Mungu ibariki sauti ya chadema ✌️🇹🇿 wa Tz tumechoka sana
@allytv17143 ай бұрын
Yaan hii nchi masikini ni wengi wenye ziki ni wengi na wasiyo jua haki zao ni wengi lkn hayo makundi yote ndo yananunulika siku za uchaguzi na kupewa kanga na kofia na sukari ,mchele pia pesa wanauza haki zao wanateseka miaka 10 na shida zao
@DeficitNuts3 ай бұрын
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
@DeficitNuts3 ай бұрын
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
@ANRAHIMKADUMA3 ай бұрын
Kwa hiyo hizi nyumba za viongozi familiya yote inalipwa mishahara Jamani Mrudieni Mungu hii dhuluma ya hali juu kesho mtajibu mmepeleka wapi Jasho la Watu
@babalao9103 ай бұрын
Dhuluma tunaichagua wenyewe.
@user-eo4bl3do8k3 ай бұрын
Watanzania bado wamelala fofo,ukija uchaguzi wanakwambia ccm mbele kwa mbele, HAKIKA INASIKITISHA ,,,CCM HAIFAI INATUFANYA WATANZANIA KUWA MAFUKARA
@DeficitNuts3 ай бұрын
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
@StephanoMoses3 ай бұрын
NDIO MAANA DENI LA TAIFA LINAZIDI KUKUA NA LINATUUMIZA SISI WANANCHI MAANA WALAJI NI VIONGOZI NA WENZA WAO ILA WALIPA DENI NI WANANCHI. TZ TZ Nakupenda kwa moyo wote
@DeficitNuts3 ай бұрын
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
@LucasNtalima3 ай бұрын
Jamani kama ni kweli wabunge mwogopeni Mungu waangalie idara ya afya puguzeni mishahara muwaogezee kama mnautu hao ndio wanahangaika na uhai wenu.
@adkajisi45363 ай бұрын
Kuna Walimu pia
@DeficitNuts3 ай бұрын
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
@omarybakunda25543 ай бұрын
Wanasiasa nyie ni wapumbavu sana. Hamna uwezo wowote wa kubadilisha maisha yetu sisi tunamtegemea Mungu 2
@@LuganoPondo-km8ubhilo jamaa sijui limeenda shule au halijenda,,nafikiri darasa LA 3 ,nafikiri ni chawa LA mama
@ngamugamahonzelosanga33163 ай бұрын
Mbowe upo sahihi unaongea ukweli baadhi ya viongozi wameziba pamba masikio lakini ukweli tunataka katiba mpya CCM wasikikilizeni wananchi acheni kupuuza puza kizazi hiki sio cha lipite bila kupingwa wala ndio mzee ni kizazi cha wasomi wanaohoji pia acheni kupeana vyeo kwa kujuana au wale wale miaka yote ni vibaya sana Hongera sana Mh Mbowe unatufungua masikio
@DeficitNuts3 ай бұрын
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
@oklahommy98383 ай бұрын
Mulipokuwa wabunge mulileta hoja za kupunguziwa mishara yenu bungeni ...hebu acheni hizo zenu hata kama ni kutafuta huruma kutoka kwa wananchi lakini sio hivi 😂😂😂
@Mumewangu3 ай бұрын
Wameishiwa hawa
@mgoamkiza11173 ай бұрын
Muongo huyo mbowe😂😂😂😂
@LusajoKabuka3 ай бұрын
Wewe jee!!!msitundanganye acha tuishi mungu ndie msaada wa kututoa kwa yeyote anatuonea kwenye pesa wote mmepotea
@richardmbasha14113 ай бұрын
Tumia akili kidogo bana na wewe..ah
@allytv17143 ай бұрын
Mungu anasema jisaidie na mimi ntakusaidia
@EdwardJohn-xz5oi3 ай бұрын
Kitabu gani hicho??@@allytv1714
@herybertsabai65033 ай бұрын
Lakini sio kwa chadema @@richardmbasha1411
@peterdeus60933 ай бұрын
Huu ndo ujinga wa waafrika sasa hapa MUNGU anahusikaje
@MagrethMallya-we8ui3 ай бұрын
Kuna wajinga wanasema Mbowe ana njaa, knina zako, huoni alivyonenepa mbwa wew
@DeficitNuts3 ай бұрын
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
@augustinesombi62853 ай бұрын
Sasa kwann mlikuwa mnamtukana JPM,,, mzee wangu nakuombea Sana, ulivyofariki,, na mm kama mjasiriamali mdogo nikafilisika, love JPM, R.I.P my president
@user-jc8vi7hm6e3 ай бұрын
Wewe ni kama mimi ndugu yangu toka pale kila kitu kimefilisika
@josephmantago28373 ай бұрын
Hoja yko nn
@ramadhanmwandambotuntufye59723 ай бұрын
Hata yeye hakuwa na jipya hata huyo anayepiga kelele akipewa nchi naye atakuwa ni wale wale tu.
@user-oh6pc7zd4s3 ай бұрын
Muuaji yule aliepoteza roho za wanyonge kibao duu bado mnamkumbuka yule dictator?Aaaa ok kwa sababu hawajauliwa baba zako,wajomba zako,ndugu zako wala kutekwa na kubambikiziwa kesi za uongo wewe ni aina ya watu wabinafsi na wenye roho mbaya ya wengine hayakuhusu.Una roho kam ya Magu ukikosolewa kixogo tu umeondoka na roho ya mtu.Poor on uuuuu.
@aishaabrahaman99573 ай бұрын
@@user-oh6pc7zd4sweweee mavuzi kweli
@silivestatesha92623 ай бұрын
Unapesa sana mbowe mungu kakubariki sana nautajiri naumarufu watu wamachame tuna kukubali sana kaka yetu mboe
@DeficitNuts3 ай бұрын
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
@JacksonMartin-pb2vq3 ай бұрын
Mlikuwa wabunge mbona hamkupeleka hoja bungeni mpunguziwe ni unafiki tu
@StevenGendo-vx9jo3 ай бұрын
Nyambole ww
@StephanoMoses3 ай бұрын
Mkumas ww
@boniventurehussein72763 ай бұрын
😢eh mungu tusaidie maskini wa Tanzania maana ya mke.nini? Nikumhudumia mumeo analipwaje tena? Da😢😢😢😢
@DeficitNuts3 ай бұрын
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
@dorothmsuya16863 ай бұрын
Tangu dunia iumbwe maisha hayajawahi kuwa rahisi! Sema sera mzee Acha kukauka koo bure!😂😂
@Mumewangu3 ай бұрын
Kweli kabisa anapandikiza chuki kwa police
@luckiiinuswe17253 ай бұрын
Nyie n mitapeli mnaopinga@@Mumewangu
@MiriamAbdallah3 ай бұрын
@@luckiiinuswe1725tena yakupindukia
@AdenAdiliano-rh8zf3 ай бұрын
Hata wewe mwenyewe ungekua Rais haya tusingeyasikia Mimi siko na Chama ila Wana siasa waliowengi ni kujali familia zao to
@user-ox4fv4cf5l3 ай бұрын
NA YEYE ATWAMBIE YALE MABILIONI YA RUZUKU WALIYOPEWA NA MH.SAMIA YAKO WAPI??
@timcee26703 ай бұрын
ni kodi za wananchi sio pesa za Samia, kwenye demokrasia ni lazima na sio ombi kila chama kipewe ruzuku
@peterjengela17703 ай бұрын
Ruzuku ya chama wamenunulia jengo ambalo sasa ni OFISI YA CHAMA DAR NA TAIFA
@simonitaagesti47653 ай бұрын
mbona kipindi upo mbunge ukuleta izo hoja ndugu yngu kwani miaka yako hao walimu awakuwepo
@augustinesombi62853 ай бұрын
Waambie kabisa,,kelele tu leo
@jumakapilima72953 ай бұрын
Nikweli, Ila alichosema pia nikweli
@AugustKisaka-qy7kl3 ай бұрын
Nikiwa raisi ya nchi hii mbuge atalipwa kama walimu wa kawaida ,shule zimechakaa ,azina rangi mnalipwa Hela kibao
@DeficitNuts3 ай бұрын
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
@user-gc5vf8sh7f3 ай бұрын
Yaan mda mwingine unawezasema "mimi si M tz,mana hatuelewi, Najua kuna viongoz wa upinzani wanatufungua masikio, Asante kamanda Mboe🎉
@abbassaid93053 ай бұрын
Mbona kipindi upo bungeni ulikua hulalamiki upunguziwe mshahàra mzee acha unafiki
@godfreyvedastus43293 ай бұрын
Kwani kipindi kile yy akiwa bungeni ww chakula ulikuwa unanunua bei geni? Je, mishahara ya Walimu na police ya kipindi kile na leo imebadilika kama ilivyo ya wabunge wa leo?
@dignakanje45083 ай бұрын
Yesu kristu mbinguni,kweli alisema magufuli hii nchi inshla narisilimali kubwa,sasa kwahyo baba yngu lazima umasikini uwepo mkubwa,hli yamaisha IWE ngumu kuliko,vitu virakuwa juu sana,mabando ytakuwa juu sana,kwasababu tu wameamua kujilimbikizia Mali nafedha.Hawezi kukubali kubadilisha katiba miaka mia.Kwapesa hizo wanazopkea,nastarehee hizo turasali jmn.Duuu mpka moyo unagonga
@thomasmichaellukumai-ny7se3 ай бұрын
Mbona ukuongea ukiwa uko ukusema hayo
@DeficitNuts3 ай бұрын
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
@user-fn1iv1hk6h3 ай бұрын
Wa600
@user-bm4nu8xp4t3 ай бұрын
Hawa wanafki tu. Kama mlkuwa mnalipwa mil.13 hamkuona tatzo kipndi hicho mkaibua leo hii mpo nje ya system ndo mnajifanya kuongea. Mungu atusaidie sisi watanzania
@godfreyvedastus43293 ай бұрын
Gharama za maisha za kipindi kile na sasa zimebadilika sana, kama wao wamejiongezea mishahara kulingana na Hali ya maisha je hili kundi lingine linaishije? Kuweni welewa basi mbona mnafikiri kwa chuki na kuchukulia mambo kirahisi?
@rukiauwonde70623 ай бұрын
Leo ndo mnasema kwa kua hampo mafarakan mbona mlivyokuwepo madarakan hamkusema?
@Enugundani82993 ай бұрын
Hapo ndiyo unasema nn dada?
@monicamwita78653 ай бұрын
Kwa taarifa yako. Alipokuwa bungeni, wabunge wa upinzani ndiyo wanaotutetea.
@ezekieldeus60222 ай бұрын
Hivi nikwanini, watz, wale wanaopata nafasi za ajira serikalini wanajipa haki zaidi ya gawio la keki ya nchi hii kuliko hili kundi la watz, wa nchi hii?. Je hiyo ndiyo haki?.
@zakariamachinga1513 ай бұрын
Mwenyewe mwizi wa Madini Tanzanite ndiko umepata fedha mboe tunakufaham sana, Dawa yako alikuwa Magu.. katiba ya Watanzania na sisi wenyewe inatutosha sana , sehemu ya kubadili ni hakuna vyama vingi kimabaki chama kimoja
@amoslameck26013 ай бұрын
Mhhh kumbe nayeye ana serikali
@KamwandaNzowa-eo4ur3 ай бұрын
Kama kweli Kuna serikali isiyo na huruma ni hii ya ccm
@patriciamuganda44983 ай бұрын
Ni uchoyo, ubinafsi na roho mbaya. Ina maana mtu katokea kwenye background ya kimaskini hajali watu wengine wanaoteseka. Wao wanaona kuwa nchi hii ni Yao tu na kila resources belongs to them. "Its I, Me And Myself". Lakini hiyo ni mentality ya watu waliotoka kwenye background ya umaskini kawaida wanataka ku grab kila kitu as if there is no tomorrow.
@AyubuMwalongo3 ай бұрын
Siku moja nikifa niende mbinguni. Amen 😭😭😭😭😭
@DeficitNuts3 ай бұрын
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
@rev.livingstoneelihuruma-fk7es3 ай бұрын
MUNGU atuinulie viongozi wazalendo watakaotuongoza kuijenga nchi yetu kwa moyo.
@ramadhanimtetu36563 ай бұрын
Wanasiasa ndio munaoongoza kuila Nchi Wewe Mbowe mwenyewe hapo Na CHADEMA yako Munakula mamilioni ya Ruzuku kutoka ktk kodi za wananchi maskini
@StevenGendo-vx9jo3 ай бұрын
Kamwambie baba ako nae ale
@ramadhanimtetu36563 ай бұрын
@@StevenGendo-vx9jo Mdingi ni Mkulima maskini Bahi hapa Analima alizeti tu Sio MWANASIASA kama Mbowe
@hamidumpiga62833 ай бұрын
Ulipokuwepo bungeni ulipokea na ukakataa,umetoka leo unatomboka tombola acha unafiki
@DeficitNuts3 ай бұрын
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
@rebekakulwa61593 ай бұрын
Raus kapata wapi pesa ya kumpa mbowe ameuza karafuu huko zanzbar acha ujinga pesa zote ni za kwetu. Walipa Kodi kakojoe ulale
@V24hrs3 ай бұрын
Mwenyekiti wa milele .
@DeficitNuts3 ай бұрын
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
@allytv17143 ай бұрын
Watanzania awawezi elewa unachoongea kama siyo mzalendo jamani mbn izo pesa za raia wanagawana ivo na family zao
@stephenwakunyala40043 ай бұрын
Kweli Imekuwa Selikali ya Matapeli kwa Mishahara hiyo
@kingmpeto45103 ай бұрын
Kumbe mbowe nae unasauti ya kike mzr kiasi icho kwa Nini usingekua mtoto wa kike tu tujue 1😂😂
@user-mm6fe9vz2p3 ай бұрын
Unastahili kuwa raise wa nchi hii
@MohamedAhmada-ie7ke3 ай бұрын
Jidanganye
@nabimanyafesto50143 ай бұрын
Ndiyo maana tunaumizwa sana, na deni la Taifa kupanda.
@AdamSaffi2113 ай бұрын
Watu tuna akili ya nzi, hawakuelewi hao, CCM watakula mpaka waharishe na kutapika
@methewbuzuruga-eg8oz3 ай бұрын
Yaani ndugu yangu mbowe maneno hayo maneno yako yanatuumiza sana sisi wanyonge ila maneno hayo kwa jamaa zetu ndiyo kabisa hawakubali katiba kabisa
@ramadhanmwandambotuntufye59723 ай бұрын
Hapo tu kwenye pensheni ya ya maraisi waastafu, 80% na wake zao 60% , du inatisha!! Na mbunge naye mshahara million 18?kwa wengine nchi hii ni maskini , pesa hakuna , hali ikiwa nzuri , utasikia wakisema. Haya bana yetu macho. Haki iko mbinguni tu .
@saidabdus90143 ай бұрын
Mlipokuwa mkilipwa mlikua mnapokea au mliacha?
@FahadAbubakari3 ай бұрын
Zito Kuna kipindi alitoa hoja wapunguziwe mshahara hao wakiwa wabunge walitaka wamtenge wapuuzi sana hao
@paulmadundo80843 ай бұрын
miCCM MITUPU MBOWE HATARI
@TECHEASY1013 ай бұрын
👉kwakua uchaguzi unakaribia ningependa kuuliza .Hivi kipi kianze kati ya katiba mpya na uchaguzi.👉Je tuchague viongozi kwanza ili waende kutuongoza jinsi wanavyojua wao kwakua katiba ya sasa wananchi hawaitaki!👉.Au tuandike kwanza katiba mpya ambayo viongozi watakaoteuliwa baadae wawe na mwongozo ambao wananchi wameuchagua ya namna ya kutuongoza?. 👉Na kama tutaamua kuanza na katiba mpya kwanini uchaguzi usisogezwe mbele ili kuepusha kisingizio cha mda? Maana Uchaguzi ni kwaajili ya wananchi na katibampya ni kwa ajili ya wananchi kwaiyo wananchi si wanatakiwa waamue mambo haya wapate kwa mda gani? 🙏🙏
@barrynzeyimana62703 ай бұрын
Raia wa Tanzania wanadanganywa ka hawa wanasiasa. Wapi ambapo mfumo wa maisha haujapanda duniani? Wapi wabunge wanalipwa Mishahara midogo? Angasema kua anakwenda kurudisha sehemu ya pesa alizopewa bungeni
@Mumewangu3 ай бұрын
Wameishiwa hawa
@jumakapilima72953 ай бұрын
Hatukatai wao kulipwa, tatizo kubwa wanajilipa wao Tu, wengine wanawalipa kidogo Hilo ndio tatizo
@user-hh3hu4eg1z3 ай бұрын
Inawezekana Kodi yangu inawafanya watu wavimbe
@DeficitNuts3 ай бұрын
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
@tabiasaidi29313 ай бұрын
Ivi kweli huo ni mkutano wa hadhara au kikao cha familia
@ANRAHIMKADUMA3 ай бұрын
Familia zinashindwa kusomesha watoto kumbe kuna mafedha yapo majumbani kwa viongozi punguzeni hizo zisaidie wengine
@rashdiyange77583 ай бұрын
Sija ona shida iko wapi ata wange kua wana lipwa mabilion si wame tumikia nchi pasavyo wacha waleo pesa zao.mpaka kufa
@elbaricktv16323 ай бұрын
Lakin kweli hii sawa aisee izo pesa ni Bora hata watoe mikopo isiyo na vikwazo kibao Hadi kuipata kwa mwananch mmoja mmoja sio had vikundi ili wafanye biashara lakn leo hii hata kuipata mikopo TU ni tabu wakat Kuna watu wanachezea pesa za nchi
@DeficitNuts3 ай бұрын
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
@hamidumpiga62833 ай бұрын
Kwanza mnaudini sana natulisha washtukia
@Enugundani82993 ай бұрын
Anaesema udini ndiyo mdini, acha udini ndugu
@EdwardJohn-xz5oi3 ай бұрын
@martinsindani8299Na ww umeona ehee
@efrahimphilipo43373 ай бұрын
Yaani tanzania rahisi sana kuongoza we tumia2 dini au ukanda unawaburuta kama kondoo waendao machinjioni hawana ata uwezo wa kufikiri hata kidogo oooh may lord have mercy on us
@erastomathias9113 ай бұрын
Ni kweli kabixa
@DeficitNuts3 ай бұрын
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
@AugustKisaka-qy7kl3 ай бұрын
Nawe mbowe kuwa mkweli mbona wakati ukiwa bungeni sijawahi sikia nondo kama hizi,ok tume amka katiba ni ya muhimu
@othmarluwawilo83083 ай бұрын
Leo maskini wanaletewa mchele wenye sumu na Marekan, watafanyaje, huku viongozi wa serikalini wanatafuna Mitaji ya maskini?
@DeficitNuts3 ай бұрын
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
@noelmaro74563 ай бұрын
wangeongea walivyo kua bungen ningeona ni akili
@AntonyDova3 ай бұрын
Inatisha sana dah
@kalebphilip34263 ай бұрын
Kama kwel haya ni ya kwel badi ccm ni zaid ya shetan aliyeko dunian,
@user-le2ep5nq8c3 ай бұрын
Sawa sisi wastafu Wacha tufe na kikokoto
@katapaj23363 ай бұрын
Mboe ni ccm kubali kataa😂😂😂
@zakariamachinga1513 ай бұрын
Mboe si masikin ni mwizi wa madini
@rizikifungo87173 ай бұрын
Miladi onesha uhalisia wa hadhara usidanganye
@husseinothman12573 ай бұрын
Kwakuwa tu haupo mjengoni.
@edsonpetro37543 ай бұрын
Niatali
@ashahania52073 ай бұрын
Mhhhh! Ayaa!
@dorothmsuya16863 ай бұрын
Hata wewe asali ya ubunge ulilamba na hukulalamika! Mbowe bwana! Toa sera zako! Wewe utafanyaje???😅😅😅
@Mumewangu3 ай бұрын
Wameishiwa tu huyu
@amanmaleko30853 ай бұрын
Wambia maana watanzania sikiolakufa
@nicebatare27373 ай бұрын
Ukapeleka wapi😂😂😂😂😂
@hemedisalim55223 ай бұрын
Wewe unataka apeleke wapi?
@user-xc7qj7ze7m3 ай бұрын
Kweli blo kitaa kwa moto
@DeficitNuts3 ай бұрын
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
@jafaryshuigwa91623 ай бұрын
Wewe mwenyewe mchumia tumbo tu kama wachumia tumbo wengine na hauna hoja yoyote ya msingi zaidi ya kupiga kelele tu
@saleheinnocent76363 ай бұрын
Nahamia Senegal soon
@DeficitNuts3 ай бұрын
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
@mgoamkiza11173 ай бұрын
Mboye unasera jamaangu bali huo ni uchonganishi
@kedricksiame61673 ай бұрын
Mpiga picture mbona kama wewe ni mwana CCM unavo piga huzingatii
@user-nz9eb4ud6y3 ай бұрын
Hapa wanaotuangusha ni vyombo vya dola pindueni vitu ebo
@deodathsilayo36393 ай бұрын
Bas akitusanua hiv mamwijaku yana mchukia
@DeficitNuts3 ай бұрын
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
@Mumewangu3 ай бұрын
Millard ayo umelipwa bei gani
@user-hi3ri5yc1r3 ай бұрын
Wekula ugali tu hujielewi
@husseinkonz51923 ай бұрын
Hapo mbowe umeongea kama kamanda kwel
@adelinelyaruu30363 ай бұрын
Hii nchi tunakoenda sivyo jamani
@Mumewangu3 ай бұрын
Hana lolote alipokuwopo Bungeni mbona aliluwa kimya
@youngchezo27443 ай бұрын
Duuu!
@hamidumpiga62833 ай бұрын
Kodi za ruzuku wanachukua ambazo ni kodi zetu wapumbavu
@gwamakagwamaka3 ай бұрын
Mungu akutunze mbowe ila watranzania baadhi yao in mazuzu wew tunakuombea kila itwapo leo
@margarethpolepole74383 ай бұрын
Gwamaka Siasa mchezo mchafu je yeye kama angekuwa Rais angekataa mkewe asilipwe mshahara halooooo ya Ccm kila mtu anakula urefu wa kamba yake
@saleheinnocent76363 ай бұрын
@@margarethpolepole7438Akili mbovu hio Bibie
@DeficitNuts3 ай бұрын
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
@yohanaisayasimoni3 ай бұрын
Mishahara ya wabunge ipunguzwe hii itagarim taifa yetu
@user-oh6pc7zd4s3 ай бұрын
DICTATOR WA DEMOKRASIA MNGANGANIA. MADARAKA JEE UKIPEWA NCHI WEWE UTAKUAJE?DU MINGU ATUNUZURU KWA MBALI KABISA.HUFAI HUNA DEMOKRASIA NA HATA HUIJUI.
@JosiaWmela3 ай бұрын
Mungu akupe neema uzid kuwapigania watanzania
@bundalaizina6523 ай бұрын
Mbona wafanyakazi wengine hawafanyiwi hivyo
@tabiasaidi29313 ай бұрын
Ww una huruma na nan
@AugustKisaka-qy7kl3 ай бұрын
Katiba mbovu imepita muda wake
@laiserkuyan60753 ай бұрын
Waaaaa mungu tunakuomba uikopoe nchi yetu sisi wananchi wa chini tunatezeka juu serikali ya uyu mama samia kila kitu imekua juu uko vizuri muechimiwa mbowe Taifa letu imeuswa na samia na kikwete na mkewe
@sskondopoleani96163 ай бұрын
Hayo ni mazungumzo ya siasa, Mbowe akiwa Rais mpaka kuku wake atalipwa. Aache hizo, anaing'ang'ania IKULU kwa ajili ya tumbo lake na sio wananchi.
@Jal2103 ай бұрын
Shukuru mungu Tanzania maendeleo mazuri nenda KENYA uone economic growth two chini
@Jal2103 ай бұрын
Mbowe huna lolote umepotea mwelekeo
@StephanoMoses3 ай бұрын
Unagongwa na popo
@kingmpeto45103 ай бұрын
Kengeza wewe 😂😂😂 unaitfuna Chadema husemi umewaharibu vijana apo Chadema wengi wao hawana tofauti na Afande Rama wa Zanzibar ayo hamsemi. Chadema ni chama Cha udini na ukabila hamsemi mpo kim'ya chura nyinyi mwananiliwi ckuiz anapaka mkorogo ushamwaribu
@margarethpolepole74383 ай бұрын
Mbowe ungekuwa wewe ndiyo Rais ungekataa mkeo asilipwe mshahara acha hayooo kila jambo na wakati wake mbona wewe ulikuwa unakunywa Faru John kuwatsfuna wabunge wako wa Viti maalum
@yuzotv4583 ай бұрын
SHKAMOO SIASA,UKIIJUA HII HAIKUPI SHIDA😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.use your brain.
@marceljohnkimaty49863 ай бұрын
Hata mlipokuwa mnakula milioni 13 hazikuwa chache. Za sasa 18 zinawauma kwa sababu mmezikosa. Shame on you!
@jumakapilima72953 ай бұрын
Ingawa na wewe ulikula ule mpunga, bado wenye busara tunakubali kuwa maneno yako ni mazito na ya msingi, ni wakati sasa wa kuamka,,,,ingawa tunashindwa sasa tumpe nani ikiwa wewe mwenyewe ulikuwepo bungeni na ukala mpunga mkubwa huku polisi, walimu na watumishi wengine wa serikali wakilipwa kiduchu
@joojombi23413 ай бұрын
Mbna duniani kote maisha yamepanda mpuuzi wee
@stevenmariwa51973 ай бұрын
Kakojoe ukalale wew Bado hujui maana halisi ya maisha ya mtanzania
@joojombi23413 ай бұрын
@@stevenmariwa5197 hakuna chochote maisha magumu duniani kote c Tanzania tu nenda Kenya Uganda ukaone. Wamekosa hoja now ni kubwajaja tu hata hawaoni aibu mafatani na waongo wakubwa hata dini zao hawaziogopi kwa maneno ya uongo ufatani mtupu
@joojombi23413 ай бұрын
@@stevenmariwa5197 wee c mkenge tu fatani mkubwa kama wao mlokosa issues mnahangaika na uongo mtupu. Njoo Zanzibar tukulee Maandazi wahed
@allymahiyo24643 ай бұрын
Mjomba hauna point sikuiz umekua kama mbwa Koko.
@joojombi23413 ай бұрын
Fatani mkubwa mchochezi mkubwa huna hoja mkenge mkubwa