No video

WALITAKA KUNIUA KUNITUPA KWENYE MAJI | NIMEENDA NCHI 15 KIBAHARIA

  Рет қаралды 24,804

Maximum Tv Online

Maximum Tv Online

Күн бұрын

SAD MOMENTS Ni Kipindi Kilichoandaliwa Maalumu na MAXIMUM TV Kwaajili Ya kugusa maisha ya watu wenye mazingira Magumu Ndani ya Tanzania
kwa Mfano
1 - WENYE MARADHI
2 = WALIOTELEKEZWA NA WATOTO
3 - UNYANYAPAAJI WA KIJINSIA
4 - UBAKAJI
5 - MATUKIO YA KIKATILI
6 - AJALI
7 - KUISHI MAZINGIRA MAGUMU
8 - WAZEE NA WATOTO
___________________________________________________________________________________
KWA HABARI ZA MATUKIO TUPIGIE
Mawasiliano : +255 6254 66848 ( Pia inapatikana na Whatsapp )
Pia Unawezaa kututembelea kwenye kurasa zetu za instagram , Facebook , Telegram
Usisahau Ku-SUBSCRIBE Channel yetu ya MAXIMUM TV Ili Kuwa wakwanza kutazama Matukio Mbali Mbali na Kwa ubora zaidi.

Пікірлер: 46
@anchortechnicx5014
@anchortechnicx5014 2 жыл бұрын
Yaaani Kuna maisha watu wanapitia mpaka unaona wewe umebalikiwa hata kama huna kitu
@Chemba67
@Chemba67 2 жыл бұрын
Maximum Tv .....kuna mshkaji kama mtapata muda mtafuteni ana simulizi nyingi mno za kibaharia ...........waweza nicheki
@josphatmwai1994
@josphatmwai1994 Жыл бұрын
Dan story nzuri sana nangoja ingine. Nairobi Kenya tupo
@saimonkazimotofootball4050
@saimonkazimotofootball4050 2 жыл бұрын
Baharia dani mwana kazimoto bagamoyo safi jeshi
@geofray0132
@geofray0132 2 жыл бұрын
Nilichokipenda kwa huyu jamaa, kila hatua anamtaja Mungu,
@josephjoseph8982
@josephjoseph8982 Жыл бұрын
Uandishi wa habari unakufaa sana mungu akupe maisha marefu
@petermboje5839
@petermboje5839 2 жыл бұрын
Mungu mkubwa uko sawa bro animpambaaji
@omarykaniki3194
@omarykaniki3194 2 жыл бұрын
Wachina ni mbwa nawajuwa awampendi mtu mweusi na shangaa serikali ya bongo wanapenda sana wachina awana mpango
@omarykaniki3194
@omarykaniki3194 2 жыл бұрын
Wambie hao waache ushamba mtu anakwenda kutafuta alafu unamuweka jela kwa nini kwa nini serikali ya tanzania ni yawashamba sana
@charlesgeorge9549
@charlesgeorge9549 Жыл бұрын
Ugonjwa unaitwa burudani daaa mabaharia wanapamba sana Wana risk sana
@kulwarahmu5031
@kulwarahmu5031 2 жыл бұрын
Mmmh nyie maisha Aya ya utafutaji achenii
@florencemlay9333
@florencemlay9333 2 жыл бұрын
Usikate tamaa baharia, baharia hakati tamaa 😀😀😀
@user-yp5mm2pg5s
@user-yp5mm2pg5s 2 жыл бұрын
Wa kwanz mkono Kwa mkono na broo Sky......✌️
@jaquelineirakoze758
@jaquelineirakoze758 2 жыл бұрын
Tunasubiri part 2
@user-zb2mj5nd5g
@user-zb2mj5nd5g 11 сағат бұрын
Maisha yamtafutaji hayana kujipanga bro, maisha hayana fomular nikupambana tu
@chidrashid3797
@chidrashid3797 2 жыл бұрын
Kipind kizur vyema muwe na maik mbili itakua vyema zaid ktk mahojiano ili unaemuhoj bas anakua na ulivu mzur zaid
@boblatino3899
@boblatino3899 2 жыл бұрын
Ukiwa na Roho ya kibaharia uwezi kukata tamaa
@AhmedAli-oq4km
@AhmedAli-oq4km Жыл бұрын
Braza kasema kweli serekali musitufunge tunaporegeshwa
@thabithaji7182
@thabithaji7182 2 жыл бұрын
Blaza wee muomb namba zake nitumie namb zauyo muhuni
@HansMmojammoja
@HansMmojammoja 2 ай бұрын
❤❤❤ good opp travel
@hildadaniel4786
@hildadaniel4786 2 жыл бұрын
Inshalaah utatusua tu
@dadycool5743
@dadycool5743 2 ай бұрын
Jamaa muongo uyu cape town to Kinshasa to olivetambo😅😅😅
@kelvinmasika
@kelvinmasika 2 жыл бұрын
Mara ya kwanza kusikia neno mara ya kwanza mara nyingi hivi…
@LoveStory-ne2ee
@LoveStory-ne2ee 2 жыл бұрын
Pole Sana maisha aya
@hussenimohammedi2820
@hussenimohammedi2820 Жыл бұрын
Hatutaki story za barabarani sisi ma baharia
@ameenaameena1224
@ameenaameena1224 2 жыл бұрын
Watatu leo
@dadycool5743
@dadycool5743 2 ай бұрын
Mmmh kama stor aina uharisia
@MJOMBANIMAMA1977
@MJOMBANIMAMA1977 11 күн бұрын
Oyooo we muongo mm nisharejeshwa sikufungwa we unaondoka bila passports
@miambayankeba1084
@miambayankeba1084 Жыл бұрын
Mimi natafuta Mke wa Tanga wewe unatafuta maisha kweli Dunia Kila mtu na dream yake
@user-yp5mm2pg5s
@user-yp5mm2pg5s 2 жыл бұрын
Milion 20 usingehangaika
@user-du5ny9xn4g
@user-du5ny9xn4g 3 ай бұрын
Hiv huyu jamaa ana mjua nyenga kweli🤣🤣🤣🤣
@agnestanzania2426
@agnestanzania2426 2 жыл бұрын
Mgiriki akupe dollar 1000€ hapo hapo?? Hakuna kitu kama hicho niko ugiriki miaka 5 sasa nawajua vizuri sana...mgiriki ndo mzungu wa mwisho kwa ubahili😂
@ibrahdimpoz5820
@ibrahdimpoz5820 2 жыл бұрын
Yasass
@kuvetamzazi8689
@kuvetamzazi8689 2 жыл бұрын
Humjui Mreno wewe.
@ngangabaraka323
@ngangabaraka323 Жыл бұрын
Sorry agnes unaweza nisaidia number zako
@titochawe3739
@titochawe3739 Жыл бұрын
Ugiriki na uturuki ziko karibu
@titochawe3739
@titochawe3739 Жыл бұрын
Naweza kuja ugiriki kupitia visa ya uturuki
@sheeggy2808
@sheeggy2808 2 жыл бұрын
tuna taka mwendelezo wa dan
@beckooh
@beckooh 7 ай бұрын
Jamaa muongo ni kama amekaa maskan na mabaharia akawa ywaskiza story zao
@beezydundobeezydundo1931
@beezydundobeezydundo1931 2 жыл бұрын
Oya sisi tunajua meli uyo anaongea sana muongo tu elijificha sehemu gani
@revocatuspaulo6716
@revocatuspaulo6716 2 жыл бұрын
Makenge Kama nyie hamkosekani
@talentstv3949
@talentstv3949 Ай бұрын
Burudaniii
@Derevamkongwe6864
@Derevamkongwe6864 2 жыл бұрын
Oya mtafute huyo jamaa upige nae story tena ziwe hata 10 anajua kujieleza sana
@MJOMBANIMAMA1977
@MJOMBANIMAMA1977 11 күн бұрын
Kachukue passport boya weee
@netlity5532
@netlity5532 2 жыл бұрын
Huyu jamaa Nina wasiwasi nae, nadhani ni Big Liar. Anatoa simulizi alizo simuliwa na wenzie na kujifanya yeye
АЗАРТНИК 4 |СЕЗОН 2 Серия
31:45
Inter Production
Рет қаралды 565 М.
At the end of the video, deadpool did this #harleyquinn #deadpool3 #wolverin #shorts
00:15
Anastasyia Prichinina. Actress. Cosplayer.
Рет қаралды 15 МЛН
MPOKI NA WAZAZI WAKE
10:59
CHEKESHA TV
Рет қаралды 12 М.
АЗАРТНИК 4 |СЕЗОН 2 Серия
31:45
Inter Production
Рет қаралды 565 М.