No video

Mch Mbarikiwa Mwakipesile "Nahoji huyu ni Nabii mkuu au ni Muhuni mkuu..kwa jambo hili..?

  Рет қаралды 113,416

Kikosi kazi cha injili Dodoma 🎖

Kikosi kazi cha injili Dodoma 🎖

Күн бұрын

Пікірлер: 502
@KennedyZabron
@KennedyZabron 6 ай бұрын
Ubarikiwe pastor Uko sahihi Tanzania imeingiliwa tumulilie YESU KRISTO WA NAZARETI ATUSAIDIE SHETANI AMEJIFUNUA TANZANIA
@methodjuma7727
@methodjuma7727 Жыл бұрын
Tunamshukuru Mungu kwa kila anaye penda kuihubili kweli, ubarikiwe kwa kuipenda kweli, kazi kwetu sisi vjana tunayependa kuhubilin pia , Mungu mwenyezi atujalie tusivutwe kwenye mapungufu
@amossambe2838
@amossambe2838 7 ай бұрын
Amen
@davidmwasonya2718
@davidmwasonya2718 Ай бұрын
Uko vzr sana Mch Mbarikiwa ipo ck huko mbele nitakutafuta ili kazi ya injili iende mbele.haleluyaa
@AllyBabu-kr6lg
@AllyBabu-kr6lg 3 ай бұрын
Nawe mtumishi unavo muongelea adui unazidi kumpa umaharufu yani unazidi kumporomoti.mtumishi muhubiri yesu acha kiki mungu kamuumba mbaya kwa siku ya ubaya isaya 54.
@noelbryson7840
@noelbryson7840 Жыл бұрын
Mbarikiwa me nakuelewaga sana.. Asante sana kwa kweli yako..
@davidmwasonya2718
@davidmwasonya2718 Ай бұрын
Mch nimecheka sanaaa hapo kwenye nyota ukubwa wake halaf mtu anataka apewe nyeta eti😂😂😂😂😂😂😂❤
@christer-elnkini5684
@christer-elnkini5684 Жыл бұрын
Asante mbarikiwaa umetafsiri vizuri kbs kipengele cha bibilia inasema nn juu ya kuchoraa miili yetu
@bonifacerobert2960
@bonifacerobert2960 11 күн бұрын
Joe Davie, mimi ni mdhambi sana sana sana. Lakini, umelaaniwa wewe katika wanaume wote! Mshenzi mpuuzi mwizi tapeli mkuu wewe.
@bugybuster5788
@bugybuster5788 Жыл бұрын
Masikini wanatoa sadaka yy ana honga unampaje pesa mke wa mtu bila mwenye mke kulizia, unaisifia tatoo wkt dini imekataza ww ni nabii wa michongo shita watanzania awataki kusoma vitabu vya mungu wanataka kusomewa tu na miujiza
@medsonsanga4813
@medsonsanga4813 Жыл бұрын
Shida ya mwaumini wa Leo wanapenda mibaraka Na mafanikio lakin sio kutengeneza njia zao sahih
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 Жыл бұрын
Sahivi ukristo ni biashara tu hakuna jengine
@anjelinakasembe845
@anjelinakasembe845 Жыл бұрын
Baba GeorDavie anaweza kukuajiri Uwe malinzi wake wewe Pole kwa depression anayokupa Baba yetu GeorDavie😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@beatricekerubo2963
@beatricekerubo2963 7 ай бұрын
Tunaye baba mmoja dada aliye juu mbinguni na anakuja hivi karibuni, Revelation 1vz7
@annamushi5702
@annamushi5702 3 ай бұрын
Nchi yetu ni nzuri sana, Ina uhuru wa kuabudu, sasa wewe hubiri injili, watu wamjue Mungu, achana na mambo ya watu, itaingia kwenye matatizo.
@henrymatebe
@henrymatebe 2 ай бұрын
Unajua swala la kumponda mtu ambaye nafsi za watu zinamtegemea kuiona mbingu ukimsema hadharani ni hatari sana unakuwa hujui unachokisema ukizingatia kila mmoja ana wito wake kwa Bwana na kila mmoja ana namna vile watu humpenda tusihukumiane tuifanye kazi ya Mungu
@AmosiEmmanuel-ns9qp
@AmosiEmmanuel-ns9qp Жыл бұрын
Mtu wa Mungu nakuelewaga Sana wachache waliobaki na Iman ya kweli.
@jamescornel5391
@jamescornel5391 Жыл бұрын
Naona umeacha kumhubiri Yesu umeanza kumhubiri nabii mkuu, nihivi ndugu yangu kama hukuchaguliwa na Mungu hukuchaguliwa tu acha wivu
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 Жыл бұрын
Sio wivu ndugu anaanika uchafu
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 Жыл бұрын
Isaya 1 18 Haya, njoni, tusemezane, asema Bwana. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa kama sufu.
@yakoubhashim6518
@yakoubhashim6518 Жыл бұрын
Aisee mungu atusaidie sana Ila kumbe watumishi wa mungu saizi ni wachache sana mungu akubariki sanaa mtumishi
@user-cm2io9vz3v
@user-cm2io9vz3v 5 ай бұрын
Mbarikiwa mm umenitoa gizani. Watanzania waelewe huyu nabii mkuu kwanza nani alimuweka juu yetu?
@YonaNjowela-dp2cr
@YonaNjowela-dp2cr Жыл бұрын
Barikiwa mtu wa Mungu
@happymushi2219
@happymushi2219 Жыл бұрын
Mimi najua nabii mkuu Ni Yesu Kristo tuu.
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 Жыл бұрын
Hapa kidogo umezungumza kuwa yesu ni nabii sio mungu wala si mtoto wa mungu hapa nimekuelewa
@jamescornel5391
@jamescornel5391 Жыл бұрын
Yesu sio nabii bali ni Mungu acha kumshusha cheo
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 Жыл бұрын
@@jamescornel5391 Yohana 17 3 Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma. Yesu nabi aliye tumwa Kwa waisraeli peke yake soma andiko hilo kwenye biblia yako
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 Жыл бұрын
@@jamescornel5391 1 Timotheo 2 5 Kwa sababu Mungu ni mmoja, na mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni mmoja, Mwanadamu Kristo Yesu; Hilo andiko linasema mwanadamu Kristo yesu
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 Жыл бұрын
@@jamescornel5391 Mathayo 4 10 Ndipo Yesu alipomwambia Nenda zako, Shetani; kwa maana imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke yake.
@godwinkileo7702
@godwinkileo7702 Жыл бұрын
Mchungaji Kimaro karudi kazini umesikia?
@adriannebatakanwa6904
@adriannebatakanwa6904 Жыл бұрын
@angela. Soma biblia kwa bidii. Mjue Kristo kwa undani zaidi. Hatutafuti ya mwilini. Aipendaye dunia na mambo yake ni wa mwili. Wewe unachokiona ni ajira ya dunia tu!? Funguka Dear muda unayoyoma Yesu Anarudi upesi.
@eliebasimisemwandu207
@eliebasimisemwandu207 Жыл бұрын
Asante sana mwalimu
@user-uq7kk4dw2o
@user-uq7kk4dw2o 3 ай бұрын
Eeheeeee mara nyingine ukiwa kweri wetu hawakutaki, MUNGU, anakupenda...
@anjelinakasembe845
@anjelinakasembe845 Жыл бұрын
Nabii Ana mke wake hapohapo madhabauni usimchukulie poa hata Famillia yake wako hapohapo ulimuona akidhini Acheni Mennonite ya kiswahili😭😭😭😭😭😭🙏mtaumwa sana
@ruthsima8152
@ruthsima8152 11 ай бұрын
Tuliye lala naye na akatutambulisha hata kwenye familia yake tuko tu tumetulia. Yule baba anauchafu wake wa ovyo sana basi tu kunyamaza
@davidwatson6821
@davidwatson6821 Жыл бұрын
Njia ya uzimani ni nyembamba na imesonga, lakini njia ya upotevuni ni pana na wengi wanaipita hiyo, mwenye masikio na asikie
@bonabonala5559
@bonabonala5559 5 ай бұрын
mbarikiwa uwa auchii uovu undere mungu ukutumia kweli
@davidmwasonya2718
@davidmwasonya2718 Ай бұрын
Pia unaona hapo huyo mama anasema mume wake wa ndoa ameamua kumuacha kwa ability ya tattoo aliyochora mgongoni na Mtumishi Jo Davie halisemei hilo kuwa mume amekimbia labda atatuftwe ili amrudishe nyumbani ndoa iendelee hasemi chochote maana yake anafurahia kuachana ili hali Bible inasema Mungu anachukia kuachana(ndoa kuvunjika)hapo sasa unaona Joe Davie yuko sahihi????hapana palipopinda lazima tupanyooshe na Neno la Mungu halisi.Ameeen.
@furahamwatwinza9560
@furahamwatwinza9560 2 ай бұрын
Ila kitengo cha kujiamini kina mnyakyusa bhana😂
@shukurukihwelo3084
@shukurukihwelo3084 Жыл бұрын
Sawa lakini kila mtuu anaamini imani ario nayo ,lakini pia na wewe unaimani yako usivuruge imani yawenzio kama unaona wamepotea kazana kuwaombea kuliko kutaja majina ya watu siku tutakuwa na vita ya madhehebu
@Yoram_Changala
@Yoram_Changala Жыл бұрын
Acheni kutumia biblia
@emilyrissling9703
@emilyrissling9703 Жыл бұрын
Niwakati wa kukemea dhambi kabisa,kukemea wanao potosha watu.wengi wanapinga bila hata kussoma bibilia kujua Ni haki yetu kurekebisha na kukashifu anaye poteza watu,Au anayefundisha watu kinyume na neno la mungu. Someni maandiko ndio msije mkapendelea ghambi
@aivanalexander
@aivanalexander Жыл бұрын
Ezra 10:4 [4]Arise; for this matter belongeth unto thee: we also will be with thee: be of good courage, and do it. Inuka; maana shughuli hii yakuhusu wewe; na sisi tu pamoja nawe; uwe na moyo mkuu, ukaitende.
@maryupendo8706
@maryupendo8706 Жыл бұрын
Wooi Yesu nisaidie,nipe macho nione.
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 Жыл бұрын
Tatizo ndugi zetu wakristo hamsomi biblia mnaenda kanisani kuhubiriwa mkifika huko mnaimba na kupigiwa kelele lakini hamsomi biblia wala hamtasomeshwa
@africatoeuropechurchtv8856
@africatoeuropechurchtv8856 Ай бұрын
Hii haikueleweka. Nahadi sasa haieleweki. Nadhan haitaeleweka kabisaa tukidhan ni shetan inagoma tukidhan ni YESU nayo inagoma.
@kantonankwera768
@kantonankwera768 Жыл бұрын
Mtumishi ninaneno ,hongeraaa kwakumtumikia mungu.
@greysonmalila1296
@greysonmalila1296 Жыл бұрын
Tokeni hapa wanafiki wakubwa si wewe pia umpende Mungu
@FlauraceNako-lm3pw
@FlauraceNako-lm3pw Жыл бұрын
Asante Sana mungu akulinde
@tumaini_nkinda
@tumaini_nkinda Жыл бұрын
Kitendo cha Jodevi kujiita nabii mkuu ni wazi huyu si mtumishi wa Mungu! Nabii mkuu maana yake ni Mungu maana Mungu ndie anaetoa manabii na ndie alie juu ya manabii wote! Biblia inatutaka tumuinue Yesukristo peke yake! nakumuabudu yeye peke yake. Yohana 12:32. Mathayo 4:8-11. Kakifupi ngurumo ya mapaka ni mtumishi wa ibilisi! aache kudanganya watu. 2Thesalok 2:11-12.
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 Жыл бұрын
Mwakipesile uko vizuri majina wanajipa.wenyewe aisee ila jamani siku za mwisho ni.hatari nabii mkuu ilitakiwa wapewe na.umoja.wa.wachungaji wasikutishie kama Mungu yupo upande wako hayupo.ikiwa ni Mungu sema mwakipesile alitakiwa akemewe afundishwe.kuwa tatuu Mungu hataki
@barikimollel7890
@barikimollel7890 Жыл бұрын
Mwisho wenu utakuja kuwa Mbaya Sana Nabii Sio MTU Wa kushindana nae Acheni wivu nyie ndio wahuni kupotosha Watu
@Yoram_Changala
@Yoram_Changala Жыл бұрын
Hilo jina la nabii ndo limemharirisha kufanya ushetani..? Na wewe ni mhuni kutetea wahuni je kuchora tatu siyo uhuni.?
@gaspercharles2244
@gaspercharles2244 Жыл бұрын
Ndg yangu achana na vitu visitors na maana malumbano yako na huyu kiongozi ww sio mtskatifu na kujua mtu ni mhuni au siyo mhuni ni Mungu tu binadamu Hana uwezo huo ni vyema utulie ktk Imani yako na kuombea na kuomba Mungu afanye mapenzi yake tatizo unabase Sana ktk mitandao Mungu akusamehe na atusamehe sote na nfpenda nikuambie mama yule hakuvua nguo kama unavyosema acha Hilo fanya mambo yako kwani hata ukisema vyovyote jambo limeshatokea nasi sote ni wakosefu cha msingi ww kama mtumishi unatakiwa kuwaombea rehema ya Mungu mwisho wa siku mtasababisha watu waingie uislam maana mnarumbana mno badala ya kuhubiri wote pamoja na ww hamfai kuitwa watumishi wa Mungu
@Yoram_Changala
@Yoram_Changala Жыл бұрын
Mwehu wewe, sema wewe ndo mkosefu, mimi ninaabudu ili nisiwe mkosefu
@nancychuwa4870
@nancychuwa4870 Жыл бұрын
Ukisoma komenti zako utagundua huyo nae ni mhuni mwingine........ Angalia umemwandika message nzuri lakini kakutukana......... Eti mbarikiwa duuuuuu!!!!!!!
@rahelstanley
@rahelstanley Жыл бұрын
@@nancychuwa4870 huyu jamaa kichwa yake sio nzuri
@oscarngowi4750
@oscarngowi4750 Жыл бұрын
Nawewe ni muhunu mwingine
@GabriellaWiseman
@GabriellaWiseman Жыл бұрын
Kwa kweli muhukumu WA Haki ni mungu
@joshuakimario5764
@joshuakimario5764 8 ай бұрын
Uko sahihi kabisa mbarikiwa songa mbele usiogope chochote
@ipyanapaulo4774
@ipyanapaulo4774 Жыл бұрын
Hapo nimekuelewa sana katika hili ubarikiwe sana
@user-rs4vz2vt9z
@user-rs4vz2vt9z Жыл бұрын
Wameshamjua ni mjinga wanamsifu ili awape hela,ni uzezeta,hakuna unabi hapo.
@Nabatabita6873
@Nabatabita6873 Жыл бұрын
Haiwezekani kumupongeza mtu ambaye amemukataa mume wake kwajiliyako nakusema eti ni mahaba kwani wewe ulikuwa boy friend wake?. Nijambo lakushangaza kwa watumishi . Hadi unafuraiya nakumupa hela umefikiria nini kuhusu watoto wake uta washika wewe hacheni ujinga wa mama wakitanzania kwa nini hamutafuti kwenda mbinguni munakimbilia hela tu hela zitakupeleka ahela maana hautafuti mungu au kudika mbinguni
@davidmwasonya2718
@davidmwasonya2718 Ай бұрын
Rafiki yangu Shukuru Kihwelo unajua hapo umesema kila mtu ana imani yake na asitaje marina ya hao watu wenye imagine mbovu ,,,niseme tu ni kweli kila mtu ana imani yake lkn imani inapotendewa ndivyo sivyo na tunaona hadharani kuwa hili ktk Bible halipo lazima tupinge kwa nguvu zoooote
@anjelinakasembe845
@anjelinakasembe845 Жыл бұрын
Ahaa Sasa Ni meelewa shida yako Ni pesa acha kumkashifu Nabii nenda kamuombe msaada hakusaidie
@user-zz1vv2qw2t
@user-zz1vv2qw2t Жыл бұрын
Kaka uo mdomo wako mrefu sana punguza yani umezidi mdomo mrefu sana we Kuw na hekima
@user-ms1ew1fj5o
@user-ms1ew1fj5o Жыл бұрын
Umesema kweli
@luganomwaigomole7441
@luganomwaigomole7441 Жыл бұрын
KWA ANAYEJUA MAANA YA NDOA HAWEZI KUUKUBALI HUU UPUMBAVU KULINGANA NA NENO LA MUNGU..BIBLIA TAKATIFU
@anjelinakasembe845
@anjelinakasembe845 Жыл бұрын
Muacheni GeorDavie wetu Kwani alikuchukulia mke wako wengine tushasaidiwa wahrnimmt nanyinyi wenye roho mbaya hatutamuacha Nabii wetu GeorDavie fanya yako
@estermgoma7451
@estermgoma7451 11 ай бұрын
Mjue sana Mungu ili upate maarifa
@servantmosesmunuve2687
@servantmosesmunuve2687 Жыл бұрын
Kwa mujibu wa hio vilamu imechezwa na huyo mwanamke kuchora tattoo na kutoa nguo,huo ni ukahaba na wanaomsifia wamepotoka.Hii ni roho ya mpiga kristo inaendelea kutawala.
@user-zy4ij1pz4g
@user-zy4ij1pz4g Жыл бұрын
Tusiwe wanafiki tuseme kweli, hiyo anayejiita nabii mkuu Huku akimsifia mwanamke mjinga ni mjinga pamoja Naye, ni wahuni TU, mbarikiwa Mungu akubariki Kwa kumkemea muhini huyo
@rabiministry2389
@rabiministry2389 Жыл бұрын
Unaujinga wa hali ya juu sana. Naamini wewe ndiye mtumishi wa Mungu pekee hapa duniani wengine wote ni wahuni kama unvyosema wewe.
@Yoram_Changala
@Yoram_Changala Жыл бұрын
Mpaka umesema hivyo kuwa mimi ni wapekee "nadhani ndivyo ulivyoona"
@apostlefanuellukuwi3224
@apostlefanuellukuwi3224 Жыл бұрын
Rabin ministry na wewe ni muhuni tuu watu washachoka na ujinga wanataka ukweli acha mwakipesile apiga kazi ya Mungu wa kweli tatizo mnapenda pesa unamtetea huyo nabi wenu mkuu kwaajili ya kupenda kupewa vijisent mtaangamia aisee
@benjaminlijongwa3715
@benjaminlijongwa3715 Жыл бұрын
MBARIKIWA unapenda magomvi na mizozo sana
@Yoram_Changala
@Yoram_Changala Жыл бұрын
Isaya_58:1
@user-li8rp3dd7w
@user-li8rp3dd7w Жыл бұрын
Amen mbalikiwa
@PurityManase-gr1cs
@PurityManase-gr1cs 11 ай бұрын
Wewe ni mshamba tuu.. Huna lolotee umaskini wako na wivu wako utakupeleka jehanamu . Wewe ndio muhuni maskini mwacheni mmbarikiwa wa Beana!! Geo devi hafananishwi hapa tanzania!!
@StevenMutale-xt9yj
@StevenMutale-xt9yj 2 ай бұрын
Mungu alisemaa tangaseni muliowana soma mathayo 10-26-27
@PonsSalimu
@PonsSalimu 13 күн бұрын
Amen
@Enemyofallah-y4u
@Enemyofallah-y4u Жыл бұрын
Nabii mkuu ni YESU(Mungu) PEKEYAKE
@josephandrew3444
@josephandrew3444 Жыл бұрын
Tupe andiko yesu ni nabii mkuu
@myself4128
@myself4128 Жыл бұрын
Biblia Haijawahi kumtambua mtu kamma Nabii mkuu na Mwingine kama Nabii mdogo ni vyeo vya kitapeli vya kujipachika pachika tuu...wanaiga wale wasanii wa Zimbabwe wanajiita Major prophets wahuni tupu
@Victorina-wi1dl5py3s
@Victorina-wi1dl5py3s 3 ай бұрын
MTU ANAYE JIITA NABII MKUU NI NABII MUHUNI BILA SHAKA MANA NABII MKUU NI YESU MWANA WA MUNGU PEKEE.
@user-xu5je8hl4o
@user-xu5je8hl4o Жыл бұрын
Ufalme mmoja na unagawanyika,ndio injil ya leo,kristo ni mmoja lakn wahubiri wana mgawanya,lkn bila shaka kila jambo linamwisho.
@Yoram_Changala
@Yoram_Changala Жыл бұрын
Haijaanza leo, hata nyakati za biblia Yesu aliwahi kuwaita mafarisayo ni wana wa majoka Mathayo_23:33
@bettyhabakaramo2996
@bettyhabakaramo2996 Жыл бұрын
Bwana yesu atulinde
@teddymutani856
@teddymutani856 Ай бұрын
Mbarikiwa ww ni muhuni pia kama wahuni wengine yani naww niwalewale tu akina kiboko ya wachawi
@savinosalamba9174
@savinosalamba9174 Жыл бұрын
Utaalinika wew,
@MuhammedShaff-fw5ps
@MuhammedShaff-fw5ps Жыл бұрын
Ukiristo ni diniyabiashara ndiomana mnkuawqkqli nyinyi wqhubir mtu akielezea diniyahaki uislamu pekee💚💚💚💚
@evodiaaloyce3670
@evodiaaloyce3670 9 ай бұрын
Sio kweli
@CecileNgendapasi
@CecileNgendapasi 6 ай бұрын
Nakupenda Sana baba ,nakufata kutoka RDC Congo
@nashonjoel20
@nashonjoel20 Жыл бұрын
HAWA WAUZA MAFUTA YA UPAKO/MAJI YA UPAKO NI WAHUNI TU NA WANAPOTOSHA KANISA LA MUNGU. NABII wa Mungu hapaswi Kujiinua Wala kujipa vyeo Kama hao. Hawa Kuna mahali pengine wanakopata hizo Nguvu na si kwa JEHOVAH.
@kashindisimon5265
@kashindisimon5265 Жыл бұрын
Mungu atakulinda mtumishi mbarikiwa hawa ni mbwa mwitu katikati ya kondoo
@hansondaniel-nb2jn
@hansondaniel-nb2jn Жыл бұрын
Safi sana mbarikiwa nyie wachngaji tunaowaitaji .
@ElshadaiHuruma-pr7vr
@ElshadaiHuruma-pr7vr Жыл бұрын
Mathayo 7:15 (jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa mwitu wakali)
@marysangula9974
@marysangula9974 Жыл бұрын
Jamani hubiti neno kwanini mnamwaibisha Yesu mitandandao . Huu sio wito mlioitiwa
@Yoram_Changala
@Yoram_Changala Жыл бұрын
Si tumeshindwa hubiri wewe, kwani we hauwezi..? Yaani kumwonya mtu asitumie biblia vibaya nako ni kumdharirisha Yesu.?
@bensonmoris463
@bensonmoris463 Жыл бұрын
Acha kuzungumzia watu fundisho neno la Mungu sio umbeya,jua ulichoitiwa,itaangamia kwa kukosa maarifa,
@NduwimanaNoella-rj7tm
@NduwimanaNoella-rj7tm 3 ай бұрын
Baba sema usiogopi semeya mungu wewe nimutumishi wake mutumikiye Bwana nakufata Kigali Rwanda
@user-zz1vv2qw2t
@user-zz1vv2qw2t Жыл бұрын
mbalikiwa unahubili acha kutaka kugombana MA Wat achana nao acha maneno mengi,hubili,injilli,kaka mwakipesile
@adamsambo264
@adamsambo264 Жыл бұрын
Nakushauri mbarikiwa uwe na Adabu kwa watu waliokutangulia utumishi wamekuwa na Mungu miaka mingi wakati huo ww hujulikani!...na sisi tunao kuona na kukusikiliza unatuboa na unauchafua ukristo unaenzi utu na heshima, ww kwanza umetokea wp? " As if u don't have the source" ujue huyu mtu mkuu wa Mungu amefanya Kazi chini ya mkono wa akina Emanuel lazaro,Moses KULOLA na wengineo halafu ww utoke huko utokao uanze kuropoka hivi ww kweli una wazazi wa kiroho? Unatutia aibu Tafadhali uanapaswa kuwa na Adabu kiroho unaropoka hovyo mpaka tunashangaa aina ya wakristo tulio nao...pia unapaswa uende shule upate akili zaidi....
@Yoram_Changala
@Yoram_Changala Жыл бұрын
Yohana 10:8 [8]Wote walionitangulia ni wevi na wanyang’anyi; lakini kondoo hawakuwasikia. Wewe uliye na peleka akili shule umepata nini..? Cha kunishawishi.!
@justinefaida4526
@justinefaida4526 Жыл бұрын
Ukweli kabisa barikiwa sana.
@apollokidakule-vg3lz
@apollokidakule-vg3lz Жыл бұрын
Eeh aiseee!?! Tumekwisha
@user-uq7kk4dw2o
@user-uq7kk4dw2o 3 ай бұрын
Jamanii, eeeeeeeh!!!!!! Kweri tumefika huko??????
@user-lm4cj4dg5t
@user-lm4cj4dg5t 4 ай бұрын
Mchungaji jamani mambo gani hayo SI unyamaze kira mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe
@Yoram_Changala
@Yoram_Changala 4 ай бұрын
Isaya 58:1 [1]Piga kelele, usiache, Paza sauti yako kama tarumbeta; Uwahubiri watu wangu kosa lao, Na nyumba ya Yakobo dhambi zao.
@skeetergodwins2576
@skeetergodwins2576 Жыл бұрын
Mtumishi wa Bwana Yesu Mbarikiwa. Hakika wewe ni Sauti ya Mtu aliaye mikani. Endelea kuwaanika hao matapeli wanaojiita ni watumishi wa Mungu kumbe ni wezi.
@JacklineWiston-lf1zy
@JacklineWiston-lf1zy Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@meshackmwakibinga6687
@meshackmwakibinga6687 10 ай бұрын
Hekima nzur Sana APA imekosekan hekima
@aloycemahiza2171
@aloycemahiza2171 Жыл бұрын
Kwaufahamuwangu mimi naona Nabii Mkuu ninabii kama Manabii waliopita ilawewe ndioupo kinyume kwanini usisimamie kanisalako unaingilia Makanisa yawenzako Unakosea sana Mbalikiwa nakama uliona mtumishi mwenzio anapotoka kwanini usimtafute ukaongeanae kuliko kumdharirisha Mtumishi wa Mungu Nabii Mkuu. Mbalikiwa wewe Huenda huujui wokovu Vizuri Toa kwanza boriti kwenye jicholako ndio umtoe mwenzako kibanzi chamti jichonimwako
@aloycemahiza2171
@aloycemahiza2171 Жыл бұрын
Fanya mamboyako Mbalikiwa usiutumie mtandao vibaya kwakumchafua Nabii Mkuu nawewe gawavyakwako kwanini kumchafua mwenzio
@Yoram_Changala
@Yoram_Changala Жыл бұрын
Kwahiyo kazi ya nabii ni kusifia watu kuwa wana mahaba..?
@mapendoumoja800
@mapendoumoja800 Жыл бұрын
Sifa niza Mungu pekee amsifuye mwanadamu ajichukulia laana mwenyewe yapitayo fahamu zetu tumwachie Mungu
@user-uq7kk4dw2o
@user-uq7kk4dw2o 3 ай бұрын
Haaaa, Yesu wangu uuuuuuu
@soloartist_ivanvespalusind1609
@soloartist_ivanvespalusind1609 Жыл бұрын
Mbarikiwa kama upo tayari kiasi hicho kufa kwaajili ya Mungu basi Jifunze Ukweli wa Mungu juu ya Sabato na amri 10 za Mungu. MUNGU akubariki
@Yoram_Changala
@Yoram_Changala Жыл бұрын
Hiyo sabato imekusaidia nini imekunufaisha nini..? Ili nami nijifunze
@RashidMwasiposya-rf6jh
@RashidMwasiposya-rf6jh Жыл бұрын
Mh ubili ijili sio kusema wenzenu huyo sio mungu
@RashidMwasiposya-rf6jh
@RashidMwasiposya-rf6jh Жыл бұрын
Ndo tatizo kujiona bola kuliko wenzako pole
@soloartist_ivanvespalusind1609
@soloartist_ivanvespalusind1609 Жыл бұрын
@@Yoram_Changala Mungu akujalie heri katika hili. Utunzaji wa Sabato ni moja kati ya amri kumi za Mungu Kutoka 20:8-11 [8]Ikumbuke siku ya Sabato uitakase. Remember the sabbath day, to keep it holy. [9]Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote; Six days shalt thou labour, and do all thy work: [10]lakini siku ya saba ni Sabato ya BWANA, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako. But the seventh day is the sabbath of the LORD thy God: in it thou shalt not do any work, thou, nor thy son, nor thy daughter, thy manservant, nor thy maidservant, nor thy cattle, nor thy stranger that is within thy gates: [11]Maana, kwa siku sita BWANA alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo BWANA akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa. For in six days the LORD made heaven and earth, the sea, and all that in them is, and rested the seventh day: wherefore the LORD blessed the sabbath day, and hallowed it. Vita kuu tuliyonayo ni kati ya wema na uovu, Shetani hayuko tayari kuona mwanadamu anatenda mema, yaani anazishika sheria za Mungu. Kusudi la Mungu kutuumba ni kwaajili ya utukufu wake, kwamba tumtukuze/ tumuabudu. Katika amri kumi za Mungu amri ya nne (ya sabato) imedai ibada ya Mwanadamu kwa Muumba wake kama ishara ya kujidhihiri ya kwa Sisi ni viumbe wa Mungu na yeye ndiye Mungu na Muumbaji Ezekieli 20:20 [20]zitakaseni sabato zangu; zitakuwa ishara kati ya mimi na ninyi, mpate kujua ya kuwa mimi ndimi BWANA, Mungu wenu. And hallow my sabbaths; and they shall be a sign between me and you, that ye may know that I am the LORD your God. Jambo hili ndilo kiini cha mahusiano yetu na Mungu. Nafasi ya Mungu kwetu inakuja tu pale tunapomtambua kuwa yeye ndiye aliyetuumba. Shetani anapoipiga vita sheria ya Mungu amekazana zaidi hapo kwenye kiini.
@HighzackMichael
@HighzackMichael Жыл бұрын
Baki na sabato zako hapo kwa mbarikiwa tunapewa mboga bila mchuzi yaaani kavu kavu na tunashiba
@bugybuster5788
@bugybuster5788 Жыл бұрын
Mwakipesile mimi nakuelewa vijana sasa hv awataki kufanya kazi wanataka kuombewa tuu ili wapate maisha
@Elecovid
@Elecovid 3 ай бұрын
Nabii mkuu kwa mama yake huko ni umalaya na uchawi unamsumbua jodev
@bethkatunx7677
@bethkatunx7677 Жыл бұрын
Tulishawatambua hao wahuni miaka nyingi mungu wao ni tumbo tena tumewachoka kweli kweli maana wametumwa kuhalibu neno la mungu
@venitarugemalila9290
@venitarugemalila9290 Жыл бұрын
Badala umchole Mungu na Yesu au uandike jina la Yesu au Mungu
@medsonsanga4813
@medsonsanga4813 Жыл бұрын
Amen mtumshi 😃
@stephensengo6877
@stephensengo6877 Жыл бұрын
Hongera
@glaury9938
@glaury9938 Жыл бұрын
Kweli yesu atusafishe watumishi hatuna hekima tunazalilishana sana naomba tue tunafuatana na kumwambia mtu kwa hekima mana yesu atabagua magugu na ngano samahani kwa kusema hivi
@ebenezerchoir
@ebenezerchoir Жыл бұрын
Mimi nimefurahi San kwa huyu mtumishi ambaye amesimama hadharani na kukemea upotoshaji mkubwa unaoendelea
@LucyJMtitu
@LucyJMtitu 11 ай бұрын
Majira ndugu yangu.......
@johnmsambuzi9094
@johnmsambuzi9094 Жыл бұрын
Kweli Lema Ana maono makubwa ya kimungu tazama anavyo ungwa mkono na wachungaji
@Yoram_Changala
@Yoram_Changala Жыл бұрын
Kuungwa mkono, na wanaojiita wachungaji siyo ndo kaungwa mkono Mungu,
@mshanibeatrice7449
@mshanibeatrice7449 Жыл бұрын
Kweli bible haijaacha kitu had vya kujichora vimo Asante Yesu
@davidwatson6821
@davidwatson6821 Жыл бұрын
Nafikiri ni wakati wa hao wanaojiita manabii na watumishi wa bwana kuwahubiria watu waache dhambi na wamjue Yesu, siyo kuwalaghai watu kwa mafanikio
@henrychacha5592
@henrychacha5592 11 ай бұрын
Nabii Mkuu Joe devie we piga kazi usiwasikilize hao wanaokupinga
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
Huyo Geordave ni hatari sana.😢😢
@ibrahimngitu6072
@ibrahimngitu6072 Жыл бұрын
Tukisema ukristo mnaunadi vibaya mnatukana hakuna mtu atakae fans na yesu haps ulimwenguni hiyo nabii mkuu ni mhuni tu kwa waumini wake
@youngyuzzo
@youngyuzzo 11 ай бұрын
Kiukweli kama huyu ni mchungaji bc hawezi kazi ya hyo bora angeachia kabla ya hukumu maan hata. Yesu alisemwa katika mengi sana lkn bado haikubadili kuwa yy ni roho na mwana wa Mungu ss km huyu kaitwa kwa kaz ya mung afanye ya mung aache kuchunguza yasio muhusu
@GilesKhamis
@GilesKhamis Жыл бұрын
Amri soma kutoka 20:1-17
MCH HANAJA APIGA NONDO NZITO KUHUSU KIBOKO YA WACHAWI
28:20
Mbengo Tv
Рет қаралды 56 М.
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Бискас
Рет қаралды 6 МЛН
He bought this so I can drive too🥹😭 #tiktok #elsarca
00:22
Elsa Arca
Рет қаралды 11 МЛН
Oh No! My Doll Fell In The Dirt🤧💩
00:17
ToolTastic
Рет қаралды 11 МЛН
UTACHEKA NDACHA /  YESU WA KENYA /  WAISLAMU
1:11:18
GOSPEL CORNER
Рет қаралды 43 М.
DR.GWAJIMA AWEKA WAZI NDOTO YA UKOMBOZI WA UCHUMI WA TANZANIA
59:18
huduma ya kristo
Рет қаралды 20 М.
Acha kutukebehi kwanini wewe usionywe.? kwani haujui Mungu hutumia hata punda je sisi wanadamu.?
12:25
Kama huna sifa za kutegemezwa basi unawajibu wa kutegemeza | Mch Mbarikiwa Mwakipesile
1:04:54
Mch Moses Magembe - KUZALIWA MARA YA PILI | KAHAMA 02
2:49:55
Rev Moses MagembeTv
Рет қаралды 5 М.
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Бискас
Рет қаралды 6 МЛН