako.dunia ya sasa ni global village.dunia ni kijiji kimoja.google na andika namna ya kutengeneza gari ya umeme.how to make a electric car.Tusikubali kuwa wajinga karne hii ya sayansi na teknolojia.
@mgasaemanuel532 жыл бұрын
vp injini alinunua au ka create mwenyewe
@eyeonnature40222 жыл бұрын
Haitumii injini ni mota tu.
@amosikapangala98932 жыл бұрын
Mm nimeipenda sana ideas mliyo tumia lakini nilikuwa napenda kutoa ushauri kwa nini msitafute idea nyingine nii gari iwe na otonator ili iwe kwenye mfumo wa kuji charge yenye ili iwe na uhakika kwenye safari ndefu? ni maoni tu
@dbwaxvevo57802 жыл бұрын
Apo unakua na genereta yako tu ukifka mahal pakula una washa unachaji Ila chaji iwe ndefu
@Word_DJ.2 жыл бұрын
Unaua betr
@sultanmswahilitv48642 жыл бұрын
Vipuli vyote nivya mzungu.Hakuna kitu apo
@ramadhanilukambuzi97602 жыл бұрын
Hata Wazungu nao wananunua kwa Wengine,Kwahiyo WW ulitakaje?
@tinotairo2 жыл бұрын
Ni mwanzo mzuri sana, ushauri, bidii ya uboreshaji waipeleke kwenye kupunguza muda wa kuchaji, masaa sita ni mengi sana. Hongera sana Masoud!!
@abuyunusmohamed69612 жыл бұрын
kakopi kwenye google ya kisasa inachaji saa moja tu
@chodotv13452 жыл бұрын
😂😂😂😂
@evancemoevt85972 жыл бұрын
Km 60 Ni Umbali ndogo Sana!! Bado halitufai!!
@mbakijonas67922 жыл бұрын
Ndiyo mwanzo jamani heeeeeeeh!!!!!!!! Au wewe lenu ukichaji dk 1 linatembea Km efu ngapi??????????
@shikomephaustine16762 жыл бұрын
Mhhh siyo kweli hiyo ipo poa sana. Magar ya Rwanda yanayo Tumia umeme yanaanzia kilometa 80 sasa si mbali sana kwa hizi kilometa. Hivyo wataendelea kubolesha zaid
@VimbaMedia2 жыл бұрын
Mtoto anaanza na kutambaa
@obisanaa2 жыл бұрын
KAZI NZURI SANA,JAMAN NI MWANZO TUU TUMPE MOYO TUSIMKATISHE TAMAA
@herbertkamote22132 жыл бұрын
Yani unachaji masaa 6 halafu huwezi kwanda hata bagamoyo
@abrahamabdala12072 жыл бұрын
Kwa nnavoijua Tanzania watamua uyu jamaa
@rashidngwawile90622 жыл бұрын
Nalo neno?
@abrahamabdala12072 жыл бұрын
Alikuja akatokea alitengeneza Kara linatumia tu wshampeleka kwa mung Sasa kipanga awe muangalif
@samuellevy25642 жыл бұрын
Hongera Kwa hili but serikari yetu ndio shida ADAM huku Tunduma alitengeneza ndege wakamkataza kuruka na ukazima hapo