OSTAZ AOMBA ULINZI KWA WAZIRI MKUU BAADA YA KUWANYEA TRA

  Рет қаралды 201,449

Mbengo Tv

Mbengo Tv

Күн бұрын

Пікірлер: 117
@fadhilinzano5840
@fadhilinzano5840 Жыл бұрын
Spirit ya Magufuli naiyona ndani ya waziri mkuu Ana uchungu na nchi na huu ndio mwenendo wa magufuli alikuwa anaongea na mtu wa chini na waziri mkuu ndio anachofanya mungu ibariki Tanzania waziri wetu kasimu majaliwa awe raising wetu
@yesuanikumbukejanuary8363
@yesuanikumbukejanuary8363 Жыл бұрын
Nikweli kabisa wazili mkuu alifaa awe RAISI wetu sema basi nampenda buree ana ijua shida ya wa tu wahali ya chini jamaani watu wana ungua na maisha nyie acheni tuu.
@maisarahnassoro814
@maisarahnassoro814 Жыл бұрын
Tena mheshimiwa huyu ana upendo na huruma na akisimamia jambo analisimamia kweli inn shaa Allaah ipo siku utakua Rais inn shaa Allaah Allaah akupe afya njema umri mrefu wenye furaha na Allaah akupe mwisho mwema husnulkhaatima hii coment inn shaa Allaah nitakuja kuisoma tena kipindi hicho ushakua rais
@abdallahlugendo3221
@abdallahlugendo3221 Жыл бұрын
Waziri mkuu umefanya vizuri sana kuchukuwa machungu kwa kila mmoja na watu wamefunguka kero zao zote kwa uhuru nashukuru Asante sana
@hashimgovea4070
@hashimgovea4070 Жыл бұрын
Ewe mwenyezi mungu mjalie afraid njema kipenzi cha watanzania mh,Waziri mkuu wetu huyu ndio kimbilio wa wanyonge
@rabiahamadi5866
@rabiahamadi5866 Жыл бұрын
Mzee usingetaja sehemu unayokaa lakini big up baba angu
@cutelady7410
@cutelady7410 Жыл бұрын
Hapo ndo alipokosea
@HassanAli-eq8ko
@HassanAli-eq8ko Жыл бұрын
Hongra mh waziri mkuu mola akuongonze kwa kuwatetea wa Tanzania
@fathimamct232
@fathimamct232 Жыл бұрын
Kikubwa utekelezaji mkuu na SI kusikiliza tu.
@leonardnelson5307
@leonardnelson5307 Жыл бұрын
Wachane ostadh 😢😢😢#biashara zetu ndio maisha yetu👏👏👏👏
@rahamamohd3075
@rahamamohd3075 Жыл бұрын
Baba Mungu akulinde
@ankoanko-zz7it
@ankoanko-zz7it Жыл бұрын
Huyu ndio waziri mkuu
@magneticofficialtz
@magneticofficialtz Жыл бұрын
Maajabu mdada ashangilia mpaka kuvua nguo zote kisa yanga wamefunga magori 2
@KabijSaib
@KabijSaib Жыл бұрын
Waziri mkuu anaupendo na huruma sana
@rojatv167
@rojatv167 Жыл бұрын
Niwajibu wake
@renatusmahombwe3093
@renatusmahombwe3093 Жыл бұрын
Ni kweli China inalinda wananchi wake katika suala la biashara duniani kote
@FRESHSLEEMAHMED
@FRESHSLEEMAHMED Жыл бұрын
Kweli kabisa shehee wangu
@oscarkasalile3966
@oscarkasalile3966 Жыл бұрын
Waziri mkuu ni mtu sahihi sana kwenye hili Taifa ila mabosi wake wanamwangusha.
@revocatussebastian2427
@revocatussebastian2427 Жыл бұрын
Wafanyakazi wa Serikali hawaliziki namishahara wanashindana kujenga majumba yakifahari kwa dhuruma kuibia serikali nawanchi kiujumla
@ahmedmukolwe43
@ahmedmukolwe43 Жыл бұрын
Uncle Magu we miss you for sure
@niahpike8593
@niahpike8593 Жыл бұрын
Ccm wakija leta ujinga wakazika alichopanga Mungu juu ya Uyu mh Waziri mkuu haki watapata laana mbaya sana
@maswamills3161
@maswamills3161 Жыл бұрын
Waziri Mkuu MUNGU akuingize IKULU baba
@ezekiasanga9320
@ezekiasanga9320 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana mkuu waziri
@habibarashdi2250
@habibarashdi2250 Жыл бұрын
Watu wamefunguka Sana maskini km jpm alivyokua anafanya
@nuryally7015
@nuryally7015 Жыл бұрын
Namkubali sana waziri mkuu hakuna kama wewe
@ismailysaidy884
@ismailysaidy884 Жыл бұрын
dah wee jamaa gombea urais mimi ntakupigia kampen buree
@mihambomahona8129
@mihambomahona8129 Жыл бұрын
Aje awe Rais wetu badae huyu mwamba
@KabijSaib
@KabijSaib Жыл бұрын
Mubunge alievalia suti blue da,kapendeza❤
@goodluckmlaki5595
@goodluckmlaki5595 Жыл бұрын
Yaan inasikitisha Sana kuona jinsi watu wananyanyasika na utakuta nikakijana kamepata kazi TRA KANAWANYANYASA WATZ WENZAKE
@erickmahona5357
@erickmahona5357 Жыл бұрын
Rip magufuli
@JustineMwarabu
@JustineMwarabu Жыл бұрын
Kweli kabisa ulicho kisema shee umeongea poity tupu
@KabijSaib
@KabijSaib Жыл бұрын
Umefunguka kwa uchungu mnooo
@musagodfrey5729
@musagodfrey5729 Жыл бұрын
Nikimkumbuka yule kijana aliyenikadiria mapato TRA nikashindwa kulipa mpka nikafunga biashara nikaja kutana nae kanisani da! Roho iliniuma na mpka sasa nikimkumbuka Roho inauma.
@esthergasper4815
@esthergasper4815 Жыл бұрын
Daaah aisee
@rashvokotz1205
@rashvokotz1205 11 ай бұрын
🙏🤝kwel sana anacho sema mzee
@mariasmith4301
@mariasmith4301 Жыл бұрын
Safii Sana Waziri mkuu
@DONALDMTOWE-u9g
@DONALDMTOWE-u9g Жыл бұрын
Muheshimiwa sisi watu wachini tumenunua hisa kwenye makampuni simu kwa ushawishi wa serekali mimi nimenunu his 5500 kwa kampuni ya vodacom kwathamani ya karibu milioni tano toka mwaka 2017 ila kila mwaka wanatangaza asara wanafanya biashara kwa fedha zetu sisi hatupati kitu hiyo nisawa?, muheshimiwa waziri mkuu au mnamkono wenu hapo?, maana tumenunua hisa kwenye mabenki ya serekali.
@luisojr3480
@luisojr3480 Жыл бұрын
Daaaa watu kama hawa wajengewe masanamu😂
@leonardnelson5307
@leonardnelson5307 Жыл бұрын
MUNGU atakulinda
@rashidyally8715
@rashidyally8715 Жыл бұрын
Kweli kawanyea 😄😄😄😄😄
@rehema971
@rehema971 Жыл бұрын
Hali ni mbaya sana Kwa ajili majiji ni waizi huwa wanapewa rushwA watu wasikate leseni mapato yanapotea sana na waokata leseni. Wanashidwa kuliba mapato Kwa sababu wanauza beii ya chini
@rashidsalim7078
@rashidsalim7078 Жыл бұрын
Kaka ❤❤❤
@lawijosephezekieli1078
@lawijosephezekieli1078 Жыл бұрын
Najuwa wazarendo watakuunga mkonooo mkuu ila
@masikitikomwakyonde1259
@masikitikomwakyonde1259 Жыл бұрын
Dah TRA wezi kabisa badala ya kuifaidishs serikali ela wanaweka mifukoni mwao
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 Жыл бұрын
Daa inasikitisha
@jumanassoro1552
@jumanassoro1552 Жыл бұрын
Sawa sawa sheikh wangu
@muharamiesther5908
@muharamiesther5908 Жыл бұрын
RIP JPM🙏😢🇹🇿
@athumannyiddy1886
@athumannyiddy1886 2 ай бұрын
Waziri angefaa kua raisi wangalau tungeinjoi
@Eliaskihagatv
@Eliaskihagatv Жыл бұрын
Hongera sana ostaz
@SilasiInnocent
@SilasiInnocent Жыл бұрын
Namkubar waziri wetu 2:24
@ELPHAZJAVANAMONAMON
@ELPHAZJAVANAMONAMON 3 ай бұрын
Hawa mashekh ndo walikuwa wapingaji wakuuu wa magufuli walimchukukia Sanaa, ila amekubli hakuna wakati mgumu kwao kamavawamu hiii ya samia ,ama kwel magufuli ni alale pema pepon
@emanuelsamson-hq2jv
@emanuelsamson-hq2jv Жыл бұрын
Wamekua wiziii sanaa hao jamaaa wananunua magari tuuu herazetuuu niwezi ndioo 😢😢😢
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 Жыл бұрын
Tunashukuru sn mze wangu
@KabijSaib
@KabijSaib Жыл бұрын
Safi sanaaaa sheheeeeee❤❤❤❤
@adoniemanuel908
@adoniemanuel908 Жыл бұрын
nihasira mpaka nimekosea kuandika ni mawaziri wakuvaa nemboo yataifa wanajiita wazalendo
@athumanramadhan7006
@athumanramadhan7006 Жыл бұрын
pp0
@officialdana5114
@officialdana5114 Жыл бұрын
Hii inchi wakabiziwe wafanya biashara tyu
@marthaanton6967
@marthaanton6967 Жыл бұрын
Mungu awabariki sn
@liannsambu7264
@liannsambu7264 Жыл бұрын
Kweli ,foreigners sioni haja yao kufanya biashara za wazawa wakawekeze kwenye miradi mikubwa huko na walipe kodi zote maana hata sisi hatupewi nafasi ya kumiliki hizo kampuni
@hassansaul7098
@hassansaul7098 Жыл бұрын
Mzee katema cheche😂
@AliyussufMakame-js5dp
@AliyussufMakame-js5dp Жыл бұрын
Bora waziri mkuu mupite kwa wananchi kwani wale tulio wachagua wanalala na kuchati tu kwenye bunge
@liannsambu7264
@liannsambu7264 Жыл бұрын
Walikuwa wanasema wakati wa JPM ndo ulikuwa mgumu ,ila huu hapana wakati huu ni zaidi ya jehanamu ,maisha magumu uuuu dhuruma zimezidi wanadharau kama hawatakufa lakini wanajidanganya MUNGU hatowaacha salama ,atashughulika nao
@leylasaid9641
@leylasaid9641 Жыл бұрын
VIONGOZI WOTE WANGEKUA WANASIKILIZA MATATIZO YA WANACHI TUNGEKUA MBALI LKN MPK WAZIRI MKUU.SHIDA TUPU.
@Dymitri-Babushka.
@Dymitri-Babushka. Жыл бұрын
TRA ,kumamae zenu
@gerkombo6512
@gerkombo6512 Жыл бұрын
Ustaz aneamua kuunguza utambi
@JemsiMbilinyi-if5ho
@JemsiMbilinyi-if5ho Жыл бұрын
Zambia Raha sn sukar buku jelo bongo buuku jelo
@FrancisKibona-n6o
@FrancisKibona-n6o Жыл бұрын
Watu lazima wafunguke
@etoyi2664
@etoyi2664 Жыл бұрын
Tanzania tumeshama tumehenda Kenya hatulipi Kodi Kama machinga
@tatoorashedi1787
@tatoorashedi1787 Жыл бұрын
Achani kuwabeba waharifu mtu akikosa mfukuze muweke mwingine kuliko kumhamisha ni kosa la jinai
@saalaf8325
@saalaf8325 Жыл бұрын
Naam mze watufikilie
@chinganasoMungo-vv9cz
@chinganasoMungo-vv9cz Жыл бұрын
Beka favour =
@annadaudi3114
@annadaudi3114 Жыл бұрын
Hii nchi tunaishi Kama watumwa ndani ya nchi yetu loooh Hawa mbinguni hawaendi
@mudhihirugara8845
@mudhihirugara8845 Жыл бұрын
Huyu anaemsifia waziri wafedha huyu nikibaraka waserekari
@wisealiy
@wisealiy Жыл бұрын
@Mbengo Tv Kajifunze lugha ya Kiswahili ili uweze kuzungumza na kuwasilisha taarifa vizuri. "kengere"
@mbengotv
@mbengotv Жыл бұрын
SAWA
@yasiniswedi8835
@yasiniswedi8835 Жыл бұрын
Hmnakitu hpo alikuwA jpm tu Hakuw namzaha kbs
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 Жыл бұрын
TRA wanahitaji usimamizi angalau hata MWKT wa ccm mkoa ahakikishe wanatumia sheria za biashara kwa manufaa ya wafanyabiashara, na walaji ili waache kuzipindisha ama kuzigeuza fimbo kwa wananchi kisa hakuna mtu wa kuwafuatilia,wanakua wannyama waroho wasio na utu wala uaminifu katika nafasi zao!
@masaimollel2525
@masaimollel2525 Жыл бұрын
Waziri wa fedha atimuliwe hivi huyu mama anasikia watanzania wanavyoumia lkn? Waziri mkuu nakukubali lkn km waziri wa fedha ataendelea kuwepo madarakani basi ata wrwe ni walewale tuu, mtikisiko woote huu bado mumukumbatie tuu, atatuibia mpk tukome labda km na nyie mna asilimia zenu huko kweny hiyo dhuruma wanayofanya wazir wa fedha na vijana wake
@semenimpanda-lr7om
@semenimpanda-lr7om Жыл бұрын
Ongea baba
@AndersonMakala-vm6im
@AndersonMakala-vm6im Жыл бұрын
Ostazi
@dominicksangu8934
@dominicksangu8934 Жыл бұрын
Mtasema lkn hao ccm n wafanyakazi wao
@rajabjuma277
@rajabjuma277 Жыл бұрын
inaonekama wafanya biashara kariakoo wengi usalama na ccm ndomana hamna mamuzi mkifunga maduka wiki 2 watatuliza wenyewe hao mnalalamika mnaleta siasa jampen za ccm hizi ni njama tu miaka 50 mnalalamika
@mariamjuma4136
@mariamjuma4136 Жыл бұрын
Ndio maana watu wanaugua magonjwa mengi wakishastahafu kwa sababu ya dhuruma Wanatenda dhuruma nyingi wakati wakiwa kazini na kutumia vibaya madaraka yao😢
@maisarahnassoro814
@maisarahnassoro814 Жыл бұрын
Ni kweli watu wanadhulumiwa hawana cha kufanya wanamhukumia kwa Mungu ndio maana yanawakuta madhila
@mariamjuma4136
@mariamjuma4136 Жыл бұрын
@@maisarahnassoro814 yaani baadhi wajui kama dhuruma mbaya dhuruma ina felisi Dhuruma inaleta maradhi dhuruma ina felisi Dhuruma inaondoa kheri Ukidhurumu unajidhurumu mwinyiwe MUNGU apabariki penye dhuruma Wengijua ubaya wa dhuruma wengiiogopa Ata shilingi moja
@haroubhbm5728
@haroubhbm5728 Жыл бұрын
Weka kauli mzuri mbona walio pita hukusema ma pasta wamepita kavaa kanzu
@BabuJuma-ze6to
@BabuJuma-ze6to Жыл бұрын
Shukrani nawe
@dominicksangu8934
@dominicksangu8934 Жыл бұрын
Katba mpya ndo suruu ya hao hao kwn wameanza leo ??
@kichenjekichenje2072
@kichenjekichenje2072 Жыл бұрын
Hao unaowashukuru ndio wezi wenyewe
@leahmgunda4154
@leahmgunda4154 Жыл бұрын
Katoa fumbo na mbali gharama.
@leahmgunda4154
@leahmgunda4154 Жыл бұрын
Mbalagha na sio mbali gharama.
@emmanuelbaldwin4822
@emmanuelbaldwin4822 Жыл бұрын
Vichee
@TitusBett-rl6gu
@TitusBett-rl6gu Жыл бұрын
Wow 🎉
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm Жыл бұрын
Mchina analipa kodi laki mbili tu? Kwa pato lipi? Kodi I naenda a na pato. Huyu mchina na huyu kaka ni Sawa na mchina msambazaji kweli?
@hidayapaulo6752
@hidayapaulo6752 Жыл бұрын
Acha iendelee kunyesha tuone panapo vuja🤐
@mwakondoyakub2444
@mwakondoyakub2444 Жыл бұрын
Kweli tupu
@aishatest4451
@aishatest4451 Жыл бұрын
❤❤❤
@janethpallangyo3855
@janethpallangyo3855 Жыл бұрын
Mmmhhhhh
@rahamamohd3075
@rahamamohd3075 Жыл бұрын
Wa kwanza leo like zangu
@AmedeKaishe
@AmedeKaishe 3 ай бұрын
Ozaa
@rashidsalim7078
@rashidsalim7078 Жыл бұрын
Wewe ndio kidume
@janethpallangyo3855
@janethpallangyo3855 Жыл бұрын
Mmmmmmmhhhhhhhhhhhhhh
@HajiSilima-r6m
@HajiSilima-r6m Жыл бұрын
Hakuna mtu anaekwenda mbinguni
@richardjmadebe727
@richardjmadebe727 Жыл бұрын
Police kweli wezi unajua sababu hawalipwi sitahiki zao Askari anahamishwa zaidi ya vituo vitano halipwi pango halipwi sare maji umeme anapeleka mhalifu mkoa Hadi mkoa zote ni garama zake anatumia mshahara wake unategemea Nini? Ataishi vp? Lazima tafute kipato Cha ziada
@fredrickkagusa3915
@fredrickkagusa3915 Жыл бұрын
sawa bora uache kazi kuliko kuwa kazini kazi ambayo haina manufaa kwa mhusika ni dhambi kuchukuwa pesa ambayo ipo kinyume na utaratibu yesu aliulizwa na askari na sisi je tufanye nini akawaambia rizikeni na mishahara yenu hivyo kama kazi ni kikwazo ni bora uache pia yesu alisema yuaheri mtu akaingia Mbinguni akiwa anachongo kuliko kuingia kamili ilihari jicho limekukosesha
@onesmoelias2285
@onesmoelias2285 Жыл бұрын
@@fredrickkagusa3915 umetish sana kwanukuuu hzo
@masaimollel2525
@masaimollel2525 Жыл бұрын
@@fredrickkagusa3915 ongera sana ujumbe mzuri
@masaimollel2525
@masaimollel2525 Жыл бұрын
Hacha kazi kwaiyo nawewe si ugome ili serikali ifanye Kuja kuongea nanyi km hivyo kuliko kuwaumiza watu ambao hawana hatia
@ahmadseaman3487
@ahmadseaman3487 Жыл бұрын
sure
@Issaissa-dg7yn
@Issaissa-dg7yn Жыл бұрын
Issa
@EmanuelHabimana-i4m
@EmanuelHabimana-i4m 8 ай бұрын
Muzzekachiwajembe semaamekakosawongoziwakumirikihekaa iriajuweanavoyirimavizuri&😂
@rosemayunga4021
@rosemayunga4021 Жыл бұрын
Rais
@shakirashakira-gc2yw
@shakirashakira-gc2yw Жыл бұрын
Vizuli
@JapharSaid-yj3sh
@JapharSaid-yj3sh Жыл бұрын
Xxxxxxxxxx
How To Get Married:   #short
00:22
Jin and Hattie
Рет қаралды 27 МЛН
JUMA LOKOLE AFANYA DUA KWENYE KABURI LA DIDA, ITAKUTOA MACHOZI
10:28
MWIGULU AKUTANA NA KICHWA KIBOVU, SIKUOGOPI, LEO NAKUCHANA
10:00