Mungu akutunze na kukulinda Mh.Mbowe na viongozi wote wenye mtazamo chanja juu ya nchi yetu
@phillipmasungwa736511 сағат бұрын
MBOWE UPO SAHIHI KABISA.
@Hashimu-e2i11 сағат бұрын
Mungu akubaliki mbowe
@jongosalehe103611 сағат бұрын
M4C congratulations sana lazima watu waishi vzr kabisa serikali ya sasa inadidimiza sana wananchiiii
@binseif221611 сағат бұрын
Magufuli 4 change
@Zuwenamachela10 сағат бұрын
Imedidimiza wananchi Kwa lip
@mynameisindicatedСағат бұрын
@@binseif2216😂😂😂😂😂
@saigurannekoren75229 сағат бұрын
Mbowe n genius wa siasa, a very humble Man
@ireneshao795011 сағат бұрын
Mbele kwa mbele na Mungu tusaidie
@plujoncylugano46119 сағат бұрын
Mh.Mbowe Rais ajae hakika anaweza sana
@abouAtqaah7 сағат бұрын
Atafika kufa hawezi kuwa raisi
@onlythestrong86592 сағат бұрын
Hawezi kugombea tena. Sheria ni kwamba ukisha gombea mara mbili huruhusiwi tena. Kwahiyo alie baki ni yoyote katika chama chake. Lissu❤
@oliviaseth46527 сағат бұрын
Mbowe tuvushe, unapigwa mawe sana, kwa kuwa una matunda. 🙏🏽
@mohoniajoseph90679 сағат бұрын
Mzee Mbowe ana hekima kubwa sana, basi tu CCM ni kichwa ngumu wangeshikamana
@LazaroMwakasege11 сағат бұрын
Ongera sana kamanda mungu akulinde na udhalimu unaoendelea kwa tunao mujua mungu hatupaswi kutenda mabaya
@Zuwenamachela10 сағат бұрын
Lazima umpongeze kafiri mwenzio Maana yeye ni askof naww ni mfuas wake Kwahyo sawa lkn fahamuni kuwa muda utaongea Inshaallah mnapitia Kweny kisingizio cha siasa kumbe Nyuma ni kanisa na ukafiri kwani ni mara ya kwanza watu kutekwa nchi hii mbn waislam walruseswameuawa Zanzibar kipindi cha Mkapa na kipindi cha magufuli huyo aaskof alikuwa wap au muislam akifa sawa ila mtu wa chadema anathamani kuliko wengine wanaokufa et kisha unasema demokrasia anzia kwako umetawla. Miaka mingp Kama mwenykiti wa kanisa la chadema mbwa foolish
@CollinsMacha11 сағат бұрын
Mungu tu saidie Tz
@rajababrahman43652 сағат бұрын
Mungu akubariki sana Akutumze na kukuweka salama Hila za machawa ziparaganyike Mungu tusaidie Tanzania 🇹🇿 Mungu tumevamiwa na machawa tunaomba tusaidie
@LeonardEdward-fb2bn7 сағат бұрын
Binafsi mbowe namwelewa saaaana,, very Smart
@hoseanobocka714046 минут бұрын
Mbowe ana uwezo mkubwa mno wa kufikiria Yuko smart sana kichwani
@iddiakule784410 сағат бұрын
We ndio mwamba wa demokrasia nchi hii
@anicetnhegetela8 сағат бұрын
A very nice,and confident speech
@deniccgabriel61538 сағат бұрын
Uyu mmama awezituongoza Bali anaweza kutuondoa katika urithi wa aridhi ya nchii ambayo Mungu alituweka😢😢😢
@nyembobea72853 сағат бұрын
Mbowe hazungumzi kwakejeli kama wewe unavyomuita rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania daktari samia suluhu hassan mitano tena umelaaniwa wewe na mwalimu wako lisu jinsi anavyo muita rais wa nchi huyu mama kingine hivi katiba yenu chadema ni mbowe kukaa kama chairman maisha huu mwezi ni wa majonzi kwenu chadema vipi asiimwe kule bukoba na wale watu watatu dodoma nyinyi hawawahusu ccm walikuwa wanauliwa kibiti hamkuomboleza mlikaa kimya sasa uchaguzi ukaribia mmeanzisha siasa
@jacksonrange39269 сағат бұрын
Inauma sana kumteka na kumuua mtu et..kisa yy ni chama tofauti na ww inauma sanaaaaaa
@user-yp9qh6cb7q9 сағат бұрын
Mbowe ww ni kiongozi makini sana Mungu wa mbingun akubariki sana
@gililwise4 сағат бұрын
Asante.sana kaka mi siyo mpinzani ila uhai wa mtu ni zawadi binadamu anayopewa na Mungu naomba uheshimiwe.ameen
@hoseanobocka714045 минут бұрын
Safi sana wewe unajielewa sana kaka big up
@ntegrity2778 сағат бұрын
Freeman as your name! Very smart man
@NicIbrahim11 сағат бұрын
God 🙏 be with you
@salamwajeka-yo6su10 сағат бұрын
Mungu akubariki akupe ulinzi imara
@ntegrity2778 сағат бұрын
HUYU SIO MTU WA KAWAIDA, MBOWE IS SMART KIKUBWA NI KUWA NA KIONGOZI WA UPINZANI AMBAYE HANA NJAA
@DorkasKamau11 сағат бұрын
God bless you
@JacobMbosalee10 сағат бұрын
Mr MBOWE well said
@hoseamwambambale350311 сағат бұрын
Ukweli wako we mzee nacho kukubali maneno yako yamejaa busala na hekima ukweli we unafaa kua kio cha jamii mzee
@eatlawe9 сағат бұрын
Huyu mtu ni kiogozi bila maswali!
@josephmallya55258 сағат бұрын
Asante kaka wa Taifa
@salvatorymushi20388 сағат бұрын
Mzee upo smart sana Natamani nijiunge kwa hiki chama
@neemanziku54037 сағат бұрын
Jiunge Kaka toka huko kwenye chama Cha shetan ccm
@salvatorymushi20387 сағат бұрын
@@neemanziku5403 fanya namna nijiunge
@HappyKate-jv6ge5 сағат бұрын
Karibu kaka salvatory mlango upo wazima CHADEMA ni chama Cha watu, people's power
@salvatorymushi20384 сағат бұрын
@@HappyKate-jv6ge 👍👍
@prospermsemwa14336 сағат бұрын
Hotuba ya mbowe ni zaidi ya hotuba ya presdent😊
@helencyprian87455 сағат бұрын
Kabisa kabisa
@zaherashamte10589 сағат бұрын
❤nakupenda
@Ars-t2k10 сағат бұрын
Pole sana mkuu. Tupo pamoja
@King_Of_Everything4 сағат бұрын
Nice speech CHAMP. ✌️
@JoelRichard-hj3biСағат бұрын
Thanks a lot genius mbowe.
@alexanderchacha85855 сағат бұрын
Mbowe ni mtu Makini sana Mungu akutunze
@Mrkigoma5 сағат бұрын
Mbowe mkarimu saaaaaana ❤🎉
@sixberthcostantini92905 сағат бұрын
Mungu azidi kukupa hekima siku zote Nimeskiliza unavyoongea kiukweli umeonyesha kuongea kwa uchungu sana MUNGU azidi kukutunza
@happymrema748710 сағат бұрын
Ccm must go
@shaibushalo98056 сағат бұрын
Very nice speech
@GodfreySospeter-f7r11 сағат бұрын
Tuna kuunga mkono japo ss sio chadema.
@drisakamwakitalima19379 сағат бұрын
😂 Sawa ACT
@nnanikakwambiaukristonidin32368 сағат бұрын
Exactly @@drisakamwakitalima1937
@yaronaWilliam4 сағат бұрын
God be with you Mbowe!.
@selemankishema57806 сағат бұрын
Naona umetumwa na maadui wa nchi hii inshallah utakufa na fitna yako inshallah
@faustinedeogratias43375 сағат бұрын
Umechagua kukoment pasipo kumsikiliza
@dionismutayoba35425 сағат бұрын
Wewe uliyetoa comment kichwa chako ni sufuli kinalinda meno tu.
@emmapaul17665 сағат бұрын
Wewe kuma jiangalie na maKuma wenzio watekaji na wauwa watu.
@gililwise4 сағат бұрын
Utakufa kwanza wewe mpumbavu ambye humjui Mungu.
@haikaelkiwia97053 сағат бұрын
Mikenge ipo mingi waache watu wenye busara waongee, ww ni mmojawapo wa wauaji
@DormanDorman-jm3dz11 сағат бұрын
ALIEKUFA NI MUISLAM MWENZETU NA ALIEMDHULUMU ROHO YKE TUNAMUACHIA MUNGU NA KWA IMANI YETU YA KIISLAM HATUNA ZAIDI ILA NI KUSEMA INNA LILAH WAYNA ILA HI RAJ OUN.. HAYO MENGINE MALIZIENI WENYEWE LKN MAMA YETU MSITUNYANYASIE HUYO ANA KWAO KUZURI TU.. .
@gwajimagwajima8 сағат бұрын
Mpuuzi ww si mwislam Acha kuongea ujinga ,kisa mwislam ndio aachie watu wauliwe na mfumo,kama kashindwa aondoke anajua kila kitu kwani anatetea ,hakuuliwa Baba yako ndio maana huna uchungu Acha uchoko ww
@LemaRapoi-np2gs4 сағат бұрын
Wewe mbowe tunakuombea mungu akulinde mpaka mtuvushe wewe ndio kiongoziebora
@EmmanuelJoseph-mn9jr10 сағат бұрын
❌❌❌HOTUBA YA RAIS SAMIA NILIOGOPA SANA ALISEMA KIFO NI KIFO TU HIVI AKIJA KUPOTE MTOTO WAKE AU MME WAKE AU MAMA AKE JE ATAKUJA JUKWAAN NA KUSEMA KUWA KIFO NI KIFO TU AISEE BADARA
@DAVDChalse-db6tz6 сағат бұрын
Samia hatufai hata kdogo Watanganyika. atatupeleka pabaya Tumuomben Sana Mungu atuondolee huyu Shetan ikibd tufanye kila linalowezekana ili kuinusuru Nchi Yetu
@helencyprian87455 сағат бұрын
Maandiko yanasema kiburi huleta magomvi
@fraickobatista8021Сағат бұрын
Mambo
@MkingaJulius10 сағат бұрын
Kwani CCM ni mungu hata kuongoza daima hatutaki imetosha
@mussakingazi88758 сағат бұрын
Mungu haandikwi kwa herufi ndogo, badilika
@SundaySteven-bz4yq7 сағат бұрын
Kwa upole hatuwezi kufika inchi ya ahadi razima tuonyeshe makali pale tunapo onewa huku wengine wakichekelea huku sote tuna haki lazima tuzungumze ukweli hivi vyombo vya Dola vinalinda chama tawala
@EdwardKwiyanga6 сағат бұрын
Kwa kweli inauma xn ktk taifa letu la TZ
@agnesspaul186611 сағат бұрын
Alie mchagua Muñgu kwa haki anamjua Alie wake kila chenye hakikitabaki haki
@ShehaHaji-k8t11 сағат бұрын
Hahaha Kawa mpole kisa pana wachunguzi ktoka nje,, Nyoka wa taifa uyo hana wema na ruhusa imetoka ata katika vitabu ukimuona nyoka muuwe,,
@MweraRiro11 сағат бұрын
Bora ya nyoka kuliko kinyonga maana ukimuona nyoka Leo ,na kesho ukimuona atakuwa Yule Yule lakini kinyonga Leo ukimuona kesho ukikutana nae hutaamini kama ni yeye maana mwendo na rangi yake sivyo alivyokuwa navyo jana
@israelfutte21410 сағат бұрын
Unamusemo yenye afya kwa wasiyo na afya ktk akili
@levissanga886710 сағат бұрын
Ukweli siku zote damu na uongo. Mungu ibariki Tanzania tuondokane na umwagaji damu zisizo na hatia
@MasterPetro-oj1fd10 сағат бұрын
Kwanini?
@SylvesterKameo9 сағат бұрын
@@MweraRiroSahihi
@JosephTarimo-c5h9 сағат бұрын
Hongera baba kwa hekima uliyo nayo
@yousuphnzira320911 сағат бұрын
Hivi haya mazungu mbona sisi waafrika hatuendi kuchunguza kwao wapuuzi hawa.Waache tuchunguze wenyewe vifo na utekaji wa ndugu zetu kwasababu kifo cha Ally Kibao Kimeniuma sana aisee.Ila haya mazungu ukiona sehemu yoyote yenye machafuko kuna fitna zao.
@peterjosephat668511 сағат бұрын
Achaujinga hakuna uchunguzi wajambo lolote uliowai kufika mwisho na majibu yakapatikana
@RamadhaniKitala-gx6wc10 сағат бұрын
@@peterjosephat6685kabisa yaan hii tz
@josephlorri43110 сағат бұрын
Kwa nini kifo cha kibao tu kikuume.. vipi kuhusu mwangosi, kuhusu Ben saanane,nk.. tupiganie maisha ya kila mtu,tusilete ubaguzi..kila mtanzania anayo haki ya kufurahia maisha ndani ya nchi yetu
@emanueldunia001410 сағат бұрын
@@josephlorri431hao uliowataja uchunguzi umetoka Hadi Leo??
@josephlorri43110 сағат бұрын
@@emanueldunia0014 Bado... viongozi tuliowaweka madarakani wafuate utawala wa sheria
@matiredms91710 сағат бұрын
Nimemshangaa sana Mh. Sinde Warioba anasisitiza umuhimu wa amani bila kuzungumzia upande wa pili wa amani ambao ni HAKI ambayo ni nguzo muhimu ya AMANI!
@rebekakulwa615911 сағат бұрын
Nyie mafisiemu muulizeni farao na mungu kati yao nani alishinda endeleeni tuone nani mshindi
@Samuelmanga-r7z11 сағат бұрын
Namkubal mbowe kama ww ccm acha tufanye tunaloweza
@AbdallaMwagora-sm1rj11 сағат бұрын
Huyu ndie mwenye hadhi ya kua rais.
@neemamdami746611 сағат бұрын
Rais wa Nchi gani ikiwa kwenye chama chake tu hataki kuachia uwenyekiti
@maftahmusa951310 сағат бұрын
Katika nchi ya awagagigikoko
@Zuwenamachela9 сағат бұрын
Huyu nae karogwa mbowe awe rais kwa lipi mfano huyu ni zaid ya jambaz we muone hivoo anaudini mwingi mno naanaichukia hii serikali kwa kuwa inatawaliwa na muislam
@exaverysimon10649 сағат бұрын
RAIS gan ASE hatutak kwenye CHAMA hatak kuachia MADARAKA je akipewa NCHI itakuwaje
@Don.26Alien9 сағат бұрын
Mbn at kwa Magful alkua ivo tu... Acha udini ww...@@Zuwenamachela
@richardgervas2310Сағат бұрын
Mbowe akili nyingi sana ,,wewe ndio kiongozi
@BungeyiSaiboku9 сағат бұрын
Xafii sana mboe
@neemanziku54037 сағат бұрын
Mbowe una akili hata maneno yako unapohutubia yanaleta raha ya kuendelea kuku sikiliza
@exaverysimon10649 сағат бұрын
ILA MSIJE MKA WAZA KWAMBA UDHAIFU WA CCM UNAWAPA NYIE UHALAL WA KUSHINDA HIVYO N VITU VIWIL TOFAUTI
@mahinyakeelvin21964 сағат бұрын
Sio kwamba ni wazaifu Bali wameamua kuondoka na roho za watu
@abubakarimussa91315 сағат бұрын
Ndio maana maccm yote yanaomba ufe ama uachie chama ili yakivuruge mungu akusimamie zaidi akupe umri wenye afya njema tuko pamoja sana watakufa wao washenzi hao
@pendobruno1118 сағат бұрын
Mungu weka wazi wewe unaona pote jihirishe Bwana ili mioyo ifurahi kuwaona wenzetu
@godfreymjuni67526 сағат бұрын
Safi sana , shida itakuja kwenye utendaji
@hajisaid225210 сағат бұрын
True story
@praygodelisante69408 сағат бұрын
mh mboweee hotuba yako imenitoa machozi sana na kwakweli nimeumizwa na mambo yanayo endelea nchini kwetu kweli tunasema tuna uhuru na tuna amani ila hatua aman kwenye nchi yetu
@amanmalima9409 сағат бұрын
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni HEBU mwamini YESU na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
@helencyprian87455 сағат бұрын
Kuuwa ni jambo baya sana
@AbdallaMwagora-sm1rj10 сағат бұрын
Kama serekali haijui wanaoteka na kuua na vyama vya upinzani havijui Kila mtu hajui wahusika ni akina nani basi waje wachunguzi huru kama FBI au SCORTLAND YARD
@EliasPaul-qs2ib9 сағат бұрын
Ujinga
@عمرانالحجري10 сағат бұрын
Uyu mama mnaipoteza asili ya amani ya tanzania.
@AnnaFelix-p1z5 сағат бұрын
Tunaliya wenyewe wanacheka lakini mungu anajuwa atakavyofanya
@DaurdCharles9 сағат бұрын
Mtengenezee njia kiongozi ajaye mungu anakulinda hakuna atakaye kuweza maana uko mikononi mwa mungu aliyekuumba wewe nalema nguvu yamungu imewazunguka nayeyote atayeinuka juu yenu ataanguka yy
@AbdallaMwagora-sm1rj11 сағат бұрын
Tunalazimishwa kusahau watu waliotekwa ,tukilalamika tunasmbiwa ni kawaida hufanyika kila nchi .je Tanzania tupo kwenye mashindano ya upotezaji watu na nchi zingine?
@helencyprian87455 сағат бұрын
Yaani inasikitisha sana jsmani
@PrinceByarugaba10 сағат бұрын
Nakupenda sana mbowe ❤
@mathayomwashambwa12383 сағат бұрын
Mh. Mbowe umejaa utulivu, nadhani ulijifunza kwa Mwenyekiti mwenzako wa CCM, alighadhibika sana
@AkidaDaudi11 сағат бұрын
Mbowe jisachi hapa je upo sawa kweli we .
@evansokemwa658711 сағат бұрын
anapendwa na wengi
@desmondchelango10 сағат бұрын
Kiongozi hekima yako mikubwa natunaimani na viongozi wote wa chama cha demokrasia na maendeleo tutafuteni mabadiliko tuachwe kutekwa kamanimaandamano yafanyike kama watazuia maandamano basi tutafanya maandamano ya kuilinew Tanzania ili Tanzania ianze upya
@CalistusTitus-s5o11 сағат бұрын
Angalia waislam wasiojitambua mnavyo koment, shida waislam wengi shule hamkusoma. Mnachuki na mbowe katka lipi? Mbowe anatetea maslahi ya taifa. Kumbuka mzee kibao aliyeuwawa ni muislam pyua. Lakini aliuwawa. Ebu baadhi ya waislam kuweni na upeo wa elimu. Shida akitokea shekhe ubwabwa akasema kwamba samia anapingwa kwa sababu ya uislam wake, swali je CCM ni chama cha kiislam? Mbona viongozi wengi wa CCM ni wakristo? Kuweni na ufahamu kama wa mzee ama shekhe ponda
@saidkhelef460111 сағат бұрын
Kuma la mama yako
@MaulidiIddi-s2y11 сағат бұрын
Achana na waislam we ndio hujitambui na huyo jambazi wako mbowe
@saidkhelef460111 сағат бұрын
Tutu
@aediayumgo854611 сағат бұрын
Kuku jike huyu unamtetea Ni mwenyekiti Kwa miaka 22 haiwezi kuwa kiongozi waislam Hawajaenda shule ndiyo wanailisha TANZANIA mkundu wako
@hopefully709010 сағат бұрын
Mnawalisha kwa lipi?@@aediayumgo8546
@AbdulyMajaliwa-v4r9 сағат бұрын
Mbowe kichwa sana
@mwaamwetahussain994711 сағат бұрын
Wazee wakupanick nko wapi
@AnnaFelix-p1z5 сағат бұрын
Mbowe tusaidie tuvushe baba wewe umebeba dhamana ya inchi semtu Samia hajuwi angejuwa angejiuzulu2 hafai kwakauli hata kuongoza wake alionao
@wisdomfolks7 сағат бұрын
Busara imetosha tunahitaji vitendo tu maana hawatusikii kabisa nakujiona wao ndo wanahaki kwenye hii nchi
@pendobruno1118 сағат бұрын
Mungu ikiwezekana mapenzi yako yakatimizwe
@helencyprian87455 сағат бұрын
Kabisa
@user-xi2mf4xh7r6 сағат бұрын
Watanzania wengi hawaelewi kuandamana siyo uvunjifu wa ama ni ni kupaza sauti
@paulremigiuspaul32939 сағат бұрын
Stand up with Justice being witnesses for God. And then even if it is against your own people. (Qur'an 4:135)
@AnnaFelix-p1z5 сағат бұрын
Kwanini wasiwateke na wengine? Nisisi2 chadema Nye mnaojiita Dola mtalipa
@MnubiMm11 сағат бұрын
Mwenyekiti Kama unatenda haki na unazingatia katiba ya chedema na unatawala kwa haki bila ubabe Wala vitisho UTAFAULU lakini Kama wewe mbabe Kama wanavyosema HUTOBOI
@AbdallaMwagora-sm1rj11 сағат бұрын
Hizo ni fikra potofu zenye kejeli za KISIASA huwezi Kila mwana siasa ana lengo na lengo la mwenye kiti halitatimia mpaka mabadiliko ya kweli yapatikane nje ya ccm
@nikodemmwahangila33347 сағат бұрын
Mbowe uko sahihi ila hayo Mazungu hayo sio majitu hayo hatuyataki yatatuhalibia nchi hayo ndio matekaji kunawatu yanawatumia hayo hatiyataki hayo yanachungulia mali zetu magufuli angefufuka angeyaona hayo sio majitu mazuri hayo
@jamesukombozi521610 сағат бұрын
Kweli kabisa unajua sana kuongea, kumbuka maneno matupu hayatoshi kulisaidia TAIFA letu
@HassanNdauka-x1z5 сағат бұрын
Shika nae bunduki
@KhamisBoss11 сағат бұрын
Nakubal kipngoz
@nanubob196910 сағат бұрын
Kwa kweli hatudanganyiki!!! Tumekwisha kuelewa vizuri sana kupitia uongozi wako ktk chama chako! Is he really genune???
@yosephatMasanyiwa-oh1rl7 сағат бұрын
Mbowe hana tamaa na madaraka, wengi wao hawamzidi hata Mali alizo nazo ila yupo kwa ajili ya kuwapigania watanzania wanaoteseka ndani ya nchi Yao.
@SarahEdithchambo11 сағат бұрын
Sisi tunachoitajibamani jyiw tamilia zenu zote zipo ugaibuni
@HamzaHeri5 сағат бұрын
WEWE MUONGO MKUBWA MNAFIKI MUNGU ATAWAUMBUWA TU NINGE KUWA KIONGOZI WEWE MBOWE NINGE KUCHAPA MAKOFI TU
@mussamapesa88632 сағат бұрын
Mbowe hufai wewe kumbe na ww una kibri hujali watu wakiumua hujali unataka nn nchi iko poa imetulia kabisa acha uhuni wako
@abdulseif40938 сағат бұрын
Ccm nchi imewashinda
@OmbeniShoo-kg8dr9 сағат бұрын
Msingi wa Taifa lolote Si mtu Nini anataka kufanya akiwa na utawala Bali ni miungozo ya maandishi ya yaliwekwe kwenye kitabu kiitwacho KATIBA ndio msingi. Mfano tunaamini Mungu panashaka kupitia kilichoandikwa na kuishi Kwa tafisri sahihi
@ramadhanishabani8078 сағат бұрын
Lissu hana usmart wakua rais yeye apewe tu uwaziri lkn mweny sifa za kua raisi mbowe chadema
@mussamapesa88632 сағат бұрын
Naona wazungu wapo hapo nyuma wanakusikiliza kwa makini kama utakiuka makubaliano ya kuivuruga nchi
@melichmahingule28969 сағат бұрын
Acheni siasa mbakishe chama kimoja, mnasababisha watu kufa , kwani siasa ni lazima! Waachieni ccm watawale milele,, acheni tamaa