Mzee be blessed so much, you have been good advisor.
@benedictmrisho18002 ай бұрын
Mchungaji uko vizuri kuliko hawa watafiti wa kusoma vitabu na kuandika tafiti "mwotesho". Hili ni somo zuri kwa Wah Wabunge. Huu ndio ukweli. Viongozi dini na serikali na wazazi wasikilize hii kwa makini.
@ombengoranga55892 ай бұрын
Kama huna busara huwezi mwelewa huyu mzee lakini kuna vitu vingi vya kujifunza hapa
@andrecarlos102421 күн бұрын
Unajua mch.Hananja🇲🇿🇲🇿🇲🇿👏👏👏🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@stephenmwaniki28033 ай бұрын
Wacha mzee nikujuze jambo huyu mtu alipo ingia mamlakani kwanza aliondoa kazi kwa vijana pesa za wazee mlo shuleni kwa wasionjiweza huduma hospitalini acha zifurugha yani amehalimbu kila kitu na tusisahau amepeleka watoto wetu haiti kwahiyo hatumchukii bule huku maisha nikusononeka tu
@angellomarcel56772 ай бұрын
Ndiyo hicho alichosema Wananch wameona Tofauti na walichotegemea
@nsiamasawe45782 ай бұрын
Poleni sana
@stephenmwaniki28032 ай бұрын
@@nsiamasawe4578 Asante itambindi tupambane na hii Hali yetu
@migerajacob5812 ай бұрын
Mzee kaongea points,,serikari za Africa Zina fikir maendeleo ya vitu huku,watu wao Wana kufa na njaa,,,
@gracekagoma32312 ай бұрын
Wale watu wamesema wenyewe kuwa hawana cha kupoteza😢.Hawajali kabisa. NI KW E LI .Wamekata tamaa😢
@jofreykivambe65202 ай бұрын
Asante Pst
@rahabnkya82762 ай бұрын
Wakosa wote. Hela ziko wapi! Mungu saidia tune na uwezo WA kufanya kazi asifanya kazi na asile.
@benedictmrisho18002 ай бұрын
"Utamaduni wa mazungumzano kuanzia ngazi ya familia. Walioko juu wawasikilize walioko chini na wachininwawaheshimu walioko juu wasiwapuuze walioko chini na wachini wasipuuze walioko juu. Tusipuuzane Watz. Tuipende nchi yetu kwa amani."
@mutualoka18092 ай бұрын
Pengezi pastor umefundisha vizuri, ningepatana nawewe kuku ningekununulia.
@cyprianyondondo2 ай бұрын
God bless you mtumishi
@benedictmrisho18002 ай бұрын
"Maendeleo watu na maendeleo vitu viende pamoja. Mwenyenjaa hana sheria hana akili. Watu potelea mbali hawana habari, hawana la kupoteza."
@CharlesAndrea-b8v2 ай бұрын
Magufuli alibadilisha kwa mda gani wachungaji semeni
@peterkanja47652 ай бұрын
Magufuli ni show tu abadirishe kitu Gani kwa manyumbu ataona kama alibadirisha lakini kwa wenye akili alikuwa anatengeneza bomu angedumu lingemlipukia mwenyewe.
@collinsowuor69812 ай бұрын
Kweli kabisa, wakenya ujumbe mzuri kwenu nyinyi
@abdallahdullah86423 ай бұрын
Tatz waliojuu Hawana utamaduni wa kuwackiliza walio chini wkt ndio ndio waliowaweka apo juu kwa kura na ridhaa zao lkn wakipata huwasahau na mara nyingi walilalamika solution huwa kuwachapa viboko na kuwanyamazisha.
@firegun94432 ай бұрын
Mzee noma sana
@feswal222 ай бұрын
Kutojua haki yako kama mwananchi ni vbaya,, this round tutawafinya lazma Kila mtu awe na haki sawa 🇰🇪🇰🇪 uongozi wa kidicteta hatutaki
@dennislihepa22472 ай бұрын
Kama wabunge wao wanajiwekea maisha mazuri vijana wako hoi
@oswaldpaul74532 ай бұрын
Ukweli mtupu.
@kevinMwiva2 ай бұрын
Mzee amenena hekima
@jenifferwanjira61242 ай бұрын
❤❤❤
@NorberthLuambano-t2c3 ай бұрын
Kwel kabisa mchungaji yaan ni ukwel mtupu
@JoackimuGeorge-t8y2 ай бұрын
Kuna kipindi nilipitia iyo Hali ya sonona ila kwa Sasa namshukulu nimepata Neema ya Mungu ni mjasilia Mali na nimelidhika na maisha yng
@salimamry94322 ай бұрын
Mchungaji maneno yako mengi huwa yana hikima.
@NelsonJackson-z7r3 ай бұрын
Unapopandisha Kodi razima uwandae miundombinu ya maksin ya Ali ya chini, ili asije kuraramika km wakenya.
@hezekiahabai1502 ай бұрын
Truth be told!!
@afrakanaswahilitv55202 ай бұрын
Jeshi la polisi nchini Kenya likome mara moja kufyatulia umma risasi na vitoa machozi.
@raphaeloloo96412 ай бұрын
Kuja Kenya tukusalimie
@baloz89742 ай бұрын
😂😂😂😂😂 asalimiwe atie akili
@IREENKAIRUTHI2 ай бұрын
😂😂😂😂
@IREENKAIRUTHI2 ай бұрын
These pastors feed on tithrs and they don't mind us.
@afrakanaswahilitv55202 ай бұрын
Huyo mzee wangu ana hekima na busara chungu nzima. Tafadhali nyie wenzangu jitanabaishe kwa ushauri ametoa. Ameongelea kitu cha muhimu sana kwenye maisha ya watu na changamoto zote zinazowakabili. Asante kwa ushauri mwema. Karima awe nawe na akubariki si haba.
@bahatisilvesta3 ай бұрын
big point
@ThomasGai-kz5cu2 ай бұрын
Nakupongeza sana kwa mafundisho yako mazur yasiyoegemea kokote isipokuwa ukweli. Wanasiasa wengi wanaponzwa na ahadi zao hasa wanapowasema wale walioko madarakani.
@zuberiseguni2 ай бұрын
Hiyo mnaesema alikuwa anajali raia wake nadhani alijali vitu zaidi na kuna wakati alikuwa snawashfu.
@shukranionesphoro77442 ай бұрын
Ww jinga achana na magufuli jembe lile
@jovinusmutabuzi46472 ай бұрын
Mimi nilisikia kwamba Ruto alikuta treasury/Hazina haina kitu,uhuru alikomba yote kama huo ndio ukweli lazima Rito apate mahali pa kuanzia.hata Magofuli wetu alitafuta pesa kwanguvu . Namfahamu Ruto kama mcha Mungu, namuombea Mungu aitulize kenya na kuwaweka watu pamoja.
@ngwenoh.e97252 ай бұрын
What is he talking about? There's no politics there,it's governance,accountability,curb wastage
@jovinusmutabuzi46472 ай бұрын
Siyo rahisi hivyo.kuna kuvumiliana,kufunga mkanda.sisi bongo tunauwezo wakumvumilia rais hadi kumaliza kipindi chake.
@ngwenoh.e97252 ай бұрын
@@jovinusmutabuzi4647 governance and accountability is the reason we are here,nchi ina madeni,ila hela nyingi zilizokopwa zimeishia kwenye mifuko ya wachache,kwa hivyo wananchi hatupaswi kuuliza maswali? Manake mwisho wa siku ni sisi twalipia ujue?
@nurusaid46982 ай бұрын
Mi Cwezi Poteza Mda Ni Kasikiza Pasta Ata Cku Moja 😂😂😂😂😂Wacha Tuuwane Ila Tunajuwa Tunacho Kifanya
@zulekhasaeed60462 ай бұрын
Wewe huijui kenya hatukuelewi
@mirajiramadhanikyande61732 ай бұрын
Mwenye sonona hawezi kumuelewa
@Rhys-kx5zw2 ай бұрын
Instead army taking over.Why can’t Ruto resighn??
@FaithKibwii2 ай бұрын
He will not why do you want to remove him to a position he fought for?let the army take over mtalilia chooni hata hizo tax mnakataa kutoa mtoa kwa nguvu,na ua wanachukua kila kitu wanataka kwa nguvu,na pia hamtakakua na freedom yenye mumekuwa nayo,na pia mauaji itakuwa ya kila saa,Jeshi ua hawaongozwi na katiba ndiyo sababu ua hawapigi kura.
@evansmoshi19232 ай бұрын
Mchungaji nimekua nikikufuatilia nanimekua nikikuelewa kwa mambo ya mungu, ila kwa hili kaapembeni kabisaa yan siku zote haki hutafutwaga kwa damu siku zote hamna haki isiyo tafutwa kwa damu.
@432155ful2 ай бұрын
Kanisa nayo imesaliti waumini wasemaji juu yake.
@maniamba.tz_3 ай бұрын
True
@gracekagoma32312 ай бұрын
Ushabiki ni balaa ,tuongee ba siyo vurugu😮
@husseinbakromar58652 ай бұрын
Katika kundi la wambea wee dada waongoza
@KHATIBUSENYE-ss3ok2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂umenichekesha
@baloz89742 ай бұрын
Urefu waGenz kiurefu ni Generations Z
@FaithKibwii2 ай бұрын
Mbona unasema ukweli mzee?
@evansmoshi19232 ай бұрын
Yan saiv vijana wengi wamesoma wanaelimu yakutosha mwisho wasiku wanashangaatu miaka inaenda hawanakazi mnategemea nini?
@geofreyngero94492 ай бұрын
Wee 👉 mzee hujui KENYA. Wacha nikufunze kidogo tu, ujue ukabila huwezi iisha kwa sababu huo ukabila si sisi tulio uleta. Kumbuka mnara wa Babeli mchungaji na usome vizuri na urudie tena kisha urudi hapa 👇utuambie tukiondoa ukabila tutafanya maajabu yenye yanakaa aje??!😏🥴
@AnthonyMagotsi2 ай бұрын
Anaanza aje na amekuwa kwa serikali toka miaka ya 1980s.Tena amekuwa makamu Rais kwa miaka kumi??
@shukranisibale17392 ай бұрын
Hakika
@abdallahdullah86423 ай бұрын
Nimekuelewa mzee wengi hatujui km Kuna maendeleo vitu na Maendeleo watu kwaiyo kinachofanyika ni kuleta Maendeleo vitu tyu bila kujali Maendeleo watu ni muhm zaidi kwasabb ni rahc Maendeleo watu kuleta Maendeleo vitu lkn una una soko lkn huna uwezo wa kuweka bidhaa.
@erickbulyota94742 ай бұрын
😊
@anosiata82423 ай бұрын
Nimecheka eti watanzania ni nautical😀😀😀
@husseinbakromar58652 ай бұрын
Mamachanja tumbo laniuma Leo umeongea zero ndio maana mzalendo wenu magufuli amewawa kisiasa na jyinyinviongozi wa dini kimya so ya wake ya huyajui wachie wenyewe wapiganie haki zao kakojoe ulale
@benedictmrisho18002 ай бұрын
Matarajio ya waliokuweka ktk uongozi yasipotimia shida. Je wanani walimweka nani ktk uongozi na matarajio yao nini? Taabu.
@douglaswawire98852 ай бұрын
Come and stay in Kenya for only only month,,,,you will go back to your country,,,you don't know how people feel
@AsiaDismas2 ай бұрын
Apo nimekuelewa
@gracekagoma32312 ай бұрын
Watu wanategemea kuajiriwa tu.colonilism after effects Vijana wajifunze kujiajiri na siyo kuwategemea wabunge😢😢
@ezekielmwakalindile19222 ай бұрын
Usichukulie powa kujiajiri lazima selikari itengeneze mazingira ili wananchi wake waweze kujiajiri.Nchi nyingi hazina iyo mifumo ndio maana watu wengi wanakuwa jobless
@judicalosika76422 ай бұрын
@@ezekielmwakalindile1922yap
@Stephen12.2 ай бұрын
Have wabunge ndio wamepitisha sheria za kugandamiza miundo msingi ya self employment.
@PhestoKamsangia-nz2xx2 ай бұрын
Huyu mze anafaa kuwa bunge kabisa
@dukeongori90673 ай бұрын
Bro wa suti
@geofreyngero94492 ай бұрын
MAGUFULI ndio alikuwa president pekee Duniani kote mwenye alikuwa anasikiliza matatizo na matakwa ya maskini wa mwisho. Na mulimfanyia nini nyinyi makafiri 😢😢
@ElishaKasambo-yu5jt2 ай бұрын
Kafiri ni nani ndugu,? Mbele za Mungu wote ni makafiri tuna dhambi nyingi zingine kwa kuwaza TU, ni kwa neema ya Mungu tu
@gracekagoma32312 ай бұрын
Ba b a waambie wa n asiasa wa Tanzania pia waanze kujitambua vinginevyo mwakani ni hayo hayo ya Kenya.Sasa tatizo la Tanzania elimu ndogo sana,kwa vijana hata baadhi ya wanasiasa😢😢 Kitakuwa kisanga wajinga watupu kupambana😢😢