MBWADUKE: Tabora Utd 0 vs 3 Simba: Je, ni penalti?

  Рет қаралды 25,630

Mbwaduke Stats

Mbwaduke Stats

Күн бұрын

Usisahau ku-subscribe, ku-share, ku-comment na ku-like...

Пікірлер: 59
@AbelMganga-j1o
@AbelMganga-j1o 6 күн бұрын
Hongera Sana kaka hakika wewe ni mchambuzi hodari sana unatupa madini hakikisha mungu akupe maisha marefu
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 6 күн бұрын
Sisi Simba bado tunajenga timu yetu🤣🤣🤣, Simba Nguvu Moja 💪🇹🇿
@shumajrrespect
@shumajrrespect 4 күн бұрын
Baba mzaz napenda uchambuz wako sana mungu akupe maisha marefu
@SambweteMtepa-k9g
@SambweteMtepa-k9g 6 күн бұрын
Waambie Kaka wew Ndio mchambuzi hodari unae juwa kuchambuwa mpira
@omarymwenebatu
@omarymwenebatu 5 күн бұрын
goli alina ubishi nahata tabora awajalalamika isipokuwa uto ndo wanao lalamika.
@Orgy-go1gj
@Orgy-go1gj 5 күн бұрын
❤❤😂😂😂😂 umebaki pekeako hawa wengne mihemko tu
@saidmasoud9004
@saidmasoud9004 6 күн бұрын
Kuna penalty Simba alinywima alingushwa Shomari
@raphaelnambombi3709
@raphaelnambombi3709 5 күн бұрын
Halafu hawaisemi kabisa
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 6 күн бұрын
Kama kawaida nimekuwa wa kwanza nakukubali sana mbwaduke sijawahi kukupinga simba ubaya ubwela nyuki kamkumbatia simba kanasa kamdomo kamewaponza😂
@HamadiKamote
@HamadiKamote 5 күн бұрын
Muamuzi yupo sahihi
@TalkMazito-s7l
@TalkMazito-s7l 5 күн бұрын
baba bao lakwanza uko sahihi
@jossporahmsw8420
@jossporahmsw8420 5 күн бұрын
Lapili ni tatizo,,,,,ila simba ni one two😊😊😊
@ElikanaKimayi
@ElikanaKimayi 5 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@SwahiliMoviesHub
@SwahiliMoviesHub 4 күн бұрын
KUNA PENALTY YA KIBU DENIS ILIPUUZWA😢
@alinassor391
@alinassor391 4 күн бұрын
Haya tufanye hayo magoli 2 tuyatoe tubakishe 1 tu linatotosha sisi
@parkipunyparsangey5464
@parkipunyparsangey5464 6 күн бұрын
🔥🔥🔥♥️
@KCZonga
@KCZonga 5 күн бұрын
🎉
@AsifiweRozio
@AsifiweRozio 5 күн бұрын
Simba ya Leo jaman waachane nayo mama naona magoli yote ni yauhalari mangineyo ni maneno ya mkosaji
@christopherernest2316
@christopherernest2316 6 күн бұрын
Sasa huyu ndo mchambuzi maana kwenye penalty hakuna shaka ilikua ni halali lakini huku alikochukua mpira kibu nami naungana nawe ilipaswa kua faulo safi sana mchambuzi Mzee Wa taqwimu
@TriciaSambo
@TriciaSambo 6 күн бұрын
vip kuhusu alipo angushwa kapombe sio penalt naomba kujua ila bado tunawakumbusha tunajenga timu
@henelckneatunga2720
@henelckneatunga2720 5 күн бұрын
UNAPOONA REFA KAYAKOLOGA LAZIMA MENGINE AFUNIKE ILI HASIJULIKANE
@PhillyAmbilikile
@PhillyAmbilikile 5 күн бұрын
Simba inatengeneza timuuuu na refa alikua sahihi
@MajaniZaza
@MajaniZaza 5 күн бұрын
Tunakufatilia na tunakupenda xanaaaaaaa
@MzeeSuleiman-g4u
@MzeeSuleiman-g4u 5 күн бұрын
Penalt ya shomari kapombe alingushwa ndani box hakutolewa
@crazydaddy9217
@crazydaddy9217 6 күн бұрын
Kapigwa nyuki 🐝 Kaumia nzi wa kijani 🪲🐲 Halafu Matahira fc (🐸) wamesema kama refa kayoko ile mechi hawashindi 😝🤩😜🤪
@clauschaula2050
@clauschaula2050 5 күн бұрын
Mguso ni mguso hapa refa aliwasaidia Simba.
@SilemaniAli
@SilemaniAli 6 күн бұрын
Kablahujamaluza kusema wakumbushe alipoangushwa Shomar kapombe
@MzeeSuleiman-g4u
@MzeeSuleiman-g4u 5 күн бұрын
Wambie utopolo hao na penalt zao za kugeiwa kwa kagera sugar
@badendavid8456
@badendavid8456 5 күн бұрын
Goli alitumia akili
@Hajipume
@Hajipume 5 күн бұрын
Simba tunajenga timu tusiusishwe na ubingwa😂😂😂😂😂😂😂
@lydiamartine7970
@lydiamartine7970 6 күн бұрын
UBAYA UBWELA
@leomika8473
@leomika8473 5 күн бұрын
Uo ilikuwa ni mguso wa kawaida ni Gori harali
@FatumaMkamba
@FatumaMkamba 5 күн бұрын
Asate.babu
@abuudharishahidy3074
@abuudharishahidy3074 6 күн бұрын
Wqlifikiria wanacheza na yanga na azam
@mrfavour9996
@mrfavour9996 5 күн бұрын
Basi tufanye mbili bila jmn
@MusaMwambene-ll6cf
@MusaMwambene-ll6cf 5 күн бұрын
Nibao safi
@ZakiaHamoo
@ZakiaHamoo 6 күн бұрын
Mimi najua kwamba hio nibaskeri yamiti kwani kilammoja ataludi kwenye Nafasi alioizoea😂😂😂😂
@alikhamis6626
@alikhamis6626 6 күн бұрын
Mrembo wewe wateseka ukiwa wapi ww??
@HajiJauma
@HajiJauma 6 күн бұрын
Waaambie utopolo hao
@brunomchalla4439
@brunomchalla4439 5 күн бұрын
Basi suala la kuzungumziwa ni faulo ya Kibu na sio Mpanzi, kwasababu mwamuzi asingefunika penati kwa kosa la Mpanzu kuangushwa waziwazi, hakuna angelizungumzia faulo ya Kibu.
@PatrickWiliam
@PatrickWiliam 6 күн бұрын
Watu wengi hawajui mpira
@PatrickWiliam
@PatrickWiliam 6 күн бұрын
Wachambuzi wamekua wengi
@BaANGLE-AUSTINE-VERO-JOSEPHAT
@BaANGLE-AUSTINE-VERO-JOSEPHAT 6 күн бұрын
TABORA 0-3 TABORA😂😂😂
@MbwadukeStats
@MbwadukeStats 6 күн бұрын
Duuh!
@Naseebujamesi
@Naseebujamesi 5 күн бұрын
Ukwel mim nikiskiaga t uchambuz wako nalizk ata nimsikie nani mwengine siyaweki kuchwan mim nikikuskia uchambuzi wako tu kwngu inakua inatosha
@mohdmohd8428
@mohdmohd8428 6 күн бұрын
Tabora wenyewe ni simba
@MbwadukeStats
@MbwadukeStats 6 күн бұрын
Duuh!
@furahahappe
@furahahappe 6 күн бұрын
Hapo kwa Kibu D siyo kana kwamba, ilikuwa faulo ya wazi mara ghafla eti tunaona yellow card kwamba Mpanzu kachezewa rafu! Mambo meusi yalitokea hapo mzee wa data, mwamuzi hakuwa sahihi
@peteromary8764
@peteromary8764 6 күн бұрын
Hata kama mimi cyo shabiki wa Simba lkn kiukweli ni bao zuri tu
@MwanaidTanga
@MwanaidTanga 6 күн бұрын
Kama si magoli wayatoe
@YonaChawene
@YonaChawene 5 күн бұрын
Yote ni magori halali anaebisha ni wivu tu
@laizerJr-p8l
@laizerJr-p8l 6 күн бұрын
yote n magoli
@MahaSaeed-hf3gs
@MahaSaeed-hf3gs 6 күн бұрын
Kusema ukweli mm nimeangalia mara nyingi ila hata sielewi kama kibu alifanya faulo maana baadae aliinuka mwenyew na kwa mpanzu hapo ndo kichwa kinauma maana mpanzu ataanguka tyuuu bila kuguswa na kama hajaguswa mbona mpira hakuenda kokote
@muhurumatiku1226
@muhurumatiku1226 6 күн бұрын
Ndo imeishakuwa gori sasa unaumia ukiwa wapi
@MahaSaeed-hf3gs
@MahaSaeed-hf3gs 6 күн бұрын
@muhurumatiku1226 hujaelewa mm shabiki wasimba mm pia nawashangaaa wanaolalamika ndg
@zuhurajabiri3900
@zuhurajabiri3900 5 күн бұрын
Mpanzu alikuwa anataka kupiga jamaa kamgusa kidogo chini, nakushindwa kupiga tena mpira na kuanguka.
@MahaSaeed-hf3gs
@MahaSaeed-hf3gs 5 күн бұрын
@zuhurajabiri3900 yes mm nawashangaaa wanaosema kuwa alijindondoshaa je amekuwa nakifafa mpk andondoke mwenyew tyuuu
@HamadiKamote
@HamadiKamote 5 күн бұрын
Muamuzi yupo sahihi
Enceinte et en Bazard: Les Chroniques du Nettoyage ! 🚽✨
00:21
Two More French
Рет қаралды 42 МЛН
We Attempted The Impossible 😱
00:54
Topper Guild
Рет қаралды 56 МЛН
Quando A Diferença De Altura É Muito Grande 😲😂
00:12
Mari Maria
Рет қаралды 45 МЛН
KIMENUKAAAAAA.....Lissu AFANYA VURUGUUUUU!!!!!
13:38
SUPER TAMUTAMU
Рет қаралды 101 М.
TRAORE KUTOKUJA TANZANIA KUMBE HII NDIYO SABABU MWAMBA ANASEMA WAAFRIKA MNISAMEHE
11:20