Wallahi Katokisha hongera sanaaa kwa kuheshimisha familia na mungu akusimamie ktk familia mpya. Dada nakuusia nenda kaipende familia kama unavyoona mumeo kaonyasha umma anavyojali wazaxi wake.❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@ElizabethCharles-xt7hv13 күн бұрын
Nimeguswa sana jamn wazazi mdo kila kitu kwenye maisha nawapenda sana wazazi wangu
@Naju64514 күн бұрын
Dah halafu unaolewa unaenda kuvuruga familia yamtu laana huanhazimwach mtu salama dada ukawe mke mwema
@user-xl6ye5xx4j13 күн бұрын
Mama baba n mapema sana nimewakumbuka sana mzd kupumzik kwa amanii😭😭😭😭
@mrsabdul-mz8hh16 күн бұрын
Wallah naamin hakuna ambae hajatoka machozi😢😢 ubarikiwe sana kwenye ndoa yako❤❤ maana umewajaza kitu kwenye kichwa wenye wazazi wao pia umetuliza sana ss ambao tuwewapoteza wazazi hao😢😢😢😢😢😢
@aminajuma-rw2rt10 күн бұрын
Wallah nimelia sanaaaa😭😭😭😭😭
@juliejaph3331Күн бұрын
kwahiyo katokisha umeona unilize kwa utambulisho wa wazazi wako. big up sana. na heri yako umewapa mauwa yao wakiwa hai wakasikia. maisha marefu sana kwenu nyote
@EuphrasiaNtawatawa16 күн бұрын
Aisee ni maneno yenye nguvu sana na kugusa hisia za watu wengi,hongera sana mc Kato,kumbe nawewe wa mji kasoro bahari?karibu na hongera sana,Mungu azidi kuwalinda wazazi na ndoa yenu ikawe ya mfano kama ilivyo ya wazazi wako
@EdithTelemark14 күн бұрын
hongera Kwa kujali nafasi ya wazazi wako! ewe mke wake ukaendeleze Na kustawisha uliyoyakuta Kwa msaada Wa Mungu!
@user-ms3di6qt7r16 күн бұрын
Hongera sana mc katokisha mungu awape maisha marefu na aman ya ndoa yenu ikadumu milele
@angellazaro929115 күн бұрын
The same same as my Dady Mungu awabariki sana akina baba kama hawa❤️
@NeemaBoazi16 күн бұрын
Hongera Sana kaka kunamsemo unasema hivimaji siku zote hufata mkondo Wa maji nanyi mkaufate mkondo Wa maji ya Baba na mama amina mkaishi humo humo
@husnamwinyi829515 күн бұрын
Mungu awape upndo sana mungu awape nguvu famlia yko bila kusahau wazazi wngu n famlia yangu Amiin
@user-wm5xr1hr2c16 күн бұрын
Congratulations Katokisha Mungu awajalie kwa ndoa yenu
@user-qh8kl9mu5w15 күн бұрын
Hongera sana MC wng wa nguvu, napenda sana kazi zako....jianda kwny harusi yng, Mungu akuongoze ktk hyo safari yako❤
@patyisaya421712 күн бұрын
Jamani mmependeza na mungu awabariki sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@lucyotieno648516 күн бұрын
Congratulations KYo Kisha today you are not on the Mic! May God bless your Union!
@user-id8bu6lw8x16 күн бұрын
Am proud 4 u
@vincenthatungimana16 күн бұрын
Ujuwe hapa wapo watu ambao tunakupenda! Halafu you are my role model! Napenda siku moja nije kuwa MC bora! And I have begun to practice following the way you do! From Burundi 🇧🇮 !
@liannsambu72648 күн бұрын
Great words to his parents, na anasauti NZURI BWANA HARUSI NI MFANO WA VIJANA WA KUIGWA ,MUNGU AMPE NGUVU NA USHINDI
@rosenoah219011 күн бұрын
Jaman mliobarikiwa kuwa na wazaz wenu muwapende baba na mama n kila kitu kwenye maisha akiwapo mungu
@Mary-q8f16 күн бұрын
Hongera. Wishing all the best. Naipenda kazi yako, natamani ukasimame siku moja kwenye sherehe yangu yoyote kwa uwezo wa Mungu
@JulietDama-dj7qs9 күн бұрын
God bless 🙌 for your thanks giving to your parents. Congratulations 🎊
@user-sn6dc9gh8k15 күн бұрын
Mbna baba kagoma kumpa mkono bi harusi au sijaona vzuri😢ila si kwa ubaya ety maan hum duh🙌
@DM.220014 күн бұрын
Ni kama alikua alikua anamwambia mwanaye aache kulia kwa nilivyoona lakin
May the almighty grant you’re dad long life, in Jesus Name Amen to all Good dad in this earth .
@esternaftari903212 күн бұрын
Amina,nimelia lkn nimewapenda maharusi hawana mapepe huenda wote Bwana amekwisha waingiza darasan kwa hiyo cina mashaka na ndoa hii
@vero5716 күн бұрын
Aisee hii harusi ina maelezo mazuri sana, hongereni sana 🎉🥳🎉
@magdalenapeter56224 күн бұрын
Hongera sanaa MC katokisha,Mungu niwatakie ndoa njema
@SalomeEmanueli12 күн бұрын
Mc wangu ninaekupenda hongera xana kwakumpata mke mzur mungu awajalie🙏🙏
@patyisaya421712 күн бұрын
Jamani
@farajalyanda801915 күн бұрын
Be blessed❤
@youngb867216 күн бұрын
Hongera sana kk kwa hatua hii
@jacklinstanley79328 күн бұрын
Another day to cry with the stranger 😢😢very touching
@saraphinaramso638715 күн бұрын
Umejua kuniliza katokisha duuuh mungu azid kuwalinda wazaz wetu
@nsiamasawe457811 күн бұрын
Machozi yote hayo ni ili tujue baba alikua msomi na alienda Sudan. Haya tumeshajua hongereni mmepeza sana na mko na utulivu mzuri muwaishe bibi harusi nyumbani akale senene.
@luluwillium136410 күн бұрын
All the best in your marriage
@salomesawira206913 күн бұрын
Hongera sana mc katokisha mzd kupendana hvyohvyo
@JacquelineMahumbe11 күн бұрын
I'm so proud of you
@lovenesszedekia781414 күн бұрын
Duh nimelia lkn Bibi harusi kanishangaza yaani ni mkavu balaa 😢😢😢
@user-nq1fc3uo8b14 күн бұрын
Anaogop labda make up itafutka
@kemmymartine488413 күн бұрын
😅😅
@salamasaidi662013 күн бұрын
@@user-nq1fc3uo8b😂😂😂😂😂
@florencemseja53011 күн бұрын
Kwauzoefu wangu dada yupo sahihi kabisa tuliopo kwenye ndoa tunaelewa kwa muda mrefu hamuwezi Lia wote kwa pamoja never hyo lazima mmoja awe strong
@mercychelangat_16 күн бұрын
❤❤❤
@user-rh3fe3cs7g15 күн бұрын
Hongela Sana kaka.jaman nimelia mm duuh
@user-vf5pp2wn1f16 күн бұрын
Hongela San ndg Kwa maneno mazuli
@leahnyamle417913 күн бұрын
🎉❤😢 congratulations my bro
@VeroMwingira13 күн бұрын
Ilove my parents ❤🙏❣️
@beatricethomas406111 күн бұрын
Bora umeongea mana nafas hii n Adimu hapa Dunian
@theresiamartin315016 күн бұрын
Hongera sana Katokisha
@mariasalomemelchiorkaigaru197414 күн бұрын
umenitoa machozi,Mungu akawasimamie kwenye ndoa yenu
@sulleRuth16 күн бұрын
Nimelia sana😭😭
@jumakaugatz90179 күн бұрын
Asante kwa Love kubwa hii kwa wazazi , Mungu akabariki hata kizazi chenu kikawatii na kuwasikiliza
@user-he5by2hk6p3 күн бұрын
I love you mom and dady
@NeemqSitta12 күн бұрын
Daaaaaaa wew kaka😢😢😢😢
@user-gd8cx2ig9p14 күн бұрын
😢😢😢 hiyo ndio maana halisi ya kwamba wazazi pekee ndio wakweli kwenye furaha ya maisha yako
@florabuzoya394812 күн бұрын
Dah 😢😢umeniliza jamani,hongera kwa upendo na Hekima na upendo kwa wazazi wako,usiwasahau
@rehemambilinyi945216 күн бұрын
Inagusa sana😢. Hongera sana kaka
@user-tm7qi4kv9l13 күн бұрын
Daaah😢😢imenigusa pia adi nimelia baba angu I wish siku niolew namm niongee iv amejitoa San ikiwa mama yetu alitukimbia yukiwa wadogaliku Alikubal kutubeba mgongoni kwenda nasisi kazin daah😢😢😢😢😢😢
@HappyFireDragon-hl7hw16 күн бұрын
Hongera saana
@user-nx6wi7sl4y11 күн бұрын
Hongera sana bro
@NsiaUrasaКүн бұрын
Mungu awatuze jmn
@elinahlawrancemwaipopo76335 күн бұрын
MUNGU WATUNZE WAZAZ WANGU NA MIMI SIKU MOJA NIWAAMBIE HIVI
@judithsalvatory289210 күн бұрын
Barikwa sana
@sund255316 күн бұрын
Unafany tunakata vitunguu sasa...anyway mi wangu ni lastborn kwao Nawaz sijui itakuwaje 😅
@nadiahassan135914 күн бұрын
Missing you Daddy 💔💔😭😭
@cathbert3916 күн бұрын
Dah! Kanilizaa
@user-vz6kk8id2f16 күн бұрын
Daaah nimelia sana
@majaliwamussa92684 күн бұрын
Machozi yametoka bila kujijuwa
@HhosnaRashid16 күн бұрын
❤❤❤❤sana
@ElvinGaspar5 күн бұрын
Daaah inagusa sana akika mungu akujalie yaliyo mema
@vero5716 күн бұрын
Hongera sana kijana, Hongera sana baba, nime miss baba yangu rip my dad 😭😭
@tumainmasele25019 күн бұрын
Hadi raha
@agapeelias74016 күн бұрын
So adorable🎉🎉 hongera sana mc
@MukamusoniHawa-cj2yc13 күн бұрын
An ather day to cry for stranger😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@ubahamisi43111 күн бұрын
Hakuna kama mzazi❤❤❤
@user-np8ts3dq2y16 күн бұрын
4D Studio your the best🎉
@gracemathayo722116 күн бұрын
Dah umenitoa machozi jamani
@HonestaAloyce16 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@isackmbade318116 күн бұрын
Nimetokwa na machozi kwa hili ndg zangu watanzania mm nina baba lkn hajawah kusimama upande wangu hongereni mliofanikiwa kupata wazazi walioweza kusimama nanyi vijana wenzangu.
@zuuh-ge1cu15 күн бұрын
polee tupo wengi hadi nmesikia uchungu
@isackmbade318114 күн бұрын
@@zuuh-ge1cu pole pia ndg unakaa wap
@LucySanga-du9fd6 күн бұрын
Pole sana😢😢
@isackmbade31815 күн бұрын
@@LucySanga-du9fd Asante
@McNgoliga4 күн бұрын
Baba kama baba hana baya mzee kato
@magrethyeremia227916 күн бұрын
Inafundisha saaan ,ujua kunilizaaa jman.
@user-ox2uw9ds5o7 күн бұрын
Baba mbna kaukata mkono wa bb harusi kwann
@dorcasmueni229012 күн бұрын
Dada!! Usiende kuvuruga hio familia
@NeemaSebastian-gy1nt13 күн бұрын
Nmetamani kuwa na baba ambae anapambania family yake km baba wengne wanavyowajibika kweny family zao ila nashukur tu kunileta dunian every man can be a father but it take time to be a dady
@user-ox2uw9ds5o7 күн бұрын
Inahuzunisha ila baba ako kutotoa mkono ni huzuni zaidi tofauti gan izo ambazo mbele zawatu azifichwi……
@user-ql6vg2uv6w10 күн бұрын
Sasa kinachokushangaza kupanda boda ni nini? Si ili awahi ibada jamani au viip, but mmependeza sanaaa hongereni
@LucySanga-du9fd6 күн бұрын
Nimelia kiukweli 😢😢
@SesiliahBundala6 күн бұрын
Muuuh😢😢😢
@user-pf2bu4hn1j3 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉
@choosencrudah11812 күн бұрын
Umetuliza wengi jamani kwa maneno yako... Mungu azidi kuilinda ndoa yako
@rahmambugi232214 күн бұрын
Nimeishia kulia jamani😢
@alicesospiter762510 күн бұрын
Hamna mtu anaechukia mama mkwe wake ila wenyewe ndio shida
@AnjelikaBay10 күн бұрын
Kwan naliaa nini aty 😢😢
@ritapiusnicolaus706816 күн бұрын
😭😭😭😭😭Mungu awapumzishe kwa Amani wazazi wangu nilitamani siku moja nitoe ushuhuda kwa magumu waliyopita kwenye kunilea💔🙏
@PaulinaSemindu-ob3de15 күн бұрын
Pole Sana ndugu yangu Mungu kawapenda Zaid 😭🙏
@salmajuma430012 күн бұрын
Daah
@NeemaBoazi16 күн бұрын
Neema
@stephenmalilo98339 күн бұрын
Huwa nasikia wanasifiwa wamama sanaaa nikadhania na nikazoea kuwa wababa huwa hatuna kitu cha kusifiwa nacho. Basi leo nmejua..😂😂😂. Kumbe na wababa nao huwa tunaupiga mwingi.......😂😂😂😂😂
@husnakumburu885314 күн бұрын
Sijui nalia nini mwenzenu jaman😢
@RachelMgimba-ge4jh14 күн бұрын
acha tuungane
@fatumaselemani380716 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@noraazan912410 күн бұрын
Wababa mnaelewa sijui
@joharikabalaza689913 күн бұрын
😭😭😭😭😭
@annamwakibinga52715 күн бұрын
Halafu atokee mwanamke aoele awagombanishe mtoto na wazazi wake.
@albinlai936612 күн бұрын
Hadi nimelia aisee.. sio poa
@olicej783716 күн бұрын
Afu mimi huwa najua huyu mc ni mtu wa kagera bukoba😂😂😂😂😂kumbe moro
@KemilembeRutatinisibwa16 күн бұрын
Ni Muhaya....wazazi wanaishi Moro
@olicej783716 күн бұрын
@@KemilembeRutatinisibwa ooooh thawaaa
@SarahLegonda-c8w12 күн бұрын
Wewe dada usiende kutenganisha familia ya watu umeona waliko mtoa
@user-tw7gb1nu2e10 күн бұрын
Nimeguswa sana na maneno yako.Mungu azidi kukudumishia upendo na ujaliwe kupata upendo kwa watoto wako kama hui unao uonesha kwa wazazi wako.
@mankambise20007 күн бұрын
Nimejikuta nalia
@HamisiForogo16 күн бұрын
Ongera sana mc katokisha sasa we dada ona huyo mume wako anavyopenda wazazi wake wewe nenda kawadharau na kuwatukana uone
@marymanoni553616 күн бұрын
Na wazazi pia wasiende kuaribu ndoa ya mtt wao pia
@edsonnelson446416 күн бұрын
@@marymanoni5536 kivipi, halafu weww mama no mdada umeolewa ukakuta hawakupendi jenga upendo kwao,