WAZIRI SILAA AKUTANA NA MGOGORO MZITO WA MUHINDI MWEKEZAJI | MAENEO YANGU YALICHUKULIWA NA VIONGOZI

  Рет қаралды 19,740

RAI TV

RAI TV

2 ай бұрын

Пікірлер: 47
@muhammednassor3569
@muhammednassor3569 Ай бұрын
Huyu waziri mwisho anafanya kazi kwa ikhlaas mashaallah Allah akuhifadhi
@jumaambalima3012
@jumaambalima3012 Ай бұрын
Waziri anafaa kupitiliza anaeleza kwa usahihi sana
@MrKhatibu
@MrKhatibu Ай бұрын
Wandishi wa Bara mnapenda kutumia taswira ya mtu kama identity yake kuwa kichwa cha habari. Mbona ikitokea mlengwa ni Msukuma, Mnyamwezi au Mmasai hamuwezi andika kichwa cha habari ya identity yake? utasikia Muhindi, Singasinga, Muarab au ndio maadili ya uandishi?
@RahimRaiTZA
@RahimRaiTZA Ай бұрын
Moja kati ya sifa za Headline ni Kuvutia So nikisema WAZIRI AMBANA SHABASH utaelewa? Ila asant kwa Ushauri
@kazikazini1042
@kazikazini1042 Ай бұрын
Ni ubaguzi wa kiaina
@funnuelmwalukasa4506
@funnuelmwalukasa4506 Ай бұрын
Uko sahii umeisahau Ile ya mbeya Eti mchina😂
@1961nungwi
@1961nungwi Ай бұрын
Hujasikia Wamasai wakitajwa Identity yao?
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 Ай бұрын
​@@RahimRaiTZAsio kweli usitaje makabila ukisema mwekezaji inatosha
@user-jd5ru7dr2r
@user-jd5ru7dr2r Ай бұрын
Wahindi pia niwatu Acha ubaguzi haki nihaki tu
@Jal210
@Jal210 Ай бұрын
Kabisa unasema kweli
@bongo39
@bongo39 Ай бұрын
Mkuu waanglie vizuri huyo alievaa miwani huyo mama na mwenyekiti kuna kitu hapo
@reynaaalrawahi4137
@reynaaalrawahi4137 Ай бұрын
Hawa ndio madhulum. Mimi sehemu yangu mwenyekiti na katibu wamenidhulumu eneo langu. Kila kitu ninacho mimi wao wana nguvu ya kudhulum 😢
@ahmadseaman3487
@ahmadseaman3487 Ай бұрын
thanks so much ministry
@shafiisaidi9640
@shafiisaidi9640 Ай бұрын
Wallah sijui kwnn namchukia huyu kamishna.na miwani yake ile daaah
@mohamedsaid2882
@mohamedsaid2882 Ай бұрын
Jamaa anawalakini kwenye utendaji wake mie mwenyewe naona kama adui hivi
@Andres-qt6kp
@Andres-qt6kp Ай бұрын
Huyu miwani ni tatizo sana Sijui Waziri hajamstukia utafutaje utilising wa mtu na amesha develope
@jazeerajuma5014
@jazeerajuma5014 Ай бұрын
Mimi pia simpendi coz anafanya kinyume na sheria
@Bashitetako
@Bashitetako Ай бұрын
Mwenye kiti ni jipu
@jtheophil5499
@jtheophil5499 Ай бұрын
Nacheka sijui hawa ma commissioner wetu wanafanyaga nn.?mpaka waziri afike kweli .Sasa hawana aibu
@demicratia4071
@demicratia4071 Ай бұрын
Si wanangoja mshahara wewevpi😅
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 Ай бұрын
waziri weka acount yako tukuchangie hata buku buku tu umalize matapeli wote wa ardhi
@fatimaharoun-np8uv
@fatimaharoun-np8uv 18 күн бұрын
Kwa kwel😂😂😂
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu Ай бұрын
Tanzania yetu kusudi upewe haki yako. Mpaka apite slaa au Makonda kama sio hivyo MUNGU mwenyewe asaidie
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 Ай бұрын
Mh slaa ndo mfano wa watendaji wa serikali anatembea kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua sio kuvaa suti na kukaa ofisini tu wakingojea mafaili kutia saini
@froma3732
@froma3732 Ай бұрын
Hao ni maofisa wa Ardhi lkn hkn kitu wanajuwa wao kazi ni kuvuruga watu wape Elimu Waziri
@abdullayahya8717
@abdullayahya8717 23 күн бұрын
Huyu ndie raisi wetu mtarajiwa , kaaza udiwani kafuatia ubunge na uwaziri sasa tunakuombea kwenye uraisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
@demicratia4071
@demicratia4071 Ай бұрын
Mbona hakuna SAUTIIII
@martinwangwe8966
@martinwangwe8966 Ай бұрын
wenyeviti wa mtaa hovyo kabisa, yani hawa ndo wakusaidia wananchi. Nilitegemea kwakua wako wengi watakua na akili.
@mwanamutemi
@mwanamutemi Ай бұрын
HAKI YA KUISHI/MATUMIZI
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 Ай бұрын
Bro unaona mbali...ni kweli
@Baba-nm4qz
@Baba-nm4qz Ай бұрын
Mbona hammalizii mnaboa
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 Ай бұрын
huu ni uzalilishaji kwanini mwanachi akaliee kiti cha ajabu
@ClementinaHabineza
@ClementinaHabineza Ай бұрын
Sofa zirikosa
@MohammedJaizan-yf5yt
@MohammedJaizan-yf5yt Ай бұрын
Kwa nini usiandike mwekezaji wa asili ya kiasia kwenye mgogoro wa ardhi? Kwa nini uandike muhindi au unataka kufanya ionekane kama kafanya dhulma? Au una nia gani?
@RahimRaiTZA
@RahimRaiTZA Ай бұрын
Tunayafanyia kazi maoni yako
@user-ih9xy5vd5d
@user-ih9xy5vd5d Ай бұрын
Kweli
@taliyagogo1481
@taliyagogo1481 Ай бұрын
Timu ya kamera na timu ya sauti ni mbaya sana. Tunataka kuelewa suala hilo na sio kusumbua sauti za watu🙄
@RahimRaiTZA
@RahimRaiTZA Ай бұрын
Asnt kwa Ushauri tunalifanyja kaz na Soon kila video yetu itakuwa na sauti nzur
@froma3732
@froma3732 Ай бұрын
Kuzaliwa sio umiliki wa Sehemu
@williamsenkoro2210
@williamsenkoro2210 Ай бұрын
Matatizo haya yatakuja zaidi miaka ijayo kama ardhi inachukuliwa na wageni. Tutaanza lipia kodi kwa wageni ili watumegee ardhi.!
@mkude
@mkude Ай бұрын
Inaonekana una Roho mbaya na katili wa nafasi yako,watu kama nyinyi maisha yamewashinda mmebaki na husda na Roho mbaya Kwa mwenye nacho,leo utamchumia muhindi kesho utamchukia mweusi kama wewe Kwa kuwa amejaaliwa neema.pole Kwa mateso unayoyapata ya yo choyo nafsi yako
@josephndunguru6290
@josephndunguru6290 Ай бұрын
Wahiindiii janjajaanjaa hapoo,
@user-kh1tn6yr8b
@user-kh1tn6yr8b Ай бұрын
Awo wahindi wezi too
@mkude
@mkude Ай бұрын
Acha ubaguzi wewe
@shamzone388
@shamzone388 Ай бұрын
Wahindi sio waizi mbona sisi wenyewe ndio waizi weusi kwa weusi
@lailafakhihaji
@lailafakhihaji Ай бұрын
Sisi ndio kesi zetu nyingi kwa kutapeliwa na weusi wenzetu
FOOLED THE GUARD🤢
00:54
INO
Рет қаралды 62 МЛН
ОДИН ДЕНЬ ИЗ ДЕТСТВА❤️ #shorts
00:59
BATEK_OFFICIAL
Рет қаралды 7 МЛН
We Got Expelled From Scholl After This...
00:10
Jojo Sim
Рет қаралды 68 МЛН
1 or 2?🐄
0:12
Kan Andrey
Рет қаралды 19 МЛН