Kama una hamu ya kujua status zenyewe zilikua zimeandikwaje gonga like
@obinalaurent69225 жыл бұрын
Wenzangu #tokomeza wivu mko wapi jmn mgonge like zenu! Jaman tumkumbuke Mungu ndugu zangu haya yote ni mapito tuu
@captenndunga67455 жыл бұрын
Kama unaamini hao mawifi hawajaolewa kwahiyo huo ni wivu gonga laik twende sawa... kaulimbiu tokomeza wivu.
@mariahamis2195 жыл бұрын
Saaana my
@khneesajumaa20525 жыл бұрын
Nikweli kabisa hawajaolewa
@hadijahalidi13755 жыл бұрын
Kabisaa
@sashababy13215 жыл бұрын
Iyo ni laana ya mke mkubwa km umemfatiria geah uyo bwana harusi ana mke tayari .kilicho fanyika hapo aho mawifi walimkuwadia kakao uyo shoga Yao. Shoga alivyo mnasa kaka mtu ushoga kwa bi mdada ukapungua na kumzibiti kaka wifi roho juu 😂😂😂😂mke mkubwa anachekaje
@captenndunga67455 жыл бұрын
Tokomeza wivu.
@juliusmwinga40514 жыл бұрын
Subhanah Allkah Watu wazima hovyo.Yote sababu ya kutomuhofu Mungu na kukosa la kufanya. #Ni hovyo
@sylviajoseph40815 жыл бұрын
walewenzangu n Mimi wa kusoma comment gonga n like hp
@PetetIgnas5 жыл бұрын
kama unasoma comments na kuangalia huu ujinga huku unacheka nipe like
@goldenesta86495 жыл бұрын
miyeyusho tv 😂😂😂😂😂😂😂Yaniii
@aminashabani91805 жыл бұрын
Hahaaaaaa kwakel huu ujinga
@hawapeter1705 жыл бұрын
miyeyusho tv
@jacksonmwakimonga83295 жыл бұрын
Jmn
@mathnasaeed38065 жыл бұрын
miyeyusho tv hahahahaa
@FatmaMohamed-bz4cj5 жыл бұрын
May Allah forgive you all n show you the ryt path ameen
@lulusimbeye54374 жыл бұрын
Niwivut kama unaamn mawifi waachisha ndoa zawat tujuane.🙏🙏🙏😂😂😂😂
@winbenard55055 жыл бұрын
Mm napita tu kusoma coment km tupo pamoja gonga like twende sawa
@wazirsalum42644 жыл бұрын
Pamoja sana
@aishaaboud44063 жыл бұрын
Hawa kweli wanajua Mungu na siku ya mwisho Inna lillah wainailayhi rajion 😭😭😭😭😭🇰🇪🇰🇪
@judesammy96435 жыл бұрын
Hii yote huletwa na kutokumjua mungu na elimu pungufu ahsanteni
@teddyeward40865 жыл бұрын
Jude Sammy you're right
@praxedadominic98645 жыл бұрын
Fact
@sweetmama68855 жыл бұрын
Kwa kweli. Duh...!
@fatumakweka59505 жыл бұрын
Umenena sana
@winslowzirops35985 жыл бұрын
Kabisa ndugu
@elidamessio6214 жыл бұрын
Kheri ugeuze akili yako kua kamusi ya muongozo wa maisha yako...Mungu tetea kaka zangu wapate wake wema na sio kama hao
@annamkomba5765 жыл бұрын
Daah....wachafu..sura hazina haya..ndio matokea ya kukosa kazi za kufanya..hapo kesho hata mbuni ya kuanzia kesho hawana.
@bjzee19815 жыл бұрын
We hujamsikia mmoja akisema muuza miguu ya kuku
@gloryavelin25835 жыл бұрын
😂😂
@jasheparker82755 жыл бұрын
lol
@rashdhamdun4 жыл бұрын
@@bjzee1981 ahahaha 😂😂😂
@bushbabytz5 жыл бұрын
Kweli Dar nimeamini ni ya Wazaramo! Wanaume wa Dar kwa wanawake hawa hakika wanapata tabu sana.
@luundamoonhajjluunda87645 жыл бұрын
Napenda mauno tu mengine nawaachia wenyewe. All the way from Kenya, MSA.
@azizamuhali55315 жыл бұрын
Luunda Moonhajj Luunda hahahahaha
@mpendahaki_home_decor5 жыл бұрын
"The only weapon that can destroy a world is Education" Ngoja niendelee kumsimamia mwanangu asome ili aondokane na huu ujinga kwa uwezo wa Muumba.
@vivianchawe75615 жыл бұрын
Ni roho mbaya tuu alishindwa kumtafuta mpaka amuaribie.Wanawake tutafute pesa tuachane na ujinga
@mauasalumu67345 жыл бұрын
Vivian Chawe muvi ya gabo
@secylovenessadaa42455 жыл бұрын
Kabisa
@tyriahpaul98935 жыл бұрын
Vivian Chawe
@jumaarabin5815 жыл бұрын
Vivian Chawe swadakta
@lightinesnaumukweka67393 жыл бұрын
Yani jamani mawifi muwe naroho ya mungu nnahila kama nn kanipenda mwenyew vifu wa nn bs njooeni muolew nyie kama bafaidi sana
@rozleeerasto55585 жыл бұрын
Geah nakupenda... Dada
@thetycoon87995 жыл бұрын
Kwamba uswahilini huwa hamna stress, yani nyie mnavuruga tu mtu akikuletea zogo mnavuruga tu 😂😂😂nimeipenda hiyo...😍
@neemaruttaiwa62025 жыл бұрын
Mmmmmmmh ndo maana ctaki kuwajua mawifi namjua mme tuu
@asyadezz19395 жыл бұрын
Allah amstir Ashura inshaAllah,nawote waskilizane tuwe na mwisho mwema💕
@حليمهال-غ1ظ5 жыл бұрын
Tusomeni dini nduguzangu. Hii Dunia tunapitia tu akhera ndiko makazi
@mariamuadam7325 жыл бұрын
kabsa asee
@kautharsalat64495 жыл бұрын
Kweli kabisa ndugu yangu, mwenye mungu akuongoze njia iliyo nyoka
@binthassancollection.63085 жыл бұрын
Allah awaongoze coz hawajui watendalo
@rozleeerasto55585 жыл бұрын
@@mariamuadam732 11qqq1100p1
@annievibes87945 жыл бұрын
@ZAWADI Dadzie hilo lilishasemwa kwenye hadithi wanawake ndiyo wa kwanza kwenda motoni
@jumaarabin5815 жыл бұрын
taayuri tu hao wanao piga kelele sura zina rangi mbili uyo wanao msema mzuri mashalllah
@zamzamahmed57185 жыл бұрын
Any Kenyan here 😂😂😂😂🙊🙊🙊 eeh ndo maana waume zao waja Kuowa Kenya 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@dorahwakio73694 жыл бұрын
Niko apa✋
@haibaali71474 жыл бұрын
Balaa
@mwanamkasisuleimaniikosawa95824 жыл бұрын
Ushasema dada
@rukiamwakuzimu38634 жыл бұрын
Kabsa wadaa umbea tu
@milkamugeni79404 жыл бұрын
Wakenya tunaheshima zetu sio hawa walio jipara wakaa kma utumbo wa pweza 😂😂😂😂😂
@abdulfatahjuma53555 жыл бұрын
kama umeamini pombe si chai gonga like
@aminaselemani4295 жыл бұрын
Abdulfatah Juma wazalamu munakelasana
@saphiaramadhani96355 жыл бұрын
Abdulfatah Juma loioe
@abdulfatahjuma53555 жыл бұрын
Saphia Ramadhani loioe
@RioIpo5 жыл бұрын
Amina Selemani hahaha Wazaramu sie hatuna jema
@magemhina93115 жыл бұрын
jamn
@binthassancollection.63085 жыл бұрын
SUBHANNALLAH!! Allah Awaongoze ya Rabbi . Hawajui watendalo.
@abuuaisha90955 жыл бұрын
Daaah...!!! Makurumbembe utayajua tyu..!! Sura zimekobolewa utadhani dengu.....!! Mishipa imewatoka utadhani mizizi ya miti..!!! Mikorogo imewakoroga hadi wakakorogeka sura utadhani madonda...!!!
mungu ninusuru muda huu bora nikafanye ibada kwa nini wamama tusibadilike
@salmaalimusa5475 жыл бұрын
Mtihani
@safikapufi4225 жыл бұрын
@@salmaalimusa547 kabisa salma
@aishamrsmkunga21435 жыл бұрын
Allah atunusuru kwakweli sheitwani mbaya.
@safikapufi4225 жыл бұрын
@@aishamrsmkunga2143 yani we acha tu ndugu watu tunasubili kiama wakati matendo yetu ndo kiama
@mwajumakoshuma54175 жыл бұрын
Tuombe toba M/Mungu atunusuri
@ladysalimkabora99525 жыл бұрын
Mambo YA kiswazi hayo. Ndugu wa mume ni wa kuishi nao kwa hekima sana Infact hapaswi kufanywa marafiki
@roseedger27784 жыл бұрын
Hakika ndg wamme hawana urafiki
@directorbony1854 жыл бұрын
Mi kweli kabisa huna undugu na sisi unajali tu wakwenu
@عباسعباس-ش9ه4ت4 жыл бұрын
Misungo hao atavitabu hawajui kusomba
@tgati_454 жыл бұрын
Ndugu wa mume wanafikiri ulikotoka ni shida zilikutoa sijui hawa mbwa wapoje
@magrethbbw75245 жыл бұрын
huyo mwenye msauti kama sufuria inakwaruzwa angejiona angejichamba mwenyewe Kwanza,watu wenyewe mikorogo imedunda waswahili bwana wamekosa kazi
@secylovenessadaa42455 жыл бұрын
Haaaaaaaa kabisa mikorogo imedunda haaaaaaaaaa
@leonaidinanamala26995 жыл бұрын
Haziwatoshi
@aisyanamaro96585 жыл бұрын
mmejikoboa mkorogo imedunda hamna lolote
@soniars62545 жыл бұрын
😆😆😆😆😆
@tonypaul91665 жыл бұрын
Hhahaa
@salwasuleiman89435 жыл бұрын
Hawajamdhalilisha biharusi wamejidhalilisha wenyewe na upuuzi wao na hao ma mama watu wazima ovyoo hawana hawanani wakiulizwa hawaungani bora nikose Mali nipate akili duh ujinga mzigo ulimbukeni kazi
@alibinbinali95664 жыл бұрын
mnnnnnnh
@naimawaney16463 жыл бұрын
Allah aniepush mashog kam hawa yarab
@khadijanasoro65105 жыл бұрын
Kwa hali hii ndio maana wanawake tuko wengi Motoni Allah atuongoze yarab
@asnakudra135 жыл бұрын
kusoma jambo muhimu sanaa tuwape elimu watoto zetu jamn
@mammyyassie73225 жыл бұрын
Bora serikali ilihamia Dodoma Dar wamemwaachia Wazaramu wenye mji wao 😅😅😅😅
@tiktoktanzania28325 жыл бұрын
Saba Simba 😂😂😂😂😃😃😃
@rukyiakimolo8025 жыл бұрын
Saba Simba 😂😂😂😂😂😂
@munirayakoub36825 жыл бұрын
Umesema kweli
@mlondagumbiro78905 жыл бұрын
Unadhani hao wote wazaramo
@nestakalabwe20015 жыл бұрын
Saba Simba 😀😀😀😀
@sarafinalaxford75093 жыл бұрын
Hakika Moto wa mungu utaanzia dar🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@khayratmuhamed67305 жыл бұрын
Lol! Mungu aniepushie mawifi km hawa
@هلااهليني5 жыл бұрын
Kabisa
@honeymakeovertzmakeupartis34514 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@janekennedy7475 жыл бұрын
Asante Yesu kwa kuzaliwa Moshi....woi Ngachokaaaa.....
@monicamushi51922 жыл бұрын
Hahahaaa kwaaadeee kyoo
@janethbernady84065 жыл бұрын
Helimu duni ,na kutokumjuwa Mungu du hongereni. Uyo anaejifanya ndio waongeaji wakubwa sura zimewaparama kwa krimu .ni wivu tu umewajaa mwenzenu kupata hifathi
@joharymohammedi89634 жыл бұрын
Janeth Bernady niwasungo
@reubendick40335 жыл бұрын
Jaman tuangalie na familia za kuolewa duuuh gonga like kama unaamini hawa malaya gonga like
@zenamalela80775 жыл бұрын
Makeup ya bi harusii hta bure c pakiii nikalalia🤣🤣🤣 mawifii nao mikorogo imedundaaa jmniii 😂😂😂😂 tafraniii tuu
@RioIpo5 жыл бұрын
Zena malela Hahaha nimecheka full mikorogo
@joycemwakamisa51164 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@sasbinjuma5184 жыл бұрын
Kwa kweli mwenzangu
@saramss72623 жыл бұрын
Judy sammy ubarikiwwwe hahaa
@twllbally9255 жыл бұрын
Subhanallah wanawakeee wana mtihan
@dainesigebo70195 жыл бұрын
Geah mama mjini Kuna mambo duuuuh dar kazi💃💃
@priscalorinius93683 жыл бұрын
Mecheka hadi nalia ..... pole Geah maana sio kwa mishuhuli hiyo mwali....
@nonoplatnum69515 жыл бұрын
Doh jamani wivu mbaya!! Ila makeup ya bi harusi hapana kwakweli
@mmajonnhykenya50345 жыл бұрын
😂😂😂
@rehemamarelo34244 жыл бұрын
Royce Katera mambo
@maryammohd18265 жыл бұрын
Ahsante... Dada Geah
@khamisamursally24705 жыл бұрын
Yaaani sanaaa kabisa vyombo kapata Geah achana na Waswahili 😂😂😂 kweni na ww wifi etu umekuwa mswahili
@fatumasaid99855 жыл бұрын
Wanawake wataingia motoni mafungu kwa mafungu,Mambo ni haya.. SubhanaLlah Mungu awasamehe,ila hamjadhalilisha mtu mmejidhalilisha mwenyeweeee.Puuuuuuu!!!Ovyoooo
@rahisalovely96225 жыл бұрын
Madada mikorogo imekoleaaa midomo sasa waume zenu wanakazi kubwa sanaaa aaah ndomn mafuliko hayaishi jangwani na kigogo afu kutoka apo lazima waloganeeee...Namshukuru Mungu mi mwanamke lkn mambo haya sinaga
@lubatikoseme14465 жыл бұрын
Waume zao ndio walewale
@kokufelix21865 жыл бұрын
Aloooo🤐 kutokuwa na akiri mtihani
@ashajuma9705 жыл бұрын
Uwa libifu wa pesa jamani SubhanaAllah sibora angetoa sadaka.
@babyggg15095 жыл бұрын
Mkorogo pia umewachanganya akili😂
@doreenmakasi28675 жыл бұрын
iron lady
@JBB8755 жыл бұрын
Hahahaha
@alaminabdallah85395 жыл бұрын
Tru
@alaminabdallah85395 жыл бұрын
iron lady mambo vipi
@babyggg15095 жыл бұрын
@@alaminabdallah8539 Poa
@saudahassan66673 жыл бұрын
Allah akutunze ashura na inshaallah kwa uwezo wa mungu ndoa itafungwa
@miriam57355 жыл бұрын
Kama unaamini wifi anataka kutombwa na kaka yake gonga like hapa tujuane
@glorysungura3180 Жыл бұрын
Gea hujambo? Nakutafuta sana. Kuna habari muhimu sana. Nikikuona nitafarijika mno, yawezekana jibu likapatikana.
@ameenaalebri29525 жыл бұрын
Mungu Wang nisamehe ila hawa wamama n wachafu kila kitu tabia sura zao hao n wamama wa bar mwezie kaolewa shida nn
@silverjoseph45775 жыл бұрын
Ameena Alebri haswaaaa
@rahillhamidu25445 жыл бұрын
Wachafu mpaka tabia
@suzanjackson51035 жыл бұрын
Wamejichubua kama nini sura zao mbaya
@furahadavid7665 жыл бұрын
Atareeeh
@mariamvicent73125 жыл бұрын
INNA LILLAHI WAINA ILAYHI RAJIUNI NDO SABABU TUNAAMBIWA WANAWAKE WANGI TUTAINGIA MOTONI NA HAKIKA KILA NAFSI ITAONJA UMAUTI NA HAKITOMFAA MTU SIO WATOTO WALA MALI ZAKE WALA SI NYINYI MARAFIKI ZAKE ISPOKUWA LITALO MFAA YEYE NI AMALI ZAKE NJEMA HAKIKA FANYA UFANYA NA TENDA UTENDALO HAKIKA UTALIPWA KUTOKAKA NA MATENDO YAKO YAA ALLAH TUJAALIE MWSHO MWEMA NA UTUEPUSHE NA ADHABU YA KABUNI
@fatmakiyaka95905 жыл бұрын
Loooh wanamidomo mirefu kama mikundu ya kuku msiyuuuuu....wanawake sie tunaroho mbaya sana ni wivu tuuu
@RioIpo4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@kalssambaboo97054 жыл бұрын
😂😂😂😂
@pendosamwel75115 жыл бұрын
mh hawa wadada wanaongea mpaka mpovu yanawatoka loh geah nakupenda sana piga kazi
@husseinomary44665 жыл бұрын
Status tyu yote hayo yametokea, huo mji anakwenda kuishije hapa Sasa naanza kuamini kua yesu kweli anarud Kisha Anza safar
@ashurakambangwa145 жыл бұрын
Hahahaha khaaa huyo anayemwambia mwenzie mbwa mmmh ye mwenyewe sijui kajiona! Dunia hii khaa
@zuhuramwalimushabani88365 жыл бұрын
Kikubwa ninachojiuliza pesa zinatoka wapi za kufanya haya yote na wanalalamika maisha magum? Mungu wafungue macho waja wako
@husnajohn74665 жыл бұрын
Zuhura Mwalimu Shabani wanaangamia kwa kukosa maarifa
@rozeeroz25155 жыл бұрын
@@husnajohn7466 kweli
@aminasaid74565 жыл бұрын
Zuhura Mwalimu Shabani jnapajua uswazi vizur weye au wapasikia...? Mtu yupo radhi alale njaa kwake lakin akapate kijora cha shughuli!
@صخرهثابته5 жыл бұрын
Mi mwenyewe najiulizaga sana
@salomenachunga35905 жыл бұрын
Wamefungwa ufahamu hhh
@felisterapornary26125 жыл бұрын
Kama wanaona Kaka Yao anafaidi basi waolewe wao😋😋😋😋😋
@keshik53305 жыл бұрын
Waah am Kenyan but this Swahili is too deep for me.
@RioIpo4 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@heyumi23403 жыл бұрын
mngekuwa mnamjua Allah wallah msingefanya hayo YaaaaAllah niepushie na haya ya dunia YaaaaAllah
@latypherngombo10225 жыл бұрын
Mawifi wameumbuka ni wivu tu unawasumbua 🤣🤣🤣🤣 walijua mwenzao hatopata watu, hatopata vitu sherehe haitofana kumpiga chura teke ni sawa na kumuongezea mwendo usikute mwenzao alijiandikia tu wao wakajishtukia mazero brain 😂😂
@leilatmfaume61635 жыл бұрын
Mawifi km hawa wakija kwangu nawapikia chakula na pilipili tele
@venosaphamphili58985 жыл бұрын
Tabia mbaya watu wazima hata haya hamna
@ezeredamwenda72545 жыл бұрын
wanaongea hao
@vennymaxmillian95055 жыл бұрын
Hawa mawifi nyumbu wa manyala , wanautindio wa ubongo,wanawaz kupga felf tu
@HlwomanOman5 жыл бұрын
AlAfu bora awakwenda wange aribu shuguli kulikua na watu na heshima zao
@coftv66435 жыл бұрын
Mungu asante san sikai dar wala sio mzaramo!!!!!!!. Fatuma jiwe/ Ashura maharage.......
@costanciapeter85785 жыл бұрын
mmmhhh!!! mbona ASHURA kazi anayo!! 😂😂😂
@chayogasperi97835 жыл бұрын
Costancia Peter Ashura maji ataita mma , kachokoza wakali wa hizi kazi , wamekodi kigoma kumchamba Ashura tu , uswahilini hakuna stress .
@mathaadam26085 жыл бұрын
Chuma kobeko kaishiwa maneno uwiiiii dunia si mbaya
@subiradalabu66165 жыл бұрын
mambo hayooo
@salamajalina77895 жыл бұрын
Yaan kama Wanalipwa upumbav m2pu
@faithdaniel56525 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@rosaliembarikiwa5924 жыл бұрын
Jamani,wacheni kamati za roho and mbaya. Mwogopeni Mungu. Mabaikoko fanyeni ndani jamani🙈🙈🙈🙈🙈
@cwttnana1285 жыл бұрын
Wauswazi oyeeee Ashura maharage pole mwaya😂😂😂😂😂
@messengersofgodchoir94355 жыл бұрын
Cwtt Nana hhhhhhhh
@yasintamutayabarwa44485 жыл бұрын
Dah! Iyo Kali
@pangarasfuko23835 жыл бұрын
Angalia jilivyojichubua ,rais wetu zuia basi mkologo tuwajue walembo hewa
Dah wanawake wa Tanzania tujitahin kutulia bas ili tupate heshima ktk mataifa mbalmbal jamn ndyo maana Tanzania hatuendle I hv nyiee huwo mda mngeutumia kufanya kaz kuleta uchumi wa Nchi tungelalamika kwel maisha magumu hlf ooh hamna wanaume wa kuoaa mambo yenyew hvyo mhhh Allah tusitir ss wanawake na wasichana wa Tanzania roho inauma Sana dah
@beatriceuiiopleeryjeremiah31185 жыл бұрын
Aliyempaka make up bi harusi mungu anamuona
@kamalissabig86495 жыл бұрын
Geah cha Umbea mamina mmh Dada hapitwi huyo duuh Kaz unayo japo unatupa raha mwenyewe nikiwa cna Kaz nakuja kwenye channel yako nione kuna jipya gan LA mtaa
@zuhuramwalimushabani88365 жыл бұрын
😅😅😅😅😅ila Geha unateseka na uswazi yetu jamani pole na hongera kutuletea haya sie wa mbali tunaendelea kujifunza kupitia uswazi yetu
5 жыл бұрын
Vijembe vimezua balaa!
@omartaty19305 жыл бұрын
Aliye mpodoa bi harusi mbinguni atapaskiya kwangu😁😁😁😁😁
@ummalqitat50915 жыл бұрын
Hahahaha
@gloryavelin25835 жыл бұрын
😂😂
@mamumiyaskitchenvlogs58585 жыл бұрын
😂😂
@rehemaathman5725 жыл бұрын
Hahaaaaa
@mariamsayari78805 жыл бұрын
😂😂😂😂
@subirasanga52762 жыл бұрын
Jaman so kwa ushoga huo! Mbona wana mdharirisha mwenzao. Kwan aliwataja jina. Hii na hata kma bc unge mpa ukwer kwa mda mngine na so hap. Du h! Pole dada wal kuvurugia shuhur
@sarahmsusisarahmsusi3885 жыл бұрын
Mmmh nilikuwa nasikiaga tuu kumbe hayo mambo yapo aiseee kosa vyote ila sio akili
@neemachriss26053 жыл бұрын
kabisaaaa
@saramss72623 жыл бұрын
Waislam haooi
@elewatz804k45 жыл бұрын
No 1 on trending
@bjzee19815 жыл бұрын
Watakatika viuono kwa hasira . Kina mange kimambi ni wengi 😂😂
@ashaali71545 жыл бұрын
😂😂😂
@nambilili42695 жыл бұрын
achen upuuzi achen ubinafs mungu ndo kilaki2 izo Lana munazoziendekeza kesho mtatafta chakujib kwamungu angalieni mnajinadi mnajiona mmeikomoa neema ya Allah Allah awalan mung mjaalie bi alusi inshaallah
@nouhamour5455 жыл бұрын
Bi harusi kama chid benz jaman au macho yangu yanaona vibaya 😂😂
@nasrahassanabioll65593 жыл бұрын
Aweee kwelii 😂 nimecheka hadi bac 🙌
@adelinenziku63585 жыл бұрын
Mawifi wa uswahilin wanakera sanaaaa. ..sema mwanaumee usipojitambua u naeza poteza ndoa yk kwaajil ya ujinga
Biharusi aliempamba mungu anamuona akingia MBINGUNI naandamana sio kwakumpaka unga mwenzie
@asmaafamau83075 жыл бұрын
Inalillah waina ilaihi rajiun
@elizabethtindwa72163 жыл бұрын
Kwa raha zako da geah umbea unauweza
@yunnewangechi40235 жыл бұрын
makubwa uswahilin kam unasoma koment kam mm gonga like😁😂
@zuhuramwawimo9974 жыл бұрын
mawifi uko na mabifu 😅😅😅😅😅😅 natakufa buree na bifu😈😈😈 wakenya ebu nipeni like zenu✋✋✋✋✋✋
@tibekabaka81275 жыл бұрын
Nimecheka mie. Lkn Ashura km ulitoa matusi kwenye status hukufanya vzr acha ,huyo ni wifi yako huwezi jua ya mbele ni anaweza kukusaidia huyo unayemtusi kwa sasa.
@mariamsaidi76255 жыл бұрын
Inalilah waina ilah rajiuun muogopeni mungu Dada zangu kuna kifo baada ya maisha ayooooooo
@zaharamsafiri8255 жыл бұрын
jaman embu tumuogope mungu, sasa mwez mtukufu mambo hayo ya nn embu tusomeni dini
@tibekabaka81275 жыл бұрын
Siku zote yatupasa tutende yaliyo mema mbele za Mwenyezi Mungu na si kusubiri mwezi mtukufu tu peke yake.
@hamastien54395 жыл бұрын
@@tibekabaka8127 swadakt
@vhiedkc8595 жыл бұрын
ZAHARA MSAFIRI kila mwezi mtukufu
@aminakawawa19355 жыл бұрын
Dada geah nakupendaga basi tu
@ashaally69935 жыл бұрын
Uliyempaka Bi harusi make-up mungu anakuona 🙂
@mmajonnhykenya50345 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@ashaally69935 жыл бұрын
@@mmajonnhykenya5034 😆
@abednego38765 жыл бұрын
Nataka Niahmie Dar jmn. Majimama hayo daah..from chuga
@faridamkesso975 жыл бұрын
Duh vituko uswahilini , mjini sikutaki kamwe wacha tu niendelee kulima huku kwetu kijijini
@shamilahasan73445 жыл бұрын
Farida Mkesso
@serbash42125 жыл бұрын
Mimi nimeona ajabu kuyaona haya binadamu wanakoseyana na wanasehemeyana hiyo ndiyo dini na ndiyo ni tabiya nzuri kusameheyana na urafiki unazidi kuwa mzuri sisi ni binadamu ni kawaida kukoseya na kusameheyana kuna watu wanakufa na njaa na nyinyi munachezeya pesa kwa kumfurahisha shetani mungu awaongoze UAE
@faridamkesso975 жыл бұрын
@@serbash4212 kweli kabisa usemayo binadamu tunajisahau sana , Mwenyezi Mungu atuepushe na kila balaa atujaalie mioyo ya upendo
@gloryavelin25835 жыл бұрын
Nilikuja mgeni na sasa nimeshazoea maisha ya uswahilini naitwa mama mangi jamani from Kilimanjaro
@faridamkesso975 жыл бұрын
@@gloryavelin2583 Mama Mangi nikija mjini kushangaa nitakutafuta maana mie pia ni wa Arusha , ila kwa sasa niko Brussels Belgium
@جزجزشكطا5 жыл бұрын
polen sana kwa laana mlonayo
@nusaibahassan58425 жыл бұрын
Dunia Simama Nishuke 😭😭AstghafiruALlah Wanawake Twaelekea Wapi Jamani
@mejumaamwachirero73245 жыл бұрын
Hebu mrudieni mungu Wanamaker waki Tz hii haibu kwenu nyote jameni subhallah
@tanzaniangirl19805 жыл бұрын
Jaman tubaki huku mikoan kwetu😂😂😂😂😂😂😂😂
@sokyagalllus40265 жыл бұрын
ha ha ha,sisi mbona tunaishi nao kitaa,lakn tunaangalia tu yaliyo tuleteta mjini
@chiefmtoto13655 жыл бұрын
Kama umetambua yea hao mawifi hajaolewa na hawampendi WiFi yao,yaaani ni wivu like nyingi kwangu