MAMA ADAIWA BIL 10 NA TRA, AMSHANGAZA WAZIRI MKUU, ASIMULIA KWA UCHUNGU

  Рет қаралды 219,102

Mbengo Tv

Mbengo Tv

Жыл бұрын

Пікірлер: 168
@NicholasMgaya-jt8ek
@NicholasMgaya-jt8ek Жыл бұрын
Mtanikumbuka kwa mazuri nasio mabaya.
@charlesboniphace2249
@charlesboniphace2249 Жыл бұрын
Na hawa ni wale wenye ujasiri wa kusema bado wale wanaosema namuachia Mungu RIP JPM😢
@mwalimumstaafu8529
@mwalimumstaafu8529 Жыл бұрын
Kwa kweli Magufuli alikuwa jembe. Ndoo maana maafisa wengi serikalini hawakumpenda. Tutamkumbuka sana Magufuli.
@omarykitenge8283
@omarykitenge8283 Жыл бұрын
Huyu Mama ni Mtu na Nusu, how does she get such massive power in business.... An example to keep learning..
@catherinecostantino2034
@catherinecostantino2034 Жыл бұрын
Mtu na nusu nimeipenda hii
@emmanuelmorris5083
@emmanuelmorris5083 Жыл бұрын
Angekuwa magu TRA Jana kazi wangekosa hapohapo bila mjadala
@malandojames5151
@malandojames5151 Жыл бұрын
Waziri mkuu ukiona watu wanafunguka kiasi hiki, ujue watu wanaimani Sana na wewe. Kiukweli mamulaka ya mapato mh!!!!
@zuenakimbago9545
@zuenakimbago9545 Жыл бұрын
Wallah magu angekuepo hao tra wote kaz hawana na huyo mwigulu angejiuzulu bila kupenda. Ooooohh R.l.P mwendazake😭😭😭😭
@mhinahalfan2694
@mhinahalfan2694 Жыл бұрын
Haya matatizo yalianzia kwa huyo mwendazake, ukiwa sio mfanyabiashara huwezi kulijua hili. TRA wakati ule walichukua fedha za wafanyabiashara kwa nguvu na hakuna aliyepewa nafasi kama hii ya kuhoji. TRA iliua watu kwa pressure kufuatia kufunga account zao na kuwabambikia madeni,, ukienda tofauti unapewa kesi ya uhujumu uchumi.. Msiongee kishabiki
@jrrashidi8955
@jrrashidi8955 Жыл бұрын
Sisi wa Tanzania niwashenzi sana atuoneani uruma atakidogo
@EdithaDickson-ob5yw
@EdithaDickson-ob5yw Жыл бұрын
Kwakweli TRA inatunyanyasa sana yaani wafanya biashara tumekua kama watoto wa kufikia Kwa mama wakambo asiye na moyo wa Imani hataaaa.
@winifridakasibu2900
@winifridakasibu2900 Жыл бұрын
Yaani ata ss bukoba ni hivyo2 wanatukomoa
@RIZICKZEBEDAYO-fy6gm
@RIZICKZEBEDAYO-fy6gm Жыл бұрын
Wazili mkuu mheshimiwa wetu kiukweli liangalieni Hilo hawa tra wanawavuluga sana wafanyabiashala.pamoja na polisi nao wanakelo sana
@festohaule9716
@festohaule9716 Жыл бұрын
Hivi Hawa ni Wazawa kweli eheeee!!! Mbona kama sisi ni Wakimbizi tu..Kwanini Tanzania..R.I.P. Magufuli... Tanzania itakulilia Daima milele!!!!!!
@damianimarusu721
@damianimarusu721 Жыл бұрын
P Pp
@jamilajamila4572
@jamilajamila4572 Жыл бұрын
Mama bonge anahera lak8n nchi ya tz inzazambi sana
@user-ic6js4sc8u
@user-ic6js4sc8u Жыл бұрын
Ndio mjue kwamba Magufuli Alikuwa Raisi😢
@lidyakisoka-is4ru
@lidyakisoka-is4ru Жыл бұрын
Tatizo sio Magu tatizo ni uzalendo wa Kiongozi,alikuwa anasema matajiri anataka waishi kama mashetani?yy ndo mwanzilishi wa ili
@hawahabibu3881
@hawahabibu3881 Жыл бұрын
​@@lidyakisoka-is4ru Hujui ulisemalo
@robertmasule4819
@robertmasule4819 Жыл бұрын
Kaka hujui ulisemalo, magu alikuwa yupo vzr Sana kuweka nidhamu
@dianakalimba1109
@dianakalimba1109 Жыл бұрын
Kbsaaaa huu uozo usingekuwepo
@mohammedsururu4047
@mohammedsururu4047 Жыл бұрын
Tuulizeni cc wakulima wakorosho kuhusu magu
@stanleynombwe4865
@stanleynombwe4865 9 ай бұрын
Mwanamke Sasa awe jasili Kama huyu sio Kama Hawa nguchilo wahuku kitaa wa kutuma na yakutolea ❤❤❤❤❤
@nicodemuswidambe5132
@nicodemuswidambe5132 Жыл бұрын
TRA Wamekuwa miungu watu. Utaratibu wa kudaiwa kodi wakati muda kampuni au jina la biashara inaandikishwa ni upuuzi mkubwa.
@lailalaila8206
@lailalaila8206 Жыл бұрын
Harafu wabunge wanasema mama hanaupiga mwinyi kwa sitairi hii kweri kupga mwinyi kwa kuwaibia wananch kweri haki itemdeke
@mohamedelmi7435
@mohamedelmi7435 Жыл бұрын
Aise TRA wallahi wote wata enda motoni yani mama ame fanyiwa kinyama kweli. Lakin najuwa hamna kitu kita fanyika mdomo 2.
@user-rd6mo1zb6g
@user-rd6mo1zb6g Жыл бұрын
Hivi mwingulu si ajiuzulu tuu.huyu mamaake nahisi hajiwezi kwake
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 Жыл бұрын
Hii nchi ya kishenzi sana inaviongozi washenzi walafi
@kazumbelive1987
@kazumbelive1987 Жыл бұрын
ukiona mwanamke ana ndevu ujue ana akili sana.
@willykaovela5485
@willykaovela5485 Жыл бұрын
ndevu na akili nini 😅😅😅 bro hii ni hormone za kiume tu
@JAYSON.J.KILAPILO-pi1yl
@JAYSON.J.KILAPILO-pi1yl Жыл бұрын
Umenenaa mubashara sanaa Ndugu yangu @kazumbelive1987. Mungu akujalie maisha marefu damu yangu.
@pendo8082
@pendo8082 Жыл бұрын
​@@willykaovela5485 mbona mie ninazo😂😂😂
@himidijenga535
@himidijenga535 Жыл бұрын
Ni kweli haswa
@MwanaidiRulimbiye-uf1mr
@MwanaidiRulimbiye-uf1mr Жыл бұрын
Hakika hujakosea ila zinakera sana tunakuwa kama wanaume
@wanguwangu34
@wanguwangu34 Жыл бұрын
inatisha mpaka unatoa machozi, huyu dada ni mfanyabashara
@shabanialfani5394
@shabanialfani5394 Жыл бұрын
Hii Nchi kuna Watu unaweza kuwadharau kumbe ni Mabilionea. Wewe mbona bado Msichana hayo Mabilioni umefanyaje kuyapata? Kweli riziki ya Mtu
@umubyeyisandra
@umubyeyisandra Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂kwa kweli
@mozaaly3487
@mozaaly3487 Жыл бұрын
Riziki anatoa mungu usijadili kapataje unakufuru .mungu humpa amtae na kwa muda wowote .umasikini na utajiri yote ni mitihani ya mungu anakuangalia utashukuru au utakufuru Mwenyezi mungu(s.w) atujajalie wenye kufanikiwa na mitihani aliotujaribu
@pendo8082
@pendo8082 Жыл бұрын
Wenye pesa wakogo kawaida sana
@mwitaagness455
@mwitaagness455 Жыл бұрын
Wala huwa hawaonyeshi, na ukimuona hapo wala huez jua, sas wewe uwe na vimilion vyako unatembea kwa maringo hatari
@shabanialfani5394
@shabanialfani5394 Жыл бұрын
@@mwitaagness455 😜😜😜😜
@injilinjeyakutazakanisa
@injilinjeyakutazakanisa 7 күн бұрын
Hii ndio nchi yetu, Mimi sijutii hata kdg kutoka huko. Tunawaambia mnawaumiza watu hawasikii. Na kushauriwa hawataki
@sheryphamwenevalley6124
@sheryphamwenevalley6124 Жыл бұрын
nchi imeoza rushwa rushwa.kila ukicha
@abednego3876
@abednego3876 Жыл бұрын
Magufuli angewaita ikulu chap, bi fulan yupo bize na mambo ya hovyo
@alexanderdustan8872
@alexanderdustan8872 Жыл бұрын
Chadema njooni huku mseme maana mlikuwa mnasema Jpm alikuwa anaonea wafanyabiashara je haya yametoka wapi ?
@lameckmbele5901
@lameckmbele5901 Жыл бұрын
Mungu awasamehe sn hawa viongozi kwani nimataperi sn ugumu wa maisha tunaopitia watanzania ni kwasababu ya TRA
@petromsomba4523
@petromsomba4523 Жыл бұрын
Pole mama mungu atasimama upande wako
@maganeyxasan8768
@maganeyxasan8768 Жыл бұрын
Kweli noma
@PhilipoBukombe-qs9or
@PhilipoBukombe-qs9or Жыл бұрын
Yaani hii nchi Kuna watu wananyanyasika kama wakimbizi
@mwitaagness455
@mwitaagness455 Жыл бұрын
Yesu wangu nyie...
@allyfutto8763
@allyfutto8763 9 ай бұрын
Aibu aibu aibu kwa serikali ya Tz kushindwa kudhibiri RUSHWA kanakwamba inaruhusiwa rushwaTz🇹🇿
@othumanomari1589
@othumanomari1589 Жыл бұрын
TRA mhu lnna Lillah wainnaillaihi Rajiun 😭😭
@HellenLemilya
@HellenLemilya 19 күн бұрын
Waziri mkuu wetu ana busara ya kutosha umeenea kiti chako
@annahmwakabenga3877
@annahmwakabenga3877 Жыл бұрын
Hongera sana kipenzi
@helencyprian8745
@helencyprian8745 Жыл бұрын
Yaan TRA TRA TRA sijui kama watamwona Mungu siku ya mwisho
@petermwanyondo5370
@petermwanyondo5370 Жыл бұрын
Hawa tra wa Tanzania inatakiwa cku moja wapewe maduka yakuuza hata miez miwili alafu wafatiliwe mapato maan wao wananyang'anya hela zawatu hachukui kod nais vile2 masomo yao yakikodi hayako saw igen nchi jilani
@arqaammsongelwa7567
@arqaammsongelwa7567 Жыл бұрын
Oko sahihi boe,ila kwawakati huu hakuna atakaekuelewa kwakua wote wana perpressure juu ya yanga yao
@jumamavind7713
@jumamavind7713 Жыл бұрын
Hawa wafanya kazi wa TRA inaelekea baazi yao niwatoto wawakubwa ndiyo mana wanakuwa vibiri sana kwwafanya biashala
@RichardKafwa
@RichardKafwa 9 күн бұрын
Pole mm
@issamagambo1879
@issamagambo1879 Жыл бұрын
Rest in peace magu
@muharamiesther5908
@muharamiesther5908 Жыл бұрын
TRA Wapendwe zaidi na Mungu
@idrissaomba8803
@idrissaomba8803 Жыл бұрын
nazani Marehemu angekuwepo hawa jamaa wangelala ndani
@elizaberthbenard6413
@elizaberthbenard6413 Жыл бұрын
Hao mbwa tra hao siku yakihama wakwanza kutupwa motoni wanasiasa baadae tra
@yasinichankanda2090
@yasinichankanda2090 Жыл бұрын
Yaani hiki kikao laiti magu angekuepo idara ya TRA wote wangepigwa chini wote na waziri wa fedha angetenguliwa hapo
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 Жыл бұрын
Watanzania wanapitia mambo magumu sana.
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 Жыл бұрын
Jamani jamani wazili msaidie huyu mama
@user-hq5mo3dx7l
@user-hq5mo3dx7l Жыл бұрын
TRA jamani watumbuliweeee
@ManaseManase-in3bg
@ManaseManase-in3bg Жыл бұрын
Pole mama angu 😭😭
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Жыл бұрын
Mhmm hichi chombo TRA ni hatari sana mtu anamkopo bank mzigo umezuiliwa yani sijui watu waishi vipi
@kamrudinelias3922
@kamrudinelias3922 Жыл бұрын
TRA wanaonea na Wanaonewa vilevile, sasa uangalie hawa wakubwa kwa sababu wakubwa wanatumia mgongo la wadogo kuhalalisha mamboz zao....na walarushhwa ndo wanadidimiza uchumi na haki.....
@user-eb3sr5wi5v
@user-eb3sr5wi5v Жыл бұрын
Bilion 10 sasa hata upewe huo mzigo jaman ufanye biashara,itapatikana?????
@princekarani7836
@princekarani7836 Жыл бұрын
Haiwezi kurudi,labda useme urudishe pesa kiasi basi tu
@allyfutto8763
@allyfutto8763 9 ай бұрын
Dhurma imeshika hatam rushwa shikamoo 🇹🇿
@RIZICKZEBEDAYO-fy6gm
@RIZICKZEBEDAYO-fy6gm Жыл бұрын
Mh wazili mkuu Kuna wakati Hawa tra wengine wawajibishwe tunatengtena roho za watu wanao Anza kuvaa roho za ujasili
@josephwilliammnyune5464
@josephwilliammnyune5464 7 күн бұрын
Ya wafanya biashara ni hayo. Tusubiri ya wakulima.
@yassinhamza1969
@yassinhamza1969 Жыл бұрын
Tanzania nchi ya hovyo kweli kwenye madini wageni mnawasamehe Kodi wazawa sasa wanavyokabwa
@amenyemwansile6919
@amenyemwansile6919 Жыл бұрын
Hayo ni manyanyaso ya serikali kwa raia wake
@theodagharo3069
@theodagharo3069 Жыл бұрын
Yaani mbn tunateswaa hv
@farajiissa560
@farajiissa560 Жыл бұрын
Mm sina iman na hii serikal ya dhaifu ya majangili magendo
@emanuelsamson-hq2jv
@emanuelsamson-hq2jv Жыл бұрын
Waambiee mamaanguu 😢😢
@umbaliche
@umbaliche Жыл бұрын
Hii story haijakamilika, CD imeruka sana. Kuna shida kubwa zaidi.
@hilmialjahdhami9787
@hilmialjahdhami9787 Жыл бұрын
Huyu mama anasema aja fanya biashara miezi minane pesa ya kununua nyumba mtaa wa nyamwezi na aggrey bilioni 10 kapata wapi? Huyu mama anatakiwa achunguzwe kiundani sanaa. Hujafanya kazi miezi minane alafu leo ukanunue nyumba bilioni kumi aaaaaahhhhh jamani kweli Tra wanazingua ila watu kama hawa tuwe makini nao
@swalehemrombo9301
@swalehemrombo9301 Жыл бұрын
​@@hilmialjahdhami9787..Kila biashara inauendeshaji wake na inajitegemea we mbn una chuki na mama wa watu.!? Kwahiyo asizungumzie changamoto za biashara ya nguo aliko wekeza kwa sbb ana Mali nyengine.!? Au wewe sio mfanya biashara.!? inamaana hujui km Kila biashara Ina mtaji wake na ili ikiwemo inatakiwa ijiendeshe kutokana na kile ulichowejeza.!?
@zainabubalama8869
@zainabubalama8869 Жыл бұрын
Tanzania inatia aibu uchafu mwingi Sana. Mwigulu na jop lako mtalaaniwa
@albertratera9096
@albertratera9096 Жыл бұрын
Wameshalaaniwa tayari
@emmanuelbonifas2804
@emmanuelbonifas2804 Жыл бұрын
Nchi yetu lkn tunaishi kama watumwa jaman hv watu wenye dhaman serikalin kwnn mnaona wasio na ajira kama machizi tu
@raismalingumutz8473
@raismalingumutz8473 Жыл бұрын
Tenda haki muongo mungu dunia mapito
@user-cx2qx5fc3w
@user-cx2qx5fc3w Жыл бұрын
Rip magufuli mtetez wawanyonge
@kasomishedrack5027
@kasomishedrack5027 Жыл бұрын
Hii nchi ni hovyo mno.
@shijathedon5453
@shijathedon5453 Жыл бұрын
Dah 😢
@user-pd8gx8ff6w
@user-pd8gx8ff6w Жыл бұрын
Tra inahujumu uchumi wa nchi hii, hii ni hatari sana serikali inauwa wafanyabiashara wake
@fridamwamposalivemakitele2583
@fridamwamposalivemakitele2583 Жыл бұрын
Ndo mama wafanya biashara wanafunga maduka kwa sababu hiyo
@linuskhamsonda9206
@linuskhamsonda9206 Жыл бұрын
watu wanauliza hivi Term Kuubiga mwingi kwa hali hii Bungeni liendelee kutumika?
@isaiahthomas3059
@isaiahthomas3059 Жыл бұрын
Huyu nae wazir mkuuu siyupo hapoo
@NardhisMhagama-sy3eq
@NardhisMhagama-sy3eq 6 күн бұрын
Anadaiwa bajeti ya nchi hata bahresa halipi hivi
@kiehbhzh7044
@kiehbhzh7044 Жыл бұрын
Duuh mtihan sn wallah tz wanatia aibu kwa tabia zao chafu😢
@annasamba8478
@annasamba8478 Жыл бұрын
Mama pole mungu ata simama
@humphrehnkya9370
@humphrehnkya9370 Жыл бұрын
Hatari jamani
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 Жыл бұрын
Watu wanabuliwa jamani .ila naimani na majaliwa atawasaidiq
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw Жыл бұрын
Tanzania wamachinga wanadaiwa billions kodi duuh sasa kama zambia ni wapo lockland bado chini hii ni aibu
@masaimollel2525
@masaimollel2525 Жыл бұрын
Mwigullu apumzike tuu jamani
@jumambarale699
@jumambarale699 Жыл бұрын
Magufuli baba sijui nisemeje ....
@fadhililihinda6491
@fadhililihinda6491 Жыл бұрын
Daa
@rabwarab574
@rabwarab574 Жыл бұрын
🇹🇿INASIKITISHA SANA😭
@harithimahmoud1577
@harithimahmoud1577 Жыл бұрын
Dah hawa TRA ndio mafisadi wakubwa wa nchi
@stevenemwakasimba-pt8er
@stevenemwakasimba-pt8er Жыл бұрын
Yaani watu wako na shida maskini sasa bilion kumi vitenge hiyo haki kweli?kwan viongozi kazi yenu nini hamuwatembelei watu wa chini?bila mgomo ina maana waziri mkuu usingefichuliwa hayo
@johnycavishe5207
@johnycavishe5207 Жыл бұрын
Now nchi wanakla wakbwa t dadeki
@kondoatown8765
@kondoatown8765 Жыл бұрын
Huyu mama anapei aisee
@leopardkomba8434
@leopardkomba8434 Жыл бұрын
Kwa nn mkurugenz wa tra asisimamishwe!!!?
@kondoatown8765
@kondoatown8765 Жыл бұрын
@@leopardkomba8434 tutamsimamisha
@KiongoziMwandamizi
@KiongoziMwandamizi Жыл бұрын
Mi naona TRA watafute namna nzuri ya kukusanya kodi ambayo ni fair na sio kuwindana km panya road. Hafu ni aibu polisi kujifanya TRA kwani kazi zao zimeenda wapi?
@SylvesterKiyabo-tm5yw
@SylvesterKiyabo-tm5yw Жыл бұрын
8
@MohamedKaboza
@MohamedKaboza 3 күн бұрын
Eemungu tusaidie
@estermwakatundu3028
@estermwakatundu3028 Жыл бұрын
Na ambao hatuwez kuongea inakuaje?
@josephkafumu3006
@josephkafumu3006 Жыл бұрын
Daaaa hakyamungu tra no nyoko kabisa
@robertphilip385
@robertphilip385 Жыл бұрын
Katiba mpya nilazima
@abdallahkassim318
@abdallahkassim318 Жыл бұрын
Haya yote si kwamba serekali hawajui, wajanja ndio wataelewa
@samwellwiza1098
@samwellwiza1098 Жыл бұрын
Hatuna wasomi....
@mekumeku2484
@mekumeku2484 Жыл бұрын
10b???????
@bonifasiemanueli21
@bonifasiemanueli21 Жыл бұрын
Inatia Huruma kabisa,TRA wanakera
@4hestatecompany20
@4hestatecompany20 Жыл бұрын
Tunakutaman uwe rais
@lilianurio9781
@lilianurio9781 Жыл бұрын
Mmh
@janethpallangyo3855
@janethpallangyo3855 Жыл бұрын
Mmmmmmhhhhhhhhh
@mariammwinyi6444
@mariammwinyi6444 Жыл бұрын
😭😭
@abednego3876
@abednego3876 Жыл бұрын
Mfanya biashara atakayenunua ilo contena hapo kariakoo ni mpumbavu
@user-nd6bw5qc9e
@user-nd6bw5qc9e Жыл бұрын
Naimani na Majaliwa oya oya2
@jitabojilala6162
@jitabojilala6162 Жыл бұрын
Kuna watu wanateswa sa hivi
@elizaberthbenard6413
@elizaberthbenard6413 Жыл бұрын
Baba magufuli kila nipitiapo krip zako natoa chozi hawa kenge uliotuachia wanatuua
@muhamedjaffar5653
@muhamedjaffar5653 Жыл бұрын
Kiukweli nchi yetu Inaonesha dhahiri wizi unaongezeka na akuna haki.akuna uadilif wa kazi.mtu akiwa na wazifa kidogo.anakua m pigaji.serikali mbovu.polis wizi. Viongoz wizi
Вечный ДВИГАТЕЛЬ!⚙️ #shorts
00:27
Гараж 54
Рет қаралды 13 МЛН
THE POLICE TAKES ME! feat @PANDAGIRLOFFICIAL #shorts
00:31
PANDA BOI
Рет қаралды 21 МЛН
My little bro is funny😁  @artur-boy
00:18
Andrey Grechka
Рет қаралды 13 МЛН
OSTAZ AOMBA ULINZI KWA WAZIRI MKUU BAADA YA KUWANYEA TRA
9:21
Mbengo Tv
Рет қаралды 195 М.
TANZANIA WAUNGA MKONO MAANDAMANO YANAYOENDELEA KENYA
7:00
Lasalo Comedian
Рет қаралды 241 М.
MAPYA YAIBUKA WANAOFANYA SURGERY MATATANI ZAIDI KWA KIFO.
23:52
Вечный ДВИГАТЕЛЬ!⚙️ #shorts
00:27
Гараж 54
Рет қаралды 13 МЛН