Mbarikiwa HATARINI. polisi Mbeya wanafanyia kazi kwa kusuasua malalamiko yake.

  Рет қаралды 7,880

Kikosi kazi cha injili🎖

Kikosi kazi cha injili🎖

Күн бұрын

Пікірлер: 31
@johnkaliwanje434
@johnkaliwanje434 7 күн бұрын
kiukwel kiongozi Mbarikiwa una vita kubwa sana maana umeharibu kazi za wengi (waovu), na katika upiganaji uko mbele ya kikosi, mpaka sasa unaongea jua Mungu yuko na ww. Ee Mungu mhifadhi mtumishi wako Mbalikiwa.
@clevermgedzi4708
@clevermgedzi4708 7 күн бұрын
Kwa kazi nzuri unayofanya mbarikiwa tumeanza kuona matunda yake!! Yeyote atakaye kuuwa nchi itavurugika tupo wengi tunayekuelewa!! Endelea kupigania haki zetu
@ulimbombonaulindi5088
@ulimbombonaulindi5088 6 күн бұрын
Hahaha, eti nchi itavurugika. Nchi itavurugwa kwenye keyboard?
@gidionYeremia-n5z
@gidionYeremia-n5z 7 күн бұрын
Mungu alie kufanya uwe na huo ujasili, naamini katika kristo ndie atakae kutangulia mbele, imeandikwa msaada wetu upo katika yeye alie zifanya mbingu na inchi
@joshuasilwimba7497
@joshuasilwimba7497 7 күн бұрын
Natamani niseme jambo, lakini ni seme pastor kuna mambo unayapitia ningekuwa mimi yangekuwa yameshanishinda tangu mwanzoni. wanadamu wa leo hawataki ukweli ukisema ukweli wanatumia nguvu walizo nazo kukuzima. Ila Mungu wa mbinguni akupiganie pastor hii vita kwa nguvu zako hutaweza. Mungu pekee ahusike na daima tegemeo lako liwe kwa Mungu tu. Mungu akulinde, akutunze daima akuepushe na mikono ya mwovu. 🙏🙏🙏🇹🇿
@simonIbrahim-hc8vm
@simonIbrahim-hc8vm 7 күн бұрын
Pole sanaa Mtumishi wa Mungu daah Mbona nchii hii ya hovyo sanaa???? Mimi nakuombea Baba yetu Mungu yupo lakn pole sanaa polee 🙌🙌📖🙌🙌🇹🇿
@simonIbrahim-hc8vm
@simonIbrahim-hc8vm 7 күн бұрын
Pamoja na kwamba Mungu ndo mlinz wetu mtumishi Mimi naomba nijitolee Kukulinda nitakufa na mtu! atakayekugusa✊🙌🙌📖🙌🙌
@rebeccamaziku5070
@rebeccamaziku5070 7 күн бұрын
Mungu yupo pamoja nawe Mbarikiwa usiogope . Hayo yote wanayoganyiwa watu ukatili na unyama Mungu ameona na amesikia maombi yetu. Kisasi cha Mungu kipo njiani. Tuendelè kumwomba Mungu toba ili uovu wa nchi na kuabufu Miungu uondolewe.
@TetwigisJoseph-ef4dq
@TetwigisJoseph-ef4dq 7 күн бұрын
Mungu atakulinda mwakipesile wewe ni mtumishi wa Mungu alive hai ulindwe kwa nguvun ya Yesu kristo
@selemsigala4771
@selemsigala4771 5 күн бұрын
Mungu atapigana vitayako na ote watakao nyanyua siraha yeyote Mungu atashughurikanao.
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 7 күн бұрын
Shukuru Mungu Mbarikiwa
@AbelDelaGenese
@AbelDelaGenese 6 күн бұрын
Mbarikiwa ni mtumishi wa Mungu, waovu hujaribu tu kuwapinga wenye haki kwa nguvu zote lakini mwisho wao ni mbaya sana.
@Williamjackson124
@Williamjackson124 7 күн бұрын
Kweli
@sifawayesu7079
@sifawayesu7079 5 күн бұрын
Hii ndio Tanzania yetu!!! Mungu aturehemu
@victorkisenha5933
@victorkisenha5933 2 күн бұрын
Ww ni mhubir wa kweli,
@mbelechimakobola8835
@mbelechimakobola8835 7 күн бұрын
Usihofu Mungu tunayemwabudu atakupigania usijali
@sophiemsuya6507
@sophiemsuya6507 5 күн бұрын
Hivi hao wanaoua wenzao, wao hawatakufa jamani. Mungu anawaona na vizazi kumi mbele yao.
@DainaMlelwa
@DainaMlelwa 3 күн бұрын
Piga injili usiogope wataua mwili cio roho waambie watuwageuke palipo harbka pawe sawa hakuna mtu anayependa ukweli wengi hupenda kusifiwa hata uovu
@GaboGabby
@GaboGabby 7 күн бұрын
DAH😢 KWELI MBARIKIWA KUNA HATARI KUBWA SANA UKIRUDI GEREZANI... ALICHOKIANZISHA MUNGU NDANI YAKO AKITIMILIZE.
@titonsimbazi5532
@titonsimbazi5532 6 күн бұрын
Huyu kijana atakuja kuraniwa hatakuja asahau, ameingia kwenye vita asiyo ijua na asiyo iweza. MUNGU atamuazibu majuto ni mjukuu.
@jacksoncharles5411
@jacksoncharles5411 7 күн бұрын
Ameen ❤❤❤❤❤
@nabii-zc1hm
@nabii-zc1hm 7 күн бұрын
Hizo sounds effect vinanda nana ondoa au punguza sauti kabisa
@DaudiMakaza
@DaudiMakaza 3 күн бұрын
Tatizo we mzee umemuach mung unapend mitandao
@Mbarikiwa_Mwakipesile
@Mbarikiwa_Mwakipesile 3 күн бұрын
Wewe umemuachia nani na unapenda nini?
@SeverinaNgema
@SeverinaNgema 6 күн бұрын
Hata mimi nmshangaa huyu kijana yanamhusu nini hizo ni mbio za sakafuni .....atapotea yeye Wala si mtumishi wa Mungu Mbarikiwa yeye ahusike na ndugu au na nani?ni mfa maji ahachi kutapatapa nasema Mungu yupo tuliyembeba ni mkuu kuliko miungu yake nafuta ndoto za kurudi gerezani au kupotea
@gidionYeremia-n5z
@gidionYeremia-n5z 7 күн бұрын
Huyo kijana ole wake ajichanganye. Walokole wengine ss sio wajinga na wapole kiasi hicho ,mchungaji wetu akipotea atajua kua ss nasi tunamyoyo! Aache ujinga wake asije akapotea yeye mwenyew!!!
@GabrielPetro-qj2mk
@GabrielPetro-qj2mk 6 күн бұрын
BABA wewe ni shujaa wa Imani
@SeverinaNgema
@SeverinaNgema 6 күн бұрын
Baba panmbana kusonga mbele Bwana akiwa upande wako nani aliye juu Yako hakuna kabisa nihao si mtumishi wa Mungu haurudi Kwa jina la Yesu anajidanganya huyo mc namchukia
@OptionsLimited-l4s
@OptionsLimited-l4s 6 күн бұрын
Waefeso 6 : 12 kwa maana vita vyetu
@obadiambilinyi27
@obadiambilinyi27 6 күн бұрын
Tatizo lako hujasoma Mh 7:16, Gal 5:22-26 na 1Sam 17..... Biblia unaitekeleza kwenye maandiko uliyochagua wewe tu
'Matokeo ya Uchunguzi kuhusu kupigwa kwangu risasi bado mpaka leo'
51:24
BBC News Swahili
Рет қаралды 35 М.
Секрет фокусника! #shorts
00:15
Роман Magic
Рет қаралды 102 МЛН
Girl, dig gently, or it will leak out soon.#funny #cute #comedy
00:17
Funny daughter's daily life
Рет қаралды 13 МЛН
Фейковый воришка 😂
00:51
КАРЕНА МАКАРЕНА
Рет қаралды 7 МЛН
🔴LIVE : IBADA YA MPENYO WA KIFEDHA NA NABII KIBOKO YA WACHAWI :Whatsap +243 819 201 199
2:26:54
GWAJIMA ATAJA watekaji, BILA UOGA Ataja MAJINAAAAAAAAAAA
13:23
MALAVIDAVI Kenya
Рет қаралды 136 М.
Wachungaji zaidi wazidi KUCHAFUKWA. ROLINGA ATOA LAANA KUBWA KWA WATEKAJI
13:08
Kikosi kazi cha injili🎖
Рет қаралды 12 М.