Mungu awabaliki mungu aendelee kuwaongezeea zaidi NAMI kwangu ikawe hivi siku moja
@jovinmagali80012 жыл бұрын
Aliyenacho ataongezewa usienacho utanyang'anywa hata kidogo ulichonacho
@bakarimohamedi58142 жыл бұрын
Inshaallah
@dubabaxakatv29932 жыл бұрын
Matajiri duniani wote walikwepa taxes
@mlionea2 жыл бұрын
Pia NAMI nawabariki. Nawe pia Mi mkenya.
@issamkombo7300 Жыл бұрын
@@jovinmagali8001 Wewe una akili na siku utapata
@joramkimario93212 жыл бұрын
Ukitaka kuanza kununua lako ukiwaomba ushauri utasikia biashara ngumuuu.
@noeljudith75552 жыл бұрын
😂😂😂
@cristianmwanja29182 жыл бұрын
Hahahahahaha!
@nyembomajidi30272 жыл бұрын
dhuuuh na ni kweli umuongea
@emmanulvictory5072 жыл бұрын
Sinikwel siutazid kuleta mashindano.niwewe sasa kuuchukua ushsur upambanie kombe unafikiri ata kubal ashuke maana ukiingia ni mnagawana
@issamkombo7300 Жыл бұрын
password haitolewi kirahisi jombaa 😀
@alenimgaya38892 жыл бұрын
Kama wote wamelipa kodi inayostahili hakuna shida tatizo litakuja kama watakuwa wemefanya ukwepaji Kodi inayostahili hapo watanufaika wao tu nasio wananchi kama wamefanya hvyo nawapongeza kiukweli mana hizo niajira pia kwavijana.
@karasuyazidi85472 жыл бұрын
Pole sana kwani hapo wakiajiriwa madereva na wasaidizi je wananchi hawanufaiki mambo ya Kodi we hayakuhusu ukitaka kujua nenda sehemu husika ukaulizie je wamelipa Kodi ofisi ipo wazi
@godwinrespiqus41532 жыл бұрын
Sasa we Kodi inakuhusu Nini ..
@norbertmuze88912 жыл бұрын
Acha wivu
@fatumaomary6110 Жыл бұрын
Aka kajamaa kana wivu kweli si kodi hautuhusu watu wakipata ajira inatosha rohoo mbay tu
@kelvincharles4998 Жыл бұрын
Kodi ikilipwa kihalali mzee biashara inafungwa, ikifungwa watu wanakosa ajira, muwekezaji anawekenza nje ya Nchi, na hiyo kodi inaweza ikakusanywa na miradi ya mandeleo isifanyike 👌
@godfreychitanda2031 Жыл бұрын
Wezi tu hao, hao wote waarabu na marafiki zao ni viongozi wetu, wanaipiga saana nchi yetu wakisaidiana na wastaafu na waliopo madarakani, tunajua yoote
@godfreychitanda2031 Жыл бұрын
Ujinga na upuuzi kujadili utajir wa watu na kuwaona kama miungu watu, ungejua usingeweza kutupia mtandaoni Mambo kama haya, watu wanadhulumiwa sheikh WANGU,
@abuuramadhan80932 жыл бұрын
Wabongo wivu unawasumbua mwenzio akipata muombee dua
@itwaaky752 жыл бұрын
Wabongo tuna akili za kimasikini hatupendi kuona mtu kafanikiwa
@jabirjabir4652 Жыл бұрын
Hatulijui hilo
@fadhilikyandofadhilikyando5666 Жыл бұрын
Hongera zao nas tutapata zetu siku moja
@TitouanMathieuTitouanMathi-b2p4 күн бұрын
Davis Maria Thompson Betty Smith Barbara
@khalidballeth5957 Жыл бұрын
GSM vs SHABIBY ni sawa na kulinganisha na SIMBA SC vs GWAMBINA FC
Usichokijua hao hawajaanza leo kuagiza magari hata wakati magu yupo yaliingia mengi tu usichokijua siku zote kila mtu Mungu kamjaria uwezo wake we una uwezo wa kuwaza matajiri wezi wenzako wanamiliki pesa we endelea kulia huku KZbin
@jumaally24692 жыл бұрын
@@karasuyazidi8547 Wakubwa wakiongea vitu vikubwa ww kaa kmyaa wkt wako bado huna ulijualo wamekimbia kwao yemen ww unajua hilo
@kudramzee5769 Жыл бұрын
Inshallah mwenyezi Mungu nasi atatupa
@kiliantereba65022 жыл бұрын
Ndiyo.maana unasikia sgr kuanza inapigwa danadana tarehe, wakubwa tayari wameshaleta mabasi na malori yao
@itwaaky752 жыл бұрын
SGR ilitakiwa ikamilike 2019 wala sio danadana
@abineljoab18132 жыл бұрын
Nakuunga mkongo
@karasuyazidi85472 жыл бұрын
Sasa sgr inahusiana nini na mtu kuagiza gari zake akili yako ya umasikini ndo inakupa tabu
@maimunashaban95382 жыл бұрын
Hongera sana bos wetu
@sedikomba82852 жыл бұрын
Mambo
@mdalajuliedwimdalajuliedwi4349 Жыл бұрын
Shabby yuko vzr GSM chamtoto
@mwanatz59802 жыл бұрын
Mungu awabariki zaidi .
@aishanassoro83262 жыл бұрын
Izo Gali mbona kipindi Cha magu hazikununuliwa hivi izo zitakuahazijalipia ushuru
@jumanassoro1552 Жыл бұрын
Wasafilishaji wa tanzanight na madawa ya kulevya
@yunusimchala93062 жыл бұрын
Huyu GSM ANAZALISHA AJIRA KWA WATZ KWANI MADEREVA WATAPATA AJIRA NA UKIMCHUKIA GSM SAWA NA KUMCHUKIA MUNGU WAKO MAANA HUMPA AMTAKAE
@chambambuga55872 жыл бұрын
Kwani shabbiby anazalisha ajira kwa wakongo, ushabiki mpaka kwenye mambo ya kijamii. Hakuna asiyezalisha ajira kwa WATANZANIA
@hasaniabdalah61482 жыл бұрын
Usiende mbali huko mungu ni mungu hafananishwi tuwaheshimu waliopewa na mungu ila tusiwafananishe na mungu
@glorychiwala28922 жыл бұрын
Usimlinganishe na Mungu utachapwa wewe
@fatmaalwiy7651 Жыл бұрын
Mashaa llah
@machakayohana92002 жыл бұрын
shabby ametisha GSM ana viduku
@man9daclassic912 жыл бұрын
Shabiby ni zaidi
@lucasmhagama81662 жыл бұрын
Hakuna anayejua nani zaidi kwa sababu hujui
@Tatafati-uk8vy Жыл бұрын
Anaejua aliomjalia kuwa zaidi kama umeumia yy kuwanacho kafie mbele
@sophiasamwel33742 жыл бұрын
Lakini kifo ni kimoja wote tunakaa kimya
@abdibilali41862 жыл бұрын
nikweli ipa duniani wenzetu wanakula bata
@hamzarajabu86742 жыл бұрын
Tafuta hela
@geraldkbona5595 Жыл бұрын
acga kufananisha gsm na vitu vya ajabu ajabu wew
@suleymanimuhamadi1842 Жыл бұрын
Ukiuliza hawa wote ni waislam ,lkn je wameufanyia nn uislam wao , uhalisia uko hivi ( Kile ulichokitoa au ulichokitumia ndio chako ) Allah awajaalie wawe mfano kwenye dini pia
@kiliantereba65022 жыл бұрын
Wameanza tena. Enzi za mzee wetu Magu huu ujinga wa kutambishiana mali haukuwepo, tuliheshimiana kwa kuwa sote ni binadamu. RIP Magu
@itwaaky752 жыл бұрын
Acha akili za kimasikini
@selemaniselemani70142 жыл бұрын
Akili za kimasikini kama mtu mali yake kaipata kwa uhalali kuna shida gani? Kama huna tulia ,
@joellipunge7292 жыл бұрын
Ulimbukeni Tajiri Bakhresa Hana mda huo.
@edinawilliam29432 жыл бұрын
Wako sawa tu kuliko.wangeshindana kuonga
@isacktesha66592 жыл бұрын
Tafuta hela uheshimike ,acha utoto na mawazo ya kifukara
@ikulunimahalipatakatifu76422 жыл бұрын
Safi sana
@nassoronassoro-pc4zp Жыл бұрын
Saa kaka.umatisha
@fatmaalwiy7651 Жыл бұрын
Allah awazidishie
@samwelimbise5208 Жыл бұрын
Daaa kwel
@bonnymbatha84292 жыл бұрын
Huku Town au kijijini, infant nawashangaa am from Kenya
@karasuyazidi85472 жыл бұрын
Pole sana unateseka
@joivon3038 Жыл бұрын
Huko n njee ya mji ndo stendi za bus zilipo unapajua dar we pqlivo na foleni uje uweke stendi mjini au unashangaa ujinga
@kasimally5651 Жыл бұрын
Shabib zinazunguka stand zinaingia na kutoka so zinaonekana nyingi gsm shida
@rashidsultan619 Жыл бұрын
Anunue Volvo Kama anauwezo
@saumsaum1916 Жыл бұрын
Kila kitu kinabaki hapa duniani
@Tatafati-uk8vy Жыл бұрын
Unaonekana usha umia Allah ndio kishambarikia tena hata kama kilakitu kitabaki hapa hapa duniani hata nguo zako pia hutazikwa nazo zitabaki
@damsonwilson52022 жыл бұрын
GSM ni noma Aisee
@abdallahally8422 жыл бұрын
Duh gsm hatarii
@hezronpeterhongoli90602 жыл бұрын
Hata kidonda kikiwa kipyae utasifia ila kilianza toa usaa utaazatangaza donda hili bwana haliponi,,🔥
@justinemathias59872 жыл бұрын
yes ikwo
@mrmeshack2 жыл бұрын
Daah kweli Tanzania kuna wenye vyao
@nardhismhagama6266 Жыл бұрын
Uwaulize hell wametowa wapi mwaka. 67 azimio la Arusha 81 uhujumu uchumi wao wametowa wapi hela mwanamboka iko wapi tango kwacha Tanganyika makampuno ya uchukuzi yoooote yamefilisika mpaka na shilika landege lilifilisika ngoja tuone maana bwana kulikuwa na Scandinavia kiswere the big mayai swaibu ng'olika no charenj fresh yashamba labda sisi wengine hatuna akili
@fakiisaidy Жыл бұрын
Hali ngumu hali ngumu dadeki, wewe ndio huna pesa.
@pioustrevol34682 жыл бұрын
Apoooh tajir n mmoja tyu
@jaklinifaustini42592 жыл бұрын
Heee ndege or bas 😍🙈
@philipobunyomyo51722 жыл бұрын
Sasa unataka tajili mwenye mabilioni yake aishi kama wewe kulia lia ahaha iyo roho ya kichawi
@Tatafati-uk8vy Жыл бұрын
Hiziroho za husuda zinatisha sana yani ukisoma tu comment ya mtu unajua asha umia mtu kuwanacho
@sashoright82132 жыл бұрын
Hii ndege Sasa Kama kwel is gar zipo bongo tumepiga hatua💞💞😂
@karasuyazidi85472 жыл бұрын
Mbona yapo kitambo sana
@privatusjohanes14102 жыл бұрын
GSM Akasome, Apo afui dafu🐱🐱🐱🐱🐱
@saidjumanne39992 жыл бұрын
Thomas seleman
@salumuhamisimjelajelamadib9315 Жыл бұрын
Tajiri wengi hanunui kesho magari wakopa kwa wachina baresa ndio tajiri alinunua Volvo kesho 100
@faudhiasaidi36695 ай бұрын
Kesho au kesh?
@comfortmunuo55452 жыл бұрын
Kweli ila ingekuwa scania ningestuka
@nardhismhagama6266 Жыл бұрын
Ndio kwa maana reli inachelewa
@hamisikisoma27422 жыл бұрын
Ukisikia tunalamba asali ndiyo huku maana hizo Ndinga za GSM Barambara ya darajan kigamboni kama walipita kw kulipa kivuko basi pesa chafu imeachwa pale getini
@jonimarwa597 Жыл бұрын
Huu ubabe ukitoka kwao na kwetu sisi wa hali ya chini tunaanzwa kutishiwa
@elisaraclement82522 жыл бұрын
Gsm gsm
@stephensapp83752 жыл бұрын
Hivi Mabasi Na Njaa Kipi Bora
@petercostakisoka Жыл бұрын
Daah awa mafogo atari sanaa wamechafukwaa
@petermuriithi9480 Жыл бұрын
,ukichiba funika tumbo,tena wañao kula nà uma hawajui wala kwa vidole huchomeka ,wanazema hawatumii akili
@joshualaitei62752 жыл бұрын
Kwa hiyo barabara zinazojengwa kwa Kodi zetu wanamiliki wao wenyewe Pongezi kwao
@karasuyazidi85472 жыл бұрын
Kwani we umekatazwa kumiliki magari hata wao hizo barabara zinawahusu kwani ni wananchi kama wewe akili zako za umasikini
@noahnsubc1666 Жыл бұрын
Una maliza Mb kuangalia magari ya wenzako akat huna hata ist acha upuuzi wew wenzako washatoboa kazi kubishana tu
@johngyunda30942 жыл бұрын
BM lazma ukimbizwe saiv
@emmanuelamos5393 Жыл бұрын
gsm4=shabiby1
@machaggechacha3422 Жыл бұрын
Vyote hivyo vitakwisha.! Kifo kitatawala na kujivuna. Mali ya hujuma na wizi.
@salomemahenge59002 жыл бұрын
Bosi wa dar yanga afiric
@josephsamuel7088 Жыл бұрын
Enzi za uhujumu na upigaji zinerudi
@mussalusinde77162 жыл бұрын
Halafu waañdishi msiwe machawa wa matajili kwakua hamjatoka nnje ya Tanzania mkaona mataili wanavo nunua magali michina mnasifia he mikiona wazambia wanaonunua mascania mavolvo itakuaje ?
@asteriambwei33492 жыл бұрын
Raha Sana jamani nimewafurahia Sana jamani mungu azidi kuwabariki na wengine
@tabithatayarcharles45632 жыл бұрын
Hey
@sasakawagroupone50 Жыл бұрын
Na kwanini uwaombe ushauli huku unamacho unaona mwenyewe
@amospiusngeleja9776 Жыл бұрын
Yangekuaga hayaanguki ingekuaga fahari!
@Tatafati-uk8vy Жыл бұрын
Aliompa atamlinda na hilo bomu mdomo wako hata binadamu huzalliwa na asiishi milele kwahiyo heshimu kujaliwa kwa mtu
@hamisjuma75732 жыл бұрын
Bwana awatie nguvu
@pioustrevol34682 жыл бұрын
Hukutakiwa kucompare hao watu wawili
@yohanagabriel60612 жыл бұрын
Kwaya
@highmedland9280 Жыл бұрын
Km hauna msukule huwezi kutoa lzm ndugu mmoja umtoe denda bila ivo huendi mbingun🥂😂🤰🚀💪
@Tatafati-uk8vy Жыл бұрын
Umezowea ushirikina sasa unataka kusema kila mwenye mali ni shirikina
@sashoright82132 жыл бұрын
Ela znazochangwa pale kwa kuingilia zijenge pembezon kwa ilo jengo kutazid kunoga
@kapondamsita4762 жыл бұрын
GSM GSM GSM GSM GSM GSM GSM
@Tee-King2 жыл бұрын
Jeuri ya pesa au wa2 wanafanya kaz?!!
@charlesmyamba85312 жыл бұрын
Gsm
@suleimanmuhammed13472 жыл бұрын
Sio kama unapo mali hizo ukaona zote zimenuliwa Ana madeni kibao hapo kama wamenunua gari 30 bs zilizo lipiwa gari 7 au 10 zilizo baki utarejesha hela taratibu lakini kwa jiri sio masinyi wa mungu tajiri Kichwa chake kimebeba mizigo mito yenye kilo za shaba
@Tatafati-uk8vy Жыл бұрын
Sasa mbona una mbweka hayo madeni alishakwambia anakopa kulipa umsaidie?
@beatricempinga82242 жыл бұрын
Km Yana vyoo, ugonjwa wa UTI utapamba moto.
@masoudalriyamy62982 жыл бұрын
Madeni tuu hayo mariba yasikushitueni
@jumaa_manandi11492 жыл бұрын
Hv basi moja n kama sh ngapi
@gabrielmdem4271 Жыл бұрын
Laki tisaaa
@selemaniselemani70142 жыл бұрын
Magari mazuri ndani baada ya mwezi kama daladala
@masatumgeta1962 жыл бұрын
Yote 9_10 kwa mo cha mtoto
@kajishijakasabuku Жыл бұрын
Wewe jeuri yako nini hata dagaa wa kwanza ni gumzo mtaani
@marwambagi87962 жыл бұрын
Kampuni iko mkoa gani
@hujacharles2223 Жыл бұрын
Ilo BC linafanya safari za kwenda wapi nkapande?
@rajmkonje71492 жыл бұрын
Hivi mimi sina undugu hata kdg na gsm kweli mbona ka tunafanana kwa mbali?
@jestinaraphael52172 жыл бұрын
😳
@stephanokanyika63212 жыл бұрын
Hizo gari Zinaendaga wapi mbona uku hazipo tunduma Dar
@griffinschire96952 жыл бұрын
Uyo uwa anauza
@jameskabenga82952 жыл бұрын
Jeuri ya pesa au they do their business 😤
@Tatafati-uk8vy Жыл бұрын
Ukifanya masikhara utalazwa chumba cha kuhifadhia sikwa husuda hiyo wacha kwani ww huna kiwili wili unamdomo tu inuka kaoshe hata chooo upate mia yako uwe najeur nayo unaumwa na husuda na mali yamtu
@michaelkessy5740 Жыл бұрын
Biashara ina siri ndani yake. Unafanya biashara kidogo ila hela zinaongezeka bila kujua zinatoka wapi ndio matajiri wakubwa wanafanya michezo hiyo. Ila shabby yuko juu zaidi ya GSM. Bus moja sawa na vichwa 6 hadi 10. #HonMichaelDeusdedityKessy.
@emmanuels.shigela91082 жыл бұрын
Naiomba contact yako kaka
@karimuthedon67612 жыл бұрын
Duuh sio mchezo
@khadijahali4837 Жыл бұрын
Tunawaombea kheri tuu
@elishasolomon97422 жыл бұрын
Kiberti kimewaka chenyewe
@karimabubakary3852 жыл бұрын
Reli kazi ipo
@emmanuelkanyela275 Жыл бұрын
Hyo reli itauliwa tu mwenyewe hayupo JPM
@jenitarthadeus2903 Жыл бұрын
Ujinga huu unafanywa sasa kwanini haukufanyika enzi za JPM
@itwaaky75 Жыл бұрын
Punguza roho mbaya
@masoudalriyamy62982 жыл бұрын
Biashara ya mabasi muwisho wake kufililisika ukitaka usitake
@karasuyazidi85472 жыл бұрын
Mawazo ya umasikini yanakutesa tafuta pesa wewe
@salomemahenge59002 жыл бұрын
Du
@Emedroadtocanada2 жыл бұрын
tajir ni MO tu
@vukotz14912 жыл бұрын
TV ISIYOTUMIA UMEME >>> kzbin.info/www/bejne/g4HNhXh8mNJ-i5o