Daaah mdau unafuatilia neno kwa neno..... Tunaaanza Upyaaaaaaaa
@kingkiwango14354 жыл бұрын
Bwege kama bwege🤣🤣
@izvibez68234 жыл бұрын
We ulisikia waaaapih🤣🤣🔥
@daudamosi90603 жыл бұрын
Kwa bwege🤣🤣🤣🤣
@OmanOman-xr5zd4 жыл бұрын
Wewe sio bwege good
@gabrielresti17104 жыл бұрын
kwa kuwa hukuna bunge,je wewe ulikuwa unakaa bungeni kwa ajili ya posho tu?
@joycekikoti86704 жыл бұрын
😅😅😅😅we ulisikia wapiiiiii
@aloycekiwia86133 жыл бұрын
😂😂😂 MBICHWA mnene ndiyo nani.?
@manungda99554 жыл бұрын
Nimekuwa nafikiria kuingia kwenye Siasa lakini siwezi kuongea, sasa nikisimamishwa na mtu kama huyu nitaambulia 0 kabisa nianze kusingizia wajumbe ni watu wabaya 🤣🤣🤣🤣🤣
@AmosDaud-z1bАй бұрын
Hahah sichoki kukutataza 🎉🎉🎉
@mussakiula74814 жыл бұрын
Huyu kweli bwege😂
@fredrickgasper13514 жыл бұрын
Muheshimiwa...wewe umesikia wali🤣🤣🤣
@edithlameck81704 жыл бұрын
We mzee umesema upo chama cha CUF tangu 1993, nadhani CUF ilikuwa in mwaka mmoja tu. Mbona hukukikunja kikiwa bado hakijakomaa? Inakuwaje leo utaikunja ACT ikiwa na miaka 5? Acha siasa za uongo mzee Mbege.
@mamafaiza26514 жыл бұрын
Mbichwa mnenee
@Jarjd4 жыл бұрын
wimbo wa kenya unaoleta taaruki na zogo kumhusu mbunge bwege kzbin.info/www/bejne/rYrGc6Ker9iLa68 kzbin.info/www/bejne/rYrGc6Ker9iLa68
@mamafaiza26514 жыл бұрын
Hahaha Jamanii naombeni like zenu au coment
@didimhutila89854 жыл бұрын
We mzee sio fara au bwege tuu ni kenge pia, mxm. Yaani ulihama Chama kitambo tuu? Musaliti mkubwa wewe. 😞
@hajikassim39644 жыл бұрын
Pole 🤔
@joycekikoti86704 жыл бұрын
We ulisikia wapi ee😅😅😅😅
@ibrahimbinbenya93134 жыл бұрын
Yeye fala wewe Nani ?
@jiromtv1mediatenzizarohoni8114 жыл бұрын
Nyimbo za tenzi
@gregorychogelo20134 жыл бұрын
Hahahahaha....! Huyu jamaa amekaa kama mganga wa kienyeji, ubunge sijui alipataje!!?
@nasloyal58864 жыл бұрын
Gregory Chogelo we ulisikia wap ?
@hamoudcreator63434 жыл бұрын
Musiwape majina mabaya watoto wenu. Kwani majina mabaya huwa yanabeba na tabia binafsi ya mtu huyo kuwa mbaya..
@tiktoktdmdynamo31004 жыл бұрын
Mfatilie bwege unaweza siku moja ukaja kuedit hii comment yako kwake
@fatnasaid52344 жыл бұрын
Hahahahaa mbichwa mnene huyu kweli bwege
@rehemavahicha17114 жыл бұрын
ULISIKIA wapiiii
@tonyspencer19284 жыл бұрын
We ulisikia wapi 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@samomnanka27794 жыл бұрын
Uwe NKWELI na mwaminifu
@MultiKasuku14 күн бұрын
Nani amekuja leo hapa baada ya miaka 60?
@evedianasaile68114 жыл бұрын
Ulisikia wapi
@shamsishaaban66954 жыл бұрын
Wewe ulisikia wapi
@kassimumkopo40874 жыл бұрын
Kuna ujamaaaaaaa!!!!????😁😆
@selemanisanga55014 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😆😅
@martinemasanja16334 жыл бұрын
Mzee bwege, siasa ni kwaajili ya vizazi vijavyo tatizo lenu huwa mnaangalia maslahi yenu.
Sasa wewe una akili gan ya kumzidi huyu mzee au unakinyesi kimejaa unataka kunya.
@frankjoely33134 жыл бұрын
Usiropoke kitu bila kufikiria
@petermwabeza16604 жыл бұрын
Kweli huyu Bwege
@benedictojanuary52224 жыл бұрын
Nikuelewa mzeee
@jumakatema17374 жыл бұрын
We ulisikia WAP mh
@epafrangweshemi40144 жыл бұрын
Hapo ACT miezi kadhaa ikipita hivyo vichwa vibovu bila kugongana, itakuwa muujiza. Tuombe uhai.
@samwelluoicon97404 жыл бұрын
Iv mganga wakienyeji anatoa hotuba
@dullazz2334 жыл бұрын
Mbona ukuongea wakati upo bungeni
@hassanibarongo32544 жыл бұрын
BWEGE kumbe ww ni BWEGE unayoyangea ni zero inaonesha mwisho wa ubunge ni mwisho, mbona umesubiri BUNGE limeisha kweli SIASA ni mchezo mchafu, acheni kujiapiza mzee utaja kuingia motoni bure, rudi kwa mungu hapa duniani ni mapito kuleni kodi zetu mbele ya ALLAH mtakipata