Gangana....nimefurahishwa na style yako ya kuhoji wenye akili zilizosimama.... tumezoeshwa kwamba lazima tuishi kwa NEW WORLD ORDER... Yaani tunaponda mambo ya msingi kwa ajili ya kuwafurahisha walewale watesi wetu wa kihistoria... Big up Gangana....huyu jamaa uliyemleta ni kichwa sana.... mpe pongezi na shukrani zangu.... REST IN POWER JPM.
@ganganainfochannel3 жыл бұрын
Asante sana, na salamu hizi zitafika.
@ganganainfochannel3 жыл бұрын
Unaweza wasiliana na Thabit twitter @bobomlangi AUnamba ya simu 0652 079 640
@japheteliatosha47103 жыл бұрын
Nahitaji kupata mawasiliano ya ndugu huyu kupitia-japheteliatosha@gmail.com
@timothmwakakusyu45633 жыл бұрын
Edwin uko sahihi we are under NWO so sad 😢😢😢
@ericksimbeye32563 жыл бұрын
Nimekuelewa,,,, we ni mbegu Bora kwa wakati ujao kwa taifa,, najua ulitambua vizuri uwepo wa Magufuli,,, Mungu akupe hekima na akuongezee maisha marefu
@mamaabubakari27523 жыл бұрын
Hii ni Tanzanite, asante kaka. Nilisema mapema mbegu aliyoipanda Marehemu Magu imebaki na itawasumbua sana wanaompinga.
@hadijasalum63733 жыл бұрын
Nikweli hata huku uswahilini tunakoishi tunaoitwa hatujielewi......huwezi mponda jpm mtu akakuelewa......
@emmydzoo87293 жыл бұрын
Watapagawa yani
@deokanyerere9793 жыл бұрын
Huyu jamaa angejitokeza kipindi yupo tingatinga hakika ange pata kazi anaakiri na jpm alikua anatafuta sana watu kama hawa,jamaa mngu akutunze una madini mhimu ndani ya ubongo wako wtz wenye akiri tumekusoma vema🙏
@michaelnsangano22293 жыл бұрын
Amakweli jews walikuacha vizuri Endelea kutupa Lecture natamani ungekuwepo ktk kongamano la utafiti na ubunifu juu ya maendeleo ya viwanda na jamii hiyo tar 24-26 may UDSM Campus naimani wengi wangenufaika na maarifa ulionayo br...!!
@amonamiri44873 жыл бұрын
Kweli kabisa
@subirajohn7283 жыл бұрын
Yaani Kaka amefanya niangalie hii mara kwa mara amefafanua vizuri sana! R.I.P Mzee wetu JPM
@johnnchimbi9953 жыл бұрын
Thabit Yuko vizuri Sana. Ameizungumzia vizuri miradi yetu ya kimkakati. Huyu kijana ni mzalendo halisi wa nchi yetu. Tunahitaji kuwa na vijana wa aina hii wengi katika nchi yetu. Huko alikosoma wapelekwe vijana wengine kwa masomo aliyoyafanya Mr Thabit.
@subirajohn7283 жыл бұрын
Yaani haya ndio madini hongera sana Gangana kwa kumleta huyu Bro!
@abushaddad9893 жыл бұрын
GANGANA safi Sana , huyu jamaa yuko vizur Sana mrudishe tena siku nyingine.
@beninigabo7693 жыл бұрын
Jamaa yupo vizuri sana....upright person. kama ningekuwa ni mtu wa kuzingatiwa ningeagiza jamaa akamsaidie Rais Samia. Angesaidia sana katika kipindi hiki kigumu.
@RobbyDejan12343 жыл бұрын
(😭😭R.I.P JPM).... Huyu jamaa sijui nimuelezee vipi uelewa wake umepitiliza akili alizonazo, That is a person who displays exceptional intellectual ability, creativity productivity, universality in genres, or originality, typically to a degree that is associated with the achievement of new discoveries or advances in a domain of knowledge. (Genius). Tuletee tena huyu jamaa anatujenga kifikra kwa kiasi kikubwa sana natamani hata ningekutana nae ningepata madini zaidi ya haya niliyoyapata leo.
@ganganainfochannel3 жыл бұрын
Search KZbin MCHAMBUZI THABIT utakutana nazo nyingi tu
@RobbyDejan12343 жыл бұрын
@@ganganainfochannel Ahsante sana bro.
@tanzania25593 жыл бұрын
Nimegraduate kwakumsikiliza huyu jamaa
@samsoncosmas20643 жыл бұрын
😂😂😂✔️
@jamesmwenge59203 жыл бұрын
Hakika
@kingjosse47813 жыл бұрын
Hata mm asee najiona nina PGD ya Geo-economics
@verosanga44773 жыл бұрын
MUNGU tunakushukuru sana,kwa zawadi njema MAGUFULI VIVAA MAGUFULI VIVAA MAGUFULI VIVAA,asante Sana mwenyezi MUNGU ulitupenda Watanzania kwa kumuumba MAGUFULI azaliwe tz,tunashukuru Sana.
@irenentinika15873 жыл бұрын
Well said kaka, 99% TZA hatuna critical thinking kabisa, una mtu ana elimu hadi Phd with 0 thinking
@mgallason...56863 жыл бұрын
Duh imekuelewa sana Brother, R.I.P Magufuli umenifundisha kutumia akili yangu zaidi kufikiri na si kumezeshwa mezeshwa Mambo Hata ya kijinga.
@tabuboone9343 жыл бұрын
Umeona eh JPM alikuwa anatumia hakili zake
@hassanmpwepwe38263 жыл бұрын
Ndugu uko vizur kijana mwenzangu 2po pamoja R.i.p jemedar we2 jpm
@ilalikilimo4403 жыл бұрын
Ebwana brother nimemuelewaa sana alafuu izoo idea hata katika maishaa unatumikaa sana. Huyooo Jamaa anamadini sana bro I like that
@patrickmasinga72423 жыл бұрын
Gangana huyo bro anamadini sana big up sana kututafutia vichwa kama hicho na maswali uliyo kuwa unamuuliza safi sana.
@georgemaziku66103 жыл бұрын
@@patrickmasinga7242 Safi sana
@jamalbwabo57393 жыл бұрын
Nime muelewa sana mzee jamaa ana view mambo katika angle tofauti kabisa I wish niwe na mawasiliano nae au nije kua na dialog
@julihanjosephyjs63613 жыл бұрын
Waarabu nao ijumaa na jumamosi hawana kazi Juma pili ndowanaanza kazi.
@julihanjosephyjs63613 жыл бұрын
Rais samia mpe cheap kaka huyu akusaidiwe na kukupa ushauri ,wengine hao wameshafanya yao tunataka maendeleo mama .
@nelsonpeter21123 жыл бұрын
Unaakili sana mzee hongera sana
@josephinanikwelimdacki33303 жыл бұрын
Tanzania watu laki5 tunge kuwa nauwelewa kama huyu tunge mlinda magu
@salemsafen11183 жыл бұрын
Mtanzania mwenzetu huyu yupo vizuri sana wa kutunzwa pia na serikali, kijana ni hazina pia kwa taifa chonde chonde serikali.
@rosemarysulle92883 жыл бұрын
Wahivi ndo hawamtaki sasa,atufungue macho?wanataka tukae km mazezeta tu
@akwilinambaza99543 жыл бұрын
kijana hongera saana tunawahitaji saana wana tudabganya watanzania wanajua hatuelewi kitu .endeleeni kuwaamusha watanzania tunayumbishwa mno hatujui tushike lipe. dogo big up magufuri bado anaishi.
@tabuboone9343 жыл бұрын
Hata rais wetu samia anaweza kumtumia kwa ushauri!!
@jut11613 жыл бұрын
@@rosemarysulle9288 kabisa yaani wanataka siku zote tuwe vilaza
@hadijamagufuli26613 жыл бұрын
@@rosemarysulle9288 hapo sikupingi, Hawa, wanatamtaka kama yule bibi
@mizaeljaphet88623 жыл бұрын
Kununua cash kumewafanya wale wa ten percent wakose ndo maana wanasema kununua cash ni upumbavu kwasababu hakuna walichokipata.Mr Gangana na Mr Thabit.Endeleeni kutuelimisha Watanzania.
@mashirimathias60063 жыл бұрын
Mbegu njema iliyodondoka katika udongo wenye rutuba hakika kuota na kukua ni haki yake hongera sana
Dada yangu Samia mchukue Mr. Thabiti akusaidie katika masuala ya Uchumi nimemsikiliza katika mahojiano yake na mwandishi wa habari nimemuona yupo vizuri
@twazdkkajipangaamir83293 жыл бұрын
PLEASE MAMA SAMIA. NA MAKAMU WAKE NA WAZIRI MKUU WAKE TAFUTENI VIJANA WALOSOMA KAMA HAWO. KWA KWELI TUKIPATA KAMA HAWO 10000000 TZ TUKO MBALI SAAAAAAANA INSHAALLAH BRO MUNGU ATAKUJAALIA UTAPATA KAZI ukipata simama kwenye faida, maendeleo
@stephensigonda99273 жыл бұрын
Umeongea la maana sana
@robertammole84323 жыл бұрын
Tanzania itajengwa na vijana wenye kujitambua km hawa. Vigogo wapumzike kwa sab wana mawazo mgando, ubinafsi, na uhujumu. Hongera sana kijana
@ganganainfochannel3 жыл бұрын
Unaweza wasiliana na Thabit twitter @bobomlangi AUnamba ya simu 0652 079 640
@evelynebwire76843 жыл бұрын
@@ganganainfochannel Asante kwa mawasiliano
@hadijamagufuli26613 жыл бұрын
Tatizo wako kimaslahi
@sulaymanshabani53423 жыл бұрын
Huyu Jamaa huwa namkubali Sana na huwa namfatilia Sana coz Ana madini kwenye kichwa chake
@mashirimathias60063 жыл бұрын
God stand with you man
@geofreysenka70913 жыл бұрын
Huyu kaka anamadini kuliko majitu mengine yanayo jiita maprofesa
@kubakema3 жыл бұрын
Kitambo sasa jamaa amekuwa consistent sana katika kudhihirisha kuwa kasoma vizuri na ni kichwa hasa. Naamini washauri wa Rais mmeshamuona, tunawaomba mshauri kwa maslahi mapana ya Nchi yetu. Jamaa anavyo vigezo vyote vya kuwa miongoni mwa wasaidizi wa Rais Samia. Asante
@adamphinias24573 жыл бұрын
Huyu anatakiwa kuwa kiongozi ili mawazo hayo ayatekeleze mwenyewe kwani tunao wachache Sana wenye mitazamo Kama hii. So inakuwa vigumu kwa yeye kumshauri kiongozi mwenye mitazamo tofauti hii aliyoielezea hapa. Ila nampongeza Sana kwa elimu nzuri.
@marianamontoedi23333 жыл бұрын
Asante sana kwa kututoa hofu maana duuh JPM katuachia urith wa. Maisha
@kaundasutikaunda77693 жыл бұрын
Jamaa ana akili sana aisee.
@msafirijokakuu27323 жыл бұрын
umemtoa wap huyu jamaa Gangana!! asee ni genius, Hong era bro
@danielmlanda25463 жыл бұрын
Aiseeeee🤝🤝🤝🤝🤝huyu ni MAGUFULI tuliyebaki naye🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@kaygreko3 жыл бұрын
Hata kama kutakuwa na mtu asiyekubaliana nae lakini huyu kijana ukweli ana madini ya kutosha
@salemsafen11183 жыл бұрын
Najua watanzania wengi wa sasa ni weledi mno. Ninachoomba kwa kila aliebahatika kuangalia haya mahojiano ya Mr Gangana na huyu mtanzania mwenzetu nampa Jina la (akili kubwa), basi apaze sauti kutambua akili ya huyu mtanzania mwenzetu. Naishi na nafanya kazi Marekani lakini Madini anayomwaga huyu jmaa yamenishangaza sana kama Tanzania tuna watu wenye akili kubwa kama hizi. Kumuacha huyu jamaa hivi hivi tu ni matimizi mabaya ya rasilimali watu kwa nchi. Jamaa hata kutoongoza kuwa Raisi wa nchi basi anafaa kabisa na sina maana yakwambai Raisi wetu hana uwezo hapana,Mama yupo vizuri ila hizi akili za akina Thabit lazima zeenziwe kwa gharama yeyote ile zitatujengea taifa lenye kujitegemea kwa kipindi kifupi sana.
@dungayusufu19543 жыл бұрын
Ndugu tumia elimu yako kwa ajili yatanzania,washauri viongozi, uko vizuri br
@jenyyusuph49733 жыл бұрын
Nashukuru mungu kina jpm wapo Tena vijana
@albertinamichael61233 жыл бұрын
Una akili sana inabidi hao baadhi Yahoo wabunge wasaka tonge wakusikilize
@xdance83223 жыл бұрын
Tunaomba tag za account zake huyu jamaa leo nimepata kitu kikubwa Sana kutoka kwa brother amazing content mlete tena na tena
@kamwagamwanjale15753 жыл бұрын
Hapo kaka Gangana umetuletea mtu muhimu kutopiga shule hebu kuongezea kipindi kwenye TBC 1 tumsikilize huyo Jamaa. Shule anayotema ni madini tupu
@dianafidelis17913 жыл бұрын
Kaka thabiti nakuomba 25 uchukue form ya kugombea urais huenda utakua magufuli mwingine TE NA!
Shekhe hasani usijilaumu hatuwezi wote kuwa yeye wala yeye hawezi kuwa na ulichokuwanacho wewe hii ndio shani ya Allah
@hassanmassaga24763 жыл бұрын
@@abdallahmuttaq7306 ahsante🤝
@stevenmsaaada.msaada.3893 жыл бұрын
Mussa assad ni mpuuz tu naanatumiwa nawanasiasa washenz zitto najk kumchafua marehem jpm.
@marwaboniphace3 жыл бұрын
Hongera sana kijana natamani uwe mshauri wa mh Rais na ikiwezekana upewe vipindi vingi kwenye public TV ili kutoa hii elimu kuokoa wasomi wengi wa Tanzania.
@kassimsaidnyumba75033 жыл бұрын
Huyu jamaa unajua anauwezo mkubwa sana ,, bro Gangana big up
@dinocastico84953 жыл бұрын
Kuna tafauti kubwa saana kati ya aliye soma na mtu asiye soma. Billa shaka licha ya ilmu aliyo nayo pia ana akili ya kuzaliwa . Hongera sana bro
@japhetvenant9973 жыл бұрын
Ndugu ww nikichwa unatisha unaeleweka vizuli mno
@josephatkiliko25463 жыл бұрын
Kaka nimekuwa nakufatilia Sana wewe ni mtu mwenye akili nyingi Sana ni miongoni wa watu wachache wenye jicho la tatu,Nakupenda Sana naomba Rais akuone pia Unacho kitu adimu Sana pia ambacho unaweza changia ktk taifa letu la Tanzania,Mungu akutunze kaka nakutakia mafanikio mema Sana.
Unaweza wasiliana na Thabit twitter @bobomlangi AUnamba ya simu 0652 079 640
@maximilliancosmas19063 жыл бұрын
Anatumia page gani huyu jamaa
@kinogomuriga86313 жыл бұрын
@@ganganainfochannel 1000%
@jessejulius97353 жыл бұрын
Amazing expression Thabit🙌
@ernestkhaji38933 жыл бұрын
Kijana wewe Mungu akusaidie ufike mbali,una akili zenye akili
@gibsonjosephat6352 Жыл бұрын
Kwa Tanzania ameshafika Mwisho
@stevenpeter20583 жыл бұрын
Nimeipenda sana speech ya huyo brother
@kiazikitamu39853 жыл бұрын
Tangu tumeanza kusiadiwa na wazungu je tumefikia wapi, kabla ya Magufuli wazungu walikuwa wanatusaidia Magufuli alipoingia akajua mtegemea cha nduguyevhufa maskini jamani tufanyeni wenyewe na miaka mitano ya uongozi wa Magufuli amejenga nchi kwa kutumia pesa yetu ya ndani. Tutamkumbuka daima, kweli kusoma sio kupata, akili ya kimkakati na vitendo itatusaidia sana, hebu tuache kukopa kopa jamani pesa ipo Tanzania. Kukopa kunatufanya tuwe watumwa mpaka kufa
@ganganainfochannel3 жыл бұрын
Unaweza wasiliana na Thabit twitter @bobomlangi AUnamba ya simu 0652 079 640
@simonkitoy73043 жыл бұрын
Hongera sana mkuu uko vizuri na wewe ni mzalendo halisi. Umetufungua sana Gangana aweke program ya vipndi kama hivi especially uchumi
@renathamartin62723 жыл бұрын
His name nimfollow....akili kubwa hiyo
@henryndosi11143 жыл бұрын
MAGUFULI BABA LAO 🇹🇿 AMETUACHIA MSINGI IMARA MAPAMBANO YANAENDELEA, MUNGU ANAWEZA YOTE,
@c-48393 жыл бұрын
Mwanafunzi mzuri sana👏🏿👏🏿👏🏿 Japo nimepotezwa kwenye "popat"
Kijana safiiiiiiiiiiii Sana huyu , msomi mwenye akili
@nardhismhagama62663 жыл бұрын
Opo vizuri ila ndege zetu tulizokuwa nazo kipindi Cha nyerere zipo wapi?
@hassanmsuya66923 жыл бұрын
Gangana huyu brother yuko vizuri sana. Tafadhali naomba kujua social media pages zake tuweze ku mfollow. Hawa ndio watu wa kufanya nao mahojiano. Tafadhali endelea kumtumia huyu kuwa mchambuzi wako. Rest in Paradise JPM.
@ganganainfochannel3 жыл бұрын
Nitakurejea mkuu
@agneskoyanga54053 жыл бұрын
@@ganganainfochannel Gangana kama unaweza weka social media info za huyu jamaa... Utakuwa umesaidia kufukisha lengo lako ulikokusudia kwa hadhira... Ni vyema ku mfollow huyu jamaa.
@ganganainfochannel3 жыл бұрын
Unaweza wasiliana na Thabit twitter @bobomlangi AUnamba ya simu 0652 079 640
@abuumbegu86573 жыл бұрын
Hawa vijana wanauelewa zaidi kuliko wale wazee wanaotupotosha!!
@suleimanjokoro3 жыл бұрын
So Magufuli ni poparian🇹🇿💪💪
@kilatuinessy59543 жыл бұрын
R.I.P black gold J.P.M
@mashakakalamba5193 жыл бұрын
Gangana - asante sana ! But please - hebu mpe fursa nyingine huyu msomi ya kutupa darasa. Ikiwezekana mpe masaa mawili au zaidi. Yupo vizuri sana !
@mamymamiza29243 жыл бұрын
Mtu yoyote ukimuona anamponda MAREHEMU ujue walipigwa CAG mstaafu alikua na asira na jpm😂😂😂
@hazjay46713 жыл бұрын
#THABIT + #GWAJIMA Wa Sasa!! 2napata Ki2!
@marionntomola16863 жыл бұрын
elimu nzuri na nyepesi na ya uwazi saaana. ahsante. umefunga ukurasa.
@mussalugembemussalugembema36503 жыл бұрын
Kweli brother upo sahihi
@cidewashington6703 жыл бұрын
Haridi Gangana ,nakushauri mtafute CAG wa serikali aliyepotosha Watanzania na huyu jamaa ili wajengeane hoja kuondoa tabia ya kumchafua Marehemu MAGUFULI inayoendelea hivi sasa
@jacklindickson34233 жыл бұрын
Watanzania wengine wapo vizuri jaman nimekuelewa sana na hapa ss ndio nazidi kuona kwamba Tanzania tumepoteza tulipata bonge la rais pumziika kwa aman bb yetu
@francokamugisa2963 жыл бұрын
Hawa ndo watu wenye akili nzuri,Ila hawa vigagura eti una hela alafu ukope ,hao mawazo yao ni Bora hata ya mtu ambae hajasoma anaweza kuchanganua mambo.kuliko maprofesa wasio na faida kwa taifa,natamani cku rais awe ni mtu wa darasa la saba maana wanajua kuweka mambo sawa kuliko maprofesa.
@majaliwawilson93723 жыл бұрын
Walisomeshwa akili za ulaya ili wawanufaishe wao hawa ndio majiniaz wanatakiwa kuwa viongoz nnchiyetu
@twazdkkajipangaamir83293 жыл бұрын
Bro we unajuwa sana kweli elimu umeisoma wengine mabunju wamenunua vyeti kuipata kazi lakin mawazo yao hovyo kabisa si yakielimu. Kama huyo CAG ALIEPITA. Anadharau kununua ndege kwa keshi anaona nikutokuwa na akili kama biashara yenyewe ni HASARA kwa mfano ingekuwa tumekopa tungekuwa na HASARA kiasi gani HAPO tuhh ndege zetu si mkopo. Maana tungekuwa na +riba +mkopo ingekuwa hapatoshi. Anaongea Kiki kujipromote apewe angalau kikaz au aonekane. Jaman ndugu zetu mlosoma tumieni elimu yenu kuleta maendeleo katika nchi yenu. Kwanin tunasifia nchi za nje kwasabu WENZETU wanapenda maendeleo ya nchi na WANANCHI. Sisi kazi porojo na wizi wa fedha
@uscalayoub34623 жыл бұрын
Nimemsikiliza tu nikaingiwa na hasira kwa uchungu najisemea mwenyewe mungu anamakusudi yake haku tuletea kimakosa mjomba Daaah R.I.P komando J.P.M
@uscalayoub34623 жыл бұрын
Nimemsikiliza tu nikaingiwa na hasira kwa uchungu najisemea mwenyewe mungu anamakusudi yake haku tuletea kimakosa mjomba Daaah R.I.P komando J.P.M
@yohanabundala91623 жыл бұрын
Nimekuelewa sana Mr, tusipende kukalilishwa Mambo na kuyabeba kama yalivyo.
@dicksonnicodems15923 жыл бұрын
Bora sana huyu kijana kuliko hiyo miprofessor iliyosoma kwa pesa zetu harafu haitusaidii chochote mipuuzi mitupu
@mahengomwenyewe42043 жыл бұрын
Mmewasomesha ili wawaibie kwani hamjawasomesha neno la Mungu mlitarajia nini??
@smukelomkhize97753 жыл бұрын
Yah kuna Jamaa wapo Bungeni Hawataki Ndege zinunuliwe, Yaan Nchi lsiwe na Ndege Hata moja
@solomonadams63373 жыл бұрын
Wewe Umeenda Israel kusoma lakini bado pocho hio miko ya hizo chata wew unazihisabu ndege¿n'joo Europ ndio utafahamu nini maana ya ndege sawa¿thanks
@abdallahmuttaq73063 жыл бұрын
Kuna yule lisu aliesema Tanzania tumepigwa kwenye ndege akisikia hizi nondo pia atabisha yule jmaa
@renathamartin62723 жыл бұрын
Mr Gangana great job thanks for bringing him.
@dorahy15793 жыл бұрын
Mnajidharsu ba kujirudisha nyuma hamtafika popote. Ujinga mtupu mnajadiliana hapa
@peterfesto31503 жыл бұрын
Iki kichwa hatari atamaprofesa hawagusi apo
@shabbyprotus65522 жыл бұрын
Dah uyu jamaa kichwa sanaa unamzidi profesa mwenye wizara big up brother
@benjaminlijongwa37153 жыл бұрын
Kwa fafsnuzi zako magufuli yupo sawa
@beatricehenry67763 жыл бұрын
Asante Thabit Elimu tosha kwa wengi wenye upeo
@jumamohamedkidiaunga92243 жыл бұрын
Watu ndo hawa sasa🤔🤔
@mbwanakiting71803 жыл бұрын
Uko vizuri Kaka...lakini ndiyo walewale wataalamu wetu...hivi unanunua ndege kwa mil 220 Dola kwa hajili ya kupata utambulisho au nchi kukulikana...unapata hasara kila mwaka sababu ya kukulikana?...hivi tumaitaji mendeleo au kujulikana...China imejulikana sababu ya maendeleo yake aundege zake...Kenya imejulikana ,ababu ya ndege zake?..no..imejulikana sababu ya michezo ya riadha na utalii iliwekeza huko...hivi unajua shaanga na bayi waliipaza nchi hii kukulikana kwa muda mfupi Sana tukapuuzia nafasi hiyo...Brazil imejulikana sababu ya mpira na sio ndege...kwa umaskini tulionao tunapoteza pesa zote hizo kwa hajili ya kjulikana?.ningekuwa Mimi nisingetetea huo ujinga..ningewashauri hizo pesa tuwekeze katika mlima kilimanjaro ndiyo identity yetu...ndege itachukua miaka 100 kukujulisha wakati utalii utachukua wiki moja kukutambulisha....hivi Zanzibar Ina ndege ngapi? Nani haijui hapa duniani...binafsi niliishi London ukiulizwa umetokea wapi ukisema Tanzania hakuna anayeijua mpaka nasema kilimanjaro kila mtu anapajua...lakini leo nchi za ureno..bergium..uingereza ukiuliza Tanzania hakuna hasiyeijua..wanaijua sababu ya mtu mmoja tu..Mbwana Samatta sababu ya miguu yake tu na hakuna anayemjali...sijui Yuko wapi...Ndugu hivi hizo Dola mil 200 tungewekeza katika mlima huo kuweka mazingira mazuri au tungewekeza katika michezo tupate Samara watano nanmavondia watani na wakimbiaji watano kwa lengo la kutangaza ili wajae hao tunaotaka watujue...hivi hizo ndege zinazokwenda mikoani zinatutambulisha Nini? Kama michezo na utalii havisaidii kututambulisha Basi tuendelee kupata hasara....Kama ulivyosema unategemea umesoma wapi na akiri yako ndiko itakupelekea huko na Kama Ni hivyo hatutofika Bora mje huku chini mchukue mawazo yetu ya darasa la Saba Kama msukuma ili nchi ipate mafanikio Kama hamtaki endeleeni kununua haya mandege...unayajua mengi Sana lakini kusoma kwingi muda mwingine Ni hasara...huwezi tetea hasara sababu ya elimu uliyopata inakuelekeza huko.
@ramahfingika153 жыл бұрын
Vichwa HIV ndio vinanatakiwa kupewa nafas lakin vipo mtaana na wapumbavu wapo Bingen nk:
@alfredmapile57843 жыл бұрын
Aisee, jamaa nimekukubali kijana, upo sawa sana
@elibarikimollel71493 жыл бұрын
Ni kazi kweli,yani ni bora tuwe na ndege za cash ya kodi na rasilimali za nchi,badala ya kukopa, lkn watu wafe kwa kukosa huduma za msingi, afya mbaya,kukosa maji, dawa,elimu bora,nk!!?
@nestor3843 жыл бұрын
Geneus💪🏻 angekuwa hai JPM ungelamba uteuzi poparian📌
@ndamarevocatus49183 жыл бұрын
jamani hizo ni fursa msiziseme hvo people will take advantages around us plz
@kingjosse47813 жыл бұрын
Geo-economics uyuu jamaa yuko vzurii sanaaaa sanaaaaa..... ata kama sjui kitu kuhusu Geo-political na Geo-economics ilaa huyuu jamaa anajuaa yaan nmejifunzaa sanaaa... bigup bro....
@babusadala57323 жыл бұрын
Jamaa anajua sana 😁🖐️
@kilelechaimani.89563 жыл бұрын
Kuanzia leo nitaitwa Mr popalian.Mawazo huru ya kujikwamua NI HERI na Bora KULIKO kusubiri tonge mdomoni.Thanx mr gangana.
@littlelunie.76533 жыл бұрын
Jamaa anajua huyuu
@godblessnzalika61163 жыл бұрын
Inapendeza sana wasomi wawe wanaelezea vitu vya kitaalamu kwa namna hii, ni unavielewa vizur na unapata nafasi ya kujua tofauti kati ya hiki na kile... 👍👍👍👍👍
@beatricenmarwa97453 жыл бұрын
Yaani nimempenda huyo kaka bure. Hao ndio vijana wanatakiwa kumuona Rais wetu kwa ushauri. Wapo vijana wanaoweza kutoa ushauri wa kufaa kabisa. Pia nimekuoenda umemaliza masomo umerudi kusaidia kulijenga Taifa badala ya kwenda ughaibuni. Big up Kijana
@dietrichyombage54313 жыл бұрын
Big up bro ! You have opened my eyes of understanding(and of many who like me had limited picture) on strategic projects. It has change my perspective on the matter. I wish I had an audience with you to learn more from you.
@ahmedmahayu68003 жыл бұрын
Nime subscribe hii channel kwa kuvutiwa na huu uchambuzi
@TheNgomo3 жыл бұрын
Jamaa Yuko vizuri sana. Anapaswa apewe kitengo serikalini atumie mawazo yake kwa faida ya wote
@charlesrwegalulila10693 жыл бұрын
Mungu akujalie , serikali ikuone wakupe kazi unaweza kuisadia nchi uko poa saaana
@adamally87913 жыл бұрын
Huyu mwamba nimemuelewa sana ni bonge la hazina kwa Taifa ni very Genius
@mgallason...56863 жыл бұрын
Yuko vizuri sana
@gynae84073 жыл бұрын
Watu wanamnahii Tz hawahitajiki, mipumbavu ndiyo inayo hitajika.