Naomba kutofautiana kidogo katika maelezo yako. Nijuavyo mimi ni kuwa timu zote zitashiriki hatua ya hawali. Ila kuna hatua ya hawali mbili. Zile timu tano za juu hazitacheza hatua ya hawali ya kwanza( 1st Preliminary) bali zitacheza hatua ya hawali ya pili(2nd Preliminary). Timu zitakazoshinda 2nd preliminary ndo zitaenda hatua ya makundi( group stage).
@jonamnyone801422 күн бұрын
Kwa kiswahili hakuna awali ya kwanza na awali ya pili. Hivyo Mbwaduke yuko sawa
@user-lw2ox8fu7t22 күн бұрын
Huyo ni nyuma mwiko wabishi kwel
@chrispinmkanda609722 күн бұрын
@@user-lw2ox8fu7t 🤣🤣🤣
@lameckshaba81322 күн бұрын
Bwana wewe yanga ni wadogo tu. Acha kuipamba
@samwelsimon739222 күн бұрын
yaani hapo ndo mimi nachokaga niona wanayanga wanaibeza simba jayanti
@annofrancis369722 күн бұрын
Kazi nzuri mpigapicha jitahidi kurebisha kazi yako
@WillfredMisungwi22 күн бұрын
Wa kwanza naomba likes zenu wadau
@Magicalstp50222 күн бұрын
😂
@ShafiiHungo22 күн бұрын
Yanga tusha ingia makundi insha allah muda ufiketu tutembee kichapo 5 5au zaidi
@johnmbwile398022 күн бұрын
Jamani muelewe tuu!
@robertsongola603422 күн бұрын
Dada huyo ni mchambuzi hapo umemchanganya hata sisi watazamaji hatujaelewa
@bone10222 күн бұрын
Sema ww hujamuelewa usiweke uwingi mzee 😂
@user-gx9rc9dz5s21 күн бұрын
Kama makundi ya ng,ombe sawa
@MbwadukeStats21 күн бұрын
Duuh!
@MeshackKamenya22 күн бұрын
Michezo haipo kwenye muungano tofautisha hilo Bara na visiwani kila nchi inaendesha kivyake
@KokoloLambinguni22 күн бұрын
Eti tuna muungano eti nchi moja
@jumazubeir578722 күн бұрын
💯🙏
@adammafuru797122 күн бұрын
Mpiga picha holaa
@bkkomesho927222 күн бұрын
Dada unajua kuongea, sema hujui kuhiji by series, yaani Kuna madin yalikuwa yanakuja afu unahoji maswali tofauti
@johnmushi873922 күн бұрын
Unamwona mbwaduke nusu kipande wakat ndo mlengwa
@user-uv1yl7ht9c21 күн бұрын
Kwahy ninama@nishann
@khamisrashid658122 күн бұрын
Tanzania zimeshiriki timu 6 bas sio 4
@bone10222 күн бұрын
Bendera ya Tanzania na zanzibar zinafanana kama zinafanana basi Tz timu sita ila kama hazifanani bas tz kapeleka timu 4
@allytv171422 күн бұрын
Unatuchanganya sema iv simba inaanza atua ya pili cz ipo juu yanga atua ya awali unatupa maelezo marefu na atufanani
@user-yn4oi3cz2v22 күн бұрын
Kwaheri AZAM
@AgartonMheza-ul3ww22 күн бұрын
Dada jifunze kuhoji vizur
@user-wr7wp9sl2p22 күн бұрын
Inaonekana yuko field
@elishajohn45522 күн бұрын
Yan kama ungekuwa mwalimu wangu, ningeamishiana godoro langu darasani😅...maelezo mpka marefu na yanajirudia kwenye kila post
@khamisrashid658122 күн бұрын
Tanzania kimataifa ni timu 5 sio 4 na uhamiaji za zanzibar
@KiboJoseph-cc5eu21 күн бұрын
nadhani wameset camera, hawana moiga picha
@MbwadukeStats21 күн бұрын
Umetisha sana Bro! Palitokea dharura kwa Mpigapicha hivyo akakosekana kufanya settings zake kwa usahihi. Kilichofuata duh...ndiyo hilo balaa! Kumradhi. Tunashukuru sana kwa kuendelea kutuunga mkono!
@saidilikananowe144622 күн бұрын
Mr mbwaduke vp camera mbona haijachukuliwa vzr unatuangusha watazamaji wako hii chanel yetu pendwa.
@boscoShama22 күн бұрын
Mtangazaji anaharaka kama muogea nje anarukaruka
@rizikylaizer160222 күн бұрын
Wewe mgeni uku huyu jamaa anachambua vizuri sana take your time utanishukuru