Mungu akulinde leo hadi kesho kwani unafanya kazi mzuli sana kwa wanyonge naamini kwa uwezo wa mungu utapata shemu ya uongozi wa ju sana kupitia maombi yetu sisi wanyonge
@salumally6635 ай бұрын
Body language kamishna anaonekana kuna kitu anajaribu kumchanganya waziri..Ushauri wangu waziri Silaa anapokwenda sehemu hadi sehemu afanye maombi hawa watu wanaroga sana kuizima akili yake asione madudu ya watumishi...Ila Mungu atakulinda waziri Silaaa
@tumainiellyimo46575 ай бұрын
Hawa watumishi hawa dah!sijui
@mauasylla50245 ай бұрын
Body language unaona hapo kuna mchezo ulishapangwa. Kuna maafisa hao6. Kwanza huyo Kamishna na wenziye wawili waliokaa pamoja na nyuma ya Kamishna kuna huyo dada mwenye flana ya bluu anajikuna sana kichwa na anateta kitu na jamaa pembeni yake na yule mwenye shati la pinki. Na Kamishna huyo muhasibu alipokuja, hakuntambulisha kwa waziri kwanza. Alikuwa anamnong'oneza jambo na akamfinya begani wakati waziri anamuhoji huyo mama Msajilo. Baaadaye ndiyo Kamishna anasema, "Mhasibu huyu hapa ameshafika"...
@saidnhoathuman10145 ай бұрын
Hii pat2 iwekwe maana awajamaa naamini waliwakalisha maaana inaonekana ni wasomi kuliko wao.
@aliabdallah84565 ай бұрын
Mheshimiwa waziri kwa mtazamo wangu kuna wafanyakazi katika ofisi ya ardhi apo Tanga niwakuondolewa wasiwepo hapo wengi ni wasanii
@khalsasalim79305 ай бұрын
Wazir anajuta kuwa waziri 😂
@banguha4 ай бұрын
Mbona kamishna anakuwa na was was kama mwiz wa kuku
@Zainab_salat4 ай бұрын
Maybe anajua amekula rushwa😂😂😂😂😂
@mwanamwendy92655 ай бұрын
Mbona Kamishna ana hofu Sana
@sixbertmwakaluwa56655 ай бұрын
Tapeli mkuu😂
@tumainiellyimo46575 ай бұрын
Huyu kamishna kiboko ,Tanga mh!mabadiliko ni muhimu
@bakarially2535 ай бұрын
Kama kazi bado ipo kwenye makaratasi wallah bado migogoro itakuwa mingi sana maana files zipo nyingi hauwezi kupitia zote
@SalumImran-ku3yr4 ай бұрын
Wanyonge wote tunakuombea Mh Waziri M/Mungu akuongoze na akuepushe na wenye nia mbaya na wewe
@michaeljpm55975 ай бұрын
Aliyeona huyo kamishina akimbinya yule Mzee kwenye bega kuanzia dk 19:35, waziri huyo kamishina sio mtu mzuri
@bongo395 ай бұрын
Vizuri waziri ushamshtukia huyo kamishna mchunguze mkuu
@bongo395 ай бұрын
Waziri huyo kamishna sio ni msanii kwanza ni kiburi sana halafu ana dharau
@namsamson34435 ай бұрын
Huyo kijana mwenye kipara ana majibu na hampi kijana ajieleze vizuri. Huyo wangemtoa kama ana cheo chochote
@angellomarcel56773 ай бұрын
Outomatical ni Mwizi huyo Mpumbavu
@DM_155 ай бұрын
Duh kumiliki ardhi nayokazi kweli kweli wahuni waliopo madarakani wana weza kukufanya uchanganyikiwe. Wallah hawa watu ndio.waliosababisha uchawi ukawepo watu wana choka aseeh
@angellomarcel56773 ай бұрын
Huyo Mwenye Kipara ni TAPELI fukuza Kifupi Watumishi wote hao ni Wababaishaji hawafai
@andreap.assenga84805 ай бұрын
Tatizo ni kamishina wa hapo tangu ni chanzo cha ugonjwa huo
@thobymsule60455 ай бұрын
Waziri uwe makini sana na makamishna ndiyo wapigaji wakubwa na wachelewashaji wakubwa wa haki za watu
@othmanali74085 ай бұрын
Waziri hebu toa namba zako wallahi natamani unywe alau soda kwa pesa inotokana na jacho langu ..kazi kubwa unayoifanya mungu akuongoze na akulinde na kila shari amin
@ashachitemo78165 ай бұрын
Makamishna wa Ardhi na Maafisa Ardhi ni Matapeli na wanashirikiana na Matapeli wa Ardhi.Hapo umezungukwa na nyoka wenye sumu wanakuchora tu.... Mungu akulinde kwani wanakuchosha na kukuzeesha kwa majukumu ambayo walipaswa wayatatue wao!!
@aliabdallah84565 ай бұрын
Pole sana mheshimiwa waziri nakuona apo umechoka pole sana lakini huyo mwenye kipara apo jirani yako kama msanii fulani hivi
@RichadTenga-ze4vp5 ай бұрын
Mungu akutie nguvu mtu wa Mungu,wazir slaa
@ngotikongotiko27115 ай бұрын
Daaah watu wanaruka ruka utasema maharage kumbe wanaomba kimya kimya mh waziri aondoke au apate dharura
@salimlumala63645 ай бұрын
Kamishna huyo mwizi
@rasnchimbi5 ай бұрын
Silaa aende na kule vijijini na wilayani kama kule kilosa n.k. ambako inasemekana wakubwa wengi wamejitwalia mapande ya ardhi,yataifishwe mapema,yasijeleta migogoro baadae.
@NehemiahKamalangombe5 ай бұрын
Dogo unapiga kazi...kongole
@DaviKampango3 ай бұрын
Kamishina uyo anaonekana tapeli uyo
@jazeerajuma50145 ай бұрын
Tunaomba muendelezo wa hii nimewapenda hao jamaaa wanaakili sana
@AishaJuma-wd8xd3 ай бұрын
Huyo kamishina mbona anawasiwasi
@herbethlukogela76573 ай бұрын
Namuona Dr. Jembe ni jembe hapo
@WardaJumanne5 ай бұрын
Slaa mungu akubarki unatenda haki
@shafiisaidi96405 ай бұрын
waziri yupo upande wa kamishna
@swalehbakari26675 ай бұрын
Ukitoka apo njo na kwetu kange stend mpya waziri
@RenaldaZeramula5 ай бұрын
Waziri pumzika japonsiku 5 hujioninkm unachoka sana. Jipe muda wa kupunzika
@MiriamAziz-z5t5 ай бұрын
VIVA MH. WAZIRI....HIYO WIZARA YA ARDHI IMEJAA 'UCHAFU'...NA VIVYO HIVYO MPAKA MIKOANI NA WILAYANI....SAFISHA WALA RUSHWA NA MAFISADI.
@kamalbashir51275 ай бұрын
Bravo wazir wewe ni mfano kwa mawaziri wengine
@kakagift83565 ай бұрын
Makamishina hawafanyi kazi zao kabisa.
@bakarially2535 ай бұрын
Haya maelezo yato ambayo Officer anatoa kuhusu madeni serikali ipo na Copyright? Maana simuelewi
@bakarially2535 ай бұрын
Daaah Tanzania bado sana
@mremaelisenguo5 ай бұрын
Hongera waziri. Wananchi tunafuatilia kwa karibu kazi kubwa unayoifanya. Watendaji ni aibu kubwa. Majukumu ambayo wangetakiwa wayatekeleze wakubebesha wewe. Kuna hajagani ya kuwa na kizazi hicho keenye ajira na mishahara. Local investors badala ya kuwa gaided ndio wanaonyanyaswa kikubwa. Sijui kama utayamaliza hayo majambazi
@mauasylla50245 ай бұрын
Huyo Kamishna wa Ardhi ahamishwe. Anaonekana ameshawapanga wafanyakazi wenziye.
@brayanjames99535 ай бұрын
Uya jama mwenye shat la kijani ana lekod audio kwenye cm 😂😂😂 mapema ili wakimzengu a play saund
@Rai_online_tv5 ай бұрын
Haa haa Anataka Reference
@masoudrashidmohammed41245 ай бұрын
Duh umeiona Bryan broo duh ww hatari kaka
@tumainiellyimo46575 ай бұрын
Kila nikimwangalia kamishna huyu katika kila clip hatulii aidha macho,mwili wake ndyo kabisa utulivu unapotea.Lazima kuna kitu kinaendelea ,waziri pls mweke pembeni na mfuatilieni
@rehemakanyere41885 ай бұрын
Macho huwa yanaonesha kama umetulia au haujatulia
@AshaMambo5 ай бұрын
Mungu akuwekee muheshimiwa silaha wana jeuri sana watu hao
@justinbryson43145 ай бұрын
Mbaka ndio nini mwenye KZbin channel???
@mremaelisenguo5 ай бұрын
14:57 15:01
@thelalas92045 ай бұрын
Kamishna unatuvuruga mzee wenye D mbili tushakuelewa kitambo,hadi M.heshimiwa anaumwa na kichwa.Dah watumishi walio wengi ni waovyo kabisa
@Rai_online_tv5 ай бұрын
Ha ha ana mix ma file makusudi
@thelalas92045 ай бұрын
@@Rai_online_tv umemuonaa huku anamvuta muhasibu shati
@thelalas92045 ай бұрын
@@Rai_online_tv his body language tells us something fishy is going on
@SaraJinalangu5 ай бұрын
Yni kamishna anatuvuruga hadi wtazamaji
@Rai_online_tv5 ай бұрын
Haaa haaa Daaah
@froma37325 ай бұрын
Duhh mpaka watazamaji 😂😂😂
@unjuinkuganda19915 ай бұрын
JEMBE NI JE,MBE MMEMUONA LAKINI?
@FredMwamgogwa-td6ni5 ай бұрын
Huyo kamishna msani😂😂😂
@rehemakanyere41885 ай бұрын
Anaonekana tu
@YunusBlueberry5 ай бұрын
Kamishna anafunga fail kimya kimyaa
@KoleYasini5 ай бұрын
Waziri punguza lugha ya kigeni unatuchanganya wa la saba..
@miriamalute15403 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@bigbrothermwita19715 ай бұрын
Bm
@thabitngangila85625 ай бұрын
Hapo waziri wanavyo mchanganyia mafali
@rehemakanyere41885 ай бұрын
Na yeye waziri ameshamjua kamishina kuwa ni chenga