MBUNIFU WA KITUO CHA RADIO, KINASIKIKA LIVE KILOMETER TANO "NAKIBEBA KAMA BEGI"

  Рет қаралды 17,159

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 69
@FrankMushi-cs5js
@FrankMushi-cs5js 4 ай бұрын
Uyuuu ni zaidiiii ya lile roboti lenu la mchongo
@alfredomakala
@alfredomakala 4 ай бұрын
Good job, Mimi nawafahamu wabunifu wa kituo cha Rádio wawili katika kijijini kwetu from Mozambique
@Nobengaphotographer
@Nobengaphotographer 4 ай бұрын
Congresheni 😂😂all de best mchizii
@RebecaMackenzi
@RebecaMackenzi 4 ай бұрын
Ninachoipendea Millady ayo huwa ana ufatiliaji kwa interview zake. Iwe ya habari nzuri au mbaya lakini hili ni kubwa mno🎉
@dn.n4983
@dn.n4983 4 ай бұрын
Hongera sana Rais mpe taff Kijana anapambana kweli pia anasauti anajuzi
@africakiujumla1
@africakiujumla1 4 ай бұрын
Namjua huyu mwana, mwaka huu mwezi wa pili tulikuwa nae pale MAKUMBUSHO akatupa show zake
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 4 ай бұрын
Nimewahi kuunda kitu kama hicho nikishirikiana na Ndugu yangu. Alikamatwa akafungiwa Msivya, Kugoma. Baada ya hapo, sijarudia chochote imepita miaka 17.
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 4 ай бұрын
Mtihani sasakwanini wanafanyahivyo nakipajikixuri maashaallah
@frankkessy1260
@frankkessy1260 4 ай бұрын
maskini wakaua ndoto za ndugu yako ka masihara vile,pole
@stanleyandrea5153
@stanleyandrea5153 4 ай бұрын
Inaniuma Sanaa watu kama nyie mkikatazwa kufanya ubunifu Mzur wa kufurahisha, kufundisha na kushangaza Dunia.
@Soundprobeats
@Soundprobeats 4 ай бұрын
This man is incredible🎉🎉🎉
@benjo_brighter
@benjo_brighter 4 ай бұрын
Genius ✊
@WillaTx
@WillaTx 4 ай бұрын
Daaah very talented
@LawrenceKonga-g1u
@LawrenceKonga-g1u 4 ай бұрын
Mnyama mkali sanaaa
@johnmeshack4431
@johnmeshack4431 4 ай бұрын
Talent ila apa kwetu utafugwa tz yetu mungu atusaidie ❤
@Zaburi-
@Zaburi- 4 ай бұрын
Mungu/MUNGU sio mungu
@Heyumjunior119
@Heyumjunior119 4 ай бұрын
❤❤❤❤mungu mbariki
@djhajiztz
@djhajiztz 4 ай бұрын
Ela unapigaje
@edsonkennedy8027
@edsonkennedy8027 4 ай бұрын
Ubunifu tena .ila hongera swala la kurusha mawimbi mbona vifaa vyake vipo kwenye zile mnazo tumia MP3 ZA MAGARI YENU
@djhajiztz
@djhajiztz 4 ай бұрын
Transmiter umepataje
@MorrisErenest
@MorrisErenest 4 ай бұрын
Kigoma tuchange tumsomeshe mchiz 🎉🎉🎉
@andrewkalubi3524
@andrewkalubi3524 4 ай бұрын
Kabisa aniii
@Charlesmweta
@Charlesmweta 4 ай бұрын
Bro Mungu atakuinua uko vzr sn
@wemaMichael-fr4th
@wemaMichael-fr4th 4 ай бұрын
😂😂😂😂nacheka kwa furaha mungu akujalie sanaa sana
@deogratiusmihambo929
@deogratiusmihambo929 4 ай бұрын
Kusema ukweli huyu jamaa ananifurahisha sana napenda anachokifanyanya, Mungu amubariki afike mbali.
@Optionxll_Playz1
@Optionxll_Playz1 4 ай бұрын
Inabidi Hawa watalamu wetu wapewe sapoti sana
@jomba6514
@jomba6514 4 ай бұрын
Mungu akusimamie utimize ndoto zako upo vizuri
@kelvindagine9571
@kelvindagine9571 4 ай бұрын
Mtangazaji sio kweli unamihemuko sana hahaha
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 4 ай бұрын
Maashaallah tabarakallah❤
@winer9806
@winer9806 4 ай бұрын
Sasa kuliko wawe wana zunguka na mgari kupiga kelele kutangaza si bora watumie njia kama hzo tu .... Alaf radio zengine nazo wazi automate kuwa endapo kukiwa na tangazo zina switch automatically...
@homesmartrecords3512
@homesmartrecords3512 4 ай бұрын
Naitaji namba yake uyo
@AbdulAwadhi
@AbdulAwadhi 4 ай бұрын
Good talented
@vallencymacdonalds
@vallencymacdonalds 4 ай бұрын
Nataka namm nitengeneza kama hii nini na nini kinatakaiwa?
@uwembatvonline
@uwembatvonline 4 ай бұрын
Tatizo litakuja kwenye kuingilia frequency za watu..
@michaelmisana650
@michaelmisana650 4 ай бұрын
Kwan wewe unaledio
@PatrickNathan-u5c
@PatrickNathan-u5c 4 ай бұрын
Naomba namba zake huyo zubeli
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 4 ай бұрын
Songa mbele kijana🎉🎉
@PatrickNathan-u5c
@PatrickNathan-u5c 4 ай бұрын
Naomba namba zake
@issaadinaniissa6487
@issaadinaniissa6487 4 ай бұрын
Mtangazaji samahani, darasa la sita na chuo sio kipaji
@jumabonge8577
@jumabonge8577 4 ай бұрын
big up mkali
@AzariaMkweli
@AzariaMkweli 4 ай бұрын
Good man woow
@samdigitaldesigner3786
@samdigitaldesigner3786 4 ай бұрын
Sasa huyu ayo anakwama wapi kumtumia kubuni mitambo ya ayo radio
@JumongDeox
@JumongDeox 4 ай бұрын
Karibu mbeya mwenyeji nipo hapa mi nkukubali xan fanyyyya uje engener
@HappyCurling-xf3wz
@HappyCurling-xf3wz 4 ай бұрын
Andika namba yako hapa ili nikupate nijehuko
@stanleyandrea5153
@stanleyandrea5153 4 ай бұрын
Kuna jamaa Dodoma Kijiji Cha mapinduzi alitengeneza redio kama ya huyu jamaa ikasound kilometa kazaa, pia alitengeneza jenereta ya kidumu na ikafanya kazi, mtaften tu ana vingi vya kufurahisha.
@jacksonmtazama2821
@jacksonmtazama2821 4 ай бұрын
Yani tatzo LA Tz tunaamini sana elimu ya karatasi kuliko kuamni genius
@FedrickAloyce-nl1pl
@FedrickAloyce-nl1pl 4 ай бұрын
Sijui wana shida gani
@FedrickAloyce-nl1pl
@FedrickAloyce-nl1pl 4 ай бұрын
Kwasab huyu dogo ilitakiwa awe mbali sana
@anuaryfernandez7230
@anuaryfernandez7230 4 ай бұрын
Kijana Wa Kimaskini Ambae Hana Kitu Ila Ana Kichwa Chenye Maarifa Na Begi Lililobeba Ndoto..Endelea Kupambania Ndoto Zako Hata Kama Watu Wakikubeza Ipo Siku Utaushangaza Umma
@JumongDeox
@JumongDeox 4 ай бұрын
Tuma namba
@badilikakijana4032
@badilikakijana4032 4 ай бұрын
Kiukweli serikali zetu za kiafrika matatizo ni mengi vichwa vimejaa rushwa tu.
@NONIJuma
@NONIJuma 4 ай бұрын
huyu jamaa nilimuona mbezi terminal anaonesha maonyesho
@nicksonnewton1540
@nicksonnewton1540 4 ай бұрын
#TRA MTEJA WENU
@ImmaSimon
@ImmaSimon 4 ай бұрын
Mtangazaji: Ulikuwa chuo kwa miaka mi3 Mtangazaji tena: umesoma kwa miaka mingapi?😂
@OmaryKagwiza
@OmaryKagwiza 4 ай бұрын
Huyu ni bora kuliko yule roboti au mdoli
@mwapachukikombe2083
@mwapachukikombe2083 4 ай бұрын
Atafungiwa amni mm 😂😂😂😂
@evancemoevt8597
@evancemoevt8597 4 ай бұрын
Hapo badala ya kumsaidia utasikia amekamatwa na kufunguwa!!😂😂😂😂
@uwembatvonline
@uwembatvonline 4 ай бұрын
Yeah kama ameingilia frequency lazima akamatwe 😂
@fidellujo8362
@fidellujo8362 4 ай бұрын
Huyu mtu akisafiri kwenda Russia,UK, USA harudi lazima wabaki nae ku copy idea tu
@MuharamSalum
@MuharamSalum 4 ай бұрын
Africa hakuna ishu wenzetu wachina ua wanawaendeleza
@booksforgodfrey
@booksforgodfrey 4 ай бұрын
Wivu onyesha cha kwako. Hii ndio ngozi nyeusi negativity in everything
@kisinza6077
@kisinza6077 4 ай бұрын
Bahati mbaya sana, una akili na kipaji kuliko waalimu wako😀😀🤣🤣🤣
@Commentsplus
@Commentsplus 4 ай бұрын
Hakunaga ubunifu apo tulifanya sana utotoni kinacho msumbua dogo ni ujuaji tu
@charleskibiki217
@charleskibiki217 4 ай бұрын
Enzi za utoto wako ulikua unapapara
@michaelmisana650
@michaelmisana650 4 ай бұрын
Acha wivu
@badilikakijana4032
@badilikakijana4032 4 ай бұрын
Roho mbaya
@Commentsplus
@Commentsplus 4 ай бұрын
hakunaubunifu ni uchafu
@josephfrank4446
@josephfrank4446 4 ай бұрын
We eee K
@badilikakijana4032
@badilikakijana4032 4 ай бұрын
We pimbi we umebuni nn
DC MAGOTI KUMBE WAMOO EEH! MTAZAME AKIENDESHA BAISKEL
3:25
Kimeza Production
Рет қаралды 2,5 М.
How Strong is Tin Foil? 💪
00:26
Preston
Рет қаралды 145 МЛН
Don't look down on anyone#devil  #lilith  #funny  #shorts
00:12
Devil Lilith
Рет қаралды 10 МЛН
NILI'POST' NIKIWA NA MTU ANAYE NISEMA - NYANDU TOZZY
1:35
Wasafi Media
Рет қаралды 1,3 М.
MKE NA MCHEPUKO WAKUTANA Part 1
11:13
Mr Uky
Рет қаралды 82 М.