Pole Sana Mtumishi Wa Mungu Tupe nafasi ya kuchangia Ila usiuze mali ulionunua kwa kazi ya Injili hilo nalo litapita Mtu wa Mungu Tupo tayari kuchangia kwa garama yoyote.
@franciswanje-o5u2 ай бұрын
Pole sana mtumishi wa Mungu
@elikimuchurchtz7 ай бұрын
Mungu ni mungu mtumishi mbalikiwa usiuze mali ni jaribu linapita sikiliza sauti ya mungu kupitia watu hawa wanao upendo wakukuchangia nami naomba tupe nafasi tuchangie kuonyesha upendo wa mungu kwako
@gracemhagama41087 ай бұрын
Amina Mtumishi wa Mungu. Tuna kuombea wewe na mama yetu Salome Mungu impendeze mupate matibabu ili ktk afya iliyonjema,muweze kumtumikia Mungu wetu.Amina.
@rizikikisigaye39186 ай бұрын
Poleni watumishi wa Mungu! Kwa mapito hayo. Nachojua nikwamba Iko siku mungu atawafuta machozi. Tuko tayari kuchangia kidogo tulicho nacho. Amina.
@berthasindwani9389Ай бұрын
Polen sana mungu awatie nguvu
@pastorbonifacenjiku29557 ай бұрын
Poleni sana watumishi wa MUNGU, tunaweza kuchangia fedha za matibabu bila kuuzwa mali
@YusuphMalale6 ай бұрын
Usiogope mtumishi Mungu aliye kuita kwenye huduma atakupigania
@DanielSafari-wm8ur7 ай бұрын
Pole sana Masihi wa Bwana,Mungu yu upande wako Daima rafiki yangu ,naamin lile alilo kusudia juu yako ww na mke wako lita timia ktk jina la Yesu
@sadockjohn24606 ай бұрын
Pole Sana mtumishe wa mungu aliye haye usiuze gari tutajangia matibab yako majalib hayana budi kutokea
@LovelyChocolateBonbons-ok2ww5 ай бұрын
Mungu akubariki
@fkirumba14633 ай бұрын
Pole sana mtumishi.mimi naomba nikushauri jambo moja.acha kufanya mashindano ya mitandaoni.sio Kila unaloliona unaweza kushindana nalo.mengine onya kwa u pole na upendo alafu maombi ya we mengi kuliko maneno.hizo hela hela na mikiki mikiki ya kesi,mabishani hata inadhuru afya ya familia yako wewe,mkeo hata yaweza dhuru watoto.Tafuteni kuwa na amani na watu wote.ukilifanya hili utaona utakavyopunguza matatizo mengi kwa familia yako Pia nashauri usiuze gari,naamini una waumini wengi na wasio waumini.hao wanaweza kukuchangia fedha ya MATIBABU. MUNGU atutetee mtumishi.
@Hussein_Mustafa_Parmar11 күн бұрын
Kupambana na utawala kule au kutafutwa kama vile Shoga au mwanaharakati wa haki za binadamu au kuwa Sheikh au Pastor kupinga mabaya yao inaweza ikamwangamiza mtu na kumfilisi na ni utawala hatari na wa kidikteta na Shoga hana heshima yeyote kule na wanaonekana na utawala kwamba ni watu waovu na wenye utovu wa nidhamu na tabia mbaya na wahalifu wakubwa na wanafanya uhalifu mkubwa na utovu wa tabia na nidhamu na kinyume na mila kulingana na Serikali na ni wahalifu wakubwa kimila wanatafutwa na kutegewa na kupigwa na kufungwa miaks mingi na kazi kubwa na minyanyaso makubwa na adhabu kama wahalifu wakubwa na wanategewa na kutafutwa kama watu waovu wahalifu sana na wanaofanya mambo ya ovyo na ya uchafu na ya utovu wa nidhamu na tabia mbaya mno kinyume na Mila ya nchi kwa muujibu wa Serikali kule kwa uhakika wanatafutwa kama wahalifu wakubwa na watovu wa nidhamu katika hali ya hatari kuliko dunia ijuavyo katika hali ya hatari wakilipwa wapelelezi waendelee na mambo yao kuona ushoga ni uhalifu wa hali ya juu na wabaya na waovu na watovu wa nidhamu kwa kazi ya intelijensia wanawatafuta na wakiwapata wanawakamata na kupitia wapelelezi wanawatafuta tangu Sera za Marais wote tangu Kikwete na mkapa na Nyerere na Magufuli na samia kama wanavyosema huko watu kwamba wanaowakubali mashoga kule ni mashoga wenyewe tu na ingawa wapo wenye huruma na Mashoga katika raia lakini Serikali hatari sana katika intelijensia wanaona kwamba mashoga na matendo ya ushoga ni utovu wa nidhamu na uhalifu wa hali ya juu na mambo mabaya na yasiyo na nidhamu au heshima na ni uhalifu wa hali ya juu
@ROZITHOMAS-y4q2 ай бұрын
We unawasema watumishi wa Mungu. Unaisema mamlaka. Embu uwe mkimya upigane kiroho.
@ambakisyeevaristo6 ай бұрын
Pole sana watumishi wangu Ni vema tukuchangi
@Tuvibe-z1j6 ай бұрын
Ni huzuni sana baba yangu...tupe nafasi tuchange...kisha nawaalika hapa kwetu kenya kwa baba wetu Evangelist Ezekiel...Mavuweni Kenya
@peacemwesiga6 ай бұрын
Pole mtumishi wa Mungu Mungu awafanyie wepesi
@EliaMhileАй бұрын
Pole sana
@JamesMalale-io1qj7 ай бұрын
Pole sana mchungaji nakuomba uendelee kusimama na mungu usije kubadilisha mawazo hao mashetani hawajui walicho kifanya lakn simama namungu nae hatokuacha kamwe
@MariaNgumbi-z7l6 ай бұрын
Mungu akusimamie katika maisha yako pole sana mtumishi
@richardkiula75227 ай бұрын
Pole sana mtumishi wa Mungu. Pamoja na kwamba nimekuwa nikitoa baadhi ya mambo, lakini katika hili kwa kweli nakupa pole na pia badala ya kuuza gari hiyo ambayo ni nyenzo muhimu katika kufanya huduma, nashauri uruhusu tuchangie matibabu yako na ya mama mchungaji. Nakushauri usije gari. Tumekuwa tukiwachangia watanzania wengi wanaopita katika shida, nawe u mtanzania kama sisi. Mungu awaponye.
@AhimidiweMwaigaga6 ай бұрын
Mungu akusimamamie
@tonyyohana97826 ай бұрын
Mungu awatie nguvu watumishi wa Mungu mama utapona tuu Wenda Mungu anakupima imani barikiweni sana watumishi wa Mungu mpone mapema tumemic huduma yenu mitaan
@SleepyAlpineVillage-yp2sz6 ай бұрын
Mungu wa uzima wangu hujawahi kuniacha hata siku moja nakuoomba ukamponye mtumishi wako hakika umewaponya mataifa ,nakushukuru mungu wangu naamini tayari amepona kuanzia Sasa hivi ameni🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️
@alamagatasanga18056 ай бұрын
Pole sana mtumishi wa Bwana na hili nalo litapita tunamwamini mungu
@JohnMahu-f1g6 ай бұрын
Mungu ni mponyaji ingia ndan ya moyo kw sala Kuna sehm kma ulikosa atakuambia utubu upone mungu asipoingilia ht ukiuza nyumba haitasaidia
@EzaiJaphet6 ай бұрын
Mungu azidi kukuinua zaidi na zaidi maana unayoyapitia yanatuumiza wengi na tunaguswa naamini utabaki kuwa mshindi kwa sababu hata ongea yako inaonyesha ujasir na nguvu ya kushinda . Amen
@MikeNgeno-r5z6 ай бұрын
Praying for you my brother my country love so much Nina imani utashinda pila kuhuza kari ya injili coz yule mungu aliye kupa maono ya kununua pato yuko Amen, karibu Kenya we need your God.
@AmosiMwambene6 ай бұрын
Mungu akutokee Mzee akuponye pamoja na Mama kwa Jina la Yesu kirsto
@belinamwambeleko3707 ай бұрын
Pole sana mtumishi na mama salome. Hakika wew ni ayubu wa kiazi hiki kupitia imani yako kwa mungu wengi tunaona nuru baba mungu hajawacha 🙏
@rashidhassan81566 ай бұрын
Mbarikiwa mdomo ndo umemponza 😅
@JohnsonBagambi6 ай бұрын
Twambie mtumish wa mungu tuchangie matibabu🙏🙏
@IsackMwampashi-jj8wy6 ай бұрын
Pole sana mungu akutetee yote yanapita upo mda bwana atatenda
@KAMANDAGAMALIELI-zp1ni6 ай бұрын
Mbarikiwa acha kuliza watanzania.. ivo vitu kakupa Mungu ili ufanyie kazi yake Sasa kusema unaviuza ili ukatibiwe nijambo linalooumiza sana.. Sikiliza mioyo yawengi bado inakupenda bado ipo nawewe nakuomba weka wazi matibabu yako yanaitaji kiasi gani? alafu nasisi tukuoneshe mioyo yetu kwakujitoa tulicho nacho.. Kama ikipungua basi Uza mali za Mungu nakikizidi basi mpe Mungu utukufu, sisi niwatanzania haiwezekani gari iliyofanyiwa kazi ya Mungu tena katika haki et leo ikanajisiwe.. Mbarikiwa plz tangaza unaitaji kiasi gani hakika Mungu ataenda kukushangaza! plz plz plz uwe free we sema tu alafu tuachie tukushangaze kama haujamrudia Mungu kwa machozi mtu wa Mungu.
Mtumishi mwenzangu pole kwa pito hilo ila ushauri uruhusu kwanza atakayependa kuchangia kama isipotosha mungu atafanya njia nyingine wewe ni wa watu wewe ni wa mungu ni kweli ni afya kuwa na chako lkn ktk hili ruhusu tu watu wawe nyuma yako
@NGUVUYAUKOMBOZITV6 ай бұрын
God bless your life!! Wewe ni Shujaa your David,your Samsoni, My Brother hakika kama nikikombe hakika umekinywea na Bado unakinywea your kamanda simama simama jitahidi simama ushindi uko upande wako. Samahani chuchangishe kwanza fedha isipo tosha ndiyo maamuzi ya chukuliwe lakini Kwa Sasa tuchange kwanza Shujaaaa your shujaaa na kuamini ushindwi kuinuka....
@marykyelu54516 ай бұрын
Polen sana watumishi wa mungu
@lydiamgovano56387 ай бұрын
Pole sana mtumishi wa Mungu, inasikitisha sana, ninakuombea wewe na familia yako. Hayo yote yatapita, utasimama tena hakika utasimama , tuko pamoja tutachangia matibabu na tutaendelea kuomba
@alexmwakisole-gl7mw6 ай бұрын
Mungu aliyewaita atawatetea. Kazi yenu ni ukombozi wa watu wengi katika Taifa hili.
@BahatiMpalanzi7 ай бұрын
Munguatawasaidia musikatetamaa baba
@ugalidona-cs2yn7 ай бұрын
Ni Maumivu juu ya Maumivu, Sema tu MUNGU anayajua yote haya. MUNGU atabaki kuwa MUNGU tu.Amina ❤
@SajoMwakipesile7 ай бұрын
Mungu atabariki tu
@SubiraNkwavu6 ай бұрын
Iko siku Mungu atajitwalia utukufu kwa yote mnayopotia, haijalishi nikwamda gani mtapita❤❤❤
@VIOLETNANDERA-mt8ce6 ай бұрын
mi maoni yangu ni kwamba. ungejaribu na kwa watumishi wenzako pia hasua wenye wako na uezo wakuona katika ulimwengu wa Rohoni. ungelijaribu kuenda kwa mtumishi wa MUNGU mjungaji peter karimu hapo hata ungeweza kupata mali ya Bwana huenda mtasaidika zaidi juu pia naamini kupitia maombi MUNGU atafunua shida penye Iko. hospitalini endeni ila pia jaribu njia zote juu MUNGU anaweza kosa kukufunulia tatizo lako na amfunulie mwingine. na ndani mwangu Nina Imani kuwa utasaidika utakapochukua hatua sahihi. nenda kwa waombaji wenye nguvu na Kila kitu kitakua sawa. MUNGU awabariki nyote na awaponye Amen. ila hiyo hali yako usiikimbilie tu hosi peke nenda kwa watu wa MUNGU wenye nguvu.
@JAMESGASPER-kj5bk6 ай бұрын
Wewe unawajua watumishi wewe
@EmmanuelPatrick-w8n6 ай бұрын
Pole sana MUNGU atawatetea
@AlphonceAlphonce6 ай бұрын
Tupo tayali kuchangia. Mtumishi wa mungu
@GodloveMwandoje6 ай бұрын
Poleni mtumishi kaachiwa mungu mwema
@ChristerShao7 ай бұрын
Kutoa si utajiri bali moyo wa upendo na huruma mungu awswekee mkono wa uponyaji.
@princejosephat83167 ай бұрын
Pole sana mtumishi wa Mungu jaribu lisiktoe kwenye mpango wa Mungu...endelea kumtafta sikio lake sio zito ashindwe kusikia atawaponya kwa Jina la Yesu.
@ebenezerchurchsupremetv94907 ай бұрын
Poleni sana kwa hili inabidi tuungane. Nimesikia huruma sana
@SafariMsafi-um1pz7 ай бұрын
Dotto magari uko wapi....! Changamkia tenda mzee
@christophermwanjoka74067 ай бұрын
Pole sana....Mungu atimize kusudi lake kwenu....Mungu ni baba na itabaki hivyo milele...No matter tunapitia nyakati gani
@Wakwetujitu7 ай бұрын
Mungu akutetee mtumishi ata ayubu alipitia shida
@gadisanga-ee2il6 ай бұрын
Poleee. Na hujakosea saana kutangaza kuuza Gari kunamsemo huwa tunasema chako kikuokoe. Pole sana mama mbarikiwa. Kwakuumwa na kuuza Mali ilionunuliwa najua wamama huwahampendi kuuza chombochandani labda kiwe kibovu lakini kwahki kipya.
@bibishemartha43787 ай бұрын
Usiuze chombo chamungu afathali tupo tayari kwa kuchanga ili utukufu wa mungu ubaki i am from congo 🇨🇩🇨🇩
@joshuajulias82887 ай бұрын
Pole sana mtumishi wa mungu hayo Ni majaribu tu lakini usiuze gari yako Kwanza bora tukuchangie
@Frances-b4k7 ай бұрын
Mtumishi wa Pole sana,kama ningekuwa na uwezo wa kufanya jambo kuhusu AFYA yenu YAANI pesa ya matibabu ningekushauri gari isiuzwe Baba yangu kwakuwa kazi bado inaendelea na Hilo ni jaribu tu,ila utavuka salama
@ElizabethMmary-h6i6 ай бұрын
GOD BLESS YOU MAN OF GOD
@MariamuMchunguz-tx9xk6 ай бұрын
Bei gani mtumishi
@bashirbaruan39696 ай бұрын
Pole sana ndugu yangu mungu awaponye lakini pia akuongozeni ktk njia sahihi yenye mafanikio.
@sarahsamsoncsermak42493 ай бұрын
Tutachangia Kaka
@hilderpatrick77836 ай бұрын
Mungu akufanyie wepesi yeye atamuleta mnunuzi
@KindendendeShadrack6 ай бұрын
Mungu akutie nguvu pole sana
@emanuelpiniel52776 ай бұрын
Sio pole,mchangieni
@pastor.benedictortungaraza95376 ай бұрын
Pole mtumishi usiuze gari taja pesa inayotakiwa kisha weka namba tuchangie
@PriscaChachaMarwa-yp6kq6 ай бұрын
Mungu yupo pamoja nawe mtumishi Mimi ningeshauri utengenese group pesa itapatikana kwa halaka Sana amini hivyo
@bulengepetite60627 ай бұрын
Natowa pole sana tena sana kwa jama yote. Mungu awakubuke. ❤❤❤❤.
@Magrethmakaji6 ай бұрын
Unauza bei gani hiyo canter mtumishi?
@EdaMalamsha7 ай бұрын
Mungu.yu mwema, uponyaji utakuwa nanyi kwa vile tunaamini Mungu hakuachi
@PIUSrafael6 ай бұрын
Pole sana mtumishi yote yatapita tumkumbuke ayubu
@azizabuyonde83686 ай бұрын
Nini kinaendeleya?
@jasmineomary43256 ай бұрын
Pole baba na familia Yako mungu awatetee
@karolshirima89356 ай бұрын
Ni kiasi gani kinahitajika mtumishi...?
@gwantwajoseph55647 ай бұрын
Pole sana ,MUNGU tunae mwabudu akuponye pamoja na mama .
@Elisha-zr8ms6 ай бұрын
Nomba nichangie kichache mchungaji niombe no
@hilderpatrick77836 ай бұрын
Yaan nasikia maumivu makali sana Mungu wetu hashindwi na jambo
@pastormalitiushuhuda99657 ай бұрын
Pole sana mtumishi Mungu, Yesu asimame nanyi wakati huu mahitaji
@Abdallahwinnerdady6 ай бұрын
Sh ngap iyo Noa na hiyo centa?
@fathermore97726 ай бұрын
Ala wakisha pona wanaanza kuhubiri waleteni wagonjwa wapate miujiza ...kwao wenyewe miujiza haifanyi kazi
@leahakuyen-bk2xg6 ай бұрын
Pole sana mtumishi' pesa ya kenya inakuja ngapi?
@Ngorokaenterprises6 ай бұрын
Bei Gani nimeipenda
@AizackKalenge-ro5rc7 ай бұрын
Pole sana Mtumishi,Majaribu yako yamefikia mwisho,Mimi naona Uchungu
@ElifaziHotel6 ай бұрын
Kwani matibabu ni kiasi gani?
@joseesiara90127 ай бұрын
Pole sana mchungaji, bado Mungu yupo upande wako.
@bensonmoris4637 ай бұрын
mtumishelilie mungu awaponye achen hizo asset
@OscaSangu6 ай бұрын
bei ni sh,ngap
@clemenceparokola7 ай бұрын
Jamani mtumishi weka namba yakuchangia,maana mimi sijawahi kukutana na wewe live,ila huwa nabarikiwa sana kwa nyimbo zako na mahubiri. Salome,Mungu atakupinya mimi huwa natamani wanawake wote wangekuwa kama wewe amani ingetawala katika ndoa,unahekima sana dada yangu,toa account tutachangia kwa kadili mungu atakavyo tuongoza
@franktimoth97867 ай бұрын
Mbalikiwa pole sana na hayo mapito lkn mungu anajuwa hayo yote unayoyapitia na ameyaluhusu kwa makusudi yake lkn ninaimani kuna jambo zuri mungu analiandaa ktk maisha yako
@LivingKyamba7 ай бұрын
Pole Mungu afungue milango pesa zipatikane
@JacksonZakayo-tt3jg6 ай бұрын
Kwa Mungu hakuna kuwahi wala kuchelewa mtumishi wa Mungu sema kiasi chamatibabu yako
@REHEMABALTAZARMWANZA7 ай бұрын
Mtumishi je hili gari lingelikuwepo? Acha Mungu Ajashindwa Kutuma Malaika Kukupatia Pesa za Matibabu! Pole na Hongera Wewe ni Mshindi! Mungu Awezi Kukuacha, Ongeza Sublah za Kumngojea na Utulivu Zaidi Utapata Jibu Atakalo Kwambia! Shalom🙏🏻
@hildandumbalo58277 ай бұрын
Poleni sana ndugu zetu watumishi wa Mungu
@MeckitilidaTushabe-or9hu7 ай бұрын
Mungu awaponye mtu Wa Mungu
@MariamNdelwa-h6y7 ай бұрын
Mungu awakumbuke tunawapenda,
@YESU..YUAJA..REPENT..7 ай бұрын
Mtu wa mungu pole sana. Tunazidi kukuombea kila wakati yesu akutie nguvu wewe pamoja na mama. Yeye aliyekutoa gerezani basi anaweza kukuondolea maumivu ya maradhi yoyote bila hats kwenda kwa wataalamu..
@RachelBahahazo7 ай бұрын
Mchangien yesu hawez toa hela za ma tumiz wal ela ya dawa
@frenkfarm11396 ай бұрын
ukimalinza kumuombea tuchange tumusaidie baba mbalikiwa tumutoe eneo alilopo tusiwe wabaya moyo tushiliki kazi ya mungu kwa pamoja 💪
@zakariachomo89166 ай бұрын
Mlungu yupo ntumishi hayo yatapita tuu poleni sana
@iddally10217 ай бұрын
Kama Mungu aliweza kilio Cha Ezekiel na kughairi kifo,Nina amini katika jina la Bwana wa Majeshi,jina lenye nguvu jina lenye uwezo,Juu Yako Baba,utapona na mara dufu utaongezewa,Pita tu baba na kuendelea kukinywea kikombe,kikubwa Mungu unamjua na unaendeleaje kutufundisha