Рет қаралды 4,378
Katika mazungumzo haya na Jenerali Ulimwengu, Kiongozi mpya wa chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu ameeleza kwa kina juu ya safari yake ya kisiasa kwa kuangazia historia yake katika ngazi ya familia, elimu, utumishi wa umma mpaka kuamua kujiunga na ACT Wazalendo mwaka 2014.
Semu ambaye amkuwa mwanamke wa kwanza katika historia ya ACT Wazalendo kushika nafasi hiyo ya uongozi, amezungumzia pia masuala mtambuka kuhusu sera na mwelekeo wa kisiasa wa ACT Wazallendo na taifa kwa ujumla.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.