#CloudsDigital ipo mubashara kutoka Mikocheni Nyumbani kwa Mbunge wa Geita Vijijini Mhe. Joseph Musukuma
Пікірлер: 95
@user-rv7zt6tj3d Жыл бұрын
Wema hauozi, uaminifu, hard working pay, sharing is caring, never give up na kuwa mkweli.. aloo msukum umeacha funzo jwa vijana wa kileo. 😊
@lucialeonard2675 Жыл бұрын
Hii interview ilibidi afanye na Millard ayo ndo ingekuwa nzur huku mnamkatisha sana kunabaadhi ya vitu tunakosa
@khadijamteganda738 Жыл бұрын
Kabisa
@humbemusa3480 Жыл бұрын
Noted Uaminifu, kupambana bila kukata tamaa, Wema unalipa, kujiamini na ujasiri. Asante Musukuma nimekuelewa wewe mpambanaji
@richardsaidi2448 Жыл бұрын
Hii story ni nzr sanaaa,na ni ukwelii,aliway kuhojiwa na wasaf,maelezo hayajapishana kabisa,big up msukuma
@dilbertalphonce6859 Жыл бұрын
uongo si una ukariri tu
@bworldpro Жыл бұрын
Nimejifunza wema ukifanya unakufuata, na uaminifu ni kitu muhimu nacho kitafuata...Msukuma amebarikiwa
@revocatucamon7439 Жыл бұрын
Msukuma ni very intelligent
@kulvetiaseli3569 Жыл бұрын
interview nzuri sana uyu jamaa inabid ajekugombea urais yup vizuri sana magufuli ajae
@naseershiner67385 ай бұрын
Daah hii interview nimeiludia Mara Tatu ukiachana na ile sku ya kwanza. Naisikiliza kwa radio 2023 but amini menifungua vitu vingi saana vijana wengi walio soma hawajui utofaut wa degree kuibadilisha kuwa lak moja ni kitu kikubwa sana hata msanii #fidq aliwahi sema katika mashail yake kuwa kufanikiwa siyo elimu ni maujanja ujanja frani tu hivi ko Msukuma ni mtu mmoja ambae anapenda kupambana yaan kwa ujumla wasukuma wengi tupo hivyo hata mimi ni hustler 💪🏻 saana japo bado sijafanikiwa ila naamini
@thomasmhindi Жыл бұрын
clouds mnamkatisha sana king.. matangazo mengi sana .jamaa mpeni sku nzima mnawahi kunywa chai2 badala kutugawia hayo madini
@ozcanrawaah6426 Жыл бұрын
Alisema ruge kwenye maisha chakwanz tafuta nafasi ukipa nafasai onyesha uwezo ukionyesha uwezo utatengeneza jina na jina. Ndo litakalo kupa pesa sema sisi vijana tuna jisahau sana ukipat nafasi unatak pesa ndo ifuate that's why Tuna feli sanaa
@stevensostenes7985 Жыл бұрын
Fact
@kinigarm8239 Жыл бұрын
Mimi HUYU jamaa tusimhukumu kwa suala la bandari. He is just a natural talented person. Hebu tutumie kichwa hiki.
@dilbertalphonce6859 Жыл бұрын
kiende wapi?
@mhidinijuma1206 Жыл бұрын
Msukuma is very intelligent......
@mushjosephat Жыл бұрын
Kuna kitu nmekiona hapa "Magufuli alikuwa anaendesha Tax usiku" Dereva anaendesha mchana....Duh
@unclefrance4662 Жыл бұрын
Namuoneaga mbali Sana huyu mwamba hongera kwake iwish one day akawa present
@ramadhanishabani1738 Жыл бұрын
Kama na wewe matangazo yanakuboa nikutakie siku njema..
@user-rv7zt6tj3d Жыл бұрын
Achoongea msukuma ndicho wanachokifanya wachina japani na wahindi, coz wanasoma wanapata elimu na wanaigeuza elimu kuwa pesa na ndio wanafanya vizuri dunia ktk maendeleo duniani.
@LawrenceKakuba-xe5zm9 ай бұрын
Mheshimiwa wewe ni mbunge wa kipekee ,kwa simulizi zako nimejifunza mengi na nimekuelewa vizuri tofauti na nilivyokua nakufikiria awali mheshimiwa mbunge
@humbemusa3480 Жыл бұрын
Nguvu ya kofi daaah haya maisha ni shida sana
@mbelwakyaruzi1493 Жыл бұрын
Dha!!story inafanana na yakwangu kabisa nilipotoka jerq japi bado cjakutana na biashara kubwa ya mamilioni ila naona kabisa naelekea uko,nadhan baada ya magumu uqa ni baraka ila ni kama utamtegemea mungu lakin jitiada pia
@ramadhankombe2643 Жыл бұрын
Kiukwel msukuma asilimia kubwa ndio hua ananimaliziaga bundle langu.yaan namkubali xn,huyo ni mwamba.namfuatilia xn,kwanza hafake maisha,wala kujisifia kitu ambacho hana.kwanza anajiamin hta akiongea ni burudan.big up xn kiongoz.
@erestizacharia4758 Жыл бұрын
Anashida moja tu ya kuunga mkono uzwaji wa bandari yetu, af Cha ajabu alikuwa anawakemea wanaotetea bandari yetu bungeni.
@Amiboy425 Жыл бұрын
Back Town ugweno moja iyo
@yonamfangavo6413 Жыл бұрын
Darasa la saba la kipindi cha msukuma ni elimu ya digrii ya kipindi hiki
@beniegasped7307 Жыл бұрын
Asee mejifunza namna moja sisi wasom tunashndwa kucomvert education into moneyyy
Msukuma ni mtu nzuri Sana Ila kamuombe msamaha spika mstaafu Mr Job Ndugai na kwenye suala la bandari amefichwa ukweli kupitia lugha ya kingereza,Ila angeelewa kilichomo kwenye mkataba Nina imani angeupinga kinagaubaga.
@princebaissa2506 Жыл бұрын
🙏🇹🇿
@hezronvuhahula3839 Жыл бұрын
Akili na elimu ni vitu viwili tofauti
@helpers10 Жыл бұрын
Inabidi uandike kitabu Mheshimiwa! Hii stori ina mafunzo mengi kwa vijana.
@brownkira1332 Жыл бұрын
Naomba millard ayo amuhoji ndo ingeeleweka sana maana story imekatishwa sana
@joshuamuro9494 Жыл бұрын
Pia Kuna mtu wakuitwa Sky Walk ndani ya SnS nimtu hatari kwa interview mcheki ndani ya SnS