MBELE YA WAZIRI SILAA KIJANA ASEMA UKWELI | KILA KITU NI HALALI | NIMESHALIPA MBAKA MADENI YAO

  Рет қаралды 26,331

RAI TV

RAI TV

Күн бұрын

Пікірлер: 70
@mustafamandindi6434
@mustafamandindi6434 4 ай бұрын
Mungu akulinde leo hadi kesho kwani unafanya kazi mzuli sana kwa wanyonge naamini kwa uwezo wa mungu utapata shemu ya uongozi wa ju sana kupitia maombi yetu sisi wanyonge
@salumally663
@salumally663 5 ай бұрын
Body language kamishna anaonekana kuna kitu anajaribu kumchanganya waziri..Ushauri wangu waziri Silaa anapokwenda sehemu hadi sehemu afanye maombi hawa watu wanaroga sana kuizima akili yake asione madudu ya watumishi...Ila Mungu atakulinda waziri Silaaa
@tumainiellyimo4657
@tumainiellyimo4657 5 ай бұрын
Hawa watumishi hawa dah!sijui
@mauasylla5024
@mauasylla5024 5 ай бұрын
Body language unaona hapo kuna mchezo ulishapangwa. Kuna maafisa hao6. Kwanza huyo Kamishna na wenziye wawili waliokaa pamoja na nyuma ya Kamishna kuna huyo dada mwenye flana ya bluu anajikuna sana kichwa na anateta kitu na jamaa pembeni yake na yule mwenye shati la pinki. Na Kamishna huyo muhasibu alipokuja, hakuntambulisha kwa waziri kwanza. Alikuwa anamnong'oneza jambo na akamfinya begani wakati waziri anamuhoji huyo mama Msajilo. Baaadaye ndiyo Kamishna anasema, "Mhasibu huyu hapa ameshafika"...
@saidnhoathuman1014
@saidnhoathuman1014 5 ай бұрын
Hii pat2 iwekwe maana awajamaa naamini waliwakalisha maaana inaonekana ni wasomi kuliko wao.
@aliabdallah8456
@aliabdallah8456 5 ай бұрын
Mheshimiwa waziri kwa mtazamo wangu kuna wafanyakazi katika ofisi ya ardhi apo Tanga niwakuondolewa wasiwepo hapo wengi ni wasanii
@khalsasalim7930
@khalsasalim7930 5 ай бұрын
Wazir anajuta kuwa waziri 😂
@banguha
@banguha 4 ай бұрын
Mbona kamishna anakuwa na was was kama mwiz wa kuku
@Zainab_salat
@Zainab_salat 4 ай бұрын
Maybe anajua amekula rushwa😂😂😂😂😂
@mwanamwendy9265
@mwanamwendy9265 5 ай бұрын
Mbona Kamishna ana hofu Sana
@sixbertmwakaluwa5665
@sixbertmwakaluwa5665 5 ай бұрын
Tapeli mkuu😂
@tumainiellyimo4657
@tumainiellyimo4657 5 ай бұрын
Huyu kamishna kiboko ,Tanga mh!mabadiliko ni muhimu
@bakarially253
@bakarially253 5 ай бұрын
Kama kazi bado ipo kwenye makaratasi wallah bado migogoro itakuwa mingi sana maana files zipo nyingi hauwezi kupitia zote
@SalumImran-ku3yr
@SalumImran-ku3yr 4 ай бұрын
Wanyonge wote tunakuombea Mh Waziri M/Mungu akuongoze na akuepushe na wenye nia mbaya na wewe
@michaeljpm5597
@michaeljpm5597 5 ай бұрын
Aliyeona huyo kamishina akimbinya yule Mzee kwenye bega kuanzia dk 19:35, waziri huyo kamishina sio mtu mzuri
@bongo39
@bongo39 5 ай бұрын
Vizuri waziri ushamshtukia huyo kamishna mchunguze mkuu
@bongo39
@bongo39 5 ай бұрын
Waziri huyo kamishna sio ni msanii kwanza ni kiburi sana halafu ana dharau
@namsamson3443
@namsamson3443 5 ай бұрын
Huyo kijana mwenye kipara ana majibu na hampi kijana ajieleze vizuri. Huyo wangemtoa kama ana cheo chochote
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 3 ай бұрын
Outomatical ni Mwizi huyo Mpumbavu
@DM_15
@DM_15 5 ай бұрын
Duh kumiliki ardhi nayokazi kweli kweli wahuni waliopo madarakani wana weza kukufanya uchanganyikiwe. Wallah hawa watu ndio.waliosababisha uchawi ukawepo watu wana choka aseeh
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 3 ай бұрын
Huyo Mwenye Kipara ni TAPELI fukuza Kifupi Watumishi wote hao ni Wababaishaji hawafai
@andreap.assenga8480
@andreap.assenga8480 5 ай бұрын
Tatizo ni kamishina wa hapo tangu ni chanzo cha ugonjwa huo
@thobymsule6045
@thobymsule6045 5 ай бұрын
Waziri uwe makini sana na makamishna ndiyo wapigaji wakubwa na wachelewashaji wakubwa wa haki za watu
@othmanali7408
@othmanali7408 5 ай бұрын
Waziri hebu toa namba zako wallahi natamani unywe alau soda kwa pesa inotokana na jacho langu ..kazi kubwa unayoifanya mungu akuongoze na akulinde na kila shari amin
@ashachitemo7816
@ashachitemo7816 5 ай бұрын
Makamishna wa Ardhi na Maafisa Ardhi ni Matapeli na wanashirikiana na Matapeli wa Ardhi.Hapo umezungukwa na nyoka wenye sumu wanakuchora tu.... Mungu akulinde kwani wanakuchosha na kukuzeesha kwa majukumu ambayo walipaswa wayatatue wao!!
@aliabdallah8456
@aliabdallah8456 5 ай бұрын
Pole sana mheshimiwa waziri nakuona apo umechoka pole sana lakini huyo mwenye kipara apo jirani yako kama msanii fulani hivi
@RichadTenga-ze4vp
@RichadTenga-ze4vp 5 ай бұрын
Mungu akutie nguvu mtu wa Mungu,wazir slaa
@ngotikongotiko2711
@ngotikongotiko2711 5 ай бұрын
Daaah watu wanaruka ruka utasema maharage kumbe wanaomba kimya kimya mh waziri aondoke au apate dharura
@salimlumala6364
@salimlumala6364 5 ай бұрын
Kamishna huyo mwizi
@rasnchimbi
@rasnchimbi 5 ай бұрын
Silaa aende na kule vijijini na wilayani kama kule kilosa n.k. ambako inasemekana wakubwa wengi wamejitwalia mapande ya ardhi,yataifishwe mapema,yasijeleta migogoro baadae.
@NehemiahKamalangombe
@NehemiahKamalangombe 5 ай бұрын
Dogo unapiga kazi...kongole
@DaviKampango
@DaviKampango 3 ай бұрын
Kamishina uyo anaonekana tapeli uyo
@jazeerajuma5014
@jazeerajuma5014 5 ай бұрын
Tunaomba muendelezo wa hii nimewapenda hao jamaaa wanaakili sana
@AishaJuma-wd8xd
@AishaJuma-wd8xd 3 ай бұрын
Huyo kamishina mbona anawasiwasi
@herbethlukogela7657
@herbethlukogela7657 3 ай бұрын
Namuona Dr. Jembe ni jembe hapo
@WardaJumanne
@WardaJumanne 5 ай бұрын
Slaa mungu akubarki unatenda haki
@shafiisaidi9640
@shafiisaidi9640 5 ай бұрын
waziri yupo upande wa kamishna
@swalehbakari2667
@swalehbakari2667 5 ай бұрын
Ukitoka apo njo na kwetu kange stend mpya waziri
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 5 ай бұрын
Waziri pumzika japonsiku 5 hujioninkm unachoka sana. Jipe muda wa kupunzika
@MiriamAziz-z5t
@MiriamAziz-z5t 5 ай бұрын
VIVA MH. WAZIRI....HIYO WIZARA YA ARDHI IMEJAA 'UCHAFU'...NA VIVYO HIVYO MPAKA MIKOANI NA WILAYANI....SAFISHA WALA RUSHWA NA MAFISADI.
@kamalbashir5127
@kamalbashir5127 5 ай бұрын
Bravo wazir wewe ni mfano kwa mawaziri wengine
@kakagift8356
@kakagift8356 5 ай бұрын
Makamishina hawafanyi kazi zao kabisa.
@bakarially253
@bakarially253 5 ай бұрын
Haya maelezo yato ambayo Officer anatoa kuhusu madeni serikali ipo na Copyright? Maana simuelewi
@bakarially253
@bakarially253 5 ай бұрын
Daaah Tanzania bado sana
@mremaelisenguo
@mremaelisenguo 5 ай бұрын
Hongera waziri. Wananchi tunafuatilia kwa karibu kazi kubwa unayoifanya. Watendaji ni aibu kubwa. Majukumu ambayo wangetakiwa wayatekeleze wakubebesha wewe. Kuna hajagani ya kuwa na kizazi hicho keenye ajira na mishahara. Local investors badala ya kuwa gaided ndio wanaonyanyaswa kikubwa. Sijui kama utayamaliza hayo majambazi
@mauasylla5024
@mauasylla5024 5 ай бұрын
Huyo Kamishna wa Ardhi ahamishwe. Anaonekana ameshawapanga wafanyakazi wenziye.
@brayanjames9953
@brayanjames9953 5 ай бұрын
Uya jama mwenye shat la kijani ana lekod audio kwenye cm 😂😂😂 mapema ili wakimzengu a play saund
@Rai_online_tv
@Rai_online_tv 5 ай бұрын
Haa haa Anataka Reference
@masoudrashidmohammed4124
@masoudrashidmohammed4124 5 ай бұрын
Duh umeiona Bryan broo duh ww hatari kaka
@tumainiellyimo4657
@tumainiellyimo4657 5 ай бұрын
Kila nikimwangalia kamishna huyu katika kila clip hatulii aidha macho,mwili wake ndyo kabisa utulivu unapotea.Lazima kuna kitu kinaendelea ,waziri pls mweke pembeni na mfuatilieni
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 5 ай бұрын
Macho huwa yanaonesha kama umetulia au haujatulia
@AshaMambo
@AshaMambo 5 ай бұрын
Mungu akuwekee muheshimiwa silaha wana jeuri sana watu hao
@justinbryson4314
@justinbryson4314 5 ай бұрын
Mbaka ndio nini mwenye KZbin channel???
@mremaelisenguo
@mremaelisenguo 5 ай бұрын
14:57 15:01
@thelalas9204
@thelalas9204 5 ай бұрын
Kamishna unatuvuruga mzee wenye D mbili tushakuelewa kitambo,hadi M.heshimiwa anaumwa na kichwa.Dah watumishi walio wengi ni waovyo kabisa
@Rai_online_tv
@Rai_online_tv 5 ай бұрын
Ha ha ana mix ma file makusudi
@thelalas9204
@thelalas9204 5 ай бұрын
@@Rai_online_tv umemuonaa huku anamvuta muhasibu shati
@thelalas9204
@thelalas9204 5 ай бұрын
@@Rai_online_tv his body language tells us something fishy is going on
@SaraJinalangu
@SaraJinalangu 5 ай бұрын
Yni kamishna anatuvuruga hadi wtazamaji
@Rai_online_tv
@Rai_online_tv 5 ай бұрын
Haaa haaa Daaah
@froma3732
@froma3732 5 ай бұрын
Duhh mpaka watazamaji 😂😂😂
@unjuinkuganda1991
@unjuinkuganda1991 5 ай бұрын
JEMBE NI JE,MBE MMEMUONA LAKINI?
@FredMwamgogwa-td6ni
@FredMwamgogwa-td6ni 5 ай бұрын
Huyo kamishna msani😂😂😂
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 5 ай бұрын
Anaonekana tu
@YunusBlueberry
@YunusBlueberry 5 ай бұрын
Kamishna anafunga fail kimya kimyaa
@KoleYasini
@KoleYasini 5 ай бұрын
Waziri punguza lugha ya kigeni unatuchanganya wa la saba..
@miriamalute1540
@miriamalute1540 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@bigbrothermwita1971
@bigbrothermwita1971 5 ай бұрын
Bm
@thabitngangila8562
@thabitngangila8562 5 ай бұрын
Hapo waziri wanavyo mchanganyia mafali
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 5 ай бұрын
Na yeye waziri ameshamjua kamishina kuwa ni chenga
Do you choose Inside Out 2 or The Amazing World of Gumball? 🤔
00:19
'Matokeo ya Uchunguzi kuhusu kupigwa kwangu risasi bado mpaka leo'
51:24
BBC News Swahili
Рет қаралды 82 М.
EXCLUSIVE: WAZIRI SILAA ANG'AKA "WATU WAMELIA SANA Kwenye ARDHI"
33:46
BONIFACE JACOB ATOBOA SIRI JINSI SERIKALI INAVYOTEKA NA KUUWA
3:03:03
Chadema Media TV
Рет қаралды 15 М.