Huyu mwamba siku chache za nyuma alikuwa wapi mimi binasi namkubali mwabukusi uko vizuri sana hongera zako❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥👏👏👏👏👏👏👏👏😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
@HamzaOthaman7 сағат бұрын
Asante wakili wetu❤
@ikupamwaisoba20684 сағат бұрын
Mungu uliye hai mlinde huyu kijana mfunike kwa damu ya Yesu awe salama kwa ajili ya kujenga Nchi❤
@WillfredyMollel8 сағат бұрын
Hongera mawakili kazeni buti
@HamzaOthaman7 сағат бұрын
Upo nzuri kka ❤
@norbertmbena58966 сағат бұрын
Tunahitaji akina MWABUKUSI WENGI nchi ipone Mungu akutetee
@TheodoraAnatory9 сағат бұрын
Muulize Muheshimiwa, kwanini watu wanawekwa sero kabla ya kuhukumiwa, alafu baadaye inaonekana hana kosa. Kwanini asilipwe fidia ya muda aliokaa ili kukomesha jambo hili.
@yahsavechassala10378 сағат бұрын
muheshimiwa kwenye vifurushi kuna dhuluma sana Tanzania Selikali iingilie kati kama hawana maslahi ndani yake Tutaona mabadiliko makubwa
@NungulaRais4 сағат бұрын
Saf sana kiongoz
@AllyMandunda-tj9jc6 сағат бұрын
Hawa wapo wachache sana Akina Lssu na Akina mwabukisi
@eatlawe7 сағат бұрын
Rais wa Tanganyika huyo akitetea haki ya Wataganyika!
@bayyohunki56409 сағат бұрын
🙏👍
@estachengula39029 сағат бұрын
Asante mwambukusi upo vizuri
@mangobase7 сағат бұрын
Huyu ni akili siyo Lisu... 😂
@breymbasa34514 сағат бұрын
Lisu unamuonaje wewe yule ni msomi pia sheria imelala pale jiulize kuna kiongozi Tanzania kashawahi kukamatwa na kupewa mikesi ya ajabu ajabu kama lisu? hujiulizi kwanini wanachemka kumfunga ama Kumtoza Faini kubwa Lile ni jitu shauri yako ohooo
@DANIELMANGALA-d8e4 сағат бұрын
Kumpata mwengine kam huy kwakweli tanzn itafanan km Y m.g shida ni moja watazn n wawog San kuongeya ukweli inakuwag inamishindak sn
@TheodoraAnatory9 сағат бұрын
tcra kazi yake ni kukata mawasiliano endapo anayeongea hamsifu rais
@MirajiOmary-jm7wc8 сағат бұрын
nimekusikiliza kwa umakini kwakwel unaongea point tupu
@GabrielKirango6 сағат бұрын
Kiongozi wa jumuiya ya mafarisayo mnaelewa anachomwambia KAISARI kwa maoni yangu.Ameacha ya msingi analitafutia tumbo lisilo na shukurani.Zaidi litautia utu wako Aibu.Eti wasomi.
@YueniWilingtonnsyukwe9 сағат бұрын
Fanyeni mnavyoona inatakiwa. Sisi sio wasomi
@aliferuzi15376 сағат бұрын
YUKO SAHIHI HOTUBA YAKE HUYU ANGEENDANA NA MAGUFULI.
@YourMoor-px1rd2 сағат бұрын
NI KWELI KABISAA MAKUBWA
@abassjuma62485 сағат бұрын
Wanafanya makosa nduo wanaekwa sero
@abassjuma62485 сағат бұрын
Mmeanza kumpamba Mwambukusi kwa lipi anavimba kichwa kupenda sifa hana chochote.Huyo ni mdogo tu Serikalini
@breymbasa34515 сағат бұрын
serikali ninini? nguruwe wewe
@UpendoNgailo-f9t4 сағат бұрын
Oooh inaoneka wew unanufaika na mambo ya hovyoo ndani ya serilikali
@abassjuma62485 сағат бұрын
Unamkubali kwani kibwa kipi alicho ongea ambacho hakija ongelewa kabla.wewe ni mshabiki tu wa huyo mwambukusi
@chrisshonga3 сағат бұрын
Sasa kichwa chako unaweza kufananisha na kichwa cha Mwabukusi?
@maziku3303 сағат бұрын
@@chrisshongawe shoga acha makasriko
@maziku3303 сағат бұрын
Kaongea tu alchoelekezwa kuongea mbele ya mkuu sjaona ka kapiga kweny mshono kama kichwa cha habar kilvyoandkwa
@MirajiOmary-jm7wc8 сағат бұрын
nimekusikiliza kwa umakini kwakwel unaongea point tupu