Рет қаралды 2,240
Msanii na Shabiki wa Yanga SC, Mbogo MC ameeleza namna alivyopata nafasi ya kukutana na Viongozi wa Klabu hiyo na kuwa miongoni mwa Wasanii ambao wamepewa nafasi ya kuimba nyimbo za kuhusu Klabu.
pia ameeleza ujio wa Wimbo wa Ubingwa ambao utatambulishwa kwenye sherehe za Ubingwa zitakazofanyika baada ya ligi kumalizika