Mwijaku alikuwa ni miongoni mwa walioalikwa leo kushuhudia Alikiba akipewa ubalozi wa kinywaji cha Energy Drink na alipewa nafasi ya kuongea pia. PLAY kutazama
Пікірлер: 27
@dogored56153 жыл бұрын
Plooo plooo noma sana kampa Mwijaku ubalozi dhuuuuu... Sawa sawa apa msani Yr Boy @DOGO RED nawapata toka nchini Zimbabwe Harare
@publicrelations46003 жыл бұрын
Ungekua unawahusia watu kumkumbuka ALLAH mashaallah.
@MultiKelvin19943 жыл бұрын
Kujilisha upepo ni ugomjwa mbaya sana, kitaaluma nafkiri wanaita delusional psychosis. Huyu ni Mirembe case kabisa. Halafu mbaya zaidi waajiri wake wanaendelea kumpa kazi za broadcasting. One of these days atawaingiza hasara kubwa kwelikweli hahaha. We mtu anajiaminisha kabisa kwamba kamsababisha Burna ashinde 🤭🤭🤭
@alicenice17113 жыл бұрын
Hongera saana kingkiba
@rehemaiddsalehe523 жыл бұрын
Kazi unayo kila siku vijembe watu waachi kutupa kunywaji cha pepsi na Coca-Cola dunia vinatambua ata mtoto anavijua hiko kunywaji mtakuywa ww na mashabiki zako Ongera KING kupat ubalozi
@kingsmusicfans14163 жыл бұрын
Ndo kinywaji tunacho tumia hapa US kwa ajili yaku tupa nguvu acha ungese ni kinywaji maarufu sana
@denisimaliyaweni91833 жыл бұрын
Acha wivu we MTU mmoja huna faida
@jumakibwana18103 жыл бұрын
Huku kwetu hatujui Pepsi twaijua coca Cola, club soda na power horse👍
@shinipapaya8463 жыл бұрын
We toka ushangilie simba alivyo kosa ile tuzo ya bet basi kila mtanzania ashajua kuwa wewe ni K.......
@ellashine21243 жыл бұрын
Ali yooh yooh yooh😄♥️♥️
@babylonyNgwembe3 жыл бұрын
KIBA KAPANIC NA RR KAITISHA PRESS KWAAJILI YA KUMPA MWIJAKU UHAMASISHAJI LENGO A CLEAR ISHU YA RR..KWELI UMASKINI MBAYA SI WANAJIFANYA HAWATAKI BEEF HAWA LAKIN KUTWA KUWAZUNGUMZIA WCB SASA...DIAMOND NDO TRENDING ARISTOTEEEE
@Ahmed-fm5fr3 жыл бұрын
Kwa hvyo watu wasifanye kazi sababu ya RR🤣🤣🤣🤣
@babylonyNgwembe3 жыл бұрын
@@Ahmed-fm5fr ALISHAKATAAGA MAMBO AYA MWENYEWE KIBA MFANO YEYE ATOE NYMBO NA MOND NAYE ATOE AU AFANYE KITU MUDA MFUPI UJAO...LAKIN KWA SSHV KIBA NDO ANAJUA UMUHIM WA USHINDANI WA BIASHARA YA MUZIK NA DATA ZISHAZIMWA .
@abasilihundu2003 жыл бұрын
@@Ahmed-fm5fr yaan daah 😂😂😂😂😂
@jesustv25112 жыл бұрын
Mhhhhhhhhhnn hahahaaaaa
@biggestnasritv26013 жыл бұрын
THE BIGGEST BOSS NASRI
@zainabubakari60553 жыл бұрын
Ahsante
@boniphacekasara48863 жыл бұрын
Mara MOFIRE mara POWER HORSE Bado SUNGURA SASA
@maxwellsanga36623 жыл бұрын
jifunze kiingereza kwanza ndio ujiite mshawishi mkubwa
@Burner_Acc3 жыл бұрын
mofaya iliishia wapi?
@Rocky-mn6wm3 жыл бұрын
Kijichi
@moviestrailer23943 жыл бұрын
Kwani karanga ziliishia WAP??
@Burner_Acc3 жыл бұрын
@@Rocky-mn6wm 😂
@Burner_Acc3 жыл бұрын
@@moviestrailer2394 zimenunua roz royis
@pendomariki65623 жыл бұрын
Mara partership mara ubalozi
@mabaujames36323 жыл бұрын
Sauti
@yasinsalum29133 жыл бұрын
Roho ya ally na mwijaku zinafanana ndo mana ally hajatoa wasanii wakubwa mbinafsi mtapata vidogo km vibiriti wajinga nyie