Good job, Mimi nawafahamu wabunifu wa kituo cha Rádio wawili katika kijijini kwetu from Mozambique
@Nobengaphotographer4 ай бұрын
Congresheni 😂😂all de best mchizii
@RebecaMackenzi4 ай бұрын
Ninachoipendea Millady ayo huwa ana ufatiliaji kwa interview zake. Iwe ya habari nzuri au mbaya lakini hili ni kubwa mno🎉
@dn.n49834 ай бұрын
Hongera sana Rais mpe taff Kijana anapambana kweli pia anasauti anajuzi
@africakiujumla14 ай бұрын
Namjua huyu mwana, mwaka huu mwezi wa pili tulikuwa nae pale MAKUMBUSHO akatupa show zake
@barrynzeyimana62704 ай бұрын
Nimewahi kuunda kitu kama hicho nikishirikiana na Ndugu yangu. Alikamatwa akafungiwa Msivya, Kugoma. Baada ya hapo, sijarudia chochote imepita miaka 17.
maskini wakaua ndoto za ndugu yako ka masihara vile,pole
@stanleyandrea51534 ай бұрын
Inaniuma Sanaa watu kama nyie mkikatazwa kufanya ubunifu Mzur wa kufurahisha, kufundisha na kushangaza Dunia.
@Soundprobeats4 ай бұрын
This man is incredible🎉🎉🎉
@benjo_brighter4 ай бұрын
Genius ✊
@WillaTx4 ай бұрын
Daaah very talented
@LawrenceKonga-g1u4 ай бұрын
Mnyama mkali sanaaa
@johnmeshack44314 ай бұрын
Talent ila apa kwetu utafugwa tz yetu mungu atusaidie ❤
@Zaburi-4 ай бұрын
Mungu/MUNGU sio mungu
@Heyumjunior1194 ай бұрын
❤❤❤❤mungu mbariki
@djhajiztz4 ай бұрын
Ela unapigaje
@edsonkennedy80274 ай бұрын
Ubunifu tena .ila hongera swala la kurusha mawimbi mbona vifaa vyake vipo kwenye zile mnazo tumia MP3 ZA MAGARI YENU
@djhajiztz4 ай бұрын
Transmiter umepataje
@MorrisErenest4 ай бұрын
Kigoma tuchange tumsomeshe mchiz 🎉🎉🎉
@andrewkalubi35244 ай бұрын
Kabisa aniii
@Charlesmweta4 ай бұрын
Bro Mungu atakuinua uko vzr sn
@wemaMichael-fr4th4 ай бұрын
😂😂😂😂nacheka kwa furaha mungu akujalie sanaa sana
@deogratiusmihambo9294 ай бұрын
Kusema ukweli huyu jamaa ananifurahisha sana napenda anachokifanyanya, Mungu amubariki afike mbali.
@Optionxll_Playz14 ай бұрын
Inabidi Hawa watalamu wetu wapewe sapoti sana
@jomba65144 ай бұрын
Mungu akusimamie utimize ndoto zako upo vizuri
@kelvindagine95714 ай бұрын
Mtangazaji sio kweli unamihemuko sana hahaha
@HanifaOman-oo4pl4 ай бұрын
Maashaallah tabarakallah❤
@winer98064 ай бұрын
Sasa kuliko wawe wana zunguka na mgari kupiga kelele kutangaza si bora watumie njia kama hzo tu .... Alaf radio zengine nazo wazi automate kuwa endapo kukiwa na tangazo zina switch automatically...
@homesmartrecords35124 ай бұрын
Naitaji namba yake uyo
@AbdulAwadhi4 ай бұрын
Good talented
@vallencymacdonalds4 ай бұрын
Nataka namm nitengeneza kama hii nini na nini kinatakaiwa?
@uwembatvonline4 ай бұрын
Tatizo litakuja kwenye kuingilia frequency za watu..
@michaelmisana6504 ай бұрын
Kwan wewe unaledio
@PatrickNathan-u5c4 ай бұрын
Naomba namba zake huyo zubeli
@gracekagoma32314 ай бұрын
Songa mbele kijana🎉🎉
@PatrickNathan-u5c4 ай бұрын
Naomba namba zake
@issaadinaniissa64874 ай бұрын
Mtangazaji samahani, darasa la sita na chuo sio kipaji
@jumabonge85774 ай бұрын
big up mkali
@AzariaMkweli4 ай бұрын
Good man woow
@samdigitaldesigner37864 ай бұрын
Sasa huyu ayo anakwama wapi kumtumia kubuni mitambo ya ayo radio
@JumongDeox4 ай бұрын
Karibu mbeya mwenyeji nipo hapa mi nkukubali xan fanyyyya uje engener
@HappyCurling-xf3wz4 ай бұрын
Andika namba yako hapa ili nikupate nijehuko
@stanleyandrea51534 ай бұрын
Kuna jamaa Dodoma Kijiji Cha mapinduzi alitengeneza redio kama ya huyu jamaa ikasound kilometa kazaa, pia alitengeneza jenereta ya kidumu na ikafanya kazi, mtaften tu ana vingi vya kufurahisha.
@jacksonmtazama28214 ай бұрын
Yani tatzo LA Tz tunaamini sana elimu ya karatasi kuliko kuamni genius
@FedrickAloyce-nl1pl4 ай бұрын
Sijui wana shida gani
@FedrickAloyce-nl1pl4 ай бұрын
Kwasab huyu dogo ilitakiwa awe mbali sana
@anuaryfernandez72304 ай бұрын
Kijana Wa Kimaskini Ambae Hana Kitu Ila Ana Kichwa Chenye Maarifa Na Begi Lililobeba Ndoto..Endelea Kupambania Ndoto Zako Hata Kama Watu Wakikubeza Ipo Siku Utaushangaza Umma
@JumongDeox4 ай бұрын
Tuma namba
@badilikakijana40324 ай бұрын
Kiukweli serikali zetu za kiafrika matatizo ni mengi vichwa vimejaa rushwa tu.