MBANGA: MAISHA YANACHOSHA/ ULAYA LAZIMA/ NIMEAMUA HIVYO/ UJAMBAZI, MAPENZI/ NILIPAGAWA/ NINAPAMBANA

  Рет қаралды 14,273

Dar24 Media

Dar24 Media

Күн бұрын

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#safari #baharia #mbanga

Пікірлер: 44
@ROBOTBOY-pv7fb
@ROBOTBOY-pv7fb 11 ай бұрын
From kenya connected by madam ❤❤Aisha🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Moviesclip6action
@Moviesclip6action Жыл бұрын
Wa kwanza comment naomba like zangu jaman
@degaragewadoriojapan8968
@degaragewadoriojapan8968 Жыл бұрын
Wapili 2❤
@athumaniomary1245
@athumaniomary1245 Жыл бұрын
Nakubali Mwanetu wa mchele jogoo
@xaverymachumu
@xaverymachumu Жыл бұрын
Mzee wa kabinyau...naenjoy sana kumsikiliza mwamba. Mpee gwara sana mzee wa mbanga
@HashilElhamdan
@HashilElhamdan Жыл бұрын
safi sana hii programme na mpo very creative mlivyofanya kwenye mazingira kama hayo na yapo reality
@mswahilipeople2579
@mswahilipeople2579 Жыл бұрын
Oy napenda San stail yak mwan nakukubali San pamoj sn ❤
@dar24media
@dar24media Жыл бұрын
kipindi hiki kinaruka kila siku ya jumamosi na jumatano, saa nne kamili asubuhi, kama una simulizi/mkasa wasiliana nasi kwa namba..#0653127761
@AbdilatifAbdi-s4y
@AbdilatifAbdi-s4y Жыл бұрын
Namskia princ Balozi 🇨🇦
@KipazaExtraordinary
@KipazaExtraordinary Жыл бұрын
Appreciate the lessons coming out of this. 🇰🇪
@mudathirhussein9557
@mudathirhussein9557 Жыл бұрын
Ametisha sana balozi ni mtu Kweli Kweli Tupo uk 🇬🇧 big love
@lilmg6242
@lilmg6242 Жыл бұрын
Aloo kama movie mtupe ktk kuigiza filamu
@mathiasmsumeno8516
@mathiasmsumeno8516 Жыл бұрын
Mzee wa kabinyau😂😂😂👊🏽👊🏽
@mswahilipeople2579
@mswahilipeople2579 Жыл бұрын
Oy mmb vp samhn San ningeomba sku moja uyo mzee niongee nae man namkubali San tn San mzee wa kokoriko
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 Жыл бұрын
Mama Samia huyo mtu mchukue mpachike katika pozisheni yoyote Ata katika kualimisha vijana🇹🇿🇬🇷✊👊
@jaybrownpendohpendoh5676
@jaybrownpendohpendoh5676 Жыл бұрын
Experience yko bro imenifunza mengi✌️
@DanielJames-of7yr
@DanielJames-of7yr Жыл бұрын
Msosi mzuri du!
@bakariabdallah8702
@bakariabdallah8702 Жыл бұрын
mchizi achoshi kusikiliza
@khaledchadhouli6363
@khaledchadhouli6363 Жыл бұрын
Naimpenda sana
@12322879
@12322879 Жыл бұрын
Naked truth 👏
@kassimsalum1479
@kassimsalum1479 Жыл бұрын
Tupo pamoja dupa 🇧🇷🇧🇷✌️
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 Жыл бұрын
Ulaya ulaya tu
@HarunaShabani-hy8mx
@HarunaShabani-hy8mx Жыл бұрын
jaama khb2
@ramermohamedy4344
@ramermohamedy4344 Жыл бұрын
Uswazi raha sana hata buku 5 haijaisha
@mrishoidd8920
@mrishoidd8920 Жыл бұрын
😂😂😂 sina mengi ya kusema ila na enjoy sana kumsikiliza huyu mwamba
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk Жыл бұрын
Ndio lkn jua kwamba wanawake ulaya wanapangwa na serikali kuhusu ndoa na mahusiano na mgeni na mwenyeji ni tofauti treatment ukija kwenye mgawanyo naona malima kuna vitu vingi hajui...mimi nipo ulaya nyundo kumi na kitu najua maisha ya watu weupe mno maana nina wanangu kibao wameoa na pia utofauti..Na kingine kwenye maisha ya ukimbizi pesa zinazotelewa kwa wakimbizi sio za serikali husika watu wengi hawajui..Bara la Africa linatoa pesa nyingi kuliko mabara yote hivyo hizo pesa wanazotoa zinatoka UN na nchi zetu ndio zimetoa uli kusaidia wageni mfano ndio kama wakimbizi wakienda kwenye nchi nyingine...Hata Africa kuna kambi za wakimbizi lkn pesa inayotelewa ni ndogo kuliko wanachukuwa nchi za ulaya kwa sababu ya unyonyaji lkn huwezi kujua mpaka ufuatilie Hivyo Malima inatikwa ujue hivyo wazungu hawawezi kukupa kitu bure ni propaganda zao lkn pesa nyingi zinatoka Africa...
@awadhisarai4331
@awadhisarai4331 Жыл бұрын
Eeeeh na ndio maana bwana putin yatakuyaondoa
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk Жыл бұрын
Ndio maana yake watu wa magharibi hawafai
@alhadkatundu2142
@alhadkatundu2142 Жыл бұрын
Mzee wa wali sondo
@shabanhaji3812
@shabanhaji3812 Жыл бұрын
Kabinyauuu mnyamweziii sana
@stanastana3199
@stanastana3199 Жыл бұрын
Kabinyau jamaa wa kokoliko,leo anapiga chapati tatu na nyama,umetisha sana
@peacemakerdxb6012
@peacemakerdxb6012 Жыл бұрын
Kabu nyau, Mzee wa Wali jogoo😂
@deodatusfussi3145
@deodatusfussi3145 Жыл бұрын
Huyu jamaa hata kuingiza anaweza mpelekeni kwenye jua Kali huyo Yuko vzur
@mwaka43
@mwaka43 Жыл бұрын
Kweli kabisa Mkuu!! una uwezo mkubwa sana wa kubaini Vipaji .....
@kingssports157
@kingssports157 Жыл бұрын
Woyoooo
@TALLUBOY
@TALLUBOY Жыл бұрын
Kipindi kizuli sanaa
@rukiauwonde7062
@rukiauwonde7062 Жыл бұрын
Akah huyo muuza supu anavyojiamin mikono kushika nyama😂
@saidissa6763
@saidissa6763 Жыл бұрын
Kabunyau
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 Жыл бұрын
Kweli bingwa hivyo vitu vipo watu wanaolewa bongo uletewa mtu mzima kumpisha mototo kwenye kiti cha usafili kitu chakawaida barozi unawapa vitu pafect 😂
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 Жыл бұрын
Balozi mastori hayaishi
@nirerehadidja8266
@nirerehadidja8266 Жыл бұрын
Zee la mchele jogo 😂
@rahimajuma4633
@rahimajuma4633 Жыл бұрын
Mzee mwakudonyoa
@abdulahmanmahalufu9524
@abdulahmanmahalufu9524 Жыл бұрын
Mzee wakokoliko
@rashidyrashidy3923
@rashidyrashidy3923 Жыл бұрын
Magira ....
How it feels when u walk through first class
00:52
Adam W
Рет қаралды 22 МЛН
Я сделала самое маленькое в мире мороженое!
00:43
Кушать Хочу
Рет қаралды 4,5 МЛН
NILIYOYAPITIA GEREZA LA MATESO MSUMBIJI, WANAJESHI KUCHINJA WATU NA KULA KINYESI
52:58
SITAWASAMEHE WAZAZI WANGU WALIAMUA KUNIUA ILI WA..
27:37
Tiki Tv
Рет қаралды 111 М.
How it feels when u walk through first class
00:52
Adam W
Рет қаралды 22 МЛН