kiukwel kiongozi Mbarikiwa una vita kubwa sana maana umeharibu kazi za wengi (waovu), na katika upiganaji uko mbele ya kikosi, mpaka sasa unaongea jua Mungu yuko na ww. Ee Mungu mhifadhi mtumishi wako Mbalikiwa.
@clevermgedzi47087 күн бұрын
Kwa kazi nzuri unayofanya mbarikiwa tumeanza kuona matunda yake!! Yeyote atakaye kuuwa nchi itavurugika tupo wengi tunayekuelewa!! Endelea kupigania haki zetu
@ulimbombonaulindi50886 күн бұрын
Hahaha, eti nchi itavurugika. Nchi itavurugwa kwenye keyboard?
@gidionYeremia-n5z7 күн бұрын
Mungu alie kufanya uwe na huo ujasili, naamini katika kristo ndie atakae kutangulia mbele, imeandikwa msaada wetu upo katika yeye alie zifanya mbingu na inchi
@joshuasilwimba74977 күн бұрын
Natamani niseme jambo, lakini ni seme pastor kuna mambo unayapitia ningekuwa mimi yangekuwa yameshanishinda tangu mwanzoni. wanadamu wa leo hawataki ukweli ukisema ukweli wanatumia nguvu walizo nazo kukuzima. Ila Mungu wa mbinguni akupiganie pastor hii vita kwa nguvu zako hutaweza. Mungu pekee ahusike na daima tegemeo lako liwe kwa Mungu tu. Mungu akulinde, akutunze daima akuepushe na mikono ya mwovu. 🙏🙏🙏🇹🇿
@simonIbrahim-hc8vm7 күн бұрын
Pole sanaa Mtumishi wa Mungu daah Mbona nchii hii ya hovyo sanaa???? Mimi nakuombea Baba yetu Mungu yupo lakn pole sanaa polee 🙌🙌📖🙌🙌🇹🇿
@simonIbrahim-hc8vm7 күн бұрын
Pamoja na kwamba Mungu ndo mlinz wetu mtumishi Mimi naomba nijitolee Kukulinda nitakufa na mtu! atakayekugusa✊🙌🙌📖🙌🙌
@rebeccamaziku50707 күн бұрын
Mungu yupo pamoja nawe Mbarikiwa usiogope . Hayo yote wanayoganyiwa watu ukatili na unyama Mungu ameona na amesikia maombi yetu. Kisasi cha Mungu kipo njiani. Tuendelè kumwomba Mungu toba ili uovu wa nchi na kuabufu Miungu uondolewe.
@TetwigisJoseph-ef4dq7 күн бұрын
Mungu atakulinda mwakipesile wewe ni mtumishi wa Mungu alive hai ulindwe kwa nguvun ya Yesu kristo
@selemsigala47715 күн бұрын
Mungu atapigana vitayako na ote watakao nyanyua siraha yeyote Mungu atashughurikanao.
@margarethpolepole74387 күн бұрын
Shukuru Mungu Mbarikiwa
@AbelDelaGenese6 күн бұрын
Mbarikiwa ni mtumishi wa Mungu, waovu hujaribu tu kuwapinga wenye haki kwa nguvu zote lakini mwisho wao ni mbaya sana.
@Williamjackson1247 күн бұрын
Kweli
@sifawayesu70795 күн бұрын
Hii ndio Tanzania yetu!!! Mungu aturehemu
@victorkisenha59332 күн бұрын
Ww ni mhubir wa kweli,
@mbelechimakobola88357 күн бұрын
Usihofu Mungu tunayemwabudu atakupigania usijali
@sophiemsuya65075 күн бұрын
Hivi hao wanaoua wenzao, wao hawatakufa jamani. Mungu anawaona na vizazi kumi mbele yao.
@DainaMlelwa3 күн бұрын
Piga injili usiogope wataua mwili cio roho waambie watuwageuke palipo harbka pawe sawa hakuna mtu anayependa ukweli wengi hupenda kusifiwa hata uovu
@GaboGabby7 күн бұрын
DAH😢 KWELI MBARIKIWA KUNA HATARI KUBWA SANA UKIRUDI GEREZANI... ALICHOKIANZISHA MUNGU NDANI YAKO AKITIMILIZE.
@titonsimbazi55326 күн бұрын
Huyu kijana atakuja kuraniwa hatakuja asahau, ameingia kwenye vita asiyo ijua na asiyo iweza. MUNGU atamuazibu majuto ni mjukuu.
@jacksoncharles54117 күн бұрын
Ameen ❤❤❤❤❤
@nabii-zc1hm7 күн бұрын
Hizo sounds effect vinanda nana ondoa au punguza sauti kabisa
@DaudiMakaza3 күн бұрын
Tatizo we mzee umemuach mung unapend mitandao
@Mbarikiwa_Mwakipesile3 күн бұрын
Wewe umemuachia nani na unapenda nini?
@SeverinaNgema6 күн бұрын
Hata mimi nmshangaa huyu kijana yanamhusu nini hizo ni mbio za sakafuni .....atapotea yeye Wala si mtumishi wa Mungu Mbarikiwa yeye ahusike na ndugu au na nani?ni mfa maji ahachi kutapatapa nasema Mungu yupo tuliyembeba ni mkuu kuliko miungu yake nafuta ndoto za kurudi gerezani au kupotea
@gidionYeremia-n5z7 күн бұрын
Huyo kijana ole wake ajichanganye. Walokole wengine ss sio wajinga na wapole kiasi hicho ,mchungaji wetu akipotea atajua kua ss nasi tunamyoyo! Aache ujinga wake asije akapotea yeye mwenyew!!!
@GabrielPetro-qj2mk6 күн бұрын
BABA wewe ni shujaa wa Imani
@SeverinaNgema6 күн бұрын
Baba panmbana kusonga mbele Bwana akiwa upande wako nani aliye juu Yako hakuna kabisa nihao si mtumishi wa Mungu haurudi Kwa jina la Yesu anajidanganya huyo mc namchukia
@OptionsLimited-l4s6 күн бұрын
Waefeso 6 : 12 kwa maana vita vyetu
@obadiambilinyi276 күн бұрын
Tatizo lako hujasoma Mh 7:16, Gal 5:22-26 na 1Sam 17..... Biblia unaitekeleza kwenye maandiko uliyochagua wewe tu