MASHARTI MATATU MAZITO ALIYOPEWA MWIJAKU "TULIMPA SIKU TATU"

  Рет қаралды 58,390

Millard Ayo

Millard Ayo

Ай бұрын

Пікірлер: 206
@hassanmohdally5217
@hassanmohdally5217 Ай бұрын
Mshikaji anaropokaa sanaa masood hanagaa tabu na mtu kabisaa sio mtu wa skendoo sijui kimemtumaa nn huyoo mwijaku kumzalilishaa jmaaa
@sadamyakubu1006
@sadamyakubu1006 Ай бұрын
Kani kasemaje
@madaiincubationcenter4947
@madaiincubationcenter4947 Ай бұрын
@@sadamyakubu1006 Tumia mb kujua mambo na fuatailia matukio maana inaonekana hujui kabisa kama Mwijaku alimkshfu MAsudi Kipanya
@eliaskasambala3408
@eliaskasambala3408 Ай бұрын
Jamaa kafanana na Prof lipumba yule wa CUF
@wallaceexpert4081
@wallaceexpert4081 Ай бұрын
Mdomo uliponza kichwa😂
@PanchoValentino-wh7wt
@PanchoValentino-wh7wt Ай бұрын
BILLION 5 Nomaaa saana
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo Ай бұрын
Tunasubiri kwa hamu hizo fedha tuongeze mtaji. Mdomo unatengeneza pesa😂😂😂
@YusufuAliy-cd6dc
@YusufuAliy-cd6dc Ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@hadijauledi6995
@hadijauledi6995 Ай бұрын
Huyu mwijaku mtu mzima hovyo mdomo utamponza kila siku yeye tu kuomba radhi 😂😂😂😂😂
@WahidaHilaly
@WahidaHilaly Ай бұрын
Mshenzi mwijako Ameshazoea kuwatukana Kina mond Sasa amekalia kisu cha moto
@madaiincubationcenter4947
@madaiincubationcenter4947 Ай бұрын
@@WahidaHilaly Mond pia huwa namshangaa pamoja na kutukanwa na kudhalilishwa bado anampokea mara ingine huyu cha domo
@user-pt7lc4xu3d
@user-pt7lc4xu3d Ай бұрын
Kweli masudi nimekubali sana mwijaku anaongea sana
@jeremiahmsemwa8323
@jeremiahmsemwa8323 Ай бұрын
😂😂😂😂
@starjay3052
@starjay3052 Ай бұрын
mdomo umeponza kichwa 😁😁🤣🤣
@KiboshoNjenge
@KiboshoNjenge Ай бұрын
Nyingi.sana ila wot ❤1❤❤❤❤❤❤❤❤
@GiftAbduly
@GiftAbduly Ай бұрын
Alimdhalilisha menina sasa mungu anaanzakujib 😅 hakikisheni mmemnyooshaa haswAaaaaa
@fridamuss922
@fridamuss922 Ай бұрын
Menina yukowp tunywe wine leo ❤❤❤ simpendii huyuu
@VERONICA-o7n
@VERONICA-o7n 19 күн бұрын
😂
@deusisindwa616
@deusisindwa616 Ай бұрын
Sisi tunashukulu Mwijaku kutufahamisha k,p anauza ngada,,Mwijaku hajawah kuongea uongo hahaha😂😂
@selector728
@selector728 Ай бұрын
Tunashukuru sio tunashukulu
@witnesskagirigiri3763
@witnesskagirigiri3763 Ай бұрын
KWANINI ameomba msamaha maana yake amekosea
@Memphisblue22822
@Memphisblue22822 Ай бұрын
Mwingine huyu mtaro wake unataka kuziburiwa😂
@hassankongolilo8408
@hassankongolilo8408 Ай бұрын
😂
@AyubuMsindo
@AyubuMsindo Ай бұрын
Mwijaku nimtumuhmu ndomnatuna tambamjni daaaisee bongo kweli noma
@eliariro5514
@eliariro5514 Ай бұрын
Uchawa umevuka mipaká 😂😂
@kristofuraha3369
@kristofuraha3369 Ай бұрын
Mwijaku amezidi lopo lopo sana, mi nashangaa hata Diamond amekua akimchukulia powa tu japo anamkashifu sana kwa vitu ambavyo haina ushahidi!
@liberatusjackson5045
@liberatusjackson5045 Ай бұрын
Mshamba 😂😂😂wewe
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz Ай бұрын
Daimond amefikaje hapa
@davidsonstevenson2653
@davidsonstevenson2653 Ай бұрын
Mondi alitaka kumshitaki kipindi kile anasema yule mtoto wa tanasha niwake sababu wamefanana sema alimuomba radhi akaachana na kesi bt jamaa amekua mtu wa kutopoka sana
@peninashungu6633
@peninashungu6633 Ай бұрын
Kila wakati amekuwa akiomba radhi kuomba radhi kila wakat kunamtia kiburi huyu apelekwe tu mahakaman
@cryptoboy-5
@cryptoboy-5 Ай бұрын
HIYO.YA TATU MTEGO MWIJAKU AKIKUBARI AMEISHA
@witnesskagirigiri3763
@witnesskagirigiri3763 Ай бұрын
PELEKA MAHAKAMANI ILI LIWE FUNDISHO KWA WAROPOKAJI KAMA MWIJAKU.DOTTO MAGARI NA KWA MBALI BABA LEVO.
@sarahkinyashi6213
@sarahkinyashi6213 Ай бұрын
Inackitisha sna 🙏🙏🙏🙏kila mzua janga hula na wakwao cjui ndio inavyokuwagaaa🙏🙏🙏
@ms123ru
@ms123ru Ай бұрын
😂😂😂😂😂 jakuu boy
@michelinemapendo6652
@michelinemapendo6652 Ай бұрын
WOTE WANAJAAAAAA😂😂😂😂
@frankmwinuka5941
@frankmwinuka5941 Ай бұрын
Nipo tofaut sana kifup mwijaku aliongea kwa uchungu na hasira kwa sababu unajua ukishajua nini unafanya kwenye maisha halafu mtu akaja kukupangia au kuzungumza shit lazma upanic ndio kwanza kaz mpya inasiku mtu anatokea na kuanza kuongea utumbo wangap wameshawah kuhama media wakubwa kuliko mwijaku asemwe ivyo? Aisee ukitaka ugombane na mnafiki pata mafanikio 😂
@adrianomaulaga1599
@adrianomaulaga1599 Ай бұрын
Shida ni kwamba kipanya hakutaja jina la mwijaku kwenye maelezo yake japo kwa akili za kawaida utasema ni mwijaku ndio anazungumziwa lakini hakutajwa
@khalsasalim7930
@khalsasalim7930 Ай бұрын
Hata akiuza hili gorofa lake halifiki b5, labda akamuombe mo zile b 20 ampe 5😂😂😂😂
@RamadhanAlly-qg9hq
@RamadhanAlly-qg9hq Ай бұрын
Uyuu mwijaku apigwee faini tuu
@acecinema199
@acecinema199 18 күн бұрын
Agansti mtu flani 😅😅😅😂
@KKRR-ze8qu
@KKRR-ze8qu Ай бұрын
Iyo ninja nawivu 😂😂
@franckmaya4068
@franckmaya4068 Ай бұрын
Kipanya Kaza Kamba Hakuna kuregeza Kaka mwijak awe mfano kwa wengne waropokaj🤣🤣🤣
@SHERANasibu
@SHERANasibu Ай бұрын
Mashart tyuu kuogaa aaaaaah
@Shadia544
@Shadia544 Ай бұрын
Kwa nini asifungwe ata miaka miwili tuuu maana anajiamini sana kutukana watu sasa kayatimba kwa masudy afunguwe tuu✌️
@liberatusjackson5045
@liberatusjackson5045 Ай бұрын
Huyo masudiiii😂😂😂 anauchumiiii huo au na ww mzeee bagiiii zauzeeniiii😂😂😂😂😂 mwijaku chawa wa mama samia utamfanya nn kikubwa huyo aache kuuza. Ubhufuma😂😂😂😂😂
@judyngowi391
@judyngowi391 Ай бұрын
Kwahiyo huyo mamako ndio anamtuma atukane watu
@liberatusjackson5045
@liberatusjackson5045 Ай бұрын
@@judyngowi391 hupendiii ukweli
@judyngowi391
@judyngowi391 Ай бұрын
Wewe unajua ukweli upi?
@connan9923
@connan9923 Ай бұрын
Kama alivyo sema wakili Mahalani wao itabidi waonyeshe ushahidi wa madhara ambayo masoud ameyapata kutokana na makampuni na influence ambayo alikuwa nayo kupotea Huwezi jua labda alikuwa na mkataba na makampuni kwa zaidi ya miaka kumi,kama hayo makampuni yamesitisha mkataba kwa hiyo matarajio yake ya miaka kumi inakuwa imepotea kama jumla inafika hiyo B. 5 Mahalama itafahakishwa kabla ya kutoa hukumu
@GabrielSky64
@GabrielSky64 Ай бұрын
Faida za mdomo. 😂😂
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x Ай бұрын
Samia alisemaga wanaume nchi hii ni wambea kuliko hata wanaume sisi sasa naanza kuelewa
@afreytonemajidi6909
@afreytonemajidi6909 Ай бұрын
Tunakuona una refresh mind kelele nyingi
@shaddybmc8342
@shaddybmc8342 Ай бұрын
BILION 5.3 😂
@user-md7sd3hk6l
@user-md7sd3hk6l Ай бұрын
anayo pesa uyo sikila siku ana tamba yeye bingwa yeye mjanja kaka kipanya chukua pesa yako mshamba sana uyo
@jumabuckary7698
@jumabuckary7698 Ай бұрын
Masoud kipanya is legend hapa tanzania Hana propaganda mbaya mitandaoni wewe mwaijaku wa juzi tuu mpyaa hapa mjini domo lako limekuponza
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 Ай бұрын
Huyu ni Musiba namba 2. Uchawa una hasara kubwa na maadui wengi
@Bumutz-po2df
@Bumutz-po2df Ай бұрын
Ameyakanyaga 😂
@user-ui1qs9yl1n
@user-ui1qs9yl1n Ай бұрын
ASIYEFUNZWA NA MAMAE HUFUNZWA NA ULIMWENGU MY POINT
@iddikibwana9185
@iddikibwana9185 Ай бұрын
Mdomo umeponza kichwa😂😂😂
@wisperfect5320
@wisperfect5320 Ай бұрын
Kwa hiyo akiomba msamaha na sisi tuamini kuwa siyo kweli😂😂eti jmn
@ChelaChela-i7w
@ChelaChela-i7w Ай бұрын
Oyeeeee😢
@castoagust7073
@castoagust7073 27 күн бұрын
Iv nimeskia vibaya au iv ni milioni au bilion
@frankmwinuka5941
@frankmwinuka5941 Ай бұрын
Hahaha aha mnataka mwijaku aombe radh ili mmpafue vizur hiyo hela masudi anayo au keshaishikaga au ndo ile unaomba kitu ambacho hunaa
@homeofvideos8893
@homeofvideos8893 Ай бұрын
😂😂 watamfira
@twahaanyoni9120
@twahaanyoni9120 Ай бұрын
Hili liwe fundisho kwa machawa wote wamezidi kujitoa ufaham na kuzalilisha watu bora mupeleke uko mahakamani tuu akalipe fine 😂😂😂😂
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg Ай бұрын
Yaan mwijaku mpaka namuonea huruma issue kama iko serious sana Mazoea yawe na mipaka jamani
@williamlukoo4640
@williamlukoo4640 Ай бұрын
DEFAMATION CASE mnyoosheni Mwijaku
@elidiustudoy2640
@elidiustudoy2640 Ай бұрын
Naona uchawa nikaz Yan Unachafua uku Una sifia uku 😅😅😅
@user-od8tg1yt3g
@user-od8tg1yt3g Ай бұрын
mwijaku safi sana funguka
@Oldskulgemini9991
@Oldskulgemini9991 Ай бұрын
Unamtia ujinga mwenzako jela siku hizi zipo nje nje haya😂
@judyngowi391
@judyngowi391 Ай бұрын
Atoe ushahidi sasa, mbuzi nyie
@FredrickMatiku-xf2uk
@FredrickMatiku-xf2uk Ай бұрын
Jamani bilioni 5 mwijaku si watakichukua kile kigorofa chake Cha mkopo watachukua magari yake hadi mke wake na mtoto hadi boxer zake na bado watamdai mpaka roho yake afe kabisa ila kamchafua sana masudi Ile statement madawa ya kulevya kaaribu kizazi wakina Chid benz basi tena pauline zongo hamorapa
@Baira240
@Baira240 Ай бұрын
Watu msitafte kutajirikia kwa watu sasa hiyo b 5 siniutajiri kabisa
@Philosophy219
@Philosophy219 Ай бұрын
Sheria Haina huruma na mtu ndugu, ukikosea watu wanakuumiza tu
@user-ui5xc6sb5m
@user-ui5xc6sb5m Ай бұрын
Mwijaku ukienda kuomba radhi ukipeleka iyo barua umejifunga mwenyewe
@OswardAbdalla
@OswardAbdalla Ай бұрын
Yani huyu chawa mwijaku domo lake utazani alizaliwa njiti siku nikisikia kapelekwa jera sikuhiyi na nitajikamatisha na bange nimfaate keko akivuliwa kusachiwa nione.hipsi lake
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Ай бұрын
Kafanya nini jmn eeh kuna sisi😢😢😢tupo buy na kusaka 😢fulusi
@FatumaShabani-mp9vt
@FatumaShabani-mp9vt Ай бұрын
Yani ata sielew 😢😢😢
@rhamlaally6930
@rhamlaally6930 Ай бұрын
Kwani alisemaje
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 Ай бұрын
KUTAKA KUWAFULAISHA WATU KWA MDOMO MLEFU SASA KIMEMVUDIA😂😂😂
@sambulugu9988
@sambulugu9988 Ай бұрын
Kipanya bhana! Yeye kila leo unazodoa na kudhalili watu wengi pamoja na wanasiasa! Wahenga wanasema mkuki kwa nguruwe! Muda mwingine unasamehe maisha yanaenda! Ndo maana namuonaga siku zote yeye ni mtu wa kujikweza na kujitoa anajua sana vitu! Yote kwa yoye auamzi ni wake! Ila pia ni nafasi ya Mwijaku kujifunza kuwa na nidhani na kiasi kwenye maneno yake!
@gabapentin8070
@gabapentin8070 Ай бұрын
Tatizo sio kipanya tatizo ni taasisi zilizowekeza kwa kipanya izo shutuma zina effect kwa wawekezaji jamaa atakua hana noma ila investors wanatakaaisafishe taasisi
@AllyShaban-ms7ot
@AllyShaban-ms7ot Ай бұрын
Achen utapel nyny
@waziriadam1022
@waziriadam1022 Ай бұрын
Mhhhhh
@patriciacarlo7236
@patriciacarlo7236 Ай бұрын
Mwijaku kakosea, lakini hivi vina njaa
@abdulyibrahim2125
@abdulyibrahim2125 Ай бұрын
Tusingie san nchi za wenzetu kwa hili maan nchi za wenzetu kuna sheria nyingi san lakn hatujawafiki hata kidog,aombe tu msamaha maan watu wengi na viongoz wanandikiwa vibaya kweny mitandao
@Baira240
@Baira240 Ай бұрын
Jakuboy mfate roma hama bongo wanataka kukupoteza hawa😂😂😂
@CasmirKiwale
@CasmirKiwale Ай бұрын
😂😂😂
@bertyjorge5121
@bertyjorge5121 Ай бұрын
Mmmh
@raymondmhozya8894
@raymondmhozya8894 Ай бұрын
B5 😂😂 ahaa
@vanessastafford6426
@vanessastafford6426 Ай бұрын
Alimsema nini Masoud kipanya
@Shuu.A
@Shuu.A Ай бұрын
Hivo mnavozitaja bilion 5 nyie mnazo mnaweza kuzitoa njaa tu zinawasumbua nyote na mwijaku wenu
@user-gy5en6cy8o
@user-gy5en6cy8o Ай бұрын
Mwijaku ana nguvu sana serekal ya tanzania na sijui hii nguvu katoa wapi yaan anaweza fanya kitu yyte na serekal inamuangalia dah ni only tanznian hii mambo 😢😢😢😢😢
@josephmabula9658
@josephmabula9658 Ай бұрын
Angalia ile ishu ya menina aisee
@judyngowi391
@judyngowi391 Ай бұрын
Ni mbaya sana lakini, haitakiwi kuwa hivi
@peninashungu6633
@peninashungu6633 Ай бұрын
Mnaleta ukoron mnatukana watu na kuwadhalilisha tu mna namba za rais, mwijaku uwe na mipaka ya kutafuta kwako pesa sio lazima udhalilishe watu ili upate ubalozi
@madidolla
@madidolla Ай бұрын
Ile ghorofa ni ya B 1.3 sasa kwa fine ya B 5 ni jela au kijijini kwao kazula mimba
@dubai8594
@dubai8594 Ай бұрын
kama sijasikia vizuri alipe B tano au M TANO
@user-xy6ed7ve6r
@user-xy6ed7ve6r Ай бұрын
😂😂😂😂😂 Yani mmekuwa Mahakama kwa kutoa adhabu ya 5B😂😂😂😂😂
@alibachirofficial3939
@alibachirofficial3939 Ай бұрын
Umeona siyo? 5B 😂😂😂😂
@yahyamajidyahyahilalal-har8762
@yahyamajidyahyahilalal-har8762 Ай бұрын
Nashangaa
@judyngowi391
@judyngowi391 Ай бұрын
Semeni nyie basi, mlitaka aloe ngapi
@AdelaideZacariasZacarias-hp8gs
@AdelaideZacariasZacarias-hp8gs Ай бұрын
Yani mwijaku anavyo tikiza nchi utazani yeye ni mungu hivi kwanini lakini? Yani natamani hata sikumoja nisikie amekufa jinsi ninavyo nchukia
@Philosophy219
@Philosophy219 Ай бұрын
Kitu nimegundu wa tanzania wengi hatujui sheria. ila kiukweli ukizingua unaumizwa na sheria vibaya mno, kuna watu wameingia kwenye umasiki kwasababu ya kuvunja sheria
@kagombaEnok
@kagombaEnok Ай бұрын
Safi sana Mwijaku Ana kiherehere kingi
@OchoaHomeDecor_
@OchoaHomeDecor_ Ай бұрын
Tatizo kuropokaa Mdomo komaa 😮
@AllyShaban-ms7ot
@AllyShaban-ms7ot Ай бұрын
Achen utapel
@madaiincubationcenter4947
@madaiincubationcenter4947 Ай бұрын
Anguko la Mwijaku ndio linaweza likaanzia hapa kiuchumi maana yale makampuni yanayompa udhamini kutangaza bidhaa zao hazitafanya hivyo tena kwa vile watu watazipuuzia bidhaa zao kwa vile huyu jamaa ameshapata kashafa ataachwa akae tu Crown
@ndorobocarworks-dx4pf
@ndorobocarworks-dx4pf Ай бұрын
Akafungwe jela mbona babalevo alitumikia maisha ya ngome
@clauschristopher4478
@clauschristopher4478 Ай бұрын
Funga huyoo
@AllyShaban-ms7ot
@AllyShaban-ms7ot Ай бұрын
Hizo billion 5 unazo
@peterlujuo1640
@peterlujuo1640 Ай бұрын
Afungwe tu
@user-yw3qh6qj8g
@user-yw3qh6qj8g Ай бұрын
Huyu mwajabu bilion 5 atainya wapi?
@xxxl-jf2ji
@xxxl-jf2ji Ай бұрын
Safi sanaa huyu mwijaku kiherehere kitamuisha kumanina zake anadhalilisha sanaaa watu
@user-ds3oi3tt8u
@user-ds3oi3tt8u Ай бұрын
Hv inayopanga faini si ni mahakama
@carlosleonard6050
@carlosleonard6050 Ай бұрын
Anaongea ka Lisu
@edmundnkarangu134
@edmundnkarangu134 Ай бұрын
Hata kama Sheria hatuzijui hapo hakuna matusi ya kulipw b5 wametukanw Marais wa nchi sembuse huyu Masoud yeye kama nani yaani na Nyie mawakili mustake kukuza mambo ilimradi tu mpige hela hivyo ni vijembe tu vya mtandaoni kama Masoud alivyotum kwa Mwijaku na yeye akarudish kwahiyo hii ni battle ambayo kimsingi ilitakiwa iishe kimtandao tu basi(Msiba Vs Membe Kiko wapi b6😂😂😂)
@regpane
@regpane Ай бұрын
Unachekesha kweli . . . Subiri uone ndo utajua ni battle ya mtandaoni au ya mahakamani. Kama unadhani hii ni sawa na kesi ya Membe, subiri uone
@starjay3052
@starjay3052 Ай бұрын
unajua sheria au unaropoka
@Oldskulgemini9991
@Oldskulgemini9991 Ай бұрын
Hivi vitu sio vya mitandaoni hii ni vita ya Sheria, Hivi vitu viache kama vilivyo mzaa mzaa mtu anaenda jela achana na mambo ya Sheria mzee
@fredducaunt
@fredducaunt Ай бұрын
Mjinga kweli wewe Raisi sio Mungu wala nn .Ni mtu sawa na omba omba wa mwisho. Kama hakufungua kesi ni yeye kaamua
@yahyamajidyahyahilalal-har8762
@yahyamajidyahyahilalal-har8762 Ай бұрын
​kwani mahakama wametoa hukumu ya billion 5??😂😂😂au maneno ya huyo wakili njaa
@saadabakar7750
@saadabakar7750 Ай бұрын
Anatakiwa kukomeshwa ,amemzoea diamond
@lulurubby2235
@lulurubby2235 Ай бұрын
Nahisi diamond kunasiku atamtolea uvivu kawatukana mpaka akina hadija kopa
@ladislausmoris9638
@ladislausmoris9638 Ай бұрын
Nimke wa diomond ndo sababu jamaa hajali
@lulurubby2235
@lulurubby2235 Ай бұрын
@@ladislausmoris9638 na hadija kopa ,diamond huwa anamuacha sababu anajua ana njaa, akina kajala wote kashawatukana ...huyu mshenzi
@wazirihamisi6484
@wazirihamisi6484 Ай бұрын
Bora afungwe kwakuwa ana sifa sana na ana ropoka sana jamaa mdomo wake auna chupi anakera sana
@babubabz4507
@babubabz4507 Ай бұрын
Basi hata pesa mukipata zitakupeleka wapi upuzi kila mtu huwo ni taama
@ContentSmartphone-rq6po
@ContentSmartphone-rq6po Ай бұрын
Huyu wakojako 😂 pengine sio mtanganyika😂😂😂😂😂😊
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo Ай бұрын
Mkongo huyo. Hapa Kigoma sio kwao pia.Wazazi wake walikimbilia Morogoro
@xxxl-jf2ji
@xxxl-jf2ji Ай бұрын
😂😂😂😂😂🎉
@boscomalangalila
@boscomalangalila Ай бұрын
Amezoea huyo mkomesheni arudi kigoma kwa miguu
@lukehaprimary2574
@lukehaprimary2574 Ай бұрын
Bilioni tano anazo?
@alexjovin2981
@alexjovin2981 Ай бұрын
Ashughulikiwe
@bm4tv602
@bm4tv602 Ай бұрын
Hapo mtajua kwanini Muha Anaishi kigoma mkimfatilia sana jamani kigoma kunauchawi ni hatari utaona mwijaku kaenda kigoma akirudi 😂😂😂😂😂😂😂 haya mtaona tu dar mvua kubwa inanyesha na imeleta mahafa na yatamkuta wakili na Mteja wake
@liberatusjackson5045
@liberatusjackson5045 Ай бұрын
Masudiii ataaga chezea kg
@habibaraphael6583
@habibaraphael6583 Ай бұрын
Lkn tuludi nyuma kipanya hio billion 5 amewai kushika
@barikilangoy4737
@barikilangoy4737 Ай бұрын
Wala tusirudi nyuma tuanzie hapa,kwanza wew umewahi ata kuandika tarakimu za billion 5
@judyngowi391
@judyngowi391 Ай бұрын
Tuanze na wewe milioni moja unewahi kushika
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x Ай бұрын
Kwani amefanyaje huyo mwijaku
@safaribuganga
@safaribuganga Ай бұрын
Ka ghorofa kake atakauza,la sivyo aongeze gharama za uchawa
@farajaphilipo8844
@farajaphilipo8844 Ай бұрын
Mbona kipanya anaga shida jaman tatizo mwijaku anaropokaropoka kama amekunywa maji ya chooni
@habibaraphael6583
@habibaraphael6583 Ай бұрын
Mwijaku anazidi kulopoka afaza akili hikae
Pleased the disabled person! #shorts
00:43
Dimon Markov
Рет қаралды 27 МЛН
Gym belt !! 😂😂  @kauermtt
00:10
Tibo InShape
Рет қаралды 17 МЛН
WHAT’S THAT?
00:27
Natan por Aí
Рет қаралды 14 МЛН
Mercy Mawia's Eulogy.. RIP 💔 😭 Mercy
5:41
Stephen Kasolo Official
Рет қаралды 5 М.
Pleased the disabled person! #shorts
00:43
Dimon Markov
Рет қаралды 27 МЛН