Vizuri sana j nature utakumbukwa hapo kwako sio wasanii wasasa wanapiga picha na kukaa nyumba sio zao wala magari sio yao
@MaryWuantet11 ай бұрын
Jamani nikiona msanii kama huyu aliyewahi kutamba,Leo hii ndio huyu ameisha kwenye janga la mihadarati ...😢😢kweli nahisi uchungu Moyoni.....swali langu ni ,serikali imetulia tu kuwaona hao wasanii waishe hivyo??this man needs help sio kumcheka...he's a legend.
@kizazisanagang11 ай бұрын
Cha msingi Yuko vizuri anaishi freshy ana mjengo, studio inshort anakula Bata Hana shida
@rotalykandawale243811 ай бұрын
Anatakiwa akumbukwe uyo alifanya mziki wa bongo uwendeleee
@MwakaziJanet-qq2be11 ай бұрын
Najua mungu anaweza hatakama itachukua muda mm najua iposiku utainuka💖💖
@Zaburi-11 ай бұрын
Mungu/MUNGU sio mungu
@user-wz1hz9ut1l11 ай бұрын
We humjui!!!
@muzafarsharif946511 ай бұрын
Afadhali hapo kwake hana stress za kulipa rent ❤❤
@frankngoloka541611 ай бұрын
Ila tungi hapunguze inamzofisha
@user-kz7xj9tb1b11 ай бұрын
Mmh mwandishi umekutqna leo swqli jibu tofaut na swali😅😅😅😅
@KingSillah-gx5nv11 ай бұрын
Tanzanian artist stop doing hard drugs, from the looks of things this guy (nature) is overwhelmed by drugs💔💔
@primrosehall311211 ай бұрын
Anaongea vizuri hadi raha
@barrynzeyimana627011 ай бұрын
Anajibu tofauti na maswali. Next time Peleka bangi avute kidogo
@abdulyabubakar624711 ай бұрын
Majibu yake hayana tofauti na majibu ya cheed benzi
@user-qs4fb5fo5f11 ай бұрын
Yupo bwaa
@hanifatanzania725811 ай бұрын
Bangibangi daa Allha tunusulu n watotowwtunnaatupe mwisho mwema
@jumahasani332411 ай бұрын
mwandishi uchu na juma nature uchi
@lilhydon45211 ай бұрын
Anaemuuzia pombe akamatwe
@user-us4tg2it5q11 ай бұрын
😅😅😅😅
@mohdkhalfan138011 ай бұрын
😅😅😅😅😅
@othmanhassan548311 ай бұрын
😂😂😂agiza soda
@josephevaristi892311 ай бұрын
😂😂😂
@ibrahimfarha385311 ай бұрын
Anatuma watoto😂😂😂😂😂😂😂
@valeriaally658411 ай бұрын
yaani anachojibu na anachoulizwa vitu viwil tofaut,maelezo mengi kama anaandika insha
@hanifatanzania725811 ай бұрын
😂😂😂 Bangi pombe ukichanya hakunachakueleweka
@valeriaally658411 ай бұрын
@@hanifatanzania7258 🤣🤣😂😂😂😂😂
@jackmligo213111 ай бұрын
Juma nature bhana anaulizwa swali jibu analotoa ni tofauti kweli pombe na mibangi so poa 😀
@salomewandya725711 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@pcthemaster909611 ай бұрын
Gongo mbaya sana😂😂😂
@shodristvtv612111 ай бұрын
Amelewa
@mayraamon896511 ай бұрын
Hahahahahhahaha kama vile yupo usingizini eti hahaha
@mathanikibuti667611 ай бұрын
UME MZIDI NINI MASKINI WEWE,YAKO YANAKUSHINDA
@patrickmukundichalamila303811 ай бұрын
Mziki ni hela kwahio hela ilipatikana mziki ukaenda kwao😂 mwisho wa siku hela pia ikapotea😢 ila ma brother's waljua kula raha.
Sas mtu mwenyewe mlevi ajielewi anaweza kuimba kweli
@mzidimfaume157311 ай бұрын
Huyu mlevi tu
@Thebaddest25511 ай бұрын
We ambaye unajielewa na si mlevi Mbona hutoi mziki wako ?
@laurian2711 ай бұрын
Vyombo in bulding legend! Kula matunda mzee bata la mbele tyuu
@saleheabdallah546111 ай бұрын
Anaongea kama mganga😂
@stellahpaul562411 ай бұрын
,😂😂
@ibrahimfarha385311 ай бұрын
😂😂😂😂
@davidcurtis17511 ай бұрын
Jamaa anaongea kama mimi nikiwa nimechoka sanaaaa halafu ninausingizi, nikiulizwa swali na majibu yake hayafanani hata kidogo na ukiuliza tena unasemaa ndio kabsaaa naongea tofauti mwisho nazima kabisa😂
@chazmoto423011 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@shodristvtv612111 ай бұрын
😂😂😂😂
@ibrahimfarha385311 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@user-fy8jh4vh3m11 ай бұрын
Kiroboto❤
@vumbakingvumbaking957111 ай бұрын
Kalewa nature
@mcdericktv729811 ай бұрын
Dah! Nimeanza kuyaamini maneno ya Chege...kuna mtu anaendesha account ya Nature. Pole Tanzania
@bahatikulwa5611 ай бұрын
muulize temba
@user-qs4fb5fo5f11 ай бұрын
Unge muhoji ajalewa hapo anaongeya kipombe
@salomewandya725711 ай бұрын
😂😂😂😂
@user-ts6fh4si3m9 ай бұрын
Hivi Hawa jamaa pesa walikuwa wanapeleka wapi? nafikiri matumizi yao yalikuwa mabaya but duu sio powa
@salomewandya725711 ай бұрын
Hahaha kweli pombe si chai😅😅😅😅
@zeddymourice424911 ай бұрын
😂😂😂😂😂huyu mwamba nimecheka Kama fala,maana anaulizwa swali hili anajibu kitu toafauti na anachoulizwa,asamehewe bure😂😂😂😂
@mayraamon896511 ай бұрын
Hahahahahahahhahahha nyie embu niache basi
@ibrahimfarha385311 ай бұрын
Blazaaa eeeh afazali ungepokea hata zile laki 5 kwakweli
@FrankNgajilo-ip3zq11 ай бұрын
Jamaa akatibiwe sauti
@rasvegas899111 ай бұрын
Kuongeaaa hawez kuimbaa asingeweza kwa sahv
@ukhutfatumah115411 ай бұрын
Kwaiyo maneno yote yale my brother
@luc_9611 ай бұрын
Ivi mnajua uyo jamaa anaongea ivo ila ukimwambie Aimbe kiitikio chochote balaaaa
@EliasJohn-lc8nu11 ай бұрын
Yan msaniii mkubwa ata get hajapaka langi Bora angelamba Hy 500000 akanunie langi
@joycekaguo847611 ай бұрын
😃😃😃 umeona eee
@SophlaJackson-nt1nc11 ай бұрын
Atye tye tyeee 🤣🤣🤣🤣🤣
@salvatoryboniface108911 ай бұрын
Anajitambua ndyo maana amekataa hao wasanii wanaokiki kila leo wengi wao hawamfkii nature kwa maisha mazuri
@salvatoryboniface108911 ай бұрын
Jamaa ana studio home tafuta wenye studio nahc utaelewa
@gb-one643511 ай бұрын
@@salvatoryboniface1089 studio yenyewe hii yakawaida mno ase jamaa Kwa ujumla ana Hali mbaya ya maisha ukilinganisha na jina lake lilivyo kubwa
@Hanifa-xc11 ай бұрын
Mbona kama anajibu vitu ambavyo havielewek😂😂
@mansursalim877211 ай бұрын
Daah huyu ndio anaifanya bangi iyonekane mbaya
@zaidiissa371411 ай бұрын
Huyu muandi wahabari nikuma kweli sasa kaenda kumuuliza mswaligani yani hizikazi watu wanafositu wala siozao kumanina
@Ibrahim-ne3in11 ай бұрын
🤣🤣🤣mibangi mishisha...malejendiiiiiii wanakaaa kwenye maget yamepaukaaaaaa
@fristonactary137111 ай бұрын
huyu bhna kalew walahi
@petercostakisoka11 ай бұрын
Uyu cyo duwanzi kibunda kinasoma
@maspro629411 ай бұрын
Mastar wa mitandao wanatuka njaa tu
@nassoromtondo142111 ай бұрын
Mh huyu jamaaa anaanzia z amalizia a
@prosperitymaarifa332411 ай бұрын
Kalewa huyu
@salomewandya725711 ай бұрын
Saana
@joycemuhoja472911 ай бұрын
Sir Nature napenda unavyojibu Hadi Raha piga kazi Regend
@shamimageta665111 ай бұрын
Chuma kimelewa
@PrinceBonnyTz811 ай бұрын
HUYU NDIO ALIKATAA LAKI 5 😅😅😅
@bonifacewanyonyi355511 ай бұрын
😂😂😂
@pcthemaster909611 ай бұрын
Gongo mbaya sana
@ZINDUKAMUISILAMU3011 ай бұрын
Mh, wasanii wake wameenda kula bata 🤣🤣🤣 dah wabongo mnambwembwe kweli wameenda kula bata au mavi ya bata
@starfireog869511 ай бұрын
Apo hakunamsani tatizo lawa sani wabongo waache mihadalat
@cptnbazil612111 ай бұрын
Oya ebu nipigiwe kibao cha mtoto iddi nikitazama hii interview
@hanifatanzania725811 ай бұрын
Mungu apendi. Miziki ww muislsm kweri. Udimdjilikishe Mungi kwenye ujinga
@mussamgonola398311 ай бұрын
Point
@ggvv997011 ай бұрын
Kwani ulevi ndio dawa ya wasanii ama nini mbona sauti sielewi? 😂😂
@wasaficlassicshoes11 ай бұрын
Sauti ya kilevi
@hanifatanzania725811 ай бұрын
😂😂
@aminnoour478811 ай бұрын
Anaumwa corona
@tanzaniachannel851911 ай бұрын
Nyie wadandiaji treni kwa mbele always juma ndo ongea yake sauti yake ndo ilivyo 😂😂
@gb-one643511 ай бұрын
Jamaa mbona kama amelewa anavyo jibu nitofaut sana nazani ndio maana mtangazaji Ka katiza mahojiano
@hpmobilephone995111 ай бұрын
Anasauti kama ya koki Duduubaya
@josephevaristi892311 ай бұрын
Bro ule wimbo wa mtoto iddy kumbe kajiimbia mwenyewe
Dah 🥺 wasanii wa zamani kwani walifeli wapi mtu kama huyu nyimbo zake mpaka Leo ni Hit inakuaje anaishi hivi 🤔🤔
@withowilliam905711 ай бұрын
Soko halikuwa kama sahv na mziki unataka uwekeze
@kizazisanagang11 ай бұрын
Shida n pombe ila jamaa anaishi freshy Hana shida
@bensonmwananchi770111 ай бұрын
Nimegundua kwa nn nature aliandika vile
@BarackCharles-vt7kt11 ай бұрын
Mbna interview umerudiwa hii….
@AmiriMalenge11 ай бұрын
In dipli😂😂😂
@alidyaya451211 ай бұрын
Nimecheka interview nzima😂
@jonathanmwisho264911 ай бұрын
Kumanina zenu munae mpinga uyu mwamba usifananshe na mavi ya sasiv machoko nyiee
@jonathanmwisho264911 ай бұрын
Uyo mwamba shoooow zake ni zamoto kwanza Ana jua kucheza na jukwaa
@suntzu895911 ай бұрын
Harafu akatae laki 5 huyu
@aayanmaroba605611 ай бұрын
YUKO TUNGI YA ATARIIIII
@abdulyabubakar624711 ай бұрын
Kweli pombe sio sigara 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 majibu yake 😂😂😂😂😂
@pcthemaster909611 ай бұрын
Mchele koka chapati kongoro😂😂😂😂😂😂😂
@rogerbijisi846511 ай бұрын
Mbon unaish mqzingir mabay ten wew mkong kweny mzik!? Afu wanakup 500.000tsh unazikataa wakati unaisha na kisamvu uwa umoja😅😅😅
@samwelisack207611 ай бұрын
Kamnyweso
@OllerDesononline633311 ай бұрын
Tungi lake😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@husseinmdwangi896611 ай бұрын
MBENGO TV NDO NN KUEDIT HIVYO YAANI MWONEKANO WA JUMA ILA SAUTI SIYO YAKE!!!
@mbengotv11 ай бұрын
Punguza wasi wasi, huyo ni nature Og hakuna edit yoyote
@rahimukayela29711 ай бұрын
Sauti ya Waganga kwenye Bongo Movie
@aminnoour478811 ай бұрын
😀😀😀😀 ni mganga yani drogs nyingi
@aminnoour478811 ай бұрын
Ndiomana kapewa laki 5
@RobbyAugustine-jd2hd10 ай бұрын
Hiv juma nature n mmakonde cio😂
@ameirzapy131811 ай бұрын
Juma watu wafupi wa akili unawaacha kwenye kujibu maswali
@abdulyabubakar624711 ай бұрын
AKYU IMEPANDA 😂😂😂😂😂😂😂😂
@robertj.448411 ай бұрын
😂😂😂🤣🤣🤣🤣
@jumakapilima729511 ай бұрын
Hivi mwandishi unafanya vipi interview na mlevi?
@babiddi862011 ай бұрын
Ao unaowashabikia ww hawalewi
@jumakapilima729511 ай бұрын
@@babiddi8620 inawezekana ukawa hujui unachosema
@iceplay1811 ай бұрын
baba punguza changa na sauti kama chura , wewe sio star ulikuwa star lakini uliponza kuchagua jembe maana mkulima hachagui jembe, ulitwa kazi ukaendla kulewa alafu ukasemba pesa ni kidogo sasa uko hapa unalea lia
@user-ig9rl2hv6h11 ай бұрын
We c wakupewa laki tano wwe elfu20 baba sauti Kama chura kakosa maji
@user-us4tg2it5q11 ай бұрын
😅😅😅😊😊😊😊😊❤
@abdulyabubakar624711 ай бұрын
Mie ningekuwa mwandishi ningeshazima camera na kuondoka maana unaye muhoji hapo Akili yake haipo kabisaaaaaaa pombe ndio zinaongea 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@AyubuMbuba-pu6tf11 ай бұрын
😢
@flinchclassic153111 ай бұрын
Kwani hii sauti ya nature haumii akiongea dah
@user-vv1te9fu8q11 ай бұрын
Mbona anaongea lafudhi ya kimakonde kwani mmakonde huyu
@MJ-rr6dy11 ай бұрын
umbea kazi sana, yote hiyo kwa ajili ya mond, mond anawatesa wajinga wajinga wengi kwa wivu jamani
@ambokilemussa351810 ай бұрын
weeee koma na huyo mtu wako
@valeriaally658411 ай бұрын
Studio na hzo spika hapo,kaz ipo🤣🤣🤣🤣😂😂😂 duh,hata za watu wa vijijini zina afadhal
@user-kw2or2iy9y11 ай бұрын
Wewe una nini hapo
@valeriaally658411 ай бұрын
@@user-kw2or2iy9y hata ukijua nina nini na sina nn itakusaidia nn
@RabiaKhalifa-lr8qh11 ай бұрын
Kama haitomsaidia kitu,na hata ya juma nature ww hayatokusaidia kitu