Huy alikuwa upinzani akasema ccm mbaya, huyu hyu leo ana sema chadema wabaya, jaman tuelewe lipi?
@ChoroTesla2 ай бұрын
Mganga njaaa
@Uhuru12342 ай бұрын
Hata msigwa angeongea ukweli bado hawazi kueleweka,labda angejitenga na siasa angeonekana wa maana,lakini kutoka hapa kwenda pale ni sawa tu na mchezaji wa mpira anafuata penye hela.
@frankomary38882 ай бұрын
aache siasa atakula wapi 😂 ndo maana anaangaika kitafta tundu
@andrewmaiga43312 ай бұрын
Mshangaza sana aisee, elezeni mambo mazuri ya CCM na siyo kuongea mapungufu ya Chadema. You are so weak.
@wisdomfolks2 ай бұрын
Yani inanipa maswali sana mtu umekulia ccm mpaka unazeeka hujawahi hata kuteuliwa mwenyekiti wa bodi ya tumbaku alafu anakuja mtu anataka apewe nafasi inaumiza kwa kweli
@rkcomercialenterprises32092 ай бұрын
Msigwa acha akiba ya maneno. Muda ni mwalimu mzuri
@obadiamwakatuma41622 ай бұрын
Uchu wa madaraka unamsumbua.. Kajamaa kanataka kuongoza na siyo kuongozwa. Kelele zote hizi ni kwa sababu ya kukosa uenyekiti wa kanda ya Nyasa.
@leandryMmassy2 ай бұрын
Ungeondoka Chadema kabla ya kushindwa uchaguzi wa kanda kidogo ungeeleweka.
@MageriMageri2 ай бұрын
Njaaa mbaya jamani
@PhilkevinFelix2 ай бұрын
Mchungaji Peter Msigwaaaaaaa.
@HamisiSamweli2 ай бұрын
Kwenda huko hatukutambui
@ThobiasMarandu2 ай бұрын
HII NI TAKATAKA TU
@damsonwilson52022 ай бұрын
Mi Sio Chadema hila hawa msigwa na mwenzie hawajielewi
@amanimahamudu51182 ай бұрын
Siasa ni mbaya aise msigwa ametembea na LISU nchi nzima akipinga mkataba wa bandari akisisitiza ccm inauza nchi leo tena anayakana maneno yake.
@josephfrancis99432 ай бұрын
Kuma ww huna akili fala ww umekosa umwenyekiti unajifanya ww ccm ww tapeli hapo umeahidiwa nafas ukikosa utarud ulikotoka
@hamzakimaro37642 ай бұрын
msigwa ni mchungaji,na ni mkweli sana hapendi uhuni uhuni!!
@NyembeSamwel2 ай бұрын
Wwe nimhunitu unaongea ujingatu hamnachamaana
@raphaelmacha11732 ай бұрын
Naona unapoteza mwelekeo wa kiuchungaji mbona huzungumzii tena kuhusu wamasai na akili ndogo kuongoza akili kubwa mnatumika na wanaccm kama wapiga debe wao wamerilax kweli vipande vya hela vinapoteza ukweli mmekuwa waongo kuliko mlivyokuwa chadema
@admaumsengi42302 ай бұрын
Njaa Kali inakusumbueni pelekeni huko upumbavu wenu msigwa na huyo mwenzio
@saidiathuman-og6bc2 ай бұрын
Mungu piga nyundo ya kichwA kwawale ambao waongo
@salomeshongola16972 ай бұрын
Hivi jamani ccm na nyie munasimamisha Masikio kusikiliza ngonjera za Msigwa.kwanza vuteni kumbukumbu alipokuwa chadema aliwanangaje.Huyo ni kirusi kukosa uongozi munatapatapa.
@fidelfidel-jz4iw2 ай бұрын
Piga mawe Mh msigwa wanafikili hao chadema wahuni wengi male huo ukweli Tanzania tunashanikia ujinga ujinga bila.
@mtwaharutwahily40342 ай бұрын
Kwahyo nchi hii chama ni ccm na chadema 2. Au vingne ni chadema B. Au. Ccm B eleza mambo yaliyo fanywa na ccm
@Dismasmmassy2 ай бұрын
Kila siku mbowe mbowe...kweli nimekubali ccm mnaiyongopa chadema
@AnastaziajumaAlly-ix7xn2 ай бұрын
Hivi nyinyi nani alie wataza mpaka kila mtu akawajua ? Hii nchi inawatu waajabu sana kiufupi nyinyi ni wasaka tonge mnajali matumbo yenu tu
@jordanmwamlima75792 ай бұрын
Hivi kuna wahuni zaidi yenu mnaongelea Nyumba mliyoiacha kweli!?
@andrewkilave35322 ай бұрын
Tumbo lingekuwa kama mgongo haya yote tusingeyaona wala kuyasikia
@RBMBAKARI-bv6wn2 ай бұрын
Ni wakati wa kufahamu upande wa pili nashangaa wanaompinga msigwa asiseme mambo ya chadema .sasa mnataka tuwe tunasikia ubaya wa ccm kila wakati hiyo sio demokrasia tunayoililia
@mxfsedtirzАй бұрын
CCM na chawa zake mnatishwa na kuumizwa na uimara wa Mbowe kuweza kukiimarisha CHADEMA. Mbona havisemi kama ACTWazalendo,NCCR,CUF au vinginevyo? Wivu wa kichawi utawaangamiza. Msigwa jicheki unavyotembea uchi hadharani! Aibu yenu ni kubwa sana eti!
@yohanakateko2 ай бұрын
Car wash hakuna wateja Rudi iringa
@hamidabarraball31622 ай бұрын
Ondoka hapa hujui unacho ongea umeshaondoka chadema kwanini unawaongelea kila siku? Umejisahau wewe ni CCM?
@RashidMwasiposya-ck6py2 ай бұрын
Njaa ni mbaya sana
@jordanmwamlima75792 ай бұрын
Peneza ndiyo wewe dah!😂😂😂
@robertmakuza50312 ай бұрын
Elezeni shida za Wananchi Chadema siyo matatizo ya Wananchi hamweleweki hata mtoe machoz ya damu kuisema Chadema wakati nyie ndo dola
@ZawadyKaoneka2 ай бұрын
Cc hatuna shida na ccm ila issue ya setiva😂😂😂😂😂😂😂 Bado ni question mark msigwa division fyooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@samsonsimon31382 ай бұрын
Ccm inamtumia msingwa kw kuziba njaa zake ili aipode chadema kazi yake na yy amepewa hiyo na katibu mwenenzi wa ccm analipwa hela kuziba njaa zake ila aendelee kuipoda chadema
@frankomary38882 ай бұрын
Ivi uwa hawana hoja za maana zaidi ya kusemasema kule walikotoka?
@lewangamunishi14802 ай бұрын
Kauli inakuwa hizo hizo kila sehem
@rambostalon28882 ай бұрын
Ww ni msaliti kama jeshini unapigwa risasi
@exaverysimon10642 ай бұрын
😂😂😂😂 ILA KWEL NIKIIANGALIA CHADEMA SILION BARAZA LA MAWAZIR WENG N KAMA WASINDIKIZAJ TU
@mxfsedtirzАй бұрын
Wewe Msigwa ni mpumbavu kiwango cha pimbi unafikiri waziri mkuu ni lazima awe Kasimu Majaliwa ,waziri wa fedha awe Mwigulu Nchemba? Mind you position is not a possession .
@isackphilipo98702 ай бұрын
Mbona unataka kujinyea kajiangalie nyuma mi nadhani unakaribia kujinyea
@zawadiluvanda81622 ай бұрын
Msigwa acha ufala ongea ya huko uliko hiyo yote ni njaa inakusumbua
@conasmalale10732 ай бұрын
uyu nae dishi limeyumba njaa mbaya sn
@igulug54502 ай бұрын
Mwehu tu kama wehu wengine
@eddechriss26642 ай бұрын
Huko makanisani muwe mnatoa sadaka za kutosha ili vioja km hivi vijitokeze tena
@MathiasLima-b7v2 ай бұрын
Msigwa mjinga amekura matapishi yake mwenyewe nikama mtu wa arisema hawezi kununurika kwa vipande vya fedha kununurika Hiro Hana aibu jamaa
@joannoel-g3r2 ай бұрын
Kwani msigwa toka umeenda CCM umeenda na agenda ya mbowe tu au kipi kilikuvutia CCM ndio unapaswa kutuambia umevutiwa na nini CCM sio mbowe alafu mbowe sio taasisi ni mtu dili na chadema sio mbowe kwenye mwenye akili timamu anakuona unachuki binafsi grow up bro
@zaherashamte1058Ай бұрын
We njaa 2😢
@FadhiliMwaitete-ls2li2 ай бұрын
Huyooo chizi amekaza shingo na mishipa yake kama yule shetani mnyonya damu lakini ukumbuke ulikuwa wapi si hukohuko chadema mpuuzi mnafiki
@mbokhamumwaliswaha81382 ай бұрын
Msigwa, hustahili kulitaja jina la Mungu wetu. Ni msaliti wewe na mganga njaa. C DM walikuwa na akili kukutosa walikujua. Njaa mbaya sana, huyu dada anaponda CDM iliyomfikisha hapo alipo. Hata CCM wenyewe wanawashangaa Msigwa na wewe dada.
@johnmakonge2 ай бұрын
Wewe mwenyewe ni mhuni
@peterkimaro93362 ай бұрын
mbona htujawahi ona ufisadi wa CHADEMA
@MembiLema2 ай бұрын
Wewe ni njaa Kali uliyo nayo. Unamtukana alie kulea. Ni uchiziiii
@mohamoudhussein45702 ай бұрын
Njaa Mbaya sana imetoka kwenye tunbo imehamia kwenye Ubongo.Sasa kwani usietangaze Mazuri ya CCM
@AdamNdojeti2 ай бұрын
Ww mchungaji wahovyo kabisa
@NakembetwaKitundu-tn7xx2 ай бұрын
Bila kujali mambo ya vyama wanasiasa sijawahi kuwaelewa ni kupondana tu wakat wananchi wanataka kusikia mtafanyia nini mkipata nafasi.
@ExecutiveHouseKeeperElewana2 ай бұрын
Huna mpya brother
@boniphacewambura14272 ай бұрын
Msigwa achana na chadema toa sera kila siku mbowe mbowe Mbowe au unataka akuoe sema huenda ww shoga
@Peterchipemba2 ай бұрын
Msigwa mbowe sio Tanzania,,,ongelea matatizo ya watanzania tutakuelewa,,mda woote mbowe mbowe. Shida nini,,au ndio ilee kwamba itukane chadema tukupe madaraka
@ElishaLaizer-d8s2 ай бұрын
Wewe yuda unasemaje hiyo tunajua hiyo umekosa uongozi ndio maana unasema hvyo
@wilsonandlea86142 ай бұрын
Msigwa iyo njaaa jaman
@innocentmlacky2 ай бұрын
Mpenda madaraka huyooooovyoooo
@CalistusTitus-s5o2 ай бұрын
Msenge tu uyu
@ZabronJonathan-b5s2 ай бұрын
Walifisadi nini wakati hata pesa ya mafuta ya magari wanachangiwa na wananchi.
Yaani anakinomoa chama alichotumia miaka mingi kukijenga
@DamielMaroa-nv3jh2 ай бұрын
Atakuwa shoga mkubwa naomba xana CCM waachie gazi
@jizzotheking92382 ай бұрын
wanaomsikiliza ndo wapuuzi, unamsikilizaje msalit na unampigia makofi, huyo ni mnafiki, angekuwa na akili angebak sehemu moja,
@ChristianMkumbo-ix2ke2 ай бұрын
Mchugaji umeshiba makande sasa untowa harufu mbaya
@adrianmnzava81652 ай бұрын
aongelee sera za chama chake,naona ashapotea njia huyu
@GoodluckTarimo-u3j2 ай бұрын
Takataka imepelekwa dampo huna sera msigwa kalale kila siku chadema chadema ulitaka kukiuwa chama gafla ukafa wewe poleeeeeeeee
@christopherngereri762 ай бұрын
Duuu..sawa
@marionoti57602 ай бұрын
Hakuna mpumbavu kama ninyi, mmekosa uongozi mnaloloma. Acheni uwongo na umalaya. Mbona huko mlikokimbilia ndio nyumba ya mafisadi. Badala ya kuipigania nchi mnachafua mlikotoka ili kujipendekeza kwa ccm. Umehamia CCM unahangaika kuisema Chadema, huoni kuwa hao unao wahutubia wanakuona punguani? unatafuta umaarufu kwa kuwanyea walio kulea. Ni kujidhalilisha.
@sixberttindwa96222 ай бұрын
Njaa tuww
@JohnMwita-u8p2 ай бұрын
Una matatizo gani msigwa elezea sera za ccm chadema isiwe ajenda
@RomanMwinyi2 ай бұрын
Oya masela uyumzeee mzm kweeliiiii au mweuuu
@piusmdoe32002 ай бұрын
Yaani huyu ni bwege
@Uhuru12342 ай бұрын
Yaan unaweza ukawa jukwaani ukahisi unaongea kitu cha maana kumbe wanao kusikiliza walisha kudharau mwanzo mwisho
@exaverysimon10642 ай бұрын
CCM MITANO TENA TUNAJIANDAA KUMPOKEA TUNDULISU SOON😂😂😂
@MathewNathan-yb2bz2 ай бұрын
Ndio ujue kuwa nchi hii rushwa na ufisadi unaasisiwa na chama tawala.Yaani wamemnunua huyu kwa kazi maalum ya kuja kuichafua Chadema.siasa chafu ,za kijinga na za hovyo kabisa zisizozingatia utu,ubinadamu,haki na utanzania wetu.Halafu wanawahubiria watanzania kuwa wao wamekulia katika dini na kufundishwa maadili mazuri.Eti Afrika tuna maadili yetu,maadili gani ya kudhulumiana,kutesana,kuuana,kuibiana kura,kutekana,kuonea wengine,kula rushwa,kuwa mafisadi,wabadhirifu,wezi.Tena bora hata wakati wa ukoloni wa mtu mweupe ulikuwa unathamini utu na haki zetu kuliko hawa wakoloni weusi.
@ZuleOlla2 ай бұрын
Usaliti bwanaaaa
@HamisLeo2 ай бұрын
Hatutaki ujinga, mara mbowe marà amezungukwa acha ujinga
@emmanuellugata30192 ай бұрын
Ww mweu hujitambui hiki sio kizazi Cha wajinga kama mlivozoea, nyie nyumbu
@ChristianMkumbo-ix2ke2 ай бұрын
Akili imehamiya tumboni
@benjo_brighter2 ай бұрын
Hii ni kama umeishi na mke miaka yote. Siku mkiachana tu,anatangaza kwa watu kuwa una kibamia 🙄😏
@VictoriaPeter-p9g2 ай бұрын
Mmh leo hii wewe ndio wakusema haya duuh,Dunia simama nishuke
@ambakisyembughi18622 ай бұрын
Jaa tu zako
@MahedaSayi2 ай бұрын
Ww mpumbavu tu huna lolote si ulikuwepo chadema? Leo hii unaisema vbaya chadema
@AlhajiIssa-jb9hr2 ай бұрын
Hueleweki Msigwa nonsense 😂
@AsiaChengula2 ай бұрын
Msigwa kwahyo hoja zako kila siku ni chadema??
@mariammasawe6392 ай бұрын
Huna jipya
@yassinnabwera42732 ай бұрын
Nguvu hiyo ya kuizungumzia unaipata wapi Msigwa?
@dennisungonella2052 ай бұрын
Wengine wanaendelea na mikutano, wengine wanazuiwa, duh
@OdiloMagungu-uf5is2 ай бұрын
Wanasiasa Malaya Malaya kama akina msigwa hawafai kuwa viongozi wa nchi wewe ni ni mpuuzi tu
@taylorkasitu38192 ай бұрын
Malaya wawili wamekutana kwenda kuuza mwili kwa mafici