Mhe. Bwege alichangia mchango wake katika Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama kuhusu Shughuli za Kamati kwa Mwaka 2019.
Пікірлер: 158
@edwinegordian54252 жыл бұрын
Who's still watching this till now???
@AhmedAli-gh1lm Жыл бұрын
Mie naangalia leo 1-1-2023
@rithadonatus8110 Жыл бұрын
2023
@pastorvincent985110 ай бұрын
Am here
@januarysiamejaysiame56053 жыл бұрын
Pole sana mheshimiwa jipange2025
@dazk78613 жыл бұрын
Nimekupenda bwege unaweza sana siasa
@naslee10103 жыл бұрын
jamaa alitabiri kuhusu 2020 #ccm kua wenyewe #bungeni dah!😭
@adamumuki12423 жыл бұрын
Mtu mzima uyu anaona mbali
@anthonyodeba41373 жыл бұрын
hehe this guy......I would like to catch Tanzanian live parliamentary seatings....love from +254.
@mashaloyuzo32564 жыл бұрын
Mzee anaongea point san
@egbertcharles3 жыл бұрын
Tulio kuja hapa baada ya uchaguzi 2020 tujuane kwa likes. Mungu ibariki Tanzania.
@makongoronyerere25953 жыл бұрын
Nipo
@godfreydeus44163 жыл бұрын
Npooo
@hilarygodfrey58624 жыл бұрын
Mnangalia nanikasema sio nn kasema noma sana point mzee
@rahimmaumba53643 жыл бұрын
Jamaa kaongea point kweli ila watakaomuelewa wachache Sana..
@ebenezerysarakikya67773 жыл бұрын
Sio wachache tu pia wenye uelewa zaidi sio juu juu tu
@bjzee19813 жыл бұрын
Na ndio mana wame mtoa. Sidhani alishindwa
@olluoddiossa98633 жыл бұрын
Sahz bunge sijuiiiii.
@jacksonbohbahck63074 жыл бұрын
Bwege umetishaa
@sarahwalles26073 жыл бұрын
Yametimia sasa kweli bwege ambao wasiokujua n wanakujua kwa hiki kilichotokea uchaguzi wa Oct.28 2020 uchafuzi mtupu
@blesslory18624 жыл бұрын
Taarifa ya kuforce hiyo
@samwelikaiga30963 жыл бұрын
Imekaa pow
@brayanmahuchan11404 жыл бұрын
bwege yuko vizuri
@mangulymanguly1393 жыл бұрын
Nakukubali sana mbunge bwege
@sezarialfred62403 жыл бұрын
Chuma hicho naomba watu wa kusini helua mleteni tena
@franceally76153 жыл бұрын
Kabisa waache mambo ya uchama mjenge nchi, mnanjaaa eeeeeh mmeshiba eeeeeh
@anthonyodeba41373 жыл бұрын
hehe the best speaker ever.......
@hamzarumela17843 жыл бұрын
Dah!! Bwege kumbe unapoint bhana
@niyeyetundulissu70863 жыл бұрын
Hawa Ndo wabunge wanaotakiwa sio wagonga meza
@barakamwita783 жыл бұрын
Mungu akutangulie
@africa74794 жыл бұрын
Safi sana kuhusu mashehe aisee
@abdulijuma57542 жыл бұрын
Mungu ampe afyaah njema bungara
@nurukapoja77593 жыл бұрын
Asante kwa maneno yako na ujumbe murua
@mwltangazo74144 жыл бұрын
I like this man
@frankluandanyamkajr56304 жыл бұрын
Mnaangalia nani kasema hamuangali nini kasema🏃🏃🏃
@epafrangweshemi40144 жыл бұрын
Wewe unaona kuna jipya gani toka kwake? Jamani kweli hata jambazi hakosi rafiki.
@makongoronyerere25953 жыл бұрын
@@epafrangweshemi4014 Kwan yy kakuambia yy nirafk yake, nilip Bay hyo mbunge kaongea, niwale wale mbumbu
@sarahwalles26073 жыл бұрын
@@makongoronyerere2595 sawa kbs hao ndo wamejaa uchama uchama tu je anachoongea sio chaukweli?
@selwanmohmmed87923 жыл бұрын
Raha ya bunge lichangamke na uchangamfu wa bunge nikusema ukweli sio kufcha maovu
@sadatsuleiman3604 жыл бұрын
Good speech
@transmadale4 жыл бұрын
Yaani hili jamaa huwa nalipenda sana linaongeaga point tupu hadi raha
@adamjutto58493 жыл бұрын
Speech hii inaa maana leo hii baada ya matokeo ya uchaguzi
@edwinbenja13064 жыл бұрын
we ulisikia wapi 😂😂
@kennyrogers47343 жыл бұрын
Tunaimani 2025 Dhulma haitokuepo tena tutakuona tena Mjengoni Bwege tumekimc sana mzee
@josephjohn21142 жыл бұрын
Daa mzee uliona mbali
@inyasirwakasigaz48093 жыл бұрын
Kwl kbs
@rajabuathuman88253 жыл бұрын
Alitabiri kweli
@shiraboy88494 жыл бұрын
Jembe sana
@sarahwalles26073 жыл бұрын
Safi kbs wabunge km hawa ndo tulikua tunawataka sio baya ndioo zuri ndioo
@josephlorri4316 күн бұрын
Nimeangalia tena leo baada ya kuwaona wabunge wa Kenya wakimpongeza Ruto kwa kukataa kusaini sheria ya kodi waliyopitisha bungeni
@worldscatter3 жыл бұрын
Yametimia ni ccm wote
@flova70222 жыл бұрын
Wataanza kupigana
@ephantuskarari1593 жыл бұрын
Mnaaangalia nani kasema hamwangalii nini kasema
@bsmonline8482 Жыл бұрын
Bring Back Bungala bwege
@yussufsheha91364 жыл бұрын
Ni muugwana
@amedeusmodestikimey98883 жыл бұрын
Oooolisikia wapiii chadema wakashindwa
@marcokasela964 жыл бұрын
Mheshimiwa ndugai ukimsimasha mheshimiwa bwege/bungala Atoe Hoja zake Aaaaa! Huwaga anachangamsha Ukumbi mzima wa bunge. Hata alienuna Lazima Aonyeshe Tabasam... 😂😂😂😂😂
@ebenezerysarakikya67773 жыл бұрын
Sasaivi watakua wanafiki watupu sio bunge tena
@gabychaki1583 жыл бұрын
Hahahahaaha mzee guud sana
@ukweliunauma45704 жыл бұрын
Ukweli ndio huu, 2020 kura zote zitakua hivi. Kugombea kupitia chama hiki si lazima ufanye lolote ukiishachaguliwa. Serikali itafanya. Useme usiseme, serikali ipo. Wewe tulia na ule nchi kwa miaka mitano. Kusemasema si vizuri wakati wa kula. Hiyo ni kazi ya wasio na chakula. Kwa nini kuna ukame wa wagombea katika vyama vingine? Nimesikia mbili zikisemwa na wengi kati ya nyingi: 1. Hawatapitishwa na tume kugombea. Fomu zitachafuliwa. Wafuasi wao watazuiwa kupiga kura. Wakijitokeza vituoni watazuiwa. Wakilalamika watakamatwa. Wakipiga kura hazitahesabiwa. Zikihesabiwa hazitatangazwa. Ni utitiri wa visa. 2. Kugombea kupitia upinzani ni maisha ya roho mkononi kila wakati. Kufutiwa uraia, kubambikiwa kesi, kufilisiwa, kutekwa, kujeruhiwa, kuuawa, na kuteswa kisaikolojia. Ni utitiri wa visa na hofu. Unashika fomu ya kugombea mkono mmoja na mkono wa pili unaandika wosia.
@epafrangweshemi40144 жыл бұрын
Wasiwasi tu, nchi hii wapinzani mna raha kulinganisha na nchi nyingi DUNIANI ila mtambue tu kuwa upinzani sio kinga ya kuvunja sheria. Hivi wewe unakwenda fanya vurugu za kisiasa magereza si watafuta ubaya. Kule sio hospitali kuwa manesi watakupa pole nyingi kule mafunzo ni mengine. KUJITAMBUA ndiko kunahitajika.
@clementlushino57633 жыл бұрын
Point
@hope30807 Жыл бұрын
Hii ndio maana ya vyama pinzani bungeni lengo ni kuwa challenge chama tawala 👏 ili kizidi kufanya vizuri zaidi katika shughuli zake za kiutawala
@abdulabdallahabdallah11 Жыл бұрын
CCM DOLEEE
@nehemiarodrick5347 Жыл бұрын
Hili ndo lilikuwa bunge bhana hii imeenda
@dismaschama58583 жыл бұрын
Bwege una akili nyingi San ulitabili vizur
@briankayembe26544 жыл бұрын
We ulisikia wapi?
@bjzee19813 жыл бұрын
Ukiwa msema kweli lazima uchukiwe
@franciskagumba45673 жыл бұрын
Kidogoooooooo Mahakama
@kingnicky25683 жыл бұрын
Yametimia dah any way you saw it coming😌
@abdallahjosephnfulaa42453 жыл бұрын
Yaan we Acha tu kaka😭😭
@waleedabdul553 жыл бұрын
Ndio ilivyokua sasa
@januarysiamejaysiame56053 жыл бұрын
Ulisikia wapi
@anordallen36854 жыл бұрын
😁😁😁 mheshimiwa bwege daah
@honestpaschal15683 жыл бұрын
Mzee anapiga misumariii hatari😂😂
@josej98884 жыл бұрын
Nini kasema! Kama huna akili yakuchanganua point zake, huna tofauti na wale wa ndio!
@brunokassim35503 жыл бұрын
Ulisikia wp
@chrissjmunga84654 жыл бұрын
Namkubali uyuuuu
@franceally76153 жыл бұрын
Hilo dole lipi sasa Bwege 😂
@flova70222 жыл бұрын
Weeeee uliskiaa wapi
@ommarelbungara43473 жыл бұрын
2025....umepita .
@jumakimtanange81773 жыл бұрын
Yametimia
@dotoayubu3463 жыл бұрын
We ulisikia wapi😄😄😄😄
@bakarimashi22994 жыл бұрын
Mmeshiba eeeenh mna njaaa eeeenh...🤣
@jamesnambunga27783 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂
@innobugobola37444 жыл бұрын
Endelea kutupa burudani mi nakukubali mzee
@dazk7861 Жыл бұрын
Tumekumic bungeni selemani bungala
@hamzandawenga63343 жыл бұрын
Vzuri bwege
@jeremiahmasunzu34373 жыл бұрын
Job Ndungai....bana😃😃😃
@yusuphmpenja3288 Жыл бұрын
Nafikili huyu mzee ni bunge comedy na hua andaliwa kabisa njoo upoteze muda atuna ajenda anaongea anavyo jisikia vizuli nimeipenda
@godfreypatrick4614 жыл бұрын
Mheshimiwa ndugay tunataka na kigwendu aje bungen hawa wazee wa komedi ni wazur wanatowa hoja na kuchangansha bunge
@hisanmwakijungu104 жыл бұрын
Daaaah we akili yako mmmmmm
@epafrangweshemi40144 жыл бұрын
Kule tunatunga sheria na kusaka maendeleo ya wengi sio komedi.
@makongoronyerere25953 жыл бұрын
O
@patrickKitambo Жыл бұрын
mbunge makini sana ana hekima
@ebenezerysarakikya67773 жыл бұрын
Hawa watu muhimu sana Tanzania kilichobaki sasa sio bunge unafiki mtupu Demokracia sasa hamna tunadanganyana tu kilichobaki ndio mzee umeshiba Eee unanjaa Eee
@abdallahjosephnfulaa42453 жыл бұрын
Yaan we Acha tu kaka😭😭
@rahmazahor43333 ай бұрын
Nani yuko hapa leo bungeni ccm wote....mzee alisema kweli...
Ila Lisu ni bwege msomi anajijua mwenyewe tu atokako na aendako. Kasumba nyingiii.
@chrisjacob40573 жыл бұрын
Hahahahahaha case za kubambikia
@noeljacob9644 Жыл бұрын
Daàaah basi tu tumekosa mengi bungeni
@chiefkaitaba8293 Жыл бұрын
Mbunge huyu alikuwa na maono kweli Leo ccm wanaumana wao Kwa wao
@meshackmmary31174 жыл бұрын
Jamaaaa kaua sanaaaa aseeee
@bryantzana16244 жыл бұрын
Umeona eee
@meshackmmary31174 жыл бұрын
@@bryantzana1624 hatariii
@remigiusyustinian200 Жыл бұрын
Hayo yalitimia
@victorernest77023 жыл бұрын
Na hayo ndio tutayaona Sana bunge hilii
@ebenezerysarakikya67773 жыл бұрын
CCM wanataka watu watakao ficha maovu yao sio kuyatangaza kwa wananchi watachafuliwa CV zao sasa mwaka huu mpo peke enu bunge zima hata mtu akikabwa na vibaka wasitangaze wakae kmy kbs hii nchi bhana yaajabu kbs ila kila chenye mwanzo hakikosi mwisho
@deusmhwagila287 Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@franceally76153 жыл бұрын
Mmeshiba eeeeeh mnanjaa eeeeeh
@godfreypatrick4614 жыл бұрын
Mzee umesema kweli
@pakapakatuondoke67853 жыл бұрын
Kutana Na mbunge bwege,mbunge mzitoooo,sana hahaha huyu ndio mbunge ninaye mtaka mimi
@chandechande9642 Жыл бұрын
huyu bwege aliona mbali leo 2023 aliyoyasema ni yakweli wapinzani wafanye siasa wasivunje amani