mbele ya Rais samia Mwabukusi ashindwa kuvumilia juu ya watuhumiwa "huyu ni mchawi hatumtaki,

  Рет қаралды 18,418

Linconmedia

Linconmedia

Күн бұрын

Пікірлер: 31
@hamisimsosi6237
@hamisimsosi6237 8 сағат бұрын
Huyu mwamba siku chache za nyuma alikuwa wapi mimi binasi namkubali mwabukusi uko vizuri sana hongera zako❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥👏👏👏👏👏👏👏👏😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
@HamzaOthaman
@HamzaOthaman 7 сағат бұрын
Asante wakili wetu❤
@ikupamwaisoba2068
@ikupamwaisoba2068 4 сағат бұрын
Mungu uliye hai mlinde huyu kijana mfunike kwa damu ya Yesu awe salama kwa ajili ya kujenga Nchi❤
@WillfredyMollel
@WillfredyMollel 8 сағат бұрын
Hongera mawakili kazeni buti
@HamzaOthaman
@HamzaOthaman 7 сағат бұрын
Upo nzuri kka ❤
@norbertmbena5896
@norbertmbena5896 6 сағат бұрын
Tunahitaji akina MWABUKUSI WENGI nchi ipone Mungu akutetee
@TheodoraAnatory
@TheodoraAnatory 9 сағат бұрын
Muulize Muheshimiwa, kwanini watu wanawekwa sero kabla ya kuhukumiwa, alafu baadaye inaonekana hana kosa. Kwanini asilipwe fidia ya muda aliokaa ili kukomesha jambo hili.
@yahsavechassala1037
@yahsavechassala1037 8 сағат бұрын
muheshimiwa kwenye vifurushi kuna dhuluma sana Tanzania Selikali iingilie kati kama hawana maslahi ndani yake Tutaona mabadiliko makubwa
@NungulaRais
@NungulaRais 4 сағат бұрын
Saf sana kiongoz
@AllyMandunda-tj9jc
@AllyMandunda-tj9jc 6 сағат бұрын
Hawa wapo wachache sana Akina Lssu na Akina mwabukisi
@eatlawe
@eatlawe 7 сағат бұрын
Rais wa Tanganyika huyo akitetea haki ya Wataganyika!
@bayyohunki5640
@bayyohunki5640 9 сағат бұрын
🙏👍
@estachengula3902
@estachengula3902 9 сағат бұрын
Asante mwambukusi upo vizuri
@mangobase
@mangobase 7 сағат бұрын
Huyu ni akili siyo Lisu... 😂
@breymbasa3451
@breymbasa3451 4 сағат бұрын
Lisu unamuonaje wewe yule ni msomi pia sheria imelala pale jiulize kuna kiongozi Tanzania kashawahi kukamatwa na kupewa mikesi ya ajabu ajabu kama lisu? hujiulizi kwanini wanachemka kumfunga ama Kumtoza Faini kubwa Lile ni jitu shauri yako ohooo
@DANIELMANGALA-d8e
@DANIELMANGALA-d8e 4 сағат бұрын
Kumpata mwengine kam huy kwakweli tanzn itafanan km Y m.g shida ni moja watazn n wawog San kuongeya ukweli inakuwag inamishindak sn
@TheodoraAnatory
@TheodoraAnatory 9 сағат бұрын
tcra kazi yake ni kukata mawasiliano endapo anayeongea hamsifu rais
@MirajiOmary-jm7wc
@MirajiOmary-jm7wc 8 сағат бұрын
nimekusikiliza kwa umakini kwakwel unaongea point tupu
@GabrielKirango
@GabrielKirango 6 сағат бұрын
Kiongozi wa jumuiya ya mafarisayo mnaelewa anachomwambia KAISARI kwa maoni yangu.Ameacha ya msingi analitafutia tumbo lisilo na shukurani.Zaidi litautia utu wako Aibu.Eti wasomi.
@YueniWilingtonnsyukwe
@YueniWilingtonnsyukwe 9 сағат бұрын
Fanyeni mnavyoona inatakiwa. Sisi sio wasomi
@aliferuzi1537
@aliferuzi1537 6 сағат бұрын
YUKO SAHIHI HOTUBA YAKE HUYU ANGEENDANA NA MAGUFULI.
@YourMoor-px1rd
@YourMoor-px1rd 2 сағат бұрын
NI KWELI KABISAA MAKUBWA
@abassjuma6248
@abassjuma6248 5 сағат бұрын
Wanafanya makosa nduo wanaekwa sero
@abassjuma6248
@abassjuma6248 5 сағат бұрын
Mmeanza kumpamba Mwambukusi kwa lipi anavimba kichwa kupenda sifa hana chochote.Huyo ni mdogo tu Serikalini
@breymbasa3451
@breymbasa3451 5 сағат бұрын
serikali ninini? nguruwe wewe
@UpendoNgailo-f9t
@UpendoNgailo-f9t 4 сағат бұрын
Oooh inaoneka wew unanufaika na mambo ya hovyoo ndani ya serilikali
@abassjuma6248
@abassjuma6248 5 сағат бұрын
Unamkubali kwani kibwa kipi alicho ongea ambacho hakija ongelewa kabla.wewe ni mshabiki tu wa huyo mwambukusi
@chrisshonga
@chrisshonga 3 сағат бұрын
Sasa kichwa chako unaweza kufananisha na kichwa cha Mwabukusi?
@maziku330
@maziku330 3 сағат бұрын
​@@chrisshongawe shoga acha makasriko
@maziku330
@maziku330 3 сағат бұрын
Kaongea tu alchoelekezwa kuongea mbele ya mkuu sjaona ka kapiga kweny mshono kama kichwa cha habar kilvyoandkwa
@MirajiOmary-jm7wc
@MirajiOmary-jm7wc 8 сағат бұрын
nimekusikiliza kwa umakini kwakwel unaongea point tupu
Waandishi wa BBC waingia Goma: Dira ya Dunia TV Jumatatu 03/02/2025
28:00
Quilt Challenge, No Skills, Just Luck#Funnyfamily #Partygames #Funny
00:32
Family Games Media
Рет қаралды 55 МЛН
To Brawl AND BEYOND!
00:51
Brawl Stars
Рет қаралды 17 МЛН
How Strong Is Tape?
00:24
Stokes Twins
Рет қаралды 96 МЛН
Kauli nzito ya Askofu Bagonza dhidi ya Dr slaa yaibuwa mazito
3:09