MBOSSO AFUNGUKA UKWELI KUZAA NA ALIYEKUWA MKE WA ABDUL KIBA | BIG SUNDAY LIVE

  Рет қаралды 272,951

Wasafi Media

Wasafi Media

Жыл бұрын

MBOSSO AFUNGUKA UKWELI KUZAA NA ALIYEKUWA MKE WA ABDUL KIBA | BIG SUNDAY LIVE
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 237
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr Жыл бұрын
Yaani dunia imezunguka mpaka inarudi enzi za ujahilia,kuzini siku hizi imekuwa kitu cha kawaida na kuzaa ovyo, imekuwa sifa,,Inna lilah waina ilayhi rajiun
@indirimbotv59
@indirimbotv59 Жыл бұрын
Wawesema ni fashon
@estheroyondi4908
@estheroyondi4908 Жыл бұрын
Napenda story zako sana,,,mabiliani ilileta mtoto wa kike,,much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@safiyatheonlything7848
@safiyatheonlything7848 Жыл бұрын
sema Abdul aliojiwa na media moja hivi jamaa akamwambia kwamba mbosso amezaa na mtaraka wako aliumia sema alijikaza tu kiume inaonesha alikuwa bado anampenda mkewe na kama alisema ajampataraka hivi sema mboss ukumjua kweli jamani
@sakinaabdallah7713
@sakinaabdallah7713 Жыл бұрын
Huyu mbosso mwaka uliopita palitokezea kijana akasema yeye ni ndugu yake hata hakumtia mani Léo vile sifa za zina kajitengeneza kuzijibu inalilah wainailayhi radjioun. Mungu tupe mwisho mwema yarrabi🙏🙏🙏🙏🙏
@mamakeaisha4926
@mamakeaisha4926 Жыл бұрын
Ivi Mwenyewe waona sifaaa???? Tena huna Ata waswas vijana wa kiislam tunaangamia jamaniii yarrab tusimamie na utupe ufahamu wa kufunguka akili turudi kwako inshaallah....
@DJDOPEEPISODE
@DJDOPEEPISODE Жыл бұрын
He is good storyteller
@stuartkudeba
@stuartkudeba Жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/eqaTgKqobbWYmNk
@japhetizo4613
@japhetizo4613 Жыл бұрын
Noma sana naitwa japhetizo kutoka njombe kusin nafanya mziki ingiza youtb sachi japhetizo utapata ngoma zangu kali zote huko asante
@mwigakatumpula5695
@mwigakatumpula5695 Жыл бұрын
Kupenda ngono nisawa na kuendekeza sifa za kijinga maana mwisho wa siku unaibuka na ukimwi bure, umalaya sio dili vijana wekezeni kwa mungu inatosha sana 🙆🙆🙆😄
@mwajumabakari3730
@mwajumabakari3730 Жыл бұрын
Jmn inawezekana ni kweli hakumfahau kwa mda huo mbosso ni star anakutana na watu wengi hasa wanawake
@esthermoraa6648
@esthermoraa6648 Жыл бұрын
Kumbe huyu kaka malaya kwel kwel kuliko boss wake mwenyewe 😂😂😂😂
@jumakassim8718
@jumakassim8718 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@jumasoli7818
@jumasoli7818 Жыл бұрын
😅😅😅😅 wanaume wengi tupo hivyo maana nanynyi mmezdi kuwa warembo😅😅😅
@carinamatt1031
@carinamatt1031 Жыл бұрын
Huyu hatari ana watoto balaa
@sophiahmedza929
@sophiahmedza929 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@ashuramzeru5982
@ashuramzeru5982 Жыл бұрын
😂😂😂😂nimecheka sn
@sakinaabdallah7713
@sakinaabdallah7713 Жыл бұрын
Pesa zimewachanganya hawa vijana mpaka wanamsahau . Mungu bora murudie. Mungu wenu kwani shetani anawapandia juu ya utosi😡😡😡😡😭😭
@zenassylvester125
@zenassylvester125 Жыл бұрын
Hata Mimi simfaham mke wa Abdul kiba kwakwel na mwamba tumecheza mpira wote jangwan 😂
@mariamsaid4381
@mariamsaid4381 Жыл бұрын
Yaani having an unprotected set seems very normal to this guy... so unfortunate...
@asaadalbusaidi1870
@asaadalbusaidi1870 Жыл бұрын
Tajiri wambegu nakubali😂😂
@naturalbeautynkatha5725
@naturalbeautynkatha5725 Жыл бұрын
Mbosso nampenda sana
@jonathankasembi9217
@jonathankasembi9217 Жыл бұрын
Huyo mdada alitaka kuzaa na wasanii ndo sababu Ivo alisubiri akijua siku zake ziko sawa Basi akaja kumsuoporti mbosso...kiufupi alipenda bengu damu za kiusanii
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796 Жыл бұрын
ETI HAKUJUA HUYO DEM ALIKUWA BIBI WA ABDUKIBA AWACHE UWONGO LAZIMA AWE ANAJUA JU ABDUKIBA ALIKUWA RAFIKI YAKE.
@khadijakdj8640
@khadijakdj8640 Жыл бұрын
Yaani Ww unazalisha tu si owowe au ndo unazalisha wagumba dume la Taifa 🤣kwa umri ulionao kuja kufikisha 80 idadi ya wazazi wenziyo itakuwa wengi siyo vizuri
@zeinababdulla8137
@zeinababdulla8137 Жыл бұрын
Hufai kujisifu machafu ulifanya kwa siri Mungu akakustiri leo wasema hadharani.hata umeulizwa hufai kusema mambo yako.Mungu alikustiri leo wajiumbuwa subhannallah.Allah atuongoze,owa kuzini madhambi saana
@neamusic2601
@neamusic2601 Жыл бұрын
Umeongea vizuriii ndg yng.
@zeinababdulla8137
@zeinababdulla8137 Жыл бұрын
Shukran
@shimadosun
@shimadosun Жыл бұрын
Mbosso 💞✨️
@saidwayawaya5356
@saidwayawaya5356 Жыл бұрын
Mbosso ww sio msema kweli.
@neemazee1864
@neemazee1864 Жыл бұрын
Naisi uwo ugonjwa wa kutetema umeambukizwa, umezidi umalaya!!!!
@Official83640
@Official83640 Жыл бұрын
Sasa ndy unaona bora uzae nje ya ndoa kila mwanamke kuliko kuoa ukapata watoto wa ndoa muislam mzima basi utapewa watoto wengine wasiokuwa wako maana ushaona ufahari kuzaa hovyo acha wabebe mimba kwingine waje kukutegeshea ww uwalelee
@khojaAfrique
@khojaAfrique Жыл бұрын
Wimbo Ya Harmonize "Wapo" inaongea mengi.
@zayanazayana5353
@zayanazayana5353 Жыл бұрын
Kw hio dalili ya kuoa hamna nnachokushauri punguza bata kajitibu Gonjwa lko uje ufanye kazi kw bidii watoto 10 kusomesha Sio mchezo na huyo doctor kakudanganya" M'ke ndio kuzaa inakuwa hatar Sio M'me
@mstaraabusantiago747
@mstaraabusantiago747 Жыл бұрын
Sijui nmecheka nini🤣🤣🤣🤣 eti utashootia wapi🤣🤣🤣
@Zahrazahra-ue7bp
@Zahrazahra-ue7bp Жыл бұрын
Yeye katupa watu wameokota achen kumuandama ata akizaanae ariomuacha ndio ajiurize aritaka afedheeke
@dorcaskemmy738
@dorcaskemmy738 Жыл бұрын
Si kwa ubaya but 1hr enjoyment can lead a lifetime Arvs,cheza hiyo careful
@luganoromance8877
@luganoromance8877 Жыл бұрын
🙏🙏
@daudimagendero4694
@daudimagendero4694 Жыл бұрын
Wizara ya afya inakukumbusha msanii Mbosso kutumia condom kwa afya yako ',bado tunaman kuskiliza mzki wako maana unaimba vizur ahsant kwa kusoma
@marrymaganga8585
@marrymaganga8585 Жыл бұрын
Kabisa
@sukariyao6537
@sukariyao6537 Жыл бұрын
😨🤣🤣🤣🤣
@mwanahamisijaheka8078
@mwanahamisijaheka8078 Жыл бұрын
good message
@mlenglewis1747
@mlenglewis1747 Жыл бұрын
Wizara ya afya🤣🤣🤣😂
@nyamwinukankwera3749
@nyamwinukankwera3749 Жыл бұрын
🤣🤣🤣aaaah
@speroachpaulsen
@speroachpaulsen Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@rayanndizeyes3161
@rayanndizeyes3161 Жыл бұрын
Mikumi10 tena mboss
@OMANOman-qc1lm
@OMANOman-qc1lm Жыл бұрын
lakini Safi sanaaaaaa mbosso dawa Yao ao madem wanajifanya wao wanataka kuwajua sana wanaume kila mwanaume wanata kulala nao iyo kazi Yao anae kuja karib yako piga mimba ukisha maliza kwaher sababu au awana maana kabisa utawatunza na kukaa nao vizuri lakini awaridhiki kabisa uko sahihi kabisa mbosso wanyosheeee
@khanniebaraka6047
@khanniebaraka6047 Жыл бұрын
Kweli kabisa hatuna adabu
@andrewmmbaga1665
@andrewmmbaga1665 Жыл бұрын
🤣🤣🤣 tena chapa kwelikweli
@OnyangoLucas
@OnyangoLucas Ай бұрын
Duuu mbosso kweliii napenda story zakooo😢😢😢😢
@farahanafarer7588
@farahanafarer7588 Жыл бұрын
Yaani ni rahisi sana kupata Ukimwi nyie dhu. Sasa kwanini usioe wewe acha ujinga
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi Жыл бұрын
Hii point🔥
@annievibes8794
@annievibes8794 Жыл бұрын
Hao Freemason ndiyo wamempa hayo masharti muongo huyo
@timochazze9845
@timochazze9845 Жыл бұрын
Bili bili bili 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣❤❤❤
@aishahaji3128
@aishahaji3128 Жыл бұрын
Mbosso ,wanangu ukihitaji biriani niambie nitakupikia tena tabu cyo za kisikuhizi
@zuweinaalhabsya8773
@zuweinaalhabsya8773 Жыл бұрын
Eti mboso na wewe kidogo tu tayari
@jamesobedy3940
@jamesobedy3940 Жыл бұрын
Mabiliani,😂😂😂😂😂
@janetahmed6948
@janetahmed6948 Жыл бұрын
Mbosso mi shabiki yako rakini weye malaya sana tu utakuja kuugua ukimwi tu
@nasrahjumah6935
@nasrahjumah6935 Жыл бұрын
Na kama anao je!!!
@zena4746
@zena4746 Жыл бұрын
Sasa akiza nae kunaubaya gani simwanamke 😀😀😀😀
@hassanmohammed3421
@hassanmohammed3421 Жыл бұрын
Angemuowa ingekuwa vizuri zaidi
@zena4746
@zena4746 Жыл бұрын
@@hassanmohammed3421 kuowa ninia nanimoyo pia brother sio kila mtu yupo tayari kuingia kwenye jihadi iyo ndoa ohoo wangine bado wapowapotu hata wanawake pia nivoivo ndoa ohooo nimamuzi makubwa sana
@hassanmohammed3421
@hassanmohammed3421 Жыл бұрын
@@zena4746 basi wasizae zae tuu vitoto vya njee hata mtoto wenyewe akikuwa anajua kapatika kwa njia ya uzinzi tuu
@minnahhassan2229
@minnahhassan2229 Жыл бұрын
Naombaaa kuzaa na mbosso🙈🥰😅
@TwalibuMsharaba-xh5xz
@TwalibuMsharaba-xh5xz 11 ай бұрын
Uwa nakukubali sana mdogo mbosso lakin kwa ili amna umezingua sana ulikuwa unajua tyu ata kama wameachana lakin unajua dem wa mwamba inakuwaje unachomchapia mwezako naww utachapiwa hivyo hivyo kwa md ambao utojua malipo hapa hapa
@queenlaty6788
@queenlaty6788 Жыл бұрын
Wanawake na sie wapumbavu mtu anajinadi ivo alaf kunamwanamke atamvulia nguo kesho
@maryammwinyi932
@maryammwinyi932 Жыл бұрын
Yan wanawake tun akil mbov kwel😔😔😔
@babyhamisi1437
@babyhamisi1437 Жыл бұрын
Hii ni hatari sana kupata ugonjwa ni rahisi sana
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 Жыл бұрын
African young boy never broke again.
@fatumajumanne5961
@fatumajumanne5961 Жыл бұрын
Huo n umalaya unamwanamke ndan halafu unahangaika nnje.
@GoEunbeol_049
@GoEunbeol_049 Жыл бұрын
Tajiri wa mbegu ,anawahonga na Wana 😂
@ARAFATVSHOW
@ARAFATVSHOW Жыл бұрын
Manshallah ❤️
@barinesnanjala
@barinesnanjala Жыл бұрын
Manshallah
@shaneshane4175
@shaneshane4175 Жыл бұрын
Bas simuwe mngoja mtu aongee kuliko kuingilia kwajuu tena acheni ajieleze bas
@azooclassic2543
@azooclassic2543 Жыл бұрын
Khan unama scene mtu wangu😃😃😃😂
@shadyaloaf8694
@shadyaloaf8694 Жыл бұрын
Yaani mbosso nakupenda bureeee
@THEMADOLLAHSHOW
@THEMADOLLAHSHOW Жыл бұрын
Mbosso my guy
@farahanafarer7588
@farahanafarer7588 Жыл бұрын
Muongo uliona ndoa kabisaa sii kweli weqe muongo kabisa acha ujinga inamaana hukuona Abdul alioa.Acha ushamba na ulimtumia DM ulinuaje
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi Жыл бұрын
Usilazimishe ulichokiona et lazima nae aone🙄🙄
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 Жыл бұрын
Mbona makasiriko😂
@duhrurhhddhheud8575
@duhrurhhddhheud8575 Жыл бұрын
​@@TM.Sullusi Wanadhan kila mtu ana muda wa kufata ya watu
@hassansammy1076
@hassansammy1076 Жыл бұрын
Mbosso biriani respect bro🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@salimumohammedsalimu1720
@salimumohammedsalimu1720 Жыл бұрын
Nijambo baya saana kujidhulu nasfri kisha unaeleza ubaya ulofanya hakika mungu hapendi na vitendo hivyo vimekemewa kwa umma wa kiislam
@khadijanjama8721
@khadijanjama8721 Жыл бұрын
Shikamoo mbosso
@husseinbakromar5865
@husseinbakromar5865 Жыл бұрын
hakuna watoto wa nje ya ndoa hawana baba ila tu muhusika wa mimba anafaa amsaidie mama mtoto majukumu acheni kupotosha vijana wa kislam zingatieni mipaka ya dini
@arqamibnarqam.7185
@arqamibnarqam.7185 Жыл бұрын
"Watoto wa nje ya ndoa wapo kwa mujibu was sheria ya kiislam".Mipaka gani izingatiwe?
@emmadora7848
@emmadora7848 Жыл бұрын
Hawana baba mbegu zao zimetoka kwa nyani?
@zubeidashabhan2188
@zubeidashabhan2188 Жыл бұрын
@@emmadora7848 🤣🤣🤣🤣
@zubeidashabhan2188
@zubeidashabhan2188 Жыл бұрын
@@emmadora7848 wanaharamu hao
@luendosabah2047
@luendosabah2047 Жыл бұрын
Biliani Biliani
@merrysister5871
@merrysister5871 Жыл бұрын
Unataka umsaidie kumlea😂😂😂
@pamanyango8917
@pamanyango8917 Жыл бұрын
Kwani wewe mbosso na abdulkiba, mna testi moja kwa wanawake? Ndio tukio itoke kama Mara tatu, inamaana mna testi moja
@isaiahbaruani8849
@isaiahbaruani8849 Жыл бұрын
My gosh " biliani" is what really I need to know it literally
@stonnerke7901
@stonnerke7901 Жыл бұрын
Mbosso story kibaooo kweliiiii🐵🐵
@jeda1234
@jeda1234 Жыл бұрын
Toba uwe na fikira hizo bor kuzini so vizur
@lilianjeremia1024
@lilianjeremia1024 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌ila mbosso 🤣🤣🤣🙌
@princessbim6096
@princessbim6096 Жыл бұрын
Uowe sasa upate watoto wengine ndani ya ndoa
@khadijakdj8640
@khadijakdj8640 Жыл бұрын
Kwahiyo ndo Maana unazalisha hivyo kisa wamesema madokita🤣je m/mungu ndo mpangaji
@binthkhamisi1097
@binthkhamisi1097 Жыл бұрын
Alf mujulish kuwa yko na mtt wkiume tyumemyoan kafanana nae naende kushulikia damu yke...naende kuangalia mbengo Tv mtt kavaa su2 ya rangi y dongo...
@mnyamapaslee6111
@mnyamapaslee6111 Жыл бұрын
Wakwanza leo
@fadyasnednassor
@fadyasnednassor Жыл бұрын
Basi hukumpenda km ungempenda usingejali kuhusu Kuwahi kuolewa kwake na Abdu you weren’t a man enough na yeye haina umuhimu kukwambia ameamua kuweka life style yake private Sio lazima aweke wazi Maisha ya zamani kwako coz that is her Past you Man up and be real Maana you aren’t real …
@MohammedAli-mf3ln
@MohammedAli-mf3ln Жыл бұрын
Unalaya tanzania ni nwingi sanaa hata ushoga nwingi hata issa katajwa
@chipulavevo4441
@chipulavevo4441 Жыл бұрын
Diamond
@kolethafabian2618
@kolethafabian2618 Жыл бұрын
Story tamu.
@teddyelizabeth9358
@teddyelizabeth9358 Жыл бұрын
Kajielezea vzuri sana😍😍😍😍
@siaraexclusivemediacr7834
@siaraexclusivemediacr7834 Жыл бұрын
Mhuu Mambo
@margaretnyamwilahila292
@margaretnyamwilahila292 Жыл бұрын
Huyu anafikiri ni sifa kuwa na watoto kila kona?? Kwanza haheshimu wanawake!! Jamaa mpuuzi sana!
@maryndinda4864
@maryndinda4864 Жыл бұрын
Wasafi wanapenda gono kweli
@zarmussa2695
@zarmussa2695 Жыл бұрын
God
@abuukamanda.s.mkenga6687
@abuukamanda.s.mkenga6687 Жыл бұрын
Kweli we ni tajiry wa mbeggu🤣
@nancykisero4604
@nancykisero4604 Жыл бұрын
Kijana Malaya kushinda hata huyo boss wake Simba.
@byerabajulizy7252
@byerabajulizy7252 Жыл бұрын
Yani huyu nae pua zimemtanuka kama tanuru la moto wa jehanamu😭😭😭😭... kuwa makini jaman ukimwi upo uwiiiiiiiiiii unaona sofa eti kuduuu bila kinga jaman uwiiiiii Mungu tunusuru maana hao wanao liwa huko asubuh jion wanakuja kukiwa na wame za watu wanapeleka magonjwa nyumban kwa wake zao😭😭🤔
@husnawaziri2945
@husnawaziri2945 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@kombakomba7922
@kombakomba7922 10 ай бұрын
Jamaniii 😂😂😂😂😭
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 Ай бұрын
Uko sahihi mboso wanawake wengi wanachanganya wanaume
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr Жыл бұрын
Hayo maradhi ya moyo kmbhutofanyia bidii, hata huko kuenjoy, hutoenjoy
@pastorGentil1990
@pastorGentil1990 Жыл бұрын
Mbosso zaasana pls Kama mngu amekujalia kuasaidia totoa baba
@najimahgomez3334
@najimahgomez3334 Жыл бұрын
Mmmmm kk wewe una mwaga tu eeeee
@mvumoextratv
@mvumoextratv Жыл бұрын
mabiliani hayo😂😂
@mishimwarabu1824
@mishimwarabu1824 Жыл бұрын
😂😂😂😀😀waitwa waume
@estherkimario7940
@estherkimario7940 Жыл бұрын
Kwan yule mke wa abdukiba alofunga nae ndoa siku moja na Ali kiba walishaachana jaman
@mhoranomuno7358
@mhoranomuno7358 Жыл бұрын
Ila Mbosso anajua kuhadithia
@zuqkazii
@zuqkazii Жыл бұрын
mbosso
@jumasoli7818
@jumasoli7818 Жыл бұрын
Ukimsema kuwa Malaya mtu kisa kazaa na wanawake tofauti co kwel huwez kujua chanzo nn mpka inakuwa hivyo usihukumu 2
@aishajumaa9787
@aishajumaa9787 Жыл бұрын
Na nyie mkituona wanawake tumezaa nje ya ndoa msituitege malaya hamjui tumepia mangapi mbaka tumefikia hapo
@tatudevis6525
@tatudevis6525 Жыл бұрын
Si mtuliye ww dada kiherere tulia
@daawatsalaftz1510
@daawatsalaftz1510 Жыл бұрын
Mnajifanya wasaani vioo vya jamii kumbe ni Public Toilet
@PUKTTAMEDIA
@PUKTTAMEDIA Жыл бұрын
Wakuu Pitieni kwangu
@ahmadsalim6782
@ahmadsalim6782 Жыл бұрын
Uyu lil omy namuona SANA ni mbinafsi hampi jamaa uyo bonge nafas YA kuongea
@elizabethfrancis16
@elizabethfrancis16 Жыл бұрын
Kumbe tupo wengi nilihc peke yangu mbinafc cyo kdg
@zennahmtoto1867
@zennahmtoto1867 Жыл бұрын
Mabirianii😂😂😂😂😂😂😂😂
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 Жыл бұрын
Hii ni aibu kweli kweli.
@mbwanakiting7180
@mbwanakiting7180 Жыл бұрын
Acha ushamba kuzazaa hovyo ata hao matajiri wanawatoto 2
@jumasoli7818
@jumasoli7818 Жыл бұрын
Ww naw tukifatilia kwenye family yako utatuambia mpo wawil au muache apate watoto ilimlad anawatimizia mahitaj
@yusrasalum
@yusrasalum Жыл бұрын
Mbosso hapo umeongopa ulikua unajua kama alikua x wa abdukiba mana lazima kwenye maongezi yenu nauyo mwanamke lazima alikwambia wee wazalishe si tunataka wenyewe
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796 Жыл бұрын
KABISA UMEGONGA NDIPO
@bettyshikoh6191
@bettyshikoh6191 Жыл бұрын
Mbosso ata mashairi yamuishe,atafanya comedy🤣🤣
@officialgrace1844
@officialgrace1844 Жыл бұрын
Please mwambieni mboso ana copy yake huku wanafanana sana
@barakakatana5398
@barakakatana5398 Жыл бұрын
Baada ya Biryani Mbosso akaabiria
MBOSSO - "ASLAY ANATAKIWA APEWE HESHIMA KUBWA KWENYE MUZIKI"
13:45
Wasafi Media
Рет қаралды 650 М.
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
00:17
OKUNJATA
Рет қаралды 22 МЛН
Nutella bro sis family Challenge 😋
00:31
Mr. Clabik
Рет қаралды 12 МЛН
버블티로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 122 МЛН
JUX - HUDDAH NI PISI KALI KULIKO VANESSA MDEE | BIG SUNDAY LIVE
13:57
Mbosso Perfomance Big sunday live
35:56
Mbosso
Рет қаралды 505 М.
POR QUEEE DIVERTIDA MENTE 2 !!! #SHORTS
0:15
Figuritalo
Рет қаралды 41 МЛН
Какая погода у тебя за окном? У нас вчера был ураган!
0:40
Какая погода у тебя за окном? У нас вчера был ураган!
0:40