UJENZI wa CHUO wa BILIONI 1.4 WAKWAMA - DC MAGOTI AFOKA AKIFANYA UKAGUZI KISARAWE...

  Рет қаралды 32,671

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

UJENZI wa CHUO wa BILIONI 1.4 WAKWAMA - DC MAGOTI AFOKA AKIFANYA UKAGUZI KISARAWE...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 35
@globaltv_online
@globaltv_online 2 ай бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@safnosmosha
@safnosmosha 2 ай бұрын
Wakati mwingine kumbe wakandarasi hawana shida
@salumally663
@salumally663 2 ай бұрын
Wajanjaa wanazizungushaa pesaa za watu...Wanamsumbua sana mama yetu....pesa awape mpaka kifuatilia aanze kupiga kelele...!
@emmanuelhayghaimo3969
@emmanuelhayghaimo3969 2 ай бұрын
Side mnyamwez hongera sana engineer kwa kaz nzuri. Dit civil o.d10moja hiyo
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula Ай бұрын
Hiyo wilaya Mbunge ndie sababu ana raho.mbaya sana. Husikii hata siku 1 akiitetea wikaya yake
@AmanaHassan-cy4fi
@AmanaHassan-cy4fi Ай бұрын
Hayo ndio Majidudu yanayoitafuna hii Nchi. Kama ipo sehemu imepelekwa fedha na hamna mfuatiliaji ahaa ndipo wapigaji wanapataka hapo kusomeshea Watoto wao Ulaya. Mungu anawalipa Mitoto yenyewe ina kuwa Mishoga ikirudi huko Shule... Billal Shenzii.
@piuskusenge-jf2ob
@piuskusenge-jf2ob 2 ай бұрын
Safi Mh.DC. Magoti, hakuna kubembelezana Mura kazi iendelee😂
@celestinermantenga2463
@celestinermantenga2463 Ай бұрын
Huyu jamaa ana kiwango cha kuongoza mkoa aisee!
@jumashedafa
@jumashedafa 2 ай бұрын
Fanyen muende kwa DC magoti akawape historia yake ya elimu mpk kufikia hapa alipo tunahitaj
@rewardyesse7314
@rewardyesse7314 2 ай бұрын
Huyo jamaa anayejibu maswali ya DC ana akili sana
@tediusmakwara3931
@tediusmakwara3931 2 ай бұрын
Ongera mkuu wilaya
@user-gv8yn9lg1i
@user-gv8yn9lg1i Ай бұрын
Ongera ni jina la mtu? Au una maana hongera ( yaani pongezi )
@MusaOgwoko
@MusaOgwoko 23 сағат бұрын
Mkuu wa wilaya Safi sio chawa
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 Ай бұрын
We want deeds not words.
@damianokwaangw4402
@damianokwaangw4402 2 ай бұрын
Hivi kweli kodi ya watanzania inachezewa hivi duh kwakweli hali siyo
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 2 ай бұрын
Yan watendaji wengi wa kitanzania wanatia hasira san kuna vyuo vingi havijengwi kwa kua wana hongwa na vyuo binafsi wasiharakishe
@Optionxll_Playz1
@Optionxll_Playz1 Ай бұрын
Hiyo ndio shida ya watendaji wetu Ni Kwa nini hawafungwi wakichelewesha muradi kama huu.
@user-ms8zt2im6x
@user-ms8zt2im6x 2 ай бұрын
Magufuli 2takukumbka
@renatusblandes1131
@renatusblandes1131 2 ай бұрын
Wapigie Simu Moja kwa moja
@MenelusCzar
@MenelusCzar Ай бұрын
😅
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 2 ай бұрын
boss mtoto
@byabatokaroma2522
@byabatokaroma2522 2 ай бұрын
Safi mkuu Serikali inahitaji watendaji makini wenye ubunifu wa kazi kama nyie
@StAr-yu3vz
@StAr-yu3vz 2 ай бұрын
Mheshimiwa wiraya yetu ipo nyuma kiuchumi hakuna kitagauchumi vijijini wengine tumeacha nchi yetu kwa ajiri hakuna ajira
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula Ай бұрын
Kuna ardhi kubwa ni utajii mkubwa
@youthmediatv1
@youthmediatv1 2 ай бұрын
Wapike mpaka waungue
@ramadhaniraphael6955
@ramadhaniraphael6955 2 ай бұрын
Haha kajamaa kajeuri sana
@AliVuai-cv8xv
@AliVuai-cv8xv 2 ай бұрын
CCM inaoka vijana
@fundimtz8111
@fundimtz8111 Ай бұрын
Nondo zipo nje ya zege la jamvi
@user-on9cs6yd6g
@user-on9cs6yd6g Ай бұрын
Watanzani wamezoea kujaribu uskubari kujaribiwa mama amekuweka hapo kwaimani kubwa
@hamzasaidi7697
@hamzasaidi7697 2 ай бұрын
Mkuunauriyamabasinikubwakutokakigogompakamsanga sh 6000 ukishukapopotebeindiyoiyoiyo fuatiliailo
@salimalaquimane3077
@salimalaquimane3077 2 ай бұрын
Ata we menyewe una weza kusoma daah
@zakayomgaya2758
@zakayomgaya2758 Ай бұрын
​@@salimalaquimane3077😂😂😂😂😂😂
@athumanishabani1143
@athumanishabani1143 Ай бұрын
Balaaaaa!!
@athumanishabani1143
@athumanishabani1143 Ай бұрын
Shule za sekondar zijengwe kwenye vijiji ili kila myazania asome maana shule za kata zipo mbali Sana na jamiii hivyo husababisha utoro na ukosefu wa elimu kwa uma wa WaTanzania!!!!
@husseinmramba
@husseinmramba Ай бұрын
@@salimalaquimane3077yani watu wengine mpk unawaz hvi vichwa vyao vinakua na nn yani, dhahir waonyesha ndio ameanza kushika simu na akili zao ni mbili😅🤦🏿‍♂️
Cute kitty gadgets 💛
00:24
TheSoul Music Family
Рет қаралды 21 МЛН
GTA 5 vs GTA San Andreas Doctors🥼🚑
00:57
Xzit Thamer
Рет қаралды 25 МЛН