MBWADUKE: RATIBA CAF MWENDO MDUNDO YANGA, SIMBA/ AZAM KIBABE SANA NJIA YA PYRAMIDS/ COASTAL...

  Рет қаралды 31,120

Mbwaduke Stats

Mbwaduke Stats

24 күн бұрын

Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...

Пікірлер: 55
@alexanderfute4559
@alexanderfute4559 22 күн бұрын
Mtangazaji anakera sana tunakosa uhondo kabisa
@josephatn5040
@josephatn5040 22 күн бұрын
Naomba kutofautiana kidogo katika maelezo yako. Nijuavyo mimi ni kuwa timu zote zitashiriki hatua ya hawali. Ila kuna hatua ya hawali mbili. Zile timu tano za juu hazitacheza hatua ya hawali ya kwanza( 1st Preliminary) bali zitacheza hatua ya hawali ya pili(2nd Preliminary). Timu zitakazoshinda 2nd preliminary ndo zitaenda hatua ya makundi( group stage).
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 22 күн бұрын
Kwa kiswahili hakuna awali ya kwanza na awali ya pili. Hivyo Mbwaduke yuko sawa
@user-lw2ox8fu7t
@user-lw2ox8fu7t 22 күн бұрын
Huyo ni nyuma mwiko wabishi kwel
@chrispinmkanda6097
@chrispinmkanda6097 22 күн бұрын
​@@user-lw2ox8fu7t 🤣🤣🤣
@lameckshaba813
@lameckshaba813 22 күн бұрын
Bwana wewe yanga ni wadogo tu. Acha kuipamba
@samwelsimon7392
@samwelsimon7392 22 күн бұрын
yaani hapo ndo mimi nachokaga niona wanayanga wanaibeza simba jayanti
@annofrancis3697
@annofrancis3697 22 күн бұрын
Kazi nzuri mpigapicha jitahidi kurebisha kazi yako
@WillfredMisungwi
@WillfredMisungwi 22 күн бұрын
Wa kwanza naomba likes zenu wadau
@Magicalstp502
@Magicalstp502 22 күн бұрын
😂
@ShafiiHungo
@ShafiiHungo 22 күн бұрын
Yanga tusha ingia makundi insha allah muda ufiketu tutembee kichapo 5 5au zaidi
@johnmbwile3980
@johnmbwile3980 22 күн бұрын
Jamani muelewe tuu!
@robertsongola6034
@robertsongola6034 22 күн бұрын
Dada huyo ni mchambuzi hapo umemchanganya hata sisi watazamaji hatujaelewa
@bone102
@bone102 22 күн бұрын
Sema ww hujamuelewa usiweke uwingi mzee 😂
@user-gx9rc9dz5s
@user-gx9rc9dz5s 21 күн бұрын
Kama makundi ya ng,ombe sawa
@MbwadukeStats
@MbwadukeStats 21 күн бұрын
Duuh!
@MeshackKamenya
@MeshackKamenya 22 күн бұрын
Michezo haipo kwenye muungano tofautisha hilo Bara na visiwani kila nchi inaendesha kivyake
@KokoloLambinguni
@KokoloLambinguni 22 күн бұрын
Eti tuna muungano eti nchi moja
@jumazubeir5787
@jumazubeir5787 22 күн бұрын
💯🙏
@adammafuru7971
@adammafuru7971 22 күн бұрын
Mpiga picha holaa
@bkkomesho9272
@bkkomesho9272 22 күн бұрын
Dada unajua kuongea, sema hujui kuhiji by series, yaani Kuna madin yalikuwa yanakuja afu unahoji maswali tofauti
@johnmushi8739
@johnmushi8739 22 күн бұрын
Unamwona mbwaduke nusu kipande wakat ndo mlengwa
@user-uv1yl7ht9c
@user-uv1yl7ht9c 21 күн бұрын
Kwahy ninama@nishann
@khamisrashid6581
@khamisrashid6581 22 күн бұрын
Tanzania zimeshiriki timu 6 bas sio 4
@bone102
@bone102 22 күн бұрын
Bendera ya Tanzania na zanzibar zinafanana kama zinafanana basi Tz timu sita ila kama hazifanani bas tz kapeleka timu 4
@allytv1714
@allytv1714 22 күн бұрын
Unatuchanganya sema iv simba inaanza atua ya pili cz ipo juu yanga atua ya awali unatupa maelezo marefu na atufanani
@user-yn4oi3cz2v
@user-yn4oi3cz2v 22 күн бұрын
Kwaheri AZAM
@AgartonMheza-ul3ww
@AgartonMheza-ul3ww 22 күн бұрын
Dada jifunze kuhoji vizur
@user-wr7wp9sl2p
@user-wr7wp9sl2p 22 күн бұрын
Inaonekana yuko field
@elishajohn455
@elishajohn455 22 күн бұрын
Yan kama ungekuwa mwalimu wangu, ningeamishiana godoro langu darasani😅...maelezo mpka marefu na yanajirudia kwenye kila post
@khamisrashid6581
@khamisrashid6581 22 күн бұрын
Tanzania kimataifa ni timu 5 sio 4 na uhamiaji za zanzibar
@KiboJoseph-cc5eu
@KiboJoseph-cc5eu 21 күн бұрын
nadhani wameset camera, hawana moiga picha
@MbwadukeStats
@MbwadukeStats 21 күн бұрын
Umetisha sana Bro! Palitokea dharura kwa Mpigapicha hivyo akakosekana kufanya settings zake kwa usahihi. Kilichofuata duh...ndiyo hilo balaa! Kumradhi. Tunashukuru sana kwa kuendelea kutuunga mkono!
@saidilikananowe1446
@saidilikananowe1446 22 күн бұрын
Mr mbwaduke vp camera mbona haijachukuliwa vzr unatuangusha watazamaji wako hii chanel yetu pendwa.
@boscoShama
@boscoShama 22 күн бұрын
Mtangazaji anaharaka kama muogea nje anarukaruka
@rizikylaizer1602
@rizikylaizer1602 22 күн бұрын
Wewe mgeni uku huyu jamaa anachambua vizuri sana take your time utanishukuru
@robertchazya2351
@robertchazya2351 22 күн бұрын
Camera man unaleta mapenzi kwenye kaz siyo?😂😂
@DavyShine-pb7jb
@DavyShine-pb7jb 22 күн бұрын
Video camera jitahid unatuangusha
@FucianeBulemo-nd4wc
@FucianeBulemo-nd4wc 22 күн бұрын
Mpiga picha mbona host humuonyeshi
@johnmushi8739
@johnmushi8739 22 күн бұрын
Mpiga picha nadhani hana D mbil, arud shule
@Cutenaah
@Cutenaah 22 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@khamisrashid6581
@khamisrashid6581 22 күн бұрын
Ww mwandishi inaonekana nimbaguzi ww
@user-pb1mw6mo9c
@user-pb1mw6mo9c 22 күн бұрын
Tanzania zpo tm 6 kla mwndxh anakosea kusem tnatim 4 zpo 6 jman
@FootballLaduma
@FootballLaduma 22 күн бұрын
Kwa mashindano ya CAF, Zanzibar ni nchi
Mama vs Son vs Daddy 😭🤣
00:13
DADDYSON SHOW
Рет қаралды 46 МЛН
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 63 МЛН
Ronaldo & Ronaldinho will never forget Zidane's performance in this match
12:54
VSP7 FOOTBALL EXTRA
Рет қаралды 6 МЛН
KIMENUKA: HANS RAFAEL vs JEMEDARI SAID/ HII NI BALAA
21:57
Crown Media
Рет қаралды 76 М.
Mama vs Son vs Daddy 😭🤣
00:13
DADDYSON SHOW
Рет қаралды 46 МЛН