Mwijaku amezidi lopo lopo sana, mi nashangaa hata Diamond amekua akimchukulia powa tu japo anamkashifu sana kwa vitu ambavyo haina ushahidi!
@liberatusjackson5045Ай бұрын
Mshamba 😂😂😂wewe
@KassimAlly-xp4dzАй бұрын
Daimond amefikaje hapa
@davidsonstevenson2653Ай бұрын
Mondi alitaka kumshitaki kipindi kile anasema yule mtoto wa tanasha niwake sababu wamefanana sema alimuomba radhi akaachana na kesi bt jamaa amekua mtu wa kutopoka sana
@peninashungu6633Ай бұрын
Kila wakati amekuwa akiomba radhi kuomba radhi kila wakat kunamtia kiburi huyu apelekwe tu mahakaman
@cryptoboy-5Ай бұрын
HIYO.YA TATU MTEGO MWIJAKU AKIKUBARI AMEISHA
@witnesskagirigiri3763Ай бұрын
PELEKA MAHAKAMANI ILI LIWE FUNDISHO KWA WAROPOKAJI KAMA MWIJAKU.DOTTO MAGARI NA KWA MBALI BABA LEVO.
@sarahkinyashi6213Ай бұрын
Inackitisha sna 🙏🙏🙏🙏kila mzua janga hula na wakwao cjui ndio inavyokuwagaaa🙏🙏🙏
@ms123ruАй бұрын
😂😂😂😂😂 jakuu boy
@michelinemapendo6652Ай бұрын
WOTE WANAJAAAAAA😂😂😂😂
@frankmwinuka5941Ай бұрын
Nipo tofaut sana kifup mwijaku aliongea kwa uchungu na hasira kwa sababu unajua ukishajua nini unafanya kwenye maisha halafu mtu akaja kukupangia au kuzungumza shit lazma upanic ndio kwanza kaz mpya inasiku mtu anatokea na kuanza kuongea utumbo wangap wameshawah kuhama media wakubwa kuliko mwijaku asemwe ivyo? Aisee ukitaka ugombane na mnafiki pata mafanikio 😂
@adrianomaulaga1599Ай бұрын
Shida ni kwamba kipanya hakutaja jina la mwijaku kwenye maelezo yake japo kwa akili za kawaida utasema ni mwijaku ndio anazungumziwa lakini hakutajwa
@khalsasalim7930Ай бұрын
Hata akiuza hili gorofa lake halifiki b5, labda akamuombe mo zile b 20 ampe 5😂😂😂😂
@RamadhanAlly-qg9hqАй бұрын
Uyuu mwijaku apigwee faini tuu
@acecinema19918 күн бұрын
Agansti mtu flani 😅😅😅😂
@KKRR-ze8quАй бұрын
Iyo ninja nawivu 😂😂
@franckmaya4068Ай бұрын
Kipanya Kaza Kamba Hakuna kuregeza Kaka mwijak awe mfano kwa wengne waropokaj🤣🤣🤣
@SHERANasibuАй бұрын
Mashart tyuu kuogaa aaaaaah
@Shadia544Ай бұрын
Kwa nini asifungwe ata miaka miwili tuuu maana anajiamini sana kutukana watu sasa kayatimba kwa masudy afunguwe tuu✌️
@liberatusjackson5045Ай бұрын
Huyo masudiiii😂😂😂 anauchumiiii huo au na ww mzeee bagiiii zauzeeniiii😂😂😂😂😂 mwijaku chawa wa mama samia utamfanya nn kikubwa huyo aache kuuza. Ubhufuma😂😂😂😂😂
@judyngowi391Ай бұрын
Kwahiyo huyo mamako ndio anamtuma atukane watu
@liberatusjackson5045Ай бұрын
@@judyngowi391 hupendiii ukweli
@judyngowi391Ай бұрын
Wewe unajua ukweli upi?
@connan9923Ай бұрын
Kama alivyo sema wakili Mahalani wao itabidi waonyeshe ushahidi wa madhara ambayo masoud ameyapata kutokana na makampuni na influence ambayo alikuwa nayo kupotea Huwezi jua labda alikuwa na mkataba na makampuni kwa zaidi ya miaka kumi,kama hayo makampuni yamesitisha mkataba kwa hiyo matarajio yake ya miaka kumi inakuwa imepotea kama jumla inafika hiyo B. 5 Mahalama itafahakishwa kabla ya kutoa hukumu
@GabrielSky64Ай бұрын
Faida za mdomo. 😂😂
@user-lt1bi5nr1xАй бұрын
Samia alisemaga wanaume nchi hii ni wambea kuliko hata wanaume sisi sasa naanza kuelewa
@afreytonemajidi6909Ай бұрын
Tunakuona una refresh mind kelele nyingi
@shaddybmc8342Ай бұрын
BILION 5.3 😂
@user-md7sd3hk6lАй бұрын
anayo pesa uyo sikila siku ana tamba yeye bingwa yeye mjanja kaka kipanya chukua pesa yako mshamba sana uyo
@jumabuckary7698Ай бұрын
Masoud kipanya is legend hapa tanzania Hana propaganda mbaya mitandaoni wewe mwaijaku wa juzi tuu mpyaa hapa mjini domo lako limekuponza
@upendoeliya9329Ай бұрын
Huyu ni Musiba namba 2. Uchawa una hasara kubwa na maadui wengi
@Bumutz-po2dfАй бұрын
Ameyakanyaga 😂
@user-ui1qs9yl1nАй бұрын
ASIYEFUNZWA NA MAMAE HUFUNZWA NA ULIMWENGU MY POINT
@iddikibwana9185Ай бұрын
Mdomo umeponza kichwa😂😂😂
@wisperfect5320Ай бұрын
Kwa hiyo akiomba msamaha na sisi tuamini kuwa siyo kweli😂😂eti jmn
@ChelaChela-i7wАй бұрын
Oyeeeee😢
@castoagust707327 күн бұрын
Iv nimeskia vibaya au iv ni milioni au bilion
@frankmwinuka5941Ай бұрын
Hahaha aha mnataka mwijaku aombe radh ili mmpafue vizur hiyo hela masudi anayo au keshaishikaga au ndo ile unaomba kitu ambacho hunaa
@homeofvideos8893Ай бұрын
😂😂 watamfira
@twahaanyoni9120Ай бұрын
Hili liwe fundisho kwa machawa wote wamezidi kujitoa ufaham na kuzalilisha watu bora mupeleke uko mahakamani tuu akalipe fine 😂😂😂😂
@AishaHaji-jn7sgАй бұрын
Yaan mwijaku mpaka namuonea huruma issue kama iko serious sana Mazoea yawe na mipaka jamani
@williamlukoo4640Ай бұрын
DEFAMATION CASE mnyoosheni Mwijaku
@elidiustudoy2640Ай бұрын
Naona uchawa nikaz Yan Unachafua uku Una sifia uku 😅😅😅
@user-od8tg1yt3gАй бұрын
mwijaku safi sana funguka
@Oldskulgemini9991Ай бұрын
Unamtia ujinga mwenzako jela siku hizi zipo nje nje haya😂
@judyngowi391Ай бұрын
Atoe ushahidi sasa, mbuzi nyie
@FredrickMatiku-xf2ukАй бұрын
Jamani bilioni 5 mwijaku si watakichukua kile kigorofa chake Cha mkopo watachukua magari yake hadi mke wake na mtoto hadi boxer zake na bado watamdai mpaka roho yake afe kabisa ila kamchafua sana masudi Ile statement madawa ya kulevya kaaribu kizazi wakina Chid benz basi tena pauline zongo hamorapa
@Baira240Ай бұрын
Watu msitafte kutajirikia kwa watu sasa hiyo b 5 siniutajiri kabisa
@Philosophy219Ай бұрын
Sheria Haina huruma na mtu ndugu, ukikosea watu wanakuumiza tu
Yani huyu chawa mwijaku domo lake utazani alizaliwa njiti siku nikisikia kapelekwa jera sikuhiyi na nitajikamatisha na bange nimfaate keko akivuliwa kusachiwa nione.hipsi lake
@faudhiasalum7279Ай бұрын
Kafanya nini jmn eeh kuna sisi😢😢😢tupo buy na kusaka 😢fulusi
@FatumaShabani-mp9vtАй бұрын
Yani ata sielew 😢😢😢
@rhamlaally6930Ай бұрын
Kwani alisemaje
@kilogreekachananawatuwasio4054Ай бұрын
KUTAKA KUWAFULAISHA WATU KWA MDOMO MLEFU SASA KIMEMVUDIA😂😂😂
@sambulugu9988Ай бұрын
Kipanya bhana! Yeye kila leo unazodoa na kudhalili watu wengi pamoja na wanasiasa! Wahenga wanasema mkuki kwa nguruwe! Muda mwingine unasamehe maisha yanaenda! Ndo maana namuonaga siku zote yeye ni mtu wa kujikweza na kujitoa anajua sana vitu! Yote kwa yoye auamzi ni wake! Ila pia ni nafasi ya Mwijaku kujifunza kuwa na nidhani na kiasi kwenye maneno yake!
@gabapentin8070Ай бұрын
Tatizo sio kipanya tatizo ni taasisi zilizowekeza kwa kipanya izo shutuma zina effect kwa wawekezaji jamaa atakua hana noma ila investors wanatakaaisafishe taasisi
@AllyShaban-ms7otАй бұрын
Achen utapel nyny
@waziriadam1022Ай бұрын
Mhhhhh
@patriciacarlo7236Ай бұрын
Mwijaku kakosea, lakini hivi vina njaa
@abdulyibrahim2125Ай бұрын
Tusingie san nchi za wenzetu kwa hili maan nchi za wenzetu kuna sheria nyingi san lakn hatujawafiki hata kidog,aombe tu msamaha maan watu wengi na viongoz wanandikiwa vibaya kweny mitandao
@Baira240Ай бұрын
Jakuboy mfate roma hama bongo wanataka kukupoteza hawa😂😂😂
@CasmirKiwaleАй бұрын
😂😂😂
@bertyjorge5121Ай бұрын
Mmmh
@raymondmhozya8894Ай бұрын
B5 😂😂 ahaa
@vanessastafford6426Ай бұрын
Alimsema nini Masoud kipanya
@Shuu.AАй бұрын
Hivo mnavozitaja bilion 5 nyie mnazo mnaweza kuzitoa njaa tu zinawasumbua nyote na mwijaku wenu
@user-gy5en6cy8oАй бұрын
Mwijaku ana nguvu sana serekal ya tanzania na sijui hii nguvu katoa wapi yaan anaweza fanya kitu yyte na serekal inamuangalia dah ni only tanznian hii mambo 😢😢😢😢😢
@josephmabula9658Ай бұрын
Angalia ile ishu ya menina aisee
@judyngowi391Ай бұрын
Ni mbaya sana lakini, haitakiwi kuwa hivi
@peninashungu6633Ай бұрын
Mnaleta ukoron mnatukana watu na kuwadhalilisha tu mna namba za rais, mwijaku uwe na mipaka ya kutafuta kwako pesa sio lazima udhalilishe watu ili upate ubalozi
@madidollaАй бұрын
Ile ghorofa ni ya B 1.3 sasa kwa fine ya B 5 ni jela au kijijini kwao kazula mimba
@dubai8594Ай бұрын
kama sijasikia vizuri alipe B tano au M TANO
@user-xy6ed7ve6rАй бұрын
😂😂😂😂😂 Yani mmekuwa Mahakama kwa kutoa adhabu ya 5B😂😂😂😂😂
@alibachirofficial3939Ай бұрын
Umeona siyo? 5B 😂😂😂😂
@yahyamajidyahyahilalal-har8762Ай бұрын
Nashangaa
@judyngowi391Ай бұрын
Semeni nyie basi, mlitaka aloe ngapi
@AdelaideZacariasZacarias-hp8gsАй бұрын
Yani mwijaku anavyo tikiza nchi utazani yeye ni mungu hivi kwanini lakini? Yani natamani hata sikumoja nisikie amekufa jinsi ninavyo nchukia
@Philosophy219Ай бұрын
Kitu nimegundu wa tanzania wengi hatujui sheria. ila kiukweli ukizingua unaumizwa na sheria vibaya mno, kuna watu wameingia kwenye umasiki kwasababu ya kuvunja sheria
@kagombaEnokАй бұрын
Safi sana Mwijaku Ana kiherehere kingi
@OchoaHomeDecor_Ай бұрын
Tatizo kuropokaa Mdomo komaa 😮
@AllyShaban-ms7otАй бұрын
Achen utapel
@madaiincubationcenter4947Ай бұрын
Anguko la Mwijaku ndio linaweza likaanzia hapa kiuchumi maana yale makampuni yanayompa udhamini kutangaza bidhaa zao hazitafanya hivyo tena kwa vile watu watazipuuzia bidhaa zao kwa vile huyu jamaa ameshapata kashafa ataachwa akae tu Crown
@ndorobocarworks-dx4pfАй бұрын
Akafungwe jela mbona babalevo alitumikia maisha ya ngome
@clauschristopher4478Ай бұрын
Funga huyoo
@AllyShaban-ms7otАй бұрын
Hizo billion 5 unazo
@peterlujuo1640Ай бұрын
Afungwe tu
@user-yw3qh6qj8gАй бұрын
Huyu mwajabu bilion 5 atainya wapi?
@xxxl-jf2jiАй бұрын
Safi sanaa huyu mwijaku kiherehere kitamuisha kumanina zake anadhalilisha sanaaa watu
@user-ds3oi3tt8uАй бұрын
Hv inayopanga faini si ni mahakama
@carlosleonard6050Ай бұрын
Anaongea ka Lisu
@edmundnkarangu134Ай бұрын
Hata kama Sheria hatuzijui hapo hakuna matusi ya kulipw b5 wametukanw Marais wa nchi sembuse huyu Masoud yeye kama nani yaani na Nyie mawakili mustake kukuza mambo ilimradi tu mpige hela hivyo ni vijembe tu vya mtandaoni kama Masoud alivyotum kwa Mwijaku na yeye akarudish kwahiyo hii ni battle ambayo kimsingi ilitakiwa iishe kimtandao tu basi(Msiba Vs Membe Kiko wapi b6😂😂😂)
@regpaneАй бұрын
Unachekesha kweli . . . Subiri uone ndo utajua ni battle ya mtandaoni au ya mahakamani. Kama unadhani hii ni sawa na kesi ya Membe, subiri uone
@starjay3052Ай бұрын
unajua sheria au unaropoka
@Oldskulgemini9991Ай бұрын
Hivi vitu sio vya mitandaoni hii ni vita ya Sheria, Hivi vitu viache kama vilivyo mzaa mzaa mtu anaenda jela achana na mambo ya Sheria mzee
@fredducauntАй бұрын
Mjinga kweli wewe Raisi sio Mungu wala nn .Ni mtu sawa na omba omba wa mwisho. Kama hakufungua kesi ni yeye kaamua
@yahyamajidyahyahilalal-har8762Ай бұрын
kwani mahakama wametoa hukumu ya billion 5??😂😂😂au maneno ya huyo wakili njaa
@saadabakar7750Ай бұрын
Anatakiwa kukomeshwa ,amemzoea diamond
@lulurubby2235Ай бұрын
Nahisi diamond kunasiku atamtolea uvivu kawatukana mpaka akina hadija kopa
@ladislausmoris9638Ай бұрын
Nimke wa diomond ndo sababu jamaa hajali
@lulurubby2235Ай бұрын
@@ladislausmoris9638 na hadija kopa ,diamond huwa anamuacha sababu anajua ana njaa, akina kajala wote kashawatukana ...huyu mshenzi
@wazirihamisi6484Ай бұрын
Bora afungwe kwakuwa ana sifa sana na ana ropoka sana jamaa mdomo wake auna chupi anakera sana
@babubabz4507Ай бұрын
Basi hata pesa mukipata zitakupeleka wapi upuzi kila mtu huwo ni taama
@ContentSmartphone-rq6poАй бұрын
Huyu wakojako 😂 pengine sio mtanganyika😂😂😂😂😂😊
@GibsonNtamamiloАй бұрын
Mkongo huyo. Hapa Kigoma sio kwao pia.Wazazi wake walikimbilia Morogoro
@xxxl-jf2jiАй бұрын
😂😂😂😂😂🎉
@boscomalangalilaАй бұрын
Amezoea huyo mkomesheni arudi kigoma kwa miguu
@lukehaprimary2574Ай бұрын
Bilioni tano anazo?
@alexjovin2981Ай бұрын
Ashughulikiwe
@bm4tv602Ай бұрын
Hapo mtajua kwanini Muha Anaishi kigoma mkimfatilia sana jamani kigoma kunauchawi ni hatari utaona mwijaku kaenda kigoma akirudi 😂😂😂😂😂😂😂 haya mtaona tu dar mvua kubwa inanyesha na imeleta mahafa na yatamkuta wakili na Mteja wake